input
stringlengths
5
25.1k
label
stringclasses
6 values
instructions-text
stringlengths
279
25.4k
Shirikisho la Soka nchini (TFF) liliamua kurejesha mashindano ya Kombe la Shirikisho, ambapo mshindi wa kombe hilo atapata nafasi ya kuiwakilishi nchi kwenye mashindano ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF CC) msimu ujao.Yanga tayari ina uhakika wa kuiwakilishi nchi kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kufanikiwa kutetea taji la Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, leo Yanga ishinde au ifungwe kwenye mchezo huo ni wazi Azam ndio ataiwakilishi nchi kwenye mashindano ya CAF CC msimu ujao kwa kigezo cha kuwa mshindi wa pili wa mashindano hayo.Kama Azam itashinda mechi hiyo haitabadili sana kwa maana itakuwa imepata mambo mawili taji ambalo ni heshima kwa timu hiyo na pia itaweka rekodi ya kuwafunga Yanga kwenye historia ya timu hizo.Kutokana na sababu hizo mbili pia ndipo msingi wa heshima na rekodi unapokuja kwenye mechi hiyo, kwani ni vitu ambavyo Yanga pia ingependa kuona inavipata ikiwa ni sambamba na taji la Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara.Pamoja na yote hayo mechi ya Yanga na Azam imebeba sura ya kuwa moja ya mechi kubwa na yenye ushindani wa hali ya juu na historia ya mechi baina ya timu hizo inafanya iwe mchambuzi ama mshabiki yeyote kuwa na wakati mgumu kutabiri mshindi wa mechi hiyo.Kwa misimu miwili sasa timu hizo zimekuwa zikishindwa kufungana na kwa misimu miwili timu hizo zimekuwa zikitawala soka la Tanzania kwa Yanga kuwa bingwa na Azam kushika nafasi ya pili na ndicho kitakachotokea kwenye mechi ya leo.Msimu huu, Yanga na Azam zimekutana mara tatu; mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara na mara moja kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi Januari mwaka huu ambapo timu hizo zilipangwa kundi moja.Kwenye mechi ya kwanza ya Ligi Kuu timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1 na kwenye mchezo wa marudiano zilitoka sare ya mabao 2-2 na kwenye Kombe la Mapinduzi zilitoka sare ya bao 1-1.Hakuna aliyemtambia mwenzake lakini kwenye mechi ya leo hakuna sare kwani ni fainali. Azam itacheza leo bila ya kocha wake Stewart Hall ambaye alibwaga manyanga ya kumaliza ligi na timu hiyo ikikosa ubingwa. Hall na Azam walikuwa na makubaliano kama kocha huyo akishindwa kutwaa taji la Ligi Kuu basi mkataba wake utasitishwa.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Shirikisho la Soka nchini (TFF) liliamua kurejesha mashindano ya Kombe la Shirikisho, ambapo mshindi wa kombe hilo atapata nafasi ya kuiwakilishi nchi kwenye mashindano ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF CC) msimu ujao.Yanga tayari ina uhakika wa kuiwakilishi nchi kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kufanikiwa kutetea taji la Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, leo Yanga ishinde au ifungwe kwenye mchezo huo ni wazi Azam ndio ataiwakilishi nchi kwenye mashindano ya CAF CC msimu ujao kwa kigezo cha kuwa mshindi wa pili wa mashindano hayo.Kama Azam itashinda mechi hiyo haitabadili sana kwa maana itakuwa imepata mambo mawili taji ambalo ni heshima kwa timu hiyo na pia itaweka rekodi ya kuwafunga Yanga kwenye historia ya timu hizo.Kutokana na sababu hizo mbili pia ndipo msingi wa heshima na rekodi unapokuja kwenye mechi hiyo, kwani ni vitu ambavyo Yanga pia ingependa kuona inavipata ikiwa ni sambamba na taji la Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara.Pamoja na yote hayo mechi ya Yanga na Azam imebeba sura ya kuwa moja ya mechi kubwa na yenye ushindani wa hali ya juu na historia ya mechi baina ya timu hizo inafanya iwe mchambuzi ama mshabiki yeyote kuwa na wakati mgumu kutabiri mshindi wa mechi hiyo.Kwa misimu miwili sasa timu hizo zimekuwa zikishindwa kufungana na kwa misimu miwili timu hizo zimekuwa zikitawala soka la Tanzania kwa Yanga kuwa bingwa na Azam kushika nafasi ya pili na ndicho kitakachotokea kwenye mechi ya leo.Msimu huu, Yanga na Azam zimekutana mara tatu; mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara na mara moja kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi Januari mwaka huu ambapo timu hizo zilipangwa kundi moja.Kwenye mechi ya kwanza ya Ligi Kuu timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1 na kwenye mchezo wa marudiano zilitoka sare ya mabao 2-2 na kwenye Kombe la Mapinduzi zilitoka sare ya bao 1-1.Hakuna aliyemtambia mwenzake lakini kwenye mechi ya leo hakuna sare kwani ni fainali. Azam itacheza leo bila ya kocha wake Stewart Hall ambaye alibwaga manyanga ya kumaliza ligi na timu hiyo ikikosa ubingwa. Hall na Azam walikuwa na makubaliano kama kocha huyo akishindwa kutwaa taji la Ligi Kuu basi mkataba wake utasitishwa. ### Response: MICHEZO ### End
Na LEONARD MANGOHA – DAR ES SALAAM UJENZI wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa (standard gauge) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza, unatarajia kukamilika mwaka 2021 na utagharimu Sh trilioni 7.6. Awamu ya kwanza ya ujenzi huo itakayohusisha kipande cha kilomita 300 kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, inatarajiwa kuanza mwezi huu na itagharimu dola za Marekani bilioni 1.21 (Sh trilioni 2.6). Kwa maana hiyo, kipande cha kilomita 711 kutoka Morogoro hadi Mwanza kitagharimu Sh trilioni tano. Akizungumza Februri 3 wakati wa kutia saini mkataba, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alisema awamu hiyo ya kwanza inagharimu kiasi kikubwa cha fedha kutokana na jiografia ya eneo hilo kuwa na milima mingi. Akizungumza na MTANZANIA jana ofisini kwake Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano kwa Jamii wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (RAHCO), Catherine Moshi, alisema ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa kilomita 1,011 (Dar es Salaam – Mwanza) ambayo ujenzi wake umegawanyika katika awamu tano, unatarajiwa kuanza mapema mwezi huu kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, chenye urefu wa kilomita 205 za njia kuu na 95 za kupishania treni. Moshi alisema ujenzi huo utakamilika mwaka 2021 kutokana na mfumo wanaoutumia wa kutoa zabuni kwa vipande vipande badala ya kutoa zabuni yote kwa kampuni moja. Alisema mfumo huo unapunguza muda wa ujenzi kutokana na kampuni nyingi kufanya kazi hiyo kwa wakati mmoja, lakini ikitokea kampuni inayojenga ikaomba tenda na kushinda na ikabainika kuwa na uwezo wa kufanya shughuli hiyo kwa wakati, itapewa zabuni. “Tunaamini tutakamilisha ujenzi huu mwaka 2021 kwa kutumia mfumo huu na kwa kuzingatia vipande vya kuanzia Makutupora (Dodoma) hadi Mwanza ni vifupi na havina milima mingi kama Dar es Salaam hadi Makutupora,” alisema Moshi. Akizungumzia kuhusu eneo korofi kati ya stesheni ya Kilosa na Gulwe mkoani Morogoro, alisema miongoni mwa mambo waliyokubaliana kuyapa uzito wakati wa ujenzi ni pamoja na wazabuni kukwepa maeneo ya mito kama vile Magole na kupitia milimani ili kuepusha reli kuharibiwa ma mafuriko. Kwa mujibu wa Moshi, zabuni za ujenzi wa vipande vya kutoka Morogoro hadi Mwanza zinatarajiwa kufunguliwa mwezi ujao, ambapo vipande vitakavyohusika ni kile cha Morogoro hadi Makutupora kilomita 336, Makutupora-Tabora (km 294), Tabora-Isaka (km 133) na Isaka-Mwanza (km 248). Akizungumzia ujenzi wa reli ya kiwango kama hicho kutoka bandari ya Mtwara hadi Mbambabay na Mchuchuma na Liganga, alisema tayari upembuzi yakinifu umekemilika na sasa wako kwenye mchakato wa kumtafuta mshauri wa fedha ili kufahamu kiasi kitakachotumika kujenga mradi huo. Alisema reli hiyo yenye urefu wa kilomita 1,000 pia itakuwa ya kiwango cha kimataifa (standard gauge) na kwamba kukamilika kwake kutarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka bandari ya Mtwara kwenda nchi jirani za Zambia na Malawi. Akizungumzia uondoaji nyumba katika maeneo ya hifadhi ya reli nchini ambao kwa baadhi ya maeneo umeibua maswali miongoni mwa waliowekewa alama, alisema kuwa pamoja na sheria kueleza kuwa eneo la hifadhi ni mita 15 kwa maeneo ya mijini na 30 kwa maeneo ya vijijini, lakini kwa maeneo ya stesheni ya treni sheria inasema ni kati ya mita 75 na 100. Moshi alisema hiyo ni kwa sababu kuna njia nyingi za kupishania na kushushia na kwamba maeneo ya makutano ya barabara na reli ni mita 100 kila upande ili kumwezesha dereva kuona kwa urahisi kama kuna gari linakaribia. Hivi karibuni baadhi ya wakazi wa Kichangani mkoani Morogoro walilalamikia kutakiwa kubomoa nyumba zao ndani ya siku 30, wakisema kuwa sheria inaeleza eneo la hifadhi ya reli kwa maeneo ya mjini ni mita 15, hivyo hawaafiki hatua iliyochukuliwa dhidi yao. “Mbona sheria hapa imeeleza wazi kuwa ni mita 15 mjini, wao wanatutaka vipi kuvunja nyumba zetu, kwahiyo wao na sheria ni kipi kinachosema ukweli?” alisema mmoja wa wananchi hao.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na LEONARD MANGOHA – DAR ES SALAAM UJENZI wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa (standard gauge) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza, unatarajia kukamilika mwaka 2021 na utagharimu Sh trilioni 7.6. Awamu ya kwanza ya ujenzi huo itakayohusisha kipande cha kilomita 300 kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, inatarajiwa kuanza mwezi huu na itagharimu dola za Marekani bilioni 1.21 (Sh trilioni 2.6). Kwa maana hiyo, kipande cha kilomita 711 kutoka Morogoro hadi Mwanza kitagharimu Sh trilioni tano. Akizungumza Februri 3 wakati wa kutia saini mkataba, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alisema awamu hiyo ya kwanza inagharimu kiasi kikubwa cha fedha kutokana na jiografia ya eneo hilo kuwa na milima mingi. Akizungumza na MTANZANIA jana ofisini kwake Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano kwa Jamii wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli Tanzania (RAHCO), Catherine Moshi, alisema ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa kilomita 1,011 (Dar es Salaam – Mwanza) ambayo ujenzi wake umegawanyika katika awamu tano, unatarajiwa kuanza mapema mwezi huu kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, chenye urefu wa kilomita 205 za njia kuu na 95 za kupishania treni. Moshi alisema ujenzi huo utakamilika mwaka 2021 kutokana na mfumo wanaoutumia wa kutoa zabuni kwa vipande vipande badala ya kutoa zabuni yote kwa kampuni moja. Alisema mfumo huo unapunguza muda wa ujenzi kutokana na kampuni nyingi kufanya kazi hiyo kwa wakati mmoja, lakini ikitokea kampuni inayojenga ikaomba tenda na kushinda na ikabainika kuwa na uwezo wa kufanya shughuli hiyo kwa wakati, itapewa zabuni. “Tunaamini tutakamilisha ujenzi huu mwaka 2021 kwa kutumia mfumo huu na kwa kuzingatia vipande vya kuanzia Makutupora (Dodoma) hadi Mwanza ni vifupi na havina milima mingi kama Dar es Salaam hadi Makutupora,” alisema Moshi. Akizungumzia kuhusu eneo korofi kati ya stesheni ya Kilosa na Gulwe mkoani Morogoro, alisema miongoni mwa mambo waliyokubaliana kuyapa uzito wakati wa ujenzi ni pamoja na wazabuni kukwepa maeneo ya mito kama vile Magole na kupitia milimani ili kuepusha reli kuharibiwa ma mafuriko. Kwa mujibu wa Moshi, zabuni za ujenzi wa vipande vya kutoka Morogoro hadi Mwanza zinatarajiwa kufunguliwa mwezi ujao, ambapo vipande vitakavyohusika ni kile cha Morogoro hadi Makutupora kilomita 336, Makutupora-Tabora (km 294), Tabora-Isaka (km 133) na Isaka-Mwanza (km 248). Akizungumzia ujenzi wa reli ya kiwango kama hicho kutoka bandari ya Mtwara hadi Mbambabay na Mchuchuma na Liganga, alisema tayari upembuzi yakinifu umekemilika na sasa wako kwenye mchakato wa kumtafuta mshauri wa fedha ili kufahamu kiasi kitakachotumika kujenga mradi huo. Alisema reli hiyo yenye urefu wa kilomita 1,000 pia itakuwa ya kiwango cha kimataifa (standard gauge) na kwamba kukamilika kwake kutarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka bandari ya Mtwara kwenda nchi jirani za Zambia na Malawi. Akizungumzia uondoaji nyumba katika maeneo ya hifadhi ya reli nchini ambao kwa baadhi ya maeneo umeibua maswali miongoni mwa waliowekewa alama, alisema kuwa pamoja na sheria kueleza kuwa eneo la hifadhi ni mita 15 kwa maeneo ya mijini na 30 kwa maeneo ya vijijini, lakini kwa maeneo ya stesheni ya treni sheria inasema ni kati ya mita 75 na 100. Moshi alisema hiyo ni kwa sababu kuna njia nyingi za kupishania na kushushia na kwamba maeneo ya makutano ya barabara na reli ni mita 100 kila upande ili kumwezesha dereva kuona kwa urahisi kama kuna gari linakaribia. Hivi karibuni baadhi ya wakazi wa Kichangani mkoani Morogoro walilalamikia kutakiwa kubomoa nyumba zao ndani ya siku 30, wakisema kuwa sheria inaeleza eneo la hifadhi ya reli kwa maeneo ya mjini ni mita 15, hivyo hawaafiki hatua iliyochukuliwa dhidi yao. “Mbona sheria hapa imeeleza wazi kuwa ni mita 15 mjini, wao wanatutaka vipi kuvunja nyumba zetu, kwahiyo wao na sheria ni kipi kinachosema ukweli?” alisema mmoja wa wananchi hao. ### Response: KITAIFA ### End
RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi ameshukuru mchango wa Tanzania kwenye udumishaji wa amani ya nchi hiyo na ushirikiano inayoendelea kuutoa katika nyanja mbalimbali.Aidha Rais huyo ameomba nchi yake kuingia kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Rais Tshisekedi alisema hayo jana kwenye dhifa iliyoandaliwa na Rais John Magufuli Ikulu, Dar es Salaam ambapo Rais Tshisekedi alisema Tanzania kupitia wanajeshi wake wamedumisha amani DRC na wanasiasa wameendelea kuishauri DRC mambo mbalimbali, hatua iliyomsukuma kuja nchini kujifunza mengi zaidi.Alisema kutokana na nchi hiyo kupiga hatua katika ujenzi wa demokrasia kuna umuhimu mkubwa wa kuruhusiwa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili iweze kuchangia katika ujenzi wa uchumi wa jumuiya hiyo.Rais huyo ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku mbili, alisema, kupitia ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokea nchini hadi Rwanda utakuwa msaada mkubwa zaidi kwa nchi ya DRC huku akisisitiza zaidi ujenzi wa miundombinu zaidi ya barabara.Alisema,“ninashukuru sana mchango wa Tanzania katika kutuwezesha DRC kwa mara ya kwanza kwa miaka 59 tangu DRC ipate Uhuru mwaka 1960. Mnamo Januari 24, mwaka huu ndio tumekabidhiana madaraka kidemokrasia, Tanzania ina mchango mkubwa kwenye mengi kuhusiana na maendeleo ya DRC.”Kwa upande wake Rais Magufuli alisema ushirikiano wa Tanzania na DRC ni zaidi ya kisiasa bali hata uchumi na masuala mbalimbali ya kijamii huku akimsihi Rais huyo ambaye jana alisherehekea miaka 56 ya kuzaliwa kwake kuendeleza uhusiano mkubwa zaidi hasa katika nyanja za uchumi.Alisema,” kwanza ninawapongeza kwa kuachiana madaraka kwa amani na hapa nampongeza pia Rais Joseph Kabila aliyemaliza muda wake kwa kuachia madaraka, lakini nyie na sisi tunachangia Ziwa Tanganyika na mengineo ya kijamii hata burudani hapa tunaye Christian Bella mwanamuziki wa DRC na wengineo wengi.”
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi ameshukuru mchango wa Tanzania kwenye udumishaji wa amani ya nchi hiyo na ushirikiano inayoendelea kuutoa katika nyanja mbalimbali.Aidha Rais huyo ameomba nchi yake kuingia kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Rais Tshisekedi alisema hayo jana kwenye dhifa iliyoandaliwa na Rais John Magufuli Ikulu, Dar es Salaam ambapo Rais Tshisekedi alisema Tanzania kupitia wanajeshi wake wamedumisha amani DRC na wanasiasa wameendelea kuishauri DRC mambo mbalimbali, hatua iliyomsukuma kuja nchini kujifunza mengi zaidi.Alisema kutokana na nchi hiyo kupiga hatua katika ujenzi wa demokrasia kuna umuhimu mkubwa wa kuruhusiwa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ili iweze kuchangia katika ujenzi wa uchumi wa jumuiya hiyo.Rais huyo ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku mbili, alisema, kupitia ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokea nchini hadi Rwanda utakuwa msaada mkubwa zaidi kwa nchi ya DRC huku akisisitiza zaidi ujenzi wa miundombinu zaidi ya barabara.Alisema,“ninashukuru sana mchango wa Tanzania katika kutuwezesha DRC kwa mara ya kwanza kwa miaka 59 tangu DRC ipate Uhuru mwaka 1960. Mnamo Januari 24, mwaka huu ndio tumekabidhiana madaraka kidemokrasia, Tanzania ina mchango mkubwa kwenye mengi kuhusiana na maendeleo ya DRC.”Kwa upande wake Rais Magufuli alisema ushirikiano wa Tanzania na DRC ni zaidi ya kisiasa bali hata uchumi na masuala mbalimbali ya kijamii huku akimsihi Rais huyo ambaye jana alisherehekea miaka 56 ya kuzaliwa kwake kuendeleza uhusiano mkubwa zaidi hasa katika nyanja za uchumi.Alisema,” kwanza ninawapongeza kwa kuachiana madaraka kwa amani na hapa nampongeza pia Rais Joseph Kabila aliyemaliza muda wake kwa kuachia madaraka, lakini nyie na sisi tunachangia Ziwa Tanganyika na mengineo ya kijamii hata burudani hapa tunaye Christian Bella mwanamuziki wa DRC na wengineo wengi.” ### Response: KITAIFA ### End
KOCHA mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema, kilichowafanya wapoteze mchezo wao mbele ya Lipuli FC ni wapinzani wao hao kuwazidi uwezo hivyo mbinu zao zote walizozitumia hazikufanya kazi.Yanga walifungwa mabao 2-0 na Lipuli katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam, FA, uliopigwa katika Uwanja wa Samora, Iringa juzi. Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo, kocha huyo raia wa DR Congo, alisema kuwa hakutarajia kama atakutana na upinzani mkali kama ule licha ya kuwajua Lipuli ni moja kati ya timu ngumu nchini.Alisema kuwa mbinu alizoingia nazo aliamini kabisa zitawapa ushindi lakini kadiri muda ulivyozidi kusogea akaona wanapata wakati mgumu na kumlazimu kuzibadili. Alifafanua kuwa alifanya mabadiliko ya mfumo kwa kuwatoa Ibrahim Ajib, Haji Mwinyi na Mohammed Issa ‘Banka’ na kuwaingiza Amis Tambwe, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ na Juma Abdul lakini bado mambo yakawa magumu.“Niliona Lipuli ni wagumu kufungika ndio maana nilimuingiza Tambwe, Juma na Ninja nikamtoa Ajib, Mwinyi na Banka ili kufanya tupandishe mashambulizi na kushambulia kwa kasi, tutumie mipira ya krosi kupata mabao lakini ikashindikana,” alisema Zahera. Kwa upande wa Kocha wa Lipuli, Seleman Matola alisema kuwa kilichowasaidia kupata ushindi katika mchezo huo ni kuzisoma mapema mbinu za Yanga.Alisema kuwa walifanikiwa kuwadhibiti kila upande na kuutawala mchezo na kama wachezaji wake wangeongeza umakini wangeweza kupata mabao zaidi ya mawili lakini akawashukuru kwa kazi nzuri waliyoifanya kuipeleka timu fainali kwa mara ya kwanza. “Hii ni zawadi ya mashabiki wa Lipuli pamoja na watu wa Iringa kwa ujumla, tulitengeneza nafasi nyingi za kupata mabao lakini tukafanikiwa kufunga mawili, kwakuwa tumeenda fainali hayo tuliyoyapata yanatosha.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KOCHA mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema, kilichowafanya wapoteze mchezo wao mbele ya Lipuli FC ni wapinzani wao hao kuwazidi uwezo hivyo mbinu zao zote walizozitumia hazikufanya kazi.Yanga walifungwa mabao 2-0 na Lipuli katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam, FA, uliopigwa katika Uwanja wa Samora, Iringa juzi. Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo, kocha huyo raia wa DR Congo, alisema kuwa hakutarajia kama atakutana na upinzani mkali kama ule licha ya kuwajua Lipuli ni moja kati ya timu ngumu nchini.Alisema kuwa mbinu alizoingia nazo aliamini kabisa zitawapa ushindi lakini kadiri muda ulivyozidi kusogea akaona wanapata wakati mgumu na kumlazimu kuzibadili. Alifafanua kuwa alifanya mabadiliko ya mfumo kwa kuwatoa Ibrahim Ajib, Haji Mwinyi na Mohammed Issa ‘Banka’ na kuwaingiza Amis Tambwe, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ na Juma Abdul lakini bado mambo yakawa magumu.“Niliona Lipuli ni wagumu kufungika ndio maana nilimuingiza Tambwe, Juma na Ninja nikamtoa Ajib, Mwinyi na Banka ili kufanya tupandishe mashambulizi na kushambulia kwa kasi, tutumie mipira ya krosi kupata mabao lakini ikashindikana,” alisema Zahera. Kwa upande wa Kocha wa Lipuli, Seleman Matola alisema kuwa kilichowasaidia kupata ushindi katika mchezo huo ni kuzisoma mapema mbinu za Yanga.Alisema kuwa walifanikiwa kuwadhibiti kila upande na kuutawala mchezo na kama wachezaji wake wangeongeza umakini wangeweza kupata mabao zaidi ya mawili lakini akawashukuru kwa kazi nzuri waliyoifanya kuipeleka timu fainali kwa mara ya kwanza. “Hii ni zawadi ya mashabiki wa Lipuli pamoja na watu wa Iringa kwa ujumla, tulitengeneza nafasi nyingi za kupata mabao lakini tukafanikiwa kufunga mawili, kwakuwa tumeenda fainali hayo tuliyoyapata yanatosha. ### Response: MICHEZO ### End
Na RAMADHAN HASSAN- DODOMA WATU wawili wamefariki dunia kwa kuumwa ugonjwa wa kipindupindu huku watu wanane wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa Dodoma kutokana na kuugua ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christina Mndeme, alisema watu hao walifariki wiki iliyopita. “Tunatakiwa tuzingatie kanuni za usafi kwani wilaya yetu imekumbwa na tatizo la ugonjwa wa kipindupindu mpaka sasa wameshafariki watu wawili huku wengine wanane wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakiugua ugonjwa huo,” alisema. Kutokana na hali hiyo, Mkuu huyo wa wilaya alisema ameanzisha kampeni maalumu iliyopewa jina la ondoa kipindupindu lengo likiwa ni kuutokomeza ugonjwa huo pamoja na kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kujikinga. “Niwaombe wananchi wahakikishe chakula tunachokula kinakuwa safi, kuacha kutupa taka ovyo, mji unakuwa safi na watu wote wanaouza chakula wahakikishe wanakiuza katika mazingira ambayo ni safi pamoja na kunawa mikono kabla ya kula na wakati wa kuandaa chakula,” alisema. Mndeme aliwataka maofisa afya wa kata kutoa elimu kwa wananchi kuzingatia kanuni za usafi ili kujiepusha kuupata ugonjwa huo. Pia aliwataka kutoa taarifa sehemu husika pale wanapoona kuna mgonjwa ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa na kuliweka eneo husika katika mazingira ambayo hayatakuwa rahisi kuwaambukiza wengine.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na RAMADHAN HASSAN- DODOMA WATU wawili wamefariki dunia kwa kuumwa ugonjwa wa kipindupindu huku watu wanane wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa Dodoma kutokana na kuugua ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christina Mndeme, alisema watu hao walifariki wiki iliyopita. “Tunatakiwa tuzingatie kanuni za usafi kwani wilaya yetu imekumbwa na tatizo la ugonjwa wa kipindupindu mpaka sasa wameshafariki watu wawili huku wengine wanane wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakiugua ugonjwa huo,” alisema. Kutokana na hali hiyo, Mkuu huyo wa wilaya alisema ameanzisha kampeni maalumu iliyopewa jina la ondoa kipindupindu lengo likiwa ni kuutokomeza ugonjwa huo pamoja na kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kujikinga. “Niwaombe wananchi wahakikishe chakula tunachokula kinakuwa safi, kuacha kutupa taka ovyo, mji unakuwa safi na watu wote wanaouza chakula wahakikishe wanakiuza katika mazingira ambayo ni safi pamoja na kunawa mikono kabla ya kula na wakati wa kuandaa chakula,” alisema. Mndeme aliwataka maofisa afya wa kata kutoa elimu kwa wananchi kuzingatia kanuni za usafi ili kujiepusha kuupata ugonjwa huo. Pia aliwataka kutoa taarifa sehemu husika pale wanapoona kuna mgonjwa ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa na kuliweka eneo husika katika mazingira ambayo hayatakuwa rahisi kuwaambukiza wengine. ### Response: KITAIFA ### End
Na LEONARD MANG’OHA -DAR ES SALAAM WATU wenye uzito mkubwa, watumiaji wa dawa kwa muda mrefu, wazee wenye umri wa miaka 50 na wagonjwa wa selimundu, wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na tatizo la kusagika mifupa ya nyonga na magoti. Kauli hiyo ilitolewa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Mifupa katika Hospitali ya Aga Khan, Dk. Harry Matoyo, katika mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, uliohusisha uongozi wa hospitali hiyo na washirika wao kutoka nchini India. Akizungumza katika mkutano huo, unaolenga kuwajengea uwezo madaktari wa hospitali mbalimbali nchini, Matoyo alisema kawaida tatizo hilo huwakabili zaidi wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 50, lakini pia huweza kuwakabili vijana, hususan wenye uzito mkubwa. “Uzito unapokuwa mkubwa sasa huathiri zaidi magoti kuliko hata nyonga, kwa sababu uzito unapokuwa mkubwa magoti hubeba mzigo mkubwa na kufanya mifupo kusogeleana kutokana na kupungua kwa ute uliopo kwenye ‘joint’ (maungo) ya goti na kusababisha mfupa laini kusagika na hatimaye mifupa kugusana na kuanza kusagika na kusababisha maumivu. “Hii husababisha wagonjwa wengi huja wakiwa na maumivu katika maeneo mbalimbali na hata kushindwa kutembea vizuri,” alisema Matoyo. Mtendaji Mkuu wa Hospitali hiyo, Siwaso Konteh, alisema wameamua kushirikiana na wadau wao hao kutoka India kutokana na kuwa na uwezo mkubwa katika kutibu kwa kutumia teknolojia. “Wamekuja kuona nini tunafanya ambapo watasaidia kuwapa ujuzi, hasa wa kiteknolojia madaktari wetu kwa sababu watakuwa wakifanya nao kazi ya kutoa huduma ya upasuaji pamoja. Haitakuwa faida kwa Aga Khan peke yetu, bali kwa Tanzania nzima, ikiwamo Muhimbili, ambao tumekuwa tukishirikiana nao kwa muda mrefu,” alisema Koteh. Muuguzi Mkuu wa hospitali hiyo, Lucy Hwai, alisema ushirikiano huo umelenga kuboresha uhusiano baina yao, utakaosaidia kuongeza ufanisi katika maeneo mbalimbali. “Wametoa kiasi cha dola za Marekani milioni 80 kufadhili ujenzi wa jengo jipya hospitalini linaloendelea kujengwa, litakalokuwa na uwezo kuchukua vitanda 170 na kuongezeka kwa jengo hilo ni wazi kuwa wagonjwa wataongezeka na tutahitaji madaktari wengi kutoa huduma kwa wagonjwa hao. “…katika siku hizio chache watakazokuwa hapa, hawa madaktari watatoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa ambao wamepatikana baada ya kuwafanyia vipimo, naamini hadi mwaka ujao wagonjwa wengi watanufaika kwa kutibiwa hapa baada ya jengo hili kukamilika,” alisema Hwai. Naye Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Prince Ally Khan, Sanjay Aok, alisema ushirikiano huo utapunguza adha kwa wananchi kupata matibabu kutokana na wengi wao kuwa masikini, hivyo kushindwa kumudu gharama za kwenda kutibiwa nje ya nchi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na LEONARD MANG’OHA -DAR ES SALAAM WATU wenye uzito mkubwa, watumiaji wa dawa kwa muda mrefu, wazee wenye umri wa miaka 50 na wagonjwa wa selimundu, wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na tatizo la kusagika mifupa ya nyonga na magoti. Kauli hiyo ilitolewa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Mifupa katika Hospitali ya Aga Khan, Dk. Harry Matoyo, katika mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, uliohusisha uongozi wa hospitali hiyo na washirika wao kutoka nchini India. Akizungumza katika mkutano huo, unaolenga kuwajengea uwezo madaktari wa hospitali mbalimbali nchini, Matoyo alisema kawaida tatizo hilo huwakabili zaidi wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 50, lakini pia huweza kuwakabili vijana, hususan wenye uzito mkubwa. “Uzito unapokuwa mkubwa sasa huathiri zaidi magoti kuliko hata nyonga, kwa sababu uzito unapokuwa mkubwa magoti hubeba mzigo mkubwa na kufanya mifupo kusogeleana kutokana na kupungua kwa ute uliopo kwenye ‘joint’ (maungo) ya goti na kusababisha mfupa laini kusagika na hatimaye mifupa kugusana na kuanza kusagika na kusababisha maumivu. “Hii husababisha wagonjwa wengi huja wakiwa na maumivu katika maeneo mbalimbali na hata kushindwa kutembea vizuri,” alisema Matoyo. Mtendaji Mkuu wa Hospitali hiyo, Siwaso Konteh, alisema wameamua kushirikiana na wadau wao hao kutoka India kutokana na kuwa na uwezo mkubwa katika kutibu kwa kutumia teknolojia. “Wamekuja kuona nini tunafanya ambapo watasaidia kuwapa ujuzi, hasa wa kiteknolojia madaktari wetu kwa sababu watakuwa wakifanya nao kazi ya kutoa huduma ya upasuaji pamoja. Haitakuwa faida kwa Aga Khan peke yetu, bali kwa Tanzania nzima, ikiwamo Muhimbili, ambao tumekuwa tukishirikiana nao kwa muda mrefu,” alisema Koteh. Muuguzi Mkuu wa hospitali hiyo, Lucy Hwai, alisema ushirikiano huo umelenga kuboresha uhusiano baina yao, utakaosaidia kuongeza ufanisi katika maeneo mbalimbali. “Wametoa kiasi cha dola za Marekani milioni 80 kufadhili ujenzi wa jengo jipya hospitalini linaloendelea kujengwa, litakalokuwa na uwezo kuchukua vitanda 170 na kuongezeka kwa jengo hilo ni wazi kuwa wagonjwa wataongezeka na tutahitaji madaktari wengi kutoa huduma kwa wagonjwa hao. “…katika siku hizio chache watakazokuwa hapa, hawa madaktari watatoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa ambao wamepatikana baada ya kuwafanyia vipimo, naamini hadi mwaka ujao wagonjwa wengi watanufaika kwa kutibiwa hapa baada ya jengo hili kukamilika,” alisema Hwai. Naye Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Prince Ally Khan, Sanjay Aok, alisema ushirikiano huo utapunguza adha kwa wananchi kupata matibabu kutokana na wengi wao kuwa masikini, hivyo kushindwa kumudu gharama za kwenda kutibiwa nje ya nchi. ### Response: KITAIFA ### End
MWANDISHI WETU, Mbeya WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista mhagama amewataka waajiri wote nchini kutonyanyasa wanawake katika masuala ya kazi ili kuwa na usawa maeneo ya kazi. Alitoa kauli hiyo  juzi, alipokuwa akifungua semina ya siku moja ya viongozi wanawake kutoka vyama mbalimbali vya wafanyakazi nchini walipokutana kujadili masuala yanayowahusu wawapo kazini ikiwemo; haki na wajibu wao wawapo kazini. Waziri alieleza kuwa waajiri hawana budi kubadili mitazamo hasi iliyopo katika jamii ya kuona wanawake ni viumbe dhaifu na wenye majukumu mengi yanayoweza kukwamishi jitihada zao wawapo kazini badala yake wawaone kuwa ni viungo muhimu katika kuchangia uzalishaji na maendeleo nchini. “Mchango wa wanawake ni mkubwa endapo utatambuliwa na kuthamini katika nyanja zote za ukuaji wa uchumi, hivyo ni vyema maeneo ya kazi waajiri watimize wajibu wao kwa kundi hili kwa kuzinigatia sheria zilizopo na wasinyanyaswe na waendelee kuheshimiwa na kupewa haki na stahiki zao kama wafanyakazi wengine.”alisisitiza Waziri Mhagama. Waziri alieleza jitihada za serikali ni kuhakikisha inasimamia vyema sheria na taratibu za kazi nchini kwa kuliangalia kundi hili ili kuwa na waajiriwa wenye kuzingatia usawa wa kijinsia. “Ninakemea vitendo vya unyanyasaji wa haki za wanawake kazini ikiwemo kukoseshwa haki zao na vyama hivi vya wafanyakazi viendelee kuleta tija katika kukemea matendo hayo,”alisistiza Waziri Mhagama. Aidha Waziri aliwataka wanawake kuendelea kuvitumia vyama vya wafanyakazi kama jukwaa maalum la kueleza na kutatua changamoto zao. Aliongezea kuwa, pamoja na changamoto wanazokutana nazo wanawake hawana budi kujiendeleza kielimu ili kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yaliyopo katika masuala ya kazi. “Wanawake umefika wakati kuendelea kujiendeleza katika eneo la elimu ili kuwa na vigezo mahususi vitakavyo wapa nafasi nzuri katika maeneo yenu ya kazi.”alisisema Waziri Mhagma. Naye rais wa Shirikizo la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya alimpongeza waziri pamoja na changamoto zilizopo katika kufikia haki sawa kwa wote , alieelza umuhimu wa kuendelea kuliinua kundi hili ili kuwasaidia wanawake wa Kitanzania katika kupata haki na usawa kwenye maeneo yao ya kazi. “Wanawake wana uwezo mkubwa hivyo tuendelee kujali na kutunza nafasi zao wawapo kazini ili kuwezesha Taifa kuendelea kuwa na maendeleleo,” alisisitiza Nyamhokya.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MWANDISHI WETU, Mbeya WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista mhagama amewataka waajiri wote nchini kutonyanyasa wanawake katika masuala ya kazi ili kuwa na usawa maeneo ya kazi. Alitoa kauli hiyo  juzi, alipokuwa akifungua semina ya siku moja ya viongozi wanawake kutoka vyama mbalimbali vya wafanyakazi nchini walipokutana kujadili masuala yanayowahusu wawapo kazini ikiwemo; haki na wajibu wao wawapo kazini. Waziri alieleza kuwa waajiri hawana budi kubadili mitazamo hasi iliyopo katika jamii ya kuona wanawake ni viumbe dhaifu na wenye majukumu mengi yanayoweza kukwamishi jitihada zao wawapo kazini badala yake wawaone kuwa ni viungo muhimu katika kuchangia uzalishaji na maendeleo nchini. “Mchango wa wanawake ni mkubwa endapo utatambuliwa na kuthamini katika nyanja zote za ukuaji wa uchumi, hivyo ni vyema maeneo ya kazi waajiri watimize wajibu wao kwa kundi hili kwa kuzinigatia sheria zilizopo na wasinyanyaswe na waendelee kuheshimiwa na kupewa haki na stahiki zao kama wafanyakazi wengine.”alisisitiza Waziri Mhagama. Waziri alieleza jitihada za serikali ni kuhakikisha inasimamia vyema sheria na taratibu za kazi nchini kwa kuliangalia kundi hili ili kuwa na waajiriwa wenye kuzingatia usawa wa kijinsia. “Ninakemea vitendo vya unyanyasaji wa haki za wanawake kazini ikiwemo kukoseshwa haki zao na vyama hivi vya wafanyakazi viendelee kuleta tija katika kukemea matendo hayo,”alisistiza Waziri Mhagama. Aidha Waziri aliwataka wanawake kuendelea kuvitumia vyama vya wafanyakazi kama jukwaa maalum la kueleza na kutatua changamoto zao. Aliongezea kuwa, pamoja na changamoto wanazokutana nazo wanawake hawana budi kujiendeleza kielimu ili kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yaliyopo katika masuala ya kazi. “Wanawake umefika wakati kuendelea kujiendeleza katika eneo la elimu ili kuwa na vigezo mahususi vitakavyo wapa nafasi nzuri katika maeneo yenu ya kazi.”alisisema Waziri Mhagma. Naye rais wa Shirikizo la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Tumaini Nyamhokya alimpongeza waziri pamoja na changamoto zilizopo katika kufikia haki sawa kwa wote , alieelza umuhimu wa kuendelea kuliinua kundi hili ili kuwasaidia wanawake wa Kitanzania katika kupata haki na usawa kwenye maeneo yao ya kazi. “Wanawake wana uwezo mkubwa hivyo tuendelee kujali na kutunza nafasi zao wawapo kazini ili kuwezesha Taifa kuendelea kuwa na maendeleleo,” alisisitiza Nyamhokya. ### Response: KITAIFA ### End
BARAZA la Mawaziri limeridhia utozwaji wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa kiwango cha asilimia sifuri kwenye umeme unaouzwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa Shirika la Umeme la Zanzibar (ZECO).Aidha Baraza hilo limefuta malimbikizo ya deni la kodi ya VAT lililofikia Sh bilioni 22.9 kwa Tanesco kwenye umeme uliouzwa ZECO.Baraza la Mawaziri lilifanya uamuzi huo lilipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam, katika kikao kilichoongozwa na Rais John Magufuli na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mawaziri.Akizungumza baada ya kikao hicho, Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema baada ya kufanya uamuzi huo Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango atawasilisha marekebisho madogo ya sheria ya VAT, sura ya 148 kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2019 ili umeme unaouzwa Tanzania Zanzibar utozwe VAT kwa kiwango cha asilimia sifuri.“Kwa hiyo madeni yatakayokuwa yanadaiwa Zanzibar ni yale madeni ya kulipia umeme, umeme wametumia kiasi fulani wanalipa kama wanavyolipa wa maeneo mengine kwa mfano wanavyolipa Dar es Salaam.“Suala la kutoza VAT sasa halipo, na katika hilo kwa sababu kulikuwa na deni ambalo lilikuwa limefika shilingi bilioni 22.9, sisi Baraza la Mawaziri tutapeleka mapendekezo Bungeni kwamba lisamehewe kwa sababu lipo ndani ya bajeti ya mwaka huu wa 2018/19, kwa hivyo litapunguza mapato yatakayotakiwa kukusanywa na serikali,” alisema Rais Magufuli.Dk Shein alisema pamoja kuridhia utozaji wa VAT kwa kiwango cha asilimia sifuri, Baraza la Mawaziri pia limekubaliana kuwa Makamu wa Rais, Samia ataitisha vikao vya kuzungumzia masuala ya Muungano kila mara kunapokuwa na hoja ya masuala ya Muungano ili kujadili na kutoa uamuzi.“Tungependa sana mambo haya yafanyike vizuri kwa sababu pande mbili za Muungano zinatuhusu sote, hili ni muhimu kwa sababu mambo yakikusanyika mengi wananchi wanahisi hatusaidii jitihada zao, kwa hivyo tumeridhia kuwa masuala ya Muungano ambayo yapo chini ya Makamu wa Rais, wakae pamoja wayajadili ili yapate uamuzi wa pande zote mbili,” alisema Dk Shein.Wakati huo huo, Rais Magufuli amemuapisha Anjellah Kairuki kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji.Kairuki ameapishwa kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la Mawaziri, kufuatia mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Magufuli Januari 8, mwaka huu ambapo Kairuki aliyekuwa Waziri wa Madini aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BARAZA la Mawaziri limeridhia utozwaji wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa kiwango cha asilimia sifuri kwenye umeme unaouzwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa Shirika la Umeme la Zanzibar (ZECO).Aidha Baraza hilo limefuta malimbikizo ya deni la kodi ya VAT lililofikia Sh bilioni 22.9 kwa Tanesco kwenye umeme uliouzwa ZECO.Baraza la Mawaziri lilifanya uamuzi huo lilipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam, katika kikao kilichoongozwa na Rais John Magufuli na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mawaziri.Akizungumza baada ya kikao hicho, Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema baada ya kufanya uamuzi huo Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango atawasilisha marekebisho madogo ya sheria ya VAT, sura ya 148 kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2019 ili umeme unaouzwa Tanzania Zanzibar utozwe VAT kwa kiwango cha asilimia sifuri.“Kwa hiyo madeni yatakayokuwa yanadaiwa Zanzibar ni yale madeni ya kulipia umeme, umeme wametumia kiasi fulani wanalipa kama wanavyolipa wa maeneo mengine kwa mfano wanavyolipa Dar es Salaam.“Suala la kutoza VAT sasa halipo, na katika hilo kwa sababu kulikuwa na deni ambalo lilikuwa limefika shilingi bilioni 22.9, sisi Baraza la Mawaziri tutapeleka mapendekezo Bungeni kwamba lisamehewe kwa sababu lipo ndani ya bajeti ya mwaka huu wa 2018/19, kwa hivyo litapunguza mapato yatakayotakiwa kukusanywa na serikali,” alisema Rais Magufuli.Dk Shein alisema pamoja kuridhia utozaji wa VAT kwa kiwango cha asilimia sifuri, Baraza la Mawaziri pia limekubaliana kuwa Makamu wa Rais, Samia ataitisha vikao vya kuzungumzia masuala ya Muungano kila mara kunapokuwa na hoja ya masuala ya Muungano ili kujadili na kutoa uamuzi.“Tungependa sana mambo haya yafanyike vizuri kwa sababu pande mbili za Muungano zinatuhusu sote, hili ni muhimu kwa sababu mambo yakikusanyika mengi wananchi wanahisi hatusaidii jitihada zao, kwa hivyo tumeridhia kuwa masuala ya Muungano ambayo yapo chini ya Makamu wa Rais, wakae pamoja wayajadili ili yapate uamuzi wa pande zote mbili,” alisema Dk Shein.Wakati huo huo, Rais Magufuli amemuapisha Anjellah Kairuki kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji.Kairuki ameapishwa kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la Mawaziri, kufuatia mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Magufuli Januari 8, mwaka huu ambapo Kairuki aliyekuwa Waziri wa Madini aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji. ### Response: UCHUMI ### End
['Alexis Sanchez anakataa kuondoka Manchester United msimu huu, pamoja na kwamba kocha Ole Gunnar Solskjaer kutishia kumfanya kuwa mchezaji wa akiba ikiwa atasalia na timu hiyo. Roma inatafuta wachezaji wengine. (Sun)', 'Hatahivyo, timu ya Serie A, AC Milan, Juventus na Napoli bado wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Chile, 30. (Mail)', 'Real Madrid imekataa ombi la Paris St-Germain kumjumuisha Vinicius Junior,19, katika ofa ya kumnyakua mshambuliaji wa Brazil Neymar,27. (AS)', 'Mbali na Vinicius, PSG wanapendelea Real wamjumuishe kiungo wa croatia Luka Modric,33 na kiungo wa Brazil Casemiro,27, kumpata Neymar. (Marca)', 'Neymar alikuwa mazoezini mwenyewe siku ya Jumatano, ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapouzwa.(Esporte Interactivo, via Mundo Deportivo - in Spanish)', 'Kiungo mshambuliaji wa Brazil Philippe Coutinho, 27, anaweza bado kujiunga na PSG ikiwa hatakuwa sehemu ya ofa ya Neymar. (Goal)', 'Beki wa kati wa Manchester United Victor Lindelof, 25, anajiandaa kusaini mkataba mpya kwa ongezeko la mshahara mbali na pauni 75,000 alizokuwa akipata kwa wiki. (Aftonbladet - in Swedish)', 'Bayern Munich huenda wakafufua nia yao ya kumnasa winga wa Manchester City, Leroy Sane, ingawa mchezaji huyo, 23, ana jeraha la mguu, litakalo mfanya kuwa nje ya uwanja kwa miezi saba. (Bild - in German)', 'Wachezaji wa EPL wanapumzika vya kutosha?', 'Tetesi za soka Ulaya Jumatano 14.08.2019', 'Mshambuliaji wa Marseille na Italia Mario Balotelli,29, anajiandaa kutia saini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Brescia baada ya kukataa ofa ya Flamengo ya Brazil. (Guardian)', 'Flamengo bado wana matumaini ya kubadili msimamo wa Balotelli, baada ya kukubali ombi lake la kumsajili kaka yake Enock kucheza katika moja kati ya timu zao nyingine (Gazzetta dello Sport - in Italian)', 'Winga wa klabu ya Everton Alex Iwobi, 23, amesema aliondoka Arsenal katika siku ya mwisho ya usajili kuthibitisha kuwa yeye si mchezaji anayechipukia tena. (Mirror)', 'Tottenham itazungumza na Christian Eriksen, 27,tena kuhusu mkataba mpya kabla kufungwa kwa dirisha la usajili barani Ulaya, tarehe 2 mwezi Septemba, baada ya Real Madrid na Juventus kuonesha nia ya kumnasa kiungo huyo.(Independent)', 'Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool Daniel Sturridge, anaonekana kujiandaa kujiunga na timu ya Trabzonspor ya Uturuki kwa dili la pauni milioni 2.8 kwa kila msimu.(Goal)', "Monaco imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwasajili wachezaji kiungo Blaise Matuidi,32, na beki wa kati Daniele Rugani,25, kutoka Juventus. (Gazzetta dello Sport - in Italian)"]
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- ['Alexis Sanchez anakataa kuondoka Manchester United msimu huu, pamoja na kwamba kocha Ole Gunnar Solskjaer kutishia kumfanya kuwa mchezaji wa akiba ikiwa atasalia na timu hiyo. Roma inatafuta wachezaji wengine. (Sun)', 'Hatahivyo, timu ya Serie A, AC Milan, Juventus na Napoli bado wana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Chile, 30. (Mail)', 'Real Madrid imekataa ombi la Paris St-Germain kumjumuisha Vinicius Junior,19, katika ofa ya kumnyakua mshambuliaji wa Brazil Neymar,27. (AS)', 'Mbali na Vinicius, PSG wanapendelea Real wamjumuishe kiungo wa croatia Luka Modric,33 na kiungo wa Brazil Casemiro,27, kumpata Neymar. (Marca)', 'Neymar alikuwa mazoezini mwenyewe siku ya Jumatano, ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapouzwa.(Esporte Interactivo, via Mundo Deportivo - in Spanish)', 'Kiungo mshambuliaji wa Brazil Philippe Coutinho, 27, anaweza bado kujiunga na PSG ikiwa hatakuwa sehemu ya ofa ya Neymar. (Goal)', 'Beki wa kati wa Manchester United Victor Lindelof, 25, anajiandaa kusaini mkataba mpya kwa ongezeko la mshahara mbali na pauni 75,000 alizokuwa akipata kwa wiki. (Aftonbladet - in Swedish)', 'Bayern Munich huenda wakafufua nia yao ya kumnasa winga wa Manchester City, Leroy Sane, ingawa mchezaji huyo, 23, ana jeraha la mguu, litakalo mfanya kuwa nje ya uwanja kwa miezi saba. (Bild - in German)', 'Wachezaji wa EPL wanapumzika vya kutosha?', 'Tetesi za soka Ulaya Jumatano 14.08.2019', 'Mshambuliaji wa Marseille na Italia Mario Balotelli,29, anajiandaa kutia saini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Brescia baada ya kukataa ofa ya Flamengo ya Brazil. (Guardian)', 'Flamengo bado wana matumaini ya kubadili msimamo wa Balotelli, baada ya kukubali ombi lake la kumsajili kaka yake Enock kucheza katika moja kati ya timu zao nyingine (Gazzetta dello Sport - in Italian)', 'Winga wa klabu ya Everton Alex Iwobi, 23, amesema aliondoka Arsenal katika siku ya mwisho ya usajili kuthibitisha kuwa yeye si mchezaji anayechipukia tena. (Mirror)', 'Tottenham itazungumza na Christian Eriksen, 27,tena kuhusu mkataba mpya kabla kufungwa kwa dirisha la usajili barani Ulaya, tarehe 2 mwezi Septemba, baada ya Real Madrid na Juventus kuonesha nia ya kumnasa kiungo huyo.(Independent)', 'Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool Daniel Sturridge, anaonekana kujiandaa kujiunga na timu ya Trabzonspor ya Uturuki kwa dili la pauni milioni 2.8 kwa kila msimu.(Goal)', "Monaco imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwasajili wachezaji kiungo Blaise Matuidi,32, na beki wa kati Daniele Rugani,25, kutoka Juventus. (Gazzetta dello Sport - in Italian)"] ### Response: MICHEZO ### End
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, Simba wamefungwa bao 1-0 dhidi ya Mbao katika mchezo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza.Ni mchezo wa kwanza Simba inapoteza tangu kuanza kwa msimu huu, lakini pia rekodi yake ya kuifunga Mbao ikivunjwa. Mbao ilipata bao hilo dakika ya 26 likifungwa na Said Khamis kwa mkwaju wa penalti baada ya Pastory Athanas kuzuiwa na kipa Aishi Manula alipokuwa akijaribu kufunga.Kwa ushindi huo, Mbao unajisogeza hadi kileleni mwa msimamo wa ligi kwa pointi 10 ikifuatiwa na Yanga yenye pointi tisa, JKT tisa, Azam nane na Simba ikiwa katika nafasi ya tano kwa pointi saba. Wekundu hao wa Msimbazi walimiliki mpira kwa dakika 90 na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga, lakini walishindwa kuzitumia kutokana na ukuta uliowekwa na wapinzani.Kocha Patrick Aussems wa Simba alifanya mabadiliko kadhaa ya wachezaji akiwatoa Mohamed Ibrahim, Shiza Kichuya na kuingia Meddie Kagere na Rashid Juma lakini haikusaidia. Mbao walicheza muda wote kwa kujihami na kuwaacha wachezaji wachache kushambulia kwa kushtukiza lakini walishindwa kuzitumia baadhi ya nafasi walizokuwa wakizipata ili kuendeleza mabao.Rekodi zinaonesha tangu Mbao ipande Ligi Kuu haijawahi kuifunga Simba. Msimu wa 2016/2017 wekundu hao walivyokuwa nyumbani waliifunga bao 1-0 na kwenye Uwanja wa Kirumba walishinda 3-2. Pia, msimu wa 2017/2018 Simba ugenini ilipata sare ya mabao 2-2 na nyumbani ilishinda 5-0. Mechi nyingine zilizochezwa jana ni African Lyon iliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Singida United na Tanzania Prisons ikilazimishwa sare nyumbani ya mabao 2-2 dhidi ya Kagera Sugar.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, Simba wamefungwa bao 1-0 dhidi ya Mbao katika mchezo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza.Ni mchezo wa kwanza Simba inapoteza tangu kuanza kwa msimu huu, lakini pia rekodi yake ya kuifunga Mbao ikivunjwa. Mbao ilipata bao hilo dakika ya 26 likifungwa na Said Khamis kwa mkwaju wa penalti baada ya Pastory Athanas kuzuiwa na kipa Aishi Manula alipokuwa akijaribu kufunga.Kwa ushindi huo, Mbao unajisogeza hadi kileleni mwa msimamo wa ligi kwa pointi 10 ikifuatiwa na Yanga yenye pointi tisa, JKT tisa, Azam nane na Simba ikiwa katika nafasi ya tano kwa pointi saba. Wekundu hao wa Msimbazi walimiliki mpira kwa dakika 90 na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga, lakini walishindwa kuzitumia kutokana na ukuta uliowekwa na wapinzani.Kocha Patrick Aussems wa Simba alifanya mabadiliko kadhaa ya wachezaji akiwatoa Mohamed Ibrahim, Shiza Kichuya na kuingia Meddie Kagere na Rashid Juma lakini haikusaidia. Mbao walicheza muda wote kwa kujihami na kuwaacha wachezaji wachache kushambulia kwa kushtukiza lakini walishindwa kuzitumia baadhi ya nafasi walizokuwa wakizipata ili kuendeleza mabao.Rekodi zinaonesha tangu Mbao ipande Ligi Kuu haijawahi kuifunga Simba. Msimu wa 2016/2017 wekundu hao walivyokuwa nyumbani waliifunga bao 1-0 na kwenye Uwanja wa Kirumba walishinda 3-2. Pia, msimu wa 2017/2018 Simba ugenini ilipata sare ya mabao 2-2 na nyumbani ilishinda 5-0. Mechi nyingine zilizochezwa jana ni African Lyon iliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Singida United na Tanzania Prisons ikilazimishwa sare nyumbani ya mabao 2-2 dhidi ya Kagera Sugar. ### Response: MICHEZO ### End
NA GLORY MLAY MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha, ameibuka na kudai kwa sasa ameamua kutulia katika ndoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina. Baby yupo mbioni kuachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Corazon’ unaofanyiwa video yake nchini Dubai kwenye makazi yake mengine. “Kwa sasa ninaishi nchi mbili, nipo Tanzania na pia nina makazi yangu mapya huko Dubai, nimeolewa na Mwarabu na nimetulia kwenye ndoa yangu najiachia kwangu, ahaaaa!” alijibu kisha akamalizia kwa kicheko. Akizungumzia wimbo huo, Madaha alisema ameurekodia katika studio za C9 zinazomilikiwa na prodyuza mkali katika midundo nchini, Christopher Kanjenje (C9).
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA GLORY MLAY MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha, ameibuka na kudai kwa sasa ameamua kutulia katika ndoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina. Baby yupo mbioni kuachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Corazon’ unaofanyiwa video yake nchini Dubai kwenye makazi yake mengine. “Kwa sasa ninaishi nchi mbili, nipo Tanzania na pia nina makazi yangu mapya huko Dubai, nimeolewa na Mwarabu na nimetulia kwenye ndoa yangu najiachia kwangu, ahaaaa!” alijibu kisha akamalizia kwa kicheko. Akizungumzia wimbo huo, Madaha alisema ameurekodia katika studio za C9 zinazomilikiwa na prodyuza mkali katika midundo nchini, Christopher Kanjenje (C9). ### Response: BURUDANI ### End
 RAMADHAN HASSAN – DODOMA  WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe juzi amewasha moto bungeni akihoji kwa waziri mwenzake wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi vilipo viwanja vyake alivyonunua.  Mnyukano huo ulianza mara baada ya wabunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Kusimamia na Kuendeleza Uvuvi wa Bahari Kuu wa mwaka 2020.  Lukuvi kudai kwamba Jiji la Dodoma limepima viwanja 10,000 hivyo mbunge yeyote ambaye anataka kiwanja aende Jiji au amuone yeye.  “Jiji la Dodoma wamejitahidi sana, wamepima viwanja zaidi ya 10,000 tumeuza mpaka hapa kila mtu anajua, Naibu Waziri wangu alikuwa na fomu hapa alikuwa anazunguka nazo za kuuza viwanja.  “Hapa ndani wakati nasoma bajeti ya mwaka juzi waliomba niwaongezee miezi mitatu kwa ajili ya kulipa, watu wamenunua viwanja vitatu, vinne mpaka vitano.  “Leo (juzi) nataka kukwambia wale wenye mawazo yako (Spika) wana Guest House, wana Apartment hapa, nawajua, mtu anafanya biashara  “Na nataka kuwahakikishia hata anayetaka kiwanja aende Jiji akikosa aje kwangu, vipo viwanja vya kumwaga, hapa ndio mahala pake, kwa Mtanzania wa kawaida hata mbunge hapa ni ‘second home’ (nyumba ya pili),” alisema Lukuvi.  Kutokana na kauli hiyo, ilimzilamu Waziri Kamwelwe, kusimama na alidai kwamba siku ambayo Lukuvi alitangaza uuzwaji wa viwanja miaka mitatu iliyopita, yeye alilipia siku ileile viwanja viwili, lakini hadi sasa bado hajavipata.  Kamwelwe alihoji kama yeye ikiwa ni waziri hajapata viwanja vyake je, Mtanzania wa kawaida itakuwaje.  “Mheshimiwa Spika, mimi nilipewa ofa nikalipia viwanja viwili siku hiyo hiyo, shahidi Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mavunde (Anthony), mpaka leo (juzi) sijapata kiwanja, tena mimi ni waziri nimeongea kwa mkuu wa mkoa nimeongea kwa mkurugenzi na naibu waziri huyu (Mavunde) sijapata kiwanja mpaka leo (juzi), nimelipa hela zote,” alisema Kamwelwe.  Akijibu hoja hiyo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema; “Very interesting, hicho kiwanja Mheshimiwa Waziri nitafuatilia mimi, nitahakikisha unapata kiwanja, asante sana kwa kunipa taarifa muhimu.”  WABUNGE KUHAMISHWA  Awali Mbunge wa Rufiji, Mohammed Mchengerwa (CCM), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, aliomba mwongozo kwa Spika wa Bunge kuhusu wabunge kuondolewa katika nyumba na Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA).  “Mheshimiwa Spika, baadhi ya wabunge wako hapa leo wamepokea barua kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa TBA kwa maelekezo ya Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwamba waondoke haraka katika nyumba za Serikali ambazo wanakaa katika maeneo mbalimbali.  “Sasa Mheshimiwa Spika tuombe mwongozo wako, wabunge kazi wanazofanya ni ngumu sana na wakati mwingine zinahatarisha usalama wetu na wengine ni viongozi.  “Asilimia 99 ni wabunge wa chama tawala, nikuombe Spika kwa kazi kubwa wanayoifanya na Bunge lipo Dodoma, hivyo wanastahili kuwa katika sehemu salama, nikuombe waziri atusaidie wasubiri mpaka uchaguzi utakapokamilika ndiyo tupatiwe barua.  “Tumwombe Mheshimiwa Waziri atambue na yeye ni mbunge, mamlaka aliyopewa ni ya kumsaidia tu Mheshimiwa Rais kama sisi na niombe mwongozo mwezi Novemba tutakuwa wabunge wa kawaida mpaka Rais atakapoteua Baraza la Mawaziri,” alisema Mchengerwa.  Akilitolea ufafanuzi suala hilo, Waziri Kamwelwe alisema wapo wabunge ambao wanalipiwa kodi na Bunge na wengine wanajilipia wenyewe, hivyo jambo hilo halikutakiwa kuletwa bungeni.  “Nilivyoingia hapa bungeni wapo wachache walikuja kunipa taarifa, Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania, ina kazi mbili; moja ni kutoa huduma kwa wananchi na nyingine wanafanya biashara.  “Katika mazungumzo na wabunge, wapo wabunge ambao wameingia mikataba kwa makubaliano kwamba Bunge ndiyo litakuwa likiwalipia kodi ila wapo wengine watalipa wao moja kwa moja.   “Kwa sababu hili suala ni la kimkataba, wabunge wale wanaolipiwa na Bunge, Bunge litaisha mwezi wa sita kwa vyovyote vile kulikuwa kuna hoja kwamba mikataba yao itaisha ndiyo maana wakajihami.  “Ila wale ambao hawalipiwi na Bunge siwajibu moja kwa moja ile mikataba na wakati mikataba inaingiwa haikuletwa hapa bungeni kwa hiyo niwaombe tu wabunge na mimi mwenyewe nimo nimesaini mkataba na mkataba wangu ulikuwa ni wa kulipa moja kwa moja na nikipata barua nitawajibu kwamba mimi nipo, hili ni suala dogo sana,” alisema Kamwelwe.  Naye Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema; “Yaani mnachoambiwa wabunge Dodoma ndiyo kwenu, Dodoma ndio makao makuu ya nchi, kwa hiyo jengeni, hakutaka kusema tu mheshimiwa Waziri.  “Kwa anayekwama kiwanja basi muoneni Mheshimiwa Jafo (Selemani), manaibu mawaziri wapo, na Tamisemi ndiyo wanaosimammia Jiji la Dodoma.  “Lakini mnaokosa viwanja yupo Mheshimiwa Lukuvi, yeye ndiye anayepima viwanja na sijui safari hii kwanini imekuwa hivi. Mwaka 2000 tulikuwa tunagaiwa na Mheshimiwa Lukuvi, wengi walikataa, nakumbuka hata mimi cha kwangu,” alisema Ndugai. 
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --  RAMADHAN HASSAN – DODOMA  WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe juzi amewasha moto bungeni akihoji kwa waziri mwenzake wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi vilipo viwanja vyake alivyonunua.  Mnyukano huo ulianza mara baada ya wabunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Kusimamia na Kuendeleza Uvuvi wa Bahari Kuu wa mwaka 2020.  Lukuvi kudai kwamba Jiji la Dodoma limepima viwanja 10,000 hivyo mbunge yeyote ambaye anataka kiwanja aende Jiji au amuone yeye.  “Jiji la Dodoma wamejitahidi sana, wamepima viwanja zaidi ya 10,000 tumeuza mpaka hapa kila mtu anajua, Naibu Waziri wangu alikuwa na fomu hapa alikuwa anazunguka nazo za kuuza viwanja.  “Hapa ndani wakati nasoma bajeti ya mwaka juzi waliomba niwaongezee miezi mitatu kwa ajili ya kulipa, watu wamenunua viwanja vitatu, vinne mpaka vitano.  “Leo (juzi) nataka kukwambia wale wenye mawazo yako (Spika) wana Guest House, wana Apartment hapa, nawajua, mtu anafanya biashara  “Na nataka kuwahakikishia hata anayetaka kiwanja aende Jiji akikosa aje kwangu, vipo viwanja vya kumwaga, hapa ndio mahala pake, kwa Mtanzania wa kawaida hata mbunge hapa ni ‘second home’ (nyumba ya pili),” alisema Lukuvi.  Kutokana na kauli hiyo, ilimzilamu Waziri Kamwelwe, kusimama na alidai kwamba siku ambayo Lukuvi alitangaza uuzwaji wa viwanja miaka mitatu iliyopita, yeye alilipia siku ileile viwanja viwili, lakini hadi sasa bado hajavipata.  Kamwelwe alihoji kama yeye ikiwa ni waziri hajapata viwanja vyake je, Mtanzania wa kawaida itakuwaje.  “Mheshimiwa Spika, mimi nilipewa ofa nikalipia viwanja viwili siku hiyo hiyo, shahidi Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mavunde (Anthony), mpaka leo (juzi) sijapata kiwanja, tena mimi ni waziri nimeongea kwa mkuu wa mkoa nimeongea kwa mkurugenzi na naibu waziri huyu (Mavunde) sijapata kiwanja mpaka leo (juzi), nimelipa hela zote,” alisema Kamwelwe.  Akijibu hoja hiyo, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema; “Very interesting, hicho kiwanja Mheshimiwa Waziri nitafuatilia mimi, nitahakikisha unapata kiwanja, asante sana kwa kunipa taarifa muhimu.”  WABUNGE KUHAMISHWA  Awali Mbunge wa Rufiji, Mohammed Mchengerwa (CCM), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, aliomba mwongozo kwa Spika wa Bunge kuhusu wabunge kuondolewa katika nyumba na Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA).  “Mheshimiwa Spika, baadhi ya wabunge wako hapa leo wamepokea barua kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa TBA kwa maelekezo ya Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwamba waondoke haraka katika nyumba za Serikali ambazo wanakaa katika maeneo mbalimbali.  “Sasa Mheshimiwa Spika tuombe mwongozo wako, wabunge kazi wanazofanya ni ngumu sana na wakati mwingine zinahatarisha usalama wetu na wengine ni viongozi.  “Asilimia 99 ni wabunge wa chama tawala, nikuombe Spika kwa kazi kubwa wanayoifanya na Bunge lipo Dodoma, hivyo wanastahili kuwa katika sehemu salama, nikuombe waziri atusaidie wasubiri mpaka uchaguzi utakapokamilika ndiyo tupatiwe barua.  “Tumwombe Mheshimiwa Waziri atambue na yeye ni mbunge, mamlaka aliyopewa ni ya kumsaidia tu Mheshimiwa Rais kama sisi na niombe mwongozo mwezi Novemba tutakuwa wabunge wa kawaida mpaka Rais atakapoteua Baraza la Mawaziri,” alisema Mchengerwa.  Akilitolea ufafanuzi suala hilo, Waziri Kamwelwe alisema wapo wabunge ambao wanalipiwa kodi na Bunge na wengine wanajilipia wenyewe, hivyo jambo hilo halikutakiwa kuletwa bungeni.  “Nilivyoingia hapa bungeni wapo wachache walikuja kunipa taarifa, Wakala wa Majengo ya Serikali Tanzania, ina kazi mbili; moja ni kutoa huduma kwa wananchi na nyingine wanafanya biashara.  “Katika mazungumzo na wabunge, wapo wabunge ambao wameingia mikataba kwa makubaliano kwamba Bunge ndiyo litakuwa likiwalipia kodi ila wapo wengine watalipa wao moja kwa moja.   “Kwa sababu hili suala ni la kimkataba, wabunge wale wanaolipiwa na Bunge, Bunge litaisha mwezi wa sita kwa vyovyote vile kulikuwa kuna hoja kwamba mikataba yao itaisha ndiyo maana wakajihami.  “Ila wale ambao hawalipiwi na Bunge siwajibu moja kwa moja ile mikataba na wakati mikataba inaingiwa haikuletwa hapa bungeni kwa hiyo niwaombe tu wabunge na mimi mwenyewe nimo nimesaini mkataba na mkataba wangu ulikuwa ni wa kulipa moja kwa moja na nikipata barua nitawajibu kwamba mimi nipo, hili ni suala dogo sana,” alisema Kamwelwe.  Naye Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema; “Yaani mnachoambiwa wabunge Dodoma ndiyo kwenu, Dodoma ndio makao makuu ya nchi, kwa hiyo jengeni, hakutaka kusema tu mheshimiwa Waziri.  “Kwa anayekwama kiwanja basi muoneni Mheshimiwa Jafo (Selemani), manaibu mawaziri wapo, na Tamisemi ndiyo wanaosimammia Jiji la Dodoma.  “Lakini mnaokosa viwanja yupo Mheshimiwa Lukuvi, yeye ndiye anayepima viwanja na sijui safari hii kwanini imekuwa hivi. Mwaka 2000 tulikuwa tunagaiwa na Mheshimiwa Lukuvi, wengi walikataa, nakumbuka hata mimi cha kwangu,” alisema Ndugai.  ### Response: BURUDANI ### End
LONDON, ENGLAND KINDA wa timu ya Manchester United, Marcus Rashford, amepoteza nafasi yake katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kuondolewa kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester United. Uamuzi huo ulifanyika tangu ujio wa kocha mpya wa Manchester United, Jose Mourinho, ambaye aliamua kumtumia zaidi Zlatan Ibrahimovic kama mshambuliaji wake tegemeo katika michezo ya Ligi Kuu England. Rashford ametupwa hadi kikosi cha vijana cha timu ya taifa chini ya umri wa miaka 21, baada ya Kocha wa England, Sam Allardyce, kuthibitisha kwamba hana nafasi kwa chipukizi huyo kuelekea katika mchezo dhidi ya Slovakia wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia. Msimu uliopita Rashford alifanikiwa kushinda mabao nane katika michezo 18 ya ligi kuu ambapo baadaye Kocha wa zamani wa timu ya taifa, Roy Hodgson, alimuita kuongeza nguvu katika michuano ya Euro 2016. Kitendo cha kufukuzwa kwa Louis van Gaal na kuteuliwa Mourinho kuwa kocha mkuu wa Manchester United kiliondoa uhakika wa kinda huyo kuanza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, ENGLAND KINDA wa timu ya Manchester United, Marcus Rashford, amepoteza nafasi yake katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kuondolewa kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester United. Uamuzi huo ulifanyika tangu ujio wa kocha mpya wa Manchester United, Jose Mourinho, ambaye aliamua kumtumia zaidi Zlatan Ibrahimovic kama mshambuliaji wake tegemeo katika michezo ya Ligi Kuu England. Rashford ametupwa hadi kikosi cha vijana cha timu ya taifa chini ya umri wa miaka 21, baada ya Kocha wa England, Sam Allardyce, kuthibitisha kwamba hana nafasi kwa chipukizi huyo kuelekea katika mchezo dhidi ya Slovakia wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia. Msimu uliopita Rashford alifanikiwa kushinda mabao nane katika michezo 18 ya ligi kuu ambapo baadaye Kocha wa zamani wa timu ya taifa, Roy Hodgson, alimuita kuongeza nguvu katika michuano ya Euro 2016. Kitendo cha kufukuzwa kwa Louis van Gaal na kuteuliwa Mourinho kuwa kocha mkuu wa Manchester United kiliondoa uhakika wa kinda huyo kuanza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo. ### Response: MICHEZO ### End
WAKATI wanariadha watatu wa Tanzania wakitarajia kupeperusha bendera ya taifa kesho katika mashindano ya Dunia, Katibu Mkuu wazamani wa Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui ameeleza sababu za Failuna Abdi (pichani) kushindwa kumaliza mbio katika mashindano hayo ya Dunia.Nyambui pia ni kocha wa kimataifa wa riadha, ambaye kwa sasa anaifundisha timu ya taifa ya Brunei. Failuna alikimbia marathon kwa upande wa wanawake siku ya ufunguzi wa mashindano hayo, Septemba 27 Doha, Qatar, lakini alishindwa kumaliza sababu ya joto kali. Akizungumza kwa njia ya simu juzi kutoka Brunei, Nyambui alieleza sababu kadhaa zilizomfanya Failuna kujitoa katika mbio hizo kabla ya kumaliza kilometa 42, ikiwemo kutokuwa na kocha siku hiyo ya mbio na ugeni wake wa mashindano.Alisema kama mwanariadha huyo angekuwa na kocha, bila shaka angepata maelekezo kabla ya kuanza kwa mbio hizo na kusisitiza kunywa maji kabla na wakati wa mbio, lakini hilo halikufanyika.Alisema kuwa mwanariadha huyo alishindwa mbio tangu alipowasili Doha, kwani hakuwa na mtu wa kumpokea, hivyo alijikuta akikaa muda mrefu kiwanja cha ndege akisubiri kupokelewa hadi pale `alipookotwa’ na wasamalia wema. Pia Nyambui alisema kuwa hata siku ya mbio, mwanariadha hiyo hakuandaliwa maji maalumu, kama walivyofanya wengine, ambao walikuwa na makocha wao.Pia Nyambui alipinga vikali Katibu Mkuu wa RT, Wilhelm Gidabuday kwenda Doha na badala yake alitaka nafasi hiyo angepewa kocha ili akajifunze kitu na kupata uzoefu wa mashindano ya kimataifa na kuja nchini kutoa funzo kwa wenzake na wanariadha anaowafundisha.Katibu Mkuu wa RT, Wilhelm Gidabuday ambaye yuko Doha alisema kwa kushirikiana na wakala wa Failuna kutoka Uholanzi, walimuandalia mwanariadha huyo maji maalumu na alipata kila kitu kilichotakiwa.Alisema ukali wa joto la Doha ndilo lililomuangusha mwanariadha huyo, ambaye hiyo ni marathon yake ya tatu kushiriki na ni mara ya kwanza kushiriki marathon ya dunia.Kocha wa Failuna, Thomas John alisema jana kutoka Arusha kuwa kukosekana kwa kocha Doha, sio sababu za mwanariadha wake kushindwa, ila ni sababu ya kutokuwa na maandalizi mazuri, ambayo yalichangiwa na ukosefu wa fedha.Alikiri mwanariadha wake kutojiandaa vizuri na kusema kuwa kama RT ingekuwa na fedha, basi angemuandaa mwanariadha wake kisayansi zaidi ili aweze kukabiliana na joto hilo la Doha.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAKATI wanariadha watatu wa Tanzania wakitarajia kupeperusha bendera ya taifa kesho katika mashindano ya Dunia, Katibu Mkuu wazamani wa Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui ameeleza sababu za Failuna Abdi (pichani) kushindwa kumaliza mbio katika mashindano hayo ya Dunia.Nyambui pia ni kocha wa kimataifa wa riadha, ambaye kwa sasa anaifundisha timu ya taifa ya Brunei. Failuna alikimbia marathon kwa upande wa wanawake siku ya ufunguzi wa mashindano hayo, Septemba 27 Doha, Qatar, lakini alishindwa kumaliza sababu ya joto kali. Akizungumza kwa njia ya simu juzi kutoka Brunei, Nyambui alieleza sababu kadhaa zilizomfanya Failuna kujitoa katika mbio hizo kabla ya kumaliza kilometa 42, ikiwemo kutokuwa na kocha siku hiyo ya mbio na ugeni wake wa mashindano.Alisema kama mwanariadha huyo angekuwa na kocha, bila shaka angepata maelekezo kabla ya kuanza kwa mbio hizo na kusisitiza kunywa maji kabla na wakati wa mbio, lakini hilo halikufanyika.Alisema kuwa mwanariadha huyo alishindwa mbio tangu alipowasili Doha, kwani hakuwa na mtu wa kumpokea, hivyo alijikuta akikaa muda mrefu kiwanja cha ndege akisubiri kupokelewa hadi pale `alipookotwa’ na wasamalia wema. Pia Nyambui alisema kuwa hata siku ya mbio, mwanariadha hiyo hakuandaliwa maji maalumu, kama walivyofanya wengine, ambao walikuwa na makocha wao.Pia Nyambui alipinga vikali Katibu Mkuu wa RT, Wilhelm Gidabuday kwenda Doha na badala yake alitaka nafasi hiyo angepewa kocha ili akajifunze kitu na kupata uzoefu wa mashindano ya kimataifa na kuja nchini kutoa funzo kwa wenzake na wanariadha anaowafundisha.Katibu Mkuu wa RT, Wilhelm Gidabuday ambaye yuko Doha alisema kwa kushirikiana na wakala wa Failuna kutoka Uholanzi, walimuandalia mwanariadha huyo maji maalumu na alipata kila kitu kilichotakiwa.Alisema ukali wa joto la Doha ndilo lililomuangusha mwanariadha huyo, ambaye hiyo ni marathon yake ya tatu kushiriki na ni mara ya kwanza kushiriki marathon ya dunia.Kocha wa Failuna, Thomas John alisema jana kutoka Arusha kuwa kukosekana kwa kocha Doha, sio sababu za mwanariadha wake kushindwa, ila ni sababu ya kutokuwa na maandalizi mazuri, ambayo yalichangiwa na ukosefu wa fedha.Alikiri mwanariadha wake kutojiandaa vizuri na kusema kuwa kama RT ingekuwa na fedha, basi angemuandaa mwanariadha wake kisayansi zaidi ili aweze kukabiliana na joto hilo la Doha. ### Response: MICHEZO ### End
Hayo aliyasema jana wakati akifungua mkutano wa wadau wa michezo wa kupitisha Sera ya Michezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. “Mimi sitakaa hapa baada ya kufungua ila mnatakiwa mbishane na baadaye mtoke na kitu kizuri ambacho kitasaidia michezo yetu kuwa ya kulipwa,” alisema Dk Mwakyembe.Dk Mwakyembe alisema michezo ni ajira yenye fedha nyingi duniani na kumtolea mfano mchezaji ghali duniani kwa sasa, Neymar wa PSG ya Ufaransa na kusema fedha anayolipwa kwa mwezi inaweza kuendesha wizara tano kwa mwaka.Neymar alihamia PSG kutoka Barcelona ya Hispania kwa ada ya dola za Marekani milioni 263. Pia aligusa kwenye ngumi na kueleza kuwa anafurahi kuona mabondia wakicheza nje na kuchukua mataji makubwa na kumtolea mfano Ibrahim Class na kuahidi atahakikisha anatetea mkanda wake wa dunia wa GBC nchini.“Sera itamke namna wanamichezo, serikali na vyama vitakavyonufaika na kulinda timu za taifa,” aliongeza Dk Mwakyembe. Kwa muda mrefu wadau wa michezo wamekuwa akidai Sera ya Michezo baada ya kutofanyiwa marekebisho kwa miaka mingi. Mara ya mwisho sera ya Michezo ilifanyiwa marekebisho mwaka 1995.Kwa maana hiyo mambo mengi yaliyokuwa kwenye sera hiyo yamepitwa na wakati. Wadau waliokuwepo kupitia sera hiyo ni viongozi wa vyama mbalimbali vya michezo nchini na wakufunzi wa michezo kutoka vyuo vikuu.Awali kabla ya kufungua mkutano huo, Dk Mwakyembe alifanya ukaguzi wa Uwanja wa Taifa ambao unafanyiwa marekebisho na Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa.Alisema ameridhishwa na jinsi kazi inavyoenda na kumuahidi Mtendaji Mkuu wa SportPesa, Abbas Tarimba ushirikiano katika kazi zao. Naye Tarimba baada ya kupokea shukrani hizo, alimkabidhi tuzo ya shukrani kwa niaba ya serikali kwa kutambua na kuwapa ushirikiano tangu waanze kufanya kazi hapa nchini.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Hayo aliyasema jana wakati akifungua mkutano wa wadau wa michezo wa kupitisha Sera ya Michezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. “Mimi sitakaa hapa baada ya kufungua ila mnatakiwa mbishane na baadaye mtoke na kitu kizuri ambacho kitasaidia michezo yetu kuwa ya kulipwa,” alisema Dk Mwakyembe.Dk Mwakyembe alisema michezo ni ajira yenye fedha nyingi duniani na kumtolea mfano mchezaji ghali duniani kwa sasa, Neymar wa PSG ya Ufaransa na kusema fedha anayolipwa kwa mwezi inaweza kuendesha wizara tano kwa mwaka.Neymar alihamia PSG kutoka Barcelona ya Hispania kwa ada ya dola za Marekani milioni 263. Pia aligusa kwenye ngumi na kueleza kuwa anafurahi kuona mabondia wakicheza nje na kuchukua mataji makubwa na kumtolea mfano Ibrahim Class na kuahidi atahakikisha anatetea mkanda wake wa dunia wa GBC nchini.“Sera itamke namna wanamichezo, serikali na vyama vitakavyonufaika na kulinda timu za taifa,” aliongeza Dk Mwakyembe. Kwa muda mrefu wadau wa michezo wamekuwa akidai Sera ya Michezo baada ya kutofanyiwa marekebisho kwa miaka mingi. Mara ya mwisho sera ya Michezo ilifanyiwa marekebisho mwaka 1995.Kwa maana hiyo mambo mengi yaliyokuwa kwenye sera hiyo yamepitwa na wakati. Wadau waliokuwepo kupitia sera hiyo ni viongozi wa vyama mbalimbali vya michezo nchini na wakufunzi wa michezo kutoka vyuo vikuu.Awali kabla ya kufungua mkutano huo, Dk Mwakyembe alifanya ukaguzi wa Uwanja wa Taifa ambao unafanyiwa marekebisho na Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa.Alisema ameridhishwa na jinsi kazi inavyoenda na kumuahidi Mtendaji Mkuu wa SportPesa, Abbas Tarimba ushirikiano katika kazi zao. Naye Tarimba baada ya kupokea shukrani hizo, alimkabidhi tuzo ya shukrani kwa niaba ya serikali kwa kutambua na kuwapa ushirikiano tangu waanze kufanya kazi hapa nchini. ### Response: MICHEZO ### End
NA GORDON KALULUNGA-MBEYA WAKULIMA wa zao la Kahawa Wilaya ya Mbeya, wamelalamikia uzagaaji wa pembejeo feki katika maduka mbalimbali wilayani humo zinazoathiri mazao yao.   Hayo waliyasema jana katika mkutano mkuu wa Chama cha Ushirika Usongwe (AMCOS )uliofanyika katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijiji cha Iwindi wilayani humo.   Akichangia hoja katika mkutano huo, mkulima Julius Mzumbwe, alisema inashangaza kuona uongozi wa chama unawauzia pembejeo kwa ongezeko la Sh 500 tofauti na gharama wanayouza katika maduka ya watu binafsi.   Akijibu hoja hiyo, Katibu Msaidizi wa ushirika huo, Godfrey Mwakalonge, alisema hali hiyo inatokana na uendeshaji, pia pembejeo wanazowapatia zinakuwa hazina shaka katika ubora wake.   “Ndugu zangu wajumbe, mbali na gharama za usafiri, upakiaji, upakuaji na ugawaji, lakini tunazingatia ubora wa pembejeo tofauti na kuzinunua kwenye maduka kama mnavyokumbuka tumewahi kununua pembejeo kwa akina Kalinga Agro yaliyotukuta sote ni mashahidi kumbe Coper walituuzia Matofali,” alisema Mwakalonge.   Akikazia majibu hayo, Mwenyekiti wa bodi ya ushirika huo, Jailos Mwashigala, alisema mbali na pembejeo nyingi madukani kuwa feki, pia wafanyabiashara wanapunguza ujazo kwa kila pembejeo zikiwemo mbegu na dawa mbalimbali.   “Mkitaka kujua zaidi waulizeni wakulima wa vijiji vya Shongo na Holongo, Kata ya Igale hao wanajua zaidi athari za kununua pembejeo katika baadhi ya maduka ya pembejeo hasa yaliyopo Mbalizi,” alisema.   Mbunge wa kwanza wa Jimbo la Mbeya aliyetawala kwa miaka 15, ambaye pia ni mwasisi wa chama hicho cha ushirika mwaka 1968, Patrick Nswilla ambaye alihudhuria pia mkutano huo, aliwaambia waandishi wa habari kuwa pembejeo feki zinazidi kushamiri wilayani humo kutokana na vitendo vya rushwa.   “Tangu muda mrefu wakulima wanalalamika maana wafanyabiashara huwa wanasaga matofali ya kuchomwa na kuyaweka kwenye mifuko wakiuza kama Copper, huku unga huo wa matofali wakipaka mahindi na kuziuza kama mbegu bora,” alisema Nswilla.   Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini, Oran Manase Njeza, alipoulizwa kama anafahamu kadhia hiyo, alisema kosa hilo ni la jinai na amewataka wakulima ambao wanapata matatizo hayo wayapeleke Polisi ili hatua zichukuliwe.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA GORDON KALULUNGA-MBEYA WAKULIMA wa zao la Kahawa Wilaya ya Mbeya, wamelalamikia uzagaaji wa pembejeo feki katika maduka mbalimbali wilayani humo zinazoathiri mazao yao.   Hayo waliyasema jana katika mkutano mkuu wa Chama cha Ushirika Usongwe (AMCOS )uliofanyika katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijiji cha Iwindi wilayani humo.   Akichangia hoja katika mkutano huo, mkulima Julius Mzumbwe, alisema inashangaza kuona uongozi wa chama unawauzia pembejeo kwa ongezeko la Sh 500 tofauti na gharama wanayouza katika maduka ya watu binafsi.   Akijibu hoja hiyo, Katibu Msaidizi wa ushirika huo, Godfrey Mwakalonge, alisema hali hiyo inatokana na uendeshaji, pia pembejeo wanazowapatia zinakuwa hazina shaka katika ubora wake.   “Ndugu zangu wajumbe, mbali na gharama za usafiri, upakiaji, upakuaji na ugawaji, lakini tunazingatia ubora wa pembejeo tofauti na kuzinunua kwenye maduka kama mnavyokumbuka tumewahi kununua pembejeo kwa akina Kalinga Agro yaliyotukuta sote ni mashahidi kumbe Coper walituuzia Matofali,” alisema Mwakalonge.   Akikazia majibu hayo, Mwenyekiti wa bodi ya ushirika huo, Jailos Mwashigala, alisema mbali na pembejeo nyingi madukani kuwa feki, pia wafanyabiashara wanapunguza ujazo kwa kila pembejeo zikiwemo mbegu na dawa mbalimbali.   “Mkitaka kujua zaidi waulizeni wakulima wa vijiji vya Shongo na Holongo, Kata ya Igale hao wanajua zaidi athari za kununua pembejeo katika baadhi ya maduka ya pembejeo hasa yaliyopo Mbalizi,” alisema.   Mbunge wa kwanza wa Jimbo la Mbeya aliyetawala kwa miaka 15, ambaye pia ni mwasisi wa chama hicho cha ushirika mwaka 1968, Patrick Nswilla ambaye alihudhuria pia mkutano huo, aliwaambia waandishi wa habari kuwa pembejeo feki zinazidi kushamiri wilayani humo kutokana na vitendo vya rushwa.   “Tangu muda mrefu wakulima wanalalamika maana wafanyabiashara huwa wanasaga matofali ya kuchomwa na kuyaweka kwenye mifuko wakiuza kama Copper, huku unga huo wa matofali wakipaka mahindi na kuziuza kama mbegu bora,” alisema Nswilla.   Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini, Oran Manase Njeza, alipoulizwa kama anafahamu kadhia hiyo, alisema kosa hilo ni la jinai na amewataka wakulima ambao wanapata matatizo hayo wayapeleke Polisi ili hatua zichukuliwe. ### Response: KITAIFA ### End
Chanzo cha picha, Getty Images Bingwa wa Michezo ya Jumuiya ya Madola Ferdinand Omanyala amelinganisha "ushindani" wa mbio za mita 100 na ndondi huku akilenga dhahabu kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia mwezi huu huko Budapest. Mkenya huyo ataingia katika mji mkuu wa Hungary baada ya kujipatia ushindi wake wa kwanza wa mbio a Diamond League mwezi Julai. Omanyala, 27, aliibuka mshindi katika mashindano ya Monaco mbele ya Letsile Tebogo wa Botswana, mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mita 100 miongoni mwa vijjana, huku Wajamaika Ackeem Blake na Yohan Blake wakiwa wa tatu na wa nne mtawalia. Sasa mwanariadha huyo wa Afrika Mashariki anasema yuko tayari kutinga kwenye jukwaa la kimataifa katika riadha anayosema inavutia watu wengi zaidi kutokana na kufanana kwake na ndondi. "Mita 100 ni maarufu zaidi kwa sababu ya kelele zake - naiona kama mechi ya ndondi," aliiambia BBC Sport Africa. "Katika mechi ya ndondi, kuna mbwembwe za kila aina ikiwemo vyombo vingi vya habari na (mbio za mita 100) ni kama sekunde tisa za ushindani. "Kwa wanariadha wa 100m, naweza kusema ni wa hali ya juu sana - wenye bidii kupita kiasi - ndio maana tunaufanya mchezo kuwa wa kuvutia." Akiwa mwanariadha mwenye kasi zaidi barani Afrika, baada ya kukimbia sekunde 9.77 mwaka wa 2021, Omanyala alitwaa dhahabu kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2022 mjini Birmingham alipokimbia sekunde 10.02. Baada ya kuweka rekodi bora zaidi ya mita 100 mwaka huu - 9.84s nyumbani Nairobi wakati wa Mashindano ya Kip Keino Classic mnamo mwezi `Mei - Omanyala sasa analenga kumaliza wa kwanza katika mbio za mita 100 katika mashindano ya dunia. Bara la Afrika limeshinda medali katika mbio za mita 200 kwa wanaume (kupitia Frankie Fredericks wa Namibia, kisha Mnigeria Francis Obikwelu na Wanariadha wa Afrika Kusini Anaso Jobodwana na Wayde van Niekerk) na katika mbio za mita 100 kwa wanawake (Wana Ivory Coast Murielle Ahoure na Marie-Josee Ta Lou) lakini sio kwenye mashindano hayo. "Afrika haijawahi kupata medali katika mbio hizi na hilo ndilo jambo ninalotaka kuvunja. Nataka kubadilisha hilo, kwa hivyo nataka kushinda medali - nataka kushinda dhahabu," Omanyala aliendelea. "Kuingia kwenye mashindano ya dunia kama mmoja wa wanariadha bora, watu wanakutazama na kukutegemea - watu wanakuhesabu kwenye mabano ya medali. "Mimi naenda kushinda dhahabu." Matarajio ni makubwa kwa Mkenya wa kwanza kushinda mbio za mita 100 za Diamond League, huku mwanariadha wa mita 400 pekee Nicholas Bett akiwahi kjushinda mbio za Diamond League za wanaume kwa nchi hiyo hapo awali. Omanyala anasema kuweka historia si jambo litakalomshinda. "Kila mara kuna mbwembwe nyingi mashindano yakikaribia, watu wanaotabiri hapa na pale, na watu hutuma maoni ya aina tofauti. "Hiyo ndiyo mara kwa mara huleta mvutano lakini unapoingia kwenye kujiandaa na kisha kuingia uwanjani, huwa ni hadithi tofauti - kwa sababu hakuna kurudi nyuma, uko peke yako katika hili. "Wakati ninapoingia uwanjani, na kuona umati wa watu na jinsi uwanja unavyoonekana na kuelewa kuwa huu ndio ukweli ulivyo, wasiwasi wangu wote hupotea tu. "Halafu unapoenda kwenye eneo la kuanzia na kuweka alama, unaamua kuweka historia au ushindwe, halafu watu watazungumza kwa njia yoyote. "Lazima tu uhakikishe kuwa unakimbia mbio hizi na kuzifanya bora zaidi ya maisha yako." Chanzo cha picha, Getty Images Sio tu mbio za Omanyala na Kenya hata hivyo, kwani pia ni mbio za Afrika. Mwanariadha wa Liberia Joseph Fahnbulleh - ambaye alimaliza wa 5 katika fainali ya Olimpiki ya mita 200 kabla ya kushika nafasi ya 4 katika mashindano hayo hayo mwaka jana - anaamini kuwa Afrika sasa iko tayari kupinga ubabe wa Marekani wa mbio za mita 100. "Kwa muda, imekuwa Wamarekani. Kuna mabadiliko sasa kwa upande wa Afrika - napenda hivyo," Fahnbulleh aliiambia BBC. "Tunaikabili dhoruba, lakini polepole." Akimuunga mkono Fahnbulleh, Omanyala anasema bara la Afrika hatimaye liko tayari kuchukua nafasi katika jedwali la mbio fupi duniani na licha ya matarajio yake mwenyewe, anajua kwamba ushindi wowote unaweza kufungua milango kwa Waafrika zaidi. "Wacha dhahabu," alihitimisha. “Medali yoyote katika Mashindano ya Dunia itakuwa na maana kubwa kwangu. "Moja: kuimarisha hali ya kifedha. Mbili: kuingia katika hadhi hiyo, ambapo unaweza kukimbia mbio zozote duniani na kupata utambuzi unaostahili na ambao tunastahili kama Waafrika. "Tukienda katika mashindano ya riadha ya Ligi ya Almasi wanasema Wamarekani hawapo - vitu kama hivyo. Kwa hivyo ni kitu ambacho ninashikilia sana moyoni mwangu, kwa sababu najua hii itakuwa na athari kubwa kwa Afrika, kwa Kenya, na kwa kizazi cha wanariadha wanaokuja baada yangu na urithi ambao ninaenda kuweka. "Siyo kwa ajili yangu tu, bali kwa ajili ya nchi yangu, kwa vizazi, kwa watu - wanariadha wajao barani Afrika - kuonyesha kuwa inawezekana na kuonyesha Afrika kwamba hakuna lisilowezekana katika dunia hii." Mashindano ya mbio za mita 100 kwa wanaume yataanza Jumamosi tarehe 19 Agosti, siku ya kwanza ya mchezo huko Budapest, na fainali itafanyika tarehe 20 Agosti. Mashindano ya Riadha ya Dunia, ambayo Hungary inaandaa kwa mara ya kwanza, yatamalizika Jumapili tarehe 27 Agosti.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Getty Images Bingwa wa Michezo ya Jumuiya ya Madola Ferdinand Omanyala amelinganisha "ushindani" wa mbio za mita 100 na ndondi huku akilenga dhahabu kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia mwezi huu huko Budapest. Mkenya huyo ataingia katika mji mkuu wa Hungary baada ya kujipatia ushindi wake wa kwanza wa mbio a Diamond League mwezi Julai. Omanyala, 27, aliibuka mshindi katika mashindano ya Monaco mbele ya Letsile Tebogo wa Botswana, mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mita 100 miongoni mwa vijjana, huku Wajamaika Ackeem Blake na Yohan Blake wakiwa wa tatu na wa nne mtawalia. Sasa mwanariadha huyo wa Afrika Mashariki anasema yuko tayari kutinga kwenye jukwaa la kimataifa katika riadha anayosema inavutia watu wengi zaidi kutokana na kufanana kwake na ndondi. "Mita 100 ni maarufu zaidi kwa sababu ya kelele zake - naiona kama mechi ya ndondi," aliiambia BBC Sport Africa. "Katika mechi ya ndondi, kuna mbwembwe za kila aina ikiwemo vyombo vingi vya habari na (mbio za mita 100) ni kama sekunde tisa za ushindani. "Kwa wanariadha wa 100m, naweza kusema ni wa hali ya juu sana - wenye bidii kupita kiasi - ndio maana tunaufanya mchezo kuwa wa kuvutia." Akiwa mwanariadha mwenye kasi zaidi barani Afrika, baada ya kukimbia sekunde 9.77 mwaka wa 2021, Omanyala alitwaa dhahabu kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2022 mjini Birmingham alipokimbia sekunde 10.02. Baada ya kuweka rekodi bora zaidi ya mita 100 mwaka huu - 9.84s nyumbani Nairobi wakati wa Mashindano ya Kip Keino Classic mnamo mwezi `Mei - Omanyala sasa analenga kumaliza wa kwanza katika mbio za mita 100 katika mashindano ya dunia. Bara la Afrika limeshinda medali katika mbio za mita 200 kwa wanaume (kupitia Frankie Fredericks wa Namibia, kisha Mnigeria Francis Obikwelu na Wanariadha wa Afrika Kusini Anaso Jobodwana na Wayde van Niekerk) na katika mbio za mita 100 kwa wanawake (Wana Ivory Coast Murielle Ahoure na Marie-Josee Ta Lou) lakini sio kwenye mashindano hayo. "Afrika haijawahi kupata medali katika mbio hizi na hilo ndilo jambo ninalotaka kuvunja. Nataka kubadilisha hilo, kwa hivyo nataka kushinda medali - nataka kushinda dhahabu," Omanyala aliendelea. "Kuingia kwenye mashindano ya dunia kama mmoja wa wanariadha bora, watu wanakutazama na kukutegemea - watu wanakuhesabu kwenye mabano ya medali. "Mimi naenda kushinda dhahabu." Matarajio ni makubwa kwa Mkenya wa kwanza kushinda mbio za mita 100 za Diamond League, huku mwanariadha wa mita 400 pekee Nicholas Bett akiwahi kjushinda mbio za Diamond League za wanaume kwa nchi hiyo hapo awali. Omanyala anasema kuweka historia si jambo litakalomshinda. "Kila mara kuna mbwembwe nyingi mashindano yakikaribia, watu wanaotabiri hapa na pale, na watu hutuma maoni ya aina tofauti. "Hiyo ndiyo mara kwa mara huleta mvutano lakini unapoingia kwenye kujiandaa na kisha kuingia uwanjani, huwa ni hadithi tofauti - kwa sababu hakuna kurudi nyuma, uko peke yako katika hili. "Wakati ninapoingia uwanjani, na kuona umati wa watu na jinsi uwanja unavyoonekana na kuelewa kuwa huu ndio ukweli ulivyo, wasiwasi wangu wote hupotea tu. "Halafu unapoenda kwenye eneo la kuanzia na kuweka alama, unaamua kuweka historia au ushindwe, halafu watu watazungumza kwa njia yoyote. "Lazima tu uhakikishe kuwa unakimbia mbio hizi na kuzifanya bora zaidi ya maisha yako." Chanzo cha picha, Getty Images Sio tu mbio za Omanyala na Kenya hata hivyo, kwani pia ni mbio za Afrika. Mwanariadha wa Liberia Joseph Fahnbulleh - ambaye alimaliza wa 5 katika fainali ya Olimpiki ya mita 200 kabla ya kushika nafasi ya 4 katika mashindano hayo hayo mwaka jana - anaamini kuwa Afrika sasa iko tayari kupinga ubabe wa Marekani wa mbio za mita 100. "Kwa muda, imekuwa Wamarekani. Kuna mabadiliko sasa kwa upande wa Afrika - napenda hivyo," Fahnbulleh aliiambia BBC. "Tunaikabili dhoruba, lakini polepole." Akimuunga mkono Fahnbulleh, Omanyala anasema bara la Afrika hatimaye liko tayari kuchukua nafasi katika jedwali la mbio fupi duniani na licha ya matarajio yake mwenyewe, anajua kwamba ushindi wowote unaweza kufungua milango kwa Waafrika zaidi. "Wacha dhahabu," alihitimisha. “Medali yoyote katika Mashindano ya Dunia itakuwa na maana kubwa kwangu. "Moja: kuimarisha hali ya kifedha. Mbili: kuingia katika hadhi hiyo, ambapo unaweza kukimbia mbio zozote duniani na kupata utambuzi unaostahili na ambao tunastahili kama Waafrika. "Tukienda katika mashindano ya riadha ya Ligi ya Almasi wanasema Wamarekani hawapo - vitu kama hivyo. Kwa hivyo ni kitu ambacho ninashikilia sana moyoni mwangu, kwa sababu najua hii itakuwa na athari kubwa kwa Afrika, kwa Kenya, na kwa kizazi cha wanariadha wanaokuja baada yangu na urithi ambao ninaenda kuweka. "Siyo kwa ajili yangu tu, bali kwa ajili ya nchi yangu, kwa vizazi, kwa watu - wanariadha wajao barani Afrika - kuonyesha kuwa inawezekana na kuonyesha Afrika kwamba hakuna lisilowezekana katika dunia hii." Mashindano ya mbio za mita 100 kwa wanaume yataanza Jumamosi tarehe 19 Agosti, siku ya kwanza ya mchezo huko Budapest, na fainali itafanyika tarehe 20 Agosti. Mashindano ya Riadha ya Dunia, ambayo Hungary inaandaa kwa mara ya kwanza, yatamalizika Jumapili tarehe 27 Agosti. ### Response: MICHEZO ### End
  Na HARRIETH MANDARI- GEITA WATU wawili wamekufa huku wengine tisa wakinusurika kifo baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo kwenye shimo lenye urefu wa futi 90, wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu kwenye mgodi wa Bingwa unaotumiwa na wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Lwamgasa wilayani Geita. Waliofariki katika tukio hilo lililotokea juzi Mei 30, mwaka huu usiku  ni Leonard Kusekwa (34) na Shida Shija (36), wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani hapa.   Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mkaguzi wa Migodi na Baruti kutoka Ofisi ya Ofisa Madini Mkazi, Mkoa wa Geita, Mhandisi Gabriel Senge, aliliambia MTANZANIA Jumamosi chanzo cha tukio hilo ni kuyumba kwa mwamba wakati wachimbaji hao wakiendelea kuukarabati ulioporomoka na kuwaangukia, ambapo watu wawili walipoteza maisha.   “Baada ya kupata taarifa hiyo tulifika eneo husika na kubaini kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kuyumba kwa mwamba,” alisema. Alisema hali ya kuyumba kwa mwamba hutokea katika mashimo ya uchimbaji hasusani kama eneo linalochimbwa lina maji mengi. Kwa upande wake, Meneja wa Mgodi na Msimamizi wa Duara hilo lenye Namba 131, Ludelph Zabron, alisema tukio hilo lilitokea baada ya kuyumba kwa magogo ya miti (matimba) yanayotumika kuzuia udongo.   Baadhi ya wachimbaji walionusurika kwenye mkasa huo, wakizungumza na MTANZANIA Jumamosi waliomba kuwepo na kikosi maalumu na vifaa bora vya kuokolea yanapotokea matukio kama hayo. “Matukio kama haya kwa kweli yamekuwa yakitokea mara kwa mara hasa msimu wa mvua na shughuli kubwa ya kiuchumi katika mkoa huu ni uchimbaji wa dhahabu, hivyo ni muhimu kuwepo kwa kikosi cha aina hiyo,” alisema mmoja wa wachimbaji hao, Richard Paulo. Naye Wilbert Enock, aliyenusurika katika ajali hiyo alisema ni miujiza ya Mwenyezi Mungu ndiyo iliyowaokoa. “Kwa kweli nilikuwa nakiona kifo kinanichukua kabisa, kwa sababu lile rundo la udongo lilipoanguka nilijikuta naanza kukata tamaa ya kutoka shimoni nikiwa hai, namshukuru Mungu sana,” alisema.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --   Na HARRIETH MANDARI- GEITA WATU wawili wamekufa huku wengine tisa wakinusurika kifo baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo kwenye shimo lenye urefu wa futi 90, wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu kwenye mgodi wa Bingwa unaotumiwa na wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Lwamgasa wilayani Geita. Waliofariki katika tukio hilo lililotokea juzi Mei 30, mwaka huu usiku  ni Leonard Kusekwa (34) na Shida Shija (36), wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani hapa.   Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mkaguzi wa Migodi na Baruti kutoka Ofisi ya Ofisa Madini Mkazi, Mkoa wa Geita, Mhandisi Gabriel Senge, aliliambia MTANZANIA Jumamosi chanzo cha tukio hilo ni kuyumba kwa mwamba wakati wachimbaji hao wakiendelea kuukarabati ulioporomoka na kuwaangukia, ambapo watu wawili walipoteza maisha.   “Baada ya kupata taarifa hiyo tulifika eneo husika na kubaini kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kuyumba kwa mwamba,” alisema. Alisema hali ya kuyumba kwa mwamba hutokea katika mashimo ya uchimbaji hasusani kama eneo linalochimbwa lina maji mengi. Kwa upande wake, Meneja wa Mgodi na Msimamizi wa Duara hilo lenye Namba 131, Ludelph Zabron, alisema tukio hilo lilitokea baada ya kuyumba kwa magogo ya miti (matimba) yanayotumika kuzuia udongo.   Baadhi ya wachimbaji walionusurika kwenye mkasa huo, wakizungumza na MTANZANIA Jumamosi waliomba kuwepo na kikosi maalumu na vifaa bora vya kuokolea yanapotokea matukio kama hayo. “Matukio kama haya kwa kweli yamekuwa yakitokea mara kwa mara hasa msimu wa mvua na shughuli kubwa ya kiuchumi katika mkoa huu ni uchimbaji wa dhahabu, hivyo ni muhimu kuwepo kwa kikosi cha aina hiyo,” alisema mmoja wa wachimbaji hao, Richard Paulo. Naye Wilbert Enock, aliyenusurika katika ajali hiyo alisema ni miujiza ya Mwenyezi Mungu ndiyo iliyowaokoa. “Kwa kweli nilikuwa nakiona kifo kinanichukua kabisa, kwa sababu lile rundo la udongo lilipoanguka nilijikuta naanza kukata tamaa ya kutoka shimoni nikiwa hai, namshukuru Mungu sana,” alisema. ### Response: AFYA ### End
NA GEORGE KAYALA TAMASHA kubwa la kuibua waimbaji wa nyimbo za injili limepangwa kufanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Mkurugenzi Mtendaji wa tamasha hilo, Fabian Fanuel, alisema tamasha hilo pia litatumika kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi. “Tamasha hilo litaanza Mwanza, kisha mikoa mingine ya Kanda ya Ziwa, lengo likiwa ni kupinga mauaji ya albino, lakini pia kuibua na kukuza vipaji vipya vya waimbaji wa nyimbo za injili,” alisema Fanuel. Katika tamasha hilo, waimbaji maarufu wa muziki wa injili wataongozwa na Flora Mbasha. Tamasha la kuibua vipaji kufanyika Mwanza
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA GEORGE KAYALA TAMASHA kubwa la kuibua waimbaji wa nyimbo za injili limepangwa kufanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Mkurugenzi Mtendaji wa tamasha hilo, Fabian Fanuel, alisema tamasha hilo pia litatumika kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi. “Tamasha hilo litaanza Mwanza, kisha mikoa mingine ya Kanda ya Ziwa, lengo likiwa ni kupinga mauaji ya albino, lakini pia kuibua na kukuza vipaji vipya vya waimbaji wa nyimbo za injili,” alisema Fanuel. Katika tamasha hilo, waimbaji maarufu wa muziki wa injili wataongozwa na Flora Mbasha. Tamasha la kuibua vipaji kufanyika Mwanza ### Response: BURUDANI ### End
BUNGE la Rwanda sasa litatawaliwa na wanawake kwa asilimia 61 kutokana na uchaguzi wa wabunge uliofanyika hivi karibuni. Bunge hilo lenye viti 80, lilikuwa na viti 24 vilivyotengwa kwa ajili ya wanawake. Kutokana na uchaguzi wa wabunge uliofanyika hivi karibuni, idadi ya viti vya ubunge kwa wanawake vimeongezeka kwa jumla ya viti 25 na kufanya bunge hilo kuwa na viti vya wanawake 49.Matokeo ya uchaguzi wa wabunge yaliyotolewa mwishoni mwa wiki iliyopita, yalionesha kuwa chama tawala cha RPF, kilinyakua viti vingi kati ya viti 53 vinavyoshindaniwa katika bunge la Rwanda. Chama hicho kinachoongozwa na Rais Paul Kagame, kimepata viti 40 kati ya viti 53 vinavyoshindaniwa, ikiwa ni sawa na asilimia 74 ya viti vyote.Wananchi waliopiga kura kuchagua wabunge hao ni milioni 6.6. Idadi hiyo ni sawa na asilimia 93 ya wapiga kura wote, walioandikisha kuwa watapiga kura ambao ni milioni 7.2. Kati ya wabunge 40 ambao chama tawala kimepata, 19 ni wabunge wanawake. Idadi ya wabunge wanawake katika bunge la Rwanda, limekuwa ni jambo la kawaida kutokana na bunge lililopita kuwa na asilimia 64 wanawake.Rwanda ni taifa la pekee barani Afrika, lenye idadi kubwa ya wabunge wanawake. Spika wa zamani wa bunge hilo, Donatille Mukabalisa, aliviambia vyombo mbalimbali vya habari kuwa uwepo wa idadi kubwa ya wabunge wanawake bungeni ni jambo muhimu ili kuongoza nchi katika maendeleo. Kwa miongo kadhaa, Rwanda imekuwa nchi ya kwanza duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya wabunge wanawake kuliko taifa lingine duniani. Kutokana na Katiba ya Rwanda, Bunge linatakiwa kuwa na angalau asilimia 30 ya wabunge wanawake.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BUNGE la Rwanda sasa litatawaliwa na wanawake kwa asilimia 61 kutokana na uchaguzi wa wabunge uliofanyika hivi karibuni. Bunge hilo lenye viti 80, lilikuwa na viti 24 vilivyotengwa kwa ajili ya wanawake. Kutokana na uchaguzi wa wabunge uliofanyika hivi karibuni, idadi ya viti vya ubunge kwa wanawake vimeongezeka kwa jumla ya viti 25 na kufanya bunge hilo kuwa na viti vya wanawake 49.Matokeo ya uchaguzi wa wabunge yaliyotolewa mwishoni mwa wiki iliyopita, yalionesha kuwa chama tawala cha RPF, kilinyakua viti vingi kati ya viti 53 vinavyoshindaniwa katika bunge la Rwanda. Chama hicho kinachoongozwa na Rais Paul Kagame, kimepata viti 40 kati ya viti 53 vinavyoshindaniwa, ikiwa ni sawa na asilimia 74 ya viti vyote.Wananchi waliopiga kura kuchagua wabunge hao ni milioni 6.6. Idadi hiyo ni sawa na asilimia 93 ya wapiga kura wote, walioandikisha kuwa watapiga kura ambao ni milioni 7.2. Kati ya wabunge 40 ambao chama tawala kimepata, 19 ni wabunge wanawake. Idadi ya wabunge wanawake katika bunge la Rwanda, limekuwa ni jambo la kawaida kutokana na bunge lililopita kuwa na asilimia 64 wanawake.Rwanda ni taifa la pekee barani Afrika, lenye idadi kubwa ya wabunge wanawake. Spika wa zamani wa bunge hilo, Donatille Mukabalisa, aliviambia vyombo mbalimbali vya habari kuwa uwepo wa idadi kubwa ya wabunge wanawake bungeni ni jambo muhimu ili kuongoza nchi katika maendeleo. Kwa miongo kadhaa, Rwanda imekuwa nchi ya kwanza duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya wabunge wanawake kuliko taifa lingine duniani. Kutokana na Katiba ya Rwanda, Bunge linatakiwa kuwa na angalau asilimia 30 ya wabunge wanawake. ### Response: KITAIFA ### End
WAKATI wadau wa soka nchini wakihamasishwa kuichangia timu ya soka Taifa, Taifa Stars fedha kwa ajili ya kuwapa wachezaji motisha kocha wa zamani wa timu hiyo, Salum Mayanga amesema mechi mbili za kirafi ki kwa timu hiyo ni kipimo sahihi kuelekea fainali za Afcon 2019.Stars iko Misri kwa ajili ya fainali hizo zinazotarajiwa kuanza keshokutwa na imecheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya wenyeji Misri ambapo walipoteza kwa bao 1-0 na dhidi ya Zimbabwe walitoka sare ya bao 1-1.Mayanga alisema Stars imecheza na timu kubwa na zenye uzoefu mkubwa kwenye fainali hizo na kujitahidi kuonesha ushindani hivyo anadhani hicho ndicho kipimo tosha. “Ni mechi nzuri na hiyo itampa kocha wa timu Emmanuel Amunike wigo mpana, ikiwemo fursa ya kufanyia kazi mapungufu yaliyojionesha na kuyafanyia kazi kuleta ushindani na kupata matokeo chanya,” alisema Mayanga ambaye kwa sasa ni kocha Mkuu wa imu ya Mbao FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara.Alisema wachezaji wote waliochaguliwa kwenye kikosi hicho wanapaswa kujitambua kwa kucheza kwa kujituma uwanjani kwa kutimiza majukumu yao, kurudisha fadhila kwa watanzania ambao wamejawa na shauku kubwa na kuona kikosi hicho kinafika mbali. Stars inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 39. Ipo Kundi C pamoja na Kenya, Algeria na Senegal itakayofungua nayo dimba mwishoni mwa wiki hii.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAKATI wadau wa soka nchini wakihamasishwa kuichangia timu ya soka Taifa, Taifa Stars fedha kwa ajili ya kuwapa wachezaji motisha kocha wa zamani wa timu hiyo, Salum Mayanga amesema mechi mbili za kirafi ki kwa timu hiyo ni kipimo sahihi kuelekea fainali za Afcon 2019.Stars iko Misri kwa ajili ya fainali hizo zinazotarajiwa kuanza keshokutwa na imecheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya wenyeji Misri ambapo walipoteza kwa bao 1-0 na dhidi ya Zimbabwe walitoka sare ya bao 1-1.Mayanga alisema Stars imecheza na timu kubwa na zenye uzoefu mkubwa kwenye fainali hizo na kujitahidi kuonesha ushindani hivyo anadhani hicho ndicho kipimo tosha. “Ni mechi nzuri na hiyo itampa kocha wa timu Emmanuel Amunike wigo mpana, ikiwemo fursa ya kufanyia kazi mapungufu yaliyojionesha na kuyafanyia kazi kuleta ushindani na kupata matokeo chanya,” alisema Mayanga ambaye kwa sasa ni kocha Mkuu wa imu ya Mbao FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara.Alisema wachezaji wote waliochaguliwa kwenye kikosi hicho wanapaswa kujitambua kwa kucheza kwa kujituma uwanjani kwa kutimiza majukumu yao, kurudisha fadhila kwa watanzania ambao wamejawa na shauku kubwa na kuona kikosi hicho kinafika mbali. Stars inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 39. Ipo Kundi C pamoja na Kenya, Algeria na Senegal itakayofungua nayo dimba mwishoni mwa wiki hii. ### Response: MICHEZO ### End
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Zawadi Msalla, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, video hiyo haiendani na maadili ya Watanzania.Katika taarifa yake hiyo Zawadi alisema ni wakati wa wasanii kufikiria mara mbili kabla ya kuingiza kazi zao sokoni, kwa kuwa wanaweza kujiingiza katika matatizo. Pia alisema ni vyema kutafakari kwa kina kabla ya kubuni kazi zao za sanaa, kwa kuwa wanafanya kazi katika jamii za kitanzania, ambapo kuna ndugu, jamaa na marafiki wanaotaka kuona maadili yakifuatwa.“Ni vyema wasanii wakatambua sanaa sio uwanja wa kudhalilisha watu, wala kudhalilisha utu wa mwanamke, ila ni vyema wakaendeleza misingi mizuri ya kimaadili,” alisema Zawadi.Aliwasihi wasanii kutojihusisha na tabia ya kusambaza video za nyimbo zisizokidhi maudhui katika mitandao ya kijamii, kwa kuwa wanaweza hata kuchukuliwa hatua za kisheria.Alisema msanii huyo anatakiwa pia kukamilisha taratibu za usajili wa kazi zake katika Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na kwa sasa imesitisha maonesho yake yote ya hadhara. Akizungumza na gazeti hili, msanii huyo alisema kwa sasa ameanza kufanyia kazi maelekezo hayo ya Wizara.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Zawadi Msalla, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, video hiyo haiendani na maadili ya Watanzania.Katika taarifa yake hiyo Zawadi alisema ni wakati wa wasanii kufikiria mara mbili kabla ya kuingiza kazi zao sokoni, kwa kuwa wanaweza kujiingiza katika matatizo. Pia alisema ni vyema kutafakari kwa kina kabla ya kubuni kazi zao za sanaa, kwa kuwa wanafanya kazi katika jamii za kitanzania, ambapo kuna ndugu, jamaa na marafiki wanaotaka kuona maadili yakifuatwa.“Ni vyema wasanii wakatambua sanaa sio uwanja wa kudhalilisha watu, wala kudhalilisha utu wa mwanamke, ila ni vyema wakaendeleza misingi mizuri ya kimaadili,” alisema Zawadi.Aliwasihi wasanii kutojihusisha na tabia ya kusambaza video za nyimbo zisizokidhi maudhui katika mitandao ya kijamii, kwa kuwa wanaweza hata kuchukuliwa hatua za kisheria.Alisema msanii huyo anatakiwa pia kukamilisha taratibu za usajili wa kazi zake katika Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na kwa sasa imesitisha maonesho yake yote ya hadhara. Akizungumza na gazeti hili, msanii huyo alisema kwa sasa ameanza kufanyia kazi maelekezo hayo ya Wizara. ### Response: MICHEZO ### End
Vibanda vya wamachinga vilivyokuwa vimejegwa jirani na jengo la Machinga Complexliliopo Ilala, Dar es Salaam vikiwa vimebomolewa na Halmashauri ya jiji hilo jana. MAULI MUYENJWA Na JOHANES RESPICHIUS -DAR ES SALAAM TAFRANI imezuka baada ya wafanyabiashara ndogondogo nje ya Jengo la Machinga Complex kuanzisha vurugu kwa kuchoma matairi barabarani wakipinga Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kubomoa mabanda yao usiku wa manane. Vurugu hizo ambazo zilitokea alfajiri jana zilisababisha usafiri wa magari katika eneo hilo kusimama kwa muda hadi askari wa Kikosi cha zima moto walifika na kuuzima moto huo pamoja na wale wa Kutuliza ghasia (FFU) ambao waliwasili na kudhibiti hali hiyo. MTANZANIA lilizungumza na baadhi ya Wamachina ambao walieleza kuwa kilichofanywa na halmashauri ya jiji hilo ni uvamizi na uonevu wa wazi. Mwenyekiti wa Wafanyabiashara hao, Abubakar Rakesh alisema kuwa halmashauri hiyo imekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli ambaye aliagiza wasibughudhiwe wala kuhamishwa katika maeneo yao bila kupatiwa sehemu nyingine nzuri. Alisema hata Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za mikoa na serikali za Mitaa (TAMISEMI) waliwaruhusu kuendelea kuwepo katika eneo hilo kutokana na changamoto ya biashara katika jengo hilo. “Tulishakaa tukaongea na liliamuliwa na kamati hiyo ya Bunge kuwa kutokana na changamoto za biashara katika eneo hili wateja hawapandi kwenye jengo hilo basi tushuke chini tufanye biashara na tukaacha vibanda vyetu juu na tulikuwa tunavilipia kwa maana ndio vilikuwa vinatupa uhalali wa kufanya biashara hapa chini. “Kilichotokea ni uvamizi, vibanda vimevunjwa usiku wa manane na kusababisha upotevu wa mali za wafanyabiashara hawa kama walitaka kufanya kihalali wangekuja muda ambao ni asubuhi ili tuhamishe vitu vyetu,”alisema Rakesh. Mfanyabishara mwingine, Pili Hassan aliyekuwa akifanya biashara ya viatu na mabegi na mali yake iliyopotea ilikuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 1.2.  Mfanyabiashara mwingine, Yohana William alisema kuwa vizimba ambavyo walipewa vimeuziwa watu wengine ambao sio wafanyabiashara na wamefungua ofisi zao ambazo hazihusiani na lengo la jengo hilo. “Tunajua wanachokitaka ni kutuondoa ili eneo hili waligeuze maegesho ya magari kwa maana wanajua ndio itakayowalipa lakini sisi tuko ndani ya soko na tunafanyiwa hivi tunauliza wale wanaofanyabiashara hizi barabarani wapo kisheria? alihoji William. Meneja wa soko hilo hakupatikana kuzungumzia suala hilo. Hata hivyo Mhasibu Mkuu wa soko hilo, Betha Mariki alisema kilichotokea ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene ambaye aliagiza kuondolewa kwa wafanyabiashara wasiofuata taratibu katika soko hilo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Vibanda vya wamachinga vilivyokuwa vimejegwa jirani na jengo la Machinga Complexliliopo Ilala, Dar es Salaam vikiwa vimebomolewa na Halmashauri ya jiji hilo jana. MAULI MUYENJWA Na JOHANES RESPICHIUS -DAR ES SALAAM TAFRANI imezuka baada ya wafanyabiashara ndogondogo nje ya Jengo la Machinga Complex kuanzisha vurugu kwa kuchoma matairi barabarani wakipinga Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kubomoa mabanda yao usiku wa manane. Vurugu hizo ambazo zilitokea alfajiri jana zilisababisha usafiri wa magari katika eneo hilo kusimama kwa muda hadi askari wa Kikosi cha zima moto walifika na kuuzima moto huo pamoja na wale wa Kutuliza ghasia (FFU) ambao waliwasili na kudhibiti hali hiyo. MTANZANIA lilizungumza na baadhi ya Wamachina ambao walieleza kuwa kilichofanywa na halmashauri ya jiji hilo ni uvamizi na uonevu wa wazi. Mwenyekiti wa Wafanyabiashara hao, Abubakar Rakesh alisema kuwa halmashauri hiyo imekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli ambaye aliagiza wasibughudhiwe wala kuhamishwa katika maeneo yao bila kupatiwa sehemu nyingine nzuri. Alisema hata Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za mikoa na serikali za Mitaa (TAMISEMI) waliwaruhusu kuendelea kuwepo katika eneo hilo kutokana na changamoto ya biashara katika jengo hilo. “Tulishakaa tukaongea na liliamuliwa na kamati hiyo ya Bunge kuwa kutokana na changamoto za biashara katika eneo hili wateja hawapandi kwenye jengo hilo basi tushuke chini tufanye biashara na tukaacha vibanda vyetu juu na tulikuwa tunavilipia kwa maana ndio vilikuwa vinatupa uhalali wa kufanya biashara hapa chini. “Kilichotokea ni uvamizi, vibanda vimevunjwa usiku wa manane na kusababisha upotevu wa mali za wafanyabiashara hawa kama walitaka kufanya kihalali wangekuja muda ambao ni asubuhi ili tuhamishe vitu vyetu,”alisema Rakesh. Mfanyabishara mwingine, Pili Hassan aliyekuwa akifanya biashara ya viatu na mabegi na mali yake iliyopotea ilikuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 1.2.  Mfanyabiashara mwingine, Yohana William alisema kuwa vizimba ambavyo walipewa vimeuziwa watu wengine ambao sio wafanyabiashara na wamefungua ofisi zao ambazo hazihusiani na lengo la jengo hilo. “Tunajua wanachokitaka ni kutuondoa ili eneo hili waligeuze maegesho ya magari kwa maana wanajua ndio itakayowalipa lakini sisi tuko ndani ya soko na tunafanyiwa hivi tunauliza wale wanaofanyabiashara hizi barabarani wapo kisheria? alihoji William. Meneja wa soko hilo hakupatikana kuzungumzia suala hilo. Hata hivyo Mhasibu Mkuu wa soko hilo, Betha Mariki alisema kilichotokea ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene ambaye aliagiza kuondolewa kwa wafanyabiashara wasiofuata taratibu katika soko hilo. ### Response: KITAIFA ### End
Magufuli alituma salam hizo jana kupitia Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na Sanaa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa kwa vyombo vya habari, Dk Magufuli alimtumia salamu za pongezi Waziri wa Wizara hiyo, Nape Nnauye afikishe salamu zake za pongezi kwa Samatta.“Rais Magufuli amemtaka Waziri Nnauye amfikishie salamu zake za pongezi kwa mchezaji huyo, ambaye pia anaichezea TP Mazembe,” imesema taarifa hiyo ikiongeza kuwa tuzo hiyo imejenga heshima kwa Samatta na Tanzania.Katika taarifa hiyo, Magufuli amewasihi wachezaji wa soka wote na wadau wa mchezo huo kuongeza juhudi kuuendeleza mchezo ili upige hatua zaidi kimaendeleo. Samatta alitwaa tuzo ya mchezaji bora juzi usiku iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) katika sherehe zilizofanyika Abuja, Nigeria.Mchezaji huyo alikuwa akipambana na wachezaji wengine wawili ambao ni Robert Kidiaba Muteba (wa TP Mazembe na Congo) na Baghdad Bounedjah (Algeria & Etoile du Sahel).Samatta alipata pointi 127, mbele ya mchezaji mwenzake wa TP Mazembe, kipa Kidiaba wa DRC aliyepata pointi 88, wakati mshambuliaji wa Etoile du Sahel ya Tunisia na timu ya taifa ya Algeria, Bounedjah alipata pointi 63.Mchezaji huyo wa Tanzania ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Afrika Mashariki kushinda tuzo kubwa ya Afrika. Mafanikio hayo yamekuja baada ya kuiwezesha Mazembe kutwaa taji la tano la Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akiibuka mfungaji bora kwa mabao yake manane.Mshambuliaji wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika kwa mara ya kwanza na kumshinda Yaya Toure wa Man City na Ivory Coast aliyekuwa akisaka tuzo hiyo kwa mara ya tano.Aubameyang wa Borussia Dortmund ya Ujerumani mwenye umri wa miaka 26, amewaangusha Toure aliyekuwa anashikilia tuzo hiyo na Andre Ayew wa Ghana. Amekusanya pointi 143, saba zaidi ya Toure wakati Ayew ameshika nafasi ya tatu kwa kupata pointi 112.Wakati huo huo, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametoa pia pongezi zake kwa mchezaji huyo. Naye, Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza Samatta kwa tuzo hiyo akisema kuwa, itawatia moyo wachezaji wengine wa ndani wa Tanzania kubadilika katika mtizamo wa kucheza soka la kulipwa.“Tuzo hiyo itawafanya wachezaji wengine wa Tanzania kucheza katika kiwango cha juu sio tu katika kujipandisha wao wenyewe, bali kuisaidia timu ya taifa hasa katika mashindano ya kimataifa,” alisema.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Magufuli alituma salam hizo jana kupitia Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na Sanaa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa kwa vyombo vya habari, Dk Magufuli alimtumia salamu za pongezi Waziri wa Wizara hiyo, Nape Nnauye afikishe salamu zake za pongezi kwa Samatta.“Rais Magufuli amemtaka Waziri Nnauye amfikishie salamu zake za pongezi kwa mchezaji huyo, ambaye pia anaichezea TP Mazembe,” imesema taarifa hiyo ikiongeza kuwa tuzo hiyo imejenga heshima kwa Samatta na Tanzania.Katika taarifa hiyo, Magufuli amewasihi wachezaji wa soka wote na wadau wa mchezo huo kuongeza juhudi kuuendeleza mchezo ili upige hatua zaidi kimaendeleo. Samatta alitwaa tuzo ya mchezaji bora juzi usiku iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) katika sherehe zilizofanyika Abuja, Nigeria.Mchezaji huyo alikuwa akipambana na wachezaji wengine wawili ambao ni Robert Kidiaba Muteba (wa TP Mazembe na Congo) na Baghdad Bounedjah (Algeria & Etoile du Sahel).Samatta alipata pointi 127, mbele ya mchezaji mwenzake wa TP Mazembe, kipa Kidiaba wa DRC aliyepata pointi 88, wakati mshambuliaji wa Etoile du Sahel ya Tunisia na timu ya taifa ya Algeria, Bounedjah alipata pointi 63.Mchezaji huyo wa Tanzania ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Afrika Mashariki kushinda tuzo kubwa ya Afrika. Mafanikio hayo yamekuja baada ya kuiwezesha Mazembe kutwaa taji la tano la Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akiibuka mfungaji bora kwa mabao yake manane.Mshambuliaji wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika kwa mara ya kwanza na kumshinda Yaya Toure wa Man City na Ivory Coast aliyekuwa akisaka tuzo hiyo kwa mara ya tano.Aubameyang wa Borussia Dortmund ya Ujerumani mwenye umri wa miaka 26, amewaangusha Toure aliyekuwa anashikilia tuzo hiyo na Andre Ayew wa Ghana. Amekusanya pointi 143, saba zaidi ya Toure wakati Ayew ameshika nafasi ya tatu kwa kupata pointi 112.Wakati huo huo, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametoa pia pongezi zake kwa mchezaji huyo. Naye, Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza Samatta kwa tuzo hiyo akisema kuwa, itawatia moyo wachezaji wengine wa ndani wa Tanzania kubadilika katika mtizamo wa kucheza soka la kulipwa.“Tuzo hiyo itawafanya wachezaji wengine wa Tanzania kucheza katika kiwango cha juu sio tu katika kujipandisha wao wenyewe, bali kuisaidia timu ya taifa hasa katika mashindano ya kimataifa,” alisema. ### Response: MICHEZO ### End
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevunja rekodi ya ufanisi wa makusanyo ya asilimia 100.20 kwa mwezi tangu ianzishwe miaka 23 iliyopita, kwa kukusanya Sh trilioni 1.987 Desemba 2019 kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.983, ikiwa ni ongezeko la Sh bilioni tano.Kwa mara ya kwanza, TRA Septemba mwaka jana iliandika rekodi ya kukusanya Sh trilioni 1.767 iliyokuwa sawa na asilimia 97.20 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 1.817.Aidha katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2019/2020 inayohusisha Oktoba, Novemba na Desemba, TRA imefanikiwa kukusanya mapato ya jumla ya Sh trilioni 4.972 sawa na ufanisi wa asilimia 97.49 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 5.100.Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu makusanyo ya kodi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2019, Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Edwin Mhede alisema baada ya makusanyo ya Septemba mwaka jana kuvunja rekodi, Desemba imevunja rekodi zaidi tangu mamlaka hiyo ianzishwe mwaka 1996.Dk Mhede alisema pamoja na kwamba makusanyo ya kodi katika miezi hailingani moja kwa moja, lakini miezi ya kikodi ya Septemba na Desemba inawiana, hivyo TRA imevunja rekodi yake yenyewe iliyoiandika Septemba mwaka jana.“Makusanyo haya ya Desemba mwaka 2019 ni sawa na ufanisi wa asilimia 100.20 kutoka katika lengo la kukusanya Sh trilioni 1.983 katika kipindi hicho ambayo ni ukuaji wa wastani wa asilimia 22.05 ikilinganishwa na makusanyo ya Sh trilioni 1.628 kwa Desemba mwaka 2018,” alisema.Kamishna Mkuu huyo alisema katika robo ya pili ya mwaka 2019/2020 kwa ujumla, ufanisi umeongezeka baada ya makusanyo ya Sh trilioni 4.972 kuwa sawa na ukuaji wa asilimia 19.78 ikilinganishwa na kipindi kama hicho kwa robo ya pili ya mwaka 2018/2019 ambapo TRA ilikusanya Sh trilioni 4.151 ikiwa ni sawa na ufanisi wa asilimia 87.59 kutoka katika lengo la kukusanya Sh trilioni 4.739.Akieleza makusanyo ya Oktoba na Novemba, Dk Mhede alisema Oktoba mwaka jana mamlaka hiyo ilikusanya Sh trilioni 1.484 na Novemba ilikusanya Sh trilioni 1.501.“Makusanyo haya yalikuwa ni sawa na ufanisi wa asilimia 93.98 kwa Oktoba kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.579 na asilimia 97.59 kwa Novemba kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.538,” alisema.Alisema makusanyo hayo, yanaonesha ukuaji wa asilimia 14.40 kwa Oktoba na asilimia 23.31 kwa Novemba kulinganisha na makusanyo ya Oktoba 2018 na Novemba 2018.“Makusanyo haya ni muendelezo wa kiashiria cha wazi kwamba walipakodi na Watanzania walio wengi wameendelea kuelewa, kukubali na kuitikia wito wa Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais John Magufuli wa kuongeza mapato ya ndani kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu,” alisema.Dk Mhede alimshukuru Rais Magufuli, kwa kufuatilia na kuweka msingi imara wa uelewa kwa Watanzania umuhimu wa kulipa kodi na kuonesha kwa vitendo namna kodi zao, zinavyotekeleza miradi mbalimbali mikubwa ya kimaendeleo nchini.Alisema mafanikio hayo, si ya serikali peke yake, bali ni ya walipa kodi wote wa Tanzania na mamlaka hiyo inajivunia wananchi na wafanyabiashara wote, wanaotekeleza wajibu wao bila kushurutishwa kwa mujibu wa sheria.Alisema TRA itaendelea kuweka nguvu katika kukusanya kodi, kwani pamoja na mafanikio hayo, inaamini bado hawajafika mahali pa kuridhika na ukusanyaji huo, hivyo watawatumia wataalamu wa ndani kutengeneza mifumo ya kitekkolojia ya kuongeza mapato nchini.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevunja rekodi ya ufanisi wa makusanyo ya asilimia 100.20 kwa mwezi tangu ianzishwe miaka 23 iliyopita, kwa kukusanya Sh trilioni 1.987 Desemba 2019 kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.983, ikiwa ni ongezeko la Sh bilioni tano.Kwa mara ya kwanza, TRA Septemba mwaka jana iliandika rekodi ya kukusanya Sh trilioni 1.767 iliyokuwa sawa na asilimia 97.20 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 1.817.Aidha katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2019/2020 inayohusisha Oktoba, Novemba na Desemba, TRA imefanikiwa kukusanya mapato ya jumla ya Sh trilioni 4.972 sawa na ufanisi wa asilimia 97.49 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 5.100.Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu makusanyo ya kodi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2019, Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Edwin Mhede alisema baada ya makusanyo ya Septemba mwaka jana kuvunja rekodi, Desemba imevunja rekodi zaidi tangu mamlaka hiyo ianzishwe mwaka 1996.Dk Mhede alisema pamoja na kwamba makusanyo ya kodi katika miezi hailingani moja kwa moja, lakini miezi ya kikodi ya Septemba na Desemba inawiana, hivyo TRA imevunja rekodi yake yenyewe iliyoiandika Septemba mwaka jana.“Makusanyo haya ya Desemba mwaka 2019 ni sawa na ufanisi wa asilimia 100.20 kutoka katika lengo la kukusanya Sh trilioni 1.983 katika kipindi hicho ambayo ni ukuaji wa wastani wa asilimia 22.05 ikilinganishwa na makusanyo ya Sh trilioni 1.628 kwa Desemba mwaka 2018,” alisema.Kamishna Mkuu huyo alisema katika robo ya pili ya mwaka 2019/2020 kwa ujumla, ufanisi umeongezeka baada ya makusanyo ya Sh trilioni 4.972 kuwa sawa na ukuaji wa asilimia 19.78 ikilinganishwa na kipindi kama hicho kwa robo ya pili ya mwaka 2018/2019 ambapo TRA ilikusanya Sh trilioni 4.151 ikiwa ni sawa na ufanisi wa asilimia 87.59 kutoka katika lengo la kukusanya Sh trilioni 4.739.Akieleza makusanyo ya Oktoba na Novemba, Dk Mhede alisema Oktoba mwaka jana mamlaka hiyo ilikusanya Sh trilioni 1.484 na Novemba ilikusanya Sh trilioni 1.501.“Makusanyo haya yalikuwa ni sawa na ufanisi wa asilimia 93.98 kwa Oktoba kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.579 na asilimia 97.59 kwa Novemba kutoka lengo la kukusanya Sh trilioni 1.538,” alisema.Alisema makusanyo hayo, yanaonesha ukuaji wa asilimia 14.40 kwa Oktoba na asilimia 23.31 kwa Novemba kulinganisha na makusanyo ya Oktoba 2018 na Novemba 2018.“Makusanyo haya ni muendelezo wa kiashiria cha wazi kwamba walipakodi na Watanzania walio wengi wameendelea kuelewa, kukubali na kuitikia wito wa Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais John Magufuli wa kuongeza mapato ya ndani kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu,” alisema.Dk Mhede alimshukuru Rais Magufuli, kwa kufuatilia na kuweka msingi imara wa uelewa kwa Watanzania umuhimu wa kulipa kodi na kuonesha kwa vitendo namna kodi zao, zinavyotekeleza miradi mbalimbali mikubwa ya kimaendeleo nchini.Alisema mafanikio hayo, si ya serikali peke yake, bali ni ya walipa kodi wote wa Tanzania na mamlaka hiyo inajivunia wananchi na wafanyabiashara wote, wanaotekeleza wajibu wao bila kushurutishwa kwa mujibu wa sheria.Alisema TRA itaendelea kuweka nguvu katika kukusanya kodi, kwani pamoja na mafanikio hayo, inaamini bado hawajafika mahali pa kuridhika na ukusanyaji huo, hivyo watawatumia wataalamu wa ndani kutengeneza mifumo ya kitekkolojia ya kuongeza mapato nchini. ### Response: KITAIFA ### End
NA CHRISTOPHER MSEKENA SHEREHE za watoto wa mastaa katika fani mbalimbali nchini zinaendelea kushika chati, baada ya mtoto wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Lattifah Abdul ‘Tiffah’ kufanyiwa sherehe kubwa jana. Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa msanii huyo Tegeta kama baadhi ya mastaa waliowawahi kuwafanyia sherehe watoto wao walipozaliwa akiwemo, Zamaradi Mketema, Aunt Ezekiel, Mboni Masimba, Hbaba, Flora Mvungi na wengine wengi. Wazazi wake wameweza kumficha sura kwa muda wote ambao alikuwa hajatimiza siku arobaini licha ya kufichwa sura ameweza kupata dili ya kuwa balozi wa maduka mawili makubwa, moja ni duka la nguo za watoto Msasani City Mall baby shop pamoja na Super Market iliyopo Pugu ‘Pugu Mall’.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA CHRISTOPHER MSEKENA SHEREHE za watoto wa mastaa katika fani mbalimbali nchini zinaendelea kushika chati, baada ya mtoto wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Lattifah Abdul ‘Tiffah’ kufanyiwa sherehe kubwa jana. Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa msanii huyo Tegeta kama baadhi ya mastaa waliowawahi kuwafanyia sherehe watoto wao walipozaliwa akiwemo, Zamaradi Mketema, Aunt Ezekiel, Mboni Masimba, Hbaba, Flora Mvungi na wengine wengi. Wazazi wake wameweza kumficha sura kwa muda wote ambao alikuwa hajatimiza siku arobaini licha ya kufichwa sura ameweza kupata dili ya kuwa balozi wa maduka mawili makubwa, moja ni duka la nguo za watoto Msasani City Mall baby shop pamoja na Super Market iliyopo Pugu ‘Pugu Mall’. ### Response: BURUDANI ### End
WAZEE wasiojiweza wanaoishi kwenye Kituo cha Funga Funga kilichopo Manispaa ya Morogoro, wamemuombea afya njema Rais John Magufuli ili aweze kuliongoza vyema taifa liweze kufi kia maendeleo ya uchumi wa kati unaotokana na viwanda.Mwenyekiti wa Wazee wa Kituo hicho, Joseph Kaniki alisema hayo wakati alipotoa shukrani kwa niaba ya wenzake baada ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Sheilla Lukuba kuwatembelea juzi na kutoa zawadi ya runinga na king’amuzi cha Star Times, vyote vikiwa na vyenye thamani ya Sh 670,000.“Sisi wazee tunaoishi hapa tunaushukuru uongozi wa Manispaa ya Morogoro kwa kutekeleza kile tulichokiomba na pia tunazidi kumuombea Rais Dk John Magufuli afya njema ili aweze kuiongoza vyema Tanzania katika kufikia maendeleo ya uchumi wa kati na wa viwanda,” alisema Kaniki.Lukuba aliwakabidhi runinga ya kisasa ili kuwafanya wazee hao, waweze kufuatilia na kuangalia taarifa mbalimbali za miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali. Ofisa Mfawidhi wa Kituo hicho, Yolanda Komba alimshukuru Mkurugenzi wa Manispaa na Idara ya Ustawi wa Jamii, kwa kuwa karibu na kuwasaidia huduma mbalimbali ikiwamo kuwapatia msaada na kuwajali wazee hao wenye mahitaji muhimu .“Kituo na wazee kwa ujumla wetu tunakutakia kazi njema katika kutekeleza majukumu yako na kuanza mwaka mpya kwa mafanikio zaidi, “ alisema Komba.Katika hatua nyingine, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wamekabidhi msaada wa vyakula na vinywaji baridi vyenye thamani ya Sh 1,008,000 kwa Kituo cha Watoto Yatima Mgolole.Chonjo alisema ofisi yake na ya Manispaa, wataendelea kushirikiana na wakazi wa Mgolole kilipo kituo hicho, kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro ili kuona namna ya kukabiliana na changamoto zinazojitokeza .“Nimefurahishwa na huduma mnazowapatia watoto wetu, kwa kweli mnastahili pongezi kubwa, ni wachache wenye moyo kama wenu wa kuwasaidia hawa watoto, msikate tamaa endeleeni na malezi bora, Mwenyezi Mungu atawabariki sana… tumewaleteeni hiki kidogo ikiwa ni sehemu yetu ya kusherehekea Mwaka Mpya na watoto wetu wajisikie huru na amani badala ya kuwa wapweke,”alisema Chonjo.Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, alisema huo ni mwendelezo wa ahadi zilizotolewa na mkuu wa wilaya kushirikiana vyema. Alimshauri mlezi wa Kituo Cha Watoto Yatima Mgolole, kuendelea na moyo wa kuwasaidia watoto hao hadi pale watakapopata mwanga wa maisha yao, ikiwemo kuwapatia elimu bila malipo inayotolewa na serikali. Mlezi wa Makazi hayo, Sista Palagia Maria alimshukuru mkuu huyo wa wilaya na mkurugenzi kwa kuwa karibu nao. Alisema kituo hicho kinategemea kupata misaada ya aina mbalimbali kutoka kwa jamii na wahisani.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZEE wasiojiweza wanaoishi kwenye Kituo cha Funga Funga kilichopo Manispaa ya Morogoro, wamemuombea afya njema Rais John Magufuli ili aweze kuliongoza vyema taifa liweze kufi kia maendeleo ya uchumi wa kati unaotokana na viwanda.Mwenyekiti wa Wazee wa Kituo hicho, Joseph Kaniki alisema hayo wakati alipotoa shukrani kwa niaba ya wenzake baada ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Sheilla Lukuba kuwatembelea juzi na kutoa zawadi ya runinga na king’amuzi cha Star Times, vyote vikiwa na vyenye thamani ya Sh 670,000.“Sisi wazee tunaoishi hapa tunaushukuru uongozi wa Manispaa ya Morogoro kwa kutekeleza kile tulichokiomba na pia tunazidi kumuombea Rais Dk John Magufuli afya njema ili aweze kuiongoza vyema Tanzania katika kufikia maendeleo ya uchumi wa kati na wa viwanda,” alisema Kaniki.Lukuba aliwakabidhi runinga ya kisasa ili kuwafanya wazee hao, waweze kufuatilia na kuangalia taarifa mbalimbali za miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali. Ofisa Mfawidhi wa Kituo hicho, Yolanda Komba alimshukuru Mkurugenzi wa Manispaa na Idara ya Ustawi wa Jamii, kwa kuwa karibu na kuwasaidia huduma mbalimbali ikiwamo kuwapatia msaada na kuwajali wazee hao wenye mahitaji muhimu .“Kituo na wazee kwa ujumla wetu tunakutakia kazi njema katika kutekeleza majukumu yako na kuanza mwaka mpya kwa mafanikio zaidi, “ alisema Komba.Katika hatua nyingine, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wamekabidhi msaada wa vyakula na vinywaji baridi vyenye thamani ya Sh 1,008,000 kwa Kituo cha Watoto Yatima Mgolole.Chonjo alisema ofisi yake na ya Manispaa, wataendelea kushirikiana na wakazi wa Mgolole kilipo kituo hicho, kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro ili kuona namna ya kukabiliana na changamoto zinazojitokeza .“Nimefurahishwa na huduma mnazowapatia watoto wetu, kwa kweli mnastahili pongezi kubwa, ni wachache wenye moyo kama wenu wa kuwasaidia hawa watoto, msikate tamaa endeleeni na malezi bora, Mwenyezi Mungu atawabariki sana… tumewaleteeni hiki kidogo ikiwa ni sehemu yetu ya kusherehekea Mwaka Mpya na watoto wetu wajisikie huru na amani badala ya kuwa wapweke,”alisema Chonjo.Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, alisema huo ni mwendelezo wa ahadi zilizotolewa na mkuu wa wilaya kushirikiana vyema. Alimshauri mlezi wa Kituo Cha Watoto Yatima Mgolole, kuendelea na moyo wa kuwasaidia watoto hao hadi pale watakapopata mwanga wa maisha yao, ikiwemo kuwapatia elimu bila malipo inayotolewa na serikali. Mlezi wa Makazi hayo, Sista Palagia Maria alimshukuru mkuu huyo wa wilaya na mkurugenzi kwa kuwa karibu nao. Alisema kituo hicho kinategemea kupata misaada ya aina mbalimbali kutoka kwa jamii na wahisani. ### Response: KITAIFA ### End
Pia alimwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo mkoani kuhakikisha anaimarisha vyama vya michezo na kuwa na programu ya kuendeleza michezo katika mkoa huo ambao uko nyuma kimichezo .Nape alitoa maagizo hayo kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Zelothe Steven kumuomba ahamishie mkoani humo moja ya timu zinazomilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) .“Hivyo tunatumia fursa hii kukuomba Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutusaidia katika hilo ili kuleta chachu ya maendeleo ya michezo katika mkoa wetu, “ alisisitiza Zelothe .Kwa upande wake Nape, alisisitiza kuwa iwapo vyama vya michezo vikiimarishwa na kuwa na programu maalumu ya kuendeleza michezo itaweza kuwa na timu za michezo imara badala ya kutaka kuwa na timu kutoka nje ya mkoa.Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Rukwa (Rurefa), kwa zaidi ya miaka 20 hakijawa na timu inayocheza Ligi Kuu, hivyo kusababisha wapenzi wa soka kufunga safari hadi Mbeya kushuhudia mashindano ya Ligi Kuu.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Pia alimwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo mkoani kuhakikisha anaimarisha vyama vya michezo na kuwa na programu ya kuendeleza michezo katika mkoa huo ambao uko nyuma kimichezo .Nape alitoa maagizo hayo kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Zelothe Steven kumuomba ahamishie mkoani humo moja ya timu zinazomilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) .“Hivyo tunatumia fursa hii kukuomba Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutusaidia katika hilo ili kuleta chachu ya maendeleo ya michezo katika mkoa wetu, “ alisisitiza Zelothe .Kwa upande wake Nape, alisisitiza kuwa iwapo vyama vya michezo vikiimarishwa na kuwa na programu maalumu ya kuendeleza michezo itaweza kuwa na timu za michezo imara badala ya kutaka kuwa na timu kutoka nje ya mkoa.Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Rukwa (Rurefa), kwa zaidi ya miaka 20 hakijawa na timu inayocheza Ligi Kuu, hivyo kusababisha wapenzi wa soka kufunga safari hadi Mbeya kushuhudia mashindano ya Ligi Kuu. ### Response: MICHEZO ### End
AY na Remmy walifunga ndoa Februair 10 Kigali Rwanda na harusi ikafanyika kwenye hoteli ya Golden Tulip jijini humo. Remmy ni Mrwanda.Harusi ya Dar es Salaam imefanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Golden Tulip iliyopo kando ya Bahari ya Hindi, Oysterbay Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali.Baadhi ya wasanii hao nyota wengi wao wakiwa ni wanamuziki ni pamoja na Lady Jaydee, Mwana FA, Salama Jabir, Profesa Jay (Joseph Haule), Fid Q na wengine kibao.Sherehe hiyo imefanyika wiki tatu baada ya AY, familia yake, ndugu, jamaa na marafiki kwenda Rwanda kulipa mahali kwa ajili ya kumuoa mpenzi wake huyo wa muda mrefu.AY amepata tuzo kibao katika muziki ndani na nchi ya nchi, ambapo alitwaa tuzo ya kibao bora cha Hip Hop (Usijaribu) mwaka 2017, huku akipewa tuzo ya Kisima ya video bora ya Usijaribu na tuzo nyingine kibao.Msanii huyo alizaliwa Julai 5 mwaka 1981 mkoani Mtwara na kuanza shughuli za muziki akiwa na Kundi la S.O.G. mwaka 1996.Aliamua kuachana na kundi hilo na kuwa msanii wa kujitegemea mwaka 2002 na ni mmoja wa wanamuziki wa Tanzania kufanya kibiashara muziki wa hip hop.Pia amewahi kushindana katika tuzo mbalimbali kama zile za MTV, Channel O na zingine.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- AY na Remmy walifunga ndoa Februair 10 Kigali Rwanda na harusi ikafanyika kwenye hoteli ya Golden Tulip jijini humo. Remmy ni Mrwanda.Harusi ya Dar es Salaam imefanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Golden Tulip iliyopo kando ya Bahari ya Hindi, Oysterbay Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali.Baadhi ya wasanii hao nyota wengi wao wakiwa ni wanamuziki ni pamoja na Lady Jaydee, Mwana FA, Salama Jabir, Profesa Jay (Joseph Haule), Fid Q na wengine kibao.Sherehe hiyo imefanyika wiki tatu baada ya AY, familia yake, ndugu, jamaa na marafiki kwenda Rwanda kulipa mahali kwa ajili ya kumuoa mpenzi wake huyo wa muda mrefu.AY amepata tuzo kibao katika muziki ndani na nchi ya nchi, ambapo alitwaa tuzo ya kibao bora cha Hip Hop (Usijaribu) mwaka 2017, huku akipewa tuzo ya Kisima ya video bora ya Usijaribu na tuzo nyingine kibao.Msanii huyo alizaliwa Julai 5 mwaka 1981 mkoani Mtwara na kuanza shughuli za muziki akiwa na Kundi la S.O.G. mwaka 1996.Aliamua kuachana na kundi hilo na kuwa msanii wa kujitegemea mwaka 2002 na ni mmoja wa wanamuziki wa Tanzania kufanya kibiashara muziki wa hip hop.Pia amewahi kushindana katika tuzo mbalimbali kama zile za MTV, Channel O na zingine. ### Response: MICHEZO ### End
NA MWALI IBRAHIM MSANII wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa. Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo. “Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na hilo, nimeuvaa uhusika huo ili kutoa somo hilo kwa mashabiki wangu,” alisema. Filamu hiyo imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo mwanamama aliyejaa vituko, Asha Boko.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA MWALI IBRAHIM MSANII wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa. Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo. “Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na hilo, nimeuvaa uhusika huo ili kutoa somo hilo kwa mashabiki wangu,” alisema. Filamu hiyo imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo mwanamama aliyejaa vituko, Asha Boko. ### Response: BURUDANI ### End
Na MWANDISHI WETU -ARUSHA BENKI ya Exim Tanzania imechangia Sh milioni 25 kwa ununuzi wa vitanda pacha 47 vya hosteli ya wanafunzi wa Shule mpya ya Sekondari Mrisho Gambo iliyopo mkoani Arusha.  Hatua hiyo ni mwendelezo wa benki hiyo kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini. Akizungumza jana jijini hapa, wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo iliyoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Exim Tanzania, Jaffari Matundu alisema mchango huo ni sehemu ya mpango wa uwajibikaji kwa jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo ukifahamika kwa jina la Exim Cares, ukilenga kusaidia jamii. “Benki ya Exim tunaamini kuwa tunalo jukumu kubwa la kufanya katika kuwezesha mabadiliko chanya katika jamii zinazotuzunguka.  “Elimu ni kati ya maeneo yetu ya kuzingatia na mpango huu unaendana na mkakati wetu wa kubadilisha maisha ya wanafunzi chini ya mpango wa Exim Cares kupitia vitendo endelevu. “Benki ya Exim tunavutiwa zaidi katika kuleta athari chanya kwenye jamii ambazo tunatoa huduma zetu, hivyo kwa kuangalia nafasi yetu tumeona kwamba kwenye hili tunaweza kusaidia vitanda pacha vipatavyo 47 vikiwa na uwezo wa kubeba wanafunzi zaidi ya 100,” alisema Matundu. Alitoa wito kwa taasisi na wadau mbalimbali nchini kuhakikisha wanawekeza kwenye uwezeshaji wa vijana kupitia elimu kutokana na ukweli kuwa bado wanakabiliwa na changamoto nyingi. Alipongeza Serikali kwa kutoa elimu ya msingi bure kwa watoto wote, hatua ambayo imekuwa ni msaada mkubwa kwa watoto wanaopitia changamoto mbalimbali za kiuchumi wakiwamo yatima, wenye mahitaji maalumu ya kielimu pamoja na vikundi vingine vyenye vya watoto wanaoishi mazingira magumu. Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Gambo, aliipongeza benki hiyo kwa msaada huo, huku akibainisha kuwa umetolewa kwa wakati mwafaka. “Kupitia msaada huu kutoka Benki ya Exim tutaweza kuwasaidia wanafunzi wetu kukaa hosteli, hasa wale ambao kwa sasa wanatembea umbali mrefu kwenda na kurudi.  “Kwa kweli kupitia msaada huu utawawezesha kujifunza vizuri na kutambua ndoto zao za masomo,” alisema Gambo. Alisema kuwa mahitaji ya mradi huo ni vitanda 100 na magodoro ambavyo vitagharimu Sh milioni 53.7.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI WETU -ARUSHA BENKI ya Exim Tanzania imechangia Sh milioni 25 kwa ununuzi wa vitanda pacha 47 vya hosteli ya wanafunzi wa Shule mpya ya Sekondari Mrisho Gambo iliyopo mkoani Arusha.  Hatua hiyo ni mwendelezo wa benki hiyo kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini. Akizungumza jana jijini hapa, wakati wa hafla ya kukabidhi msaada huo iliyoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Exim Tanzania, Jaffari Matundu alisema mchango huo ni sehemu ya mpango wa uwajibikaji kwa jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo ukifahamika kwa jina la Exim Cares, ukilenga kusaidia jamii. “Benki ya Exim tunaamini kuwa tunalo jukumu kubwa la kufanya katika kuwezesha mabadiliko chanya katika jamii zinazotuzunguka.  “Elimu ni kati ya maeneo yetu ya kuzingatia na mpango huu unaendana na mkakati wetu wa kubadilisha maisha ya wanafunzi chini ya mpango wa Exim Cares kupitia vitendo endelevu. “Benki ya Exim tunavutiwa zaidi katika kuleta athari chanya kwenye jamii ambazo tunatoa huduma zetu, hivyo kwa kuangalia nafasi yetu tumeona kwamba kwenye hili tunaweza kusaidia vitanda pacha vipatavyo 47 vikiwa na uwezo wa kubeba wanafunzi zaidi ya 100,” alisema Matundu. Alitoa wito kwa taasisi na wadau mbalimbali nchini kuhakikisha wanawekeza kwenye uwezeshaji wa vijana kupitia elimu kutokana na ukweli kuwa bado wanakabiliwa na changamoto nyingi. Alipongeza Serikali kwa kutoa elimu ya msingi bure kwa watoto wote, hatua ambayo imekuwa ni msaada mkubwa kwa watoto wanaopitia changamoto mbalimbali za kiuchumi wakiwamo yatima, wenye mahitaji maalumu ya kielimu pamoja na vikundi vingine vyenye vya watoto wanaoishi mazingira magumu. Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Gambo, aliipongeza benki hiyo kwa msaada huo, huku akibainisha kuwa umetolewa kwa wakati mwafaka. “Kupitia msaada huu kutoka Benki ya Exim tutaweza kuwasaidia wanafunzi wetu kukaa hosteli, hasa wale ambao kwa sasa wanatembea umbali mrefu kwenda na kurudi.  “Kwa kweli kupitia msaada huu utawawezesha kujifunza vizuri na kutambua ndoto zao za masomo,” alisema Gambo. Alisema kuwa mahitaji ya mradi huo ni vitanda 100 na magodoro ambavyo vitagharimu Sh milioni 53.7. ### Response: KITAIFA ### End
Senegal wamefanikiwa kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya Fainali za Michuano ya Afcon 2019 baada ya kuitungua Uganda bao 1-0 kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora. Mapema tu katika dakika za awali, kulishuhudiwa mapambano makali, hali iliyosababisha mwamuzi kutoa kadi tatu za njano kutokana na mchezo usio wa kiungwana baina ya wachezaji. Nyota wa Senegal Sadio Mane aliwapa Senegal bao la uongozi mapema kabisa baada ya kupokea pasi kutoka kwa M’Baye Ning ambaye alitumia vizuri makosa ya mlinzi wa Uganda Godfrey Walusimbi aliyepoteza mpira kizembe. Uganda walijitahidi kutaka kusawazisha bao mara kadhaa lakini juhudi zao ziligonga mwamba ikiwemo shuti kali la Emmanuel Okwi lililookolewa na mlinda lango wa Senegeal Alfred Gomis Kipa na nahodha wa Uganda Dennis Onyango alizawadiwa kazi ya manjano baada ya kumchezea madhambi nje kidogo ya eneo la penati Sadio Mane dakika kumi tu baada ya mchezo kuanza. Mane, ambaye kwa sasa ndiyo anyeongoza kwa magoli katika michuano hiyo akiwa na magoli 3 kibindoni alikosa mkwaju wa penati katika mchezo huo. Hii ni mara ya pili anakosa penati katika michuano hii baada ya ile aliyokosa katika mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ #SENOUG Sadio Mane rate un penalty à la 60e mn de jeu pic.twitter.com/yHbI8oAogw — dakarecho (@dakarecho) July 5, 2019 Kwa upande wake Benin iliichapa Morocco mabao 4-1 kupitia mikwaju ya penati na kujikatia tiketi ya robo fainali ya michuano hiyo. Mama Seibou ndiye aliyeweka kimyani penati ya ushindi na kuisogeza mbele timu ya Benin iliyokuwa na wachezaji 10 baada ya Khaled Adenon kutolewa uwanjani katika muda wa ziada wa mchezo huo. Katika mechi hiyo ya kusisimua uliyochezwa mjini Cairo, Moise Adilehou aliiweka Benin kifua mbele kabla ya Youssef En-Nesyri kusawazisha bao hilo. Morocco walikua na nafasi ya kushinda katika muda wa kawaida lakini penati ya Hakim Ziyech iligonga mlango wa goli na mpira ukatoka nje. Benin walifunga penati zao zote kupitia wachezaji Olivier Verdon, David Djigla na Tidjani Anaane kabla ya juhudi za Seibou kukamilisha mechi hiyo kwa shangwe kubwa nje na ndani ya uwanja wa Al Salam. Benin ambao wanashiriki kwa mara ya nne mashindano ya Afcon sasa watakipiga na Senegal katika awamu ya ribo fainali itakayochezwa Julai 10. Uganda Cranes XI: Denis Onyango, Bevis Kristofer Kizito Mugabi Godfrey Walusimbi, Murushid Juuko, Hassan Wasswa Mawanda, Mike Azira, Emmanuel Arnold Okwi, Khalid Aucho, Faruku Miya, Patrick Henry Kaddu, Abdu Lumala Subs: Robert Odongkara (G.K), Salim Omar Magoola (G.K), Timothy Denis Awany, Joseph Benson Ochaya, Tadeo Lwanga, William Luwaga Kizito, Paul Derrick Nsibambi, Allan Kateregga, Ronald Mukiibi Ddungu, Isaac Muleme, Nico Wakiro Wadada, Allan Kyambadde Senegal Terenga Lions XI: Alfred Junior Amigo Gomis (G.K), Lamine Gassama, Youssouf Sabaly, Kalidou Koulibaly, Cheikhou Kouyate (Captain), Idrissa Gana Gueye, Papa Alioune Ndiaye, Henri Gregoire Saivet, Ismaila Sarr, Sadio Mane, Mbaye Hamady Niang Subs: Abdoulaye Diallo (G.K), Ciss Saliou, Pape Cisse, Salif Sane, Moussa Konate, Keita Balde, Alfred Ndiaye, Krepin Diatta, Mbaye Diagne, Sada Thioub, Moussa Wagne    
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Senegal wamefanikiwa kukata tiketi ya kutinga robo fainali ya Fainali za Michuano ya Afcon 2019 baada ya kuitungua Uganda bao 1-0 kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora. Mapema tu katika dakika za awali, kulishuhudiwa mapambano makali, hali iliyosababisha mwamuzi kutoa kadi tatu za njano kutokana na mchezo usio wa kiungwana baina ya wachezaji. Nyota wa Senegal Sadio Mane aliwapa Senegal bao la uongozi mapema kabisa baada ya kupokea pasi kutoka kwa M’Baye Ning ambaye alitumia vizuri makosa ya mlinzi wa Uganda Godfrey Walusimbi aliyepoteza mpira kizembe. Uganda walijitahidi kutaka kusawazisha bao mara kadhaa lakini juhudi zao ziligonga mwamba ikiwemo shuti kali la Emmanuel Okwi lililookolewa na mlinda lango wa Senegeal Alfred Gomis Kipa na nahodha wa Uganda Dennis Onyango alizawadiwa kazi ya manjano baada ya kumchezea madhambi nje kidogo ya eneo la penati Sadio Mane dakika kumi tu baada ya mchezo kuanza. Mane, ambaye kwa sasa ndiyo anyeongoza kwa magoli katika michuano hiyo akiwa na magoli 3 kibindoni alikosa mkwaju wa penati katika mchezo huo. Hii ni mara ya pili anakosa penati katika michuano hii baada ya ile aliyokosa katika mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ #SENOUG Sadio Mane rate un penalty à la 60e mn de jeu pic.twitter.com/yHbI8oAogw — dakarecho (@dakarecho) July 5, 2019 Kwa upande wake Benin iliichapa Morocco mabao 4-1 kupitia mikwaju ya penati na kujikatia tiketi ya robo fainali ya michuano hiyo. Mama Seibou ndiye aliyeweka kimyani penati ya ushindi na kuisogeza mbele timu ya Benin iliyokuwa na wachezaji 10 baada ya Khaled Adenon kutolewa uwanjani katika muda wa ziada wa mchezo huo. Katika mechi hiyo ya kusisimua uliyochezwa mjini Cairo, Moise Adilehou aliiweka Benin kifua mbele kabla ya Youssef En-Nesyri kusawazisha bao hilo. Morocco walikua na nafasi ya kushinda katika muda wa kawaida lakini penati ya Hakim Ziyech iligonga mlango wa goli na mpira ukatoka nje. Benin walifunga penati zao zote kupitia wachezaji Olivier Verdon, David Djigla na Tidjani Anaane kabla ya juhudi za Seibou kukamilisha mechi hiyo kwa shangwe kubwa nje na ndani ya uwanja wa Al Salam. Benin ambao wanashiriki kwa mara ya nne mashindano ya Afcon sasa watakipiga na Senegal katika awamu ya ribo fainali itakayochezwa Julai 10. Uganda Cranes XI: Denis Onyango, Bevis Kristofer Kizito Mugabi Godfrey Walusimbi, Murushid Juuko, Hassan Wasswa Mawanda, Mike Azira, Emmanuel Arnold Okwi, Khalid Aucho, Faruku Miya, Patrick Henry Kaddu, Abdu Lumala Subs: Robert Odongkara (G.K), Salim Omar Magoola (G.K), Timothy Denis Awany, Joseph Benson Ochaya, Tadeo Lwanga, William Luwaga Kizito, Paul Derrick Nsibambi, Allan Kateregga, Ronald Mukiibi Ddungu, Isaac Muleme, Nico Wakiro Wadada, Allan Kyambadde Senegal Terenga Lions XI: Alfred Junior Amigo Gomis (G.K), Lamine Gassama, Youssouf Sabaly, Kalidou Koulibaly, Cheikhou Kouyate (Captain), Idrissa Gana Gueye, Papa Alioune Ndiaye, Henri Gregoire Saivet, Ismaila Sarr, Sadio Mane, Mbaye Hamady Niang Subs: Abdoulaye Diallo (G.K), Ciss Saliou, Pape Cisse, Salif Sane, Moussa Konate, Keita Balde, Alfred Ndiaye, Krepin Diatta, Mbaye Diagne, Sada Thioub, Moussa Wagne     ### Response: MICHEZO ### End
KANISA Katoliki limeonekana kuendelea kuikosha Serikali kwa kuzidi kuwa na mchango mzuri katika utoaji huduma kwenye sekta za elimu na afya.Kati ya mambo ambayo yanaonekana kufurahiwa na serikali ni pamoja wa kupikwa vizuri kwa wahitimu katika shule na vyuo vinavyomilikiwa na kanisa hilo, jambo ambalo limetajwa kuwapa uwanja mpana kwenye mapambano ya soko la ajira ndani na nje ya nchi.Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alielezea msimamo wa serikali kwenye Mahafali ya nne ya Chuo Kikuu cha Saint Agustine (SAUT), Kampasi ya Mbeya ambapo jumla ya wahitimu 650 walitunukiwa Shahada, Stashahada, Astashahada na cheti cha awali katika nyanja mbalimbali za kitaaluma, kati yao wakiwemo wanaume 366 na wanawake 284.Katika mahafali hayo, Profesa Ndalichako alisema elimu inayotolewa na shule za Kanisa Katoliki haitii shaka kuwa wahitimu wanapikwa ipasavyo na ndiyo sababu wanapomaliza masomo yao wamekuwa sehemu ya Watanzania wenye uwezo mkubwa kiutendaji.“Serikali inatambua mchango wa kanisa hili hasa katika uwekezaji kwenye sekta za elimu na afya. Hebu tujiulize kama tawi hili la Sauti Mbeya lisingekuwepo kundi hili la wahitimu hawa lingekuwa wapi leo hii kama siyo mtaani? Tunahitaji muendelee na jitihada hizi za kushirikiana na serikali kwa kuwa mkisema muiachie peke yake inaweza kuchelewa kutokana na kuwa na mambo mengi,”alisisitiza.Waziri huyo aliwasihi wahitimu wote kwenda kuitendea haki elimu waliyoipata kwa kuchapa kazi kwa bidii, maarifa na weledi wakitambua kufanya hivyo watakuwa mabalozi wazuri wa kukitangaza chuo hicho.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila aliwataka wahitimu kutambua kuwa wengi wa vijana wanaolalamika ukosefu wa ajira mitaani wamejikita katika kuzisubiri badala ya kuzitafuta.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KANISA Katoliki limeonekana kuendelea kuikosha Serikali kwa kuzidi kuwa na mchango mzuri katika utoaji huduma kwenye sekta za elimu na afya.Kati ya mambo ambayo yanaonekana kufurahiwa na serikali ni pamoja wa kupikwa vizuri kwa wahitimu katika shule na vyuo vinavyomilikiwa na kanisa hilo, jambo ambalo limetajwa kuwapa uwanja mpana kwenye mapambano ya soko la ajira ndani na nje ya nchi.Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alielezea msimamo wa serikali kwenye Mahafali ya nne ya Chuo Kikuu cha Saint Agustine (SAUT), Kampasi ya Mbeya ambapo jumla ya wahitimu 650 walitunukiwa Shahada, Stashahada, Astashahada na cheti cha awali katika nyanja mbalimbali za kitaaluma, kati yao wakiwemo wanaume 366 na wanawake 284.Katika mahafali hayo, Profesa Ndalichako alisema elimu inayotolewa na shule za Kanisa Katoliki haitii shaka kuwa wahitimu wanapikwa ipasavyo na ndiyo sababu wanapomaliza masomo yao wamekuwa sehemu ya Watanzania wenye uwezo mkubwa kiutendaji.“Serikali inatambua mchango wa kanisa hili hasa katika uwekezaji kwenye sekta za elimu na afya. Hebu tujiulize kama tawi hili la Sauti Mbeya lisingekuwepo kundi hili la wahitimu hawa lingekuwa wapi leo hii kama siyo mtaani? Tunahitaji muendelee na jitihada hizi za kushirikiana na serikali kwa kuwa mkisema muiachie peke yake inaweza kuchelewa kutokana na kuwa na mambo mengi,”alisisitiza.Waziri huyo aliwasihi wahitimu wote kwenda kuitendea haki elimu waliyoipata kwa kuchapa kazi kwa bidii, maarifa na weledi wakitambua kufanya hivyo watakuwa mabalozi wazuri wa kukitangaza chuo hicho.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila aliwataka wahitimu kutambua kuwa wengi wa vijana wanaolalamika ukosefu wa ajira mitaani wamejikita katika kuzisubiri badala ya kuzitafuta. ### Response: KITAIFA ### End
Na NORA DAMIAN-DAR ES SALAAM CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimelituhumu Bunge kwa madai ya kuvunja sheria kwa kuomba fedha za ziada nje ya bajeti yake iliyoidhinishwa bila kupitisha maombi hayo bungeni kama katiba inavyotaka. Chadema imesema Bunge limevunja katiba, ibara ya 137 (3), (a) na (b) huku wakidai pia Waziri wa Fedha amevunja ibara ya 136 na 137 (3) kwa kutoa fedha za ziada nje ya bajeti iliyopitishwa. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent Mashinji, alisema kati ya Juni 21 na Agosti 15, mwaka huu, Katibu wa Bunge aliandika barua tatu tofauti akiomba zaidi ya Sh bilioni 9 kwa Waziri wa Fedha na kwa Katibu Mkuu Hazina kugharimia bajeti ya ziada. “Tangu wakati huo hadi Agosti 15, Serikali ilishatoa shilingi bilioni 7 kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina bila kufuata masharti ya katiba na inategemewa itaendelea kutoa shilingi bilioni 2.5 kulipia gharama za posho ya jimbo ya Juni ambayo haijalipwa kwa ukamilifu,” alisema Dk. Mashinji. Alisema fedha zilizotolewa kama bajeti ya ziada zilitumika kulipa posho za jimbo, kujikimu, vikao, saa za ziada kwa watumishi na posho ya kamati maalumu kwa kipindi cha Mei hadi Juni. “Katiba inamtaka waziri kuwasilisha bungeni maombi ya bajeti ya ziada na baada ya Bunge kuyakubali, atawasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali. “Hatutaki kuamini kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amehusika kuidhinisha malipo haya, maana hata kwenye mawasiliano yaliyopo hajawahi kupewa nakala,” alisema. Alisema Bunge likiwa kama mhimili unaojitegemea, linapaswa kujiendesha bila kuwa tegemezi kwani ndilo linalopitisha bajeti yake na ya Serikali. Alisema katika mwaka wa fedha wa 2016/17 Bunge liliidhinisha Sh bilioni 92.7 kwa matumizi ya kawaida, Sh bilioni 23.80 mishahara, Sh bilioni 68.27 matumizi mengineyo na Sh bilioni 7 miradi ya maendeleo. “Bunge ni taasisi ambayo kalenda yake na idadi ya wajumbe vinafahamika, hivyo wanapopitisha bajeti wanakuwa wakijua ni kiasi gani kitahitajika katika mwaka husika wa fedha. “Tukianza kupuuza katiba, maana yake tunarudi kwenye hali ya kuangalia nani ana nguvu na ataamua nini kukicha,” alisema. Dk. Mashinji alisema pia uendeshaji wa shughuli za Bunge umekuwa ukiichanganya jamii na alitahadharisha kuwapo hatari ya kutengeneza nchi isiyofuata na kuzingatia taratibu. “Kuna udhaifu mkubwa katika uongozi wa Bunge ukiongozwa na Spika. Kiongozi jasiri ahitaji kuongea kwa sauti kali, kutumia nguvu kubwa ama ubabe bali ni yule anayefuata taratibu tulizojiwekea. “Ajipe muda kutafakari je, uongozi wake unaleta hali ya utengamano ama utavuruga jamii… kipimo cha uimara wa kiongozi ni kusimamia katiba,” alisema Dk. Mashinji. Chadema imeitaka Serikali na Bunge kutoa majibu ya kina kuhusu ukiukwaji na uvunjwaji wa katiba na wale wote waliohusika wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria. “Tunaamini kuwa haya yanaweza kumalizika kama tutakuwa na katiba mpya iliyotokana na maoni ya wananchi, tutatumia njia za kidemokrasia na kidiplomasia kuhakikisha tunapata mwafaka wa katiba mpya. Endapo hazitazaa matunda tutaomba wananchi wafanye maamuzi,” alisema. Kutokana na madai hayo ya Chadema MTANZANIA lilimtafuta Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ili kupata ufafanuzi, lakini simu yake ya mkononi iliita bila kupokewa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na NORA DAMIAN-DAR ES SALAAM CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimelituhumu Bunge kwa madai ya kuvunja sheria kwa kuomba fedha za ziada nje ya bajeti yake iliyoidhinishwa bila kupitisha maombi hayo bungeni kama katiba inavyotaka. Chadema imesema Bunge limevunja katiba, ibara ya 137 (3), (a) na (b) huku wakidai pia Waziri wa Fedha amevunja ibara ya 136 na 137 (3) kwa kutoa fedha za ziada nje ya bajeti iliyopitishwa. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent Mashinji, alisema kati ya Juni 21 na Agosti 15, mwaka huu, Katibu wa Bunge aliandika barua tatu tofauti akiomba zaidi ya Sh bilioni 9 kwa Waziri wa Fedha na kwa Katibu Mkuu Hazina kugharimia bajeti ya ziada. “Tangu wakati huo hadi Agosti 15, Serikali ilishatoa shilingi bilioni 7 kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina bila kufuata masharti ya katiba na inategemewa itaendelea kutoa shilingi bilioni 2.5 kulipia gharama za posho ya jimbo ya Juni ambayo haijalipwa kwa ukamilifu,” alisema Dk. Mashinji. Alisema fedha zilizotolewa kama bajeti ya ziada zilitumika kulipa posho za jimbo, kujikimu, vikao, saa za ziada kwa watumishi na posho ya kamati maalumu kwa kipindi cha Mei hadi Juni. “Katiba inamtaka waziri kuwasilisha bungeni maombi ya bajeti ya ziada na baada ya Bunge kuyakubali, atawasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Fedha za Serikali kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali. “Hatutaki kuamini kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amehusika kuidhinisha malipo haya, maana hata kwenye mawasiliano yaliyopo hajawahi kupewa nakala,” alisema. Alisema Bunge likiwa kama mhimili unaojitegemea, linapaswa kujiendesha bila kuwa tegemezi kwani ndilo linalopitisha bajeti yake na ya Serikali. Alisema katika mwaka wa fedha wa 2016/17 Bunge liliidhinisha Sh bilioni 92.7 kwa matumizi ya kawaida, Sh bilioni 23.80 mishahara, Sh bilioni 68.27 matumizi mengineyo na Sh bilioni 7 miradi ya maendeleo. “Bunge ni taasisi ambayo kalenda yake na idadi ya wajumbe vinafahamika, hivyo wanapopitisha bajeti wanakuwa wakijua ni kiasi gani kitahitajika katika mwaka husika wa fedha. “Tukianza kupuuza katiba, maana yake tunarudi kwenye hali ya kuangalia nani ana nguvu na ataamua nini kukicha,” alisema. Dk. Mashinji alisema pia uendeshaji wa shughuli za Bunge umekuwa ukiichanganya jamii na alitahadharisha kuwapo hatari ya kutengeneza nchi isiyofuata na kuzingatia taratibu. “Kuna udhaifu mkubwa katika uongozi wa Bunge ukiongozwa na Spika. Kiongozi jasiri ahitaji kuongea kwa sauti kali, kutumia nguvu kubwa ama ubabe bali ni yule anayefuata taratibu tulizojiwekea. “Ajipe muda kutafakari je, uongozi wake unaleta hali ya utengamano ama utavuruga jamii… kipimo cha uimara wa kiongozi ni kusimamia katiba,” alisema Dk. Mashinji. Chadema imeitaka Serikali na Bunge kutoa majibu ya kina kuhusu ukiukwaji na uvunjwaji wa katiba na wale wote waliohusika wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria. “Tunaamini kuwa haya yanaweza kumalizika kama tutakuwa na katiba mpya iliyotokana na maoni ya wananchi, tutatumia njia za kidemokrasia na kidiplomasia kuhakikisha tunapata mwafaka wa katiba mpya. Endapo hazitazaa matunda tutaomba wananchi wafanye maamuzi,” alisema. Kutokana na madai hayo ya Chadema MTANZANIA lilimtafuta Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ili kupata ufafanuzi, lakini simu yake ya mkononi iliita bila kupokewa. ### Response: KITAIFA ### End
Wachezaji hao pamoja na wenzao na benchi la ufundi walikabidhiwa zawadi hizo na Tawi la Facebook lenye makao yake Buguruni jijini Dar es Salaam jana baada ya kumaliza mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala.Akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi hizo, Mwenyekiti wa Tawi la Facebook, Josephat Sinzobakwila alisema kuwa wao kama mashabiki, wanafurahi kuona timu ikishinda, lakini pia wanahuzunika kuona timu ikifungwa hivyo ili kuongeza morali wameamua kutoa zawadi.“Tunahuzunika kama ninyi mnavyohuzunika mnapofungwa, lakini pia tunafurahi kama ninyi mnaposhinda hivyo tumekuja hapa ili kuongeza morali kwa kuwapa zawadi hizi za saa kwa wachezaji wote na kinyango chenye picha ya mtu kwa wachezaji watatu waliofanya vizuri msimu uliopita”, alisema Sinzobakwila.Sinzobakwila alisema Ngassa alifunga mabao sita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Niyonzima amekuwa mchezaji wa kigeni aliyedumu Yanga muda mrefu kupita wengine na Dida alidaka mchezo kati yao na Azam FC na kuifunga timu hiyo ambayo baadaye ilitwaa ubninghwa kwa msimu wa 2013/14.Hivyo, alisema wameona kwa wachezaji hao watatu, watoe zawadi za pekee ambazo ni kinyago chenye picha ya mtu na mabango yenye picha zao wakiwa uwanjani.Ukiachia zawadi hizo maalumu, kila mchezaji wa Yanga alipewa saa ya ukutani yenye jina lake huku ndani ikiwa na nembo ya Yanga kama ukumbusho.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wachezaji hao pamoja na wenzao na benchi la ufundi walikabidhiwa zawadi hizo na Tawi la Facebook lenye makao yake Buguruni jijini Dar es Salaam jana baada ya kumaliza mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala.Akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi hizo, Mwenyekiti wa Tawi la Facebook, Josephat Sinzobakwila alisema kuwa wao kama mashabiki, wanafurahi kuona timu ikishinda, lakini pia wanahuzunika kuona timu ikifungwa hivyo ili kuongeza morali wameamua kutoa zawadi.“Tunahuzunika kama ninyi mnavyohuzunika mnapofungwa, lakini pia tunafurahi kama ninyi mnaposhinda hivyo tumekuja hapa ili kuongeza morali kwa kuwapa zawadi hizi za saa kwa wachezaji wote na kinyango chenye picha ya mtu kwa wachezaji watatu waliofanya vizuri msimu uliopita”, alisema Sinzobakwila.Sinzobakwila alisema Ngassa alifunga mabao sita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Niyonzima amekuwa mchezaji wa kigeni aliyedumu Yanga muda mrefu kupita wengine na Dida alidaka mchezo kati yao na Azam FC na kuifunga timu hiyo ambayo baadaye ilitwaa ubninghwa kwa msimu wa 2013/14.Hivyo, alisema wameona kwa wachezaji hao watatu, watoe zawadi za pekee ambazo ni kinyago chenye picha ya mtu na mabango yenye picha zao wakiwa uwanjani.Ukiachia zawadi hizo maalumu, kila mchezaji wa Yanga alipewa saa ya ukutani yenye jina lake huku ndani ikiwa na nembo ya Yanga kama ukumbusho. ### Response: MICHEZO ### End
MALENGO ya Serikali ni kuhakikisha siku moja Tanzania inatangaza kuwa hakuna tena maambukizi ya VVU/ Ukimwi. Hili ni jambo linalowezekana iwapo kutakuwapo ushirikiano thabiti kati ya serikali na wadau wa sekta ya afya nchini. Uwezekano huo, unathibitishwa hata na takwimu zilizotolewa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (Tacaids), ambayo ilibainisha kuwa maambukizi ya VVU yameshuka kutoka asilimia 5.1 mwaka 2011/12 hadi kufikia asilimia 4.7 mwaka 2016/17. Ili kufanikisha fedha za kutunisha Mfuko wa Ukimwi zinapatikana na kuendelea jitihada zilizofikiwa, Serikali na Tacaids kwa kushirikiana na Mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) tangu mwaka 2002 wameitumia kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro inayoitwa ‘Kili Challenge’ ili kuendesha harambee ya upatikana wa fedha za kutokomeza na kuelimisha jamii kuhusu VVU nchini. Lakini pia Serikali nayo haijabaki nyuma katika kutunisha mfuko wa Ukimwi ambao ulianzishwa mwaka 2015, kwani katika mwaka huu wa fedha wa 2018/19, imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu. Akifafanua malengo ya serikali katika jitihada za kutokomeza Ukimwi nchini, Waziri wa Afya, Jinsi, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, anasema muda umefika sasa kwa wadau mbalimbali kushirikiana na serikali. Ummy ambaye hivi karibuni amezindua harambee ya kuchangisha fedha hizo kwa mwaka 2018 kwa ajili ya afua za Ukimwi nchini, anasema ili kufikia malengo hayo pia mbinu mbadala na ubunifu wa hali ya juu unahitajika. “Inabidi kuweka mikakati dhabiti itayohakikisha fedha zinazotengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ukimwi zinatumika kwa kusudi halisi ili kuondoa utegemezi wa misaada kutoka kwa wafadhili. “Fedha zinazopatikana kwenye harambee hizi zinatakiwa zielekezwe moja kwa moja kwa wahusika na si kutumika kama posho za vikao kwa sababu pia zinatakiwa kusaidia serikali katika kuzipa nguvu sekta ndogo ili kuendelea kuthibiti maambukizi ya UKIMWI nchini,” anasema. Anasema harambee hiyo inayoenda sambamba na kampeni ya kupanda Mlima Kilimjaro iitwayo ‘Kili Challenge’, itasaidia kutekeleza malengo ya serikali kuacha kuendelea kuwa tegemezi. “Nawaomba wadau tuwe na moyo wa kujitolea ili kutunisha mfuko wa Kili Challenge kwa manufaa ya wananchi. Wahenga walisema; ‘kutoa ni moyo na si utajiri.’ Serikali, tayari tumetenga fedha Sh bilioni tatu, tunaomba mtuunge mkono,” anasema. Hoja hiyo ya Ummy Mwalimu, inaungwa mkono na Mkurugenzi wa mgodi wa dhahabu Geita (GGM), Richard Jordison ambaye anasema kwa upande wa kampuni hiyo kwa ushirikiano na TACAIDS wamekusudia kuboresha upatikana wa huduma za uhakika kwa wagonjwa wa Ukimwi nchini. Anasema kama ilivyo kwa malengo ya serikali kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa viwanda, GGM nayo imedhamiria kutokomeza tatizo la Ukimwi nchini. Aidha, Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Bara (TACAIDS), Dk. Leornald Maboko, anasema kutokana na maambukizi ya VVU na Ukimwi, ni vema kuwapo kwa ushiriki wa wadau mbalimbali nchini kutokomeza maambukizi hayo. “Kwa hiyo, kuendelea kuboresha mfuko huu wa Kili Challemge, si tu kumeongeza huduma kwa walengwa bali imesaidia utekelezaji wa dhima ya “Kili Challenge” ya kushirikisha wadau kuchangia kwa hali na mali katika udhibiti wa Ukimwi,” anasema. Dk. Maboko anasema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na serikali kwa kushirikiana na wadau, bado Ukimwi ni tatizo linaloathiri jamii kiuchumi. “Bado kuna maambukizi mapya yanayokadiriwa kufikia watu 81,000 kila mwaka ambayo ni sawa na kiwango cha maambukizi ya asilimia 4.7. Pia takribani watu milioni 1.4 wanaishi na VVU nchini huku wanawake wa rika zote wakiwa waathirika wakubwa,” anasema. Akifafanua kwa kina kuhusu mfuko huo, Dk. Maboko anasema Kili Challenge ni mfuko unaochangia juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya Ukimwi na kutoa elimu kwa jamii kuhusu maambukizi ya VVU. “Kili Challenge ni mfuko muhimu unaoshirikiana na taasisi za nje na ndani ya nchi katika kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi kwa jamii ya Kitanzania na dunia kwa ujumla ili kuwapa matumaini ya kuhakikisha jamii inabaki bila kuathiriwa na VVU/Ukimwi katika miaka ijayo. “Mfuko huo pia unalenga kuisaidia Serikali kukabiliana na VVU//Ukimwi sambamba na kutoa nafasi kwa watalii wa ndani na nje kuupanda mlima Kilimanjaro,” anasema. Anasema kwa miaka 17 sasa, Tacaids kwa kushikiriana na GGM wamehamasisha Watanzania na watalii kutoka ndani na nje ya nchi kupanda mlima Kilimanjaro na kufanikisha kutunisha mfuko huo wa mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi nchini. “Ili kushiriki GGM Kili Challenge, unaweza kuchangia mfuko huu kwa kujifadhili au kumfadhili mwingine kupanda au kuzunguka mlima Kilimanjaro,” anasema.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MALENGO ya Serikali ni kuhakikisha siku moja Tanzania inatangaza kuwa hakuna tena maambukizi ya VVU/ Ukimwi. Hili ni jambo linalowezekana iwapo kutakuwapo ushirikiano thabiti kati ya serikali na wadau wa sekta ya afya nchini. Uwezekano huo, unathibitishwa hata na takwimu zilizotolewa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (Tacaids), ambayo ilibainisha kuwa maambukizi ya VVU yameshuka kutoka asilimia 5.1 mwaka 2011/12 hadi kufikia asilimia 4.7 mwaka 2016/17. Ili kufanikisha fedha za kutunisha Mfuko wa Ukimwi zinapatikana na kuendelea jitihada zilizofikiwa, Serikali na Tacaids kwa kushirikiana na Mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) tangu mwaka 2002 wameitumia kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro inayoitwa ‘Kili Challenge’ ili kuendesha harambee ya upatikana wa fedha za kutokomeza na kuelimisha jamii kuhusu VVU nchini. Lakini pia Serikali nayo haijabaki nyuma katika kutunisha mfuko wa Ukimwi ambao ulianzishwa mwaka 2015, kwani katika mwaka huu wa fedha wa 2018/19, imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu. Akifafanua malengo ya serikali katika jitihada za kutokomeza Ukimwi nchini, Waziri wa Afya, Jinsi, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, anasema muda umefika sasa kwa wadau mbalimbali kushirikiana na serikali. Ummy ambaye hivi karibuni amezindua harambee ya kuchangisha fedha hizo kwa mwaka 2018 kwa ajili ya afua za Ukimwi nchini, anasema ili kufikia malengo hayo pia mbinu mbadala na ubunifu wa hali ya juu unahitajika. “Inabidi kuweka mikakati dhabiti itayohakikisha fedha zinazotengwa kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ukimwi zinatumika kwa kusudi halisi ili kuondoa utegemezi wa misaada kutoka kwa wafadhili. “Fedha zinazopatikana kwenye harambee hizi zinatakiwa zielekezwe moja kwa moja kwa wahusika na si kutumika kama posho za vikao kwa sababu pia zinatakiwa kusaidia serikali katika kuzipa nguvu sekta ndogo ili kuendelea kuthibiti maambukizi ya UKIMWI nchini,” anasema. Anasema harambee hiyo inayoenda sambamba na kampeni ya kupanda Mlima Kilimjaro iitwayo ‘Kili Challenge’, itasaidia kutekeleza malengo ya serikali kuacha kuendelea kuwa tegemezi. “Nawaomba wadau tuwe na moyo wa kujitolea ili kutunisha mfuko wa Kili Challenge kwa manufaa ya wananchi. Wahenga walisema; ‘kutoa ni moyo na si utajiri.’ Serikali, tayari tumetenga fedha Sh bilioni tatu, tunaomba mtuunge mkono,” anasema. Hoja hiyo ya Ummy Mwalimu, inaungwa mkono na Mkurugenzi wa mgodi wa dhahabu Geita (GGM), Richard Jordison ambaye anasema kwa upande wa kampuni hiyo kwa ushirikiano na TACAIDS wamekusudia kuboresha upatikana wa huduma za uhakika kwa wagonjwa wa Ukimwi nchini. Anasema kama ilivyo kwa malengo ya serikali kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa viwanda, GGM nayo imedhamiria kutokomeza tatizo la Ukimwi nchini. Aidha, Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Bara (TACAIDS), Dk. Leornald Maboko, anasema kutokana na maambukizi ya VVU na Ukimwi, ni vema kuwapo kwa ushiriki wa wadau mbalimbali nchini kutokomeza maambukizi hayo. “Kwa hiyo, kuendelea kuboresha mfuko huu wa Kili Challemge, si tu kumeongeza huduma kwa walengwa bali imesaidia utekelezaji wa dhima ya “Kili Challenge” ya kushirikisha wadau kuchangia kwa hali na mali katika udhibiti wa Ukimwi,” anasema. Dk. Maboko anasema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na serikali kwa kushirikiana na wadau, bado Ukimwi ni tatizo linaloathiri jamii kiuchumi. “Bado kuna maambukizi mapya yanayokadiriwa kufikia watu 81,000 kila mwaka ambayo ni sawa na kiwango cha maambukizi ya asilimia 4.7. Pia takribani watu milioni 1.4 wanaishi na VVU nchini huku wanawake wa rika zote wakiwa waathirika wakubwa,” anasema. Akifafanua kwa kina kuhusu mfuko huo, Dk. Maboko anasema Kili Challenge ni mfuko unaochangia juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya Ukimwi na kutoa elimu kwa jamii kuhusu maambukizi ya VVU. “Kili Challenge ni mfuko muhimu unaoshirikiana na taasisi za nje na ndani ya nchi katika kuendeleza mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi kwa jamii ya Kitanzania na dunia kwa ujumla ili kuwapa matumaini ya kuhakikisha jamii inabaki bila kuathiriwa na VVU/Ukimwi katika miaka ijayo. “Mfuko huo pia unalenga kuisaidia Serikali kukabiliana na VVU//Ukimwi sambamba na kutoa nafasi kwa watalii wa ndani na nje kuupanda mlima Kilimanjaro,” anasema. Anasema kwa miaka 17 sasa, Tacaids kwa kushikiriana na GGM wamehamasisha Watanzania na watalii kutoka ndani na nje ya nchi kupanda mlima Kilimanjaro na kufanikisha kutunisha mfuko huo wa mapambano dhidi ya VVU/Ukimwi nchini. “Ili kushiriki GGM Kili Challenge, unaweza kuchangia mfuko huu kwa kujifadhili au kumfadhili mwingine kupanda au kuzunguka mlima Kilimanjaro,” anasema. ### Response: AFYA ### End
Na Waandishi Wetu, KIBITI sasa ni ubaya, ubaya. Hayo ni maneno ya Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro. Amesema wanaotekeleza mauaji dhidi ya raia katika eneo hilo, wametumwa vibaya na wao watapelekwa vibaya vibaya. Sirro alisema hayo jana Dar es Salaam kabla ya kukabidhiwa magari manne na Kampuni ya Great Wall Motor and Haval Company kutoka nchini China yatakayotumiwa na jeshi hilo. “Tatizo la mauaji ya raia huko Kibiti na maeneo mengine nchini, nataka kusema si kawaida yangu kuongea sana, ila sio muda mrefu yatakwisha, hadi sasa tunakwenda vizuri na wale ambao wametumwa kutekeleza mauaji hayo wataona majibu yake. “Sisi Watanzania hatujazoea vurugu za namna hii sasa kama wametumwa, wametumwa vibaya na sisi kama Jeshi la Polisi tutakwenda nao vibaya vibaya, cha msingi tunaomba ushirikiano kwa wananchi,” alisema Sirro. Pia aliwataka viongozi wa vijiji na Serikali za mitaa nchini kote kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo na kuunda vikundi vya ulinzi shirikishi ili kukabiliana na wimbi la uhalifu. Tangu wahalifu kuanza kutekeleza mauaji kwenye maeneo ya Kibiti na Mkuranga mkoani Pwani, zaidi ya watu 30 wamefariki dunia wakiwamo askari polisi zaidi ya 10, viongozi wa Serikali za vijiji na kata. Jeshi la Polisi limekuwa likiendesha operesheni maalumu kwenye eneo hilo na mara kadhaa limetangaza kupambana na wahalifu hao na kufanikiwa kuua baadhi yao.  MAGARI YALIYOKABIDHIWA Kuhusu magari aliyokabidhiwa Sirro, alisema yatasaidia katika kukabiliana na kupunguza changamoto zilizopo za kiuhalifu katika maeneo mbalimbali nchini. Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa Kampuni ya Great Wall Motor and Haval, Jianguo Liu, alisema magari hayo yatasaidia Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla katika suala zima la kiuhalifu. “Haval ni kampuni inayohusika na kutengeneza magari nchini China, hivyo kutokana na changamoto tulizoona pamoja na ushirikiano wetu wa muda hapa Tanzania, tumeamua kutoa magari haya ili yasaidie kukabiliana na tatizo hilo,” alisema Liu. Naye Kamishna wa Jeshi la Polisi – Fedha na Usafirishaji, Albert Nyamhanga, alisema kila gari moja thamani yake ni Dola za Marekani milioni 57.  ALIYEJERUHIWA KWA RISASI KIBITI ANG’OLEWA JICHO Wakati huohuo, madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelazimika kumfanyia upasuaji na kuondoa jicho la kulia kijana Michael Martin (28), ambaye alijeruhiwa kwa risasi huko Kibiti. Akizungumza na MTANZANIA jana ofisini kwake, Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, Neema Mwangomo, alisema Martin alifanyiwa upasuaji huo Juni 29. “Tulimpokea Martin na kumlaza hapa hospitalini tangu Juni 28, mwaka huu akitokea Hospitali ya Mchukwi iliyopo Kibiti, alikuwa amejeruhiwa kwa kupigwa risasi katika jicho lake la kulia,” alisema. Mwangomo alisema madaktari walimfanyia uchunguzi wa awali na kubaini kwamba jicho hilo lilikuwa tayari limepasuka. “Walichunguza pia jicho lake la kushoto na kubaini mishipa ya fahamu ilikuwa imepata majeraha. Baada ya uchunguzi ndipo wakashauri wamfanyie upasuaji wa kuliondoa kabisa jicho la kulia na kumwanzishia dawa maalumu kulitibu jicho la kushoto ambalo limejeruhiwa pia,” alisema. Alisema Martin bado amelazwa hospitalini hapo akipatiwa matibabu na akiuguza kidonda chake. “Kwa sasa hali yake ni nzuri, imeanza kuimarika na madaktari kila wakati wanakwenda kumwona na kumpatia matibabu,” alisema.  Habari hii imeandaliwa na MANENO SELANYIKA, VERONICA ROMWALD na SAID ABDALLAH (OUT)
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Waandishi Wetu, KIBITI sasa ni ubaya, ubaya. Hayo ni maneno ya Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro. Amesema wanaotekeleza mauaji dhidi ya raia katika eneo hilo, wametumwa vibaya na wao watapelekwa vibaya vibaya. Sirro alisema hayo jana Dar es Salaam kabla ya kukabidhiwa magari manne na Kampuni ya Great Wall Motor and Haval Company kutoka nchini China yatakayotumiwa na jeshi hilo. “Tatizo la mauaji ya raia huko Kibiti na maeneo mengine nchini, nataka kusema si kawaida yangu kuongea sana, ila sio muda mrefu yatakwisha, hadi sasa tunakwenda vizuri na wale ambao wametumwa kutekeleza mauaji hayo wataona majibu yake. “Sisi Watanzania hatujazoea vurugu za namna hii sasa kama wametumwa, wametumwa vibaya na sisi kama Jeshi la Polisi tutakwenda nao vibaya vibaya, cha msingi tunaomba ushirikiano kwa wananchi,” alisema Sirro. Pia aliwataka viongozi wa vijiji na Serikali za mitaa nchini kote kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo na kuunda vikundi vya ulinzi shirikishi ili kukabiliana na wimbi la uhalifu. Tangu wahalifu kuanza kutekeleza mauaji kwenye maeneo ya Kibiti na Mkuranga mkoani Pwani, zaidi ya watu 30 wamefariki dunia wakiwamo askari polisi zaidi ya 10, viongozi wa Serikali za vijiji na kata. Jeshi la Polisi limekuwa likiendesha operesheni maalumu kwenye eneo hilo na mara kadhaa limetangaza kupambana na wahalifu hao na kufanikiwa kuua baadhi yao.  MAGARI YALIYOKABIDHIWA Kuhusu magari aliyokabidhiwa Sirro, alisema yatasaidia katika kukabiliana na kupunguza changamoto zilizopo za kiuhalifu katika maeneo mbalimbali nchini. Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa Kampuni ya Great Wall Motor and Haval, Jianguo Liu, alisema magari hayo yatasaidia Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla katika suala zima la kiuhalifu. “Haval ni kampuni inayohusika na kutengeneza magari nchini China, hivyo kutokana na changamoto tulizoona pamoja na ushirikiano wetu wa muda hapa Tanzania, tumeamua kutoa magari haya ili yasaidie kukabiliana na tatizo hilo,” alisema Liu. Naye Kamishna wa Jeshi la Polisi – Fedha na Usafirishaji, Albert Nyamhanga, alisema kila gari moja thamani yake ni Dola za Marekani milioni 57.  ALIYEJERUHIWA KWA RISASI KIBITI ANG’OLEWA JICHO Wakati huohuo, madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelazimika kumfanyia upasuaji na kuondoa jicho la kulia kijana Michael Martin (28), ambaye alijeruhiwa kwa risasi huko Kibiti. Akizungumza na MTANZANIA jana ofisini kwake, Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, Neema Mwangomo, alisema Martin alifanyiwa upasuaji huo Juni 29. “Tulimpokea Martin na kumlaza hapa hospitalini tangu Juni 28, mwaka huu akitokea Hospitali ya Mchukwi iliyopo Kibiti, alikuwa amejeruhiwa kwa kupigwa risasi katika jicho lake la kulia,” alisema. Mwangomo alisema madaktari walimfanyia uchunguzi wa awali na kubaini kwamba jicho hilo lilikuwa tayari limepasuka. “Walichunguza pia jicho lake la kushoto na kubaini mishipa ya fahamu ilikuwa imepata majeraha. Baada ya uchunguzi ndipo wakashauri wamfanyie upasuaji wa kuliondoa kabisa jicho la kulia na kumwanzishia dawa maalumu kulitibu jicho la kushoto ambalo limejeruhiwa pia,” alisema. Alisema Martin bado amelazwa hospitalini hapo akipatiwa matibabu na akiuguza kidonda chake. “Kwa sasa hali yake ni nzuri, imeanza kuimarika na madaktari kila wakati wanakwenda kumwona na kumpatia matibabu,” alisema.  Habari hii imeandaliwa na MANENO SELANYIKA, VERONICA ROMWALD na SAID ABDALLAH (OUT) ### Response: KITAIFA ### End
Akizungumza katika uzinduzi wa kitengo hicho jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, John Lwande alisema benki hiyo imekuwa ikifanya jitihada za kuanzisha huduma mbalimbali kwa lengo la kuboresha huduma zake kwa wateja.“Kuanzishwa kwa kitengo hiki ni moja ya hatua kubwa zilizofikiwa na ACB katika mwendelezo wa kuboresha huduma zake kwa wateja kwa haraka iwezekanavyo na kutafutia ufumbuzi matatizo mbalimbali yanayotokana na ACB Mobile na ATM” alisema.Aidha, alisema kuanzishwa kwa huduma hiyo, kunatokana na mkakati wa benki hiyo wa kuwajali wateja wake sambamba na kuwavutia kwa kuwa wanaamini kuwa bila wateja hakuna benki.“Hili linajidhihirisha wazi katika utafiti uliofanywa mwaka jana na taasisi ya ukaguzi wa mahesabu ya KPMG ambao ulihusisha taasisi mbalimbali za kifedha kutoka nchi 14 barani Afrika ambapo ACB ilishika nafasi ya kwanza kwa kuwa benki inayotoa huduma kwa gharama nafuu na kwa upande wa huduma kwa wateja ilishika nafasi ya tatu,” alisema.Alisema kupitia huduma hiyo wateja wa ACB, watapata fursa ya kupiga simu moja kwa moja kupitia namba 0655 202011 na 0755 202011 bila malipo.Lwande alisema kitengo hicho kitaendelea kufanyiwa maboresho kwa ajili ya kupanua huduma zake ili kiweze kutoa msaada katika huduma nyingine ikiwemo mikopo na amana.Alisema benki hiyo imekuwa ikifanya mambo mbalimbali yakusaidia jamii ikiwemo kugharimia mafunzo ya wajasiriamali sambamba na kutoa misaada kwenye hospitali na kwa watu wasiojiweza.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza katika uzinduzi wa kitengo hicho jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, John Lwande alisema benki hiyo imekuwa ikifanya jitihada za kuanzisha huduma mbalimbali kwa lengo la kuboresha huduma zake kwa wateja.“Kuanzishwa kwa kitengo hiki ni moja ya hatua kubwa zilizofikiwa na ACB katika mwendelezo wa kuboresha huduma zake kwa wateja kwa haraka iwezekanavyo na kutafutia ufumbuzi matatizo mbalimbali yanayotokana na ACB Mobile na ATM” alisema.Aidha, alisema kuanzishwa kwa huduma hiyo, kunatokana na mkakati wa benki hiyo wa kuwajali wateja wake sambamba na kuwavutia kwa kuwa wanaamini kuwa bila wateja hakuna benki.“Hili linajidhihirisha wazi katika utafiti uliofanywa mwaka jana na taasisi ya ukaguzi wa mahesabu ya KPMG ambao ulihusisha taasisi mbalimbali za kifedha kutoka nchi 14 barani Afrika ambapo ACB ilishika nafasi ya kwanza kwa kuwa benki inayotoa huduma kwa gharama nafuu na kwa upande wa huduma kwa wateja ilishika nafasi ya tatu,” alisema.Alisema kupitia huduma hiyo wateja wa ACB, watapata fursa ya kupiga simu moja kwa moja kupitia namba 0655 202011 na 0755 202011 bila malipo.Lwande alisema kitengo hicho kitaendelea kufanyiwa maboresho kwa ajili ya kupanua huduma zake ili kiweze kutoa msaada katika huduma nyingine ikiwemo mikopo na amana.Alisema benki hiyo imekuwa ikifanya mambo mbalimbali yakusaidia jamii ikiwemo kugharimia mafunzo ya wajasiriamali sambamba na kutoa misaada kwenye hospitali na kwa watu wasiojiweza. ### Response: UCHUMI ### End
MECHI za hatua ya nusu fainali za michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, FA, zinaanza leo ambapo Azam FC itakuwa mwenyeji dhidi ya KMC kwenye uwanja wa Azam Complex saa 1.00 usiku.Mchezo huo unatarajiwa kuwa wenye ushindani mkubwa kutokana na ubora wa kila mmoja, lakini pia ni muhimu katika kutafuta nafasi ya kuingia fainali ili kupigania uwakilishi wa kimataifa mwakani.Azam FC ilitinga hatua hiyo baada ya kuichapa Kagera Sugar bao 1-0 huku KMC ikiichapa African Lyon mabao 2-0. Timu hizo zinafahamiana vizuri kwani ziliwahi kukutana kwenye Ligi Kuu na kutoka sare ya mabao 2-2 hivyo, mchezo wa leo hautakuwa mwepesi. Na wote wametoka kupoteza michezo yao iliyopita ya ligi Azam ikifungwa na Yanga bao 1-0 kwenye uwanja wa Uhuru na KMC ikifungwa na Simba 2-1 kwenye uwanja wa CCM, Kirumba Mwanza.Nahodha wa Azam FC, Agrey Moris, aliyekosa mechi tatu zilizopita za ligi akitumikia adhabu ya kadi nyekundu anatarajiwa kurejea dimbani baada ya kumaliza adhabu hiyo. Iwapo Azam itatinga fainali ya michuano hiyo, itakuwa ni kwa mara ya pili baada ya ile ya kwanza kufanya hivyo, msimu wa mwaka 2015/2016 na kama ni KMC basi itakuwa ni mara ya kwanza wanapanda Ligi Kuu na kuweka rekodi. Yeyote ana nafasi kutokana na ubora wa kila timu na namna zilivyoonyesha ushindani kwenye ligi na hatua hiyo na kutegemea na maandalizi yao kimbinu.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MECHI za hatua ya nusu fainali za michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, FA, zinaanza leo ambapo Azam FC itakuwa mwenyeji dhidi ya KMC kwenye uwanja wa Azam Complex saa 1.00 usiku.Mchezo huo unatarajiwa kuwa wenye ushindani mkubwa kutokana na ubora wa kila mmoja, lakini pia ni muhimu katika kutafuta nafasi ya kuingia fainali ili kupigania uwakilishi wa kimataifa mwakani.Azam FC ilitinga hatua hiyo baada ya kuichapa Kagera Sugar bao 1-0 huku KMC ikiichapa African Lyon mabao 2-0. Timu hizo zinafahamiana vizuri kwani ziliwahi kukutana kwenye Ligi Kuu na kutoka sare ya mabao 2-2 hivyo, mchezo wa leo hautakuwa mwepesi. Na wote wametoka kupoteza michezo yao iliyopita ya ligi Azam ikifungwa na Yanga bao 1-0 kwenye uwanja wa Uhuru na KMC ikifungwa na Simba 2-1 kwenye uwanja wa CCM, Kirumba Mwanza.Nahodha wa Azam FC, Agrey Moris, aliyekosa mechi tatu zilizopita za ligi akitumikia adhabu ya kadi nyekundu anatarajiwa kurejea dimbani baada ya kumaliza adhabu hiyo. Iwapo Azam itatinga fainali ya michuano hiyo, itakuwa ni kwa mara ya pili baada ya ile ya kwanza kufanya hivyo, msimu wa mwaka 2015/2016 na kama ni KMC basi itakuwa ni mara ya kwanza wanapanda Ligi Kuu na kuweka rekodi. Yeyote ana nafasi kutokana na ubora wa kila timu na namna zilivyoonyesha ushindani kwenye ligi na hatua hiyo na kutegemea na maandalizi yao kimbinu. ### Response: MICHEZO ### End
Ankara, uturuki UTURUKI imeanza kuwarejesha wapiganaji wa kigeni wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu (IS) kwenye mataifa yao, yakiwemo Ujerumani, Denmark na Marekani katika mpango wa kuwarejesha makwao wafungwa wa kundi hilo. Ilisema imewakamata wanamgambo 287 katika eneo la kaskazini mwa Syria na tayari inawazuia mamia ya washukiwa wa IS. Uturuki imeyashutumu mataifa ya Ulaya kwa kuchelewa kuwachukua raia wao waliokwenda kupigana nchini Syria. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Suleyman Soylu, alisema nchi yake ingelianza kuwarejesha wapiganaji wa kigeni wa kundi hilo la IS katika mataifa yao kuanzia juzi, hata kama mataifa wanakotoka yameshawafutia uraia wao.  Msemaji wa Wizara hiyo, Ismail Catakii, alisema tayari raia mmoja wa Marekani na mwingine Ujerumani walisharejeshwa makwao juzi.  Hata hivyo, hakutaja walikopelekwa ijapokuwa Uturuki imerudia kusema kuwa wafungwa hao watarejeshwa katika mataifa yao asilia. Watu wengine 23 watakaorejeshwa makwao katika siku chache zijazo wote ni kutoka mataifa ya Ulaya ikiwa ni pamoja na raia mmoja wa Denmark, wawili wa Ireland, tisa wa Ujerumani na 11 kutoka Ufaransa. Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani imesema kuwa Uturuki imeifahamisha kuhusu watu 10; watatu wanaume, watano wanawake na watoto wawili.  Msemaji wa wizara hiyo alisema hafahamu iwapo watu hao ni wapiganaji wa kundi hilo la wanamgambo la IS, lakini wizara haikupinga kuhusu uraia wao. Wizara hiyo ilisema watu saba wanatarajiwa siku ya Alhamisi na wawili siku ya Ijumaa. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani, Horst Seehofer, aliwahakikishia raia wa Ujeruamni kuwa kila kisa kitachunguzwa kikamilifu na maofisa wa Serikali ya Ujerumani na kwamba watafanya kila wawezalo kuwazuia watu hao watakaorejeshwa kwa kuwa na ushirikiano na kundi la IS wasiwe tishio nchini Ujerumani. Huku Serikali ya Ujerumani na Denmark zikithibtisha kuwa zilifahamu kuhusu mipango ya Uturuki, Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa, Florence Parly, amesema kuwa hakufahamu kuhusu hatua hiyo. Marekani haikujibu mara moja kuhusu tangazo hilo la Uturuki. Gazeti la Sabah nchini Uturuki lililo na ukaribu na Serikali ya Rais, Recep Tayyip Erdogan, limeripoti kuwa raia wa Marekani aliyerejeshwa nchini mwake amekwama katika eneo lisilo na umiliki lililo na ulinzi mkali wa kijeshi kati ya mipaka ya Ugiriki na Uturuki. Nchini Denmark, Waziri wa Sheria, Nick Hakkerup aliliambia shirika la habari la TV2 kuwa raia yeyote wa nchi hiyo aliyepigania kundi hilo la wanamgambo la IS na kurejeshwa nchini humo ”anapaswa kupata adhabu kali”.   Tayari mahakama moja ya Denmark ilishaamua kuwa nchi hiyo inapaswa kuwarejesha nchini humo watoto ambao mama zao walikwenda Syria kujiunga na makundi ya itikadi kali. Nchini Bosnia, Serikali ilitangaza jana kuwa raia wake waliopigana katika kundi hilo la IS wanaweza kurejea nchini humo.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Ankara, uturuki UTURUKI imeanza kuwarejesha wapiganaji wa kigeni wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu (IS) kwenye mataifa yao, yakiwemo Ujerumani, Denmark na Marekani katika mpango wa kuwarejesha makwao wafungwa wa kundi hilo. Ilisema imewakamata wanamgambo 287 katika eneo la kaskazini mwa Syria na tayari inawazuia mamia ya washukiwa wa IS. Uturuki imeyashutumu mataifa ya Ulaya kwa kuchelewa kuwachukua raia wao waliokwenda kupigana nchini Syria. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Suleyman Soylu, alisema nchi yake ingelianza kuwarejesha wapiganaji wa kigeni wa kundi hilo la IS katika mataifa yao kuanzia juzi, hata kama mataifa wanakotoka yameshawafutia uraia wao.  Msemaji wa Wizara hiyo, Ismail Catakii, alisema tayari raia mmoja wa Marekani na mwingine Ujerumani walisharejeshwa makwao juzi.  Hata hivyo, hakutaja walikopelekwa ijapokuwa Uturuki imerudia kusema kuwa wafungwa hao watarejeshwa katika mataifa yao asilia. Watu wengine 23 watakaorejeshwa makwao katika siku chache zijazo wote ni kutoka mataifa ya Ulaya ikiwa ni pamoja na raia mmoja wa Denmark, wawili wa Ireland, tisa wa Ujerumani na 11 kutoka Ufaransa. Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani imesema kuwa Uturuki imeifahamisha kuhusu watu 10; watatu wanaume, watano wanawake na watoto wawili.  Msemaji wa wizara hiyo alisema hafahamu iwapo watu hao ni wapiganaji wa kundi hilo la wanamgambo la IS, lakini wizara haikupinga kuhusu uraia wao. Wizara hiyo ilisema watu saba wanatarajiwa siku ya Alhamisi na wawili siku ya Ijumaa. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani, Horst Seehofer, aliwahakikishia raia wa Ujeruamni kuwa kila kisa kitachunguzwa kikamilifu na maofisa wa Serikali ya Ujerumani na kwamba watafanya kila wawezalo kuwazuia watu hao watakaorejeshwa kwa kuwa na ushirikiano na kundi la IS wasiwe tishio nchini Ujerumani. Huku Serikali ya Ujerumani na Denmark zikithibtisha kuwa zilifahamu kuhusu mipango ya Uturuki, Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa, Florence Parly, amesema kuwa hakufahamu kuhusu hatua hiyo. Marekani haikujibu mara moja kuhusu tangazo hilo la Uturuki. Gazeti la Sabah nchini Uturuki lililo na ukaribu na Serikali ya Rais, Recep Tayyip Erdogan, limeripoti kuwa raia wa Marekani aliyerejeshwa nchini mwake amekwama katika eneo lisilo na umiliki lililo na ulinzi mkali wa kijeshi kati ya mipaka ya Ugiriki na Uturuki. Nchini Denmark, Waziri wa Sheria, Nick Hakkerup aliliambia shirika la habari la TV2 kuwa raia yeyote wa nchi hiyo aliyepigania kundi hilo la wanamgambo la IS na kurejeshwa nchini humo ”anapaswa kupata adhabu kali”.   Tayari mahakama moja ya Denmark ilishaamua kuwa nchi hiyo inapaswa kuwarejesha nchini humo watoto ambao mama zao walikwenda Syria kujiunga na makundi ya itikadi kali. Nchini Bosnia, Serikali ilitangaza jana kuwa raia wake waliopigana katika kundi hilo la IS wanaweza kurejea nchini humo. ### Response: BURUDANI ### End
BARAZA la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacifi c (ACP) ikiwamo Tanzania zimekubaliana kuwa nchi za ACP na Umoja wa Ulaya (EU) zifanye maridhiano katika maeneo yanayoonekana kuwa ni kikwazo kwa baadhi ya nchi hizo kutosaini Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA) ama kuitekeleza.Azimio hilo la Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific zimefikia makubaliano hayo katika mkutano wa 110 wa nchi hizo unaoendelea jijini Nairobi nchini Kenya.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema nchi hizo zimekubaliana kufanya mapitio mapya ya mikataba ya EPA uliyoingia na nchi za ACP.Alisema mapitio hayo yanalenga kuzingatia hali halisi ya sasa duniani ikiwamo Malengo ya Dunia ya Maendeleo Endelevu, Makubaliano ya Mkataba wa Paris kuhusu mazingira na uhalisia mwingine ndani na nje ya EU.Aidha, maazimio mengine yaliyopitishwa katika mkutano huo wa 110 wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za (ACP) ni pamoja na kuifanya ACP kuwa umoja wa kisasa zaidi katika malengo yake, muundo wake na mikakati yake katika kufikia ACP wanayoitaka ikiwamo kubadilisha jina kutoka Kundi la ACP na kuwa Umoja wa ACP na kuitwa Organisation of the African Caribbean and Pacific Group of States.Profesa Kabudi alisema lengo la mabadiliko hayo ni kuifanya ACP kuwa na nguvu zaidi katika kupanga, kuweka mikakati na kutekeleza kwa ufanisi malengo ya umoja wao.Pia baraza limefanya uamuzi wa kumchagua Balozi George Chikoti kutoka Jamhuri ya Angola kuwa Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya ACP kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BARAZA la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacifi c (ACP) ikiwamo Tanzania zimekubaliana kuwa nchi za ACP na Umoja wa Ulaya (EU) zifanye maridhiano katika maeneo yanayoonekana kuwa ni kikwazo kwa baadhi ya nchi hizo kutosaini Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA) ama kuitekeleza.Azimio hilo la Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific zimefikia makubaliano hayo katika mkutano wa 110 wa nchi hizo unaoendelea jijini Nairobi nchini Kenya.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema nchi hizo zimekubaliana kufanya mapitio mapya ya mikataba ya EPA uliyoingia na nchi za ACP.Alisema mapitio hayo yanalenga kuzingatia hali halisi ya sasa duniani ikiwamo Malengo ya Dunia ya Maendeleo Endelevu, Makubaliano ya Mkataba wa Paris kuhusu mazingira na uhalisia mwingine ndani na nje ya EU.Aidha, maazimio mengine yaliyopitishwa katika mkutano huo wa 110 wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za (ACP) ni pamoja na kuifanya ACP kuwa umoja wa kisasa zaidi katika malengo yake, muundo wake na mikakati yake katika kufikia ACP wanayoitaka ikiwamo kubadilisha jina kutoka Kundi la ACP na kuwa Umoja wa ACP na kuitwa Organisation of the African Caribbean and Pacific Group of States.Profesa Kabudi alisema lengo la mabadiliko hayo ni kuifanya ACP kuwa na nguvu zaidi katika kupanga, kuweka mikakati na kutekeleza kwa ufanisi malengo ya umoja wao.Pia baraza limefanya uamuzi wa kumchagua Balozi George Chikoti kutoka Jamhuri ya Angola kuwa Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya ACP kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025. ### Response: KITAIFA ### End
Na RAMADHAN LIBENANGA– MOROGORO  JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa   kupatikana na kilo moja ya dawa za kulevya (cocaine) na pembe za ndovu mbili zenye thamani ya Sh milioni 33. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,Urlich Matei alisema Juni 30   usiku, askari wakiwa kwenye doria ya kawaida maeneo ya Msamvu Manispaa ya Morogoro, walimkamata Sunday Balinos mkazi wa Msamvu akiwa na dawa za kulevya  katika mfuko wa rambo uliozungushiwa gundi ya plastiki. Alisema   mtuhumiwa yupo rumande anaendelea kuhojiwa I kujua mtandao wa dawa hizo   na baadaye atafikishwa mahakamani kujibu shitaka linalomkabili. Kamanda Matei alisema pia kuwa Juni 29 mwaka huu    asubuhi    katika   Tarafa ya Mlali wilayani Mvomero, askari wakiwa kwenye doria walimkamata Kimosa Kibona (43) mkazi wa Mlali akiwa na pembe mbili za meno ya tembo zenye thamani ya Sh milioni 33. Alisema  polisi walipokea taarifa za intelijensia na kuweza kumkamata mtu huyo akiwa ameziweka nyara hizo za Serikali kwenye mfuko wa rambo. Katika tukio la tatu, Jeshi la Polisi linamshikilia  Stephan  Felician (32) mkazi wa Mbezi  Dar es Salaam kwa   kukutwa na debe moja la bangi. “Mtuhumiwa alikamatwa akiwa kwenye Kituo cha Mabasi  Msamvu,” alisema Kamanda Matei.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na RAMADHAN LIBENANGA– MOROGORO  JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa   kupatikana na kilo moja ya dawa za kulevya (cocaine) na pembe za ndovu mbili zenye thamani ya Sh milioni 33. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,Urlich Matei alisema Juni 30   usiku, askari wakiwa kwenye doria ya kawaida maeneo ya Msamvu Manispaa ya Morogoro, walimkamata Sunday Balinos mkazi wa Msamvu akiwa na dawa za kulevya  katika mfuko wa rambo uliozungushiwa gundi ya plastiki. Alisema   mtuhumiwa yupo rumande anaendelea kuhojiwa I kujua mtandao wa dawa hizo   na baadaye atafikishwa mahakamani kujibu shitaka linalomkabili. Kamanda Matei alisema pia kuwa Juni 29 mwaka huu    asubuhi    katika   Tarafa ya Mlali wilayani Mvomero, askari wakiwa kwenye doria walimkamata Kimosa Kibona (43) mkazi wa Mlali akiwa na pembe mbili za meno ya tembo zenye thamani ya Sh milioni 33. Alisema  polisi walipokea taarifa za intelijensia na kuweza kumkamata mtu huyo akiwa ameziweka nyara hizo za Serikali kwenye mfuko wa rambo. Katika tukio la tatu, Jeshi la Polisi linamshikilia  Stephan  Felician (32) mkazi wa Mbezi  Dar es Salaam kwa   kukutwa na debe moja la bangi. “Mtuhumiwa alikamatwa akiwa kwenye Kituo cha Mabasi  Msamvu,” alisema Kamanda Matei. ### Response: KITAIFA ### End
Mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala ametangaza kuwa amepona rasmi virusi vya corona vilivyomsumbua kwa takribani miezi miwili Dybala ambaye wiki kadhaa zilizopita aligundulika na ugonjwa huo kwa mara ya nne ndani ya wiki sita ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa sasa yupo safi “Sura yangu inasema kila kitu napenda kutangaza kuwa sasa nipo huru nimepona virusi vya Corona” ameandika huku akiweka picha akiwa ametabasamu Dybala alikuwa mmoja kati ya wachezaji wa kwanza kabisa wa Juventus kukutwa na virusi vya corona mapema mwezi wa Machi   Mi imagen lo dice todo, finalmente curado de Covid-19 😆💪🏽♥️. My face says it all, i’m finaly cured from Covid-19 💪🏽♥️😆La mia faccia dice tutto: finalmente guarito dal Covid-19! A post shared by Paulo Dybala (@paulodybala) on May 6, 2020 at 9:10am PDT
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala ametangaza kuwa amepona rasmi virusi vya corona vilivyomsumbua kwa takribani miezi miwili Dybala ambaye wiki kadhaa zilizopita aligundulika na ugonjwa huo kwa mara ya nne ndani ya wiki sita ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa sasa yupo safi “Sura yangu inasema kila kitu napenda kutangaza kuwa sasa nipo huru nimepona virusi vya Corona” ameandika huku akiweka picha akiwa ametabasamu Dybala alikuwa mmoja kati ya wachezaji wa kwanza kabisa wa Juventus kukutwa na virusi vya corona mapema mwezi wa Machi   Mi imagen lo dice todo, finalmente curado de Covid-19 😆💪🏽♥️. My face says it all, i’m finaly cured from Covid-19 💪🏽♥️😆La mia faccia dice tutto: finalmente guarito dal Covid-19! A post shared by Paulo Dybala (@paulodybala) on May 6, 2020 at 9:10am PDT ### Response: MICHEZO ### End
Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Anna Byard-Golds amekuwa na ugonjwa wa kubambuka ngozi katika maisha yake yote. "Nilianza kujitambua nikiwa na umri wa miaka minne au mitano. Niligundua kuwa mikono yangu ni tofauti na ya watoto wengine na pia nilihisi sifanani na wengine," amezungumza na kipindi cha BBC cha Newsbeat. Inaseekana kuwa asilimia 89 ya watu wazima wenye ugonjwa wa ngozi kujibambua wanahisi kuwa umuhimu wao ni kidogo sana maishani. Robo ya watoto wenye ugonjwa huu wa ngozi wanajidunisha, kwa mujibu wa wazazi walioshiriki utafiti. "Ni kama ngozi ya kifaru- ina mabaka na mipasuko, ni ngumu na isiovutia," Anna, 15, anasema. Anna amerejea shule lakini kuna siku nyingi tu anazokumbuka ambazo huwa hataki kwenda shuleni. "Kuna siku ambazo ningekuja nyumbani mapema kwasababu ngozi yangu inauma kweli. "Inakuwa vigumu kusogea, kuandika huwezi, kwahiyo sikuweza kufuatilia masomo kama inavyotakikana." Nyakati za asubuhi, ugonjwa wake wa kujibambua ngozi ungeenea hata kwenye uso na kumfanya kukosa kujiamini. 'Kuna siku ambazo ninachotaka wakati huo ni kuitoa kabisa ngozi yangu' "Sikutaka watu wanione. Nilihisi aibu." Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Akiwa anakua, Anna alionewa na watoto wenzake kwasababu ya ugonjwa wake wa ngozi. "Sikujua tu kuwa mimi ni tofauti, lakini pia watu wengine waliniambia kuwa siko kama wao." Anna alivaa nguo kubwa kubwa kujaribu kufunika ngozi yake kwasababu hakutaka yeyote ajue ana ugonjwa wa ngozi kujibambua. "Na hilo liliniathiri kwasababu unahisi hauko kama wengine. Moja ya changamoto zilizobainiwa na watafiti ni kujitenga. Hali haikuwa tofauti kwa Anna - angeonana na rafiki zake lakini kama yuko ndani tu. "Kila wakati nilikutana na rafiki zangu ama kwetu au kwao lakini sio maeneo ya nje kwasababu niliona haya. "Wakati mwingine unahisi wewe ni mzigo." Kwa wengine. Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Mbinu alizotumia Anna kukabiliana na hali yake ni pamoja na kujipaka dawa, kusikiliza muziki na kutazama video akiwa ndani ya nyumba. "Nikiwa peke yangu, nilihisi ninahukumiwa juu ya ngozi yangu lakini nikiwa nafanya kazi zangu nilijihisi kuwa mtu tofauti." "Sehemu moja ya kukabiliana na hali hii ni kujiamini na kuwa na fikra chanya", Anna anasema. "Imenichukua muda kujua kwamba unahitaji kuwa na mtazamo chanya la sivyo huwezi kufikia unacholenga," Anna ameongeza. Pia anasema ni muhimu kuacha hisia kuchukua mkondo wake. "Kama unataka kulia, lia haswa mpaka utosheke, na pia unahitaji kuzungumza na watu wako wa karibu ili waelewe unavyohisi. "Kuna siku unajiuliza, 'Kwanini mimi nipitie haya na wala sio mwingine?' Wakati kama huo nilijipata nikibubujikwa na machozi." Kuna dawa ambayo Anna ameanza kuituia na sasa hali yake inaendelea kuimarika. Lakini licha ya kwamba mikono yake haionekani tena kuwa na rangi nyekundu na kufura, haimaanishi kwamba amepata tiba. Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds 'Sio suala la kutibika' Kulingana na mtaalamu wa ngozi Julie Van Onseleme, "sio suala la kutibu ugonjwa wa kubambuka kwa ngozi bali namna ya kujua kuudhibti". Julie anaongeza: "Hata ukipata tiba itakayokupa afueni, bado ugonjwa huo utakuwa nao na unachohitajika kujua ni namna ya kutunza ngozi yako". Kwa Anna, bado ngozi yake hupasuka, inafura pamoja na kubadilika rangi hasa kwenye uso na viganja vya mkono." Lakini sasa hivi amepata afueni. "Sasa naweza kujiangalia kwenye kioo bila kufikiria vinginevyo kama vile: Sitaki kukuona."
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Anna Byard-Golds amekuwa na ugonjwa wa kubambuka ngozi katika maisha yake yote. "Nilianza kujitambua nikiwa na umri wa miaka minne au mitano. Niligundua kuwa mikono yangu ni tofauti na ya watoto wengine na pia nilihisi sifanani na wengine," amezungumza na kipindi cha BBC cha Newsbeat. Inaseekana kuwa asilimia 89 ya watu wazima wenye ugonjwa wa ngozi kujibambua wanahisi kuwa umuhimu wao ni kidogo sana maishani. Robo ya watoto wenye ugonjwa huu wa ngozi wanajidunisha, kwa mujibu wa wazazi walioshiriki utafiti. "Ni kama ngozi ya kifaru- ina mabaka na mipasuko, ni ngumu na isiovutia," Anna, 15, anasema. Anna amerejea shule lakini kuna siku nyingi tu anazokumbuka ambazo huwa hataki kwenda shuleni. "Kuna siku ambazo ningekuja nyumbani mapema kwasababu ngozi yangu inauma kweli. "Inakuwa vigumu kusogea, kuandika huwezi, kwahiyo sikuweza kufuatilia masomo kama inavyotakikana." Nyakati za asubuhi, ugonjwa wake wa kujibambua ngozi ungeenea hata kwenye uso na kumfanya kukosa kujiamini. 'Kuna siku ambazo ninachotaka wakati huo ni kuitoa kabisa ngozi yangu' "Sikutaka watu wanione. Nilihisi aibu." Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Akiwa anakua, Anna alionewa na watoto wenzake kwasababu ya ugonjwa wake wa ngozi. "Sikujua tu kuwa mimi ni tofauti, lakini pia watu wengine waliniambia kuwa siko kama wao." Anna alivaa nguo kubwa kubwa kujaribu kufunika ngozi yake kwasababu hakutaka yeyote ajue ana ugonjwa wa ngozi kujibambua. "Na hilo liliniathiri kwasababu unahisi hauko kama wengine. Moja ya changamoto zilizobainiwa na watafiti ni kujitenga. Hali haikuwa tofauti kwa Anna - angeonana na rafiki zake lakini kama yuko ndani tu. "Kila wakati nilikutana na rafiki zangu ama kwetu au kwao lakini sio maeneo ya nje kwasababu niliona haya. "Wakati mwingine unahisi wewe ni mzigo." Kwa wengine. Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds Mbinu alizotumia Anna kukabiliana na hali yake ni pamoja na kujipaka dawa, kusikiliza muziki na kutazama video akiwa ndani ya nyumba. "Nikiwa peke yangu, nilihisi ninahukumiwa juu ya ngozi yangu lakini nikiwa nafanya kazi zangu nilijihisi kuwa mtu tofauti." "Sehemu moja ya kukabiliana na hali hii ni kujiamini na kuwa na fikra chanya", Anna anasema. "Imenichukua muda kujua kwamba unahitaji kuwa na mtazamo chanya la sivyo huwezi kufikia unacholenga," Anna ameongeza. Pia anasema ni muhimu kuacha hisia kuchukua mkondo wake. "Kama unataka kulia, lia haswa mpaka utosheke, na pia unahitaji kuzungumza na watu wako wa karibu ili waelewe unavyohisi. "Kuna siku unajiuliza, 'Kwanini mimi nipitie haya na wala sio mwingine?' Wakati kama huo nilijipata nikibubujikwa na machozi." Kuna dawa ambayo Anna ameanza kuituia na sasa hali yake inaendelea kuimarika. Lakini licha ya kwamba mikono yake haionekani tena kuwa na rangi nyekundu na kufura, haimaanishi kwamba amepata tiba. Chanzo cha picha, Anna Byard-Golds 'Sio suala la kutibika' Kulingana na mtaalamu wa ngozi Julie Van Onseleme, "sio suala la kutibu ugonjwa wa kubambuka kwa ngozi bali namna ya kujua kuudhibti". Julie anaongeza: "Hata ukipata tiba itakayokupa afueni, bado ugonjwa huo utakuwa nao na unachohitajika kujua ni namna ya kutunza ngozi yako". Kwa Anna, bado ngozi yake hupasuka, inafura pamoja na kubadilika rangi hasa kwenye uso na viganja vya mkono." Lakini sasa hivi amepata afueni. "Sasa naweza kujiangalia kwenye kioo bila kufikiria vinginevyo kama vile: Sitaki kukuona." ### Response: AFYA ### End
Alitoa mwito huo juzi wakati akifungua semina ya siku tatu, iliyoandaliwa na BoT na NBAA na kushirikisha wahasibu kutoka taasisi za kifedha nchini, ili kujadili masuala mbalimbali ya kifedha, ikiwemo ya kuweka utaratibu mpya wa utoaji huduma za kifedha unaofanana na kimataifa.Alisema kuna umuhimu mkubwa wa kuboresha huduma hizo, kwani sekta hiyo ina mambo mengi na yanabadilika kila mara.“Lakini kubwa ninaloomba katika masuala yote mtakayojadili hili la kupeleka huduma za kifedha zilizo rasmi kwa watanzania wengi ni la msingi na la kulifanyia kazi,” alisema.Mkurugenzi wa NBAA, Pius Maneno alisema semina hiyo inawashiriki zaidi ya 300 na wanatarajia kujadili mada zaidi ya 11, ikiwemo ya utawala bora na kuboresha taasisi za kifedha.Alisema katika semina hiyo, watazungumzia viwango vya kiuhasibu, masoko mapya ya mitaji na taasisi za fedha, lakini zaidi watajikita kuangalia jinsi ya kuboresha na kuendesha taasisi za kifedha ili kutoa taarifa zilizo sahihi kwa wadau wao.Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa BoT Tawi la Arusha, Juma Kimwaga, alisema semina hizo zinaongeza uelewa mkubwa wa utoaji wa taarifa za fedha kwa kiwango cha kimataifa.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Alitoa mwito huo juzi wakati akifungua semina ya siku tatu, iliyoandaliwa na BoT na NBAA na kushirikisha wahasibu kutoka taasisi za kifedha nchini, ili kujadili masuala mbalimbali ya kifedha, ikiwemo ya kuweka utaratibu mpya wa utoaji huduma za kifedha unaofanana na kimataifa.Alisema kuna umuhimu mkubwa wa kuboresha huduma hizo, kwani sekta hiyo ina mambo mengi na yanabadilika kila mara.“Lakini kubwa ninaloomba katika masuala yote mtakayojadili hili la kupeleka huduma za kifedha zilizo rasmi kwa watanzania wengi ni la msingi na la kulifanyia kazi,” alisema.Mkurugenzi wa NBAA, Pius Maneno alisema semina hiyo inawashiriki zaidi ya 300 na wanatarajia kujadili mada zaidi ya 11, ikiwemo ya utawala bora na kuboresha taasisi za kifedha.Alisema katika semina hiyo, watazungumzia viwango vya kiuhasibu, masoko mapya ya mitaji na taasisi za fedha, lakini zaidi watajikita kuangalia jinsi ya kuboresha na kuendesha taasisi za kifedha ili kutoa taarifa zilizo sahihi kwa wadau wao.Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa BoT Tawi la Arusha, Juma Kimwaga, alisema semina hizo zinaongeza uelewa mkubwa wa utoaji wa taarifa za fedha kwa kiwango cha kimataifa. ### Response: UCHUMI ### End
LONDON, ENGLAND KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne, anaamini timu ya Liverpool  inaweza kutwaa ubingwawa Ligi Kuu England msimu huu iwapo itaendelea kuonyesha kiwango bora wanachokionyesha hadi mwisho wa msimu. De Bruyne, ambaye kwa sasa amerejea uwanjani baada ya wiki sita za majeraha ya kifundo cha mguu, hana hofu na kiwango cha Liverpool kama itatwaa ubingwa msimu huu. Manchester City ilimaliza msimu uliopita na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa tofauti ya pointi 19 dhidi ya Liverpool lakini De Bruyne anaamini  kitendo hicho hakitatokeamsimu huu. “Sijui kwanini wanakua hawana mwendelezo wa kiwango chao, lakini safari hii wanaweza kumaliza msimu wakiwa katika ubora wao. Liverpool na Manchester City zilitoka suluhu zilipokutana Oktoba mwaka huu katika Uwanja wa Etihad, lakini zinatarajia kuvaana tena Januari mwakani.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, ENGLAND KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne, anaamini timu ya Liverpool  inaweza kutwaa ubingwawa Ligi Kuu England msimu huu iwapo itaendelea kuonyesha kiwango bora wanachokionyesha hadi mwisho wa msimu. De Bruyne, ambaye kwa sasa amerejea uwanjani baada ya wiki sita za majeraha ya kifundo cha mguu, hana hofu na kiwango cha Liverpool kama itatwaa ubingwa msimu huu. Manchester City ilimaliza msimu uliopita na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa tofauti ya pointi 19 dhidi ya Liverpool lakini De Bruyne anaamini  kitendo hicho hakitatokeamsimu huu. “Sijui kwanini wanakua hawana mwendelezo wa kiwango chao, lakini safari hii wanaweza kumaliza msimu wakiwa katika ubora wao. Liverpool na Manchester City zilitoka suluhu zilipokutana Oktoba mwaka huu katika Uwanja wa Etihad, lakini zinatarajia kuvaana tena Januari mwakani. ### Response: MICHEZO ### End
Na Gaudence Msuya-TANGA MENEJA wa Wakala wa Misitu (TFS) Wilaya ya Tanga, Raulence  Brighton, amesema mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya mapafu, umesababisha biashara ya usafirishaji  mbao kwenda nje ya nchi kudorora kutokana na kuzuiwa kwa safari na baadhi ya nchi kufunga mipaka yake. Brighton alisema awali makontena ya mbao kuanzia 10 hadi  20 yalikuwa yakisafirishwa kwa kila mwezi kupitia bandari, lakini sasa biashara imesimama. Alisema usafirishaji wa mbao umetibuka baada ya kutangazwa kwa mlipuko wa corona katika nchi za Ulaya na Marekani ambako ndipo kwenye soko kubwa la bidhaa hiyo.  “Hali siyo nzuri kwa biashara ya mbao, corona imesababisha kufungwa kwa safari na mipaka na hivyo kushindwa kuendelea kufanyika, na hii itategemea maendeleo ya udhibiti wa ugonjwa huo,” alisema Brighton. Alisema kwa kipindi cha mwaka 2018/19  TFS jijini Tanga ilikamata magogo yaliyokuwa yakisafirishwa visivyo halali yenye thamani ya Sh milioni 240  ambayo alidai watuhumiwa walifikishwa mahakamani na kushindwa kesi. Brighton alisema baada ya uamuzi wa mahakama, TFS ilitowa tangazo la mnada ambao alisema uliharibika baada ya aliyeshinda kushindwa kulipa gharama za magogo hayo. Meneja wa TFS  Wilaya ya Mkinga, Arcado Ngumbala alieleza mkakati wa kuanzisha shamba jipya eneo la Mwakijembe wilayani humo lenye ukubwa wa hekta 8,979 na kwa mwaka huu hekta kumi zimeshaanza kuendelezwa. Naye  Meneja wa TFS  Kanda ya Kaskazini, Edward  Shilogile, alisema walivuka lengo kwa kukusanya Sh bilioni 6.6 kwa mazao ya kwa mwaka 2019/20. Shilogile pia alitumia nafasi hiyo kuwatahadharisha  watumishi wasio waaminifu wanaosaidia kuhujumu mali za misitu ikiwemo kuuza mbegu ambazo zinatolewa bure kwa watu waliotimiza vigezo vinavyotakiwa. Alieleza kuwa kufanya hivyo ni kosa kwa sababu Serikali imegharamia mbegu hizo na hivyo kinachotakiwa ni watumishi hao kutoa elimu kwa wananchi wanaohitaji ili kukidhi vigezo vya kupatiwa miche hiyo bila kununua. Alikemea vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wasio waaminifu kutega mitego kwenye hifadhi ya Rau iliyopo Moshi kwa lengo la kunasa wanyama jambo ambalo alilieleza kuwa ni kosa na kwamba atakayepatikana atachukuliwa hatua za kisheria.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Gaudence Msuya-TANGA MENEJA wa Wakala wa Misitu (TFS) Wilaya ya Tanga, Raulence  Brighton, amesema mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha homa kali ya mapafu, umesababisha biashara ya usafirishaji  mbao kwenda nje ya nchi kudorora kutokana na kuzuiwa kwa safari na baadhi ya nchi kufunga mipaka yake. Brighton alisema awali makontena ya mbao kuanzia 10 hadi  20 yalikuwa yakisafirishwa kwa kila mwezi kupitia bandari, lakini sasa biashara imesimama. Alisema usafirishaji wa mbao umetibuka baada ya kutangazwa kwa mlipuko wa corona katika nchi za Ulaya na Marekani ambako ndipo kwenye soko kubwa la bidhaa hiyo.  “Hali siyo nzuri kwa biashara ya mbao, corona imesababisha kufungwa kwa safari na mipaka na hivyo kushindwa kuendelea kufanyika, na hii itategemea maendeleo ya udhibiti wa ugonjwa huo,” alisema Brighton. Alisema kwa kipindi cha mwaka 2018/19  TFS jijini Tanga ilikamata magogo yaliyokuwa yakisafirishwa visivyo halali yenye thamani ya Sh milioni 240  ambayo alidai watuhumiwa walifikishwa mahakamani na kushindwa kesi. Brighton alisema baada ya uamuzi wa mahakama, TFS ilitowa tangazo la mnada ambao alisema uliharibika baada ya aliyeshinda kushindwa kulipa gharama za magogo hayo. Meneja wa TFS  Wilaya ya Mkinga, Arcado Ngumbala alieleza mkakati wa kuanzisha shamba jipya eneo la Mwakijembe wilayani humo lenye ukubwa wa hekta 8,979 na kwa mwaka huu hekta kumi zimeshaanza kuendelezwa. Naye  Meneja wa TFS  Kanda ya Kaskazini, Edward  Shilogile, alisema walivuka lengo kwa kukusanya Sh bilioni 6.6 kwa mazao ya kwa mwaka 2019/20. Shilogile pia alitumia nafasi hiyo kuwatahadharisha  watumishi wasio waaminifu wanaosaidia kuhujumu mali za misitu ikiwemo kuuza mbegu ambazo zinatolewa bure kwa watu waliotimiza vigezo vinavyotakiwa. Alieleza kuwa kufanya hivyo ni kosa kwa sababu Serikali imegharamia mbegu hizo na hivyo kinachotakiwa ni watumishi hao kutoa elimu kwa wananchi wanaohitaji ili kukidhi vigezo vya kupatiwa miche hiyo bila kununua. Alikemea vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wasio waaminifu kutega mitego kwenye hifadhi ya Rau iliyopo Moshi kwa lengo la kunasa wanyama jambo ambalo alilieleza kuwa ni kosa na kwamba atakayepatikana atachukuliwa hatua za kisheria. ### Response: KITAIFA ### End
ANTANANARIVO, MADAGASCAR WIZARA ya Afya nchini Madagascar, imetuma ombi la msaada wa dharura kwa mashirika na taasisi za Afya huku wagonjwa wa corona wakiongezeka. Wizara ya Afya imesema kwamba ugonjwa huo katika wiki za hivi karibuni umesambaa kwa kiwango cha juu nchini Madagascar huku maeneo kadhaa yakirekodi milipuko hususan mji mkuu wa Antananrivo, kulingana na mtandao wa Actu Orange. Kumekuwa na ripoti kwamba hospitali za umma nchini Madagascar zimejaa na zimekuwa zikiwalaza wagonjwa walio katika hali mbaya zaidi.Taifa hilo kwa sasa lina takriban wagonjwa 7,000 wa Covid-19. Rais Andry Rajaolina mapema mwezi huu aliweka masharti ya kutotoka nje katika mji mkuu wa Antananarivo kufuatia kuongezeka kwa maradhi hayo. Mnamo mwezi Aprili, alizindua dawa ya mitishamba ya maradhi ya Covid-19 ambayo ilisambazwa nchini humo. Mizigo kadhaa ya dawa hiyo ya Covid Organic pia ilitumwa kwa makumi ya mataifa barani Afrika. Hatahivyo uwezo wa kinywaji hicho umepuuziliwa mbali na wataalam wa Afya nchini Nigeria na DR Congo mataifa ambayo yalifanyia majaribio dawa hiyo. Katikati ya mwezi Julai rais wa taifa hilo alitangaza kwamba wabunge wawili wamefariki kutokana na virusi vya corona huku wabunge wengine 25 wakiambukizwa virusi hivyo tangu kisa cha kwanza kilipothibitishwa katika kisiwa hicho mnamo mwezi Machi. Rajoleina pia alisema kwamba yeye na familia yake wamekuwa wakinywa dawa ya mitishamba ya Covid Organics inayodaiwa kutibu virusi hivyo ambayo ilizinduliwa mwezi Aprili, licha ya onyo kutoka kwa WHO kwamba haijaidhinishwa kutumika. “Ni kweli kwamba nimewasiliana na walioambukizwa . Nimeingia katika mahospitali yanayowatibu wagonjwa wa corona. Niko salama. “Sina virusi vya corona hata kidogo. Sina dalili. Namshukuru Mungu. Nafuata maagizo niliyojiwekea, lakini zaidi ya yote mimi na wapenzi wangu mke wangu na watoto wangu, tunakunywa na kufuata maagizo ya dawa yetu ya mitishamba,” alisema. BBC
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- ANTANANARIVO, MADAGASCAR WIZARA ya Afya nchini Madagascar, imetuma ombi la msaada wa dharura kwa mashirika na taasisi za Afya huku wagonjwa wa corona wakiongezeka. Wizara ya Afya imesema kwamba ugonjwa huo katika wiki za hivi karibuni umesambaa kwa kiwango cha juu nchini Madagascar huku maeneo kadhaa yakirekodi milipuko hususan mji mkuu wa Antananrivo, kulingana na mtandao wa Actu Orange. Kumekuwa na ripoti kwamba hospitali za umma nchini Madagascar zimejaa na zimekuwa zikiwalaza wagonjwa walio katika hali mbaya zaidi.Taifa hilo kwa sasa lina takriban wagonjwa 7,000 wa Covid-19. Rais Andry Rajaolina mapema mwezi huu aliweka masharti ya kutotoka nje katika mji mkuu wa Antananarivo kufuatia kuongezeka kwa maradhi hayo. Mnamo mwezi Aprili, alizindua dawa ya mitishamba ya maradhi ya Covid-19 ambayo ilisambazwa nchini humo. Mizigo kadhaa ya dawa hiyo ya Covid Organic pia ilitumwa kwa makumi ya mataifa barani Afrika. Hatahivyo uwezo wa kinywaji hicho umepuuziliwa mbali na wataalam wa Afya nchini Nigeria na DR Congo mataifa ambayo yalifanyia majaribio dawa hiyo. Katikati ya mwezi Julai rais wa taifa hilo alitangaza kwamba wabunge wawili wamefariki kutokana na virusi vya corona huku wabunge wengine 25 wakiambukizwa virusi hivyo tangu kisa cha kwanza kilipothibitishwa katika kisiwa hicho mnamo mwezi Machi. Rajoleina pia alisema kwamba yeye na familia yake wamekuwa wakinywa dawa ya mitishamba ya Covid Organics inayodaiwa kutibu virusi hivyo ambayo ilizinduliwa mwezi Aprili, licha ya onyo kutoka kwa WHO kwamba haijaidhinishwa kutumika. “Ni kweli kwamba nimewasiliana na walioambukizwa . Nimeingia katika mahospitali yanayowatibu wagonjwa wa corona. Niko salama. “Sina virusi vya corona hata kidogo. Sina dalili. Namshukuru Mungu. Nafuata maagizo niliyojiwekea, lakini zaidi ya yote mimi na wapenzi wangu mke wangu na watoto wangu, tunakunywa na kufuata maagizo ya dawa yetu ya mitishamba,” alisema. BBC ### Response: KIMATAIFA ### End
LONDON, ENGLAND BEKI wa klabu ya Chelsea, Kurt Zouma, atakua nje ya uwanja kwa miezi sita baada ya kuumia goti kwenye mchezo dhidi ya Manchester United mwishoni mwa wiki iliyopita. Zouma atafanyiwa upasuaji kwenye goti lake ambalo aliumia kwenye Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kutua vibaya aliporuka juu kupiga mpira kwa kichwa. Uchunguzi umethibitisha kwamba, aliumia vibaya na hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji ili kuweza kutibu tatizo hilo. Kutokana na hali hiyo, beki huyo atakuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima na kukosa michezo yote ya Ligi Kuu ambayo imebakia pamoja na michuano ya Euro ambayo inatarajia kufanyika Juni 10 hadi Julai 10 mwaka huu nchini Ufaransa. Kupitia akaunti ya Twitter ya mchezaji huyo amewashukuru mashabiki wote ambao wamemtumia ujumbe wa kumpa pole na kumuombea aweze kurudi uwanjani mapema iwezekanavyo. “Ninaushukuru uongozi wa klabu yangu kwa ushirikiano waliouonesha pamoja na mashabiki wangu wote, ninaamini nitakuwa vizuri haraka iwezekanavyo kwa kuwa ninatarajia kufanyiwa upasuaji saa 48 kuanzia sasa,” aliandika Zouma. Hata hivyo, klabu hiyo imemtakia kila la heri mchezaji huyo aweze kupona mapema huku wakitegemea kuungana naye msimu ujao. Kutokana na kuumia kwa Zouma, sasa Chelsea katika safu ya ulinzi itakuwa inaundwa na John Terry huku nafasi ya Zouma ikichukuliwa na Gary Cahill katika kipindi hiki chote cha msimu huu. Zouma ambaye amekuwa kama pacha wa John Terry katika safu ya ulinzi uwanjani, ameichezea Chelsea mechi 32 msimu huu.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, ENGLAND BEKI wa klabu ya Chelsea, Kurt Zouma, atakua nje ya uwanja kwa miezi sita baada ya kuumia goti kwenye mchezo dhidi ya Manchester United mwishoni mwa wiki iliyopita. Zouma atafanyiwa upasuaji kwenye goti lake ambalo aliumia kwenye Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kutua vibaya aliporuka juu kupiga mpira kwa kichwa. Uchunguzi umethibitisha kwamba, aliumia vibaya na hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji ili kuweza kutibu tatizo hilo. Kutokana na hali hiyo, beki huyo atakuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima na kukosa michezo yote ya Ligi Kuu ambayo imebakia pamoja na michuano ya Euro ambayo inatarajia kufanyika Juni 10 hadi Julai 10 mwaka huu nchini Ufaransa. Kupitia akaunti ya Twitter ya mchezaji huyo amewashukuru mashabiki wote ambao wamemtumia ujumbe wa kumpa pole na kumuombea aweze kurudi uwanjani mapema iwezekanavyo. “Ninaushukuru uongozi wa klabu yangu kwa ushirikiano waliouonesha pamoja na mashabiki wangu wote, ninaamini nitakuwa vizuri haraka iwezekanavyo kwa kuwa ninatarajia kufanyiwa upasuaji saa 48 kuanzia sasa,” aliandika Zouma. Hata hivyo, klabu hiyo imemtakia kila la heri mchezaji huyo aweze kupona mapema huku wakitegemea kuungana naye msimu ujao. Kutokana na kuumia kwa Zouma, sasa Chelsea katika safu ya ulinzi itakuwa inaundwa na John Terry huku nafasi ya Zouma ikichukuliwa na Gary Cahill katika kipindi hiki chote cha msimu huu. Zouma ambaye amekuwa kama pacha wa John Terry katika safu ya ulinzi uwanjani, ameichezea Chelsea mechi 32 msimu huu. ### Response: MICHEZO ### End
Wakala wa Vipimo, imewasilisha katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa (TAMISEMI) mapendekezo ya kutungwa kwa sheria ndogo katika mamlaka za serikali za mitaa zitakazowangoza wakulima na wafanyabiashara kufunga mazao kwa mujibu wa sheria ya vipimo na kanuni zake.Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, alisema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi (CCM) aliyetaka kufahamu ni lini serikali itasimamia kwa dhati sheria zake na kuondoa unyonyaji huo wa kufunga mizigo kwa mtindo wa lumbesa.Akijibu swali hilo, Mwijage alisema lengo la serikali kufanya mapitio ya sheria hiyo ni kumlinda muuzaji kwa kudhibiti wanunuzi wanaotumia njia za udanganyifu.Alisema pamoja na marekebisho hayo ya sheria uanzishwaji wa sheria ndogo utasaidia kurahisisha usimamizi wa matumizi ya vipimo rasmi katika ununuzi wa kanuni zake.Alisema ili kurahisisha usimamizi wa matumizi ya vipimo rasmi katika ununuzi wa mazao, Mamlaka za serikali za mitaa zitaainisha vituo maalumu katika vitongoji nchi nzima na kwa mazao yote na hivyo hakuna mfanyabiashara atakayeruhusiwa kusafirisha mazao yaliyofungaswa kinyume cha sheria za vipimo.Alisema Wakala wa vipimo kwa kushirikiana na Mamlaka ya serikali za mitaa itaanzisha vituo maalumu vya ukaguzi bila kusababisha usumbufu katika ufanyaji biashara.Pia aliwataka wakurugenzi kuunga mkono juhudi za kupiga vita matumizi hayo ya vipimo batili katika ununuzi wa mazao ya wakulima, ikiwa ni pamoja na kutenga na kuyasimamia maeneo maalum ya kuuzia mazao. Pia maafisa ugani walioko vijijini wametakiwa kusimamia matumizi ya vipimo rasmi katika vituo hivyo na kutoa taarifa muhimu kwa wakala wa vipimo.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wakala wa Vipimo, imewasilisha katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa (TAMISEMI) mapendekezo ya kutungwa kwa sheria ndogo katika mamlaka za serikali za mitaa zitakazowangoza wakulima na wafanyabiashara kufunga mazao kwa mujibu wa sheria ya vipimo na kanuni zake.Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, alisema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi (CCM) aliyetaka kufahamu ni lini serikali itasimamia kwa dhati sheria zake na kuondoa unyonyaji huo wa kufunga mizigo kwa mtindo wa lumbesa.Akijibu swali hilo, Mwijage alisema lengo la serikali kufanya mapitio ya sheria hiyo ni kumlinda muuzaji kwa kudhibiti wanunuzi wanaotumia njia za udanganyifu.Alisema pamoja na marekebisho hayo ya sheria uanzishwaji wa sheria ndogo utasaidia kurahisisha usimamizi wa matumizi ya vipimo rasmi katika ununuzi wa kanuni zake.Alisema ili kurahisisha usimamizi wa matumizi ya vipimo rasmi katika ununuzi wa mazao, Mamlaka za serikali za mitaa zitaainisha vituo maalumu katika vitongoji nchi nzima na kwa mazao yote na hivyo hakuna mfanyabiashara atakayeruhusiwa kusafirisha mazao yaliyofungaswa kinyume cha sheria za vipimo.Alisema Wakala wa vipimo kwa kushirikiana na Mamlaka ya serikali za mitaa itaanzisha vituo maalumu vya ukaguzi bila kusababisha usumbufu katika ufanyaji biashara.Pia aliwataka wakurugenzi kuunga mkono juhudi za kupiga vita matumizi hayo ya vipimo batili katika ununuzi wa mazao ya wakulima, ikiwa ni pamoja na kutenga na kuyasimamia maeneo maalum ya kuuzia mazao. Pia maafisa ugani walioko vijijini wametakiwa kusimamia matumizi ya vipimo rasmi katika vituo hivyo na kutoa taarifa muhimu kwa wakala wa vipimo. ### Response: UCHUMI ### End
Na JESSCA NANGAWE MKALI wa ngoma ya ‘Chovya’, Dyana Nyange,  amefunguka na kudai sasa ni wakati wake wa kutoboa kimataifa ili kukuza muziki wake zaidi, huku akipanga kumshirikisha staa wa Nigeria, Yemi Alade. Msanii huyo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake hicho, amesema wimbo huo umezidi kumtambulisha zaidi na umeifunika ile ngoma ya Komela. Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema tayari amefanya kazi na mtayarishaji wa muziki nchini Afrika Kusini, Captain Blue na kazi hiyo itaanza kuonekana hivi karibuni. “Nadhani sasa ni wakati wangu wa kufanya kazi kimataifa zaidi na tayari nimeanza kazi hiyo baada ya kufanya kazi na mtayarishaji wa muziki wa Afrika Kusini, pia nipo kwenye mipango ya kuwashirikisha mastaa wakubwa kama  Yemi Alade na wengine, lengo ni kupanua wigo zaidi wa kazi zangu,” alisema Dyana Nyange.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na JESSCA NANGAWE MKALI wa ngoma ya ‘Chovya’, Dyana Nyange,  amefunguka na kudai sasa ni wakati wake wa kutoboa kimataifa ili kukuza muziki wake zaidi, huku akipanga kumshirikisha staa wa Nigeria, Yemi Alade. Msanii huyo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake hicho, amesema wimbo huo umezidi kumtambulisha zaidi na umeifunika ile ngoma ya Komela. Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema tayari amefanya kazi na mtayarishaji wa muziki nchini Afrika Kusini, Captain Blue na kazi hiyo itaanza kuonekana hivi karibuni. “Nadhani sasa ni wakati wangu wa kufanya kazi kimataifa zaidi na tayari nimeanza kazi hiyo baada ya kufanya kazi na mtayarishaji wa muziki wa Afrika Kusini, pia nipo kwenye mipango ya kuwashirikisha mastaa wakubwa kama  Yemi Alade na wengine, lengo ni kupanua wigo zaidi wa kazi zangu,” alisema Dyana Nyange. ### Response: BURUDANI ### End
Mabingwa wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Simba jana walisainisha mkataba mpya wa miaka miwili kiungo wao mahiri Jonas Gerald Mkude, ambapo kwa sasa atasalia klabuni hapo mpaka mwaka 2021. Baada ya tukio hilo, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo Haji Manara, amekumbushia kauli waliyozungumza na Mkude juu ya umahiri wake wa kupiga mashuti makali wakati wakiwa njiani kurejea Tanzania kutoka Zambia baada ya mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana ambapo walifungwa mabao 2-1. “Tulipokuwa angani tukirejea kucheza na Nkana kule kitwe nchini Zambia,nilimuuliza Mkude,yapo wapi yale mafataki uliokuwa ukipiga nje ya box? Nikaendelea kumsisitiza huo ulikuwa ubora wako na Wanasimba pamoja na mambo mengine wanakupendea hilo!!” ameandika Manara kupitia Instagram yake. “Akaniambia tulia shekh!! Dadadeki next game ya marudiano na Nkana ,baada ya pasi sukari ya Triple C alifanya vile tumjuavyo cc!! Ni Jonas Gerald Mkude na tayari ameshaongeza kandarasi nasi ya kuendelea kuwatumikia Champ wa Taifa hili @jonasmkude20 ✍️👏”     Tulipokuwa angani tukirejea kucheza na Nkana kule kitwe nchini Zambia,nilimuuliza Mkude,yapo wapi yale mafataki uliokuwa ukipiga nje ya box? Nikaendelea kumsisitiza huo ulikuwa ubora wako na Wanasimba pamoja na mambo mengine wanakupendea hilo!! Akaniambia tulia shekh!! Dadadeki next game ya marudiano na Nkana ,baada ya pasi sukari ya Triple C alifanya vile tumjuavyo cc!! Ni Jonas Gerald Mkude na tayari ameshaongeza kandarasi nasi ya kuendelea kuwatumikia Champ wa Taifa hili @jonasmkude20 ✍️👏 A post shared by Haji S. Manara (@hajismanara) on Jun 13, 2019 at 3:06am PDT
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mabingwa wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Simba jana walisainisha mkataba mpya wa miaka miwili kiungo wao mahiri Jonas Gerald Mkude, ambapo kwa sasa atasalia klabuni hapo mpaka mwaka 2021. Baada ya tukio hilo, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo Haji Manara, amekumbushia kauli waliyozungumza na Mkude juu ya umahiri wake wa kupiga mashuti makali wakati wakiwa njiani kurejea Tanzania kutoka Zambia baada ya mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana ambapo walifungwa mabao 2-1. “Tulipokuwa angani tukirejea kucheza na Nkana kule kitwe nchini Zambia,nilimuuliza Mkude,yapo wapi yale mafataki uliokuwa ukipiga nje ya box? Nikaendelea kumsisitiza huo ulikuwa ubora wako na Wanasimba pamoja na mambo mengine wanakupendea hilo!!” ameandika Manara kupitia Instagram yake. “Akaniambia tulia shekh!! Dadadeki next game ya marudiano na Nkana ,baada ya pasi sukari ya Triple C alifanya vile tumjuavyo cc!! Ni Jonas Gerald Mkude na tayari ameshaongeza kandarasi nasi ya kuendelea kuwatumikia Champ wa Taifa hili @jonasmkude20 ✍️👏”     Tulipokuwa angani tukirejea kucheza na Nkana kule kitwe nchini Zambia,nilimuuliza Mkude,yapo wapi yale mafataki uliokuwa ukipiga nje ya box? Nikaendelea kumsisitiza huo ulikuwa ubora wako na Wanasimba pamoja na mambo mengine wanakupendea hilo!! Akaniambia tulia shekh!! Dadadeki next game ya marudiano na Nkana ,baada ya pasi sukari ya Triple C alifanya vile tumjuavyo cc!! Ni Jonas Gerald Mkude na tayari ameshaongeza kandarasi nasi ya kuendelea kuwatumikia Champ wa Taifa hili @jonasmkude20 ✍️👏 A post shared by Haji S. Manara (@hajismanara) on Jun 13, 2019 at 3:06am PDT ### Response: MICHEZO ### End
Chanzo cha picha, Getty Images Kiungo wa kati wa Ufaransa N'Golo Kante, 31, anashinikiza kuhamia Barcelona mkataba wake wa Chelsea utakapokamilika msimu ujao na amepiga hatua katika makubaliano ya awali ya kandarasi. (Sport - kwa Kihispania) Paris St-Germain itafungua mazungumzo na mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, kufuatia ushindi wake wa Kombe la Dunia, mkataba wake wa sasa unakamilika msimu ujao wa joto. (RMC kupitia Mail Everton wanakaribia kufikia mkataba mpya na winga wa Uingereza Anthony Gordon, 21, ili kuzuia nia ya Chelsea kumnunua. (Telegraph - usajili unahitajika) Chanzo cha picha, Reuters Bayern Munich wana nia ya kumsajili mlinda mlango wa Argentina na Aston Villa Emilano Martinez, 30. (MediaFoot - kwa Kifaransa) Lakini mlinda mlango wa Borussia Monchengladbach na Uswizi Yann Sommer, 34, yuko kwenye mazungumzo na Bayern Munich kuhusu uhamisho baada ya Mjerumani Manuel Neuer kuvunjika mguu. (Goal) Mshambulizi wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe, 24 siku ya Jumanne, anaweza kutangaza kwamba ataondoka PSG mwishoni mwa msimu huu, huku Real Madrid wakimtaka. (Sport - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, Getty Images Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amejitenga na tetesi zinazomhusisha na kazi ya Brazil, akisisitiza kwamba anataka kusalia na mabingwa hao wa Ulaya. (Rai Radio 1 via Mail) Barcelona wanatamani kumsajili beki wa pembeni wa Celtic na Croatia Josip Juranovic, 27, lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka kwa klabu za Atletico Madrid na Premier League. (Sky Sports) Arsenal inatarajiwa kuanza mazungumzo na mshambuliaji wa Uingereza Bukayo Saka, 21, kuhusu mkataba mpya katika "wiki na miezi ijayo". (Caught Offside) Chanzo cha picha, Getty Images Mkurugenzi wa Napoli Cristiano Giuntoli amepuuza nafasi ya Newcastle ya kumsajili mshambuliaji wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 21. (Sport Express, via Fabrizio Romano) Tottenham wanamfikiria kipa wa England na Everton Jordan Pickford, 28 kama mbadala wa muda mrefu wa Mfaransa Hugo Lloris, 35. (Football Insider) Arsenal na Leeds wamejiunga na mbio za kumsajili mshambuliaji wa Brazil Matheus Cunha, 23, huku Atletico Madrid wakijiandaa kumuuza. (Goal) Chanzo cha picha, Getty Images Chelsea wana imani kuwa wanaweza kukamilisha usajili wa beki wa kati wa RB Leipzig na Croatia Josko Gvardiol, 20, licha ya kufahamu kuhusishwa na wapinzani wao. (90 Min) Chelsea pia wako kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund mwenye umri wa miaka 18 Youssoufa Moukoko mwezi Januari. (Give Me Sport) Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati wa zamani wa Watford Roberto Pereyra, 31, mkataba wa Muargentina huyo wa Udinese utakapokamilika. (Fichajes - kwa Kihispania)
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Getty Images Kiungo wa kati wa Ufaransa N'Golo Kante, 31, anashinikiza kuhamia Barcelona mkataba wake wa Chelsea utakapokamilika msimu ujao na amepiga hatua katika makubaliano ya awali ya kandarasi. (Sport - kwa Kihispania) Paris St-Germain itafungua mazungumzo na mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, kufuatia ushindi wake wa Kombe la Dunia, mkataba wake wa sasa unakamilika msimu ujao wa joto. (RMC kupitia Mail Everton wanakaribia kufikia mkataba mpya na winga wa Uingereza Anthony Gordon, 21, ili kuzuia nia ya Chelsea kumnunua. (Telegraph - usajili unahitajika) Chanzo cha picha, Reuters Bayern Munich wana nia ya kumsajili mlinda mlango wa Argentina na Aston Villa Emilano Martinez, 30. (MediaFoot - kwa Kifaransa) Lakini mlinda mlango wa Borussia Monchengladbach na Uswizi Yann Sommer, 34, yuko kwenye mazungumzo na Bayern Munich kuhusu uhamisho baada ya Mjerumani Manuel Neuer kuvunjika mguu. (Goal) Mshambulizi wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe, 24 siku ya Jumanne, anaweza kutangaza kwamba ataondoka PSG mwishoni mwa msimu huu, huku Real Madrid wakimtaka. (Sport - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, Getty Images Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amejitenga na tetesi zinazomhusisha na kazi ya Brazil, akisisitiza kwamba anataka kusalia na mabingwa hao wa Ulaya. (Rai Radio 1 via Mail) Barcelona wanatamani kumsajili beki wa pembeni wa Celtic na Croatia Josip Juranovic, 27, lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka kwa klabu za Atletico Madrid na Premier League. (Sky Sports) Arsenal inatarajiwa kuanza mazungumzo na mshambuliaji wa Uingereza Bukayo Saka, 21, kuhusu mkataba mpya katika "wiki na miezi ijayo". (Caught Offside) Chanzo cha picha, Getty Images Mkurugenzi wa Napoli Cristiano Giuntoli amepuuza nafasi ya Newcastle ya kumsajili mshambuliaji wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 21. (Sport Express, via Fabrizio Romano) Tottenham wanamfikiria kipa wa England na Everton Jordan Pickford, 28 kama mbadala wa muda mrefu wa Mfaransa Hugo Lloris, 35. (Football Insider) Arsenal na Leeds wamejiunga na mbio za kumsajili mshambuliaji wa Brazil Matheus Cunha, 23, huku Atletico Madrid wakijiandaa kumuuza. (Goal) Chanzo cha picha, Getty Images Chelsea wana imani kuwa wanaweza kukamilisha usajili wa beki wa kati wa RB Leipzig na Croatia Josko Gvardiol, 20, licha ya kufahamu kuhusishwa na wapinzani wao. (90 Min) Chelsea pia wako kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund mwenye umri wa miaka 18 Youssoufa Moukoko mwezi Januari. (Give Me Sport) Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati wa zamani wa Watford Roberto Pereyra, 31, mkataba wa Muargentina huyo wa Udinese utakapokamilika. (Fichajes - kwa Kihispania) ### Response: MICHEZO ### End
Na THERESIA GASPER-DAR ES SALAAM BENCHI la ufundi la timu ya Yanga, limempa majukumu kocha mkuu George Lwandamina, kuhakikisha taarifa za ndani za wapinzani wao Zanaco ya Zambia zinapatikana kabla ya kukutana nao katika mchezo wa raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika. Yanga imefanikiwa kutinga hatua hiyo baada ya kuwaondosha wapinzani wao Ngaya de Mde Club katika hatua ya awali ya michuano hiyo kwa kuifunga jumla ya mabao 6-2, ikiwa ni ushindi wa 5-1 ugenini na kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani. Akizungumza baada ya mchezo wa marudiano dhidi ya Ngaya de Mde uliochezwa juzi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, alisema wanakutana na timu kubwa yenye upinzani hivyo ni lazima wajipange sawasawa ili waweze kuvuka raundi hiyo. “Tunfahamu kwamba kocha Lwandamina alishawahi kuifundisha Zanaco miaka ya nyuma, lakini hatuwezi kusema mchezo wetu dhidi yao utakuwa rahisi isipokuwa tutamuomba asaidie kupatikana kwa taarifa zao ili iwe kazi rahisi kupambana nao,” alisema. Mwambusi alisema licha ya timu yao kupata mafanikio na kutinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wachezaji walikosa umakini na kupoteza nafasi zao nyingi katika mechi ya marudiano na kusababisha matokeo ya sare ya bao 1-1. Akizungumzia pambano la watani wa jadi litakalopigwa Jumamosi hii, Mwambusi alisema wameanza kujipanga ili waweze kupata matokeo mazuri yatakayowarejesha kileleni kwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa sasa Yanga inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi baada ya kujikusanyia pointi 49, huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi, wakati Simba inaongoza usukani kwa kufikisha pointi 51.  
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na THERESIA GASPER-DAR ES SALAAM BENCHI la ufundi la timu ya Yanga, limempa majukumu kocha mkuu George Lwandamina, kuhakikisha taarifa za ndani za wapinzani wao Zanaco ya Zambia zinapatikana kabla ya kukutana nao katika mchezo wa raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika. Yanga imefanikiwa kutinga hatua hiyo baada ya kuwaondosha wapinzani wao Ngaya de Mde Club katika hatua ya awali ya michuano hiyo kwa kuifunga jumla ya mabao 6-2, ikiwa ni ushindi wa 5-1 ugenini na kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani. Akizungumza baada ya mchezo wa marudiano dhidi ya Ngaya de Mde uliochezwa juzi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, alisema wanakutana na timu kubwa yenye upinzani hivyo ni lazima wajipange sawasawa ili waweze kuvuka raundi hiyo. “Tunfahamu kwamba kocha Lwandamina alishawahi kuifundisha Zanaco miaka ya nyuma, lakini hatuwezi kusema mchezo wetu dhidi yao utakuwa rahisi isipokuwa tutamuomba asaidie kupatikana kwa taarifa zao ili iwe kazi rahisi kupambana nao,” alisema. Mwambusi alisema licha ya timu yao kupata mafanikio na kutinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wachezaji walikosa umakini na kupoteza nafasi zao nyingi katika mechi ya marudiano na kusababisha matokeo ya sare ya bao 1-1. Akizungumzia pambano la watani wa jadi litakalopigwa Jumamosi hii, Mwambusi alisema wameanza kujipanga ili waweze kupata matokeo mazuri yatakayowarejesha kileleni kwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Kwa sasa Yanga inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi baada ya kujikusanyia pointi 49, huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi, wakati Simba inaongoza usukani kwa kufikisha pointi 51.   ### Response: MICHEZO ### End
MOHAMED KASSARA-DAR ES SALAAM TIMU ya Yanga imepangwa kucheza na Alliance FC katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC), utakaochezwa Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa mwishoni mwa mwezi huu. Droo hiyo imezikutanisha kwa mara nyingine Yanga na Alliance, baada ya timu hizo kuumana siku chache zilizopita katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ambao miamba hiyo ya Jangwani ilipata ushindi wa bao 1-0. Katika mchezo huo, Yanga ililazimika kusubiri hadi dakika za mwisho kupata bao lililofungwa na mshambuliaji, Amisi Tambwe. Yanga ilitinga robo fainali, baada ya kuitupa nje timu ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, kwa kuichapa bao 1-0, mchezo uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Lindi. Kwa upande mwingine, Alliance ilitinga hatua hiyo, baada ya kuiondosha mashindanoni timu ya Dar City inayoshiriki Ligi Daraja la Pili kwa kuitungua mabao 3-0, Uwanja wa Nyamagana, Mwanza. Akizungumza na MTANZANIA muda mfupi baada ya droo hiyo kufanyika Kocha Mkuu wa Alliance, Malale Hamsini, alidai kufurahia hatua ya kukutanishwa tena na Yanga na kusema amepanga kulipa kisasi. “Nimepokea kwa mikono miwili matokeo ya droo hiyo, hadi tunafika hatua ya robo fainali tulikuwa tumejipanga kukutana na timu yoyote ile, dhamira yetu ni kushinda na kusonga mbele. “Yanga walitufunga wiki iliyopita, nafurahi kukutana nao tena, wajiandae  safari hii tunataka kulipa kisasi,” alisema Hamsini. Mbali na mchezo huo, Azam FC itasafiri mpaka Kagera kuifuata Kagera Sugar  katika mchezo mwingine wa robo fainali utakaochezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Azam ilitinga hatua hiyo, baada ya kufurusha Rhino Rangers ya Tabora kwa kuichapa mabao 3-0 mchezo uliochezwa  Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Kagera Sugar ilikata tiketi, baada ya kuizamisha Boma FC kwa kuifunga mabao 2-1, mchezo uliochezwa kwenye uwanja huo.  Nayo KMC itakabiliana na majirani zao African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. KMC ilifika robo fainali baada kuipiga Mtibwa Sugar kwa mikwaju ya penalti 4-3, baada ya kutoka sare 1-1. Patashika nyingine ya robo fainali itakuwa kati ya Lipuli FC itakayoialika Singida United, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Samora, Iringa.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MOHAMED KASSARA-DAR ES SALAAM TIMU ya Yanga imepangwa kucheza na Alliance FC katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC), utakaochezwa Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa mwishoni mwa mwezi huu. Droo hiyo imezikutanisha kwa mara nyingine Yanga na Alliance, baada ya timu hizo kuumana siku chache zilizopita katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ambao miamba hiyo ya Jangwani ilipata ushindi wa bao 1-0. Katika mchezo huo, Yanga ililazimika kusubiri hadi dakika za mwisho kupata bao lililofungwa na mshambuliaji, Amisi Tambwe. Yanga ilitinga robo fainali, baada ya kuitupa nje timu ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, kwa kuichapa bao 1-0, mchezo uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Lindi. Kwa upande mwingine, Alliance ilitinga hatua hiyo, baada ya kuiondosha mashindanoni timu ya Dar City inayoshiriki Ligi Daraja la Pili kwa kuitungua mabao 3-0, Uwanja wa Nyamagana, Mwanza. Akizungumza na MTANZANIA muda mfupi baada ya droo hiyo kufanyika Kocha Mkuu wa Alliance, Malale Hamsini, alidai kufurahia hatua ya kukutanishwa tena na Yanga na kusema amepanga kulipa kisasi. “Nimepokea kwa mikono miwili matokeo ya droo hiyo, hadi tunafika hatua ya robo fainali tulikuwa tumejipanga kukutana na timu yoyote ile, dhamira yetu ni kushinda na kusonga mbele. “Yanga walitufunga wiki iliyopita, nafurahi kukutana nao tena, wajiandae  safari hii tunataka kulipa kisasi,” alisema Hamsini. Mbali na mchezo huo, Azam FC itasafiri mpaka Kagera kuifuata Kagera Sugar  katika mchezo mwingine wa robo fainali utakaochezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Azam ilitinga hatua hiyo, baada ya kufurusha Rhino Rangers ya Tabora kwa kuichapa mabao 3-0 mchezo uliochezwa  Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Kagera Sugar ilikata tiketi, baada ya kuizamisha Boma FC kwa kuifunga mabao 2-1, mchezo uliochezwa kwenye uwanja huo.  Nayo KMC itakabiliana na majirani zao African Lyon Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. KMC ilifika robo fainali baada kuipiga Mtibwa Sugar kwa mikwaju ya penalti 4-3, baada ya kutoka sare 1-1. Patashika nyingine ya robo fainali itakuwa kati ya Lipuli FC itakayoialika Singida United, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Samora, Iringa. ### Response: MICHEZO ### End
 MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amezindua mfumo wa TANESCO Mtandao (TANESCO App), mfumo ambao utaboresha na kurahisisha utoaji wa huduma kwa Wateja pamoja na kudhibiti vishoka ndani ya shirika. Akizindua mfumo huo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Dk. Kalemani alimpongeza Rais Dk. John Magufuli kwa kuiwezesha shirika kufanya kazi kwa ufanisi na sekta ya nishati kuwa injini katika Tanzania ya Viwanda. Pamoja na hilo, pia aliipongeza bodi ya wakurugenzi, menejimenti na wafanyakazi kwa kufikia hatua ya kuanzia mfumo huo ambao utasaidia kuharakisha huduma kwa wateja. Alisema mbali ya mfumo kulenga kuharakisha huduma kwa wateja, pia utapunguza gharama kwa wateja, kuongeza ufanisi kwa watumishi wake kuongeza mapato ya shirika. Alizitaka taasisi zilizo chini ya wizara yake, kuutumia mfumo wa TANESCO App katika masuala mbalimbali. “Ninajua sasa TANESCO hamlali,mnafanya kazi kubwa, makusanyo yameongezeka mara dufu kutoka Shilingi bilioni 11 kwa wiki kwa mwaka 2015/16 hadi bilioni 47, haya ni mafanikio makubwa. Ingawa nataka mfike kukusanya Shilingi bilioni 67 kwa wiki kwani hii pia itaongeza kutoka gawio zaidi kwa Serikali, “ alisema Dk. Kalemani Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO, Dk. Alexander Kyaruzi alisema bodi imefarijika kwa ujio wa TANESCO App utaboresha uhusiano kati ya shirika na wteja. Mkurugenzi Mtendaji shirika hilo, Dk. Tito Mwinuka alisema kuzinduliwa kwa App hiyo ni moja ya juhudi za Dk. Kalemani. Alisema shirika kwa kutambua mchango wa wateja na changamoto mbalimbali ambazo wateja wamekuwa wakizipitia, uongozi uliona ipo haja ya kuanzisha mfumo ambao utawezesha kuwapatia huduma stahiki wateja katika kuleta maendeleo na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --  MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amezindua mfumo wa TANESCO Mtandao (TANESCO App), mfumo ambao utaboresha na kurahisisha utoaji wa huduma kwa Wateja pamoja na kudhibiti vishoka ndani ya shirika. Akizindua mfumo huo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Dk. Kalemani alimpongeza Rais Dk. John Magufuli kwa kuiwezesha shirika kufanya kazi kwa ufanisi na sekta ya nishati kuwa injini katika Tanzania ya Viwanda. Pamoja na hilo, pia aliipongeza bodi ya wakurugenzi, menejimenti na wafanyakazi kwa kufikia hatua ya kuanzia mfumo huo ambao utasaidia kuharakisha huduma kwa wateja. Alisema mbali ya mfumo kulenga kuharakisha huduma kwa wateja, pia utapunguza gharama kwa wateja, kuongeza ufanisi kwa watumishi wake kuongeza mapato ya shirika. Alizitaka taasisi zilizo chini ya wizara yake, kuutumia mfumo wa TANESCO App katika masuala mbalimbali. “Ninajua sasa TANESCO hamlali,mnafanya kazi kubwa, makusanyo yameongezeka mara dufu kutoka Shilingi bilioni 11 kwa wiki kwa mwaka 2015/16 hadi bilioni 47, haya ni mafanikio makubwa. Ingawa nataka mfike kukusanya Shilingi bilioni 67 kwa wiki kwani hii pia itaongeza kutoka gawio zaidi kwa Serikali, “ alisema Dk. Kalemani Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO, Dk. Alexander Kyaruzi alisema bodi imefarijika kwa ujio wa TANESCO App utaboresha uhusiano kati ya shirika na wteja. Mkurugenzi Mtendaji shirika hilo, Dk. Tito Mwinuka alisema kuzinduliwa kwa App hiyo ni moja ya juhudi za Dk. Kalemani. Alisema shirika kwa kutambua mchango wa wateja na changamoto mbalimbali ambazo wateja wamekuwa wakizipitia, uongozi uliona ipo haja ya kuanzisha mfumo ambao utawezesha kuwapatia huduma stahiki wateja katika kuleta maendeleo na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Riziki Pembe Juma amesema wizara yake imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa kuvuka malengo kwa asilimia 100 katika elimu ya msingi.Alisema hayo wakati akizungumza na gazeti hili. Alitaja mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya elimu katika malengo ya uchaguzi ya 2015-2020. Alisema elimu ya msingi imepata mafanikio makubwa na kuvuka malengo yake mapema, kufuatia idadi kubwa ya wanafunzi ambayo inatokana na mwamko wa wazazi kupeleka watoto wao shule. Alisema mafanikio hayo pia yamekuja baada ya serikali kufuta michango yote, inayotokana na ada za shule katika vifaa ikiwemo madaftari na ada za mwezi.‘’Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi 2015- 2020 katika uandikishaji wa wanafunzi elimu ya msingi na kuvuka malengo yake mapema,’’alisema.Alisema uandikishaji wa wanafunzi katika elimu ya maandalizi, hivi sasa umefikia asilimia 69.5, ambapo elimu hiyo imefanywa kuwa lazima kwa watoto wote kabla ya kuingia elimu ya msingi. ‘’Serikali imetangaza rasmin kuwa elimu ya maandalizi ni ya lazima, ambapo watoto wote sasa wanalazimika kupelekwa shule kuanza elimu hiyo kabla ya kuanza darasa la kwanza’’alisema. Kwa upande wa elimu ya sekondari, alisema tayari wizara imefuta ada zote, zilizokuwa zikitolewa na wazazi na sasa kila mwanafunzi anapatiwa fedha kugharamia vifaa vya shule.‘’Wizara ya elimu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia tumetenga zaidi ya shilingi bilioni 24 kwa ajili ya kugharamia vifaa vya wanafunzi wa shule baada ya kufuta michango ya ada iliyokuwa ikitolewa na wazazi’’ alisema. Alisema zipo changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu, ikiwemo uhaba wa madarasa na vikalio unaotokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi. Kwa upande wa madawati, alisema tayari zaidi ya madawati 600,000 yamesambazwa katika shule mbalimbali, ambayo yanatokana na fedha zilizokusanywa katika mradi wa kukabiliana na uhaba wa madawati.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Riziki Pembe Juma amesema wizara yake imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa kuvuka malengo kwa asilimia 100 katika elimu ya msingi.Alisema hayo wakati akizungumza na gazeti hili. Alitaja mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya elimu katika malengo ya uchaguzi ya 2015-2020. Alisema elimu ya msingi imepata mafanikio makubwa na kuvuka malengo yake mapema, kufuatia idadi kubwa ya wanafunzi ambayo inatokana na mwamko wa wazazi kupeleka watoto wao shule. Alisema mafanikio hayo pia yamekuja baada ya serikali kufuta michango yote, inayotokana na ada za shule katika vifaa ikiwemo madaftari na ada za mwezi.‘’Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi 2015- 2020 katika uandikishaji wa wanafunzi elimu ya msingi na kuvuka malengo yake mapema,’’alisema.Alisema uandikishaji wa wanafunzi katika elimu ya maandalizi, hivi sasa umefikia asilimia 69.5, ambapo elimu hiyo imefanywa kuwa lazima kwa watoto wote kabla ya kuingia elimu ya msingi. ‘’Serikali imetangaza rasmin kuwa elimu ya maandalizi ni ya lazima, ambapo watoto wote sasa wanalazimika kupelekwa shule kuanza elimu hiyo kabla ya kuanza darasa la kwanza’’alisema. Kwa upande wa elimu ya sekondari, alisema tayari wizara imefuta ada zote, zilizokuwa zikitolewa na wazazi na sasa kila mwanafunzi anapatiwa fedha kugharamia vifaa vya shule.‘’Wizara ya elimu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia tumetenga zaidi ya shilingi bilioni 24 kwa ajili ya kugharamia vifaa vya wanafunzi wa shule baada ya kufuta michango ya ada iliyokuwa ikitolewa na wazazi’’ alisema. Alisema zipo changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu, ikiwemo uhaba wa madarasa na vikalio unaotokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi. Kwa upande wa madawati, alisema tayari zaidi ya madawati 600,000 yamesambazwa katika shule mbalimbali, ambayo yanatokana na fedha zilizokusanywa katika mradi wa kukabiliana na uhaba wa madawati. ### Response: KITAIFA ### End
Wachezaji wawili kati ya hao walitua tangu jana mchana ambao ni kiungo kutoka Uingereza, Ryan Burge na mlinda mlango Mcameroon Nelson Lukong anayecheza soka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).Mchezaji wa tatu ni Mrwanda Jean Baptiste ambaye alitarajiwa kuwasili jana jioni kwa ndege ya RwandAir.Burge anacheza katika timu ya APR ya Rwanda na iwapo atafanya vizuri kwenye majaribio huenda akasajiliwa.Msemaji wa Azam Fc, Jaffari Idd alisema jana kuwa wachezaji hao wataungana na wengine katika msafara utakaondoka leo asubuhi kuelekea jijini Tanga kwa ajili ya mchezo huo wa kirafiki.“Kikosi cha Azam Fc kitaondoka kesho (leo) kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya michezo ya kirafiki. Tunategemea wachezaji kuwemo katika kikosi kitakachocheza Jumamosi na Jumapili kwa ajili ya kuwapima,”alisema.Alisema Kocha wa Azam, Stewart Hall atatumia michezo hiyo kuwapima wachezaji hao kuona wale watakaofaa kwa ajili ya kusajiliwa. Baada ya mchezo wa kesho, pia watacheza na Coastal Union kwenye uwanja huo wa mkwakwani keshokutwa.Idd alisema watarejea Dar es Salaam Jumatatu kwa ajili ya kuendelea na programu za mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Kagame.Tayari Azam Fc imeshajipima katika michezo miwili ya kirafiki dhidi ya JKT Ruvu ambapo walifunga bao 1-0, na dhidi ya Friends Rangers mabao 4-2 yote ikichezwa kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wachezaji wawili kati ya hao walitua tangu jana mchana ambao ni kiungo kutoka Uingereza, Ryan Burge na mlinda mlango Mcameroon Nelson Lukong anayecheza soka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).Mchezaji wa tatu ni Mrwanda Jean Baptiste ambaye alitarajiwa kuwasili jana jioni kwa ndege ya RwandAir.Burge anacheza katika timu ya APR ya Rwanda na iwapo atafanya vizuri kwenye majaribio huenda akasajiliwa.Msemaji wa Azam Fc, Jaffari Idd alisema jana kuwa wachezaji hao wataungana na wengine katika msafara utakaondoka leo asubuhi kuelekea jijini Tanga kwa ajili ya mchezo huo wa kirafiki.“Kikosi cha Azam Fc kitaondoka kesho (leo) kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya michezo ya kirafiki. Tunategemea wachezaji kuwemo katika kikosi kitakachocheza Jumamosi na Jumapili kwa ajili ya kuwapima,”alisema.Alisema Kocha wa Azam, Stewart Hall atatumia michezo hiyo kuwapima wachezaji hao kuona wale watakaofaa kwa ajili ya kusajiliwa. Baada ya mchezo wa kesho, pia watacheza na Coastal Union kwenye uwanja huo wa mkwakwani keshokutwa.Idd alisema watarejea Dar es Salaam Jumatatu kwa ajili ya kuendelea na programu za mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Kagame.Tayari Azam Fc imeshajipima katika michezo miwili ya kirafiki dhidi ya JKT Ruvu ambapo walifunga bao 1-0, na dhidi ya Friends Rangers mabao 4-2 yote ikichezwa kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi. ### Response: MICHEZO ### End
Mshambuliaji wa Manchester United na Ubelgiji Romelu Lukaku, mwenye umri wa miaka 26, amekubali mkataba wa kibinafsi na Inter Milan katika mkataba unaoweza kumlipa nyota huyo pauni milioni 6.6 za mafao hadi mwaka 2024. (Gazzetta dello Sport via Metro) Mkurugenzi wa michezo wa Juventus, Fabio Paratici amesafiri kuelekea katika ofisi za Manchester United mjini London kwa ajili ya mazungumzo ya ana kwa ana juu ya uhamisho wa kiungo wa kati wa Ufaransa, Paul Pogba, mwenye umri wa miaka 26 (Sky Sports Italy via Sky Sports). kiungo wa kati-kulia wa Crystal Palace Muingereza Aaron Wan-Bissaka, mwenye umri wa miaka 21, anapendelea kuhamia Manchester United msimu huu. Palace wanamthamanisha mchezaji huyo wa safu ya ulinzi kwa kiwango cha pauni milioni 70 (Sky Sports). Manchester City wamekuwa wakikataa kukubali thamani pauni milioni 90 ya mchezaji wa safu ya kati-nyuma Harry Maguire, mwenye umri wa miaka 26 iliyowekwa na Leicester na kusema kuwa pendekezo la uhamisho wake limesitishwa kwa muda. (Daily Mail) Meneja wa Barcelona Ernesto Valverde atamruhusu kiungo wa kati wa timu hiyo Mcroatia Ivan Rakitic, mwenye umri wa miaka 31, aondoke kwenye klabu hiyo kama timu atapata timu inayomfaa ya kumchukua . (Cadena SER – in Spanish) Arsenal wanakamilisha mkataba kwa ajili ya mlindalango Mjerumani Markus Schubert, mwenye umri wa miaka 21, kutoka klabu ya Dynamo Dresden. (Independent) Beki wa Manchester City -Kyle Walker,mwenye umri wa miaka 29, amekamilisha taratibu za kusaini mkataba mpya baada ya kurejesha mahusino mazuri na meneja Pep Guardiola. (Mirror) Romelu Lukaku, amekubali mkataba wa kibinafsi na Inter Milan katika mkataba unaoweza kumlipa nyota huyo pauni milioni 6.6 za mafao. Borussia Dortmund wanamfuatilia kwa karibu mlinzi wa Arsenal Laurent Koscielny, mwenye umri wa miaka 33, ambaye anaweza kuruhusiwa kuondoka msimu huu . (Daily Mail) Everton na Paris Saint-Germain wamo katika harakati za kumsaka mshambuliaji David Neres raia wa Brazil mwenye umri wa miaka 22 anayechezea klabu ya Ajax. (Esporte – Spanish) Winga wa Bournemouth -Ryan Fraser, mwenye umri wa miaka 25, amedokeza kuwa ataendelea kubaki katika klabu hiyo kwa mwaka mwingine zaidi licha ya kwamba anngependa kuchezea Arsenal. (mirror) kiungo wa kati wa Paris Saint-Germain Adrien Rabiot, mwenye umri wa miaka 24, canaweza kuendelea kuwa katika klabu hiyo licha ya kuwekwa benchi kwa kipindi karibu chote cha pili cha msimu uliopita (ESPN). Eden Hazard mwenye umri wa miaka 28, ambaye amesaini mkataba mpya na Real Madrid , amefichua kuwa mlinda lango wa zamani wa Chelsea Thibaut Courtois alisaidia kumshawishi ajiunge na Real Madrid (Football.London.) Kiungo wa kati wa Fulham Cody Drameh, mwenye umri wa miaka 17, anatarajiwa kuwa nyota wa hivi karibuni ikuhamia Bundesliga kufuatia mkataba mpya na Eintracht Frankfurt (Mirror).
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mshambuliaji wa Manchester United na Ubelgiji Romelu Lukaku, mwenye umri wa miaka 26, amekubali mkataba wa kibinafsi na Inter Milan katika mkataba unaoweza kumlipa nyota huyo pauni milioni 6.6 za mafao hadi mwaka 2024. (Gazzetta dello Sport via Metro) Mkurugenzi wa michezo wa Juventus, Fabio Paratici amesafiri kuelekea katika ofisi za Manchester United mjini London kwa ajili ya mazungumzo ya ana kwa ana juu ya uhamisho wa kiungo wa kati wa Ufaransa, Paul Pogba, mwenye umri wa miaka 26 (Sky Sports Italy via Sky Sports). kiungo wa kati-kulia wa Crystal Palace Muingereza Aaron Wan-Bissaka, mwenye umri wa miaka 21, anapendelea kuhamia Manchester United msimu huu. Palace wanamthamanisha mchezaji huyo wa safu ya ulinzi kwa kiwango cha pauni milioni 70 (Sky Sports). Manchester City wamekuwa wakikataa kukubali thamani pauni milioni 90 ya mchezaji wa safu ya kati-nyuma Harry Maguire, mwenye umri wa miaka 26 iliyowekwa na Leicester na kusema kuwa pendekezo la uhamisho wake limesitishwa kwa muda. (Daily Mail) Meneja wa Barcelona Ernesto Valverde atamruhusu kiungo wa kati wa timu hiyo Mcroatia Ivan Rakitic, mwenye umri wa miaka 31, aondoke kwenye klabu hiyo kama timu atapata timu inayomfaa ya kumchukua . (Cadena SER – in Spanish) Arsenal wanakamilisha mkataba kwa ajili ya mlindalango Mjerumani Markus Schubert, mwenye umri wa miaka 21, kutoka klabu ya Dynamo Dresden. (Independent) Beki wa Manchester City -Kyle Walker,mwenye umri wa miaka 29, amekamilisha taratibu za kusaini mkataba mpya baada ya kurejesha mahusino mazuri na meneja Pep Guardiola. (Mirror) Romelu Lukaku, amekubali mkataba wa kibinafsi na Inter Milan katika mkataba unaoweza kumlipa nyota huyo pauni milioni 6.6 za mafao. Borussia Dortmund wanamfuatilia kwa karibu mlinzi wa Arsenal Laurent Koscielny, mwenye umri wa miaka 33, ambaye anaweza kuruhusiwa kuondoka msimu huu . (Daily Mail) Everton na Paris Saint-Germain wamo katika harakati za kumsaka mshambuliaji David Neres raia wa Brazil mwenye umri wa miaka 22 anayechezea klabu ya Ajax. (Esporte – Spanish) Winga wa Bournemouth -Ryan Fraser, mwenye umri wa miaka 25, amedokeza kuwa ataendelea kubaki katika klabu hiyo kwa mwaka mwingine zaidi licha ya kwamba anngependa kuchezea Arsenal. (mirror) kiungo wa kati wa Paris Saint-Germain Adrien Rabiot, mwenye umri wa miaka 24, canaweza kuendelea kuwa katika klabu hiyo licha ya kuwekwa benchi kwa kipindi karibu chote cha pili cha msimu uliopita (ESPN). Eden Hazard mwenye umri wa miaka 28, ambaye amesaini mkataba mpya na Real Madrid , amefichua kuwa mlinda lango wa zamani wa Chelsea Thibaut Courtois alisaidia kumshawishi ajiunge na Real Madrid (Football.London.) Kiungo wa kati wa Fulham Cody Drameh, mwenye umri wa miaka 17, anatarajiwa kuwa nyota wa hivi karibuni ikuhamia Bundesliga kufuatia mkataba mpya na Eintracht Frankfurt (Mirror). ### Response: MICHEZO ### End
WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema ameridhishwa na utendaji wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambayo imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa majukumu yake.Alitoa kauli hiyo juzi baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya OSHA katika nusu ya kwanza ya mwaka wa fedha 2019/2020. Taarifa hiyo iliwasilishwa na Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda kikao cha tano cha Baraza la tatu la wafanyakazi wa taasisi alichofungua Waziri Mhagama Dodoma.“Niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya kuhakikisha afya za wafanyakazi ambao ndio wanaosaidia ukuaji wa uchumi wa taifa hili zinazingatiwa maeneo yao,” alisema Mhagama.Kaimu Mtendaji Mkuu alisema, “mafanikio tuliyoyapata Julai hadi Desemba ni utekelezaji wa majukumu, usajili wa maeneo ya kazi 1,919 kati ya 2,324 yaliyopangwa, ukaguzi wa maeneo ya kazi 8,234 kati ya 10,000 yaliyopangwa”.Aliyataja mengine ni upimaji afya wafanyakazi 90,193 zaidi ya 75,032 waliopangwa, kutoa adhabu kwa waajiri 80 walioshindwa kukidhi vigezo vya afya na usalama na kuandaa kanuni saba zilizo hatua mbalimbali za utungwaji.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amesema ameridhishwa na utendaji wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambayo imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa majukumu yake.Alitoa kauli hiyo juzi baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya OSHA katika nusu ya kwanza ya mwaka wa fedha 2019/2020. Taarifa hiyo iliwasilishwa na Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda kikao cha tano cha Baraza la tatu la wafanyakazi wa taasisi alichofungua Waziri Mhagama Dodoma.“Niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya kuhakikisha afya za wafanyakazi ambao ndio wanaosaidia ukuaji wa uchumi wa taifa hili zinazingatiwa maeneo yao,” alisema Mhagama.Kaimu Mtendaji Mkuu alisema, “mafanikio tuliyoyapata Julai hadi Desemba ni utekelezaji wa majukumu, usajili wa maeneo ya kazi 1,919 kati ya 2,324 yaliyopangwa, ukaguzi wa maeneo ya kazi 8,234 kati ya 10,000 yaliyopangwa”.Aliyataja mengine ni upimaji afya wafanyakazi 90,193 zaidi ya 75,032 waliopangwa, kutoa adhabu kwa waajiri 80 walioshindwa kukidhi vigezo vya afya na usalama na kuandaa kanuni saba zilizo hatua mbalimbali za utungwaji. ### Response: KITAIFA ### End
Mwandishi Wetu -Dar es salaam KAULI ya Jeshi la Polisi kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula alipewa sumu, imeacha maswali mengi na mjadala mkubwa miongoni mwa jamii. Februari 28, mwaka huu, Mangula alidondoka ghafla katika ofisi ndogo za CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokuwa kikijadili masuala mbalimbali, ikiwamo adhabu kwa wanachama watatu waliokuwa na tuhuma za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho. Katika kikao hicho, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili kwa mujibu wa katiba ya chama hicho na kanuni ya maadili na uongozi. Tuhuma hizo pia zilikuwa zikiwakabili makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana ambaye atakuwa chini ya uangalizi kwa miezi 18 na Yusuf Makamba aliyesamehewa makosa yake. Akizungumza jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, wamebaini ndani ya mwili wa Mangula kulipatikana sumu. “Machi 2 tulipokea taarifa kutoka uongozi wa CCM kuhusu kuwekewa sumu Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mangula. Katika taarifa hiyo tulielezwa kwamba Mangula alipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na kulazwa chumba cha uangalizi maalumu (ICU). “Uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea. Jeshi la Polisi litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakayebainika kupanga, kuratibu au kusimamia utekelezaji wa uhalifu huo. “Haitajalisha awe ni mwanafamilia, awe ni mtu kutoka ndani ya CCM au vyama vingine vya siasa, mwananchi wa kawaida, awe ndani au nje ya nchi, awe serikalini au taasisi yoyote hatua kali zitachukuliwa,” alisema Mambosasa. Aliwataka wananchi wajiepushe na vitendo hivyo kwani si tu vya kinyama, bali pia vinalenga kukiuka sheria za nchi. MASWALI KUMI TATA Kutokana na uzito wa tukio hilo bado limezua sintofahamu katika jamii, huku kukiibuka maswali ambayo hadi sasa bado yamekosa majibu na kusubiri taarifa ya uchunguzi wa Jeshi la Polisi. Baadhi ya maswali hayo ambayo jamii inahitaji kujua majibu yake ni kwamba Mangula alikuwa wapi baada ya kutoka nyumbani kwake. Je, aliamkia wapi? Kifungua kimya gani alipata? Usafiri gani alitumia kwa siku hiyo kabla ya kuanguka? Je, alisalimiana na nani? Je, ofisini aliingia saa ngapi na alikutana na nani? Je ni nani alimuhudumia kupata kifungua kinywa ? Je wakati wa kikao alikula na kunywa? Je, alihudumiwaje? Na mfumo wa huduma ulikuwaje? Pamoja na hayo bado Watanzania wanasubiri na kutaka kujua maendeleo ya afya yake. JPM ALIVYOMJULIA HALI Februari 29, mwaka huu, Rais Dk. John Magufuli alimtembelea na kumjulia hali Mangula ambaye alikuwa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Rais, Ikulu, Gerson Msingwa, Mangula aliugua ghafla na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu. Kwa mujibu wa video za Ikulu, Magufuli alionekana akimwombea Mangula kupona kwa haraka. “Utapona na Mungu atakusimamia utarejea katika majukumu yako, nilikuona jana (Februari 28) umeanguka,  ilitushtua,” alisema Rais Magufuli huku Mangula akisema “sijui niliangukaje.” Hata hivyo Rais Magufuli, alisema kuwa hawezi kujua kwani wanamkabidhi Mungu ambaye atamsimamia siku zote kwa sababu wanadamu wanalindwa na Mungu ambaye huwapenda sana. Rais Magufuli alimwomba Mangula kufanya ibada hospitalini hapo na alifanya hivyo. VIONGOZI NA SUMU Novemba 12, 2019 Rais Magufuli alisema wakati akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi katika Serikali ya awamu ya tatu, alinyweshwa sumu kutokana na utendaji wake wa kazi. Alitoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Benjamin Mkapa kilichoelezea maisha yake. “Tulipofanya kazi vizuri kwenye kujenga barabara, mzee Mkapa alifurahi sana, akatamka kwamba mimi ni askari wake wa mwavuli namba moja, ameligusia hili kwenye ukurasa wa 107 wa kitabu chake.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwandishi Wetu -Dar es salaam KAULI ya Jeshi la Polisi kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula alipewa sumu, imeacha maswali mengi na mjadala mkubwa miongoni mwa jamii. Februari 28, mwaka huu, Mangula alidondoka ghafla katika ofisi ndogo za CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokuwa kikijadili masuala mbalimbali, ikiwamo adhabu kwa wanachama watatu waliokuwa na tuhuma za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho. Katika kikao hicho, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili kwa mujibu wa katiba ya chama hicho na kanuni ya maadili na uongozi. Tuhuma hizo pia zilikuwa zikiwakabili makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana ambaye atakuwa chini ya uangalizi kwa miezi 18 na Yusuf Makamba aliyesamehewa makosa yake. Akizungumza jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, wamebaini ndani ya mwili wa Mangula kulipatikana sumu. “Machi 2 tulipokea taarifa kutoka uongozi wa CCM kuhusu kuwekewa sumu Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mangula. Katika taarifa hiyo tulielezwa kwamba Mangula alipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na kulazwa chumba cha uangalizi maalumu (ICU). “Uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea. Jeshi la Polisi litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakayebainika kupanga, kuratibu au kusimamia utekelezaji wa uhalifu huo. “Haitajalisha awe ni mwanafamilia, awe ni mtu kutoka ndani ya CCM au vyama vingine vya siasa, mwananchi wa kawaida, awe ndani au nje ya nchi, awe serikalini au taasisi yoyote hatua kali zitachukuliwa,” alisema Mambosasa. Aliwataka wananchi wajiepushe na vitendo hivyo kwani si tu vya kinyama, bali pia vinalenga kukiuka sheria za nchi. MASWALI KUMI TATA Kutokana na uzito wa tukio hilo bado limezua sintofahamu katika jamii, huku kukiibuka maswali ambayo hadi sasa bado yamekosa majibu na kusubiri taarifa ya uchunguzi wa Jeshi la Polisi. Baadhi ya maswali hayo ambayo jamii inahitaji kujua majibu yake ni kwamba Mangula alikuwa wapi baada ya kutoka nyumbani kwake. Je, aliamkia wapi? Kifungua kimya gani alipata? Usafiri gani alitumia kwa siku hiyo kabla ya kuanguka? Je, alisalimiana na nani? Je, ofisini aliingia saa ngapi na alikutana na nani? Je ni nani alimuhudumia kupata kifungua kinywa ? Je wakati wa kikao alikula na kunywa? Je, alihudumiwaje? Na mfumo wa huduma ulikuwaje? Pamoja na hayo bado Watanzania wanasubiri na kutaka kujua maendeleo ya afya yake. JPM ALIVYOMJULIA HALI Februari 29, mwaka huu, Rais Dk. John Magufuli alimtembelea na kumjulia hali Mangula ambaye alikuwa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Rais, Ikulu, Gerson Msingwa, Mangula aliugua ghafla na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu. Kwa mujibu wa video za Ikulu, Magufuli alionekana akimwombea Mangula kupona kwa haraka. “Utapona na Mungu atakusimamia utarejea katika majukumu yako, nilikuona jana (Februari 28) umeanguka,  ilitushtua,” alisema Rais Magufuli huku Mangula akisema “sijui niliangukaje.” Hata hivyo Rais Magufuli, alisema kuwa hawezi kujua kwani wanamkabidhi Mungu ambaye atamsimamia siku zote kwa sababu wanadamu wanalindwa na Mungu ambaye huwapenda sana. Rais Magufuli alimwomba Mangula kufanya ibada hospitalini hapo na alifanya hivyo. VIONGOZI NA SUMU Novemba 12, 2019 Rais Magufuli alisema wakati akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi katika Serikali ya awamu ya tatu, alinyweshwa sumu kutokana na utendaji wake wa kazi. Alitoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Benjamin Mkapa kilichoelezea maisha yake. “Tulipofanya kazi vizuri kwenye kujenga barabara, mzee Mkapa alifurahi sana, akatamka kwamba mimi ni askari wake wa mwavuli namba moja, ameligusia hili kwenye ukurasa wa 107 wa kitabu chake. ### Response: AFYA ### End
Leo Julai 12, 2020 ni siku ya kukumbukwa kwenye macho ya wapenda soka nchini na nje ya nchi kutokana na mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la shirikisho la Azam, mchezo huu unakuwa wa aina yake kwakua unawakutanisha maasim wawili. Ni Simba Vs Yanga timu zilizokutana takribani mara 99 mpaka kufikia mwaka 2019 huku rekodi zikiibeba Yanga kutokana na kufanikiwa kushinda takribani michezo 36 huku Simba wakiwa wameshinda mara 28 na wakiwa wametoka sare mara 35. Uzuri wa mechi hii ni kutokana na uwezo wa wachezaji wake wanaocheza kwenye vikosi vyote viwilii ambao wamesaidia timu zao kuchukua makombe mbalimbali, Simba wamechukua jumla ya mataji 20 huku Yanga wakiwa wamechukua takriabani mataji 27. Simba na Yanga kukutana leo kwenye hatua ya nusu fainali ni hostori ya aina yake kwakua ni mara ya kwanza kukutana kwenye hatua hiyo tangu kuanzisha kwa kombe hilo la shirikisho ambalo Yanga ameshinda mara moja na Simba mara moja.    Nani anatoka Leo endelea kufuatilia OperaNews kwa Habari za Moja kwa moja kutoka uwanjani.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Leo Julai 12, 2020 ni siku ya kukumbukwa kwenye macho ya wapenda soka nchini na nje ya nchi kutokana na mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la shirikisho la Azam, mchezo huu unakuwa wa aina yake kwakua unawakutanisha maasim wawili. Ni Simba Vs Yanga timu zilizokutana takribani mara 99 mpaka kufikia mwaka 2019 huku rekodi zikiibeba Yanga kutokana na kufanikiwa kushinda takribani michezo 36 huku Simba wakiwa wameshinda mara 28 na wakiwa wametoka sare mara 35. Uzuri wa mechi hii ni kutokana na uwezo wa wachezaji wake wanaocheza kwenye vikosi vyote viwilii ambao wamesaidia timu zao kuchukua makombe mbalimbali, Simba wamechukua jumla ya mataji 20 huku Yanga wakiwa wamechukua takriabani mataji 27. Simba na Yanga kukutana leo kwenye hatua ya nusu fainali ni hostori ya aina yake kwakua ni mara ya kwanza kukutana kwenye hatua hiyo tangu kuanzisha kwa kombe hilo la shirikisho ambalo Yanga ameshinda mara moja na Simba mara moja.    Nani anatoka Leo endelea kufuatilia OperaNews kwa Habari za Moja kwa moja kutoka uwanjani. ### Response: MICHEZO ### End
AVELINE KITOMARY, DAR ES SALAAM Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es salaam imemhukumu jela miaka mitatu Mohamed Mwinchuya (47) maarufu Babe kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi. Akisoma hukumu hivyo leo mahakamani hapo, Hakimu Joyce Mushi amesema kutokana na mshtakiwa kukiri kukutwa na dawa hizo kwa mujibu wa sheria atatakiwa kutoa faini ya Sh millioni 1 au kwenda jela miaka mitatu. Katika kesi ya msingi mshtakiwa anadaiwa kuwa Machi 1 mwaka huu eneo la Boko Chama Wilaya ya Kinondoni alikutwa na dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilo 1.09. Hata hivyo Mshtakiwa amekiri kukutwa na kiasi hicho cha dawa za kulevya, na kuomba Mahakama impunguzie adhabu kutokana na kutegemewa na familia.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- AVELINE KITOMARY, DAR ES SALAAM Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es salaam imemhukumu jela miaka mitatu Mohamed Mwinchuya (47) maarufu Babe kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi. Akisoma hukumu hivyo leo mahakamani hapo, Hakimu Joyce Mushi amesema kutokana na mshtakiwa kukiri kukutwa na dawa hizo kwa mujibu wa sheria atatakiwa kutoa faini ya Sh millioni 1 au kwenda jela miaka mitatu. Katika kesi ya msingi mshtakiwa anadaiwa kuwa Machi 1 mwaka huu eneo la Boko Chama Wilaya ya Kinondoni alikutwa na dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilo 1.09. Hata hivyo Mshtakiwa amekiri kukutwa na kiasi hicho cha dawa za kulevya, na kuomba Mahakama impunguzie adhabu kutokana na kutegemewa na familia. ### Response: KITAIFA ### End
Na Christian Bwaya, FIKIRIA unavyojisikia pale mtu wa karibu unayemwamini anapokudanganya. Huwezi kufurahia. Uongo, kwa kawaida, unakatisha tama na unaumiza. Wakati mwingine unatafsiriwa kama usaliti. Mtu asiyesema ukweli anasaliti imani waliyonayo watu kwake. Uongo haupendezi. Ingawa wengi wetu hatupendi kudanganywa, kuna mazingira fulani fulani nasi hujikuta tumedanganya. Kwa mfano, rafiki yako anakuuliza uliko au unakokwenda, unaamua kumtajia kwingine. Unaweza kufikiri ni jambo dogo lakini tabia hii inatia doa uhusiano wako na watu. Kwanini watu hudanganya? Kisaikolojia zipo sababu kuu mbili zinazofanya watu wadanganye. Kwanza, watu hutumia uongo kama njia ya kurekebisha mambo pale wanapokabiliwa na hatari ya kupoteza heshima yao. Kwa mfano, unaposhindwa kufanya jambo unalojua linatarajiwa au unapofanya jambo unalojua halikutarajiwa, unajisikia vibaya. Ndani yako unasikia hatia ya kuwa mkosaji. Unakuwa na wasiwasi kuwa kosa ulilofanya linaweza kuharibu uhusiano wako na yule uliyemkosea. Uongo, kwenye mazingira kama haya, unakuwa ni chaguo baya lakini lenye unafuu kwa lengo la kulinda uhusiano na mtu aliyekosewa. Sababu ya pili ni kudanganya kwa lengo la kusababisha maumivu kwa mtu aliyekuumiza. Hapa mwongo hadanganyi kulinda uhusiano wake na yule anayemdanganya bali kulipiza kisasi kwa maumivu anayoamini amesababishiwa na huyo anayemdanganya. Kwa mfano, unapomfanya mtu ajisikie umemvunjia heshima, labda kwa kumdanganya, ni rahisi na yeye kutafuta namna ya kukuvunjia heshima kwa kukudanganya. Ikiwa unapenda watu wanaokuzunguka wakuambie ukweli, siri ni kufanya mambo matatu makubwa. Usiweke mazingira ya kudanganywa  Si kila taarifa unayoihitaji kwa mtu ni ya lazima. Pia, si kila taarifa unayoihitaji kwa mtu inapatikana. Kuna maswali unaweza kumwuliza mtu yakamshawishi kukudanganya. Kwa mfano, maswali ambayo majibu yake yanaweza kuibua utata, yakamfanya mtu asijikie vibaya, yakamkumbusha uchungu aliowahi kukutana nao, ni kichocheo cha kudanganywa. Kabla hujauliza kupata taarifa fulani kwa mtu, jiulize kama kufanya hivyo ni lazima. Ikiwa ni lazima kuulizia suala hilo, angalia namna ya kuuliza ili majibu ya swali yasimfanye mtu akajisikia kudhalilika. Kwa mfano, kama una mpenzi wako, unapohoji masuala ya wapenzi wake wa zamani unaowafahamu, ni wazi unachokoza mzinga wa nyuki bila sababu. Je, ni lazima ujue historia isiyokusaidia? Ikiwa ni lazima kuijua, basi epuka kuonekana unatafuta habari zinazomdhalilisha mwenzako. Hilo la kwanza.  Angalia unavyoupokea ukweli Labda ni namna unavyouchukulia ukweli usioupenda. Unadanganywa kwa sababu pengine anayekudanganya anajua ukweli haulindi uhusiano wenu. Unapoambiwa ukweli unajenga mazingira ya kumfanya aliyesema ukweli huo ajilaumu kwa nini alisema alichokisema. Ukweli unageuka kuwa ugomvi usiotarajiwa, unakasirika, unahukumu na kulalamika kwa sababu tu umepewa taarifa usizozitarajia. Unafanyaje unapoambiwa ukweli usioutaka? Unakasirika au unalaumu? Haipaswi kuwa hivyo. Jenga tabia ya kuupokea ukweli bila ugomvi hata kama anayekwambia anakiri kosa. Shughulikia kosa kwa namna chanya ukijua hata wewe unaweza kukosea. Unapofanya hivyo, unamfanya mwenzako siku nyingine asisite kukuambia jambo lolote kwa sababu anajua ukweli hautamgharimu.  Onesha mfano Wakati mwingine unadanganywa kwa sababu hicho ndicho unachokifanya wewe. Huwezi kutegemea watu wanaoathirika na uongo wako wakuambie ukweli. Unavuna kile ulichokipanda. Unahitaji kufanya kinyume. Onesha mfano kwa watu kwa kuwaambia ukweli. Sema kweli, na wewe utaambiwa ukweli. Lakini pia, kama tulivyodokeza awali, wakati mwingine watu huweza kukudanganya kwa sababu wanalipiza kisasi kwa mambo uliyowafanyia. Kwa mfano kama huna tabia ya kuwaheshimu watu na wao watatumia uongo kama namna ya kukuadhibu. Jenga tabia ya kuwaheshimu watu unaofanya nao kazi au unaoishi nao. Heshima itawasukuma kukuheshimu. Ukweli ni namna moja wapo ya kukuheshimu. Mwandishi ni Mhadhiri wa Saikolojia, Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mwenge, Moshi. Blogu: http://bwaya.blogspot.com, 0754870815.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Christian Bwaya, FIKIRIA unavyojisikia pale mtu wa karibu unayemwamini anapokudanganya. Huwezi kufurahia. Uongo, kwa kawaida, unakatisha tama na unaumiza. Wakati mwingine unatafsiriwa kama usaliti. Mtu asiyesema ukweli anasaliti imani waliyonayo watu kwake. Uongo haupendezi. Ingawa wengi wetu hatupendi kudanganywa, kuna mazingira fulani fulani nasi hujikuta tumedanganya. Kwa mfano, rafiki yako anakuuliza uliko au unakokwenda, unaamua kumtajia kwingine. Unaweza kufikiri ni jambo dogo lakini tabia hii inatia doa uhusiano wako na watu. Kwanini watu hudanganya? Kisaikolojia zipo sababu kuu mbili zinazofanya watu wadanganye. Kwanza, watu hutumia uongo kama njia ya kurekebisha mambo pale wanapokabiliwa na hatari ya kupoteza heshima yao. Kwa mfano, unaposhindwa kufanya jambo unalojua linatarajiwa au unapofanya jambo unalojua halikutarajiwa, unajisikia vibaya. Ndani yako unasikia hatia ya kuwa mkosaji. Unakuwa na wasiwasi kuwa kosa ulilofanya linaweza kuharibu uhusiano wako na yule uliyemkosea. Uongo, kwenye mazingira kama haya, unakuwa ni chaguo baya lakini lenye unafuu kwa lengo la kulinda uhusiano na mtu aliyekosewa. Sababu ya pili ni kudanganya kwa lengo la kusababisha maumivu kwa mtu aliyekuumiza. Hapa mwongo hadanganyi kulinda uhusiano wake na yule anayemdanganya bali kulipiza kisasi kwa maumivu anayoamini amesababishiwa na huyo anayemdanganya. Kwa mfano, unapomfanya mtu ajisikie umemvunjia heshima, labda kwa kumdanganya, ni rahisi na yeye kutafuta namna ya kukuvunjia heshima kwa kukudanganya. Ikiwa unapenda watu wanaokuzunguka wakuambie ukweli, siri ni kufanya mambo matatu makubwa. Usiweke mazingira ya kudanganywa  Si kila taarifa unayoihitaji kwa mtu ni ya lazima. Pia, si kila taarifa unayoihitaji kwa mtu inapatikana. Kuna maswali unaweza kumwuliza mtu yakamshawishi kukudanganya. Kwa mfano, maswali ambayo majibu yake yanaweza kuibua utata, yakamfanya mtu asijikie vibaya, yakamkumbusha uchungu aliowahi kukutana nao, ni kichocheo cha kudanganywa. Kabla hujauliza kupata taarifa fulani kwa mtu, jiulize kama kufanya hivyo ni lazima. Ikiwa ni lazima kuulizia suala hilo, angalia namna ya kuuliza ili majibu ya swali yasimfanye mtu akajisikia kudhalilika. Kwa mfano, kama una mpenzi wako, unapohoji masuala ya wapenzi wake wa zamani unaowafahamu, ni wazi unachokoza mzinga wa nyuki bila sababu. Je, ni lazima ujue historia isiyokusaidia? Ikiwa ni lazima kuijua, basi epuka kuonekana unatafuta habari zinazomdhalilisha mwenzako. Hilo la kwanza.  Angalia unavyoupokea ukweli Labda ni namna unavyouchukulia ukweli usioupenda. Unadanganywa kwa sababu pengine anayekudanganya anajua ukweli haulindi uhusiano wenu. Unapoambiwa ukweli unajenga mazingira ya kumfanya aliyesema ukweli huo ajilaumu kwa nini alisema alichokisema. Ukweli unageuka kuwa ugomvi usiotarajiwa, unakasirika, unahukumu na kulalamika kwa sababu tu umepewa taarifa usizozitarajia. Unafanyaje unapoambiwa ukweli usioutaka? Unakasirika au unalaumu? Haipaswi kuwa hivyo. Jenga tabia ya kuupokea ukweli bila ugomvi hata kama anayekwambia anakiri kosa. Shughulikia kosa kwa namna chanya ukijua hata wewe unaweza kukosea. Unapofanya hivyo, unamfanya mwenzako siku nyingine asisite kukuambia jambo lolote kwa sababu anajua ukweli hautamgharimu.  Onesha mfano Wakati mwingine unadanganywa kwa sababu hicho ndicho unachokifanya wewe. Huwezi kutegemea watu wanaoathirika na uongo wako wakuambie ukweli. Unavuna kile ulichokipanda. Unahitaji kufanya kinyume. Onesha mfano kwa watu kwa kuwaambia ukweli. Sema kweli, na wewe utaambiwa ukweli. Lakini pia, kama tulivyodokeza awali, wakati mwingine watu huweza kukudanganya kwa sababu wanalipiza kisasi kwa mambo uliyowafanyia. Kwa mfano kama huna tabia ya kuwaheshimu watu na wao watatumia uongo kama namna ya kukuadhibu. Jenga tabia ya kuwaheshimu watu unaofanya nao kazi au unaoishi nao. Heshima itawasukuma kukuheshimu. Ukweli ni namna moja wapo ya kukuheshimu. Mwandishi ni Mhadhiri wa Saikolojia, Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mwenge, Moshi. Blogu: http://bwaya.blogspot.com, 0754870815. ### Response: AFYA ### End
Na LULU RINGO MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Salim Mohamed maarufu Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua tangu Jumamosi iliyopita. Kabla ya kifo chake alipohojiwa na rafiki zake pamoja na prodyuza wake, Steve nini kilichokuwa kikimsumbua jibu lake lilikuwa ni kwamba alikuwa akiumwa ukimwi wa kulogwa maneno ambayo alikuwa akipenda kuyaeleza mara kwa mara kipindi cha uhai wake. “Alianza kuzidiwa toka jumamosi tulipomuhoji alisema anaumwa ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali ni wa kulogwa,” alisema prodyuza wake, Steve. Steve Alifafanua zaidi kwamba kabla ya umauti kumkuta msanii huyo aliyekuwa studio akiandaa wimbo wake mpya lakini kabla wimbo huo haujakamilika alianza kulalamika maumivu ya tumbo na baada ya muda aliishiwa nguvu wakamkimbiza ‘pharmacy’ moja iliyopo mabibo lakini walishauriwa wamkimbize hospitali ya Palestina ambapo umauti ulimkuta. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala na utasafirishwa leo jioni kijijini kwao kiwangwa Bagamoyo mkoa wa Pwani ambapo maziko yatafanyika kesho mchana. Msanii huyo ameacha mke na watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wakiume. Mtanzania Digital tunamuombea roho yake ipumzike kwa amani, Amen.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na LULU RINGO MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Salim Mohamed maarufu Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua tangu Jumamosi iliyopita. Kabla ya kifo chake alipohojiwa na rafiki zake pamoja na prodyuza wake, Steve nini kilichokuwa kikimsumbua jibu lake lilikuwa ni kwamba alikuwa akiumwa ukimwi wa kulogwa maneno ambayo alikuwa akipenda kuyaeleza mara kwa mara kipindi cha uhai wake. “Alianza kuzidiwa toka jumamosi tulipomuhoji alisema anaumwa ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali ni wa kulogwa,” alisema prodyuza wake, Steve. Steve Alifafanua zaidi kwamba kabla ya umauti kumkuta msanii huyo aliyekuwa studio akiandaa wimbo wake mpya lakini kabla wimbo huo haujakamilika alianza kulalamika maumivu ya tumbo na baada ya muda aliishiwa nguvu wakamkimbiza ‘pharmacy’ moja iliyopo mabibo lakini walishauriwa wamkimbize hospitali ya Palestina ambapo umauti ulimkuta. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala na utasafirishwa leo jioni kijijini kwao kiwangwa Bagamoyo mkoa wa Pwani ambapo maziko yatafanyika kesho mchana. Msanii huyo ameacha mke na watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wakiume. Mtanzania Digital tunamuombea roho yake ipumzike kwa amani, Amen. ### Response: BURUDANI ### End
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Wilunze mwenye umri wa miaka 14 (jina tunalo) anatuhumiwa kuwalawiti wanafunzi wenzake ambapo katika tukio la hivi karibuni alimlawiti mtoto wa miaka mitatu.Hayo yalibainishwa na Mtendaji wa Kijiji Cha Wilunze Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Georgina Richard wakati akizungumza juzi katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa vijiji na kata kupitia mradi wa kutokomeza ukatili wa kijinsia, mimba na ndoa za utotoni unaotekelezwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Woman Wake Up (WOWAP).Alieleza kuwa tukio la kulawitiwa mtoto wa kiume wa miaka mitatu lilitokea Novemba 26, mwaka huu kijijini hapo. Alisema mtuhumiwa huyo ni mtoro wa kudumu na mara ya mwisho alikuwa akisoma darasa la tatu Shule ya Msingi Wilunze.Alisema siku ya tukio mtuhumiwa huyo alimuingiza mtoto huyo kwenye nyumba ambayo haijamalizika na kumfanyia kitendo hicho. “Aliyeshuhudia kitendo hicho ndio alikwenda kutoa taarifa kwa mama wa mtoto ambapo mtoto huyo mdogo alipekekwa hospitali kupimwa na kukutwa na manii mapajani ambazo zimekauka, na alikuwa ameingiliwa kinyume na maumbile,” alisema.Alisema ndipo mama huyo alipewa barua na kwenda kuripoti tukio katika kituo cha Polisi Chamwino. Mtendaji huyo wa Kijiji alisema mtuhumiwa huyo bado hajulikani alipo na kesi hiyo iko kwenye upelelezi.“Hali ya mtoto inaendelea vizuri, tukapata taarifa kuwa mama mtuhumiwa alimfuata mama wa mtoto aliyelawitiwa ili waweze kuelewana nikawaambia sitaki kusikia kitu kama hicho wasubiri sheria ifuate mkondo wake,” alisema. Alisema kutokana na uchunguzi aliofanya baada ya tukio hilo ikabainika kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akiwalawiti baadhi ya watoto wa darasa la kwanza na la pili.“Tulikwenda hadi shuleni tukawabaini watoto waliofanyiwa kitendo hicho wako wa kike na wengine wa kiume, tukagundua watoto walikuwa wakifanyiwa vitendo hivyo lakini walikuwa hawasemi,” alisema. Alisema mtuhumiwa huyo mara kadhaa amekuwa akifikishwa ofisi ya Kijiji kutokana na utoro na mpaka sasa anaendelea kutafutwa ili sheria ichukue mkondo wake.Mtendaji huyo wa Kijiji alisema changamoto kubwa ni wazazi kutopenda kuona taarifa za kubakwa watoto wao zinajulikana kijijini kwani wanaona ni fedheha kutangaza mtoto kabakwa. “Hiyo ni aibu yenye madhara tunaendelea kutoa elimu ili waweze kutoa taarifa za unyanyasaji wa watoto ili kulinda makuzi na ustawi wa maisha ya watoto,” alisema. Kwa upande wake, Ofisa Maendeleo ya Jamii katika Wilaya ya Chamwino, Sophia Swai alisema wana taarifa na tukio hilo. Alisema watoto wengi wanashindwa kutoa taarifa kutokana na kutishiwa maisha yao.Swai alisema wataendelea kutoa elimu ikiwa ni pomoja na wananchi kutoa ushirikiano ikiwemo kwenda kutoa ushahidi mahakamani lakini pia wahusika wa matukio hayo wapate adhabu zinazostahili.“Tulipata kesi moja maeneo ya Mpwayungu baba mzazi alikuwa akimbaka mtoto wake wa kike wa miaka minnne kwa mwaka mzima. Usiku kucha mtoto alikuwa akilia kwa maumivu, majirani wakashindwa kuvumilia wakaenda kumhoji, baba huyo akawa akisema alikuwa akimchapa mtoto huyo kutokana na kukojoa kitandani,” alisema.Mtoto huyo alikuwa akiishi na baba baada ya mama yake kuondoka kutokana na ugomvi wa kifamilia. Alisema baba huyo alikuwa akimtisha mtoto yule asiseme chochote na alikuwa akiongozana nae popote anapokuwa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Wilunze mwenye umri wa miaka 14 (jina tunalo) anatuhumiwa kuwalawiti wanafunzi wenzake ambapo katika tukio la hivi karibuni alimlawiti mtoto wa miaka mitatu.Hayo yalibainishwa na Mtendaji wa Kijiji Cha Wilunze Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Georgina Richard wakati akizungumza juzi katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa vijiji na kata kupitia mradi wa kutokomeza ukatili wa kijinsia, mimba na ndoa za utotoni unaotekelezwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Woman Wake Up (WOWAP).Alieleza kuwa tukio la kulawitiwa mtoto wa kiume wa miaka mitatu lilitokea Novemba 26, mwaka huu kijijini hapo. Alisema mtuhumiwa huyo ni mtoro wa kudumu na mara ya mwisho alikuwa akisoma darasa la tatu Shule ya Msingi Wilunze.Alisema siku ya tukio mtuhumiwa huyo alimuingiza mtoto huyo kwenye nyumba ambayo haijamalizika na kumfanyia kitendo hicho. “Aliyeshuhudia kitendo hicho ndio alikwenda kutoa taarifa kwa mama wa mtoto ambapo mtoto huyo mdogo alipekekwa hospitali kupimwa na kukutwa na manii mapajani ambazo zimekauka, na alikuwa ameingiliwa kinyume na maumbile,” alisema.Alisema ndipo mama huyo alipewa barua na kwenda kuripoti tukio katika kituo cha Polisi Chamwino. Mtendaji huyo wa Kijiji alisema mtuhumiwa huyo bado hajulikani alipo na kesi hiyo iko kwenye upelelezi.“Hali ya mtoto inaendelea vizuri, tukapata taarifa kuwa mama mtuhumiwa alimfuata mama wa mtoto aliyelawitiwa ili waweze kuelewana nikawaambia sitaki kusikia kitu kama hicho wasubiri sheria ifuate mkondo wake,” alisema. Alisema kutokana na uchunguzi aliofanya baada ya tukio hilo ikabainika kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akiwalawiti baadhi ya watoto wa darasa la kwanza na la pili.“Tulikwenda hadi shuleni tukawabaini watoto waliofanyiwa kitendo hicho wako wa kike na wengine wa kiume, tukagundua watoto walikuwa wakifanyiwa vitendo hivyo lakini walikuwa hawasemi,” alisema. Alisema mtuhumiwa huyo mara kadhaa amekuwa akifikishwa ofisi ya Kijiji kutokana na utoro na mpaka sasa anaendelea kutafutwa ili sheria ichukue mkondo wake.Mtendaji huyo wa Kijiji alisema changamoto kubwa ni wazazi kutopenda kuona taarifa za kubakwa watoto wao zinajulikana kijijini kwani wanaona ni fedheha kutangaza mtoto kabakwa. “Hiyo ni aibu yenye madhara tunaendelea kutoa elimu ili waweze kutoa taarifa za unyanyasaji wa watoto ili kulinda makuzi na ustawi wa maisha ya watoto,” alisema. Kwa upande wake, Ofisa Maendeleo ya Jamii katika Wilaya ya Chamwino, Sophia Swai alisema wana taarifa na tukio hilo. Alisema watoto wengi wanashindwa kutoa taarifa kutokana na kutishiwa maisha yao.Swai alisema wataendelea kutoa elimu ikiwa ni pomoja na wananchi kutoa ushirikiano ikiwemo kwenda kutoa ushahidi mahakamani lakini pia wahusika wa matukio hayo wapate adhabu zinazostahili.“Tulipata kesi moja maeneo ya Mpwayungu baba mzazi alikuwa akimbaka mtoto wake wa kike wa miaka minnne kwa mwaka mzima. Usiku kucha mtoto alikuwa akilia kwa maumivu, majirani wakashindwa kuvumilia wakaenda kumhoji, baba huyo akawa akisema alikuwa akimchapa mtoto huyo kutokana na kukojoa kitandani,” alisema.Mtoto huyo alikuwa akiishi na baba baada ya mama yake kuondoka kutokana na ugomvi wa kifamilia. Alisema baba huyo alikuwa akimtisha mtoto yule asiseme chochote na alikuwa akiongozana nae popote anapokuwa. ### Response: KITAIFA ### End
Simba ilicheza mechi hiyo kwa dakika 82 ikiwa nyuma kwa mabao 2-0 dhidi ya timu hiyo inayocheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, hali iliyofanya mashabiki waliojazana uwanjani hapo kuondoka mmoja mmoja wakiamini matokeo yatabaki kama yalivyo na kupoteza mechi ya pili mfululizo baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kagera Sugar kwenye uwanja wa Kaitaba, Bukoba mwishoni mwa wiki iliyopita.Shukrani kwa mchezaji wa Ivory Coast, Blagnon aliyefunga mabao mawili katika dakika ya 82 na ya 90 kabla Mzamiru hajaongeza la tatu katika dakika za majeruhi na kuiduwaza Mbao ambayo mashabiki wake walikuwa na shangwe muda wote wakijua wameshaondoka na pointi tatu muhimu.Blagnon aliingia uwanjani katika dakika ya 67 kuchukua nafasi ya Juma Luizio. M-Ivory Coast huyo alifunga bao lake la kwanza kwa kichwa baada ya kuunganisha mpira wa James Kotei.Dakika nane baadaye Blagnon alifanya matokeo kusomeka 2-2 baada ya kuunganisha mpira wa Janvier Bokungu kabla ya kutokea piga nikupige langoni mwa Mbao na kuujaza mpira nyavuni.Huku mashabiki wa soka wakiamini matokeo yangekuwa sare hiyo ya 2-2, Muzamir akainua vitini mashabiki wa Simba kwa kufunga bao la tatu baada ya kuuwahi mpira uliookolewa na mabeki wa Mbao.Ushindi huo umeifanya Simba irudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 58, tofauti ya pointi mbili dhidi ya Yanga yenye pointi 56 na faida ya mchezo mmoja kibindoni.Katika mechi hiyo, wenyeji, walitawala sehemu kubwa hasa dakika 45 za kipindi cha kwanza zilizomalizika wakiwa mbele kwa mabao 2-0.Mbao walipata bao la kuongoza katika dakika ya 22 kupitia kwa George Sangija aliyewazidi kasi mabeki wa Simba na kumtungua kipa Peter Manyika ambaye kwa muda mrefu hajakaa langoni.Bao hilo ni kama lilimchanganya kocha wa Simba, Joseph Omog aliyefanya mabadiliko ya mapema kwa kumtoa Pastory Athanas na kumuingiza Said Ndemla.Hata hivyo, mabadiliko hayo hayakuwa msaada kwa Simba inayosaka ubingwa kwa mwaka wa tano sasa kwani Mbao waliongeza bao la pili katika dakika ya 36 kupitia kwa Evarigestus Bernard aliyegongeana vizuri na mfungaji wa bao la kwanza Sangija kabla ya kuujaza mpira wavuni.Kocha Omog akili ilimkaa sawa baada ya bao hilo na hasa baada ya mashabiki wa Simba kuanza kuizomea timu yao, na hapo akaamua kufanya mabadiliko mengine ambapo alimuingiza mshambuliaji Laudit Mavugo na kumtoa Hamad Juma.Katika mechi nyingine iliyochezwa uwanja wa Manungu Morogoro, wenyeji Mtibwa Sugar alibanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na Azam.Simba SC: Peter Manyika, Hamad Juma/Laudit Mavugo, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jnr’, Juuko Murshid, Janvier Bokungu, James Kotei, Shiza Kichuya, Muzamil Yassin, Juma Luizio/ Fredrick Blagnon, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim na Pastory Athanas/ Said Ndemla.Mbao: Erick Ngwengwe, Asante Kwasi, David Mwasa, Boniphace Maganga, Yussuf Ndikumana/Alex Ntili, Vincent Philipo, George Sangija/ Dickson Ambundo, Salmin Hoza, Pius Buswita, Ibrahim Njohole na Everigeston Bernard/ Ndaki Robert.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Simba ilicheza mechi hiyo kwa dakika 82 ikiwa nyuma kwa mabao 2-0 dhidi ya timu hiyo inayocheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, hali iliyofanya mashabiki waliojazana uwanjani hapo kuondoka mmoja mmoja wakiamini matokeo yatabaki kama yalivyo na kupoteza mechi ya pili mfululizo baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kagera Sugar kwenye uwanja wa Kaitaba, Bukoba mwishoni mwa wiki iliyopita.Shukrani kwa mchezaji wa Ivory Coast, Blagnon aliyefunga mabao mawili katika dakika ya 82 na ya 90 kabla Mzamiru hajaongeza la tatu katika dakika za majeruhi na kuiduwaza Mbao ambayo mashabiki wake walikuwa na shangwe muda wote wakijua wameshaondoka na pointi tatu muhimu.Blagnon aliingia uwanjani katika dakika ya 67 kuchukua nafasi ya Juma Luizio. M-Ivory Coast huyo alifunga bao lake la kwanza kwa kichwa baada ya kuunganisha mpira wa James Kotei.Dakika nane baadaye Blagnon alifanya matokeo kusomeka 2-2 baada ya kuunganisha mpira wa Janvier Bokungu kabla ya kutokea piga nikupige langoni mwa Mbao na kuujaza mpira nyavuni.Huku mashabiki wa soka wakiamini matokeo yangekuwa sare hiyo ya 2-2, Muzamir akainua vitini mashabiki wa Simba kwa kufunga bao la tatu baada ya kuuwahi mpira uliookolewa na mabeki wa Mbao.Ushindi huo umeifanya Simba irudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 58, tofauti ya pointi mbili dhidi ya Yanga yenye pointi 56 na faida ya mchezo mmoja kibindoni.Katika mechi hiyo, wenyeji, walitawala sehemu kubwa hasa dakika 45 za kipindi cha kwanza zilizomalizika wakiwa mbele kwa mabao 2-0.Mbao walipata bao la kuongoza katika dakika ya 22 kupitia kwa George Sangija aliyewazidi kasi mabeki wa Simba na kumtungua kipa Peter Manyika ambaye kwa muda mrefu hajakaa langoni.Bao hilo ni kama lilimchanganya kocha wa Simba, Joseph Omog aliyefanya mabadiliko ya mapema kwa kumtoa Pastory Athanas na kumuingiza Said Ndemla.Hata hivyo, mabadiliko hayo hayakuwa msaada kwa Simba inayosaka ubingwa kwa mwaka wa tano sasa kwani Mbao waliongeza bao la pili katika dakika ya 36 kupitia kwa Evarigestus Bernard aliyegongeana vizuri na mfungaji wa bao la kwanza Sangija kabla ya kuujaza mpira wavuni.Kocha Omog akili ilimkaa sawa baada ya bao hilo na hasa baada ya mashabiki wa Simba kuanza kuizomea timu yao, na hapo akaamua kufanya mabadiliko mengine ambapo alimuingiza mshambuliaji Laudit Mavugo na kumtoa Hamad Juma.Katika mechi nyingine iliyochezwa uwanja wa Manungu Morogoro, wenyeji Mtibwa Sugar alibanwa mbavu na kulazimishwa suluhu na Azam.Simba SC: Peter Manyika, Hamad Juma/Laudit Mavugo, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jnr’, Juuko Murshid, Janvier Bokungu, James Kotei, Shiza Kichuya, Muzamil Yassin, Juma Luizio/ Fredrick Blagnon, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim na Pastory Athanas/ Said Ndemla.Mbao: Erick Ngwengwe, Asante Kwasi, David Mwasa, Boniphace Maganga, Yussuf Ndikumana/Alex Ntili, Vincent Philipo, George Sangija/ Dickson Ambundo, Salmin Hoza, Pius Buswita, Ibrahim Njohole na Everigeston Bernard/ Ndaki Robert. ### Response: MICHEZO ### End
HASSAN DAUDI Na MITANDAO UGONJWA wa Ebola umeendelea kuitikisa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa miezi kadhaa sasa, safari hii hali ikielezwa kuwa mbaya zaidi katika historia ya ugonjwa huo nchini humo. Watu zaidi ya 970 wameshapoteza maisha, huku maambukizi mapya yakitajwa kufikia 1,400 tangu Agosti, mwaka jana. Hatari zaidi imekuja baada ya wataalamu wa afya kubaini kuwa asilimia 90 ya watu wanaopata maambukizi hupoteza maisha. Wakati juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo zikiendelea kwa msaada mkubwa wa Shirika la Afya Duniani (WHO), inaelezwa kuwa kumekuwapo changamoto ya habari za uongo (fake news) katika vita ya kuutokomeza ugonjwa huo. “Taraifa za upotoshaji zimekuwa zikienezwa kupitia makundi ya Facebook, WhatsApp, jumbe zikitumwa kwa Lugha ya Kifaransa, Kiswahili au Kinande (inayozungumzwa DRC),” inasema taarifa ya mtandao wa Congo Check. Hivi sasa, nguvu kubwa inafanywa na Shirika la Watoto la Kimataifa (UNICEF) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya nchini DRC, wakipambana kukabiliana na habari za uzushi, ambazo nyingi zimetengeza hofu kwa wananchi. Kutokana na uzushi unaodai ugonjwa huo hautibiki, wapo baadhi ya wananchi wamekuwa wakipuuzia kwenda hospitali. Hilo limesababisha wengi kutokuwa na imani na mikakati ya kuuondoa ugonjwa huo DRC. Itakumbukwa kuwa mwishoni mwa mwaka jana, mwanasiasa wa upinzani, Crispin Mbindule Mitono, aliibua madai kuwa Serikali ya DRC ndiyo iliyotengeneza kirusi cha Ebola. Katika mahojiano yake na kituo cha redio, alisema lengo ni kupunguza idadi ya wananchi katika Jiji la Beni, ambalo ndio la kwanza kuvamiwa na ugonjwa huo. Ukiacha hilo, wananchi walikuwa wakizidishiwa hofu na taarifa za mitandaoni kuwa miili ya waliofariki kwa Ebola ilikuwa ikiibwa na kwenda kutolewa viungo, ambavyo mwishowe vilikuwa vikiuzwa. “Huwa naiambia timu yangu kwamba tunapambana na matatizo mawili, Ebola na hofu (inayotokana na habari za uongo),” anasema mmoja kati ya viongozi kutoka UNICEF, Carlos Navarro Colorado. Wakati huo huo, wapo wananchi wanaoamini timu ya madaktari wa Ebola ndiyo inayoeneza virusi hivyo katika makazi ya watu kwa kupulizia vyooni na bafuni, wengine wakisema huenezwa kwa kutumia helikopta. Lakini pia, bado umekuwapo uvumi kuwa hakuna Ebola nchini humo, tafiti zikionesha kuwa kati ya watu wanne nchini DRC, mmoja anaamini hivyo. “Hakuna kitu kama hicho kiitwacho Ebola. Ni uzushi wa serikali tu,” anaandika mmoja kati ya watumiaji wa mtandao wa Facebook. Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard ilionesha kuwa kati ya watu 961 wa miji ya Beni na Butembo, ni 340 pekee waliokuwa wakiamini uwapo wa Ebola, huku wengine 230 wakisema ni tetesi tu na hakuna kitu kama hicho. Aidha, watafiti wa taasisi hiyo ya elimu ya juu walibaini kuwa wasioamini kuwa Ebola ipo nchini DRC ni wale wanaodai kuibuka kwa ugonjwa huo ni uzushi ulioandaliwa na wajanja wachache ili kujiingizia kipato, ukiacha waliouchukulia kuwa ni ajenda ya kisiasa tu. Kujaribu kukabiliana na upotoshaji wa aina hiyo, Mkurugenzi wa kampeni ya kutokomeza Ebola kutoka WHO, Michael Ryan, anasema kupitia mitandao ya kijamii wamefanikiwa kwa kiasi fulani kueneza elimu kwa lengo la kwenda sambamba na kasi ya taarifa za upotoshaji. “Tumeweza kuzifanya jamii zitenganishe jitihada za kuzuia Ebola na ajenda za kisiasa. Hiyo imesaidia,” anasema Ryan. Pia Serikali ya DRC imeajiri vijana waliopewa kazi ya kuzifikisha mezani taarifa zote za upotoshaji zinazojitokeza katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambao ndiyo wenye watumiaji wengi nchini DRC, hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Wizara ya Afya, Jessica Ilunga. Si tu kutoa elimu, pia familia zimekuwa zikiruhusiwa kushuhudia maziko ya ndugu zao waliofariki kwa ugonjwa huo, japo hilo limekuwa likifanywa kwa tahadhari kubwa ili kudhibiti maambukizi. Hali hii ni tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wakitakiwa kukaa mbali au hata kutoruhusiwa kabisa kuwaona wagonjwa, ikikumbukwa kuwa hata shughuli za mazishi hazikuwa zikiwashirikisha wananchi. “Tulichojifunza ni kwamba hatutakiwi kubadilisha chochote katika taratibu za kimila katika mazishi. Tunachotakiwa kukifanya ni kuhakikisha tunalinda usalama wa afya za waombolezaji tu,” anasema Mtaalamu wa Sayansi ya Tamaduni, Juliet Bedford. Hata hivyo, wakati hilo la taarifa za upotoshaji likionekana kuwa kikwazo, ipo pia hoja ya kutokuwapo kwa hali ya utulivu katika maeneo mbalimbali ya DRC. Mathalan, ukiitazama Kivu Kaskazini, bado kumekuwapo na machafuko ya mara kwa mara kutokana na uwapo wa vikundi vya waasi. Ni changamoto kubwa kwa madaktari kufika, ikizingatiwa kuwa wapo walioshambuliwa wakiwa huko. Ni maeneo hayo ndiko katika miaka ya hivi karibuni, vituo vya tiba za Ebola vimekuwa vikivamiwa na huku madaktari wakipoteza maisha.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- HASSAN DAUDI Na MITANDAO UGONJWA wa Ebola umeendelea kuitikisa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa miezi kadhaa sasa, safari hii hali ikielezwa kuwa mbaya zaidi katika historia ya ugonjwa huo nchini humo. Watu zaidi ya 970 wameshapoteza maisha, huku maambukizi mapya yakitajwa kufikia 1,400 tangu Agosti, mwaka jana. Hatari zaidi imekuja baada ya wataalamu wa afya kubaini kuwa asilimia 90 ya watu wanaopata maambukizi hupoteza maisha. Wakati juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo zikiendelea kwa msaada mkubwa wa Shirika la Afya Duniani (WHO), inaelezwa kuwa kumekuwapo changamoto ya habari za uongo (fake news) katika vita ya kuutokomeza ugonjwa huo. “Taraifa za upotoshaji zimekuwa zikienezwa kupitia makundi ya Facebook, WhatsApp, jumbe zikitumwa kwa Lugha ya Kifaransa, Kiswahili au Kinande (inayozungumzwa DRC),” inasema taarifa ya mtandao wa Congo Check. Hivi sasa, nguvu kubwa inafanywa na Shirika la Watoto la Kimataifa (UNICEF) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya nchini DRC, wakipambana kukabiliana na habari za uzushi, ambazo nyingi zimetengeza hofu kwa wananchi. Kutokana na uzushi unaodai ugonjwa huo hautibiki, wapo baadhi ya wananchi wamekuwa wakipuuzia kwenda hospitali. Hilo limesababisha wengi kutokuwa na imani na mikakati ya kuuondoa ugonjwa huo DRC. Itakumbukwa kuwa mwishoni mwa mwaka jana, mwanasiasa wa upinzani, Crispin Mbindule Mitono, aliibua madai kuwa Serikali ya DRC ndiyo iliyotengeneza kirusi cha Ebola. Katika mahojiano yake na kituo cha redio, alisema lengo ni kupunguza idadi ya wananchi katika Jiji la Beni, ambalo ndio la kwanza kuvamiwa na ugonjwa huo. Ukiacha hilo, wananchi walikuwa wakizidishiwa hofu na taarifa za mitandaoni kuwa miili ya waliofariki kwa Ebola ilikuwa ikiibwa na kwenda kutolewa viungo, ambavyo mwishowe vilikuwa vikiuzwa. “Huwa naiambia timu yangu kwamba tunapambana na matatizo mawili, Ebola na hofu (inayotokana na habari za uongo),” anasema mmoja kati ya viongozi kutoka UNICEF, Carlos Navarro Colorado. Wakati huo huo, wapo wananchi wanaoamini timu ya madaktari wa Ebola ndiyo inayoeneza virusi hivyo katika makazi ya watu kwa kupulizia vyooni na bafuni, wengine wakisema huenezwa kwa kutumia helikopta. Lakini pia, bado umekuwapo uvumi kuwa hakuna Ebola nchini humo, tafiti zikionesha kuwa kati ya watu wanne nchini DRC, mmoja anaamini hivyo. “Hakuna kitu kama hicho kiitwacho Ebola. Ni uzushi wa serikali tu,” anaandika mmoja kati ya watumiaji wa mtandao wa Facebook. Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard ilionesha kuwa kati ya watu 961 wa miji ya Beni na Butembo, ni 340 pekee waliokuwa wakiamini uwapo wa Ebola, huku wengine 230 wakisema ni tetesi tu na hakuna kitu kama hicho. Aidha, watafiti wa taasisi hiyo ya elimu ya juu walibaini kuwa wasioamini kuwa Ebola ipo nchini DRC ni wale wanaodai kuibuka kwa ugonjwa huo ni uzushi ulioandaliwa na wajanja wachache ili kujiingizia kipato, ukiacha waliouchukulia kuwa ni ajenda ya kisiasa tu. Kujaribu kukabiliana na upotoshaji wa aina hiyo, Mkurugenzi wa kampeni ya kutokomeza Ebola kutoka WHO, Michael Ryan, anasema kupitia mitandao ya kijamii wamefanikiwa kwa kiasi fulani kueneza elimu kwa lengo la kwenda sambamba na kasi ya taarifa za upotoshaji. “Tumeweza kuzifanya jamii zitenganishe jitihada za kuzuia Ebola na ajenda za kisiasa. Hiyo imesaidia,” anasema Ryan. Pia Serikali ya DRC imeajiri vijana waliopewa kazi ya kuzifikisha mezani taarifa zote za upotoshaji zinazojitokeza katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambao ndiyo wenye watumiaji wengi nchini DRC, hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Wizara ya Afya, Jessica Ilunga. Si tu kutoa elimu, pia familia zimekuwa zikiruhusiwa kushuhudia maziko ya ndugu zao waliofariki kwa ugonjwa huo, japo hilo limekuwa likifanywa kwa tahadhari kubwa ili kudhibiti maambukizi. Hali hii ni tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wakitakiwa kukaa mbali au hata kutoruhusiwa kabisa kuwaona wagonjwa, ikikumbukwa kuwa hata shughuli za mazishi hazikuwa zikiwashirikisha wananchi. “Tulichojifunza ni kwamba hatutakiwi kubadilisha chochote katika taratibu za kimila katika mazishi. Tunachotakiwa kukifanya ni kuhakikisha tunalinda usalama wa afya za waombolezaji tu,” anasema Mtaalamu wa Sayansi ya Tamaduni, Juliet Bedford. Hata hivyo, wakati hilo la taarifa za upotoshaji likionekana kuwa kikwazo, ipo pia hoja ya kutokuwapo kwa hali ya utulivu katika maeneo mbalimbali ya DRC. Mathalan, ukiitazama Kivu Kaskazini, bado kumekuwapo na machafuko ya mara kwa mara kutokana na uwapo wa vikundi vya waasi. Ni changamoto kubwa kwa madaktari kufika, ikizingatiwa kuwa wapo walioshambuliwa wakiwa huko. Ni maeneo hayo ndiko katika miaka ya hivi karibuni, vituo vya tiba za Ebola vimekuwa vikivamiwa na huku madaktari wakipoteza maisha. ### Response: AFYA ### End
Akizungumza jijini, Ndemla alisema ili kuhakikisha kiwango chake hakishuki ataongeza juhudi ili aweze kuisaidia timu yake, Simba SC kushinda mataji msimu ujao.“Kiwango changu katika msimu huu ndicho kimeshawishi uongozi kunipa mkataba wa miaka mitatu na ni changamoto kwangu kwani natakiwa kuongeza juhudi katika mazoezi ili kukuza kiwango na kuisaidia timu yangu,”alisema Ndemla.Pia alisema wana kiu ya mataji, hasa taji la Ligi Kuu Tanzania Bara na dhamira yao kubwa msimu ujao kufanikisha azma ya ubingwa wa Ligi Kuu.Ndemla hakuacha kumshukuru kocha wake Suleman Matola ambaye alikuwa naye tangu Simba B na viongozi kwa kumwamini, kuwaahidi ataongeza bidii niisaidie timu.Ndemla ametokea kwenye timu za vijana za Simba kabla ya kupandishwa kuchezea timu kubwa na kufanikiwa kuleta upinzani kwa wachezaji wa timu pinzani na kujizolea umaarufu.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza jijini, Ndemla alisema ili kuhakikisha kiwango chake hakishuki ataongeza juhudi ili aweze kuisaidia timu yake, Simba SC kushinda mataji msimu ujao.“Kiwango changu katika msimu huu ndicho kimeshawishi uongozi kunipa mkataba wa miaka mitatu na ni changamoto kwangu kwani natakiwa kuongeza juhudi katika mazoezi ili kukuza kiwango na kuisaidia timu yangu,”alisema Ndemla.Pia alisema wana kiu ya mataji, hasa taji la Ligi Kuu Tanzania Bara na dhamira yao kubwa msimu ujao kufanikisha azma ya ubingwa wa Ligi Kuu.Ndemla hakuacha kumshukuru kocha wake Suleman Matola ambaye alikuwa naye tangu Simba B na viongozi kwa kumwamini, kuwaahidi ataongeza bidii niisaidie timu.Ndemla ametokea kwenye timu za vijana za Simba kabla ya kupandishwa kuchezea timu kubwa na kufanikiwa kuleta upinzani kwa wachezaji wa timu pinzani na kujizolea umaarufu. ### Response: MICHEZO ### End
Hayo yamethibitishwa na Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Baraka Kizuguto wakati alipokuwa akitangaza viingilio vya mchezo huo unaozikutanisha timu mbili zenye ushindani wa hali ya juu kileleni mwa ligi. Zote zina pointi 15, ingawa Yanga inaongoza kwa wastani wa mabao ya kufunga na kufungwa.Wakati kiingilio cha chini kikiwa Sh 5,000, watakaolipa kiingilio cha juu katika jukwaa la VIP A watalazimika kulipa Sh 30,000 wakati kiingilio cha Sh 20,000 kimepangwa kwa mashabiki watakaokaa katika majukwaa ya VIP B na C.Katika mchezo huo, Abdallah Kambuzi wa Shinyanga ndiye aliyepangwa kuchezesha pambano hilo akisaidiana na Makame Mdogo (Shinyanga) na Robert Luhemeja (Mara). Mwamuzi wa akiba atakuwa Frank Komba (Dar es Salaam) wakati Kamisaa wa mchezo atakuwa Joseph Mapunda wa Songea, mkoani.Mbali ya pambano la Yanga na Azam, michezo mingine ya Ligi Kuu itakayopigwa kesho itazikutanisha Majimaji FC dhidi ya African Sports kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea, Ndanda FC watawakaribisha Toto African ya Tanga katika dimba la Nang’wanda Sijaona mjini Mtwara.Mbeya City FC watawakaribisha Simba kwenye dimba la Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Stand United wakiwakaribisha Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga. Jijini Tanga, Coastal Union watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro kwenye Uwanja wa Mkwakwani.Ligi hiyo itaendelea Jumapili kwa michezo miwili, ambapo maafande wa Mgambo JKT ya Tanga watakuwa wenyeji wa Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, huku wachimba Almasi wa Mwadui FC wakiwakaribisha JKT Ruvu ya Pwani katika Uwanja wa Mwadui Complex, Kahama mkoani Shinyanga.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Hayo yamethibitishwa na Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Baraka Kizuguto wakati alipokuwa akitangaza viingilio vya mchezo huo unaozikutanisha timu mbili zenye ushindani wa hali ya juu kileleni mwa ligi. Zote zina pointi 15, ingawa Yanga inaongoza kwa wastani wa mabao ya kufunga na kufungwa.Wakati kiingilio cha chini kikiwa Sh 5,000, watakaolipa kiingilio cha juu katika jukwaa la VIP A watalazimika kulipa Sh 30,000 wakati kiingilio cha Sh 20,000 kimepangwa kwa mashabiki watakaokaa katika majukwaa ya VIP B na C.Katika mchezo huo, Abdallah Kambuzi wa Shinyanga ndiye aliyepangwa kuchezesha pambano hilo akisaidiana na Makame Mdogo (Shinyanga) na Robert Luhemeja (Mara). Mwamuzi wa akiba atakuwa Frank Komba (Dar es Salaam) wakati Kamisaa wa mchezo atakuwa Joseph Mapunda wa Songea, mkoani.Mbali ya pambano la Yanga na Azam, michezo mingine ya Ligi Kuu itakayopigwa kesho itazikutanisha Majimaji FC dhidi ya African Sports kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea, Ndanda FC watawakaribisha Toto African ya Tanga katika dimba la Nang’wanda Sijaona mjini Mtwara.Mbeya City FC watawakaribisha Simba kwenye dimba la Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Stand United wakiwakaribisha Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga. Jijini Tanga, Coastal Union watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro kwenye Uwanja wa Mkwakwani.Ligi hiyo itaendelea Jumapili kwa michezo miwili, ambapo maafande wa Mgambo JKT ya Tanga watakuwa wenyeji wa Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, huku wachimba Almasi wa Mwadui FC wakiwakaribisha JKT Ruvu ya Pwani katika Uwanja wa Mwadui Complex, Kahama mkoani Shinyanga. ### Response: MICHEZO ### End
RAIS John Magufuli ametoa mwito kwa wananchi nchini kudumisha amani iliyopo na kuachana na chokochoko zinazoweza kuvuruga mipango ya kuliletea Taifa maendeleo inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano.Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Madugula kilichopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kuzindua kiwanda cha kuchakata mahindi kinachomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa kambi ya 842 Mlale, Rais Magufuli alisema ni muhimu kudumisha amani ili kuruhusu kufanyika kwa mambo yanayohusu maendeleo ya wananchi.Alisema inashangaza kuona wapo baadhi ya watu wanaonekana kuvimbiwa na amani iliyopo kwa kusababisha maneno ya chokochoko inayoweza kuivuruga, suala alilosema kuwa linapaswa kuepukwa kwa nguvu zote na wananchi ili kuidumisha.“Amani na utulivu uliopo umewezesha kufanyika kwa mambo mengi ikiwemo utoaji wa elimu bure, kuongeza huduma za afya, ununuzi wa ndege, uboreshaji wa huduma za afya, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vituo mbalimbali vya afya na hospitali pamoja na ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme katika Mto Rufiji (Stiegler’s Gorge),” amesema Rais Magufuli.Alisema amani iliyopo nchini ndiyo sababu kubwa ya kuwepo maendeleo yanayoonekana hivi sasa, ikiwemo ujenzi wa viwanja vya ndege, uboreshaji wa elimu kwa kuitoa bure kuanzia ngazi ya shule za msingi hadi kidato cha nne yote yakitekelezwa chini ya serikali ya awamu ya tano.“Pasipo na amani hakuna maendeleo, wapo watu wanaitamani amani hii tuliyonayo...hivyo nawasihi ndugu zangu Watanzania wote kuilinda kwa nguvu zote na kuepusha uvunjifu wa aina yoyote unaoweza kuihatarisha,” alisema.Aidha alilipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kwa juhudi inazozifanya kuilinda suala linalotoa fursa kutekelezwa kwa mambo ya kimaendeleo.Wakurugenzi wa Mashirika ya UmmaRais Magufuli ameitaka Kamati ya Bunge inayohusika na mashirika ya umma kufanya uchunguzi dhidi ya mashirika ya umma yasiyotoa gawio kwa serikali huku akiwataka wakuu wa taasisi hizo kujiandaa kwa lolote kutokana na hatua hiyo.Hatua hiyo ya Rais Magufuli imekuja baada ya kufurahishwa na hatua ya Jeshi la Kujenga Taifa kutoa gawio kiasi cha Sh milioni 700 kama mchango wake kwa Serikali Kuu ili kusaidia utekelezaji wa mambo mbalimbali ya kimaendeleo.Alisema ni jambo la kushangaza na lisiloweza kuvumilika kuona mashirika hayo ambayo hupokea fedha za uendeshaji kutoka serikalini yakishindwa kutoa gawio hilo Serikali huku wakuu wake wakijilipa mishahara mikubwa pamoja na posho kwa vikao mbalimbali.Alisema wakuu wa mashirika hayo wengi wao wamekuwa wakigawana posho nyingi zikiwemo za vikao bila kujali muhimu wa kutoa gawio katika serikali kuu, suala alilowataka kujitathimini.Kuhusu kiwandaAkizungumzia kuanzishwa kwa kiwanda hicho kilichogharimu kiasi cha Sh milioni 414.7, Rais Magufuli mbali na kuipongeza Wizara ya Ulinzi na pamoja na majeshi yake kwa kazi nzuri iliyosababisha kuanzishwa kwa kiwanda hicho, alisema hatua hiyo ni maendeleo makubwa kwa jeshi hilo na Taifa kwa ujumla.Amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano ni kufikisha taifa katika uchumi wa kati wa viwanda hivyo hatua hiyo ya JKT kujenga kiwanda hicho kinaunga mkono kwa vitendo juhudi hizo katika kukucha uchumi wake.“Nitoe mwito kwa Jeshi kuendelea kujenga viwanda kama hivi katika maeneo mbalimbali lakini kukiboresha kiwanda hiki ili kiweze kuleta tija kwa kuwafaidisha wananchi lakini pia kutoa ajira kwa vijana mbalimbali wanaohitimu mafunzo,” alisema.Ayapongeza majeshi Akizungumza kuhusu mambo mbalimbali yanayofanywa na majeshi, Rais Magufuli alisema siku zote amekuwa na imani kubwa na jeshi kutokana na kuwa mstari wa mbele katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo mbali na kusimamia ulinzi na usalama.Alisema kutokana na rekodi nzuri zinazofanywa na majeshi ya Tanzania ikiwemo kusimamia utekelezaji wa mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ukamilifu, amekuwa hajifikirii sana kuwapata viongozi kutoka katika taasisi hiyo pale linapofika suala la uteuzi.“Jeshi letu lina rekodi nzuri kwa kushiriki wa shughuli mbalimbali za maendeleo tena kwa weledi mkubwa, hata linapokuwa suala la ulinzi na usalama maeneo mbalimbali, limeweza kulitengenezea historia jina la Tanzania mbali na ushiriki wake katika ukombozi wa dhi ya mataifa mbalimbali yaliyopo kusini mwa bara la Afrika,”amesema.Jeshi lina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa viwanda, nitumie fursa hili kwa kulipongeza jeshi kwa kufanya kazi za kizalendo, ulinzi, kazi za maendeleo na zingine kama ambavyo imekuwa ikifanywa na majeshi ya mataifa mengine.Alisema hata walipopewa jukumu la kujenga ukuta wa Mirerani uliopo mkoani Manyara pamoja na makazi ya watumishi katika Makao Makuu ya nchi yaliyopo Dodoma, wamefanya kazi hiyo kwa weledi mkubwa, hatua iliyomfanya kuwapa kazi nyingine ya kutengeneza magari ya Zimamoto kupitia kiwanda chake cha Nyumbu.“Nimewaambia leo watengeneze magari ya zimamoto, ilitangazwa tenda na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi lakini kwa zaidi ya miaka miwili licha ya fedha kuwepo mtengenezaji wa gari hilo hajapatikana, naamini kazi hiyo wanaiweza na itafanyika,” aliongeza Rais Magufuli.Azitaka taasisi kuajiri wahitimu wa JKT Alizitaka taasisi zote za ulinzi na usalama na zinginezo zinapotafuta watu wa kuwaajiri kutoa fursa kwa vijana waliohitimu mafunzo JKT kwa kuwa wana uwezo mzuri, uaminifu na taaluma mbalimbali zinazowapa fursa kuwa na sifa.Aidha aliziagiza wizara zote kutoa tenda kwa jeshi pale linapotokea ujenzi unaotakiwa kufanywa kwa dharura kwa kuwa lina uwezo wa kuifanya kazi hiyo kwa weledi na muda muda mfupi huku akisisitiza suala la kudumisha amani iliyopo ili kuchochea maendeleo ya nchi.“Tunataka wanajeshi wetu tuwatumie kujenga viwanda vitakavyotoa ajira kwa watanzania, siyo kutumika kupigana, hivyo ni vyema tuilinde amani yetu, inashangaza kuona wapo baadhi ya watu wamevimbiwa na amani iliyopo,” aliongeza Magufuli.Waziri Mwinyi Kwa upande wake, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hussein Mwinyi alisema kazi nzuri inayofanywa na jeshi la wananchi ikiwemo kulinda mipaka mbalimbali ni matokeo ya amani iliyopo nchini huku akimhakikishia Rais Magufuli juu ya usalama uliopo.Alisema wizara yake inayo mipango ya kijeshi ya miaka mitano iliyojikita katika maeneo manne ikiwemo ya ujenzi wa mindombinu, mafunzo na mazoezi, sambamba na kuboresha mazingira uboreshaji wa makazi ya wanajeshi.Aidha alimpongeza Rais kwa kuboresha maslahi ya wanajeshi, huku wakiahidi kuanzisha na kuendeleza miradi ya kilimo na ufugaji ili kujiwezesha kiuchumi na kujijengea uwezo wa kulisha majeshi hayo bila kutegemea bajeti ya Serikali.Alisisitiza kuwa kutolewa kwa gawio hilo ni mwanzo na kwamba mipango yao ni kuongeza kiwango hicho katika miaka ijayo ili kuisaidia Serikali kutekeleza mipango yake ya maendeleo.Mkuu wa Majeshi Kwa upande wale, Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo alisema kujengwa kwa kiwanda hicho kumetokana na mipango ya kiubunifu na utaalamu wa jeshi hilo juu ili kufikia malengo yake ya kujiinua kimaendeleo.Allisema uzinduzi wa kiwanda hicho pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kukuza uchumi wa nchi, umelenga kukiongezea kipato jeshi hilo, huku akiahidi kutumia uwezo uliopo jeshini kusaidia kufikia uchumi wa kati wa viwanda.Kiwanda hicho kitakachowahudumia wananchi wanaozunguka mkoa wa Ruvuma kitasaidia kuongeza uzalishaji wa nafaka na hivyo kuongeza chachu ya uzalishaji wa zao hilo mkoani humo.Alisema JWTZ ipo tayari kutekeleza majukumu yake ya msingi ya uzalishaji bila kuathiri majukumu ya kulilinda taifa, na kusisitiza kuwa nchi ipo salama na imesimama imara dhidi ya chokochoko zote zinazojitokeza dhidi ya mataifa mengineAliwashukuru wananchi wa eneo hilo na kuwataka kutumia mwanya wa kuanzishwa kwa kiwanda hicho kuongeza uzalishaji wa mahindi na kuuza mahali hapo badala ya kuhangahika kutafuta masoko kutoka maeneo mengine.Alisema kuanzishwa kawa kiwanda hicho kumetokana na maagizo ya Mkuu wa Majeshi kwa lengo la kuendeleza mipango ya kujiinua kiuchumi na hivyo kuipunguzia makali serikali.Alisema kiwanda hicho chenye uwezo wa kuchakata tani 40 kwa siku ni mafanikio makubwa katika kusukuma gurudumu la maendeleo ndani ya jeshi hilo na Taifa kwa ujumla na kuwataka wananchi kukitumia kikamilifu ili kujiinua.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS John Magufuli ametoa mwito kwa wananchi nchini kudumisha amani iliyopo na kuachana na chokochoko zinazoweza kuvuruga mipango ya kuliletea Taifa maendeleo inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano.Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Madugula kilichopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kuzindua kiwanda cha kuchakata mahindi kinachomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa kambi ya 842 Mlale, Rais Magufuli alisema ni muhimu kudumisha amani ili kuruhusu kufanyika kwa mambo yanayohusu maendeleo ya wananchi.Alisema inashangaza kuona wapo baadhi ya watu wanaonekana kuvimbiwa na amani iliyopo kwa kusababisha maneno ya chokochoko inayoweza kuivuruga, suala alilosema kuwa linapaswa kuepukwa kwa nguvu zote na wananchi ili kuidumisha.“Amani na utulivu uliopo umewezesha kufanyika kwa mambo mengi ikiwemo utoaji wa elimu bure, kuongeza huduma za afya, ununuzi wa ndege, uboreshaji wa huduma za afya, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vituo mbalimbali vya afya na hospitali pamoja na ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme katika Mto Rufiji (Stiegler’s Gorge),” amesema Rais Magufuli.Alisema amani iliyopo nchini ndiyo sababu kubwa ya kuwepo maendeleo yanayoonekana hivi sasa, ikiwemo ujenzi wa viwanja vya ndege, uboreshaji wa elimu kwa kuitoa bure kuanzia ngazi ya shule za msingi hadi kidato cha nne yote yakitekelezwa chini ya serikali ya awamu ya tano.“Pasipo na amani hakuna maendeleo, wapo watu wanaitamani amani hii tuliyonayo...hivyo nawasihi ndugu zangu Watanzania wote kuilinda kwa nguvu zote na kuepusha uvunjifu wa aina yoyote unaoweza kuihatarisha,” alisema.Aidha alilipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kwa juhudi inazozifanya kuilinda suala linalotoa fursa kutekelezwa kwa mambo ya kimaendeleo.Wakurugenzi wa Mashirika ya UmmaRais Magufuli ameitaka Kamati ya Bunge inayohusika na mashirika ya umma kufanya uchunguzi dhidi ya mashirika ya umma yasiyotoa gawio kwa serikali huku akiwataka wakuu wa taasisi hizo kujiandaa kwa lolote kutokana na hatua hiyo.Hatua hiyo ya Rais Magufuli imekuja baada ya kufurahishwa na hatua ya Jeshi la Kujenga Taifa kutoa gawio kiasi cha Sh milioni 700 kama mchango wake kwa Serikali Kuu ili kusaidia utekelezaji wa mambo mbalimbali ya kimaendeleo.Alisema ni jambo la kushangaza na lisiloweza kuvumilika kuona mashirika hayo ambayo hupokea fedha za uendeshaji kutoka serikalini yakishindwa kutoa gawio hilo Serikali huku wakuu wake wakijilipa mishahara mikubwa pamoja na posho kwa vikao mbalimbali.Alisema wakuu wa mashirika hayo wengi wao wamekuwa wakigawana posho nyingi zikiwemo za vikao bila kujali muhimu wa kutoa gawio katika serikali kuu, suala alilowataka kujitathimini.Kuhusu kiwandaAkizungumzia kuanzishwa kwa kiwanda hicho kilichogharimu kiasi cha Sh milioni 414.7, Rais Magufuli mbali na kuipongeza Wizara ya Ulinzi na pamoja na majeshi yake kwa kazi nzuri iliyosababisha kuanzishwa kwa kiwanda hicho, alisema hatua hiyo ni maendeleo makubwa kwa jeshi hilo na Taifa kwa ujumla.Amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano ni kufikisha taifa katika uchumi wa kati wa viwanda hivyo hatua hiyo ya JKT kujenga kiwanda hicho kinaunga mkono kwa vitendo juhudi hizo katika kukucha uchumi wake.“Nitoe mwito kwa Jeshi kuendelea kujenga viwanda kama hivi katika maeneo mbalimbali lakini kukiboresha kiwanda hiki ili kiweze kuleta tija kwa kuwafaidisha wananchi lakini pia kutoa ajira kwa vijana mbalimbali wanaohitimu mafunzo,” alisema.Ayapongeza majeshi Akizungumza kuhusu mambo mbalimbali yanayofanywa na majeshi, Rais Magufuli alisema siku zote amekuwa na imani kubwa na jeshi kutokana na kuwa mstari wa mbele katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo mbali na kusimamia ulinzi na usalama.Alisema kutokana na rekodi nzuri zinazofanywa na majeshi ya Tanzania ikiwemo kusimamia utekelezaji wa mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ukamilifu, amekuwa hajifikirii sana kuwapata viongozi kutoka katika taasisi hiyo pale linapofika suala la uteuzi.“Jeshi letu lina rekodi nzuri kwa kushiriki wa shughuli mbalimbali za maendeleo tena kwa weledi mkubwa, hata linapokuwa suala la ulinzi na usalama maeneo mbalimbali, limeweza kulitengenezea historia jina la Tanzania mbali na ushiriki wake katika ukombozi wa dhi ya mataifa mbalimbali yaliyopo kusini mwa bara la Afrika,”amesema.Jeshi lina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa viwanda, nitumie fursa hili kwa kulipongeza jeshi kwa kufanya kazi za kizalendo, ulinzi, kazi za maendeleo na zingine kama ambavyo imekuwa ikifanywa na majeshi ya mataifa mengine.Alisema hata walipopewa jukumu la kujenga ukuta wa Mirerani uliopo mkoani Manyara pamoja na makazi ya watumishi katika Makao Makuu ya nchi yaliyopo Dodoma, wamefanya kazi hiyo kwa weledi mkubwa, hatua iliyomfanya kuwapa kazi nyingine ya kutengeneza magari ya Zimamoto kupitia kiwanda chake cha Nyumbu.“Nimewaambia leo watengeneze magari ya zimamoto, ilitangazwa tenda na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi lakini kwa zaidi ya miaka miwili licha ya fedha kuwepo mtengenezaji wa gari hilo hajapatikana, naamini kazi hiyo wanaiweza na itafanyika,” aliongeza Rais Magufuli.Azitaka taasisi kuajiri wahitimu wa JKT Alizitaka taasisi zote za ulinzi na usalama na zinginezo zinapotafuta watu wa kuwaajiri kutoa fursa kwa vijana waliohitimu mafunzo JKT kwa kuwa wana uwezo mzuri, uaminifu na taaluma mbalimbali zinazowapa fursa kuwa na sifa.Aidha aliziagiza wizara zote kutoa tenda kwa jeshi pale linapotokea ujenzi unaotakiwa kufanywa kwa dharura kwa kuwa lina uwezo wa kuifanya kazi hiyo kwa weledi na muda muda mfupi huku akisisitiza suala la kudumisha amani iliyopo ili kuchochea maendeleo ya nchi.“Tunataka wanajeshi wetu tuwatumie kujenga viwanda vitakavyotoa ajira kwa watanzania, siyo kutumika kupigana, hivyo ni vyema tuilinde amani yetu, inashangaza kuona wapo baadhi ya watu wamevimbiwa na amani iliyopo,” aliongeza Magufuli.Waziri Mwinyi Kwa upande wake, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hussein Mwinyi alisema kazi nzuri inayofanywa na jeshi la wananchi ikiwemo kulinda mipaka mbalimbali ni matokeo ya amani iliyopo nchini huku akimhakikishia Rais Magufuli juu ya usalama uliopo.Alisema wizara yake inayo mipango ya kijeshi ya miaka mitano iliyojikita katika maeneo manne ikiwemo ya ujenzi wa mindombinu, mafunzo na mazoezi, sambamba na kuboresha mazingira uboreshaji wa makazi ya wanajeshi.Aidha alimpongeza Rais kwa kuboresha maslahi ya wanajeshi, huku wakiahidi kuanzisha na kuendeleza miradi ya kilimo na ufugaji ili kujiwezesha kiuchumi na kujijengea uwezo wa kulisha majeshi hayo bila kutegemea bajeti ya Serikali.Alisisitiza kuwa kutolewa kwa gawio hilo ni mwanzo na kwamba mipango yao ni kuongeza kiwango hicho katika miaka ijayo ili kuisaidia Serikali kutekeleza mipango yake ya maendeleo.Mkuu wa Majeshi Kwa upande wale, Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo alisema kujengwa kwa kiwanda hicho kumetokana na mipango ya kiubunifu na utaalamu wa jeshi hilo juu ili kufikia malengo yake ya kujiinua kimaendeleo.Allisema uzinduzi wa kiwanda hicho pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kukuza uchumi wa nchi, umelenga kukiongezea kipato jeshi hilo, huku akiahidi kutumia uwezo uliopo jeshini kusaidia kufikia uchumi wa kati wa viwanda.Kiwanda hicho kitakachowahudumia wananchi wanaozunguka mkoa wa Ruvuma kitasaidia kuongeza uzalishaji wa nafaka na hivyo kuongeza chachu ya uzalishaji wa zao hilo mkoani humo.Alisema JWTZ ipo tayari kutekeleza majukumu yake ya msingi ya uzalishaji bila kuathiri majukumu ya kulilinda taifa, na kusisitiza kuwa nchi ipo salama na imesimama imara dhidi ya chokochoko zote zinazojitokeza dhidi ya mataifa mengineAliwashukuru wananchi wa eneo hilo na kuwataka kutumia mwanya wa kuanzishwa kwa kiwanda hicho kuongeza uzalishaji wa mahindi na kuuza mahali hapo badala ya kuhangahika kutafuta masoko kutoka maeneo mengine.Alisema kuanzishwa kawa kiwanda hicho kumetokana na maagizo ya Mkuu wa Majeshi kwa lengo la kuendeleza mipango ya kujiinua kiuchumi na hivyo kuipunguzia makali serikali.Alisema kiwanda hicho chenye uwezo wa kuchakata tani 40 kwa siku ni mafanikio makubwa katika kusukuma gurudumu la maendeleo ndani ya jeshi hilo na Taifa kwa ujumla na kuwataka wananchi kukitumia kikamilifu ili kujiinua. ### Response: KITAIFA ### End
“Gawio hili la faida linalipwa kwa watumiaji wote wa Tigo Pesa wakiwemo wateja binafsi, mawakala wa rejareja na washirika wetu wa kibiashara, kila mmoja kutokana na thamani ya fedha aliyojiwekea katika akaunti yake ya Tigo Pesa,” alisema Mkuu wa Fedha na Tahadhari wa Huduma ya Fedha kwa njia ya mtandao, Obedi Laiser.Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Laiser alisema hiyo itakuwa ni mara ya kwanza Tigo kuwalipa gawio la faida watumiaji wa Tigo Pesa kwa mwaka wa 2016, akibainisha kuwa malipo hayo ni faida inayopatikana kutokana na amana ya Mfuko wa Tigo Pesa uliowekezwa katika benki za kibiashara nchini.“Tunayo furaha kubwa kutangaza gawio hili la faida kwa mara ya saba mfululizo tangu tulivyoanza kufanya hivi mwaka 2014. Bila shaka hii inaonesha ni jinsi gani Tigo inajizatiti kuwaletea watanzania maisha bora ya malipo kwa njia ya mtandao,” alisema Laiser.Tigo ilikuwa kampuni ya kwanza duniani kutoa gawio kwa wateja wake mwaka 2014.“Tunaamini gawio hili la kwanza la faida ya Tigo Pesa kwa mwaka 2016 litakuwa ni kivutio kikubwa kwa mamilioni ya watumiaji wa Tigo Pesa katika kufanikisha mahitaji yao mbalimbali ya kifedha ya mwanzo wa mwaka,” aliongeza Mkuu huyo wa Fedha na Tahadhari wa Huduma ya Fedha kwa njia ya mtandao wa Tigo.Malipo haya kwa watumiaji wa Tigo Pesa hutolewa kwa mujibu wa mwongozo wa Benki Kuu Tanzania (BoT) uliotolewa Februari mwaka 2014. Mpaka sasa Tigo imelipa Sh bilioni 35.5 kwa wateja wake tangu ilipoanzisha utaratibu huu mwaka juzi.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- “Gawio hili la faida linalipwa kwa watumiaji wote wa Tigo Pesa wakiwemo wateja binafsi, mawakala wa rejareja na washirika wetu wa kibiashara, kila mmoja kutokana na thamani ya fedha aliyojiwekea katika akaunti yake ya Tigo Pesa,” alisema Mkuu wa Fedha na Tahadhari wa Huduma ya Fedha kwa njia ya mtandao, Obedi Laiser.Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Laiser alisema hiyo itakuwa ni mara ya kwanza Tigo kuwalipa gawio la faida watumiaji wa Tigo Pesa kwa mwaka wa 2016, akibainisha kuwa malipo hayo ni faida inayopatikana kutokana na amana ya Mfuko wa Tigo Pesa uliowekezwa katika benki za kibiashara nchini.“Tunayo furaha kubwa kutangaza gawio hili la faida kwa mara ya saba mfululizo tangu tulivyoanza kufanya hivi mwaka 2014. Bila shaka hii inaonesha ni jinsi gani Tigo inajizatiti kuwaletea watanzania maisha bora ya malipo kwa njia ya mtandao,” alisema Laiser.Tigo ilikuwa kampuni ya kwanza duniani kutoa gawio kwa wateja wake mwaka 2014.“Tunaamini gawio hili la kwanza la faida ya Tigo Pesa kwa mwaka 2016 litakuwa ni kivutio kikubwa kwa mamilioni ya watumiaji wa Tigo Pesa katika kufanikisha mahitaji yao mbalimbali ya kifedha ya mwanzo wa mwaka,” aliongeza Mkuu huyo wa Fedha na Tahadhari wa Huduma ya Fedha kwa njia ya mtandao wa Tigo.Malipo haya kwa watumiaji wa Tigo Pesa hutolewa kwa mujibu wa mwongozo wa Benki Kuu Tanzania (BoT) uliotolewa Februari mwaka 2014. Mpaka sasa Tigo imelipa Sh bilioni 35.5 kwa wateja wake tangu ilipoanzisha utaratibu huu mwaka juzi. ### Response: UCHUMI ### End
KOCHA msaidizi wa timu ya Yanga Noel Mwandila baada ya kupata pointi tatu dhidi ya Coastal Union mwishoni mwa wiki iliyopita, amsema rasmi sasa wamefungua mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2019/20.Yanga iliibuka na ushindi huo kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam baada ya kufanya vibaya katika mechi mbili za mwanzo ambapo ilifungwa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting kabla ya kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na Polisi Tanzania.Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha pointi nne ikiwa nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi hiyo inayoshirikisha timu 20. Simba ndio inaongoza msimamo wa kuwa na pointi 12.Mwandila alisema walianza ligi hiyo kwa kusuasua kwa kupoteza mchezo mmoja na mwingine kutoka sare hivyo walipoingia kwenye mchezo uliopita aliwapa maelekezo wachezaji wake kuingia na jambo moja la kusaka pointi tatu muhimu.“Tumefanikiwa kupata pointi tatu muhimu ambazo tulikuwa tumedhamiria kuzipata na sasa tunatangaza tumeanza rasmi mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania,” alisema Mwandila anayeongoza benchi la ufundi kufuatia kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera kuendelea kutumikia adhabu aliyopewa na Bodi ya Ligi kwa kosa la kuvaa mavazi yasiyoruhusiwa uwanjani na kuwakejeli viongozi wa TFF.Katika hatua nyingine wachezaji wa kikosi hicho walizawadiwa kitita cha Sh. Million 10 kurudisha morali ya kuendelea kupambana na kila mchezo kuhakikisha wanapata pointi tatu muhimu.Fedha hizo zilitolewa na mdhamini wa timu hiyo GSM na kukabidhiwa na mwenyekiti wa timu hiyo Mshindo Msolla aliyedai kila timu hiyo watakapo kuwa wanavuna pointi tatu basi zitakuwa zinanunuliwa kwa kitita cha sh milioni 10.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KOCHA msaidizi wa timu ya Yanga Noel Mwandila baada ya kupata pointi tatu dhidi ya Coastal Union mwishoni mwa wiki iliyopita, amsema rasmi sasa wamefungua mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2019/20.Yanga iliibuka na ushindi huo kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam baada ya kufanya vibaya katika mechi mbili za mwanzo ambapo ilifungwa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting kabla ya kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na Polisi Tanzania.Matokeo hayo yameifanya Yanga kufikisha pointi nne ikiwa nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi hiyo inayoshirikisha timu 20. Simba ndio inaongoza msimamo wa kuwa na pointi 12.Mwandila alisema walianza ligi hiyo kwa kusuasua kwa kupoteza mchezo mmoja na mwingine kutoka sare hivyo walipoingia kwenye mchezo uliopita aliwapa maelekezo wachezaji wake kuingia na jambo moja la kusaka pointi tatu muhimu.“Tumefanikiwa kupata pointi tatu muhimu ambazo tulikuwa tumedhamiria kuzipata na sasa tunatangaza tumeanza rasmi mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania,” alisema Mwandila anayeongoza benchi la ufundi kufuatia kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera kuendelea kutumikia adhabu aliyopewa na Bodi ya Ligi kwa kosa la kuvaa mavazi yasiyoruhusiwa uwanjani na kuwakejeli viongozi wa TFF.Katika hatua nyingine wachezaji wa kikosi hicho walizawadiwa kitita cha Sh. Million 10 kurudisha morali ya kuendelea kupambana na kila mchezo kuhakikisha wanapata pointi tatu muhimu.Fedha hizo zilitolewa na mdhamini wa timu hiyo GSM na kukabidhiwa na mwenyekiti wa timu hiyo Mshindo Msolla aliyedai kila timu hiyo watakapo kuwa wanavuna pointi tatu basi zitakuwa zinanunuliwa kwa kitita cha sh milioni 10. ### Response: MICHEZO ### End
Alisema ushirikiano huo utakuza sekta hiyo kwa manufaa ya serikali na wananchi wa pande mbili hizo.Dk Shein alisema hayo, alipokuwa akijibu maswali kutoka kwa mwandishi wa Kituo cha Taifa cha Televisheni na Redio Comoro jana katika fukwe ya Mitsamihouli katika siku yake ya pili ya ziara yake ya siku nne.Alisema Comoro ina nafasi nzuri ya kuendeleza sekta ya utalii, kama ilivyofanya Zanzibar.Akieleza kituo hicho kuwa eneo hilo la Mitsamihouli linafanana na maeneo mengi ya Zanzibar kama vile Nungwi, Kiwenga, Kizimkazi na mengineyo, ambayo yanatumika kwa shughuli za kitalii.Alisema Serikali imekuwa ikifanya jitihada kubwa kuvutia wawekezaji na kuchukua hatua nyingine kuimarisha sekta hiyo.Alifafanua kuwa sekta hiyo ni moja ya maeneo yanayopewa kipaumbele katika mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Zanzibar na Comoro, yanayoendelea hivi sasa wakati wa ziara yake.Dk Shein alibainisha kuwa mbali ya ushirikiano baina ya pande mbili hizo, Mpango wa Magharibi wa Bahari ya Hindi wa Changamoto za Ukanda wa Pwani ambao ulizinduliwa hivi karibuni nchini Samoa, ambapo Zanzibar na Comoro ni washiriki, utatoa fursa zaidi kwao kushirikiana, kwani moja ya malengo yake ni kuimarisha sekta ya utalii miongoni mwa washiriki wa mpango huo. Dk Shein anatarajiwa kumaliza ziara yake ya siku nne leo.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Alisema ushirikiano huo utakuza sekta hiyo kwa manufaa ya serikali na wananchi wa pande mbili hizo.Dk Shein alisema hayo, alipokuwa akijibu maswali kutoka kwa mwandishi wa Kituo cha Taifa cha Televisheni na Redio Comoro jana katika fukwe ya Mitsamihouli katika siku yake ya pili ya ziara yake ya siku nne.Alisema Comoro ina nafasi nzuri ya kuendeleza sekta ya utalii, kama ilivyofanya Zanzibar.Akieleza kituo hicho kuwa eneo hilo la Mitsamihouli linafanana na maeneo mengi ya Zanzibar kama vile Nungwi, Kiwenga, Kizimkazi na mengineyo, ambayo yanatumika kwa shughuli za kitalii.Alisema Serikali imekuwa ikifanya jitihada kubwa kuvutia wawekezaji na kuchukua hatua nyingine kuimarisha sekta hiyo.Alifafanua kuwa sekta hiyo ni moja ya maeneo yanayopewa kipaumbele katika mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Zanzibar na Comoro, yanayoendelea hivi sasa wakati wa ziara yake.Dk Shein alibainisha kuwa mbali ya ushirikiano baina ya pande mbili hizo, Mpango wa Magharibi wa Bahari ya Hindi wa Changamoto za Ukanda wa Pwani ambao ulizinduliwa hivi karibuni nchini Samoa, ambapo Zanzibar na Comoro ni washiriki, utatoa fursa zaidi kwao kushirikiana, kwani moja ya malengo yake ni kuimarisha sekta ya utalii miongoni mwa washiriki wa mpango huo. Dk Shein anatarajiwa kumaliza ziara yake ya siku nne leo. ### Response: UCHUMI ### End
NA MWALI IBRAHIM BAADA ya kushangaza wengi alipohudhuria katika sherehe ya Zari All White Party iliyoandaliwa na msanii Abdul Nasib ‘Diamond’ anayedaiwa kutoelewana naye, prodyuza Raheem Rummy ‘Bob Junior’, ameendelea kushangaza wengi kwa madai kwamba wapo mbioni kurekodi wimbo wa pamoja na msanii huyo. Prodyuza huyo aliweka wazi mipango yake hiyo huku akidai tayari ameshanunua baadhi ya vifaa vipya kwa ajili ya kuimarisha studio yake iwe katika ubora wa kimataifa kama studio nyingine zinazoongoza kwa ubora duniani. “Hiyo ni zaidi ya ‘surprise’, kwa ubora wa vyombo vyangu nina imani ‘beat’ itakayotoka hapo itakuwa kwenye kiwango cha hali ya juu na kazi yetu itakuwa nzuri sana,” alimaliza.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA MWALI IBRAHIM BAADA ya kushangaza wengi alipohudhuria katika sherehe ya Zari All White Party iliyoandaliwa na msanii Abdul Nasib ‘Diamond’ anayedaiwa kutoelewana naye, prodyuza Raheem Rummy ‘Bob Junior’, ameendelea kushangaza wengi kwa madai kwamba wapo mbioni kurekodi wimbo wa pamoja na msanii huyo. Prodyuza huyo aliweka wazi mipango yake hiyo huku akidai tayari ameshanunua baadhi ya vifaa vipya kwa ajili ya kuimarisha studio yake iwe katika ubora wa kimataifa kama studio nyingine zinazoongoza kwa ubora duniani. “Hiyo ni zaidi ya ‘surprise’, kwa ubora wa vyombo vyangu nina imani ‘beat’ itakayotoka hapo itakuwa kwenye kiwango cha hali ya juu na kazi yetu itakuwa nzuri sana,” alimaliza. ### Response: BURUDANI ### End
  LONDON, ENGLAND UONGOZI wa klabu ya Crystal Palace, umethibitisha kumpa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya England, , akichukua nafasi ya Frank De Boer aliyefukuzwa kazi mapema wiki hii. De Boer amefukuzwa kazi baada ya timu hiyo kufungwa michezo yote minne ya Ligi Kuu nchini England tangu kufunguliwa kwa ligi, hivyo timu hiyo ikaamua kuvunja mkataba wake. Kocha huyo amefukuzwa ikiwa ni siku 77 tangu uongozi wa timu hiyo umpe jukumu la kuwa kocha mkuu kwa mara ya kwanza baada ya msimu uliopita kufukuzwa katika kikosi cha matajiri wa nchini Italia, Inter Milan. Baada ya Hodgson kusaini mkataba wenye thamani ya pauni milioni 2.5 kwa mwaka, alianza rasmi kibarua chake jana katika makao makuu yao ya Beckenham HQ. Hata hivyo, Crystal Palace wamesema wanaweza kumwongezea kocha huyo mpya kitita cha pauni milioni moja endapo ataifanya klabu hiyo ibakie kwenye michuano ya Ligi Kuu msimu huu. Hodgson ameamua kuongeza nguvu kwenye benchi lake la ufundi kwa kumchukua Ray Lewington, huku Sammy Lee ambaye alikuwa msaidizi wa Sam Allardyce na Frank de Boer, amewashiwa taa ya kijani kuwa anaweza kuondoka pamoja na wale wengine walikuwa chini ya kocha huyo. “Ninayo furaha kurudi katika klabu hii ambayo nilianza maisha yangu ya soka nikiwa na umri mdogo, leo hii nimerudi tena ni jambo la kujivunia kwangu, nashukuru kwa kunipa nafasi hii,” alisema Hodgson. Klabu ambazo amewahi kufundisha kocha huyo ni pamoja na Halmstad, Bristol City, Oddevold, Orebro, Malmo, Neuchatel Xamax, Switzerland, Inter Milan, Blackburn Rovers, Inter Milan, Grasshoppers, Copenhagen, Udinese, United Arab Emirates, Viking, Finland, Fulham, Liverpool, West Bromwich Albion na timu ya Taifa ya England.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --   LONDON, ENGLAND UONGOZI wa klabu ya Crystal Palace, umethibitisha kumpa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya England, , akichukua nafasi ya Frank De Boer aliyefukuzwa kazi mapema wiki hii. De Boer amefukuzwa kazi baada ya timu hiyo kufungwa michezo yote minne ya Ligi Kuu nchini England tangu kufunguliwa kwa ligi, hivyo timu hiyo ikaamua kuvunja mkataba wake. Kocha huyo amefukuzwa ikiwa ni siku 77 tangu uongozi wa timu hiyo umpe jukumu la kuwa kocha mkuu kwa mara ya kwanza baada ya msimu uliopita kufukuzwa katika kikosi cha matajiri wa nchini Italia, Inter Milan. Baada ya Hodgson kusaini mkataba wenye thamani ya pauni milioni 2.5 kwa mwaka, alianza rasmi kibarua chake jana katika makao makuu yao ya Beckenham HQ. Hata hivyo, Crystal Palace wamesema wanaweza kumwongezea kocha huyo mpya kitita cha pauni milioni moja endapo ataifanya klabu hiyo ibakie kwenye michuano ya Ligi Kuu msimu huu. Hodgson ameamua kuongeza nguvu kwenye benchi lake la ufundi kwa kumchukua Ray Lewington, huku Sammy Lee ambaye alikuwa msaidizi wa Sam Allardyce na Frank de Boer, amewashiwa taa ya kijani kuwa anaweza kuondoka pamoja na wale wengine walikuwa chini ya kocha huyo. “Ninayo furaha kurudi katika klabu hii ambayo nilianza maisha yangu ya soka nikiwa na umri mdogo, leo hii nimerudi tena ni jambo la kujivunia kwangu, nashukuru kwa kunipa nafasi hii,” alisema Hodgson. Klabu ambazo amewahi kufundisha kocha huyo ni pamoja na Halmstad, Bristol City, Oddevold, Orebro, Malmo, Neuchatel Xamax, Switzerland, Inter Milan, Blackburn Rovers, Inter Milan, Grasshoppers, Copenhagen, Udinese, United Arab Emirates, Viking, Finland, Fulham, Liverpool, West Bromwich Albion na timu ya Taifa ya England. ### Response: AFYA ### End
RAIS Dk John Magufuli amerejesha tamko kuhusu rasilimali na madeni yake katika Ofi si ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, huku sekretarieti hiyo ikisisitiza kuwabainisha waliowasilisha taarifa ndani ya muda na wale waliochelewa.Rais Magufuli kupitia Katibu wake, Ngusa Samike, aliwasilisha taarifa yake hiyo jana saa tano asubuhi katika Ofisi za Sekretarieti zilizopo Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais, Dar es Salaam na kupokelewa na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Jaji mstaafu Harold Nsekela.Rais Magufuli amewasilisha taarifa hiyo, huku kesho ikiwa ni siku ya mwisho kwa viongozi kurejesha fomu hizo kwa mujibu wa sheria, ambazo ndani yake wanapaswa kuainisha taarifa za mapato,rasilimali na madeni.Baada ya kupokea fomu za Rais Magufuli, Jaji mstaafu Nsekela alibainisha kuwa Rais Magufuli amerejesha zake kuhusu rasilimali na madeni akitekeleza matakwa hayo ya kisheria na kikatiba. Alisema uamuzi huo wa Rais Magufuli kuwasilisha taarifa za mali zake ni mfano wa kuigwa. Aliwataka waliobakia hadi kufikia kesho, ambayo ni siku ya mwisho ya uwasilishaji, wawe wametekeleza agizo hilo.Alisema Rais Magufuli aliwahi kumwagiza kuwa siku ya mwisho ya uwasilishwaji wa mali ikifika, anachopaswa kufanya ni kuchora mstari, utakaotenganisha waliowasilisha taarifa zao kwa wakati na waliochelewa.“Mimi sipo tayari kuwajibishwa, kazi yangu ni kupokea fomu za viongozi na kuzifanyia kazi kama inavyopaswa, hivyo ninaomba waliobakia wawasilishe taarifa husika haraka,” alisema Jaji Nsekela.Kwa mujibu wa Jaji Nsekela, asilimia 83 ya viongozi wa umma nchini, hawajarejesha Tamko la Rasilimali na Madeni, kama sherira inavyowaelekeza kufanya na kuwa waliorejesha fomu ya tamko ni asilimia 17 tu. Alisema viongozi wa umma ambao hawajajaza na kurejesha Tamko la Rasilimali na Madeni, idadi yao ni 11,330. Alisema Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba 13 ya Mwaka 1995 Kifungu 9(1) (a)-(c) inataka kila kiongozi kujaza tamko hilo.“Sheria hii pia inamtaka kila kiongozi wa umma kumpelekea Kamishna tamko la maandishi katika hati rasmi linaloorodhesha mali au rasilimali zake, mume au mke, watoto wenye umri usiozidi miaka 18 ambao hawajaoa wala kuolewa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (2) na kifungu cha (5) cha fungu hili,” alifafanua.Hivi karibuni, Jaji Nsekela aliwaambia waandishi wa habari jijini Dodoma kuwa hadi kufikia Desemba 20, mwaka huu, watumishi wa umma 2,369 tu kati ya 13,699 wanaopaswa kutoa taarifa za mali zao na madeni, walikuwa wamejaza na kurejesha fomu.Hivyo, bado watumishi 11,330 hadi kufikia hiyo Desemba 20. Hadi kufikia jana idadi imekuwa ikiongezeka. Jaji Nsekela alisisitiza kuwa ikifika siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu hizo, hatasita kuchora mstari ili waliochelewa wabainike na taratibu nyingine
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS Dk John Magufuli amerejesha tamko kuhusu rasilimali na madeni yake katika Ofi si ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, huku sekretarieti hiyo ikisisitiza kuwabainisha waliowasilisha taarifa ndani ya muda na wale waliochelewa.Rais Magufuli kupitia Katibu wake, Ngusa Samike, aliwasilisha taarifa yake hiyo jana saa tano asubuhi katika Ofisi za Sekretarieti zilizopo Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais, Dar es Salaam na kupokelewa na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Jaji mstaafu Harold Nsekela.Rais Magufuli amewasilisha taarifa hiyo, huku kesho ikiwa ni siku ya mwisho kwa viongozi kurejesha fomu hizo kwa mujibu wa sheria, ambazo ndani yake wanapaswa kuainisha taarifa za mapato,rasilimali na madeni.Baada ya kupokea fomu za Rais Magufuli, Jaji mstaafu Nsekela alibainisha kuwa Rais Magufuli amerejesha zake kuhusu rasilimali na madeni akitekeleza matakwa hayo ya kisheria na kikatiba. Alisema uamuzi huo wa Rais Magufuli kuwasilisha taarifa za mali zake ni mfano wa kuigwa. Aliwataka waliobakia hadi kufikia kesho, ambayo ni siku ya mwisho ya uwasilishaji, wawe wametekeleza agizo hilo.Alisema Rais Magufuli aliwahi kumwagiza kuwa siku ya mwisho ya uwasilishwaji wa mali ikifika, anachopaswa kufanya ni kuchora mstari, utakaotenganisha waliowasilisha taarifa zao kwa wakati na waliochelewa.“Mimi sipo tayari kuwajibishwa, kazi yangu ni kupokea fomu za viongozi na kuzifanyia kazi kama inavyopaswa, hivyo ninaomba waliobakia wawasilishe taarifa husika haraka,” alisema Jaji Nsekela.Kwa mujibu wa Jaji Nsekela, asilimia 83 ya viongozi wa umma nchini, hawajarejesha Tamko la Rasilimali na Madeni, kama sherira inavyowaelekeza kufanya na kuwa waliorejesha fomu ya tamko ni asilimia 17 tu. Alisema viongozi wa umma ambao hawajajaza na kurejesha Tamko la Rasilimali na Madeni, idadi yao ni 11,330. Alisema Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba 13 ya Mwaka 1995 Kifungu 9(1) (a)-(c) inataka kila kiongozi kujaza tamko hilo.“Sheria hii pia inamtaka kila kiongozi wa umma kumpelekea Kamishna tamko la maandishi katika hati rasmi linaloorodhesha mali au rasilimali zake, mume au mke, watoto wenye umri usiozidi miaka 18 ambao hawajaoa wala kuolewa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (2) na kifungu cha (5) cha fungu hili,” alifafanua.Hivi karibuni, Jaji Nsekela aliwaambia waandishi wa habari jijini Dodoma kuwa hadi kufikia Desemba 20, mwaka huu, watumishi wa umma 2,369 tu kati ya 13,699 wanaopaswa kutoa taarifa za mali zao na madeni, walikuwa wamejaza na kurejesha fomu.Hivyo, bado watumishi 11,330 hadi kufikia hiyo Desemba 20. Hadi kufikia jana idadi imekuwa ikiongezeka. Jaji Nsekela alisisitiza kuwa ikifika siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu hizo, hatasita kuchora mstari ili waliochelewa wabainike na taratibu nyingine ### Response: KITAIFA ### End
Na HAMISA MAGANGA, UTAFITI uliofanyika hivi majuzi umebaini kuwa kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kunaweza kusaidia nchi zinazoendelea kukuza uchumi kwa kuongeza mabilioni ya dola za Marekani. Hii ni kwa kupunguza kasi ya ukuaji wa idadi ya watu waliotegemezi, kuboresha elimu na afya kwa wasichana wadogo na watoto wao, kupunguza bajeti za serikali na kuongeza uwezo wa wanawake kujiongezea kipato. Ndoa za utotoni ni chanzo cha matatizo mbalimbali ya kijamii ikiwamo afya na kukosa elimu kwa wasichana wenyewe, ambapo tatizo hili pia huwakumba watoto wao na kizazi chao kwa ujumla. Wakati idadi ya wasichana walio chini ya umri wa miaka 18 wanaoolewa ikipungua katika miaka ya hivi karibuni, ikiwa ni mpango wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kukomesha ndoa za utotoni, juhudi hizo zimekwama katika nchi nyingi za Kiafrika na Kusini mwa Asia. Katika nchi hizo, ndoa za utotoni zimeshamiri. Mfano, nchini Niger asilimia 77 ya wasichana wenye umri kati ya miaka 18 na 22 wameolewa licha ya kuwapo mikakati mingi ya serikali kuondoa hali hiyo. Hali ilivyo duniani ni kwamba wasichana zaidi ya milioni 15 kila mwaka wanaolewa kabla ya umri wa miaka 18. Wanaharakati wanaopinga ndoa za utotoni wanasema Jumuiya ya Kimataifa inahitaji kutafuta njia mbadala za kumaliza tatizo hilo. Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya wanawake milioni 700 duniani waliolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18, zaidi ya theluthi moja waliolewa kabla ya miaka 15. Iwapo hatua madhubuti hazitachukuliwa, idadi ya ndoa za utotoni hasa katika nchi za Afrika zitaongezeka. Hivyo, Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa ifikapo mwaka 2050 wasichana wengi walio chini ya miaka 18 watakuwa majumbani bila shughuli zozote za kijamii. Ukweli ni kwamba, uwekezaji katika kumaliza ndoa za utotoni bado unasumbua nchi nyingi duniani. Ripoti mpya ya athari za kiuchumi zinazotokana na ndoa za utotoni iliyotolewa wiki iliyopita na Benki ya Dunia (WB) na Kituo cha Kimataifa cha Utafiti juu ya Wanawake (ICRW) imebainisha hali hiyo. Utafiti huo unatoa makadirio mapya ya kitaifa na kimataifa kwa kiasi cha fedha ambacho kinaweza kuokolewa iwapo tatizo hilo litakwisha. “Ndoa za utotoni si tu zinaathiri matumaini na ndoto za wasichana, bali piahuzuia juhudi za kukomesha umasikini na kufikia ukuaji wa uchumi na usawa,” anasema Quentin Wodon ambaye ni Mkurugenzi wa Mradi wa WB na mwandishi mwenza wa ripoti hiyo. Anasema; “kumaliza tatizo hili si tu jambo la haki na kimaadili, bali pia linalenga suala zima la kukuza uchumi.” Ripoti hiyo inatoa mfano kwamba nchini Niger faida inayoweza kupatikana kwa kupiga marufuku ndoa kwa watoto waliochini ya miaka 18 itafikia Dola za Marekani bilioni 1.7 ifikapo mwaka 2030; wakati nchini Ethiopia itakuwa Dola za Marekani bilioni 4.8 na karibu Dola za Marekani bilioni moja kwa upande wa Nepal. Hiyo inatokana na utafiti kuonesha kuwa wasichana wanaoolewa wakiwa na umri wa miaka 13  kwa ujumla wake- wana uwezekano wa kuongeza asilimia 26 zaidi idadi ya watoto wanaozaa kulinganisha na wale wanaoolewa wakiwa na umri wa miaka 18 au zaidi na hivyo kuongeza idadi ya watu tegemezi na madeni makubwa kwa serikali. Zaidi ya hayo, katika ngazi ya kimataifa, utafiti huo unabainisha kuwa iwapo ndoa za utotoni zingekoma mwaka 2015, uchumi wa dunia ungeongezeka kwa Dola za Marekani bilioni 566 ifikapo 2030; hii ni kutokana na nguvu kazi ambayo ingekuwapo. Sasa basi, tafiti mbalimbali zinahitajika ili kubaini gharama zinazotokana na ndoa za utotoni katika nchi zilizoendelea kama Marekani, ambako pia wanakabiliwa na tatizo hili, pamoja na nchi masikini ambako hali ni tete zaidi. Uchunguzi mpya wa ICRW na Utafiti wa WB, pia umebaini kuwa asilimia kubwa ya watoto walioolewa walilazimika kuacha masomo yao na hivyo kukatisha ndoto zao za kimaendeleo. Ndoa za utotoni pia zinahusishwa na matukio ya vifo vya watoto chini ya miaka 5 na hivyo kupoteza nguvu kazi ya taifa husika. Ripoti hiyo inaongeza kuwa maboresho katika umiliki wa ardhi, ushiriki wa wanawake katika uamuzi, pamoja na kupunguza unyanyasaji wa kijinsia – mambo ambayo yanachangiwa kwa namna moja au nyingine na ndoa za utotoni, yanaweza kusaidia kukuza uchumi wa nchi. “Matokeo ya gharama za kiuchumi yatasaidia kuleta majadiliano kuhusu kumaliza ndoa za utotoni katika nchi zinazoendelea,” anasema Lakshmi Sundaram, Mkurugenzi Mtendaji wa Wasichana wasioolewa. “Baadhi ya watu wanadhani kuwa ndoa za utotoni haziligharimu chochote taifa, lakini ripoti hii inaweka wazi ukubwa wa tatizo na mabilioni na trilioni za dola zinazopotea… hii inaweza kufungua majadiliano kwanini ni muhimu kwa wasichana kufanya uamuzi kuhusu maisha yao,”anasema. Naye Mkurugenzi wa Mradi wa ICRW na mwandishi mwenza wa ripoti hiyo, Suzanne Petroni anasema: “Umaskini, ukosefu wa usawa wa kijinsia, upatikanaji duni wa elimu bora, ukosefu wa huduma za afya ya uzazi, ukosefu wa fursa za ajira, kusaidia kuendeleza ndoa za utotoni na kuzaa kabla ya umri ni miongoni mwa mambo yanayochangia kudumaza uchumi.” Hali ilivyo Tanzania Suala la ndoa za utotoni Tanzania limesababisha idadi kubwa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 18 kukatisha masomo yao. Mwaka jana, Shirika lisilokuwa la kiserikali la Plan International lilifanya utafiti na kugundua kuwa nafasi ya watoto wa kike ulimwenguni haionekani machoni pa watu. Liligundua kuwa takwimu zinazowahusu watoto wa kike ziko nyuma ya wakati, hazijakamilika na wakati mwingine mapendekezo ya tafiti zake hayafanyiwi utekelezaji. Hapa nchini imeonekana hakuna takwimu sahihi zinazoonyesha uhalisia wa changamoto anazozipata mtoto wa kike kutokana na ndoa za utotoni, hivyo kusababisha thamani yake kushuka katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo ambapo madhara yake huonekana baadae akiwa mtu mzima. Akitoa ripoti hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi wa Mtoto kutoka shirika hilo kwa upande wa Tanzania, Jane Mrema anasema kiwango cha ndoa za utotoni kwa Tanznia kimefikia asilimia 36 ambacho ni kikubwa zaidi ya kiwango cha Dunia cha asilimia 34 na kwa hesabu za kimkoa ni asilimia 59 kwa kila mkoa. Utafiti huo ulifanyika kwa ushirikiano wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na mashirika yasiyo ya kiserikali likiwamo Plan International, Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF), Shirika la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Shirika linalohusiana na Utafiti na maendeleo ya Afya ya Wanawake (FORWARD) na Shirika la Utafiti juu ya Kupunguza Umasikini (REPOA). Ripoti ya utafiti huo ulioitwa Visababishi na Madhara ya Ndoa za Utotoni Nchini Tanzania, ulionyesha kuwa umasikini ndio sababu kubwa ya kuwapo kwa ndoa za utotoni. Baadhi ya mikoa ambayo wananchi walihojiwa wakati wa utafiti wamekubali kwa nguvu zote kuwa fedha zinazolipwa kwa ajili ya mahari ndizo zinazowasababisha kuwaoza watoto wao wakiwa bado wadogo. Utafiti huo unaonesha Mkoa wa Mara wananchi asilimia 59 wanakubalina na majibu ya utafiti huo wakati jijini Dar es Salaam asilimia 56, Dodoma asilimia 53, Lindi asilimia 52 na Tabora asilimia 51. Sababu nyingine ya ndoa za utotoni ni mtazamo wa tamaduni, mila na desturi baina ya jamii mbalimbali kuhusu miaka ya mtoto wa kike anayetakiwa kuolewa, unyago, ukeketaji pamoja na ngoma za asili zinazochangia watoto kuozwa mapema. Tafiti hizo zinaonyesha kuwa maeneo ya vijijini asilimia 18 ya wanawake wamekeketwa wakati mijini ni asilimia saba na mikoa inayoongoza na asilimia yake kwenye mabano ni Manyara (81) Dodoma (68), Arusha (55), Singida (43) na Mara (38). Aidha, asilimia 24 ya waliohojiwa mkoani Shinyanga na asilimia 20 mkoani Tabora wamesema mikoa hiyo ina kiwango kikubwa cha ndoa za watoto walio na umri chini ya miaka 18. Utafiti huo pia umegundua kuwa ukosefu wa elimu unasababisha wasichana kuingia kwenye ndoa wakiwa bado wadogo kiumri, hii inatokana na kushindwa kuendelea na masomo baada ya kumaliza elimu ya msingi ama kukatisha kabisa masomo yao kabla ya kuhitimu. Kutokana na utafiti huo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Plan International- Tanzania, Jorgen Haldorsen anasema: “Matokeo ya utafiti huo yanawapa mwongozo wa kujua sehemu zilizoathirika zaidi ili kuweka nguvu za kutosha na kufahamu namna mbalimbali za kutumia kuwafikia waathirika hao.” Naye Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anasema anapinga kwa vitendo ndoa na mimba za utotoni kwa kuwa ni changamoto kwa maendeleo ya Tanzania. “Tunataka Tanzania kuwa nchi ya viwanda, lakini hatutaweza kuwa na nchi yenye viwanda wakati watoto 36 katika kila watoto 100 nchini wanaolewa kabla ya kufikia umri wa miaka 18 na watoto 27 wa Kitanzania wanapata mimba kabla ya umri huo, hili ni tatizo kubwa ambalo athari zake zitaonekana baadaye”anasema Ummy. Katika kuhakikisha ndoa hizo zinakoma, ameanza kutumia marekebisho ya Sheria ya Elimu yaliyopitishwa na Bunge Juni 2016 ambayo yanakataza mtu yoyote kumuoa mtoto wa shule ya msingi au sekondari kwa kuwa ni kosa la jinai lenye adhabu ya miaka 30 jela. Pia, amewataka maafisa maendeleo ya jamii wa kila halmashauri kupita nyumba kwa nyumba kuwaibua wazazi wanaofanya vitendo hivyo na kuwasilisha taarifa hizo sehemu husika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sheria hiyo. Viongozi wa dini nao wanasisitiza suala la kusomesha watoto wa kike ili waweze kufahamu mabaya na mazuri hatimaye wajiepushe na vitendo viovu vikiwamo vya kudanganywa na kuingia katika mapenzi wakiwa na umri mdogo. Pia wanashauri kuangalia utaratibu wa kuwalea watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili nao waje kuwa wanawake wanaoweza kuleta maendeleo katika taifa lao. Hata hivyo, ili kulimaliza suala hili ni muhimu wazazi kuelimishwa juu ya madhara ya ndoa za utotoni. Mimba za utotoni nazo juu Takwimu zinaonesha kuwa tatizo la mimba za utotoni nchini limeongezeka kutoka asilimia 23 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 27 mwaka 2016/17. Sababu kubwa inatajwa kuwa ni ukosefu wa huduma pamoja na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 19. Takwimu hizo zilitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana- Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Venerose Mtenga wakati akizindua mradi wa ‘AMUA Innovation Accelerator, Sexual and Reproductive Health Challenge.’ Anasema: “Tatizo hili ni kubwa, mimba za utotoni bado changamoto hasa kwa vijana wa vijini kutokana kwamba hawajafikiwa na huduma au elimu ya afya ya uzazi.” Naye Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya, Dk. Felix Bundala anasema tatizo la mimba za utotoni limechangia kuongezeka kwa vifo vya kina mama na watoto ambapo kwa sasa takwimu zinaonyesha kuwa kati ya vizazi 100,000 kina mama zaidi ya 550 hupoteza maisha wakati kati ya watoto wachanga 1,000 watoto 25 hufariki dunia.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na HAMISA MAGANGA, UTAFITI uliofanyika hivi majuzi umebaini kuwa kumaliza tatizo la ndoa za utotoni kunaweza kusaidia nchi zinazoendelea kukuza uchumi kwa kuongeza mabilioni ya dola za Marekani. Hii ni kwa kupunguza kasi ya ukuaji wa idadi ya watu waliotegemezi, kuboresha elimu na afya kwa wasichana wadogo na watoto wao, kupunguza bajeti za serikali na kuongeza uwezo wa wanawake kujiongezea kipato. Ndoa za utotoni ni chanzo cha matatizo mbalimbali ya kijamii ikiwamo afya na kukosa elimu kwa wasichana wenyewe, ambapo tatizo hili pia huwakumba watoto wao na kizazi chao kwa ujumla. Wakati idadi ya wasichana walio chini ya umri wa miaka 18 wanaoolewa ikipungua katika miaka ya hivi karibuni, ikiwa ni mpango wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kukomesha ndoa za utotoni, juhudi hizo zimekwama katika nchi nyingi za Kiafrika na Kusini mwa Asia. Katika nchi hizo, ndoa za utotoni zimeshamiri. Mfano, nchini Niger asilimia 77 ya wasichana wenye umri kati ya miaka 18 na 22 wameolewa licha ya kuwapo mikakati mingi ya serikali kuondoa hali hiyo. Hali ilivyo duniani ni kwamba wasichana zaidi ya milioni 15 kila mwaka wanaolewa kabla ya umri wa miaka 18. Wanaharakati wanaopinga ndoa za utotoni wanasema Jumuiya ya Kimataifa inahitaji kutafuta njia mbadala za kumaliza tatizo hilo. Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya wanawake milioni 700 duniani waliolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18, zaidi ya theluthi moja waliolewa kabla ya miaka 15. Iwapo hatua madhubuti hazitachukuliwa, idadi ya ndoa za utotoni hasa katika nchi za Afrika zitaongezeka. Hivyo, Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa ifikapo mwaka 2050 wasichana wengi walio chini ya miaka 18 watakuwa majumbani bila shughuli zozote za kijamii. Ukweli ni kwamba, uwekezaji katika kumaliza ndoa za utotoni bado unasumbua nchi nyingi duniani. Ripoti mpya ya athari za kiuchumi zinazotokana na ndoa za utotoni iliyotolewa wiki iliyopita na Benki ya Dunia (WB) na Kituo cha Kimataifa cha Utafiti juu ya Wanawake (ICRW) imebainisha hali hiyo. Utafiti huo unatoa makadirio mapya ya kitaifa na kimataifa kwa kiasi cha fedha ambacho kinaweza kuokolewa iwapo tatizo hilo litakwisha. “Ndoa za utotoni si tu zinaathiri matumaini na ndoto za wasichana, bali piahuzuia juhudi za kukomesha umasikini na kufikia ukuaji wa uchumi na usawa,” anasema Quentin Wodon ambaye ni Mkurugenzi wa Mradi wa WB na mwandishi mwenza wa ripoti hiyo. Anasema; “kumaliza tatizo hili si tu jambo la haki na kimaadili, bali pia linalenga suala zima la kukuza uchumi.” Ripoti hiyo inatoa mfano kwamba nchini Niger faida inayoweza kupatikana kwa kupiga marufuku ndoa kwa watoto waliochini ya miaka 18 itafikia Dola za Marekani bilioni 1.7 ifikapo mwaka 2030; wakati nchini Ethiopia itakuwa Dola za Marekani bilioni 4.8 na karibu Dola za Marekani bilioni moja kwa upande wa Nepal. Hiyo inatokana na utafiti kuonesha kuwa wasichana wanaoolewa wakiwa na umri wa miaka 13  kwa ujumla wake- wana uwezekano wa kuongeza asilimia 26 zaidi idadi ya watoto wanaozaa kulinganisha na wale wanaoolewa wakiwa na umri wa miaka 18 au zaidi na hivyo kuongeza idadi ya watu tegemezi na madeni makubwa kwa serikali. Zaidi ya hayo, katika ngazi ya kimataifa, utafiti huo unabainisha kuwa iwapo ndoa za utotoni zingekoma mwaka 2015, uchumi wa dunia ungeongezeka kwa Dola za Marekani bilioni 566 ifikapo 2030; hii ni kutokana na nguvu kazi ambayo ingekuwapo. Sasa basi, tafiti mbalimbali zinahitajika ili kubaini gharama zinazotokana na ndoa za utotoni katika nchi zilizoendelea kama Marekani, ambako pia wanakabiliwa na tatizo hili, pamoja na nchi masikini ambako hali ni tete zaidi. Uchunguzi mpya wa ICRW na Utafiti wa WB, pia umebaini kuwa asilimia kubwa ya watoto walioolewa walilazimika kuacha masomo yao na hivyo kukatisha ndoto zao za kimaendeleo. Ndoa za utotoni pia zinahusishwa na matukio ya vifo vya watoto chini ya miaka 5 na hivyo kupoteza nguvu kazi ya taifa husika. Ripoti hiyo inaongeza kuwa maboresho katika umiliki wa ardhi, ushiriki wa wanawake katika uamuzi, pamoja na kupunguza unyanyasaji wa kijinsia – mambo ambayo yanachangiwa kwa namna moja au nyingine na ndoa za utotoni, yanaweza kusaidia kukuza uchumi wa nchi. “Matokeo ya gharama za kiuchumi yatasaidia kuleta majadiliano kuhusu kumaliza ndoa za utotoni katika nchi zinazoendelea,” anasema Lakshmi Sundaram, Mkurugenzi Mtendaji wa Wasichana wasioolewa. “Baadhi ya watu wanadhani kuwa ndoa za utotoni haziligharimu chochote taifa, lakini ripoti hii inaweka wazi ukubwa wa tatizo na mabilioni na trilioni za dola zinazopotea… hii inaweza kufungua majadiliano kwanini ni muhimu kwa wasichana kufanya uamuzi kuhusu maisha yao,”anasema. Naye Mkurugenzi wa Mradi wa ICRW na mwandishi mwenza wa ripoti hiyo, Suzanne Petroni anasema: “Umaskini, ukosefu wa usawa wa kijinsia, upatikanaji duni wa elimu bora, ukosefu wa huduma za afya ya uzazi, ukosefu wa fursa za ajira, kusaidia kuendeleza ndoa za utotoni na kuzaa kabla ya umri ni miongoni mwa mambo yanayochangia kudumaza uchumi.” Hali ilivyo Tanzania Suala la ndoa za utotoni Tanzania limesababisha idadi kubwa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 18 kukatisha masomo yao. Mwaka jana, Shirika lisilokuwa la kiserikali la Plan International lilifanya utafiti na kugundua kuwa nafasi ya watoto wa kike ulimwenguni haionekani machoni pa watu. Liligundua kuwa takwimu zinazowahusu watoto wa kike ziko nyuma ya wakati, hazijakamilika na wakati mwingine mapendekezo ya tafiti zake hayafanyiwi utekelezaji. Hapa nchini imeonekana hakuna takwimu sahihi zinazoonyesha uhalisia wa changamoto anazozipata mtoto wa kike kutokana na ndoa za utotoni, hivyo kusababisha thamani yake kushuka katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo ambapo madhara yake huonekana baadae akiwa mtu mzima. Akitoa ripoti hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi wa Mtoto kutoka shirika hilo kwa upande wa Tanzania, Jane Mrema anasema kiwango cha ndoa za utotoni kwa Tanznia kimefikia asilimia 36 ambacho ni kikubwa zaidi ya kiwango cha Dunia cha asilimia 34 na kwa hesabu za kimkoa ni asilimia 59 kwa kila mkoa. Utafiti huo ulifanyika kwa ushirikiano wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na mashirika yasiyo ya kiserikali likiwamo Plan International, Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF), Shirika la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Shirika linalohusiana na Utafiti na maendeleo ya Afya ya Wanawake (FORWARD) na Shirika la Utafiti juu ya Kupunguza Umasikini (REPOA). Ripoti ya utafiti huo ulioitwa Visababishi na Madhara ya Ndoa za Utotoni Nchini Tanzania, ulionyesha kuwa umasikini ndio sababu kubwa ya kuwapo kwa ndoa za utotoni. Baadhi ya mikoa ambayo wananchi walihojiwa wakati wa utafiti wamekubali kwa nguvu zote kuwa fedha zinazolipwa kwa ajili ya mahari ndizo zinazowasababisha kuwaoza watoto wao wakiwa bado wadogo. Utafiti huo unaonesha Mkoa wa Mara wananchi asilimia 59 wanakubalina na majibu ya utafiti huo wakati jijini Dar es Salaam asilimia 56, Dodoma asilimia 53, Lindi asilimia 52 na Tabora asilimia 51. Sababu nyingine ya ndoa za utotoni ni mtazamo wa tamaduni, mila na desturi baina ya jamii mbalimbali kuhusu miaka ya mtoto wa kike anayetakiwa kuolewa, unyago, ukeketaji pamoja na ngoma za asili zinazochangia watoto kuozwa mapema. Tafiti hizo zinaonyesha kuwa maeneo ya vijijini asilimia 18 ya wanawake wamekeketwa wakati mijini ni asilimia saba na mikoa inayoongoza na asilimia yake kwenye mabano ni Manyara (81) Dodoma (68), Arusha (55), Singida (43) na Mara (38). Aidha, asilimia 24 ya waliohojiwa mkoani Shinyanga na asilimia 20 mkoani Tabora wamesema mikoa hiyo ina kiwango kikubwa cha ndoa za watoto walio na umri chini ya miaka 18. Utafiti huo pia umegundua kuwa ukosefu wa elimu unasababisha wasichana kuingia kwenye ndoa wakiwa bado wadogo kiumri, hii inatokana na kushindwa kuendelea na masomo baada ya kumaliza elimu ya msingi ama kukatisha kabisa masomo yao kabla ya kuhitimu. Kutokana na utafiti huo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Plan International- Tanzania, Jorgen Haldorsen anasema: “Matokeo ya utafiti huo yanawapa mwongozo wa kujua sehemu zilizoathirika zaidi ili kuweka nguvu za kutosha na kufahamu namna mbalimbali za kutumia kuwafikia waathirika hao.” Naye Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anasema anapinga kwa vitendo ndoa na mimba za utotoni kwa kuwa ni changamoto kwa maendeleo ya Tanzania. “Tunataka Tanzania kuwa nchi ya viwanda, lakini hatutaweza kuwa na nchi yenye viwanda wakati watoto 36 katika kila watoto 100 nchini wanaolewa kabla ya kufikia umri wa miaka 18 na watoto 27 wa Kitanzania wanapata mimba kabla ya umri huo, hili ni tatizo kubwa ambalo athari zake zitaonekana baadaye”anasema Ummy. Katika kuhakikisha ndoa hizo zinakoma, ameanza kutumia marekebisho ya Sheria ya Elimu yaliyopitishwa na Bunge Juni 2016 ambayo yanakataza mtu yoyote kumuoa mtoto wa shule ya msingi au sekondari kwa kuwa ni kosa la jinai lenye adhabu ya miaka 30 jela. Pia, amewataka maafisa maendeleo ya jamii wa kila halmashauri kupita nyumba kwa nyumba kuwaibua wazazi wanaofanya vitendo hivyo na kuwasilisha taarifa hizo sehemu husika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sheria hiyo. Viongozi wa dini nao wanasisitiza suala la kusomesha watoto wa kike ili waweze kufahamu mabaya na mazuri hatimaye wajiepushe na vitendo viovu vikiwamo vya kudanganywa na kuingia katika mapenzi wakiwa na umri mdogo. Pia wanashauri kuangalia utaratibu wa kuwalea watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili nao waje kuwa wanawake wanaoweza kuleta maendeleo katika taifa lao. Hata hivyo, ili kulimaliza suala hili ni muhimu wazazi kuelimishwa juu ya madhara ya ndoa za utotoni. Mimba za utotoni nazo juu Takwimu zinaonesha kuwa tatizo la mimba za utotoni nchini limeongezeka kutoka asilimia 23 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 27 mwaka 2016/17. Sababu kubwa inatajwa kuwa ni ukosefu wa huduma pamoja na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 19. Takwimu hizo zilitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana- Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Venerose Mtenga wakati akizindua mradi wa ‘AMUA Innovation Accelerator, Sexual and Reproductive Health Challenge.’ Anasema: “Tatizo hili ni kubwa, mimba za utotoni bado changamoto hasa kwa vijana wa vijini kutokana kwamba hawajafikiwa na huduma au elimu ya afya ya uzazi.” Naye Kaimu Mkurugenzi wa Afya ya Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya, Dk. Felix Bundala anasema tatizo la mimba za utotoni limechangia kuongezeka kwa vifo vya kina mama na watoto ambapo kwa sasa takwimu zinaonyesha kuwa kati ya vizazi 100,000 kina mama zaidi ya 550 hupoteza maisha wakati kati ya watoto wachanga 1,000 watoto 25 hufariki dunia. ### Response: AFYA ### End
JEREMIA ERNEST Muigizaji wa vichekesho nchini, Gladness Kifaluka ‘Pili’ amegawa vifaa na vitakasa mikono kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya mapafu unayosababishwa na virusi vya corona. Msanii huyo anayefanya vizuri kwa sasa katika tasnia kupitia kipindi chake cha Kitim tim amesema ameona ni vema kugawana na jamii kidogo alichonacho katika kpindi cha janga hili kubwa. Gladness ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 30, alipokuwa akiazungumza na waandishi wa habari katika ofisi za serekali ya mtaa wa Makumbusho. “Tunashukuru nchini kwetu bado tuna nafasi ya kufanyia kazi sio kama wenzetu leo nimeamua kuja kugawa vifaa vya kujikinga na ugonjwa huu kwa watu ambao bado hawajavipata,” amesema Gladness. Aidha ameishukuru serikali kwa hatua mbazo imechukua ili kuinusuru jamii na janga hilo pia ametoa rai kwa makampuni na watu binafsi wenye uwezo kusaidia watu ambao hawana kwa kipindi hiki cha mpito.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JEREMIA ERNEST Muigizaji wa vichekesho nchini, Gladness Kifaluka ‘Pili’ amegawa vifaa na vitakasa mikono kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya mapafu unayosababishwa na virusi vya corona. Msanii huyo anayefanya vizuri kwa sasa katika tasnia kupitia kipindi chake cha Kitim tim amesema ameona ni vema kugawana na jamii kidogo alichonacho katika kpindi cha janga hili kubwa. Gladness ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 30, alipokuwa akiazungumza na waandishi wa habari katika ofisi za serekali ya mtaa wa Makumbusho. “Tunashukuru nchini kwetu bado tuna nafasi ya kufanyia kazi sio kama wenzetu leo nimeamua kuja kugawa vifaa vya kujikinga na ugonjwa huu kwa watu ambao bado hawajavipata,” amesema Gladness. Aidha ameishukuru serikali kwa hatua mbazo imechukua ili kuinusuru jamii na janga hilo pia ametoa rai kwa makampuni na watu binafsi wenye uwezo kusaidia watu ambao hawana kwa kipindi hiki cha mpito. ### Response: BURUDANI ### End
TANZANIA inaongoza kwa kuwa na tozo zenye gharama nafuu kwenye matumizi ya data pamoja na maudhui katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), imeelezwa.Hali hiyo inatokana na uwepo wa Mkongo wa Taifa ambao umesaidia kupunguza gharama za mawasiliano ambapo kwa sasa watumiaji wa data hutozwa Sh 10 kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mawasiliano), Atashasta Nditiye wakati akifungua Mkutano wa Kimataifa uliokutanisha Mamlaka za Udhibiti wa Mawasiliano (CRASA).Nditiye alisema katika nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na SADC, Tanzania ndio huduma zake za data zipo chini. “Mkongo wa Taifa ambao upo karibu mikoa yote ndio umesaidia kupunguza gharama na nchi kutoka nje wamekuwa wakija kujifunza namna ya uendeshaji wake,” alisema Nditiye. Aliongeza kuwa wananchi wanaweza kuwasiliana kwa gharama nafuu na kwamba malipo wanayoyafanya ni kwa ajili ya kuchangia katika uwekezaji uliofanyika. Pia alisema gharama wanazotozwa waendeshaji wa maudhui na blogs zipo chini na kwamba zinaendana na usalama wa Watanzania. “Gharama tunazotoza ni kwa sababu tunahitaji watu wasivuruge maadili ya Tanzania bali wajifunze matumizi bora ya mawasiliano,” alisisitiza.Naibu Waziri huyo alisema wanashirikiana na jumuiya hiyo katika masuala ya uhalifu wa mtandao, utangazaji wa luninga na redio na kuhakikisha tozo za mawasiliano zinakuwa nafuu ili wananchi wanufaike. Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba alisema wamekutana kwa lengo la kupitia changamoto na maendeleo ya mawasiliano katika jumuiya hiyo.Kilaba alisema malengo ya mkutano huo, pamoja na mambo mengine watajadiliana namna ya kuweka uwiano katika tozo na kushughulikia masuala ya mawasiliano kwa ujumla. “Tunataka kuwa na nchi ya viwanda, hivyo ni lazima mawasiliano ya Tehama yawepo na yawe salama kuanzia miundombinu, mitandao na watumiaji,” alisema Kilaba.Aliongeza kuwa kwa kuhakikisha usalama wa mitandao na watumiaji wanahakikisha kuwa wanawatambua watumiaji wote wa simu kwa kuwasajili. Kilaba alieleza kuwa si rahisi kwa jumuiya hiyo kuwa na kanuni moja ya kudhibiti mawasiliano badala yake wanaweka miongozo ambayo kila nchi wanachama wanapaswa kuifuata.“Bado kuna changamoto ya elimu kwa watumiaji wa mawasiliano nchini kwani wengi hawajui namna ya kutumia simu zao hivyo hujikuta wakiingia kwenye matumizi mabaya kwa kutuma picha au video zisizofaa bila wenyewe kujua. Hivyo, tunaomba kila mtu ajue matumizi ya simu kabla ya kuanzia kutumia hii itasaidia kupunguza makosa,” alifafanua.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TANZANIA inaongoza kwa kuwa na tozo zenye gharama nafuu kwenye matumizi ya data pamoja na maudhui katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), imeelezwa.Hali hiyo inatokana na uwepo wa Mkongo wa Taifa ambao umesaidia kupunguza gharama za mawasiliano ambapo kwa sasa watumiaji wa data hutozwa Sh 10 kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine. Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mawasiliano), Atashasta Nditiye wakati akifungua Mkutano wa Kimataifa uliokutanisha Mamlaka za Udhibiti wa Mawasiliano (CRASA).Nditiye alisema katika nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na SADC, Tanzania ndio huduma zake za data zipo chini. “Mkongo wa Taifa ambao upo karibu mikoa yote ndio umesaidia kupunguza gharama na nchi kutoka nje wamekuwa wakija kujifunza namna ya uendeshaji wake,” alisema Nditiye. Aliongeza kuwa wananchi wanaweza kuwasiliana kwa gharama nafuu na kwamba malipo wanayoyafanya ni kwa ajili ya kuchangia katika uwekezaji uliofanyika. Pia alisema gharama wanazotozwa waendeshaji wa maudhui na blogs zipo chini na kwamba zinaendana na usalama wa Watanzania. “Gharama tunazotoza ni kwa sababu tunahitaji watu wasivuruge maadili ya Tanzania bali wajifunze matumizi bora ya mawasiliano,” alisisitiza.Naibu Waziri huyo alisema wanashirikiana na jumuiya hiyo katika masuala ya uhalifu wa mtandao, utangazaji wa luninga na redio na kuhakikisha tozo za mawasiliano zinakuwa nafuu ili wananchi wanufaike. Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba alisema wamekutana kwa lengo la kupitia changamoto na maendeleo ya mawasiliano katika jumuiya hiyo.Kilaba alisema malengo ya mkutano huo, pamoja na mambo mengine watajadiliana namna ya kuweka uwiano katika tozo na kushughulikia masuala ya mawasiliano kwa ujumla. “Tunataka kuwa na nchi ya viwanda, hivyo ni lazima mawasiliano ya Tehama yawepo na yawe salama kuanzia miundombinu, mitandao na watumiaji,” alisema Kilaba.Aliongeza kuwa kwa kuhakikisha usalama wa mitandao na watumiaji wanahakikisha kuwa wanawatambua watumiaji wote wa simu kwa kuwasajili. Kilaba alieleza kuwa si rahisi kwa jumuiya hiyo kuwa na kanuni moja ya kudhibiti mawasiliano badala yake wanaweka miongozo ambayo kila nchi wanachama wanapaswa kuifuata.“Bado kuna changamoto ya elimu kwa watumiaji wa mawasiliano nchini kwani wengi hawajui namna ya kutumia simu zao hivyo hujikuta wakiingia kwenye matumizi mabaya kwa kutuma picha au video zisizofaa bila wenyewe kujua. Hivyo, tunaomba kila mtu ajue matumizi ya simu kabla ya kuanzia kutumia hii itasaidia kupunguza makosa,” alifafanua. ### Response: KITAIFA ### End
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Chemba na kutaka juhudi zaidi ili ifikapo Juni mwaka huu, awe amekabidhiwa majengo hayo.Pia amesema fedha za mradi huo kiasi cha Sh bilioni 1.5 ni kaa la moto asitokee mtu akazitamani.Dk Mahenge alisema hayo wakati alipotembelea kukagua ujenzi huo na kusisitiza kuwa lengo la serikali ni kuona ujenzi huo unakamilika kwa haraka ili wananchi wapate matibabu.“Usitamani wala kuziangalia zimekuja kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Chemba,” amesema.Ujenzi huo unahusisha jengo la utawala, mapokezi, jengo la dawa, maabara, wazazi, mionzi na kufulia. Dk Mahenge alisema serikali ilitoa Sh bilioni 1.5 na kutaka fedha hizo zitumike kwa kazi iliyokusudiwa.“Taarifa za mradi ziwekwe sawa sawa, fedha za matumizi na fedha za ujenzi, mkuu wa wilaya, mkurugenzi na wataalamu wakae kwa pamoja waone ujenzi was hospitali hiyo unaendaje, maelekezo ya serikali majengo yote ya serikali yawe tayari mwezi wa sita,” alisema.Alisema serikali imetoa fedha ni wajibu wait kuzisimamia na kuwataka kufanya kazi hiyo bila kuvutana.Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Maduka Kessy alisema alitaka kamati yote ya usimamizi wa ujenzi huo, wajumbe wake wapewe hadidu za rejea ili wasiyumbushwe kwa sababu rejea ni mustakabali wa shughuli za kufanya. Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga alisema wilaya hiyo ina vijiji 114, kabla ya kuanza ujenzi huo walikubaliana wananchi wore washiriki.“Tulikubaliana vijiji vilivyo karibu na makao makuu ya wilaya ambapo kuna kata za Chemba, Mpakanga, Kidoka na Gwandi, tuliwaomba wajumbe waliochaguliwa washiriki kwenye kamati,” alisema Odunga.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba, Dk Semistatus Mashimba alisema vifaa vya ujenzi na manunuzi yanafanyika kulingana na utaratibu uliowekwa.Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Deogratius Masini alisema awamu ya kwanza walipokea Sh milioni 500 na awamu ya pili wamepokea bilioni mmoja.Alisema baada ya kupokea fedha hizo walilenga kufanya kazi kwa kutumia force account ambayo wananchi wanashiriki katika kazi za ujenzi kwa kutumia nguvu zao.Alisema ekari 60 zimepimwa kwa ajili ya ujenzi huo na ujenzi unaendelea. Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Chemba, Filomena Bango alisema majengo matatu yako katika hatua ya jamvi, na majengo manne yako katika hatua ya kuweka mawe.Alisema hadi sasa fedha zilizotumika ni Sh milioni 284.2.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Chemba na kutaka juhudi zaidi ili ifikapo Juni mwaka huu, awe amekabidhiwa majengo hayo.Pia amesema fedha za mradi huo kiasi cha Sh bilioni 1.5 ni kaa la moto asitokee mtu akazitamani.Dk Mahenge alisema hayo wakati alipotembelea kukagua ujenzi huo na kusisitiza kuwa lengo la serikali ni kuona ujenzi huo unakamilika kwa haraka ili wananchi wapate matibabu.“Usitamani wala kuziangalia zimekuja kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Chemba,” amesema.Ujenzi huo unahusisha jengo la utawala, mapokezi, jengo la dawa, maabara, wazazi, mionzi na kufulia. Dk Mahenge alisema serikali ilitoa Sh bilioni 1.5 na kutaka fedha hizo zitumike kwa kazi iliyokusudiwa.“Taarifa za mradi ziwekwe sawa sawa, fedha za matumizi na fedha za ujenzi, mkuu wa wilaya, mkurugenzi na wataalamu wakae kwa pamoja waone ujenzi was hospitali hiyo unaendaje, maelekezo ya serikali majengo yote ya serikali yawe tayari mwezi wa sita,” alisema.Alisema serikali imetoa fedha ni wajibu wait kuzisimamia na kuwataka kufanya kazi hiyo bila kuvutana.Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Maduka Kessy alisema alitaka kamati yote ya usimamizi wa ujenzi huo, wajumbe wake wapewe hadidu za rejea ili wasiyumbushwe kwa sababu rejea ni mustakabali wa shughuli za kufanya. Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga alisema wilaya hiyo ina vijiji 114, kabla ya kuanza ujenzi huo walikubaliana wananchi wore washiriki.“Tulikubaliana vijiji vilivyo karibu na makao makuu ya wilaya ambapo kuna kata za Chemba, Mpakanga, Kidoka na Gwandi, tuliwaomba wajumbe waliochaguliwa washiriki kwenye kamati,” alisema Odunga.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba, Dk Semistatus Mashimba alisema vifaa vya ujenzi na manunuzi yanafanyika kulingana na utaratibu uliowekwa.Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Deogratius Masini alisema awamu ya kwanza walipokea Sh milioni 500 na awamu ya pili wamepokea bilioni mmoja.Alisema baada ya kupokea fedha hizo walilenga kufanya kazi kwa kutumia force account ambayo wananchi wanashiriki katika kazi za ujenzi kwa kutumia nguvu zao.Alisema ekari 60 zimepimwa kwa ajili ya ujenzi huo na ujenzi unaendelea. Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Chemba, Filomena Bango alisema majengo matatu yako katika hatua ya jamvi, na majengo manne yako katika hatua ya kuweka mawe.Alisema hadi sasa fedha zilizotumika ni Sh milioni 284.2. ### Response: KITAIFA ### End
POLISI mkoani Morogoro inamsaka mkazi wa Dar es Salaam anayefahamika kwa jina moja la Msambaa, baada ya kutoroka kutokana na tuhuma za kumuua mzazi mwenzake, Zuhura Gabriel Chunga (27).‘Msambaa’ anatuhumiwa kumuua Zuhura ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Mkula wilayani Kilombero, baada ya kumchoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili na kufariki dunia kutokana na kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Wilbroad Mutafungwa alisema mauaji hayo yamefanyika saa 10 alfajiri ya Desemba 25, mwaka huu katika Kijiji cha Mkula, baada ya mwanamume huyo mkazi huyo wa jijini Dar es Salaam kudaiwa kumuua kwa kumchoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili Zuhura ambaye ni mkulima mkazi wa Mkula.Kamanda Mutafungwa alisema chanzo cha mauaji hayo kinadaiwa ni wivu wa mapenzi, na mtuhumiwa alitoroka baada ya kufanya mauaji. Mwili wa marehemu umehifadhiwa ukisubiri kufanyiwa uchunguzi na daktari. Alisema Polisi inaendelea na upelelezi pamoja na msako mkali ili kuhakikisha mtuhumiwa anatiwa mbaroni.Kuhusu jitihada mbalimbali za kuzuia, kupambana na uhalifu na kudhibiti makosa ya usalama barabarani zilizofanyika kuanzia Desemba 24, mwaka huu, alisema zimekamatwa dawa za kulevya aina ya heroine gramu 19.5 na mtuhumiwa mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kosa la kusambaza dawa za kulevya.Katika hatua nyingine, alisema jumla ya magari 558 na madereva wake wamekamatwa kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya usalama barabarani na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kulipa tozo (adhabu). Alisema licha ya magari, pia pikipiki 79 na madereva wake walikamatwa ndani ya siku tatu kutokana na kufanya makosa mbalimbali yakiwemo ya kutovaa kofia ngumu na walichukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kulipa tozo (adhabu) na kufikishwa mahakamani.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- POLISI mkoani Morogoro inamsaka mkazi wa Dar es Salaam anayefahamika kwa jina moja la Msambaa, baada ya kutoroka kutokana na tuhuma za kumuua mzazi mwenzake, Zuhura Gabriel Chunga (27).‘Msambaa’ anatuhumiwa kumuua Zuhura ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Mkula wilayani Kilombero, baada ya kumchoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili na kufariki dunia kutokana na kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Wilbroad Mutafungwa alisema mauaji hayo yamefanyika saa 10 alfajiri ya Desemba 25, mwaka huu katika Kijiji cha Mkula, baada ya mwanamume huyo mkazi huyo wa jijini Dar es Salaam kudaiwa kumuua kwa kumchoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili Zuhura ambaye ni mkulima mkazi wa Mkula.Kamanda Mutafungwa alisema chanzo cha mauaji hayo kinadaiwa ni wivu wa mapenzi, na mtuhumiwa alitoroka baada ya kufanya mauaji. Mwili wa marehemu umehifadhiwa ukisubiri kufanyiwa uchunguzi na daktari. Alisema Polisi inaendelea na upelelezi pamoja na msako mkali ili kuhakikisha mtuhumiwa anatiwa mbaroni.Kuhusu jitihada mbalimbali za kuzuia, kupambana na uhalifu na kudhibiti makosa ya usalama barabarani zilizofanyika kuanzia Desemba 24, mwaka huu, alisema zimekamatwa dawa za kulevya aina ya heroine gramu 19.5 na mtuhumiwa mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kosa la kusambaza dawa za kulevya.Katika hatua nyingine, alisema jumla ya magari 558 na madereva wake wamekamatwa kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya usalama barabarani na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kulipa tozo (adhabu). Alisema licha ya magari, pia pikipiki 79 na madereva wake walikamatwa ndani ya siku tatu kutokana na kufanya makosa mbalimbali yakiwemo ya kutovaa kofia ngumu na walichukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kulipa tozo (adhabu) na kufikishwa mahakamani. ### Response: KITAIFA ### End
RAIS John Magufuli amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thaddeus Ruwa’ichi anayepatiwa matibabu katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)Askofu Ruwa’ichi alianza kutibiwa mjini Moshi katika Hospitali ya KCMC kabla ya kupelekwa Muhimbili kwa ajili ya upasuaji wa kichwa.Daktari mbobezi wa mishipa ya fahamu, Prof. Joseph Kahamba amesema kuwa hali ya Askofu Ruwa’ichi inaendelea kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji huo.Akimjulia hali, Rais Magufuli ameungana na jopo la madaktari na wauguzi wa taasisi hiyo kumwombea Askofu Ruwa’ichi   afya yake izidi kuimarika ili aendelee na majukumu yake ya siku zote.Akiwa katika chumba cha wagonjwa wenye uangalizi maalumu, Rais Magufuli amewatembelea wagonjwa mbalimbali waliofanyiwa upasuaji wa kichwa na kuridhika na utoaji wa huduma katika taasisi hiyo. Ambayo inatoa huduma kubwa za upasuaji ambazo hazikuwepo hapo awali ya uanzishwaji wake.Prof Kahamba amemshukuru Rais kwa uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika taasisi hiyo kwa miaka mitatu ikiwemo, ujenzi wa jengo,vitanda katika vyumba vya upasuaji na ICU, vifaa vipya vya uchunguzi, kama vile MRI, CT-Scan, X-ray ya kisasa,pamoja na ultrasound.Hata hivyo, mkuu huyo wa nchi amewapongeza madaktari na wauguzi hospitalini kwa kazi kubwa wanayoifanya huku akiahidi kutoa 1.5bn / - kwa taasisi hiyo kununua viungo vya bandia kwa wagonjwa wanaoendelea kupokea matibabu hospitalini hapo.Taarifa zaidi kuchapishwa katika gazeti la HabariLeo siku ya Alhamisi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS John Magufuli amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thaddeus Ruwa’ichi anayepatiwa matibabu katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)Askofu Ruwa’ichi alianza kutibiwa mjini Moshi katika Hospitali ya KCMC kabla ya kupelekwa Muhimbili kwa ajili ya upasuaji wa kichwa.Daktari mbobezi wa mishipa ya fahamu, Prof. Joseph Kahamba amesema kuwa hali ya Askofu Ruwa’ichi inaendelea kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji huo.Akimjulia hali, Rais Magufuli ameungana na jopo la madaktari na wauguzi wa taasisi hiyo kumwombea Askofu Ruwa’ichi   afya yake izidi kuimarika ili aendelee na majukumu yake ya siku zote.Akiwa katika chumba cha wagonjwa wenye uangalizi maalumu, Rais Magufuli amewatembelea wagonjwa mbalimbali waliofanyiwa upasuaji wa kichwa na kuridhika na utoaji wa huduma katika taasisi hiyo. Ambayo inatoa huduma kubwa za upasuaji ambazo hazikuwepo hapo awali ya uanzishwaji wake.Prof Kahamba amemshukuru Rais kwa uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika taasisi hiyo kwa miaka mitatu ikiwemo, ujenzi wa jengo,vitanda katika vyumba vya upasuaji na ICU, vifaa vipya vya uchunguzi, kama vile MRI, CT-Scan, X-ray ya kisasa,pamoja na ultrasound.Hata hivyo, mkuu huyo wa nchi amewapongeza madaktari na wauguzi hospitalini kwa kazi kubwa wanayoifanya huku akiahidi kutoa 1.5bn / - kwa taasisi hiyo kununua viungo vya bandia kwa wagonjwa wanaoendelea kupokea matibabu hospitalini hapo.Taarifa zaidi kuchapishwa katika gazeti la HabariLeo siku ya Alhamisi. ### Response: KITAIFA ### End
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kutoa mikopo kwa wanafunzi na kutangaza orodha ya awamu ya kwanza yenye wanafunzi 30,675 wa mwaka wa kwanza wa masomo 2019/2020 waliopata mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 113.5.Tayari katika bajeti ya mwaka huu, serikali ilitenga Sh bilioni 450 zitakazowanufaisha wanafunzi 128,285 kati yao, zaidi ya 45,000 ni wa mwaka wa kwanza na wengine 83,285 ni wenye mikopo wanaoendelea na masomo.Akizungumza na wanahabari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo, Abdul- Razaq Badru alisema pamoja na awamu hiyo ya kwanza awamu nyingine ya wanafunzi iliyobakia itatangazwa kupatiwa mikopo yao kabla ya mwisho wa wiki ijayo.“Hawa tutajumuisha na wale wengine waliobaki ambao tumewapa muda wa kurekebisha taarifa zao na fedha zao zitatumwa vyuoni mapema kabla ya vyuo havijafunguliwa,” alisisitiza.“Hawa wanafunzi 30,675 tumejiridhisha na vigezo na fedha zao tayari tunazo kesho (leo) tunaanza kuzisambaza kwa vyuo husika kwa kuwa serikali imeshatukabidhi Sh bilioni 125 tulizoomba kwa malipo ya kati ya Oktoba hadi Desemba, mwaka huu,” alisema Badru.Alisema kati ya wanafunzi hao wa awamu ya kwanza, makundi maalumu yenye uhitaji yamepewa kipaumbele ambao ni wanafunzi 6,142 yatima au waliopoteza mzazi mmoja, wanafunzi wenye ulemavu 280 na wanaotoka kwenye kaya zinazofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) 277.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kutoa mikopo kwa wanafunzi na kutangaza orodha ya awamu ya kwanza yenye wanafunzi 30,675 wa mwaka wa kwanza wa masomo 2019/2020 waliopata mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 113.5.Tayari katika bajeti ya mwaka huu, serikali ilitenga Sh bilioni 450 zitakazowanufaisha wanafunzi 128,285 kati yao, zaidi ya 45,000 ni wa mwaka wa kwanza na wengine 83,285 ni wenye mikopo wanaoendelea na masomo.Akizungumza na wanahabari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo, Abdul- Razaq Badru alisema pamoja na awamu hiyo ya kwanza awamu nyingine ya wanafunzi iliyobakia itatangazwa kupatiwa mikopo yao kabla ya mwisho wa wiki ijayo.“Hawa tutajumuisha na wale wengine waliobaki ambao tumewapa muda wa kurekebisha taarifa zao na fedha zao zitatumwa vyuoni mapema kabla ya vyuo havijafunguliwa,” alisisitiza.“Hawa wanafunzi 30,675 tumejiridhisha na vigezo na fedha zao tayari tunazo kesho (leo) tunaanza kuzisambaza kwa vyuo husika kwa kuwa serikali imeshatukabidhi Sh bilioni 125 tulizoomba kwa malipo ya kati ya Oktoba hadi Desemba, mwaka huu,” alisema Badru.Alisema kati ya wanafunzi hao wa awamu ya kwanza, makundi maalumu yenye uhitaji yamepewa kipaumbele ambao ni wanafunzi 6,142 yatima au waliopoteza mzazi mmoja, wanafunzi wenye ulemavu 280 na wanaotoka kwenye kaya zinazofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) 277. ### Response: KITAIFA ### End
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamerejea kwenye ushindi na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya African Lyon kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jana.Ushindi huo umewafanya Yanga kusahihisha makosa baada ya kupoteza pointi nne katika michezo wiwili iliyopita ya ligi hiyo na sasa wamefikisha pointi 71 baada ya kucheza michezo 30. Katika mchezo huo ambao Yanga ndio ilikuwa mwenyeji, mshambuliaji wa kimataifa wa Congo, Heritier Makambo ndiye aliyekuwa shujaa kwa kufunga mabao yote mawili moja katika dakika ya 5 na lingine dakika ya 31 akitumia vyema udhaifu wa safu ya ulinzi ya wapinzani wao.Mabao hayo yamemfanya Makambo kufikisha mabao 14 na kuendelea kutia presha kwa wanaongoza kwenye mbio ufungaji ambao ni Salum Ayee kutoka Mwadui FC mwenye mabao 16 na Mshambuliaji wa Simba Meddier Kagere anayeshika nafasi ya pili kwa kupachika mabao 15.Mchezo huo ulianza kwa kasi kubwa huku Yanga wakionekana kuwa na uchu na Makambo akaifungia bao la kuongoza kwa shuti kali lililomshinda kipa Kasembo baada kuwahadaa walinzi wa Lyon walikuwa wakimchunga mshambuliaji huyo wakati wote.Baada ya bao hilo Lyon wakacharuka kuanza kushambulia kwa kushtukiza lakini hata hivyo Yanga walionekana kuwa bora kwa kutumia uzoefu wao na kutibua mipango ya wapinzani wao kwa kutawala mchezo huo hasa kwenye eneo la katikati lilokuwa likiongozwa na Haruna Moshi ‘Boban’ aliyeonekana kuwa hatari kwa kutoa pasi hatari kwenye mchezo huo. Makambo alifunga bao lake la pili akiunganisha kwa kichwa mpira wa faulo uliopigwa na Boban. Matokeo hayo yamezidi kuididimiza Lyon kwani sasa hakuna ubishi uwezekano wake wa kubaki Ligi Kuu ni mdogo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamerejea kwenye ushindi na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya African Lyon kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jana.Ushindi huo umewafanya Yanga kusahihisha makosa baada ya kupoteza pointi nne katika michezo wiwili iliyopita ya ligi hiyo na sasa wamefikisha pointi 71 baada ya kucheza michezo 30. Katika mchezo huo ambao Yanga ndio ilikuwa mwenyeji, mshambuliaji wa kimataifa wa Congo, Heritier Makambo ndiye aliyekuwa shujaa kwa kufunga mabao yote mawili moja katika dakika ya 5 na lingine dakika ya 31 akitumia vyema udhaifu wa safu ya ulinzi ya wapinzani wao.Mabao hayo yamemfanya Makambo kufikisha mabao 14 na kuendelea kutia presha kwa wanaongoza kwenye mbio ufungaji ambao ni Salum Ayee kutoka Mwadui FC mwenye mabao 16 na Mshambuliaji wa Simba Meddier Kagere anayeshika nafasi ya pili kwa kupachika mabao 15.Mchezo huo ulianza kwa kasi kubwa huku Yanga wakionekana kuwa na uchu na Makambo akaifungia bao la kuongoza kwa shuti kali lililomshinda kipa Kasembo baada kuwahadaa walinzi wa Lyon walikuwa wakimchunga mshambuliaji huyo wakati wote.Baada ya bao hilo Lyon wakacharuka kuanza kushambulia kwa kushtukiza lakini hata hivyo Yanga walionekana kuwa bora kwa kutumia uzoefu wao na kutibua mipango ya wapinzani wao kwa kutawala mchezo huo hasa kwenye eneo la katikati lilokuwa likiongozwa na Haruna Moshi ‘Boban’ aliyeonekana kuwa hatari kwa kutoa pasi hatari kwenye mchezo huo. Makambo alifunga bao lake la pili akiunganisha kwa kichwa mpira wa faulo uliopigwa na Boban. Matokeo hayo yamezidi kuididimiza Lyon kwani sasa hakuna ubishi uwezekano wake wa kubaki Ligi Kuu ni mdogo. ### Response: MICHEZO ### End
Na Mwandishi Wetu -Dar es Salaam WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe, ametishia kuzinyima leseni kampuni tatu zilizoomba leseni kwa ajili ya kuendesha bandari kavu (ICDS) kwa tuhuma za kuhamasisha mgomo wa malori bandarini. Wamiliki wa kampuni hizo wanatuhumiwa kuhamasisha madereva wa malori yanayotoa mizigo bandarini kufanya mgomo kuanzia jana mchana hadi usiku kwa lengo la kuondolewa kwa mizani ya kupima uzito wa magari hayo kabla ya kuanza safari zake kwa njia ya barabara. Kamwelwe ameyaeleza hayo leo, alipofanya ziara ya kukagua mizani hizo kuona kama inasababisha foleni kama ilivyodaiwa na baadhi ya wafanyabiashara hao na kubaini kuwa lori moja linachukua sekunde 55 hadi dakika moja kupimwa uzito. “Nimekuja nione kama kweli hii mizani inasababisha foleni, lakini nimekuta si kweli kwa sababu kuna mizani miwili na yote ni mizima na wanatumia si chini ya dakika moja kupima na kuondoka eneo hili. “Sasa nimeshabaini waliohusika kufanya mgomo huu ni kampuni tatu ikiwamo PrimeFuel ambao tunawaita ni ‘Wahaini’ kwa sababu lengo lao ni kukwamisha miradi ya Serikali na waliomba leseni za ICDS sasa tutawaonyesha kama sisi ni Serikali na walichofanya si sahihi” amesema Kamwelwe. Ameeza zaidi kuwa, leseni ya wafanyabiashara wa ICDS zinatoka Julai 17 na wafanyabishara waliohusika kufanya hujuma hizo hawatapatiwa leseni zao kwa sababu wanakwamisha juhudi za Rais John Magufuli. Pamoja na mambo mengine, Kamwelwe amesema licha ya ya shinikizo la wafanyabiashara hao kutaka mizani hiyo iondolewe amesisitiza haitaondolewa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Mwandishi Wetu -Dar es Salaam WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe, ametishia kuzinyima leseni kampuni tatu zilizoomba leseni kwa ajili ya kuendesha bandari kavu (ICDS) kwa tuhuma za kuhamasisha mgomo wa malori bandarini. Wamiliki wa kampuni hizo wanatuhumiwa kuhamasisha madereva wa malori yanayotoa mizigo bandarini kufanya mgomo kuanzia jana mchana hadi usiku kwa lengo la kuondolewa kwa mizani ya kupima uzito wa magari hayo kabla ya kuanza safari zake kwa njia ya barabara. Kamwelwe ameyaeleza hayo leo, alipofanya ziara ya kukagua mizani hizo kuona kama inasababisha foleni kama ilivyodaiwa na baadhi ya wafanyabiashara hao na kubaini kuwa lori moja linachukua sekunde 55 hadi dakika moja kupimwa uzito. “Nimekuja nione kama kweli hii mizani inasababisha foleni, lakini nimekuta si kweli kwa sababu kuna mizani miwili na yote ni mizima na wanatumia si chini ya dakika moja kupima na kuondoka eneo hili. “Sasa nimeshabaini waliohusika kufanya mgomo huu ni kampuni tatu ikiwamo PrimeFuel ambao tunawaita ni ‘Wahaini’ kwa sababu lengo lao ni kukwamisha miradi ya Serikali na waliomba leseni za ICDS sasa tutawaonyesha kama sisi ni Serikali na walichofanya si sahihi” amesema Kamwelwe. Ameeza zaidi kuwa, leseni ya wafanyabiashara wa ICDS zinatoka Julai 17 na wafanyabishara waliohusika kufanya hujuma hizo hawatapatiwa leseni zao kwa sababu wanakwamisha juhudi za Rais John Magufuli. Pamoja na mambo mengine, Kamwelwe amesema licha ya ya shinikizo la wafanyabiashara hao kutaka mizani hiyo iondolewe amesisitiza haitaondolewa. ### Response: KITAIFA ### End
Muda mfupi ujao mtanange unaodubiriwa kwa shauki kubwa utaanza na kila timu tayari imetanga kikosi cha cha kuanza check hapa. Yanga. Kikosi chetu dhidi yao. #tzsportpesa – Bashiri na ushinde #gsmtanzania Brand yako mzawa #taifagastanzania #Afyadrinkingwater #azamtvtz #Gsmfoam tumia godoro chapa Gsm A post shared by Young Africans Sports Club (@yangasc) on Jan 4, 2020 at 4:22am PST Simba. Sala na dua zenu ni muhimu Wanasimba. #OneTouch #Operation3points #DarDerby #VPL #NguvuMoja A post shared by Simba Sports Club (@simbasctanzania) on Jan 4, 2020 at 4:01am PST
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Muda mfupi ujao mtanange unaodubiriwa kwa shauki kubwa utaanza na kila timu tayari imetanga kikosi cha cha kuanza check hapa. Yanga. Kikosi chetu dhidi yao. #tzsportpesa – Bashiri na ushinde #gsmtanzania Brand yako mzawa #taifagastanzania #Afyadrinkingwater #azamtvtz #Gsmfoam tumia godoro chapa Gsm A post shared by Young Africans Sports Club (@yangasc) on Jan 4, 2020 at 4:22am PST Simba. Sala na dua zenu ni muhimu Wanasimba. #OneTouch #Operation3points #DarDerby #VPL #NguvuMoja A post shared by Simba Sports Club (@simbasctanzania) on Jan 4, 2020 at 4:01am PST ### Response: MICHEZO ### End
Mwandishi Wetu, Dar es Salaam  Rais Dk. John Magufuli, amesema Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), siyo safi kama watu wanavyodhani bali kuna uchafu mwingi wakiwamo watumishi wasio waaminifu. “Ofisi ya CAG siyo clean (safi) kama mnavyofikiria, sasa nenda ukachambue ukapange position (nafasi) za watu wako ili mauchafu uchafu haya ukayasafishe,” amesema Rais Magufuli wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua mwishoni mwa wiki akiwamo CAG Charles Kichere, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Novemba 4. Pamoja na mambo mengine amemtaka CAG Kichere kutojifanya kuwa sehemu ya mhimili wakati yeye ni mtumishi hivyo akafanye kazi na maagizo anayopewa na mihimili mbalimbali kama Bunge na Mahakama bila kubishana wala kuonea watu. “CAG mpya, nakutakia kazi njema. Usije ukaenda huko ukajifanya na wewe ni mhimili, mihimili ni mitatu tu na umeiona hapa kuna Mahakama, kuna Bunge na sisi wengine wa serikali. “Na nataka nikueleze kabisa hapa mapema, katiba inazungumza unaweza ukakaa miaka yako hiyo mitano na unaweza kukaa hata mwaka mmoja kwa sababu taratibu zipo na zinafanywa na rais, lakini sikutishi wewe nenda ukachape kazi. “Duniani humu huwezi ukapewa mamlaka ya kuteua halafu usiwe na  mamlaka ya kutengua ukishindwa hivyo hufai kuwa rais na hufai kuwa kingozi. “Mwenzako aliyekuwepo amemaliza kipindi chake cha miaka mitano na kinaisha leo usiku nafikiri saa sita, kwa hiyo kuanzia kesho uende pale ofisini  ukaanze kufanya kazi ukamtangulize Mungu, ukatimize wajibu wako, ukayatoe mauchafu uchafu yote yaliyopo hapo mengine watakueleza wizara ya fedha ambayo wanayafahamu vizuri zaidi. “Lakini pia kasimamie hiyo ofisi, kuna baadhi ya watendaji wako utakwenda kuwakuta kule, wanapotumwa kwenda kukagua kwenye balozi wanalipwa fedha hapa na wakifika kule napo wanaomba fedha, sasa sitaki nikutajie majina yao nenda mwenyewe ukachambue kwenye ofisi hii. “Lakini pia una heshima, unatolewa kwenye ukamishna wa TRA hukusema neno ukaenda kufanya kazi huko, hukutamka neno. Wapo wengine ukiwateua wanafikiri ni nafasi zao, unampa u-DC ukimtoa anaanza kulalamika, sasa mbona hukulalamika wakati nikikuteua kwa hiyo kafanye kazi,” amesema Rais Magufuli.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwandishi Wetu, Dar es Salaam  Rais Dk. John Magufuli, amesema Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), siyo safi kama watu wanavyodhani bali kuna uchafu mwingi wakiwamo watumishi wasio waaminifu. “Ofisi ya CAG siyo clean (safi) kama mnavyofikiria, sasa nenda ukachambue ukapange position (nafasi) za watu wako ili mauchafu uchafu haya ukayasafishe,” amesema Rais Magufuli wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua mwishoni mwa wiki akiwamo CAG Charles Kichere, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Novemba 4. Pamoja na mambo mengine amemtaka CAG Kichere kutojifanya kuwa sehemu ya mhimili wakati yeye ni mtumishi hivyo akafanye kazi na maagizo anayopewa na mihimili mbalimbali kama Bunge na Mahakama bila kubishana wala kuonea watu. “CAG mpya, nakutakia kazi njema. Usije ukaenda huko ukajifanya na wewe ni mhimili, mihimili ni mitatu tu na umeiona hapa kuna Mahakama, kuna Bunge na sisi wengine wa serikali. “Na nataka nikueleze kabisa hapa mapema, katiba inazungumza unaweza ukakaa miaka yako hiyo mitano na unaweza kukaa hata mwaka mmoja kwa sababu taratibu zipo na zinafanywa na rais, lakini sikutishi wewe nenda ukachape kazi. “Duniani humu huwezi ukapewa mamlaka ya kuteua halafu usiwe na  mamlaka ya kutengua ukishindwa hivyo hufai kuwa rais na hufai kuwa kingozi. “Mwenzako aliyekuwepo amemaliza kipindi chake cha miaka mitano na kinaisha leo usiku nafikiri saa sita, kwa hiyo kuanzia kesho uende pale ofisini  ukaanze kufanya kazi ukamtangulize Mungu, ukatimize wajibu wako, ukayatoe mauchafu uchafu yote yaliyopo hapo mengine watakueleza wizara ya fedha ambayo wanayafahamu vizuri zaidi. “Lakini pia kasimamie hiyo ofisi, kuna baadhi ya watendaji wako utakwenda kuwakuta kule, wanapotumwa kwenda kukagua kwenye balozi wanalipwa fedha hapa na wakifika kule napo wanaomba fedha, sasa sitaki nikutajie majina yao nenda mwenyewe ukachambue kwenye ofisi hii. “Lakini pia una heshima, unatolewa kwenye ukamishna wa TRA hukusema neno ukaenda kufanya kazi huko, hukutamka neno. Wapo wengine ukiwateua wanafikiri ni nafasi zao, unampa u-DC ukimtoa anaanza kulalamika, sasa mbona hukulalamika wakati nikikuteua kwa hiyo kafanye kazi,” amesema Rais Magufuli. ### Response: KITAIFA ### End
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge (pichani) amewaagiza maofi sa mipango miji na wapima ardhi kutumia ujuzi na utaalamu wao kulisaidia taifa, badala ya kusubiri majengo yasimame ndipo wawavunjie watu.Dk Mahenge alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa maofisa mipango miji na wataalamu wa ardhi yaliyoratibiwa na Shirika la African Institution For Capacity Development (AICARD) na kushirikisha wataalamu hao kutoka mikoa ya Singida, Morogoro, Iringa na Dodoma.Katika hotuba ya Dk Mahenge iliyosomwa na Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Jabir Shekimweri, alisema wataalamu hao wanatakiwa kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwa kuwa miji mingi inakuwa kwa kasi kutokana na ongezeko la watu. Aliwataka kuongeza kasi ya kupanga miji katika maeneo yote na isiwe mijini pekee kwani hata vijijini kuna ongezeko kubwa la ujenzi wa majengo kutokana na miundombinu kuboreshwa ikiwemo umeme wa Wakala wa Umeme Vijijini(REA).“Ongezeni kasi ya kupanga miji, watu wamekuza uchumi na wanataka kujenga majengo mazuri, wanashindwa kutokana na kutopangwa kwa miji na hata wakijenga hayana mpangilio mzuri na matokeo yake baadaye wanakuja kuvunjiwa kwa kuambiwa hawajajenga panapostahili,”alisema.Aliyataka mashirika yanayotoa elimu kuwashirikisha wenye mamlaka katika halmashauri wakiwemo wakurugenzi kwani ndiyo wenye maamuzi. Alisema lengo la kufanya hivyo ni kuondoa migongano inayotokea kwenye halmashauri kwa kutoelewana kwa wakurugenzi.Naye Mkurugenzi wa AICARD, Profesa Dominick Byarugaba alisema lengo la mafunzo hayo ni kuwakumbusha wataalamu hao wajibu wao katika kipaumbele cha upangaji miji kwa kuwa hakuna maendeleo mazuri miji isipopangwa vizuri. Alisema mafunzo hayo ambayo yamepewa jina la ‘Spatial Planning’ni moja ya mikakati ya Shirika la AICAD ya kujenga uwezo wa maofisa mipango katika kupambana na umaskini unaotokana na athari zitokanazo na mipango isiyokuwa sahihi.“Tumewafundisha Kenya tukaenda Uganda na sasa tupo hapa Tanzania ambapo miji inakuwa kwa kasi kubwa ikiwemo Dodoma, tunaomba mkafanye kazi kubwa katika maeneo yenu na kuwaelimisha na wengine ili tufiki uchumi wa kati na kupunguza kasi ya uhamiaji wa watu kutoka vijijini kwenda mijini,”alisema.Kaimu Mkurugenzi wa Mipango kutoka Chuo Kikuu Huria(OUT), Benjamini Mbusu alisema kada ya mipango ndiyo chachu ya maendeleo kwa taifa lolote hasa linalopiga hatua za kimaendeleo kama Tanzania. Mbusu alisema mipango ya kuipanga nchi ikitumiwa vizuri, hakutakuwa na kelele katika maeneo ya miji na miji midogo ambayo ndiyo dira ya maendeleo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge (pichani) amewaagiza maofi sa mipango miji na wapima ardhi kutumia ujuzi na utaalamu wao kulisaidia taifa, badala ya kusubiri majengo yasimame ndipo wawavunjie watu.Dk Mahenge alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa maofisa mipango miji na wataalamu wa ardhi yaliyoratibiwa na Shirika la African Institution For Capacity Development (AICARD) na kushirikisha wataalamu hao kutoka mikoa ya Singida, Morogoro, Iringa na Dodoma.Katika hotuba ya Dk Mahenge iliyosomwa na Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Jabir Shekimweri, alisema wataalamu hao wanatakiwa kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwa kuwa miji mingi inakuwa kwa kasi kutokana na ongezeko la watu. Aliwataka kuongeza kasi ya kupanga miji katika maeneo yote na isiwe mijini pekee kwani hata vijijini kuna ongezeko kubwa la ujenzi wa majengo kutokana na miundombinu kuboreshwa ikiwemo umeme wa Wakala wa Umeme Vijijini(REA).“Ongezeni kasi ya kupanga miji, watu wamekuza uchumi na wanataka kujenga majengo mazuri, wanashindwa kutokana na kutopangwa kwa miji na hata wakijenga hayana mpangilio mzuri na matokeo yake baadaye wanakuja kuvunjiwa kwa kuambiwa hawajajenga panapostahili,”alisema.Aliyataka mashirika yanayotoa elimu kuwashirikisha wenye mamlaka katika halmashauri wakiwemo wakurugenzi kwani ndiyo wenye maamuzi. Alisema lengo la kufanya hivyo ni kuondoa migongano inayotokea kwenye halmashauri kwa kutoelewana kwa wakurugenzi.Naye Mkurugenzi wa AICARD, Profesa Dominick Byarugaba alisema lengo la mafunzo hayo ni kuwakumbusha wataalamu hao wajibu wao katika kipaumbele cha upangaji miji kwa kuwa hakuna maendeleo mazuri miji isipopangwa vizuri. Alisema mafunzo hayo ambayo yamepewa jina la ‘Spatial Planning’ni moja ya mikakati ya Shirika la AICAD ya kujenga uwezo wa maofisa mipango katika kupambana na umaskini unaotokana na athari zitokanazo na mipango isiyokuwa sahihi.“Tumewafundisha Kenya tukaenda Uganda na sasa tupo hapa Tanzania ambapo miji inakuwa kwa kasi kubwa ikiwemo Dodoma, tunaomba mkafanye kazi kubwa katika maeneo yenu na kuwaelimisha na wengine ili tufiki uchumi wa kati na kupunguza kasi ya uhamiaji wa watu kutoka vijijini kwenda mijini,”alisema.Kaimu Mkurugenzi wa Mipango kutoka Chuo Kikuu Huria(OUT), Benjamini Mbusu alisema kada ya mipango ndiyo chachu ya maendeleo kwa taifa lolote hasa linalopiga hatua za kimaendeleo kama Tanzania. Mbusu alisema mipango ya kuipanga nchi ikitumiwa vizuri, hakutakuwa na kelele katika maeneo ya miji na miji midogo ambayo ndiyo dira ya maendeleo. ### Response: KITAIFA ### End
Aveline Kitomary -Dar Es Salaam  TAFITI za kisayansi zinaonesha kuwa tatizo la nguvu za kiume hapo mwanzo lilikuwa likiwakumba watu wenye umri mkubwa kwa maana ya wazee, yaani kupungua kwa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa lilikuwa ni jambo la kawaida kwao.  Lakini, kwenye Dunia ya sasa mambo yamebadilika, tatizo hili halipo kwa wazee peke yao bali hata kwa vijana wenye umri mdogo.  Ukosefu wa nguvu za kiume limekuwa ni tatizo linalowachanganya vijana kila siku hivyo, muda wote wamekuwa wakihaha kutafuta na kupata suluhisho.  Ingawa inaweza kuwa tatizo kama matatizo mengine, lakini asilimia kubwa ya wanaume huchukulia upungufu wa nguvu za kiume kama ni suala linalofedhehesha na hata kuona aibu kujieleza hadharani.  Tafsiri hizo zimefanya baadhi yao kutafuta matibabu ya tatizo hilo kwa njia yoyote ile bila kujali madhara yanayoweza kutokea kiafya baada ya matumizi ya dawa wanazopewa.  Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, umebaini kuwa matangazo kuhusu uuzaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume yanazidi kukithiri kila kukicha.  Wengi wa watu wanaoweka mabango hayo ni wale wanaojiita wataalamu wa dawa za asili, ambapo wengine hawajathibitishwa na Mamlaka ya dawa na Vifaa Tiba (TMDA).  Wakati dawa zinazotambuliwa na mamlaka hiyo ni Viagra, Ericto, Cialis na Suagra ambazo hupatikana katika maduka ya dawa na mgonjwa anatakiwa kuzitumia baada ya kushauriwa na daktari.  UKUBWA WA TATIZO  Utafiti uliofanywa mwaka 2016 na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, unaonesha asilimia 24 ya wanaume wana tatizo la nguvu za kiume.  Mkuu wa Kitengo cha Utafiti Dk. Pedro Pallangyo, anasema utafiti huo ulifanyika kwa wanaume 18,441 huku umri wa waliochunguzwa ni miaka 47.  “Tulibaini kuwa asilimia 60 ya wanaume wote walikuwa na uzito kupindukia huku wanane kati ya 100 walikuwa na kisukari na asilimia 61.5 walikuwa na shikizo la juu la damu,” anasema Dk. Pallangyo.  Utafiti huo ulikuwa mdogo hivyo, ndani ya mwezi huu Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR), inatarajia kuanza kufanya utafiti mwingine ukijumuisha maeneo mbalimbali nchini.  Mkurugenzi wa Kuratibu na kukuza utafiti, Dk. Paul Kazyoba, anasema utafiti huo utaanzia jijini Dar es Salaam.  “Tunachotaka kufanya ni kuangalia ukubwa wa tatizo ukoje hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam, watu wanalalamika wakisema jiji hili ndio limekithiri, lakini inawezekana kabisa sio hapa tu, bali hata maeneo mengine tatizo ni kubwa. Tutazunguka maeneo mengi ili kujiridhisha na kutoa takwimu sahihi,” anasema daktari huyo.  Dk. Kazyoba anaeleza kuwa katika utafiti huo wataangalia zaidi chanzo cha ukosefu wa nguvu za kume, muda wa tatizo kuanza na tiba ambayo zinaweza kumsaidia mhusika.  “Tukizungumzia nguvu za kiume kuna mambo mengi lazima tuulize, limeanza lini au kama alizaliwa akiwa na shida hiyo tutaangalia vitu vyote ambavyo viliweza kuanzisha tatizo, yapo mambo yanayosababisha yote hayo mfano, kupanda kwa sukari, msongo wa mawazo, kuzaliwa na tatizo, aina ya chakula na masuala ya kisaikolojia,” anabainisha.  Hata hivyo, anaishauri jamii kuepuka matumizi ya dawa hasa za kuongeza nguvu za kiume ambazo hazijapimwa na kusajiliwa kisheria.  “Madhara ya matumizi ya dawa zisizopimwa au kuangaliwa usalama wake ni makubwa zaidi ya ukosefu wa nguvu za kiume. Unapotumia dawa ambazo hazijapimwa maana yake unajitoa mhanga kupata tatizo lingine kubwa kuliko kutibu lile ulilonalo.  “Dawa nyingine zina sumu nyingi hivyo zinaweza kuharibu figo, huwezi kuchukua tu dawa ukanywa kiholela, hata zinazotolewa hospitalini ukitumia bila utaratibu ni lazima zitakuletea madhara ndio maana watu wanaelekezwa namna ya kutumia ili iwasaidie badala ya kumuangamiza.  “Wito wangu ni kwamba watu wajali afya zao, wafanye mazoezi, waondoe msongo wa mawazo, kupata mlo kamili, wasitumie dawa ambazo hazijathibitishwa na mamlaka husika na hata kupimwa na ubora wake.  “Mamlaka za udhibiti ziangalie jambo hili kwa ukaribu zaidi, ni vizuri watusaidie kudhibiti dawa za nguvu za kiume ambazo hazijafanyiwa utafiti,” anafafanua.  SONONA YAONGOZA  Daktari Bingwa wa Mfumo wa Mkojo na Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Deogratius Mahenda, anasema asilimia 90 ya wanaume wenye tatizo la sonona ndio wanaokabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume.  Anaeleza kuwa asilimia zingine zilizobaki ni wale wanaokabiliwa na magonjwa ya presha, kisukari na mgongo ambayo yanaathiri mfumo wa damu.  “Ili nguvu za kiume zitokee mwanamume anatakiwa kuwa na hisia na msichana au maumbile yake kukamilika kama mishipa ya damu kuwa sawa kwenye uume.  “Inapotokea mtu anapata matatizo ya akili, sonona, huwa anakosa furaha, hisia wala matamanio hivyo kusababisha uume kushindwa kusimama.  “Inawezekana hata mtu akiwa na mpenzi, mwanzoni walikuwa vizuri lakini baadae ikatokea kutokuelewajna, kisaikolojia anakuwa hata akimwona hapati matamanio naye hata kama ni mke wake analala naye kitanda kimoja hawezi kupata hisia zitazosababisha uume wake kusimama,” anaeleza Dk. Mahenda.  Anataja kundi jingine la wanaume waliopo hatarini kukosa nguvu za kiume kuwa ni wale wanaofanya kazi sehemu zenye joto kali kutokana na joto hilo kuathiri korodani na hivyo kusababisha uzalishaji wa mbegu hafifu.  Kwa mujibu wa daktari huyo, kundi la wanaume hao ni wanaofanya kazi za udereva hasa wale ambao magari yao injini zake zina joto kali, wanaofanya kazi viwanda vya kuyeyusha vyuma, matanuru ya kuyeyusha vioo na plastiki.  “Kwa kawaida, mtu anatakiwa awe na maumbile yaliyosawasawa yenye uwezo wa kupitisha mbegu na korodani zinazozalisha mbegu bora, mifumo hii ikitokea hitilafu inaweza kusababisha mwamume kushindwa kutungisha ujauzito.  “Mazingira yanaweza kuleta athari kwenye mfumo wa uzazi, kwa kawaida korodani ziko nje kutokana na kuhitaji joto kidogo kwahiyo, kitu chochote kitakachosababisha joto kali kwenye korodani huwa kinahatarisha afya ya mhusika,” anaeleza Dk. Mahenda.  Anataja sababu zingine za ukosefu wa nguvu za kiume ni magonjwa ya mishipa ya damu (Varicas vain) ambayo husababisha damu kukaa kwa wingi kwenye korodani na kupata joto kali.  “Pia kuna virus vinavyoitwa mamus, hivi huanza kwa kuvimba mashavu, ikitokea kabla ya mvulana kubalehe au msichana kuvunja ungo hufanya kiwanda cha uzalishaji mbegu kukwama kabisa hivyo watu kama hawa wanatakiwa kutibiwa.  “Kingine ni korodani kujinyonga na ikatokea isitibiwe haraka kabla ya saa sita, huathirika na kusababisha kutoweza kutengeneza mbegu.  “Kuna magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana kama kisonono ambao husababisha maumivu makali, usaha kutoka kwenye njia ya mkojo na kuacha makovu yanayoweza kuzuia mbegu zisipite,” anabainisha.  Anaeleza kuwa unywaji wa pombe na ulevi kupindukia unaweza kusababisha kuwa na mbegu zisizo na ubora hivyo kupata watoto inakuwa vigumu, hii ni kwa sababu mtu akinywa pombe damu inakuwa inachemka na kufanya joto kuongezeka.  Dk. Mahenda anasema kwa kawaida korodani linatakiwa kupata joto pungufu ya digrii moja ya joto la kawaida la binadamu kama 35.2 hadi 36.2; ikizidi zaidi ya hapo huleta madhara.  Wanaume wengi wakiwa na tatizo la nguvu za kiume hukimbilia haraka kutafuta dawa badala ya chanzo cha tatizo hilo.  Hali hiyo imesababisha wengine kupata madhara zaidi sehemu zingine za mwili kutokana na dawa hizo kutothibitishwa kisheria.  “Wanaume wengi wanamatatizo ya uzazi lakini hawataki kuja hospitali wanawake ndio wanahangaika, nawashauri wanaume wajitokeze kupima nguvu za kiume na si kutumia dawa hovyo.  “Kila anayejihisi tujue tatizo liko wapi tumpatie tiba anayostahili na utakuta wakati mwingine tiba yake wala sio dawa mfano, mgonjwa wa sonona huwa tunampatia ushauri wa kusamehe halafu anarudi kwenye hali yake ya kawaida. 
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Aveline Kitomary -Dar Es Salaam  TAFITI za kisayansi zinaonesha kuwa tatizo la nguvu za kiume hapo mwanzo lilikuwa likiwakumba watu wenye umri mkubwa kwa maana ya wazee, yaani kupungua kwa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa lilikuwa ni jambo la kawaida kwao.  Lakini, kwenye Dunia ya sasa mambo yamebadilika, tatizo hili halipo kwa wazee peke yao bali hata kwa vijana wenye umri mdogo.  Ukosefu wa nguvu za kiume limekuwa ni tatizo linalowachanganya vijana kila siku hivyo, muda wote wamekuwa wakihaha kutafuta na kupata suluhisho.  Ingawa inaweza kuwa tatizo kama matatizo mengine, lakini asilimia kubwa ya wanaume huchukulia upungufu wa nguvu za kiume kama ni suala linalofedhehesha na hata kuona aibu kujieleza hadharani.  Tafsiri hizo zimefanya baadhi yao kutafuta matibabu ya tatizo hilo kwa njia yoyote ile bila kujali madhara yanayoweza kutokea kiafya baada ya matumizi ya dawa wanazopewa.  Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, umebaini kuwa matangazo kuhusu uuzaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume yanazidi kukithiri kila kukicha.  Wengi wa watu wanaoweka mabango hayo ni wale wanaojiita wataalamu wa dawa za asili, ambapo wengine hawajathibitishwa na Mamlaka ya dawa na Vifaa Tiba (TMDA).  Wakati dawa zinazotambuliwa na mamlaka hiyo ni Viagra, Ericto, Cialis na Suagra ambazo hupatikana katika maduka ya dawa na mgonjwa anatakiwa kuzitumia baada ya kushauriwa na daktari.  UKUBWA WA TATIZO  Utafiti uliofanywa mwaka 2016 na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, unaonesha asilimia 24 ya wanaume wana tatizo la nguvu za kiume.  Mkuu wa Kitengo cha Utafiti Dk. Pedro Pallangyo, anasema utafiti huo ulifanyika kwa wanaume 18,441 huku umri wa waliochunguzwa ni miaka 47.  “Tulibaini kuwa asilimia 60 ya wanaume wote walikuwa na uzito kupindukia huku wanane kati ya 100 walikuwa na kisukari na asilimia 61.5 walikuwa na shikizo la juu la damu,” anasema Dk. Pallangyo.  Utafiti huo ulikuwa mdogo hivyo, ndani ya mwezi huu Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR), inatarajia kuanza kufanya utafiti mwingine ukijumuisha maeneo mbalimbali nchini.  Mkurugenzi wa Kuratibu na kukuza utafiti, Dk. Paul Kazyoba, anasema utafiti huo utaanzia jijini Dar es Salaam.  “Tunachotaka kufanya ni kuangalia ukubwa wa tatizo ukoje hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam, watu wanalalamika wakisema jiji hili ndio limekithiri, lakini inawezekana kabisa sio hapa tu, bali hata maeneo mengine tatizo ni kubwa. Tutazunguka maeneo mengi ili kujiridhisha na kutoa takwimu sahihi,” anasema daktari huyo.  Dk. Kazyoba anaeleza kuwa katika utafiti huo wataangalia zaidi chanzo cha ukosefu wa nguvu za kume, muda wa tatizo kuanza na tiba ambayo zinaweza kumsaidia mhusika.  “Tukizungumzia nguvu za kiume kuna mambo mengi lazima tuulize, limeanza lini au kama alizaliwa akiwa na shida hiyo tutaangalia vitu vyote ambavyo viliweza kuanzisha tatizo, yapo mambo yanayosababisha yote hayo mfano, kupanda kwa sukari, msongo wa mawazo, kuzaliwa na tatizo, aina ya chakula na masuala ya kisaikolojia,” anabainisha.  Hata hivyo, anaishauri jamii kuepuka matumizi ya dawa hasa za kuongeza nguvu za kiume ambazo hazijapimwa na kusajiliwa kisheria.  “Madhara ya matumizi ya dawa zisizopimwa au kuangaliwa usalama wake ni makubwa zaidi ya ukosefu wa nguvu za kiume. Unapotumia dawa ambazo hazijapimwa maana yake unajitoa mhanga kupata tatizo lingine kubwa kuliko kutibu lile ulilonalo.  “Dawa nyingine zina sumu nyingi hivyo zinaweza kuharibu figo, huwezi kuchukua tu dawa ukanywa kiholela, hata zinazotolewa hospitalini ukitumia bila utaratibu ni lazima zitakuletea madhara ndio maana watu wanaelekezwa namna ya kutumia ili iwasaidie badala ya kumuangamiza.  “Wito wangu ni kwamba watu wajali afya zao, wafanye mazoezi, waondoe msongo wa mawazo, kupata mlo kamili, wasitumie dawa ambazo hazijathibitishwa na mamlaka husika na hata kupimwa na ubora wake.  “Mamlaka za udhibiti ziangalie jambo hili kwa ukaribu zaidi, ni vizuri watusaidie kudhibiti dawa za nguvu za kiume ambazo hazijafanyiwa utafiti,” anafafanua.  SONONA YAONGOZA  Daktari Bingwa wa Mfumo wa Mkojo na Uzazi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Deogratius Mahenda, anasema asilimia 90 ya wanaume wenye tatizo la sonona ndio wanaokabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume.  Anaeleza kuwa asilimia zingine zilizobaki ni wale wanaokabiliwa na magonjwa ya presha, kisukari na mgongo ambayo yanaathiri mfumo wa damu.  “Ili nguvu za kiume zitokee mwanamume anatakiwa kuwa na hisia na msichana au maumbile yake kukamilika kama mishipa ya damu kuwa sawa kwenye uume.  “Inapotokea mtu anapata matatizo ya akili, sonona, huwa anakosa furaha, hisia wala matamanio hivyo kusababisha uume kushindwa kusimama.  “Inawezekana hata mtu akiwa na mpenzi, mwanzoni walikuwa vizuri lakini baadae ikatokea kutokuelewajna, kisaikolojia anakuwa hata akimwona hapati matamanio naye hata kama ni mke wake analala naye kitanda kimoja hawezi kupata hisia zitazosababisha uume wake kusimama,” anaeleza Dk. Mahenda.  Anataja kundi jingine la wanaume waliopo hatarini kukosa nguvu za kiume kuwa ni wale wanaofanya kazi sehemu zenye joto kali kutokana na joto hilo kuathiri korodani na hivyo kusababisha uzalishaji wa mbegu hafifu.  Kwa mujibu wa daktari huyo, kundi la wanaume hao ni wanaofanya kazi za udereva hasa wale ambao magari yao injini zake zina joto kali, wanaofanya kazi viwanda vya kuyeyusha vyuma, matanuru ya kuyeyusha vioo na plastiki.  “Kwa kawaida, mtu anatakiwa awe na maumbile yaliyosawasawa yenye uwezo wa kupitisha mbegu na korodani zinazozalisha mbegu bora, mifumo hii ikitokea hitilafu inaweza kusababisha mwamume kushindwa kutungisha ujauzito.  “Mazingira yanaweza kuleta athari kwenye mfumo wa uzazi, kwa kawaida korodani ziko nje kutokana na kuhitaji joto kidogo kwahiyo, kitu chochote kitakachosababisha joto kali kwenye korodani huwa kinahatarisha afya ya mhusika,” anaeleza Dk. Mahenda.  Anataja sababu zingine za ukosefu wa nguvu za kiume ni magonjwa ya mishipa ya damu (Varicas vain) ambayo husababisha damu kukaa kwa wingi kwenye korodani na kupata joto kali.  “Pia kuna virus vinavyoitwa mamus, hivi huanza kwa kuvimba mashavu, ikitokea kabla ya mvulana kubalehe au msichana kuvunja ungo hufanya kiwanda cha uzalishaji mbegu kukwama kabisa hivyo watu kama hawa wanatakiwa kutibiwa.  “Kingine ni korodani kujinyonga na ikatokea isitibiwe haraka kabla ya saa sita, huathirika na kusababisha kutoweza kutengeneza mbegu.  “Kuna magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana kama kisonono ambao husababisha maumivu makali, usaha kutoka kwenye njia ya mkojo na kuacha makovu yanayoweza kuzuia mbegu zisipite,” anabainisha.  Anaeleza kuwa unywaji wa pombe na ulevi kupindukia unaweza kusababisha kuwa na mbegu zisizo na ubora hivyo kupata watoto inakuwa vigumu, hii ni kwa sababu mtu akinywa pombe damu inakuwa inachemka na kufanya joto kuongezeka.  Dk. Mahenda anasema kwa kawaida korodani linatakiwa kupata joto pungufu ya digrii moja ya joto la kawaida la binadamu kama 35.2 hadi 36.2; ikizidi zaidi ya hapo huleta madhara.  Wanaume wengi wakiwa na tatizo la nguvu za kiume hukimbilia haraka kutafuta dawa badala ya chanzo cha tatizo hilo.  Hali hiyo imesababisha wengine kupata madhara zaidi sehemu zingine za mwili kutokana na dawa hizo kutothibitishwa kisheria.  “Wanaume wengi wanamatatizo ya uzazi lakini hawataki kuja hospitali wanawake ndio wanahangaika, nawashauri wanaume wajitokeze kupima nguvu za kiume na si kutumia dawa hovyo.  “Kila anayejihisi tujue tatizo liko wapi tumpatie tiba anayostahili na utakuta wakati mwingine tiba yake wala sio dawa mfano, mgonjwa wa sonona huwa tunampatia ushauri wa kusamehe halafu anarudi kwenye hali yake ya kawaida.  ### Response: AFYA ### End
Watu na bahati zao bana! Alisikika mtangazaji mmoja wa mtandao wa Dizzimonline aitwaye Dinny Nassoro baada ya kuthibitisha taarifa alizopata kuwa msanii kutoka  kiwanda cha filamu nchini Irene Uwoya anatarajiwa kuolewa siku za hivi karibuni. Kama habari hizi zitakuwa za kweli Irene Uwoya atakua anaolewa sasa kwa mara ya tatu, kama utakumbuka harusi yake ya kwanza ilikua baina yake na marehemu Suleimani Ndikumana ambaye alikua ni mwanasoka wa kimataifa wa Burundi, ya pili ni kati yake na Msanii Dogo Janja ambapo ndoa yao iliingia doa mwishoni mwaka jana na kuachana. Katika siku za hivi karibuni kulikua na ttetesi mitandaoni kwa kudai kuwa kwasasa muigizaji huyo anatoka kimapenzi na Kayumba na amuweka ndani. Kwa mujibu wa chanzo kilichokaribu na msanii huyo kimedai kuwa maaandalizi ya harusi hiyo yamepamba moto na hivi karibuni amefungua group maalamu la Watsapp na kuwaweka baadhi ya watu wake wakaribu wakiwemo wasanii wenzake. Na moja ya maadmin katika group hilo ni Shilole ama Shishi baby, yeye ndo ana kazi ya kuwaingiza watu katika group hilo. Shilole amedai kuwa ni kweli kuna group hilo maalumu kwaajili ya ndoa ya Irene na hawezi mu-add mtu yoyote bila idhini ya Irene Uwoya na kuweka wazi kuwa group hilo sio kwaajili ya michango ya harusi kwani Irene hana shida na michango. Watu wana hela zao hawataki shida na mtu kwa taarifa yako, hataki mchango hata shilingi mia aliongezea Shilole Pia amedai hamna vikao vyovyote vya kupanga harusi kama ilivyozeeleka na kudai kuwa vikao vyao wanavyokaa kwasasa ni vya watu wachache na vya kiistaarabu  vikao vilivyopo ni vya watu wachache vya kistaharabu. Wafukunyuku tayari washaanza kufanya kazi yao na wameingia kazini rasmi kumfahamu ni nani kwasasa moyo wa Irene Uwoya utakua umemdondokea. Lakini kwa matukio ya picha za hivi karibuni alimpost msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Alawi Junior na kuandika na kumabatanisha kaemoji ka-love Kiboko kabisa @alawijunior❤️na Jamaa bila hajizi hakarudisha ujumbe kumbatanisha na vi-emoji vya love Utabaki mawinguni ❤️❤️ @ireneuwoya8 Mazingira mengine yanachochea ubuyu huu inaonekana walikua pamoja siku za hivi karibuni  kuna ushahidi pia wa picha ya Irene akiwa peke yake na Alawi akiwa peke yake na wameonekana kupiga the same environment. Pengine huyu ndo baby mpya wa Irene Uwoya, let wait and see! Sikiliza hapa interview ya Dizzimonline na Shilole akifunguka zaidi juu ya harusi ya Irene Uwoya!    
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Watu na bahati zao bana! Alisikika mtangazaji mmoja wa mtandao wa Dizzimonline aitwaye Dinny Nassoro baada ya kuthibitisha taarifa alizopata kuwa msanii kutoka  kiwanda cha filamu nchini Irene Uwoya anatarajiwa kuolewa siku za hivi karibuni. Kama habari hizi zitakuwa za kweli Irene Uwoya atakua anaolewa sasa kwa mara ya tatu, kama utakumbuka harusi yake ya kwanza ilikua baina yake na marehemu Suleimani Ndikumana ambaye alikua ni mwanasoka wa kimataifa wa Burundi, ya pili ni kati yake na Msanii Dogo Janja ambapo ndoa yao iliingia doa mwishoni mwaka jana na kuachana. Katika siku za hivi karibuni kulikua na ttetesi mitandaoni kwa kudai kuwa kwasasa muigizaji huyo anatoka kimapenzi na Kayumba na amuweka ndani. Kwa mujibu wa chanzo kilichokaribu na msanii huyo kimedai kuwa maaandalizi ya harusi hiyo yamepamba moto na hivi karibuni amefungua group maalamu la Watsapp na kuwaweka baadhi ya watu wake wakaribu wakiwemo wasanii wenzake. Na moja ya maadmin katika group hilo ni Shilole ama Shishi baby, yeye ndo ana kazi ya kuwaingiza watu katika group hilo. Shilole amedai kuwa ni kweli kuna group hilo maalumu kwaajili ya ndoa ya Irene na hawezi mu-add mtu yoyote bila idhini ya Irene Uwoya na kuweka wazi kuwa group hilo sio kwaajili ya michango ya harusi kwani Irene hana shida na michango. Watu wana hela zao hawataki shida na mtu kwa taarifa yako, hataki mchango hata shilingi mia aliongezea Shilole Pia amedai hamna vikao vyovyote vya kupanga harusi kama ilivyozeeleka na kudai kuwa vikao vyao wanavyokaa kwasasa ni vya watu wachache na vya kiistaarabu  vikao vilivyopo ni vya watu wachache vya kistaharabu. Wafukunyuku tayari washaanza kufanya kazi yao na wameingia kazini rasmi kumfahamu ni nani kwasasa moyo wa Irene Uwoya utakua umemdondokea. Lakini kwa matukio ya picha za hivi karibuni alimpost msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Alawi Junior na kuandika na kumabatanisha kaemoji ka-love Kiboko kabisa @alawijunior❤️na Jamaa bila hajizi hakarudisha ujumbe kumbatanisha na vi-emoji vya love Utabaki mawinguni ❤️❤️ @ireneuwoya8 Mazingira mengine yanachochea ubuyu huu inaonekana walikua pamoja siku za hivi karibuni  kuna ushahidi pia wa picha ya Irene akiwa peke yake na Alawi akiwa peke yake na wameonekana kupiga the same environment. Pengine huyu ndo baby mpya wa Irene Uwoya, let wait and see! Sikiliza hapa interview ya Dizzimonline na Shilole akifunguka zaidi juu ya harusi ya Irene Uwoya!     ### Response: BURUDANI ### End
Chanzo cha picha, BBC Sport Kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva, 29, anawaniwa na Paris St-Germain, huku mabingwa hao wa Ufaransa wakiwa tayari kulipa dau lake la pauni milioni 51. (Fichajes - kwa Kihispania) Mshambulizi wa Paris St-Germain Kylian Mbappe, 25, na klabu yake hawajashawishika na ofa ya hivi punde zaidi ya Real Madrid kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, ambaye anaweza kuhama msimu huu wa joto, kwa kuwa ni chini ya pendekezo la awali la Mei 2022. (Athletic - usajili unahitajika) Tottenham wana imani kuwa kocha Ange Postecoglou, 58, atasalia katika klabu hiyo licha ya Liverpool kumtaka huku Reds wakitafuta atakayechukua mikoba ya Jurgen Klopp msimu huu wa joto. (Telegraph - usajili unahitajika) Chanzo cha picha, Getty Images West Ham wamechelewesha mazungumzo ya kandarasi na meneja David Moyes, 60, huku klabu hiyo ikilenga kumaliza mfululizo wa mechi saba bila kushinda katika michuano yote. (Mail) Manchester United wanavutiwa na mlinzi wa Bayern Munich Matthijs de Ligt, 24, ingawa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi hajafurahishwa na nafasi yake katika kikosi cha mabingwa hao wa Ujerumani. (Sun) Arsenal pia wana nia ya kumnunua De Ligt lakini Manchester United kwa sasa wako katika nafasi nzuri. (Football Transfers) Mabeki wawili wa Bayer Leverkusen pia wanafuatiliwa na Manchester United, huku mkufunzi wa Red Devils Erik ten Hag akimtaka beki wa kulia wa Uholanzi Jeremie Frimpong, 23, na mlinzi wa kati wa Burkino Faso Edmond Tapsoba, 25. (Manchester Evening News). Ten Hag pia ameomba kusajiliwa kwa mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 26. (Fichajes - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, RONALD WITTEK Klabu za Arsenal na Liverpool zina nia ya kumsajili winga wa Ureno Pedro Neto kutoka Wolves, ambao wako tayari kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ikiwa thamani yao itafikiwa kwa sababu ya shinikizo la kifedha linaloendelea. (Fichajes - kwa Kihispania) Chelsea inamfuatilia beki wa kushoto wa Bournemouth na Hungary Milos Kerkez, 20, pamoja na beki wa pembeni wa Bayern Munich na Canada Alphonso Davies, 23. (Football Transfers) Fulham walishindwa katika jaribio la kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Sebastien Haller mwezi Januari huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akitaka kuelekeza nguvu zake kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika akiwa na Ivory Coast na hakutaka kuhama katikati ya msimu. (Fabrizio Romano) Barcelona imewaweka beki wa Denmark Andreas Christensen, 27, na winga wa Brazil Raphinha, 27, katika oodha ya wachezaji wanaopangwa kuuzwa ili kupunguza bili yao ya mishahara. (Mirror) Mkufunzi wa Bayern Leverkusen Xabi Alonso sasa anasakwa na Barcelona pamoja na Real Madrid na Liverpool. (Sport - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, Getty Images Paris St-Germain imemjumuisha winga wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, 24, na mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 25, kwenye orodha yao inayotarajiwa iwapo Mbappe ataondoka katika klabu hiyo msimu huu wa joto. (La Repubblica - kwa Kiitaliano) Mshambulizi wa Porto na Iran Mehdi Taremi, 31, anatazamiwa kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu katika klabu ya Inter Milan na kujiunga bila malipo msimu huu wa joto. (Fabrizio Romano) Kiungo wa kati wa Manchester United Kobbie Mainoo atakubali kuitwa na Uingereza lakini anapanga kuweka mustakabali wake wa kimataifa wazi huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 pia akiweza kuiwakilisha Ghana. (Mail) Imetafsiriwana Ambia Hirsi
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, BBC Sport Kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva, 29, anawaniwa na Paris St-Germain, huku mabingwa hao wa Ufaransa wakiwa tayari kulipa dau lake la pauni milioni 51. (Fichajes - kwa Kihispania) Mshambulizi wa Paris St-Germain Kylian Mbappe, 25, na klabu yake hawajashawishika na ofa ya hivi punde zaidi ya Real Madrid kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa, ambaye anaweza kuhama msimu huu wa joto, kwa kuwa ni chini ya pendekezo la awali la Mei 2022. (Athletic - usajili unahitajika) Tottenham wana imani kuwa kocha Ange Postecoglou, 58, atasalia katika klabu hiyo licha ya Liverpool kumtaka huku Reds wakitafuta atakayechukua mikoba ya Jurgen Klopp msimu huu wa joto. (Telegraph - usajili unahitajika) Chanzo cha picha, Getty Images West Ham wamechelewesha mazungumzo ya kandarasi na meneja David Moyes, 60, huku klabu hiyo ikilenga kumaliza mfululizo wa mechi saba bila kushinda katika michuano yote. (Mail) Manchester United wanavutiwa na mlinzi wa Bayern Munich Matthijs de Ligt, 24, ingawa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi hajafurahishwa na nafasi yake katika kikosi cha mabingwa hao wa Ujerumani. (Sun) Arsenal pia wana nia ya kumnunua De Ligt lakini Manchester United kwa sasa wako katika nafasi nzuri. (Football Transfers) Mabeki wawili wa Bayer Leverkusen pia wanafuatiliwa na Manchester United, huku mkufunzi wa Red Devils Erik ten Hag akimtaka beki wa kulia wa Uholanzi Jeremie Frimpong, 23, na mlinzi wa kati wa Burkino Faso Edmond Tapsoba, 25. (Manchester Evening News). Ten Hag pia ameomba kusajiliwa kwa mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 26. (Fichajes - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, RONALD WITTEK Klabu za Arsenal na Liverpool zina nia ya kumsajili winga wa Ureno Pedro Neto kutoka Wolves, ambao wako tayari kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ikiwa thamani yao itafikiwa kwa sababu ya shinikizo la kifedha linaloendelea. (Fichajes - kwa Kihispania) Chelsea inamfuatilia beki wa kushoto wa Bournemouth na Hungary Milos Kerkez, 20, pamoja na beki wa pembeni wa Bayern Munich na Canada Alphonso Davies, 23. (Football Transfers) Fulham walishindwa katika jaribio la kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Sebastien Haller mwezi Januari huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akitaka kuelekeza nguvu zake kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika akiwa na Ivory Coast na hakutaka kuhama katikati ya msimu. (Fabrizio Romano) Barcelona imewaweka beki wa Denmark Andreas Christensen, 27, na winga wa Brazil Raphinha, 27, katika oodha ya wachezaji wanaopangwa kuuzwa ili kupunguza bili yao ya mishahara. (Mirror) Mkufunzi wa Bayern Leverkusen Xabi Alonso sasa anasakwa na Barcelona pamoja na Real Madrid na Liverpool. (Sport - kwa Kihispania) Chanzo cha picha, Getty Images Paris St-Germain imemjumuisha winga wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, 24, na mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 25, kwenye orodha yao inayotarajiwa iwapo Mbappe ataondoka katika klabu hiyo msimu huu wa joto. (La Repubblica - kwa Kiitaliano) Mshambulizi wa Porto na Iran Mehdi Taremi, 31, anatazamiwa kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu katika klabu ya Inter Milan na kujiunga bila malipo msimu huu wa joto. (Fabrizio Romano) Kiungo wa kati wa Manchester United Kobbie Mainoo atakubali kuitwa na Uingereza lakini anapanga kuweka mustakabali wake wa kimataifa wazi huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 pia akiweza kuiwakilisha Ghana. (Mail) Imetafsiriwana Ambia Hirsi ### Response: MICHEZO ### End
MONTREAL, CANADA ALIYEKUWA kocha wa timu ya Monaco, Thierry Henry, ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya Montreal Impact ambayo inashiriki Ligi nchini Marekani. Henry aliwahi kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa Ubelgiji wakati wa michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi huku kocha mkuu akiwa Roberto Martínez. Kocha huyo aliwahi kuwa staa ndani ya klabu ya Arsenal pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa, hivyo amesaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2022. Kocha huyo wakati anaisimamia timu ya taifa Ubelgiji chini ya Martinez, aliweza kuisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia, lakini baada ya hapo akasaini mkataba na Monaco, Octoba 2018. Lakini wakati anaisimamia timu hakuweza kuonesha uwezo wake ndani ya viwanja vya Stade Louis II, hivyo akafungashiwa virago Januari 24 mwaka huu huku akishinda michezo minne kati ya 20 aliyoisimamia. Hivyo uongozi wa Montreal umeona bora umpe nafasi hiyo kwa ajili ya kuonesha uwezo wake kocha huyo mwenye umri wa miaka 42. “Tunatumia nafasi hii kutangaza kuwa gwiji wa soka tuko naye kwenye kikosi chetu, huyu ni Thierry Henry, tunaamini anakuja kwa ajili ya kuibadilisha klabu yetu, yupo tayari kuungana na sisi kwenye mtazamo wetu juu ya timu yetu. “Hivyo tunaamini lengo letu litakamilika hasa katika kutimiza yale ambayo yapo kweny mifumo yetu, yeye ni mshindani mkubwa na kiongozi kwenye timu ambaye amewahi kucheza soka katika hatua ya juu kwenye maisha yake ya soka, hivyo tunaamini kutakuwa na mabadiliko makubwa kwenye timu yetu,” alisema rais wa timu hiyo Kevin Gilmour. Kwa upande mwingine Henry amedai kuwa na furaha kupata nafasi hiyo kwa kuwa ni Ligi ambayo ana uzoefu naye baada ya kuwa mchezaji wa timu ya New York Red Bulls kwa kipindi cha miaka minne, hivyo anaamini atafanya makubwa.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MONTREAL, CANADA ALIYEKUWA kocha wa timu ya Monaco, Thierry Henry, ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya Montreal Impact ambayo inashiriki Ligi nchini Marekani. Henry aliwahi kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa Ubelgiji wakati wa michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi huku kocha mkuu akiwa Roberto Martínez. Kocha huyo aliwahi kuwa staa ndani ya klabu ya Arsenal pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa, hivyo amesaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2022. Kocha huyo wakati anaisimamia timu ya taifa Ubelgiji chini ya Martinez, aliweza kuisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia, lakini baada ya hapo akasaini mkataba na Monaco, Octoba 2018. Lakini wakati anaisimamia timu hakuweza kuonesha uwezo wake ndani ya viwanja vya Stade Louis II, hivyo akafungashiwa virago Januari 24 mwaka huu huku akishinda michezo minne kati ya 20 aliyoisimamia. Hivyo uongozi wa Montreal umeona bora umpe nafasi hiyo kwa ajili ya kuonesha uwezo wake kocha huyo mwenye umri wa miaka 42. “Tunatumia nafasi hii kutangaza kuwa gwiji wa soka tuko naye kwenye kikosi chetu, huyu ni Thierry Henry, tunaamini anakuja kwa ajili ya kuibadilisha klabu yetu, yupo tayari kuungana na sisi kwenye mtazamo wetu juu ya timu yetu. “Hivyo tunaamini lengo letu litakamilika hasa katika kutimiza yale ambayo yapo kweny mifumo yetu, yeye ni mshindani mkubwa na kiongozi kwenye timu ambaye amewahi kucheza soka katika hatua ya juu kwenye maisha yake ya soka, hivyo tunaamini kutakuwa na mabadiliko makubwa kwenye timu yetu,” alisema rais wa timu hiyo Kevin Gilmour. Kwa upande mwingine Henry amedai kuwa na furaha kupata nafasi hiyo kwa kuwa ni Ligi ambayo ana uzoefu naye baada ya kuwa mchezaji wa timu ya New York Red Bulls kwa kipindi cha miaka minne, hivyo anaamini atafanya makubwa. ### Response: MICHEZO ### End
NA HERIETH FAUSTINE MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ (Diamond Platinum), amesema pindi atakapoacha muziki atatumikia siasa huku akitamani kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo hivi karibuni alipohojiwa katika kipindi cha Papaso kinachoongozwa na mtangazaji, Di’jaro Arungu ambapo aliweka wazi kwamba akiingia katika siasa atalenga kuwa Waziri wa Michezo pindi Waziri Nape Nnauye atakapomaliza muda wake. “Kwa hivi sasa bado sijaingia kwenye siasa ila nikiingia baadaye atakapomaliza Nape nafasi yake nitachukua mimi,’’ alieleza na kuongeza: “Kile cheo nakiweza kwa sababu mambo ya mpira, movie nayaweza na nikiwa waziri nitavifanya viweze kuleta maendeleo makubwa,” alieleza bila kufafanua atabadilishaje viwe vya maendeleo tofauti na wanavyofanya viongozi wa sasa. Hata hivyo, Diamond hakuweka wazi kwamba ataingia kwenye siasa kupitia chama gani na mwaka gani.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA HERIETH FAUSTINE MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ (Diamond Platinum), amesema pindi atakapoacha muziki atatumikia siasa huku akitamani kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo hivi karibuni alipohojiwa katika kipindi cha Papaso kinachoongozwa na mtangazaji, Di’jaro Arungu ambapo aliweka wazi kwamba akiingia katika siasa atalenga kuwa Waziri wa Michezo pindi Waziri Nape Nnauye atakapomaliza muda wake. “Kwa hivi sasa bado sijaingia kwenye siasa ila nikiingia baadaye atakapomaliza Nape nafasi yake nitachukua mimi,’’ alieleza na kuongeza: “Kile cheo nakiweza kwa sababu mambo ya mpira, movie nayaweza na nikiwa waziri nitavifanya viweze kuleta maendeleo makubwa,” alieleza bila kufafanua atabadilishaje viwe vya maendeleo tofauti na wanavyofanya viongozi wa sasa. Hata hivyo, Diamond hakuweka wazi kwamba ataingia kwenye siasa kupitia chama gani na mwaka gani. ### Response: BURUDANI ### End
Glory Mlay MSANII kutoka WCB, Rajab Abdul ‘Harmonize’, amesema hana tatizo na staa wa Bongo Fleva Rich Mavoko kama ambavyo watu wanavyodai kwenye mitandao ya kijamii. Bosi huyo wa Konde Gang, ameliambia MTANZANIA jana kuwa Mavoko ambaye alijitoa WCB ni miongoni mwa wasanii waliomvutia kufanya muziki lakini pia ni mbia wa kazi zake kutokana na wimbo Show Me uliofanya vizuri mwaka juzi. “Mavoko ni msanii mwenzangu na mbia wangu wa kazi  zangu zaidi ya miaka miwili au mitatu sasa, hivyo lazima nitambue umuhimu wake  na nitaendelea kumpa heshima,” alisema Harmonize ambaye ni miongoni mwa wasanii Afrika watakao tumbuiza katika tamasha la One Africa, New York, Marekani Agosti 10 mwaka huu.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Glory Mlay MSANII kutoka WCB, Rajab Abdul ‘Harmonize’, amesema hana tatizo na staa wa Bongo Fleva Rich Mavoko kama ambavyo watu wanavyodai kwenye mitandao ya kijamii. Bosi huyo wa Konde Gang, ameliambia MTANZANIA jana kuwa Mavoko ambaye alijitoa WCB ni miongoni mwa wasanii waliomvutia kufanya muziki lakini pia ni mbia wa kazi zake kutokana na wimbo Show Me uliofanya vizuri mwaka juzi. “Mavoko ni msanii mwenzangu na mbia wangu wa kazi  zangu zaidi ya miaka miwili au mitatu sasa, hivyo lazima nitambue umuhimu wake  na nitaendelea kumpa heshima,” alisema Harmonize ambaye ni miongoni mwa wasanii Afrika watakao tumbuiza katika tamasha la One Africa, New York, Marekani Agosti 10 mwaka huu. ### Response: BURUDANI ### End
BEIJING, CHINA SERIKALI ya China imesema itaziwekea ongezeko la asilimia 25 la ushuru bidhaa zinazoagizwa kutoka Marekani zenye thamani ya dola bilioni 60 kuanzia Juni mosi. Baraza la Ushuru na Forodha la nchi hiyo limesema hatua hiyo ni jibu kwa tangazo la Marekani la kuziongezea asilimia kama hiyo bidhaa za China zenye thamani ya dola bilioni 200. Utawala wa Rais Donald Trump umewaagiza maofisa wa biashara kutambua aina nyingine za bidhaa kutoka China zenye thamani ya dola bilioni 300 ili ziwekewe pia vikwazo vya ushuru. Mazungumzo ambayo yamekuwa yakifanyika baina ya nchi hizo mbili zinazoongoza kiuchumi duniani kutafuta makubaliano ya kibiashara, yalivunjika Ijumaa iliyopita bila kufikiwa mwafaka. Saa moja kabla ya China kutangaza ongezeko hilo la ushuru, Rais Trump alikuwa ameionya kutothubutu kulipa kisasi, la sivyo hali itakuwa mbaya zaidi. Lakini Wizara ya Mambo ya Nje ya China ilijibu kuwa nchi hiyo kamwe haitasalimu amri kwa shinikizo litokalo nje.                                                                                                                                   
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BEIJING, CHINA SERIKALI ya China imesema itaziwekea ongezeko la asilimia 25 la ushuru bidhaa zinazoagizwa kutoka Marekani zenye thamani ya dola bilioni 60 kuanzia Juni mosi. Baraza la Ushuru na Forodha la nchi hiyo limesema hatua hiyo ni jibu kwa tangazo la Marekani la kuziongezea asilimia kama hiyo bidhaa za China zenye thamani ya dola bilioni 200. Utawala wa Rais Donald Trump umewaagiza maofisa wa biashara kutambua aina nyingine za bidhaa kutoka China zenye thamani ya dola bilioni 300 ili ziwekewe pia vikwazo vya ushuru. Mazungumzo ambayo yamekuwa yakifanyika baina ya nchi hizo mbili zinazoongoza kiuchumi duniani kutafuta makubaliano ya kibiashara, yalivunjika Ijumaa iliyopita bila kufikiwa mwafaka. Saa moja kabla ya China kutangaza ongezeko hilo la ushuru, Rais Trump alikuwa ameionya kutothubutu kulipa kisasi, la sivyo hali itakuwa mbaya zaidi. Lakini Wizara ya Mambo ya Nje ya China ilijibu kuwa nchi hiyo kamwe haitasalimu amri kwa shinikizo litokalo nje.                                                                                                                                    ### Response: KIMATAIFA ### End
Na SWAGGAZ RIPOTA IMESHAFAHAMIKA kuwa Dylan au Abdulatif ni mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobetto, siri hiyo iliyofichwa kwa muda mrefu  ilifichuliwa na Chibu Dangote mwenyewe katika mahojiano na moja ya redio kubwa nchini. Baada ya Diamond kuweka bayana ukweli wote mashabiki na watu maarufu mbalimbali nchini wamekuwa na maoni yao huku kila mtu akiwa upande wake ambapo wengi wametokea kumuelewa zaidi Diamond Platnumz. Kiu kubwa ya Hamisa Mobetto ilikuwa ni kuionyesha jamii kuwa hadanganyi, anasema ukweli kuhusu kubeba ujauzito wa Diamond ndiyo maana ilimlazimu kutumia nguvu ya ziada katika kuonyesha picha na video za chumbani akiwa na Chibu wakati anafahamu wazi hayo hayakuwa makubaliano yao. Diamond Platnumz aliweka wazi kuwa alihitaji iwe siri, japo ingekuja kufahamika lakini si kwa mtindo ambao Hamisa  aliutumia unaotengeneza mazingira mabaya kwa makuzi ya mtoto wao na mzazi mwenzake na Diamond (Zari). Sakati hilo limekuwa kubwa na kuzua gumzo kwa mastaa wengine ambao nao wametoa mtazamo wao kuhusu uhusiano huo. Watu wengi wakiwemo mastaa na viongozi mbalimbali wametokea kumkubali Diamond Platnumz kwa uamuzi wa kukubali kubeba majukumu yote ya baba kama kuhudumia ujauzito mpaka mtoto alipozaliwa. Miongoni mwao ni mwigizaji Yobnesh Yusuph ‘Batuli’, Mbongo Fleva Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ambaye pia ni Mbunge wa Mikumi (Chadema), mwigizaji Shamsa Ford na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Mastaa wengine ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ambaye kwa sasa mwigizaji. Pia kuna waliowahi kuwa wapenzi wa mastaa Barnaba (Zuumela) na Faiza Ally, mzazi mwenzake na mkongwe wa Hip Hop ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi. ZUUMELA AMTUPIA DONGO BARNABA Huyu ni miongoni mwa mastaa walioguswa na ujasiri wa Diamond Platnumz wa kukiri kosa na kukubali kuomba radhi kutokana na tukio la kumsaliti na kuzaa nje ya uhusiano wake na Zari. Mrembo huyo ambaye aliachana na Barnaba miezi kadhaa iliyopita na kuwa na mpenzi mwingine anayemwita (), aliandika hayo kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram ambayo  yalionekana wazi kuwa ni dongo kwa X wake huyo. Aliandika: “Wanaume wote wangekuwa kama Diamond Platnumz na Kevin Hart walaah hata mimi ningekuwa bado kwenye mahusiano yangu, acha nikapambane na husband wangu mpya.” Mwisho alimalizia kwa kuwatakia mashabiki mchana mwema huku akisisitiza mpenzi wake mpya hapendi uswahili kwa kuwa kuna watu wanasubiri aseme chochote ili wakazue gumzo kwenye mitandao ya kijamii. FAIZA ALLY Mwanamitindo Faiza Ally yeye aliandika: “Naona umeona aibu mtoto mdogo kama Diamond anavyoweza kuwa ‘responsible’ na watoto pamoja na ujinga wote unaoendelea, haya na aibu ikakushika kuona kuna watoto uliowazidi umri wanakuzidi akili.” Aliandika mengi ambayo yalionekana wazi kuwa na nia ya kumkashfu mzazi mwenzake, Sugu juu ya suala zima la kutomjali mtoto wao wa kike Sasha, madai ambayo amekuwa akiyarudia mara kwa mara. Hata hivyo, Sugu kupitia ukurasa wake wa Instagram alionyesha kuwa tuhuma hizo si za kweli kwani amekuwa akilipa ada ya shule ya mwanaye huyo  licha ya mzazi Faiza kuweka vikwazo ikiwa ni pamoja na kumkataza kuonana na mwanaye. Sugu alikwenda mbali zaidi kwa kuweka stakabadhi za malipo ya ada jambo lililozima tuhuma hizo za Faiza. Katika posti hiyo, Sugu aliandika: “Huwa sipendi kuposti mambo haya lakini imenibidi, hizi ni bank slips za ada ya mwisho niliyolipa kwenye shule ya chekechekea aliyokuwa anasoma mwanangu za mwezi wa 5 mwaka huu 2017 ambako alishamaliza. “Mwezi huu ilikuwa nimhashie Shule ya Feza pale Mikocheni, lakini from no where mama yake ghafla akanizuia na kusema hahitaji tena nilipe ada na hata kunizuia nisimuone tena mwanangu Sasha! “Na ana uwezo wa kumlipia ada ambapo niliwasiliana na uongozi ili niweze kulipa ada hata kama nimepigwa marufuku kumwona mwanangu bila sababu… # hivi kama ni nyie mngefanyaje?”
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na SWAGGAZ RIPOTA IMESHAFAHAMIKA kuwa Dylan au Abdulatif ni mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobetto, siri hiyo iliyofichwa kwa muda mrefu  ilifichuliwa na Chibu Dangote mwenyewe katika mahojiano na moja ya redio kubwa nchini. Baada ya Diamond kuweka bayana ukweli wote mashabiki na watu maarufu mbalimbali nchini wamekuwa na maoni yao huku kila mtu akiwa upande wake ambapo wengi wametokea kumuelewa zaidi Diamond Platnumz. Kiu kubwa ya Hamisa Mobetto ilikuwa ni kuionyesha jamii kuwa hadanganyi, anasema ukweli kuhusu kubeba ujauzito wa Diamond ndiyo maana ilimlazimu kutumia nguvu ya ziada katika kuonyesha picha na video za chumbani akiwa na Chibu wakati anafahamu wazi hayo hayakuwa makubaliano yao. Diamond Platnumz aliweka wazi kuwa alihitaji iwe siri, japo ingekuja kufahamika lakini si kwa mtindo ambao Hamisa  aliutumia unaotengeneza mazingira mabaya kwa makuzi ya mtoto wao na mzazi mwenzake na Diamond (Zari). Sakati hilo limekuwa kubwa na kuzua gumzo kwa mastaa wengine ambao nao wametoa mtazamo wao kuhusu uhusiano huo. Watu wengi wakiwemo mastaa na viongozi mbalimbali wametokea kumkubali Diamond Platnumz kwa uamuzi wa kukubali kubeba majukumu yote ya baba kama kuhudumia ujauzito mpaka mtoto alipozaliwa. Miongoni mwao ni mwigizaji Yobnesh Yusuph ‘Batuli’, Mbongo Fleva Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ambaye pia ni Mbunge wa Mikumi (Chadema), mwigizaji Shamsa Ford na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Mastaa wengine ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ambaye kwa sasa mwigizaji. Pia kuna waliowahi kuwa wapenzi wa mastaa Barnaba (Zuumela) na Faiza Ally, mzazi mwenzake na mkongwe wa Hip Hop ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi. ZUUMELA AMTUPIA DONGO BARNABA Huyu ni miongoni mwa mastaa walioguswa na ujasiri wa Diamond Platnumz wa kukiri kosa na kukubali kuomba radhi kutokana na tukio la kumsaliti na kuzaa nje ya uhusiano wake na Zari. Mrembo huyo ambaye aliachana na Barnaba miezi kadhaa iliyopita na kuwa na mpenzi mwingine anayemwita (), aliandika hayo kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram ambayo  yalionekana wazi kuwa ni dongo kwa X wake huyo. Aliandika: “Wanaume wote wangekuwa kama Diamond Platnumz na Kevin Hart walaah hata mimi ningekuwa bado kwenye mahusiano yangu, acha nikapambane na husband wangu mpya.” Mwisho alimalizia kwa kuwatakia mashabiki mchana mwema huku akisisitiza mpenzi wake mpya hapendi uswahili kwa kuwa kuna watu wanasubiri aseme chochote ili wakazue gumzo kwenye mitandao ya kijamii. FAIZA ALLY Mwanamitindo Faiza Ally yeye aliandika: “Naona umeona aibu mtoto mdogo kama Diamond anavyoweza kuwa ‘responsible’ na watoto pamoja na ujinga wote unaoendelea, haya na aibu ikakushika kuona kuna watoto uliowazidi umri wanakuzidi akili.” Aliandika mengi ambayo yalionekana wazi kuwa na nia ya kumkashfu mzazi mwenzake, Sugu juu ya suala zima la kutomjali mtoto wao wa kike Sasha, madai ambayo amekuwa akiyarudia mara kwa mara. Hata hivyo, Sugu kupitia ukurasa wake wa Instagram alionyesha kuwa tuhuma hizo si za kweli kwani amekuwa akilipa ada ya shule ya mwanaye huyo  licha ya mzazi Faiza kuweka vikwazo ikiwa ni pamoja na kumkataza kuonana na mwanaye. Sugu alikwenda mbali zaidi kwa kuweka stakabadhi za malipo ya ada jambo lililozima tuhuma hizo za Faiza. Katika posti hiyo, Sugu aliandika: “Huwa sipendi kuposti mambo haya lakini imenibidi, hizi ni bank slips za ada ya mwisho niliyolipa kwenye shule ya chekechekea aliyokuwa anasoma mwanangu za mwezi wa 5 mwaka huu 2017 ambako alishamaliza. “Mwezi huu ilikuwa nimhashie Shule ya Feza pale Mikocheni, lakini from no where mama yake ghafla akanizuia na kusema hahitaji tena nilipe ada na hata kunizuia nisimuone tena mwanangu Sasha! “Na ana uwezo wa kumlipia ada ambapo niliwasiliana na uongozi ili niweze kulipa ada hata kama nimepigwa marufuku kumwona mwanangu bila sababu… # hivi kama ni nyie mngefanyaje?” ### Response: BURUDANI ### End
  Unapogusa tasnia ya muziki wa Bongo Fleva basi lazima utataja miamba miwili, Diamond Platnumz na Ali Kiba. Hata hivyo nguvu ya Ali Kiba kidogo inaonekana kushuka kidogo wakati Diamond bado akiendelea kutikisa. Watanzania wengi wanaamini kama hauko upande wa Diamond Platnumz basi uko upande wa Ali Kiba kutoka na ushawishi uliopo katika pande hizi mbili. Sasa hivi karibuni kumekuwa na sintofahamu ya Harmonize kung’oka katika lebo ya WCB chini ya Diamond Platnumz licha kwamba mwenyewe amekuwa akikanusha. Na jambo ambalo limezidi kuleta sintofahamu ni uamuzi wa Harminize kuamua kum-follow Ali Kiba ilhali wasanii wote chini ya lebo ya WCB akiwemo mmiliki mwenyewe Diamond Platnumz hawamfollow mkongwe huyo katika game ya Bongo Fleva. Hiyo imeongeza chuki kwa mashabiki wa ngome ya Diamind Platnumz ambapo wameamua dhahiri kuonesha chuki zao kwa nyota huyo aliyemba sana na ngoma ya Kwangwaru. Kila wakati ambapo Harmonize amekuwa aki-comment kwenye posti za Diamond Platnumz amekuwa akipokea vijembe na kejeli kutoka kwa mashabiki wa staa huyo wakidai kwamba amemsaliti Diamond. Katika moja ya post ambazo Diamond ameweka akiwa nchini Marekani, Harmonize ame-comment kwa kuandika ‘DADY’ akimaanisha baba, ambapo mashabiki wa Diamond wamevamia comment yake ya kutolea maneno ya dhihaka, kejeli na matusi pia. mhogo7 @harmonize_tzhata ucomment vipi hatokujibu mbwa wewe ebu koma takataka wewe naa4916 @harmonize_tzoya kwan we dady yako cmagufuli tuache na sis na dady yetu simbaaaa simba_wa_morogoro @harmonize_tz daddy akoo yuko chitohori bhn, huyuu ni simba Yuko Kwenye Mbuga Yake mhogo7 @mrkingoneakampongeze Baba yake aliyemzaa siyo Dai na kamwe hatokaa amjibu mbwa huyu nobocka_wasafi @harmonize_tz diamond ukimuudhi ana asili ya kukuchekea ila aktoa maamuz yake hua n magumu na yakustajabsha, harmonize endelea kurubuniwa na hao watu hzo million 200 ulzoahdiwa ili uvuruge label yetu WCB, ztakutokea puani mashabiki tumesmama imara huku tukisubili tamko LA simba ili ujue kua ss ndo tumekfanya uwe mkbwa, golden_boy_de_magnifico @harmonize_tz punguza shobo daddy wako yupo chitohori we ama team yetu shubakenge proffevans @harmonize_tzkijana vimba kabisaa. Mwishowe VISA. Unahitaji management ya WCB side.don @harmonize_tzakuna cha udady wara. nini tunasuburi simba arudi atoe tamko ndio utajuwa nguvu ya wcb
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --   Unapogusa tasnia ya muziki wa Bongo Fleva basi lazima utataja miamba miwili, Diamond Platnumz na Ali Kiba. Hata hivyo nguvu ya Ali Kiba kidogo inaonekana kushuka kidogo wakati Diamond bado akiendelea kutikisa. Watanzania wengi wanaamini kama hauko upande wa Diamond Platnumz basi uko upande wa Ali Kiba kutoka na ushawishi uliopo katika pande hizi mbili. Sasa hivi karibuni kumekuwa na sintofahamu ya Harmonize kung’oka katika lebo ya WCB chini ya Diamond Platnumz licha kwamba mwenyewe amekuwa akikanusha. Na jambo ambalo limezidi kuleta sintofahamu ni uamuzi wa Harminize kuamua kum-follow Ali Kiba ilhali wasanii wote chini ya lebo ya WCB akiwemo mmiliki mwenyewe Diamond Platnumz hawamfollow mkongwe huyo katika game ya Bongo Fleva. Hiyo imeongeza chuki kwa mashabiki wa ngome ya Diamind Platnumz ambapo wameamua dhahiri kuonesha chuki zao kwa nyota huyo aliyemba sana na ngoma ya Kwangwaru. Kila wakati ambapo Harmonize amekuwa aki-comment kwenye posti za Diamond Platnumz amekuwa akipokea vijembe na kejeli kutoka kwa mashabiki wa staa huyo wakidai kwamba amemsaliti Diamond. Katika moja ya post ambazo Diamond ameweka akiwa nchini Marekani, Harmonize ame-comment kwa kuandika ‘DADY’ akimaanisha baba, ambapo mashabiki wa Diamond wamevamia comment yake ya kutolea maneno ya dhihaka, kejeli na matusi pia. mhogo7 @harmonize_tzhata ucomment vipi hatokujibu mbwa wewe ebu koma takataka wewe naa4916 @harmonize_tzoya kwan we dady yako cmagufuli tuache na sis na dady yetu simbaaaa simba_wa_morogoro @harmonize_tz daddy akoo yuko chitohori bhn, huyuu ni simba Yuko Kwenye Mbuga Yake mhogo7 @mrkingoneakampongeze Baba yake aliyemzaa siyo Dai na kamwe hatokaa amjibu mbwa huyu nobocka_wasafi @harmonize_tz diamond ukimuudhi ana asili ya kukuchekea ila aktoa maamuz yake hua n magumu na yakustajabsha, harmonize endelea kurubuniwa na hao watu hzo million 200 ulzoahdiwa ili uvuruge label yetu WCB, ztakutokea puani mashabiki tumesmama imara huku tukisubili tamko LA simba ili ujue kua ss ndo tumekfanya uwe mkbwa, golden_boy_de_magnifico @harmonize_tz punguza shobo daddy wako yupo chitohori we ama team yetu shubakenge proffevans @harmonize_tzkijana vimba kabisaa. Mwishowe VISA. Unahitaji management ya WCB side.don @harmonize_tzakuna cha udady wara. nini tunasuburi simba arudi atoe tamko ndio utajuwa nguvu ya wcb ### Response: BURUDANI ### End
RAIS Salva Kiir amesema anatamani watoto wake wapate pia uraia wa Kenya kwa kuwa walizaliwa nchini humo. Aidha, amesema anaichukulia Kenya kama nchi yake ya pili kutokana na kuwa nchi jirani na yenye uhusiano mwema na Sudan Kusini.“Naichukulia Kenya kama makazi yangu mengine, ni nyumbani kabisa. Na mara nyingi nawafikiria watoto wangu. Wamezaliwa hapa (Kenya), hivyo nadhani wanastahili uraia wa Kenya,” alisema Rais Kiir wakati wa ibada ya kila mwaka ya kuliombea taifa la Kenya. Kiir alikuwa mwalikwa katika hafla hiyo.Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alitumia fursa hiyo kuwasihi viongozi wa Sudan Kusini kuweka mbele maslahi ya taifa ili kuleta haki na usawa miongoni mwa raia wa nchi hiyo, hali itakayosaidia kuondoa misuguano isiyo ya lazima. “Uongozi haujalishi nani ni rais wa nchi, bali ni kuhudumia wananchi.Watu wa Sudan Kusini wanahitaji sana amani ili wapate huduma bora, ndiyo maana kwa muda mrefu wamekuwa wakipigania amani. Sisi kama Kenya tupo tayari kufanya kazi nawe na viongozi wengine ili kuhakikisha Sudan Kusini inakuwa na umoja wa kweli, umoja utakaozaa amani ya kudumu. Ndiyo ndoto yangu na hata ya viongozi wengine katika jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…,” alisema Rais Kenyatta.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS Salva Kiir amesema anatamani watoto wake wapate pia uraia wa Kenya kwa kuwa walizaliwa nchini humo. Aidha, amesema anaichukulia Kenya kama nchi yake ya pili kutokana na kuwa nchi jirani na yenye uhusiano mwema na Sudan Kusini.“Naichukulia Kenya kama makazi yangu mengine, ni nyumbani kabisa. Na mara nyingi nawafikiria watoto wangu. Wamezaliwa hapa (Kenya), hivyo nadhani wanastahili uraia wa Kenya,” alisema Rais Kiir wakati wa ibada ya kila mwaka ya kuliombea taifa la Kenya. Kiir alikuwa mwalikwa katika hafla hiyo.Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta alitumia fursa hiyo kuwasihi viongozi wa Sudan Kusini kuweka mbele maslahi ya taifa ili kuleta haki na usawa miongoni mwa raia wa nchi hiyo, hali itakayosaidia kuondoa misuguano isiyo ya lazima. “Uongozi haujalishi nani ni rais wa nchi, bali ni kuhudumia wananchi.Watu wa Sudan Kusini wanahitaji sana amani ili wapate huduma bora, ndiyo maana kwa muda mrefu wamekuwa wakipigania amani. Sisi kama Kenya tupo tayari kufanya kazi nawe na viongozi wengine ili kuhakikisha Sudan Kusini inakuwa na umoja wa kweli, umoja utakaozaa amani ya kudumu. Ndiyo ndoto yangu na hata ya viongozi wengine katika jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…,” alisema Rais Kenyatta. ### Response: KITAIFA ### End
Kauli hiyo ya Mwambusi imekuja siku moja baada ya kuifunga Azam bao 1-0 katika mechi ya juzi kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kubaki kileleni kwa tofauti ya pointi moja baada ya jana Simba kupoteza mechi yake dhidi ya Kagera Sugar kwa mabao 2-1 kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba.Akizungumza baada ya mechi ya juzi, Mwambusi alisema pamoja na kuandamwa na majeruhi wengi, lakini timu yake bado ipo kwenye nafasi nzuri ya kutetea ubingwa.“Kwenye mbio za ubingwa bado tupo na pia tunajipanga kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika. “Majeruhi wanazidi kuutumiza na hii inatokana na sisi kukosa muda wa kupumzika kwani tulitoka kwenye mashindano ya Afrika tukaingia kwenye Ligi Kuu na sasa bado tunacheza mashindano ya kimataifa pamoja na ligi lakini tutahakikisha tunafanya vizuri,” alisema Mwambusi.Pia Mwambusi alisema katika mashindano ya kimataifa hawajafanya vizuri hivyo wanajiandaa kuhakikisha wanafanya vizuri ikiwa ni pamoja na kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza kwenye mchezo dhidi ya Azam.Naye kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche alikiri kuwa nafasi ya ubingwa wa ligi kuu ni finyu kwa upande wao baada ya kupoteza mchezo huo.“Timu ilikosa umakini kwenye umaliziaji na nafasi ya ubingwa hatuna hivyo tunatafuta kumaliza katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi katika msimu huu kwani tumeachwa kwa pointi nyingi na Simba na Yanga,” alisema Cheche.Pia Cheche alikiri kukosekana kwa mshambuliaji wake John Bocco ni moja ya sababu ya kushindwa kufanya vizuri kwani washambuliaji wake walishindwa kufunga mabao licha ya kupata nafasi nyingi za wazi.Yanga imefikisha pointi 56 na Azam inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 44 baada ya kucheza mechi 25, ikiwa imeachwa kwa pointi 12 na Yanga.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kauli hiyo ya Mwambusi imekuja siku moja baada ya kuifunga Azam bao 1-0 katika mechi ya juzi kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kubaki kileleni kwa tofauti ya pointi moja baada ya jana Simba kupoteza mechi yake dhidi ya Kagera Sugar kwa mabao 2-1 kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba.Akizungumza baada ya mechi ya juzi, Mwambusi alisema pamoja na kuandamwa na majeruhi wengi, lakini timu yake bado ipo kwenye nafasi nzuri ya kutetea ubingwa.“Kwenye mbio za ubingwa bado tupo na pia tunajipanga kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika. “Majeruhi wanazidi kuutumiza na hii inatokana na sisi kukosa muda wa kupumzika kwani tulitoka kwenye mashindano ya Afrika tukaingia kwenye Ligi Kuu na sasa bado tunacheza mashindano ya kimataifa pamoja na ligi lakini tutahakikisha tunafanya vizuri,” alisema Mwambusi.Pia Mwambusi alisema katika mashindano ya kimataifa hawajafanya vizuri hivyo wanajiandaa kuhakikisha wanafanya vizuri ikiwa ni pamoja na kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza kwenye mchezo dhidi ya Azam.Naye kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche alikiri kuwa nafasi ya ubingwa wa ligi kuu ni finyu kwa upande wao baada ya kupoteza mchezo huo.“Timu ilikosa umakini kwenye umaliziaji na nafasi ya ubingwa hatuna hivyo tunatafuta kumaliza katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi katika msimu huu kwani tumeachwa kwa pointi nyingi na Simba na Yanga,” alisema Cheche.Pia Cheche alikiri kukosekana kwa mshambuliaji wake John Bocco ni moja ya sababu ya kushindwa kufanya vizuri kwani washambuliaji wake walishindwa kufunga mabao licha ya kupata nafasi nyingi za wazi.Yanga imefikisha pointi 56 na Azam inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 44 baada ya kucheza mechi 25, ikiwa imeachwa kwa pointi 12 na Yanga. ### Response: MICHEZO ### End