input
stringlengths
5
25.1k
label
stringclasses
6 values
instructions-text
stringlengths
279
25.4k
Na MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM MWANAHABARI mkongwe na mkuu wa wilaya mstaafu, Muhingo Rweyemamu ambaye alifariki dunia juzi katika Hospitali ya Aga Khan   Dar es Salaam, atazikwa katika makaburi ya Kinondoni kesho. Muhingo alikutwa na mauti wakati akitibiwa katika hospitali hiyo, akisumbuliwa na ugonjwa wa Myelofibrosis ambao hudhoofisha uwezo wa kinga za mwili kutengeneza damu. Akizungumza na MTANZANIA, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda ambaye pia alikuwa rafiki wa marehemu, alisema baada ya kikao cha mashauriano, imekubaliwa kwamba  Muhingoi atazikwa kesho. “Shughuli za mazishi zitatanguliwa na ibada ya kumuaga ambayo itafanyika katika Kanisa la KKKT Mbezi (Kibanda cha Mkaa). “Mwili wa marehemu Muhingo unatarajiwa kufikishwa nyumbani kwake Mbezi Luis Jumatatu ambako utalala hadi  Jumanne. “Ratiba ya shughuli nzima na taratibu kamili za mazishi zinatarajiwa kutolewa kesho (leo) Jumatatu,”alisema Kibanda. Akizungumza juzi na gazeti hili, Msemaji wa familia ambaye pia ni kaka wa marehemu, Elisa Muhingo, alisema kwa   takribani miaka 11, Muhingo alikuwa anaumwa na kuwekewa damu mara kwa mara na kwamba mwaka jana alizidiwa. Enzi za uhai wake, Muhingo alitambulika vema kama mwalimu mbobezi na kiongozi mahiri katika masuala ya habari kwa waandishi wengi ambao wanaendelea kuitumikia tasnia hiyo. Pia ni mmoja wa waanzilishi wa gazeti la Mwananchi. Umahiri wake ndani ya tasnia ya habari ulijitanua na kufahamika vema kuanzia mwaka 1993 alipoanza kuripoti kwenye magazeti ya Mwananchi na The Express. Mazingira ya kubobea zaidi katika uandishi yalimpandisha hadhi mwaka 1995 na kuwa mwandishi mwandamizi, Mhariri wa Makala, Mhariri na Mkuu wa Kitengo cha Picha katika Gazeti la Mtanzania. Ndani ya utumishi wake katika ngazi ya uhariri, Muhingo, alitumikia magazeti mbalimbali   nchini na baadaye kuwa  Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd. Mbali na ubobezi wake katika tasnia hiyo, pia Muhingo amepata kutumikia nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Makete na Morogoro Mjini.   WASIFU Mwaka 2004 Muhingo alihitimu masomo ya Shahada ya Kwanza ya Uandishi wa Habari (BAJ) katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa. Mwaka 1993 alihitimu Stashahada ya Uandishi wa Habari katika Chuo cha Uandishi wa Habari cha TSJ. Mwaka 1989 alihitimu Stashahada ya Elimu katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dar es Salaam. Mwaka 1983 alihitimu Astashahada ya Elimu katika Chuo cha Ualimu cha Tukuyu na mwaka 1977 alihitimu Elimu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari Nyakato. UZOEFU KAZINI Mwaka 1984-1985 alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Igwata, Geita. Mwaka 1985-1987 alikuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Makongo, Dar es Salaam. Mwaka 1989 alikuwa Mkufunzi wa Chuo cha Ualimu Morogoro. Mwaka 1989-1992 alikuwa Katibu Uenezi Taifa wa Chama cha Wanataaluma ya Uenezi. Mwaka 1993-1995 alikuwa mwandishi wa habari wa magazeti ya Mwananchi na The Express. Mwaka 1995-1998 alikuwa Mwandishi Mwandamizi , Mhariri wa Makala, Mhariri na Mkuu wa Kitengo cha Picha katika Gazeti la Mtanzania. Mwaka 1999 alikuwa Mhariri Mkuu wa Jarida la Wiki Hii. Mwaka 1999-2001, alikuwa Naibu Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi. Mwaka 2003, alikuwa Mwakilishi wa Jarida la habari za mazingira la ENS la Marekani. Mwaka 2004-2005, alikuwa Mhariri Mshiriki akihusika na mambo ya siasa katika Gazeti la Citizen. Mwaka 2006-2008 alikuwa Mhariri wa Gazeti la Rai. Mwaka 2008-2010, alikuwa Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM MWANAHABARI mkongwe na mkuu wa wilaya mstaafu, Muhingo Rweyemamu ambaye alifariki dunia juzi katika Hospitali ya Aga Khan   Dar es Salaam, atazikwa katika makaburi ya Kinondoni kesho. Muhingo alikutwa na mauti wakati akitibiwa katika hospitali hiyo, akisumbuliwa na ugonjwa wa Myelofibrosis ambao hudhoofisha uwezo wa kinga za mwili kutengeneza damu. Akizungumza na MTANZANIA, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda ambaye pia alikuwa rafiki wa marehemu, alisema baada ya kikao cha mashauriano, imekubaliwa kwamba  Muhingoi atazikwa kesho. “Shughuli za mazishi zitatanguliwa na ibada ya kumuaga ambayo itafanyika katika Kanisa la KKKT Mbezi (Kibanda cha Mkaa). “Mwili wa marehemu Muhingo unatarajiwa kufikishwa nyumbani kwake Mbezi Luis Jumatatu ambako utalala hadi  Jumanne. “Ratiba ya shughuli nzima na taratibu kamili za mazishi zinatarajiwa kutolewa kesho (leo) Jumatatu,”alisema Kibanda. Akizungumza juzi na gazeti hili, Msemaji wa familia ambaye pia ni kaka wa marehemu, Elisa Muhingo, alisema kwa   takribani miaka 11, Muhingo alikuwa anaumwa na kuwekewa damu mara kwa mara na kwamba mwaka jana alizidiwa. Enzi za uhai wake, Muhingo alitambulika vema kama mwalimu mbobezi na kiongozi mahiri katika masuala ya habari kwa waandishi wengi ambao wanaendelea kuitumikia tasnia hiyo. Pia ni mmoja wa waanzilishi wa gazeti la Mwananchi. Umahiri wake ndani ya tasnia ya habari ulijitanua na kufahamika vema kuanzia mwaka 1993 alipoanza kuripoti kwenye magazeti ya Mwananchi na The Express. Mazingira ya kubobea zaidi katika uandishi yalimpandisha hadhi mwaka 1995 na kuwa mwandishi mwandamizi, Mhariri wa Makala, Mhariri na Mkuu wa Kitengo cha Picha katika Gazeti la Mtanzania. Ndani ya utumishi wake katika ngazi ya uhariri, Muhingo, alitumikia magazeti mbalimbali   nchini na baadaye kuwa  Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd. Mbali na ubobezi wake katika tasnia hiyo, pia Muhingo amepata kutumikia nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Makete na Morogoro Mjini.   WASIFU Mwaka 2004 Muhingo alihitimu masomo ya Shahada ya Kwanza ya Uandishi wa Habari (BAJ) katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa. Mwaka 1993 alihitimu Stashahada ya Uandishi wa Habari katika Chuo cha Uandishi wa Habari cha TSJ. Mwaka 1989 alihitimu Stashahada ya Elimu katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dar es Salaam. Mwaka 1983 alihitimu Astashahada ya Elimu katika Chuo cha Ualimu cha Tukuyu na mwaka 1977 alihitimu Elimu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari Nyakato. UZOEFU KAZINI Mwaka 1984-1985 alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Igwata, Geita. Mwaka 1985-1987 alikuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Makongo, Dar es Salaam. Mwaka 1989 alikuwa Mkufunzi wa Chuo cha Ualimu Morogoro. Mwaka 1989-1992 alikuwa Katibu Uenezi Taifa wa Chama cha Wanataaluma ya Uenezi. Mwaka 1993-1995 alikuwa mwandishi wa habari wa magazeti ya Mwananchi na The Express. Mwaka 1995-1998 alikuwa Mwandishi Mwandamizi , Mhariri wa Makala, Mhariri na Mkuu wa Kitengo cha Picha katika Gazeti la Mtanzania. Mwaka 1999 alikuwa Mhariri Mkuu wa Jarida la Wiki Hii. Mwaka 1999-2001, alikuwa Naibu Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi. Mwaka 2003, alikuwa Mwakilishi wa Jarida la habari za mazingira la ENS la Marekani. Mwaka 2004-2005, alikuwa Mhariri Mshiriki akihusika na mambo ya siasa katika Gazeti la Citizen. Mwaka 2006-2008 alikuwa Mhariri wa Gazeti la Rai. Mwaka 2008-2010, alikuwa Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd. ### Response: KITAIFA ### End
NA RHOBI CHACHA MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’. Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’. “Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za Lady Jaydee na kupitia muziki wake ndiyo maana nikahamasika kuingia katika muziki hadi sasa,’’ alieleza Mwasiti.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA RHOBI CHACHA MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’. Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’. “Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za Lady Jaydee na kupitia muziki wake ndiyo maana nikahamasika kuingia katika muziki hadi sasa,’’ alieleza Mwasiti. ### Response: BURUDANI ### End
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo Omary Mdogwa alisema tamasha la ZIFF ni tamasha la utamaduni na nembo yake ni Jahazi, hivyo mbio hizo za ngalawa zimeshikiliwa na ZIFF kama njia mojawapo ya kuendeleza utamaduni wa Zanzibar na wa nchi za Jahazi.“Kila mwaka wakati wa ZIFF tunakuwa na mashindano ya Ngalawa, kwa mwaka huu tumeamua kupanua wigo na hivyo yatafanyika Bagamoyo kesho (leo) kwenye ufukwe wa Millenium Hotel na kwa Dar es Salaam yatafanyika kwenye ufukwe wa Msasani,” alisema.Mdogwa alisema washindi wa kwanza kutoka Bagamoyo na Dar es Salaam watapelekwa Zanzibar kushindana na majahazi mengine 10.Alisema mbio za mwaka huu za ZIFF zitakuwa za kipekee kwa kuwa zitafanyika siku ya Eid pili Julai 19 na zinatarajiwa kuhudhuriwa na watu zaidi ya 20,000 katika ufukwe wa bahari wa Forodhani kushuhudia mbio hizo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo Omary Mdogwa alisema tamasha la ZIFF ni tamasha la utamaduni na nembo yake ni Jahazi, hivyo mbio hizo za ngalawa zimeshikiliwa na ZIFF kama njia mojawapo ya kuendeleza utamaduni wa Zanzibar na wa nchi za Jahazi.“Kila mwaka wakati wa ZIFF tunakuwa na mashindano ya Ngalawa, kwa mwaka huu tumeamua kupanua wigo na hivyo yatafanyika Bagamoyo kesho (leo) kwenye ufukwe wa Millenium Hotel na kwa Dar es Salaam yatafanyika kwenye ufukwe wa Msasani,” alisema.Mdogwa alisema washindi wa kwanza kutoka Bagamoyo na Dar es Salaam watapelekwa Zanzibar kushindana na majahazi mengine 10.Alisema mbio za mwaka huu za ZIFF zitakuwa za kipekee kwa kuwa zitafanyika siku ya Eid pili Julai 19 na zinatarajiwa kuhudhuriwa na watu zaidi ya 20,000 katika ufukwe wa bahari wa Forodhani kushuhudia mbio hizo. ### Response: MICHEZO ### End
CULIACAN, MEXICO Bingwa wa soka kutoka Argentina, Diego Maradona, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya Dorados de Sinaloa ambayo inashiriki Ligi Daraja la Pili nchini Mexico. Mshindi huyo wa Kombe la Dunia mwaka 1986 akiwa na Argentina, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 57, aliwahi kupewa nafasi ya kuifundisha timu hiyo ya taifa lake tangu mwaka 2008 hadi 2010, lakini hakulipa mafanikio makubwa. Hata hivyo, mara ya mwisho kufundisha soka ilikuwa klabu ya Al-Fujairah, iliyopo katika Umoja wa Falme za Kiarabu na mkataba wake ulimalizika Aprili mwaka huu. Vyombo vya habari nchini Mexico vinadai kuwa, Maradona ameajiriwa na klabu hiyo mpya kwa ajili ya kuchukuwa nafasi ya Francisco Gamez, aliyefutwa kazi Alhamisi. Klabu hiyo imesambaza video fupi inayoonesha kumkaribisha kocha huyo mpya huku wakisema ‘Karibu Diego Timiza 10’ hiyo ni namba ambayo iliyokuwa kwenye jezi ya Maradona alipokuwa mchezaji. Klabu ya Dorados ilianzishwa mwaka 2003 na kocha wa sasa wa Manchester City, Pep Guardiola, aliwahi kuichezea kwa miezi 6 mnamo mwaka 2005.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- CULIACAN, MEXICO Bingwa wa soka kutoka Argentina, Diego Maradona, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya Dorados de Sinaloa ambayo inashiriki Ligi Daraja la Pili nchini Mexico. Mshindi huyo wa Kombe la Dunia mwaka 1986 akiwa na Argentina, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 57, aliwahi kupewa nafasi ya kuifundisha timu hiyo ya taifa lake tangu mwaka 2008 hadi 2010, lakini hakulipa mafanikio makubwa. Hata hivyo, mara ya mwisho kufundisha soka ilikuwa klabu ya Al-Fujairah, iliyopo katika Umoja wa Falme za Kiarabu na mkataba wake ulimalizika Aprili mwaka huu. Vyombo vya habari nchini Mexico vinadai kuwa, Maradona ameajiriwa na klabu hiyo mpya kwa ajili ya kuchukuwa nafasi ya Francisco Gamez, aliyefutwa kazi Alhamisi. Klabu hiyo imesambaza video fupi inayoonesha kumkaribisha kocha huyo mpya huku wakisema ‘Karibu Diego Timiza 10’ hiyo ni namba ambayo iliyokuwa kwenye jezi ya Maradona alipokuwa mchezaji. Klabu ya Dorados ilianzishwa mwaka 2003 na kocha wa sasa wa Manchester City, Pep Guardiola, aliwahi kuichezea kwa miezi 6 mnamo mwaka 2005. ### Response: MICHEZO ### End
Na OSCAR ASSENGA-PANGANI NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, ametishia kutompa ushirikiano mwekezaji wa Kampuni ya Amboni Plantation anayejishughulisha na kilimo cha mkonge iwapo hatabadilika na kusaidia miradi ya maendeleo kwenye vijiji na vitongoji vinavyomzunguka. Aweso ambaye pia ni Mbunge wa Pangani (CCM), aliyasema hayo juzi wakati wa ziara yake ya kutembelea Kituo cha Afya cha Mwera na kuona mradi wa ujenzi wa baadhi ya majengo ulivyokwama baada ya mwekezaji huyo kugoma kutoa sehemu ya ardhi yake. Pamoja na mambo mengine, naibu waziri huyo alikagua ujenzi wa sehemu ya upasuaji na ukarabati wa miundombinu iliyopo katika kituo hicho cha afya. “Kitendo cha mwekezaji huyo kushindwa kuwathamini wananchi na kushindwa kushiriki kwenye shughuli za kijamii ikiwamo kuchangia miradi inayotekelezwa kwenye kata hiyo ikiwamo elimu, afya na miundombinu, kinakwenda kinyume na taratibu za uwekezaji huo. “Kwa hiyo, nasema mwekezaji ambaye amewekeza kwenye kata hii na amechukua eneo kubwa la ardhi ambayo ni mali ya Watanzania waliopo kwenye eneo hili na akagoma kushiriki shughuli za maendeleo, sitampa ushirikiano. “Ni jambo la ajabu kwa mwekezaji huyu na haiingii akilini kwa kitendo chake cha kukataa kutoa sehemu ya ardhi yake kwa ajili ya ujenzi wa jengo la upasuaji. “Nakumbuka mwaka jana aliyekuwa Naibu Waziri wa Tamisemi ambaye sasa ni Waziri wa Wizara hiyo, Seleman Jafo, alimwagiza mwekezaji huyo atoe ushirikiano na kuwa mstari wa mbele kusaidia miradi ya kijamii, lakini nashangaa mpaka leo amekuwa akisuasua, hii ni aibu na dharau kwa Serikali. “Wakati mwekezaji huyo anayafanya hayo, ieleweke kwamba ni utaratibu wa kawaida kwa mwekezaji kuhakikisha wananchi wananufaika kupitia uwepo wake, jambo ambalo kwa mwekezaji wetu halifanyiki,” alisema Aweso. Awali, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Juma Mfanga, alisema wameshindwa kuendelea na ujenzi wa majengo baada ya mwekezaji huyo kugoma kutoa sehemu ya ardhi yake. Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Zainabu Issa, alisema ujenzi wa majengo hayo utakamilika Mei 30, mwaka huu badala ya Machi 30, mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa awali.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na OSCAR ASSENGA-PANGANI NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, ametishia kutompa ushirikiano mwekezaji wa Kampuni ya Amboni Plantation anayejishughulisha na kilimo cha mkonge iwapo hatabadilika na kusaidia miradi ya maendeleo kwenye vijiji na vitongoji vinavyomzunguka. Aweso ambaye pia ni Mbunge wa Pangani (CCM), aliyasema hayo juzi wakati wa ziara yake ya kutembelea Kituo cha Afya cha Mwera na kuona mradi wa ujenzi wa baadhi ya majengo ulivyokwama baada ya mwekezaji huyo kugoma kutoa sehemu ya ardhi yake. Pamoja na mambo mengine, naibu waziri huyo alikagua ujenzi wa sehemu ya upasuaji na ukarabati wa miundombinu iliyopo katika kituo hicho cha afya. “Kitendo cha mwekezaji huyo kushindwa kuwathamini wananchi na kushindwa kushiriki kwenye shughuli za kijamii ikiwamo kuchangia miradi inayotekelezwa kwenye kata hiyo ikiwamo elimu, afya na miundombinu, kinakwenda kinyume na taratibu za uwekezaji huo. “Kwa hiyo, nasema mwekezaji ambaye amewekeza kwenye kata hii na amechukua eneo kubwa la ardhi ambayo ni mali ya Watanzania waliopo kwenye eneo hili na akagoma kushiriki shughuli za maendeleo, sitampa ushirikiano. “Ni jambo la ajabu kwa mwekezaji huyu na haiingii akilini kwa kitendo chake cha kukataa kutoa sehemu ya ardhi yake kwa ajili ya ujenzi wa jengo la upasuaji. “Nakumbuka mwaka jana aliyekuwa Naibu Waziri wa Tamisemi ambaye sasa ni Waziri wa Wizara hiyo, Seleman Jafo, alimwagiza mwekezaji huyo atoe ushirikiano na kuwa mstari wa mbele kusaidia miradi ya kijamii, lakini nashangaa mpaka leo amekuwa akisuasua, hii ni aibu na dharau kwa Serikali. “Wakati mwekezaji huyo anayafanya hayo, ieleweke kwamba ni utaratibu wa kawaida kwa mwekezaji kuhakikisha wananchi wananufaika kupitia uwepo wake, jambo ambalo kwa mwekezaji wetu halifanyiki,” alisema Aweso. Awali, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Juma Mfanga, alisema wameshindwa kuendelea na ujenzi wa majengo baada ya mwekezaji huyo kugoma kutoa sehemu ya ardhi yake. Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Zainabu Issa, alisema ujenzi wa majengo hayo utakamilika Mei 30, mwaka huu badala ya Machi 30, mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa awali. ### Response: KITAIFA ### End
Na ELIYA MBONEA -ARUSHA KIKOSI cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha, kimekusanya Sh 10.864,170,000 za faini kutoka kwenye makosa 362,136 kwa kipindi cha Januari 2017 hadi Machi 2019. Akitoa taarifa  ya kikosi hicho, RTO Joseph Bukombe, alimuomba Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana, awaunge mkono kuhakikisha deni la Serikali Sh bilioni 13 zilizopo nje zinakusanywa. Bukombe alisema  kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu hakuna ongezeko la ajali za barabarani.  Akizungumzia wiki ya nenda kwa usalama, alisema, “mpaka sasa magari ya watu binafsi na ya biashara 17,000 na pikipiki 5,000 yamekaguliwa. Hatua hii itadumu kwa miezi mitatu baada ya hapo utakuwa ukaguzi wa lazima. “Hatua inafanyika chini ya kaulimbiu ya “Paza Sauti”, kila anayetumia chombo cha moto barabarani akiona hatari ya kusababisha mtu kujeruhiwa au kupata madhara anatakiwa kutoa taarifa. “Tunaamini kila mtu akipaza sauti kwa kusaidia muhusika alazimishwe kutii sheria hakutakuwa na madhara na hapo tutaokoa maisha ya watu,” alisema RTO Bukombe. Kuhusu hali ya usalama kwa January hadi Machi mwaka huu alisema   ajali 10 zilitokea ambako ajali za vifo zilikuwa saba, waliokufa watu tisa, ajali za majeruhi tatu, waliojeruhiwa watu 17. Alisema kwa Januari hadi Machi mwaka 2018 ajali zilikuwa 15 ambako ajali za vifo 11, waliokufa 12, ajali za majeruhi tatu, waliojeruhiwa 14 na ajali ya kawaida moja. Alisema kikosi hicho kimeongeza juhudi za kukamata makosa hatarishi   kukabiliana na ajali za barabarani, ikiwamo kuongeza doria kwa kutumia Speed Radar. “Tumejizatiti maeneo hatarishi kwa kuhakikisha madereva wanafuata sheria hasa yenye miteremko mikali na makazi ya watu. “Lakini pia upimaji wa ulevi kwa madereva nazo zimeendelea kufanyika maeneo mbalimbali hasa kituo na kuwabaini madereva. “Ukiruhusu makosa madogo ya barabarani utakuwa unakaribisha makosa makubwa na madhara zaidi kwa watu,” alisema RTO Bukombe. Alitumia fursa hiyo kuwataka wanaodaiwa na Serikali kulipa madeni yao kwa sababu  yeyote anayedaiwa hatatoka salama mkoani humo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ELIYA MBONEA -ARUSHA KIKOSI cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha, kimekusanya Sh 10.864,170,000 za faini kutoka kwenye makosa 362,136 kwa kipindi cha Januari 2017 hadi Machi 2019. Akitoa taarifa  ya kikosi hicho, RTO Joseph Bukombe, alimuomba Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana, awaunge mkono kuhakikisha deni la Serikali Sh bilioni 13 zilizopo nje zinakusanywa. Bukombe alisema  kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu hakuna ongezeko la ajali za barabarani.  Akizungumzia wiki ya nenda kwa usalama, alisema, “mpaka sasa magari ya watu binafsi na ya biashara 17,000 na pikipiki 5,000 yamekaguliwa. Hatua hii itadumu kwa miezi mitatu baada ya hapo utakuwa ukaguzi wa lazima. “Hatua inafanyika chini ya kaulimbiu ya “Paza Sauti”, kila anayetumia chombo cha moto barabarani akiona hatari ya kusababisha mtu kujeruhiwa au kupata madhara anatakiwa kutoa taarifa. “Tunaamini kila mtu akipaza sauti kwa kusaidia muhusika alazimishwe kutii sheria hakutakuwa na madhara na hapo tutaokoa maisha ya watu,” alisema RTO Bukombe. Kuhusu hali ya usalama kwa January hadi Machi mwaka huu alisema   ajali 10 zilitokea ambako ajali za vifo zilikuwa saba, waliokufa watu tisa, ajali za majeruhi tatu, waliojeruhiwa watu 17. Alisema kwa Januari hadi Machi mwaka 2018 ajali zilikuwa 15 ambako ajali za vifo 11, waliokufa 12, ajali za majeruhi tatu, waliojeruhiwa 14 na ajali ya kawaida moja. Alisema kikosi hicho kimeongeza juhudi za kukamata makosa hatarishi   kukabiliana na ajali za barabarani, ikiwamo kuongeza doria kwa kutumia Speed Radar. “Tumejizatiti maeneo hatarishi kwa kuhakikisha madereva wanafuata sheria hasa yenye miteremko mikali na makazi ya watu. “Lakini pia upimaji wa ulevi kwa madereva nazo zimeendelea kufanyika maeneo mbalimbali hasa kituo na kuwabaini madereva. “Ukiruhusu makosa madogo ya barabarani utakuwa unakaribisha makosa makubwa na madhara zaidi kwa watu,” alisema RTO Bukombe. Alitumia fursa hiyo kuwataka wanaodaiwa na Serikali kulipa madeni yao kwa sababu  yeyote anayedaiwa hatatoka salama mkoani humo. ### Response: KITAIFA ### End
Na RAMADHAN HASSAN -DODOMA WAZIRI wa Maji, Profesa Makame Mbarawa, amesema wizara yake itaendelea kutumia force akaunti katika kutekeleza miradi ya maji kwani ndio mwarobaini kwa wakandarasi ambao ni wapigaji, huku Spika Job Ndugai akisema kuna vijiji havijawahi kupata maji hivyo wizara iwaonee huruma wabunge wanaolilia huduma hiyo. Akijibu hoja za wabunge waliochangia hotuba ya bajeti ya wizara hiyo, Profesa Mbarawa alisema wizara yake itaendelea kutumia force akaunti katika kutekeleza miradi yake licha ya kwamba wakandarasi wengi wamekuwa hawaupendi utaratibu huo.  “Lazima twende na utaratibu wa force akaunti  hakuna namna nyingine, hatusemi miradi yote lakini tunaamini asilimia kubwa tutajenga kwa force akaunti.  “Hadi sasa wizara inajenga miradi 192 kwa force akaunti gharama ni Sh bilioni  163.77 lakini  kwa kutumia wakandarasi ingekuwa Sh bilioni 250 hadi 300 na ukamilishaji wake ungechukua miaka miwili hadi mitatu na isingejengwa kwa viwango vinavyohitajika.  “Tumeamua sasa kwenye certificate tunapitia moja baada ya moja kuangalia value for money (mradi kama unaendana na thamani fedha) tumedanganywa vya kutosha hatuwezi kuendelea na kutokana na changamoto hizo tumeamua kuanzisha force akaunti. “Wizara ya maji ilikuwa haipendwi na hata leo bado kuna watu hawaipendi, wanataka mpemba aondoke,”alisema. Alisema mara baada ya kuanzisha force akaunti mafanikio yameonekana ambapo miradi kwa sasa inakamilika kwa wakati. “Tumeanzisha force akaunti na mafanikio tumeyaona, miradi ya force akaunti inatumia miezi mitano hadi sita,    wakati ukimpa mkandarasi anachukua karibuni miaka miwili, mradi unaojengwa kwa force akaunti  kwa Sh bilioni moja mkandarasi atataka Sh bilioni hadi tatu. “Na mbaya zaidi vifaa anavyoleta yeye ni chini ya kiwango maana kaishatandika huwezi kuona ametandika nini lakini mabomba tunayonunua sisi tunanunua viwandani moja kwa moja matokeo yake tunapata value for money,”alisema. Udanganyifu katika Miradi Alisema wakati anaingia katika wizara hiyo  kulikuwa na udanganyifu kati ya wakandarasi na wafanyakazi wenyewe wa wizara. “Tatizo hilo lilianzia halmashauri, kwenda mkoa hadi wizarani entire system (mfumo wote wa wizara) ya wizara ilikuwa na shida  na hata kama wangelipa bilioni au trilioni kwa system ile wasingeweza kutatua tatizo la maji.  “Si nia yangu kulaumu mtu yoyote lakini tujifunze kwa makosa yaliyotokea, tukiendelea kusimamia na tukifanya vitu sahihi naamini tutaleta mabadiliko makubwa,”lisema Mbarawa. Ruwasa Ndio Mwarobaini Alisema Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (Ruwasa) ndio itakuwa mwarobaini wa kutatua tatizo la maji vijijini. “Lakini kuna changamoto kwa sababu ni taasisi mpya na tumeleta utaratibu wa kuajiri maofisa manunuzi. Watu wengi wanazungumza lakini miaka mitatu inayokuja tutazungumza mambo tofauti, nimekaa bunge hili miaka 10 bajeti ya maji kulikuwa kuna kelele nyingi lakini leo hakuna,”alisema Waziri Mbarawa. Changamoto ya miradi kukamilika Kuhusu baadhi ya miradi kuchelewa kukamilika, Mbarawa alisema kulikuwa kuna changamoto ya baadhi ya wakandarasi pindi wanapopewa fedha kuzihamisha na kuzipeleka kwenye mambo mengine. Alisema jambo hilo wizara imelitatua kwa kuwasimamia kwa kuhakikisha fedha zinatumika kwenye miradi iliyokusudiwa. “Kuna makandarasi  hawapo katika site baada ya kulipwa anaenda kuipeleka hela sehemu nyingine tumewapa muda na tutawafukuza. Na tukiwafukuza tunawapa Ruwasa miradi ya maji sasa imepata mwarobaini,”alisema. Spika na vijiji kutokupata maji Kwa upande wake, Spika wa Bunge, Job Ndugai alisema ni kweli kwamba kuna vijiji havijawahi kupata maji na wamekuwa wakitafuta mbinu kuwajibu wananchi hivyo aliiomba Wizara kuwasikiliza na kuwaonea huruma wabunge wanapoomba wapatiwe maji. “Nakushukuru Profesa umeeleza kwamba system ilikuwa na shida kubwa sana ilikuwa ni cheni ya upigaji wahandisi walikuwa ni sehemu ya wakandarasi. “Miradi ile ya World Bank (Benki ya Dunia) hakukuwa na wakandarasi wa miradi na  tumepigwa sana hakuna kilichofanyika cheni hiyo ilitengenezwa tangu mwanzo wakandarasi ni wao na wahandisi ni wao na mmejitahidi sana kuuvunja. “Tunawaunga mkono katika kuelekea katika force akaunti na ndio maana sisi tunapigia mstari mabilioni ya shilingi yamepelekwa lakini thamani ya mradi hakuna. Wizara ya Maji ni shughuli pevu,”alisema Spika. Aweso na ubambikizwaji wa bili za maji Awali Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso aliwataka wakurugenzi wa mamlaka za maji nchini kusimamia ubambikizwaji  wa bili za maji kwa wananchi  pamoja na kupiga marufuku operation za kukata maji.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na RAMADHAN HASSAN -DODOMA WAZIRI wa Maji, Profesa Makame Mbarawa, amesema wizara yake itaendelea kutumia force akaunti katika kutekeleza miradi ya maji kwani ndio mwarobaini kwa wakandarasi ambao ni wapigaji, huku Spika Job Ndugai akisema kuna vijiji havijawahi kupata maji hivyo wizara iwaonee huruma wabunge wanaolilia huduma hiyo. Akijibu hoja za wabunge waliochangia hotuba ya bajeti ya wizara hiyo, Profesa Mbarawa alisema wizara yake itaendelea kutumia force akaunti katika kutekeleza miradi yake licha ya kwamba wakandarasi wengi wamekuwa hawaupendi utaratibu huo.  “Lazima twende na utaratibu wa force akaunti  hakuna namna nyingine, hatusemi miradi yote lakini tunaamini asilimia kubwa tutajenga kwa force akaunti.  “Hadi sasa wizara inajenga miradi 192 kwa force akaunti gharama ni Sh bilioni  163.77 lakini  kwa kutumia wakandarasi ingekuwa Sh bilioni 250 hadi 300 na ukamilishaji wake ungechukua miaka miwili hadi mitatu na isingejengwa kwa viwango vinavyohitajika.  “Tumeamua sasa kwenye certificate tunapitia moja baada ya moja kuangalia value for money (mradi kama unaendana na thamani fedha) tumedanganywa vya kutosha hatuwezi kuendelea na kutokana na changamoto hizo tumeamua kuanzisha force akaunti. “Wizara ya maji ilikuwa haipendwi na hata leo bado kuna watu hawaipendi, wanataka mpemba aondoke,”alisema. Alisema mara baada ya kuanzisha force akaunti mafanikio yameonekana ambapo miradi kwa sasa inakamilika kwa wakati. “Tumeanzisha force akaunti na mafanikio tumeyaona, miradi ya force akaunti inatumia miezi mitano hadi sita,    wakati ukimpa mkandarasi anachukua karibuni miaka miwili, mradi unaojengwa kwa force akaunti  kwa Sh bilioni moja mkandarasi atataka Sh bilioni hadi tatu. “Na mbaya zaidi vifaa anavyoleta yeye ni chini ya kiwango maana kaishatandika huwezi kuona ametandika nini lakini mabomba tunayonunua sisi tunanunua viwandani moja kwa moja matokeo yake tunapata value for money,”alisema. Udanganyifu katika Miradi Alisema wakati anaingia katika wizara hiyo  kulikuwa na udanganyifu kati ya wakandarasi na wafanyakazi wenyewe wa wizara. “Tatizo hilo lilianzia halmashauri, kwenda mkoa hadi wizarani entire system (mfumo wote wa wizara) ya wizara ilikuwa na shida  na hata kama wangelipa bilioni au trilioni kwa system ile wasingeweza kutatua tatizo la maji.  “Si nia yangu kulaumu mtu yoyote lakini tujifunze kwa makosa yaliyotokea, tukiendelea kusimamia na tukifanya vitu sahihi naamini tutaleta mabadiliko makubwa,”lisema Mbarawa. Ruwasa Ndio Mwarobaini Alisema Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (Ruwasa) ndio itakuwa mwarobaini wa kutatua tatizo la maji vijijini. “Lakini kuna changamoto kwa sababu ni taasisi mpya na tumeleta utaratibu wa kuajiri maofisa manunuzi. Watu wengi wanazungumza lakini miaka mitatu inayokuja tutazungumza mambo tofauti, nimekaa bunge hili miaka 10 bajeti ya maji kulikuwa kuna kelele nyingi lakini leo hakuna,”alisema Waziri Mbarawa. Changamoto ya miradi kukamilika Kuhusu baadhi ya miradi kuchelewa kukamilika, Mbarawa alisema kulikuwa kuna changamoto ya baadhi ya wakandarasi pindi wanapopewa fedha kuzihamisha na kuzipeleka kwenye mambo mengine. Alisema jambo hilo wizara imelitatua kwa kuwasimamia kwa kuhakikisha fedha zinatumika kwenye miradi iliyokusudiwa. “Kuna makandarasi  hawapo katika site baada ya kulipwa anaenda kuipeleka hela sehemu nyingine tumewapa muda na tutawafukuza. Na tukiwafukuza tunawapa Ruwasa miradi ya maji sasa imepata mwarobaini,”alisema. Spika na vijiji kutokupata maji Kwa upande wake, Spika wa Bunge, Job Ndugai alisema ni kweli kwamba kuna vijiji havijawahi kupata maji na wamekuwa wakitafuta mbinu kuwajibu wananchi hivyo aliiomba Wizara kuwasikiliza na kuwaonea huruma wabunge wanapoomba wapatiwe maji. “Nakushukuru Profesa umeeleza kwamba system ilikuwa na shida kubwa sana ilikuwa ni cheni ya upigaji wahandisi walikuwa ni sehemu ya wakandarasi. “Miradi ile ya World Bank (Benki ya Dunia) hakukuwa na wakandarasi wa miradi na  tumepigwa sana hakuna kilichofanyika cheni hiyo ilitengenezwa tangu mwanzo wakandarasi ni wao na wahandisi ni wao na mmejitahidi sana kuuvunja. “Tunawaunga mkono katika kuelekea katika force akaunti na ndio maana sisi tunapigia mstari mabilioni ya shilingi yamepelekwa lakini thamani ya mradi hakuna. Wizara ya Maji ni shughuli pevu,”alisema Spika. Aweso na ubambikizwaji wa bili za maji Awali Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso aliwataka wakurugenzi wa mamlaka za maji nchini kusimamia ubambikizwaji  wa bili za maji kwa wananchi  pamoja na kupiga marufuku operation za kukata maji. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo amechukizwa na kukemea utendaji kazi wa watendaji wa wilaya ya Kongwa wa kufanya kazi kwa maigizo.Pia, ameagiza Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Nelson Milanzi kujieleza kwa maandishi kwa kushindwa kuwajibika katika utekelezaji wa miradi ya elimu na kutaka maelezo hayo kufika kwa Katibu Mkuu Tamisemi ifikapo Ijumaa.Jafo ambaye juzi alitembelea miradi kadhaa katika wilaya ya Kongwa na kukuta shughuli za ujenzi katika shule mbili za sekondari ukiwa kwenye hatua ya msingi ikiwa ni miezi sita tangu kutolewa kwa fedha.Akiwa katika shule ya Sekondari ya Kongwa, Jafo alimuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kongwa kumpigia simu Ofisa Elimu Milanzi ambaye yuko Mtwara kwenye mashindano ya Umiseta kurejea kwenye kituo chake cha kazi, kujieleza kimaandishi na kurejesha fedha za safari alizopewa kwa siku ambazo alitakiwa kuwepo kwenye mashindano.“Mpigieni simu arudi, na akifika aandike barua ya kujieleza kwa katibu mkuu kwanini ameshindwa kutimiza wajibu, nimetoa nafasi hii kwa sababu napenda kutenda haki, pengine kuna jambo nyuma ya ukuta,” alisema. “Nataka tumsikilize na yeye pengine kwenye ofisi yenu mnakwamishana mwenyewe apime, akishajieleza Katibu Mkuu atapima maelezo yake na kuamua ama kumbakisha au akapangiwe kazi zingine maana anaweza kurudi kufundisha, kuwa afisa elimu kata,” alisisitiza.Hatua ya Jafo ilitokana na maelezo yaliyotolewa kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Wilaya, Deo Ndejembi na Mkurugenzi, Dk Omary Nkulo waliodai kuchelewa kujengwa kwa majengo katika shule ya Sekondari Kongwa na Sejeli kutokana na kuwapo kwa mvutano wa ama watumie mfumo wa Force Account au watumie mkandarasi.Maelezo kama hayo pia yalitolewa wakati Jafo akikagua mradi wa shule ya Sekondari ya Sejeli ambako ujenzi wake pia uko katika ngazi ya msingi. Akiwa kwenye shule ya Sejeli, Jafo alisema: “ Hapa nikuambie ni uzembe hakuna sababu yoyote, hata hii kazi kwa kiasi kikubwa imeanza kufanyika leo (juzi) na kwa sababu Jafo amekuja anaweza kutembelea shule.Kama tunaenda kanisani na misikitini nani anaweza kusimama na kusema naongopa anyoshe mkono hapa, hata machinjio ya kuku pia yametelekezwa.” Alisema fedha kwa ajili ya shule hizo zilitolewa na kupokewa tangu Januari, mwaka huu, lakini hakuna kitu kilichofanyika wakati maeneo mengine waliyopelekewa fedha kama hizo wamemaliza mabweni na wamajiandaa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano.“Hapa kazi sijaridhika na mnamuangusha Spika (Job Ndugai) ambaye ametafuta fedha kwa ajili ya wananchi wake, kwa kweli sijaona sababu ya msingi, nendeni Bahi ina watumishi kama ninyi, lakini wanajenga mabweni, madarasa, hospitali ya wilaya na mambo yanaenda vizuri ila hapa sijaridhika,” alisema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo amechukizwa na kukemea utendaji kazi wa watendaji wa wilaya ya Kongwa wa kufanya kazi kwa maigizo.Pia, ameagiza Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Nelson Milanzi kujieleza kwa maandishi kwa kushindwa kuwajibika katika utekelezaji wa miradi ya elimu na kutaka maelezo hayo kufika kwa Katibu Mkuu Tamisemi ifikapo Ijumaa.Jafo ambaye juzi alitembelea miradi kadhaa katika wilaya ya Kongwa na kukuta shughuli za ujenzi katika shule mbili za sekondari ukiwa kwenye hatua ya msingi ikiwa ni miezi sita tangu kutolewa kwa fedha.Akiwa katika shule ya Sekondari ya Kongwa, Jafo alimuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kongwa kumpigia simu Ofisa Elimu Milanzi ambaye yuko Mtwara kwenye mashindano ya Umiseta kurejea kwenye kituo chake cha kazi, kujieleza kimaandishi na kurejesha fedha za safari alizopewa kwa siku ambazo alitakiwa kuwepo kwenye mashindano.“Mpigieni simu arudi, na akifika aandike barua ya kujieleza kwa katibu mkuu kwanini ameshindwa kutimiza wajibu, nimetoa nafasi hii kwa sababu napenda kutenda haki, pengine kuna jambo nyuma ya ukuta,” alisema. “Nataka tumsikilize na yeye pengine kwenye ofisi yenu mnakwamishana mwenyewe apime, akishajieleza Katibu Mkuu atapima maelezo yake na kuamua ama kumbakisha au akapangiwe kazi zingine maana anaweza kurudi kufundisha, kuwa afisa elimu kata,” alisisitiza.Hatua ya Jafo ilitokana na maelezo yaliyotolewa kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Wilaya, Deo Ndejembi na Mkurugenzi, Dk Omary Nkulo waliodai kuchelewa kujengwa kwa majengo katika shule ya Sekondari Kongwa na Sejeli kutokana na kuwapo kwa mvutano wa ama watumie mfumo wa Force Account au watumie mkandarasi.Maelezo kama hayo pia yalitolewa wakati Jafo akikagua mradi wa shule ya Sekondari ya Sejeli ambako ujenzi wake pia uko katika ngazi ya msingi. Akiwa kwenye shule ya Sejeli, Jafo alisema: “ Hapa nikuambie ni uzembe hakuna sababu yoyote, hata hii kazi kwa kiasi kikubwa imeanza kufanyika leo (juzi) na kwa sababu Jafo amekuja anaweza kutembelea shule.Kama tunaenda kanisani na misikitini nani anaweza kusimama na kusema naongopa anyoshe mkono hapa, hata machinjio ya kuku pia yametelekezwa.” Alisema fedha kwa ajili ya shule hizo zilitolewa na kupokewa tangu Januari, mwaka huu, lakini hakuna kitu kilichofanyika wakati maeneo mengine waliyopelekewa fedha kama hizo wamemaliza mabweni na wamajiandaa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano.“Hapa kazi sijaridhika na mnamuangusha Spika (Job Ndugai) ambaye ametafuta fedha kwa ajili ya wananchi wake, kwa kweli sijaona sababu ya msingi, nendeni Bahi ina watumishi kama ninyi, lakini wanajenga mabweni, madarasa, hospitali ya wilaya na mambo yanaenda vizuri ila hapa sijaridhika,” alisema. ### Response: KITAIFA ### End
Na SUZAN UHINGA -TANGA Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani amesema hayuko tayari kuona mchakato wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi linalotoka nchini uganda kuja Tanzania unakwama kutokana na uzembe wa mtu mmoja au taasisi itakayoshindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Waziri kalemani ameyasema hayo leo wakati akifungua kikao cha siku moja cha wadau wa mradi wa bomba la mafuta ghafi linalotoka nchini Uganda hadi mkoani Tanga na kuongeza kuwa hatawafumbia macho wataofanya uzembe katika mradi huo. Amesema lengo la kikao hicho ni kujadili mambo mbalimbali ikiwamo ushirikiswaji wa wadau katika mchakato mzima wa mradi huo mkubwa unaoghalimu Dola za Marekani bilioni 3.5 ambapo kwa nchini tanzania utapita katika mikoa nane. “Lakini pia, mambo mengine yatakayojadiliwa kwenye mkutano huo ni pamoja na kupeana majukumu kwa taasisi zinazohusika moja kwa moja katika mradi huo na kupashana maendeleo ya mradi,” amesema. Mchakato wa ujenzi wa mradi huo tayari umekwishaanza ambapo wataalamu mbalimbali wanaendelea na kazi.  
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na SUZAN UHINGA -TANGA Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani amesema hayuko tayari kuona mchakato wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi linalotoka nchini uganda kuja Tanzania unakwama kutokana na uzembe wa mtu mmoja au taasisi itakayoshindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Waziri kalemani ameyasema hayo leo wakati akifungua kikao cha siku moja cha wadau wa mradi wa bomba la mafuta ghafi linalotoka nchini Uganda hadi mkoani Tanga na kuongeza kuwa hatawafumbia macho wataofanya uzembe katika mradi huo. Amesema lengo la kikao hicho ni kujadili mambo mbalimbali ikiwamo ushirikiswaji wa wadau katika mchakato mzima wa mradi huo mkubwa unaoghalimu Dola za Marekani bilioni 3.5 ambapo kwa nchini tanzania utapita katika mikoa nane. “Lakini pia, mambo mengine yatakayojadiliwa kwenye mkutano huo ni pamoja na kupeana majukumu kwa taasisi zinazohusika moja kwa moja katika mradi huo na kupashana maendeleo ya mradi,” amesema. Mchakato wa ujenzi wa mradi huo tayari umekwishaanza ambapo wataalamu mbalimbali wanaendelea na kazi.   ### Response: KITAIFA ### End
NORA DAMIAN Na LEONARD MANG’OA-DAR ES SALAAM KUFUATIA tahadhari ya tishio la shambulizi la kigaidi jijini Dar es Salaam, lililotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini, viongozi wa Serikali na polisi wamewaondoa wananchi wasiwasi huku wakisema wanaendelea kufuatilia taarifa hizo. Juzi Ubalozi wa Marekani nchini, ulichapisha katika mtandao wake tahadhari ya shambulizi, ukisema umepata tetesi kuwa limepangwa kufanyika Dar es Salaam maeneo ya Masaki. Tahadhari hiyo ilisema maeneo yanayolengwa ni mahoteli na migahawa ambayo hutembelewa na watalii, ikiwemo eneo maarufu la maduka ya Slipway. Baada ya tahadhari hiyo, jana ubalozi wa nchi hiyo nchini Uganda, ulitoa tahadhari ya shambulizi nchini humo na kuwataka wananchi kuwa makini katika maeneo wanayozuru. Hata hivyo ubalozi huo kwa tahadhari hiyo waliyotoa ya shambulizi la Dar na Uganda, ulisema; “Ubalozi hauna ushahidi wa moja kwa moja wa tishio hilo ama taarifa za muda gani mashambulizi yatatokea, hata hivyo unawaonya wananchi kuchukua tahadhari.” TAARIFA YA KANGI LUGOLA Kutokana na tahadhari hiyo, jana Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, alisema vyombo vya ulinzi vinaendelea na uchunguzi juu ya suala hilo. “Nataka niwathibitishie Watanzania nchi imeendelea kuwa na amani na usalama na tutahakikisha maisha na mali za wananchi zinalindwa. “Vyombo vya ulinzi na usalama viko imara, havitikisiki, vimejipanga vizuri kwa jambo au tishio lolote la kiusalama ambalo linaweza kutokea,” alisema Lugola. Alisema tahadhari hiyo ya kiusalama ni ya kawaida, ambayo Watanzania hawapaswi kuwa na wasiwasi kwani Serikali iko imara. “Ni tahadhari za kawaida ambazo huwa zinatokea kama ambavyo huwa tunatoa tahadhari za mambo ya tsunami, mvua nyingi na nyingine mbalimbali. “Kama wenzetu wameweza kuzipata na tumewasiliana nao kupitia Jeshi la Polisi, niwahakikishie Watanzania wasiwe na hofu wala wasiwasi, nchi yao iko imara, ina usalama wa hali ya juu. “Vyombo vinaendelea kufanya kazi yake na tuviache viendelee kufanya kazi. Watanzania waendelee na shughuli zao kama kawaida, na kama taarifa hizi zipo, ni za kweli, sisi tupo imara, tunaendelea, kwahiyo hakuna sababu ya Watanzania kuwa na hofu,” alisema. IGP SIRRO Juzi pia Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, alikaririwa na vyombo vya habari akisema walishapata fununu za shambulio hilo kabla Ubalozi wa Marekani haujatoa tahadhari juu ya tukio hilo. Kwa mujibu wa IGP Sirro, walipata taarifa kuhusiana na tishio hilo tangu Jumanne wiki hii na kwamba timu zao za operesheni na intelijensia zinaifanyia kazi. Alisema taarifa hiyo inaweza kuwa ya kweli au uongo, lakini wao kama vyombo vya ulinzi huwa hawapuuzi jambo. RC DAR Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, alisema jiji lipo shwari na vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kama kawaida. “Hakuna taarifa yoyote iliyotoka katika ofisi yangu wala mamlaka ya kitaifa kwa maana ya Mheshimiwa Rais. Niwatoe hofu walio kwenye mahoteli na wageni kwenye jiji letu kwamba hakuna tishio,” alisema.   Makonda pia aliulaumu Ubalozi wa Marekani na kuutaka kuzingatia katiba na sheria za Tanzania, kwani kuna vyombo maalumu vya kutangaza kama kuna hali ya hatari. Naye Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiswaji Jamii, Kamishna wa Polisi Musa Ali Musa, alisema wameyasikia matishio hayo kutoka katika vyanzo vilivyoyatoa na kwamba kazi yao ni kuhakikisha nchi haina matishio ya aina yoyote. “Nchi bado ni shwari, hatujaweza kuona matukio makubwa kama yanavyoelezwa, inawezekana yapo, lakini sisi tunaendelea kuyafanyia kazi ili kuhakikisha tunabaki katika mazingira salama. “Niwahakikishie wananchi kuwa Jeshi la Polisi lipo na linaendelea na mikakati yake, na moja ya mikakati yake ni kuona kwamba linawashirikisha wananchi na makundi mbalimbali ya watu. “Kama tishio hili utaona linahusu sehemu kubwa ya hoteli, lakini tutashirikisha makundi ya watu ili kuona tunabaki salama ili nchi iendelee kuwa salama,” alisema Kamishna Musa. MAENEO YALIYOTAJWA Kutokana na tishio hilo, MTANZANIA lilitembelea maeneo yaliyotajwa kukabiliwa na tishio hilo la kigaidi, ikiwamo hoteli mbalimbali za kitalii na kukuta shughuli zikiendelea kama kawaida. Gazeti hili lilishuhudia wageni kutoka maeneo mbalimbali wakiingia katika Hoteli ya Coral Beach maarufu kama Best Western iliyopo Masaki. Mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo, Ibrahim Kasu, ambaye hakutaka kulizungumzia suala hilo kwa undani kwa kuwa si msemaji wa hoteli hiyo, alisema kwao suala la ulinzi wamekuwa wakilipa uzito mkubwa hata kabla ya kuwapo kwa tishio hilo. “Siku zote tunahakikisha tunao askari wa kutosha kufanya ukaguzi, kila mgeni anayeingia ni lazima kujua anakwenda wapi na anakwenda kufanya nini,” alisema Kasu. UBALOZI WA MAREKANIWAKIRI KUFANYA MAKOSA Katika hatua nyingine Serikali imemwita Kaimu Balozi wa Marekani kutoa ufafanuzi wa taarifa yao ya kuwapo tishio la usalama nchini. Taatifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kitengo cha Mawasoliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dar es Salaam jana, ilisema katika kikao hicho Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Faraji Mnyepe alikutana na kufanya mazungumzo ya kina na mwakilishiwa balozi wa Marekani, Ann Marie Warmenhoven. “Ubalozi umetambua na kukiri ujumbe umetumwa na wao, lakini tumewatka wafuate taratibu za kidiplomasia,”ilisema taarifa hiyo. Ilisema Ubalozi wa Marekani umekiri umefabnya makosa ya kutoa tetesi ambazo hazikulenga raia wa Marekani pekee, bali raia wote wakitambua hawana mamlaka ya kufanya hivyo. Taarifa hiyo ilisem aujumbe huo umezua taharuki kwa wananchi na wageni wanaotarajia kuitembelea Tanzania. Kutokana na hali hiyo, wizara hiyo imeukmbusha Ubalozi wa Marekani ukuhimu wa kuzingatia sheria za nchi na taratibu za kidiplomasia zinazokubalika duniani mote katika utoaji wa taatrifa za aina hii. Mnyepe amewataka wananchi na jumuiya za kimataifa na wageni mbalimbali waliopo nchini na wanaotarajia kuitembelea Tanzania kuendelea na shughuli zao kama kawaida. “Mpaka sasa hakuna tarifa yoyote iliyothibitishwa ya kuwapo tishio la aina hii nchini, vyombo vya ulinzi na usalama vimejizatiti kukabiliana na tishio lolote,”ilisema taarifa hiyo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NORA DAMIAN Na LEONARD MANG’OA-DAR ES SALAAM KUFUATIA tahadhari ya tishio la shambulizi la kigaidi jijini Dar es Salaam, lililotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini, viongozi wa Serikali na polisi wamewaondoa wananchi wasiwasi huku wakisema wanaendelea kufuatilia taarifa hizo. Juzi Ubalozi wa Marekani nchini, ulichapisha katika mtandao wake tahadhari ya shambulizi, ukisema umepata tetesi kuwa limepangwa kufanyika Dar es Salaam maeneo ya Masaki. Tahadhari hiyo ilisema maeneo yanayolengwa ni mahoteli na migahawa ambayo hutembelewa na watalii, ikiwemo eneo maarufu la maduka ya Slipway. Baada ya tahadhari hiyo, jana ubalozi wa nchi hiyo nchini Uganda, ulitoa tahadhari ya shambulizi nchini humo na kuwataka wananchi kuwa makini katika maeneo wanayozuru. Hata hivyo ubalozi huo kwa tahadhari hiyo waliyotoa ya shambulizi la Dar na Uganda, ulisema; “Ubalozi hauna ushahidi wa moja kwa moja wa tishio hilo ama taarifa za muda gani mashambulizi yatatokea, hata hivyo unawaonya wananchi kuchukua tahadhari.” TAARIFA YA KANGI LUGOLA Kutokana na tahadhari hiyo, jana Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, alisema vyombo vya ulinzi vinaendelea na uchunguzi juu ya suala hilo. “Nataka niwathibitishie Watanzania nchi imeendelea kuwa na amani na usalama na tutahakikisha maisha na mali za wananchi zinalindwa. “Vyombo vya ulinzi na usalama viko imara, havitikisiki, vimejipanga vizuri kwa jambo au tishio lolote la kiusalama ambalo linaweza kutokea,” alisema Lugola. Alisema tahadhari hiyo ya kiusalama ni ya kawaida, ambayo Watanzania hawapaswi kuwa na wasiwasi kwani Serikali iko imara. “Ni tahadhari za kawaida ambazo huwa zinatokea kama ambavyo huwa tunatoa tahadhari za mambo ya tsunami, mvua nyingi na nyingine mbalimbali. “Kama wenzetu wameweza kuzipata na tumewasiliana nao kupitia Jeshi la Polisi, niwahakikishie Watanzania wasiwe na hofu wala wasiwasi, nchi yao iko imara, ina usalama wa hali ya juu. “Vyombo vinaendelea kufanya kazi yake na tuviache viendelee kufanya kazi. Watanzania waendelee na shughuli zao kama kawaida, na kama taarifa hizi zipo, ni za kweli, sisi tupo imara, tunaendelea, kwahiyo hakuna sababu ya Watanzania kuwa na hofu,” alisema. IGP SIRRO Juzi pia Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, alikaririwa na vyombo vya habari akisema walishapata fununu za shambulio hilo kabla Ubalozi wa Marekani haujatoa tahadhari juu ya tukio hilo. Kwa mujibu wa IGP Sirro, walipata taarifa kuhusiana na tishio hilo tangu Jumanne wiki hii na kwamba timu zao za operesheni na intelijensia zinaifanyia kazi. Alisema taarifa hiyo inaweza kuwa ya kweli au uongo, lakini wao kama vyombo vya ulinzi huwa hawapuuzi jambo. RC DAR Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, alisema jiji lipo shwari na vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kama kawaida. “Hakuna taarifa yoyote iliyotoka katika ofisi yangu wala mamlaka ya kitaifa kwa maana ya Mheshimiwa Rais. Niwatoe hofu walio kwenye mahoteli na wageni kwenye jiji letu kwamba hakuna tishio,” alisema.   Makonda pia aliulaumu Ubalozi wa Marekani na kuutaka kuzingatia katiba na sheria za Tanzania, kwani kuna vyombo maalumu vya kutangaza kama kuna hali ya hatari. Naye Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiswaji Jamii, Kamishna wa Polisi Musa Ali Musa, alisema wameyasikia matishio hayo kutoka katika vyanzo vilivyoyatoa na kwamba kazi yao ni kuhakikisha nchi haina matishio ya aina yoyote. “Nchi bado ni shwari, hatujaweza kuona matukio makubwa kama yanavyoelezwa, inawezekana yapo, lakini sisi tunaendelea kuyafanyia kazi ili kuhakikisha tunabaki katika mazingira salama. “Niwahakikishie wananchi kuwa Jeshi la Polisi lipo na linaendelea na mikakati yake, na moja ya mikakati yake ni kuona kwamba linawashirikisha wananchi na makundi mbalimbali ya watu. “Kama tishio hili utaona linahusu sehemu kubwa ya hoteli, lakini tutashirikisha makundi ya watu ili kuona tunabaki salama ili nchi iendelee kuwa salama,” alisema Kamishna Musa. MAENEO YALIYOTAJWA Kutokana na tishio hilo, MTANZANIA lilitembelea maeneo yaliyotajwa kukabiliwa na tishio hilo la kigaidi, ikiwamo hoteli mbalimbali za kitalii na kukuta shughuli zikiendelea kama kawaida. Gazeti hili lilishuhudia wageni kutoka maeneo mbalimbali wakiingia katika Hoteli ya Coral Beach maarufu kama Best Western iliyopo Masaki. Mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo, Ibrahim Kasu, ambaye hakutaka kulizungumzia suala hilo kwa undani kwa kuwa si msemaji wa hoteli hiyo, alisema kwao suala la ulinzi wamekuwa wakilipa uzito mkubwa hata kabla ya kuwapo kwa tishio hilo. “Siku zote tunahakikisha tunao askari wa kutosha kufanya ukaguzi, kila mgeni anayeingia ni lazima kujua anakwenda wapi na anakwenda kufanya nini,” alisema Kasu. UBALOZI WA MAREKANIWAKIRI KUFANYA MAKOSA Katika hatua nyingine Serikali imemwita Kaimu Balozi wa Marekani kutoa ufafanuzi wa taarifa yao ya kuwapo tishio la usalama nchini. Taatifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kitengo cha Mawasoliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dar es Salaam jana, ilisema katika kikao hicho Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Faraji Mnyepe alikutana na kufanya mazungumzo ya kina na mwakilishiwa balozi wa Marekani, Ann Marie Warmenhoven. “Ubalozi umetambua na kukiri ujumbe umetumwa na wao, lakini tumewatka wafuate taratibu za kidiplomasia,”ilisema taarifa hiyo. Ilisema Ubalozi wa Marekani umekiri umefabnya makosa ya kutoa tetesi ambazo hazikulenga raia wa Marekani pekee, bali raia wote wakitambua hawana mamlaka ya kufanya hivyo. Taarifa hiyo ilisem aujumbe huo umezua taharuki kwa wananchi na wageni wanaotarajia kuitembelea Tanzania. Kutokana na hali hiyo, wizara hiyo imeukmbusha Ubalozi wa Marekani ukuhimu wa kuzingatia sheria za nchi na taratibu za kidiplomasia zinazokubalika duniani mote katika utoaji wa taatrifa za aina hii. Mnyepe amewataka wananchi na jumuiya za kimataifa na wageni mbalimbali waliopo nchini na wanaotarajia kuitembelea Tanzania kuendelea na shughuli zao kama kawaida. “Mpaka sasa hakuna tarifa yoyote iliyothibitishwa ya kuwapo tishio la aina hii nchini, vyombo vya ulinzi na usalama vimejizatiti kukabiliana na tishio lolote,”ilisema taarifa hiyo. ### Response: KITAIFA ### End
Tangu mwanzo wa mbio hizo jana zilizoanzishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, katika lango la kuingilia na kutokea Hifadhi ya Ngorongoro, Profesa Jumanne Maghembe, Juma alionekana kufanya vizuri kwa kuwatangulia wenzake kwa muda mrefu na kuwaacha mbali.Baada ya kukimbia katika kundi moja na wenzake kwa karibu kilomita nne, Juma aliwaacha kuanzia hapo hadi mwisho wa mbio huku wenzake wakibaki wakisoma namba. Juma alimzidi mshindi wa pili kwa takribani dakika nne baada ya Stephen Uche kumaliza mbio hizo kwenye Uwanja wa Mazingira Bora mjini Karatu akitumia saa 1:06.3 huku Yohana Elisante akishika nafasi ya tatu kwa saa 1:06.24.Mwanariadha huyo ni miongoni mwa wanariadha wanaounda timu ya taifa inayotarajia kushiriki Michezo ya 31 ya Olimpiki itakayofanyika baadaye mwaka huu Rio, Brazil na atakimbia mbio za meta 5,000 na 10,000 endapo atafuzu.Kwa upande wa wanawake, Fainuna Abdi ameendelea kuwaburuza wakongwe baada ya kuibuka wa kwanza katika mbio hizo kwa kutumia saa 1:11.52 na kumzidi mchezaji wa timu ya taifa Nathalia Elisante aliyemaliza wa pili kwa kutumia saa 1:15.46 huku Fadhila Tipa akiwa wa tatu kwa saa 1:16.54.Kocha wa timu ya taifa ya Riadha inayojiandaa kwa Michezo ya Olimpiki iliyopiga kambi West Kilimanjaro mkoani Kilimanjaro, Francis John akizungumza kwa njia ya simu jana alisema Juma alistahili kushinda kwani yuko vizuri kutokana na mazoezi aliyofanya.Naye Maghembe alisema anataka mbio za 10 za Ngorongoro ziwe za kimataifa zaidi na kutoa wanariadha watakashiriki na kushinda katika marathoni za kimataifa kama zile za London, New York, Boston na nyingine. Mbio hizo zimefanyika huku kukiwa na mvua kubwa iliyoanza kunyesha tangu juzi na kuendelea siku nzima ya jana.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Tangu mwanzo wa mbio hizo jana zilizoanzishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, katika lango la kuingilia na kutokea Hifadhi ya Ngorongoro, Profesa Jumanne Maghembe, Juma alionekana kufanya vizuri kwa kuwatangulia wenzake kwa muda mrefu na kuwaacha mbali.Baada ya kukimbia katika kundi moja na wenzake kwa karibu kilomita nne, Juma aliwaacha kuanzia hapo hadi mwisho wa mbio huku wenzake wakibaki wakisoma namba. Juma alimzidi mshindi wa pili kwa takribani dakika nne baada ya Stephen Uche kumaliza mbio hizo kwenye Uwanja wa Mazingira Bora mjini Karatu akitumia saa 1:06.3 huku Yohana Elisante akishika nafasi ya tatu kwa saa 1:06.24.Mwanariadha huyo ni miongoni mwa wanariadha wanaounda timu ya taifa inayotarajia kushiriki Michezo ya 31 ya Olimpiki itakayofanyika baadaye mwaka huu Rio, Brazil na atakimbia mbio za meta 5,000 na 10,000 endapo atafuzu.Kwa upande wa wanawake, Fainuna Abdi ameendelea kuwaburuza wakongwe baada ya kuibuka wa kwanza katika mbio hizo kwa kutumia saa 1:11.52 na kumzidi mchezaji wa timu ya taifa Nathalia Elisante aliyemaliza wa pili kwa kutumia saa 1:15.46 huku Fadhila Tipa akiwa wa tatu kwa saa 1:16.54.Kocha wa timu ya taifa ya Riadha inayojiandaa kwa Michezo ya Olimpiki iliyopiga kambi West Kilimanjaro mkoani Kilimanjaro, Francis John akizungumza kwa njia ya simu jana alisema Juma alistahili kushinda kwani yuko vizuri kutokana na mazoezi aliyofanya.Naye Maghembe alisema anataka mbio za 10 za Ngorongoro ziwe za kimataifa zaidi na kutoa wanariadha watakashiriki na kushinda katika marathoni za kimataifa kama zile za London, New York, Boston na nyingine. Mbio hizo zimefanyika huku kukiwa na mvua kubwa iliyoanza kunyesha tangu juzi na kuendelea siku nzima ya jana. ### Response: MICHEZO ### End
Na ELIYA MBONEA-ARUSHA   CHAMA cha Wakulima Tanganyika (TFA), kimelifunga duka kubwa la NAKUMAT tawi la Arusha kwa kushindwa kulipia kodi ya pango. Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa duka hilo zinadai kwamba kufugwa kwa duka hilo kunatokana na mwekezaji huyo kudaiwa zaidi ya Sh milioni 300 za kodi ya pango.   Mhasibu Mkuu wa TFA Arusha, Evarist Kauki jana alilithibitishia gazeti hili kufungwa kwa duka hilo kwa sababu ya kushindwa kulipa kodi. “Ni kweli kama unavyoona sisi wamiliki wa jengo hili TFA tumelazimika kufunga duka hili kwa sababu wateja wetu hawajatulipa kodi ya pango kwa muda mrefu sasa.   “Siwezi kukutajia kiasi gani tunawadai kwa sababu mkataba wetu ni siri. Hatua hii hatujakurupuka, tulitoa taarifa ya siku 30 kwa wateja wetu wakanyamaza bila kujibu. “Sasa baada ya hapo kilichofuata ni kufunga duka na ikipita siku 14 kama watakuwa hawajalipa fedha tunazowadai basi tutalizimika kupiga mnada vitu vilivyopo ndani kwa mujibu wa sheria na mkataba wetu,” alisema Kauki.   Baadhi ya wafanyakazi wa NAKUMAT waliokutwa na gazeti hili nje ya duka hilo walieleza kuwa mwajiri wao hapaleki makato ya fedha za mfuko wa hifadhi ya jamii.   Kiongozi wa wafanyakazi aliyejitambulisha kwa jina la Neema Siwa alithibitisha mamdai ya wafanyakazi kuwa mwajiri hawasilishi michango ya wafanyakazi katika mifuko ya hifadhi ya jamii.   “Kuna wafanyakazi wana madai mengi sana hapa ya likizo, wengine mishahara hawajalipwa. Lakini baya ni kwamba fedha zetu za NSSF hazijapelekwa kwa muda mrefu.   “Hali hii ni kama wawekezaji wanaijua kwa sababu wamekuwa nje ya Arusha kipindi kirefu sana bila kutoa ufafanuzi kwa wafanyakazi licha ya juhudi za kufuatilia mara kwa mara tulizozifanya,” alisema Siwa.     Alipoulizwa Meneja wa NAKUMAT Tanzania, Alfrick Milimo kuhusu kufungwa kwa duka hilo alisema wako katika mazungumzo na mwenye jingo lakini wanakabiliwa na ukata.   “Mzunguko mdogo wa fedha umesababisha tushindwe kumudu kulipa gharama za kodi za majengo. Suala la Arusha bado tunaendelea na mazungumzo kati yetu na uongozi wa Nairobi, Kenya na TFA,” alisema Milimo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ELIYA MBONEA-ARUSHA   CHAMA cha Wakulima Tanganyika (TFA), kimelifunga duka kubwa la NAKUMAT tawi la Arusha kwa kushindwa kulipia kodi ya pango. Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa duka hilo zinadai kwamba kufugwa kwa duka hilo kunatokana na mwekezaji huyo kudaiwa zaidi ya Sh milioni 300 za kodi ya pango.   Mhasibu Mkuu wa TFA Arusha, Evarist Kauki jana alilithibitishia gazeti hili kufungwa kwa duka hilo kwa sababu ya kushindwa kulipa kodi. “Ni kweli kama unavyoona sisi wamiliki wa jengo hili TFA tumelazimika kufunga duka hili kwa sababu wateja wetu hawajatulipa kodi ya pango kwa muda mrefu sasa.   “Siwezi kukutajia kiasi gani tunawadai kwa sababu mkataba wetu ni siri. Hatua hii hatujakurupuka, tulitoa taarifa ya siku 30 kwa wateja wetu wakanyamaza bila kujibu. “Sasa baada ya hapo kilichofuata ni kufunga duka na ikipita siku 14 kama watakuwa hawajalipa fedha tunazowadai basi tutalizimika kupiga mnada vitu vilivyopo ndani kwa mujibu wa sheria na mkataba wetu,” alisema Kauki.   Baadhi ya wafanyakazi wa NAKUMAT waliokutwa na gazeti hili nje ya duka hilo walieleza kuwa mwajiri wao hapaleki makato ya fedha za mfuko wa hifadhi ya jamii.   Kiongozi wa wafanyakazi aliyejitambulisha kwa jina la Neema Siwa alithibitisha mamdai ya wafanyakazi kuwa mwajiri hawasilishi michango ya wafanyakazi katika mifuko ya hifadhi ya jamii.   “Kuna wafanyakazi wana madai mengi sana hapa ya likizo, wengine mishahara hawajalipwa. Lakini baya ni kwamba fedha zetu za NSSF hazijapelekwa kwa muda mrefu.   “Hali hii ni kama wawekezaji wanaijua kwa sababu wamekuwa nje ya Arusha kipindi kirefu sana bila kutoa ufafanuzi kwa wafanyakazi licha ya juhudi za kufuatilia mara kwa mara tulizozifanya,” alisema Siwa.     Alipoulizwa Meneja wa NAKUMAT Tanzania, Alfrick Milimo kuhusu kufungwa kwa duka hilo alisema wako katika mazungumzo na mwenye jingo lakini wanakabiliwa na ukata.   “Mzunguko mdogo wa fedha umesababisha tushindwe kumudu kulipa gharama za kodi za majengo. Suala la Arusha bado tunaendelea na mazungumzo kati yetu na uongozi wa Nairobi, Kenya na TFA,” alisema Milimo. ### Response: KITAIFA ### End
Na GLORY MLAY- DAR ES SALAM MSHAMBULIAJI wa timu ya JKT Queens, Fatuma Mustapha, amesema kusimama kwa Ligi Kuu ya Wanawake, ni changamoto kubwa kwao, kwani wachezaji wengi watashindwa kulinda viwango kutokana na majukumu ya familia. Serikali  imepiga marufuku kwa siku 30, shughuli zinazosababisha mikusanyiko ya watu ikiwemo michezo, ikiwa ni tahadhari ya kuzuia kusambaa kwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona. Ugonjwa wa corona umesababisha vifo vya maelfu ya watu duniani, tangu uliporipuka kwa mara ya kwanza nchini China na kasha kusambaa mataifa mengine. Kwa hapa nchini, Serikali imethibitisha watu 20 kuambukizwa, huku mmoja kati yao akipoteza maisha.  Akizungumza na MTANZANIA jana, Fatuma alisema wakati huu wanakutana na changamoto nyingi ikiwemo kazi za nyumbani kwani baadhi yao wameolewa hivyo kusimama kama mama. “Kuna wale ambao wameolewa na wanafamilia, huu ni muda wa kukaa karibu na familia zao kwa hiyo kufanya mazoezi itakuwa ni kwa muda mchache sana, kuna wengine watakuwa wanafanya kazi nyingine hasa kuwasaidia wazazi wao katika ujasiriamali. “Lakini naamini kama mchezaji anatambua kazi yake hawezi ataiheshimu lazima apambane kuhakikisha anafikia malengo yake, watenge muda wa kazi za nyumbani pamoja na mazoezi ili kulinda viwango vyao,” alisema.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na GLORY MLAY- DAR ES SALAM MSHAMBULIAJI wa timu ya JKT Queens, Fatuma Mustapha, amesema kusimama kwa Ligi Kuu ya Wanawake, ni changamoto kubwa kwao, kwani wachezaji wengi watashindwa kulinda viwango kutokana na majukumu ya familia. Serikali  imepiga marufuku kwa siku 30, shughuli zinazosababisha mikusanyiko ya watu ikiwemo michezo, ikiwa ni tahadhari ya kuzuia kusambaa kwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona. Ugonjwa wa corona umesababisha vifo vya maelfu ya watu duniani, tangu uliporipuka kwa mara ya kwanza nchini China na kasha kusambaa mataifa mengine. Kwa hapa nchini, Serikali imethibitisha watu 20 kuambukizwa, huku mmoja kati yao akipoteza maisha.  Akizungumza na MTANZANIA jana, Fatuma alisema wakati huu wanakutana na changamoto nyingi ikiwemo kazi za nyumbani kwani baadhi yao wameolewa hivyo kusimama kama mama. “Kuna wale ambao wameolewa na wanafamilia, huu ni muda wa kukaa karibu na familia zao kwa hiyo kufanya mazoezi itakuwa ni kwa muda mchache sana, kuna wengine watakuwa wanafanya kazi nyingine hasa kuwasaidia wazazi wao katika ujasiriamali. “Lakini naamini kama mchezaji anatambua kazi yake hawezi ataiheshimu lazima apambane kuhakikisha anafikia malengo yake, watenge muda wa kazi za nyumbani pamoja na mazoezi ili kulinda viwango vyao,” alisema. ### Response: MICHEZO ### End
KATIKATI ya mwezi Novemba mwaka jana, msichana mdogo wa Marekani kutoka familia maarufu, The Kardashian, Kylie Jenner, alifanya mambo makubwa baada ya kutembelea maduka ya kuuza bidhaa mbalimbali. Kwa kipindi cha miaka mitatu, bidhaa zake za vipodozi zilizojulikana kama  Kylie Cosmetics, zilikuwa zinauzwa mtandaoni pekee, lakini akapatiwa mafunzo kuhusu maduka. Uamuzi wa mdogo huyo wa kuzaliwa na mwanamitindo maarufu duniani, Kim Kardashian, kukubali kusaini mkataba wa usambazaji wa bidhaa zake kupitia duka la mitindo na urembo la Ulta, bidhaa za Kylie Cosmetics zilipanda bei ikiwemo lipstick ambazo zilitoka bei ya dola 29 hadi dola 1,000. Kylie Jenner alitembelea duka hilo lililopo mtaa wa Richmond Avenue jijini Houston na kusalimiana na wateja, kusaini vitabu vya kumbukumbu na kuweka sahihi pamoja na kupiga picha na mashabiki wake. Kwa mujibu wa takwimu za Oppenheimer, takribani wiki sita tangu kuwekwa kwenye duka la Ulta, Kylie Cosmetics iliuza bidhaa zenye thamani ya dola milioni 54.4 ikiwa ni rekodi ya kipekee dukani hapo. “Niliweka kwenye maduka machache, kisha nikatangaza kupitia kurasa zangu za mitandao ya kijamii, nilifanya kitu ambacho mtu yeyote angelifanya, ilileta faida,” alisema Kylie Jenner. Aingia kwenye orodha ya mabilionea wa Forbes Kuuzwa kama njugu kwa bidhaa za urembo na mitindo za Kylie Cosmetics, kumemletea faida kwa asilimia 9 mwaka jana ambayo ni sawa na dola milioni 360. Kutokana na kasi ya kukua huko kwenye soko la urembo, jarida la biashara la Forbes liliitaja Kampuni ya Jenner kuwa na thamani ya dola milioni 900, ambazo zote anamiliki mwenyewe. Thamani ya bidhaa za Jenner zimepanda kwa kasi na kuwa bilionea huku akiwa na miaka 21, ambapo thamani ya biashara yake inakadiriwa kuwa itafikisha kiasi cha dola bilioni 1. Ni msichana mdogo ambaye amejiweka katika ngazi ya kuwa bilionea na kufika kuwa bilionea mwenye umri mdogo zaidi kuliko wote akiwemo Mark Zuckerberg, mwasisi wa mtandao wa Facebook (ambaye aliingia kwenye kundi la mabilionea akiwa na umri wa miaka 23 wakati alipotikisa kupitia mtandao wa Facebook). “Sikutegemea kitu kama hicho, wala sikufikiria kama siku moja huko mbele nitakuwa bilionea. Lakini kutambuliwa thamani hiyo ni heshima na kitu kizuri. Ni nguvu ya mitandao ya kijamii,” alisema Jenner. Uzuri wa bidhaa za Kylie Cosmetics, ambazo Jenner alianzisha mwaka 2015, zimemwingizia fedha nyingi mfukoni mwake. Uwezo wake kwenye utajiri umetokana na kufanya kazi kwa saa 7 na saa 5 kwa muda wa ziada. Amefanya kazi kwenye kampuni binafsi ya Seed Beauty iliyoko Oxnard jijini California. Biashara zake zinauzwa na kusimamiwa mtandaoni na Shopify. Mama yake, Kris anasimamia upande wa fedha na mahusiano kwa umma. Upande wa masoko, matangazo mengi yanafanyika katika mitandao ya kijamii ambako Jenner ana wafuasi wengi. Anatangaza bidhaa zake kupitia mitandao ya kijamii ya Snapchat, Instagram, Facebook na Twitter. “Ni nguvu za mitandao ya kijamii. Nililazimika kufikia idadi kubwa kabla ya kuanza kufanya chochote.” anasema Jenner. Wakati Kylie Cosmetics ilipozinduliwa, iliwafikia watu wengi kiasi kwamba oda zilikuwa nyingi kupitia mtandaoni kila baada ya dakika moja. Maduka ya Ulta yalijaza wateja na kujikuta yakiishiwa bidhaa ndani ya muda mfupi. “Tuliuza bidhaa nyingi kuliko tulivyopanga na kutarajia,” anakiri Tara Simon, Makamu wa Rais wa Ulta. Ulta na Jenner zimeungana na kufanya faida kubwa. Maduka ya Ulta yamewazidi kete washindani wao kama vile MAC Cosmetics Nyx Professional Makeup na Sephora. Uchambuzi unaonesha kuwa Kylie Cosmetics wateja wake wakubwa ni vijana na watoto ambao huenda hawana vigezo vya kununua bidhaa kupitia mtandaoni. Vile vile wanauza ana kwa ana, huku wateja wakipata nafasi ya kukutana na Jenner moja kwa moja. “Kuna wateja wanaofika hapa, wakitaka kumwona, kumgusa na kununua bidhaa huku wakiwa na nafasi ya kupiga naye picha.” Maduka ya Ulta yanauza bidhaa kwa wananchi wa Marekani hususan tabaka la kati pamoja na kutegemea uwezo wa Jenner mwenyewe kuwasiliana na wateja takribani milioni 120 ambao ni wafuasi wake mtandaoni.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KATIKATI ya mwezi Novemba mwaka jana, msichana mdogo wa Marekani kutoka familia maarufu, The Kardashian, Kylie Jenner, alifanya mambo makubwa baada ya kutembelea maduka ya kuuza bidhaa mbalimbali. Kwa kipindi cha miaka mitatu, bidhaa zake za vipodozi zilizojulikana kama  Kylie Cosmetics, zilikuwa zinauzwa mtandaoni pekee, lakini akapatiwa mafunzo kuhusu maduka. Uamuzi wa mdogo huyo wa kuzaliwa na mwanamitindo maarufu duniani, Kim Kardashian, kukubali kusaini mkataba wa usambazaji wa bidhaa zake kupitia duka la mitindo na urembo la Ulta, bidhaa za Kylie Cosmetics zilipanda bei ikiwemo lipstick ambazo zilitoka bei ya dola 29 hadi dola 1,000. Kylie Jenner alitembelea duka hilo lililopo mtaa wa Richmond Avenue jijini Houston na kusalimiana na wateja, kusaini vitabu vya kumbukumbu na kuweka sahihi pamoja na kupiga picha na mashabiki wake. Kwa mujibu wa takwimu za Oppenheimer, takribani wiki sita tangu kuwekwa kwenye duka la Ulta, Kylie Cosmetics iliuza bidhaa zenye thamani ya dola milioni 54.4 ikiwa ni rekodi ya kipekee dukani hapo. “Niliweka kwenye maduka machache, kisha nikatangaza kupitia kurasa zangu za mitandao ya kijamii, nilifanya kitu ambacho mtu yeyote angelifanya, ilileta faida,” alisema Kylie Jenner. Aingia kwenye orodha ya mabilionea wa Forbes Kuuzwa kama njugu kwa bidhaa za urembo na mitindo za Kylie Cosmetics, kumemletea faida kwa asilimia 9 mwaka jana ambayo ni sawa na dola milioni 360. Kutokana na kasi ya kukua huko kwenye soko la urembo, jarida la biashara la Forbes liliitaja Kampuni ya Jenner kuwa na thamani ya dola milioni 900, ambazo zote anamiliki mwenyewe. Thamani ya bidhaa za Jenner zimepanda kwa kasi na kuwa bilionea huku akiwa na miaka 21, ambapo thamani ya biashara yake inakadiriwa kuwa itafikisha kiasi cha dola bilioni 1. Ni msichana mdogo ambaye amejiweka katika ngazi ya kuwa bilionea na kufika kuwa bilionea mwenye umri mdogo zaidi kuliko wote akiwemo Mark Zuckerberg, mwasisi wa mtandao wa Facebook (ambaye aliingia kwenye kundi la mabilionea akiwa na umri wa miaka 23 wakati alipotikisa kupitia mtandao wa Facebook). “Sikutegemea kitu kama hicho, wala sikufikiria kama siku moja huko mbele nitakuwa bilionea. Lakini kutambuliwa thamani hiyo ni heshima na kitu kizuri. Ni nguvu ya mitandao ya kijamii,” alisema Jenner. Uzuri wa bidhaa za Kylie Cosmetics, ambazo Jenner alianzisha mwaka 2015, zimemwingizia fedha nyingi mfukoni mwake. Uwezo wake kwenye utajiri umetokana na kufanya kazi kwa saa 7 na saa 5 kwa muda wa ziada. Amefanya kazi kwenye kampuni binafsi ya Seed Beauty iliyoko Oxnard jijini California. Biashara zake zinauzwa na kusimamiwa mtandaoni na Shopify. Mama yake, Kris anasimamia upande wa fedha na mahusiano kwa umma. Upande wa masoko, matangazo mengi yanafanyika katika mitandao ya kijamii ambako Jenner ana wafuasi wengi. Anatangaza bidhaa zake kupitia mitandao ya kijamii ya Snapchat, Instagram, Facebook na Twitter. “Ni nguvu za mitandao ya kijamii. Nililazimika kufikia idadi kubwa kabla ya kuanza kufanya chochote.” anasema Jenner. Wakati Kylie Cosmetics ilipozinduliwa, iliwafikia watu wengi kiasi kwamba oda zilikuwa nyingi kupitia mtandaoni kila baada ya dakika moja. Maduka ya Ulta yalijaza wateja na kujikuta yakiishiwa bidhaa ndani ya muda mfupi. “Tuliuza bidhaa nyingi kuliko tulivyopanga na kutarajia,” anakiri Tara Simon, Makamu wa Rais wa Ulta. Ulta na Jenner zimeungana na kufanya faida kubwa. Maduka ya Ulta yamewazidi kete washindani wao kama vile MAC Cosmetics Nyx Professional Makeup na Sephora. Uchambuzi unaonesha kuwa Kylie Cosmetics wateja wake wakubwa ni vijana na watoto ambao huenda hawana vigezo vya kununua bidhaa kupitia mtandaoni. Vile vile wanauza ana kwa ana, huku wateja wakipata nafasi ya kukutana na Jenner moja kwa moja. “Kuna wateja wanaofika hapa, wakitaka kumwona, kumgusa na kununua bidhaa huku wakiwa na nafasi ya kupiga naye picha.” Maduka ya Ulta yanauza bidhaa kwa wananchi wa Marekani hususan tabaka la kati pamoja na kutegemea uwezo wa Jenner mwenyewe kuwasiliana na wateja takribani milioni 120 ambao ni wafuasi wake mtandaoni. ### Response: BURUDANI ### End
Na JOHANES RESPICHIUS-DAR ES SALAAM GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu, anatarajiwa kushiriki kutathimini programu ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa miaka mitano (FYDP-II) na Agenda ya Dunia ya mwaka 2030 ya Malengo Endelevu (SDGs). Tathimini hiyo inatarajiwa kufanyika Novemba 20 ambayo pia ni siku ya maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika. Akizungumza jijini hapa jana, mkurugenzi wa shughuli za Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Erenius Ruyobya alisema maadhimisho hayo yana lengo la kuongeza ufahamu kuhusu nafasi na mchango wa tasnia hiyo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii barani Afrika. “Kauli mbiu ya siku hiyo kwa mwaka huu ni ‘Takwimu bora za uchumi kwa maisha bora’ inayolenga kuweka mkazo katika matumizi ya Takwimu za uchumi kwa ajili ya kuboresha maisha ya wananchi wote na Afrika kwa ujumla. “Kwa mantiki ya matumizi sahihi ya Takwimu za uchumi yanawezesha Serikali kutunga sera na kutathimini programu mbalimbali kama vile Agenda ya Afrika ya Mwaka 2063,” alisema Ruyobya. Alisema programu hizo zina lengo la kuboresha maisha ya wananchi kwa kuhakikisha kuwa kuna upatikanaji wa Huduma za afya, Elimu, Miundombinu, Mwasiliano, Utunzaji wa mazingira pamoja na Utawala bora.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na JOHANES RESPICHIUS-DAR ES SALAAM GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu, anatarajiwa kushiriki kutathimini programu ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa miaka mitano (FYDP-II) na Agenda ya Dunia ya mwaka 2030 ya Malengo Endelevu (SDGs). Tathimini hiyo inatarajiwa kufanyika Novemba 20 ambayo pia ni siku ya maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika. Akizungumza jijini hapa jana, mkurugenzi wa shughuli za Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Erenius Ruyobya alisema maadhimisho hayo yana lengo la kuongeza ufahamu kuhusu nafasi na mchango wa tasnia hiyo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii barani Afrika. “Kauli mbiu ya siku hiyo kwa mwaka huu ni ‘Takwimu bora za uchumi kwa maisha bora’ inayolenga kuweka mkazo katika matumizi ya Takwimu za uchumi kwa ajili ya kuboresha maisha ya wananchi wote na Afrika kwa ujumla. “Kwa mantiki ya matumizi sahihi ya Takwimu za uchumi yanawezesha Serikali kutunga sera na kutathimini programu mbalimbali kama vile Agenda ya Afrika ya Mwaka 2063,” alisema Ruyobya. Alisema programu hizo zina lengo la kuboresha maisha ya wananchi kwa kuhakikisha kuwa kuna upatikanaji wa Huduma za afya, Elimu, Miundombinu, Mwasiliano, Utunzaji wa mazingira pamoja na Utawala bora. ### Response: KITAIFA ### End
SERIKALI imesisitiza kuwa hali na mwenendo wa biashara nchini inakwenda vizuri, jambo linaloiwezesha kutekeleza miradi ya maendeleo, kulipa wafanyakazi mishahara, lakini pia kuwa na mazingira mazuri ya kuongeza idadi ya biashara zinazoanzishwa.Aidha, imeendelea kuweka msimamo wake wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye taulo za kike isipokuwa inapunguza kodi ya Corporate Income Tax kutoka asilimia 30 hadi 25 kwa viwanda vinavyozalisha taulo hizo nchini kwa muda wa miaka miwili.Hayo yamebainishwa kwa nyakati tofauti na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango na Naibu Waziri wake, Dk Ashatu Kijaji wakati wakijibu hoja za wabunge takribani 236 waliochangia katika mjadala wa kupitisha Bajeti ya Serikali Kuu kwa mwaka wa fedha 2019/20, bungeni jana.Dk Kijaji amesema hali ya mwenendo wa biashara nchini ni nzuri na inazidi kuimarika tofauti na madai ya wabunge waliochangia huku wengine wakitumia takwimu zisizo sahihi kuhusu hoja kwamba hali ya biashara ni mbaya nchini.Alisema alishawahi kueleza awali kuwa takwimu zinazowasilishwa bungeni humo kuwa biashara zinakufa nchini si sahihi na kuweka bayana takwimu halisi zinazoonesha kuwa biashara zinazofungwa ni 16,252 wakati zilizofunguliwa ni 147,817.Alielezea sababu za biashara kufungwa ambazo zinawakabili wafanyabiashara dunia nzima kuwa ni mfanyabiashara kubadili biashara, kuzidiwa na ushindani kwa biashara husika, kushindwa kufanya biashara na mzigo mkubwa wa madeni ya kodi na benki.“Zipo tafiti duniani zinazoonesha zaidi ya asilimia 50 ya biashara za kati na ndogo hufa kabla ya kusherehekea mwaka wa kwanza wa uanzishwaji wake, na hili si kwa Tanzania tu bali dunia nzima,” alisema.Alisema pamoja na ukweli huo, kupitia biashara zinazoendelea nchini serikali imekuwa ikiingiza mapato mengi na hivyo kutekeleza shughuli zake za kawaida ikiwemo kulipa mishahara kwa watumishi wake, lakini pia kuendeleza miradi ya maendeleo.“Serikali inalipa Sh bilioni 580 kila mwezi na kuwalipa watumishi wake kila tarehe 22 lakini pia ukusanyaji wa mapato umeongezeka kutoka Sh bilioni 70 hadi zaidi ya Sh trilioni moja kwa mwezi. Sasa jamani hiyo hali mbaya ya biashara inatoka wapi?” alihoji.Aidha, amesema kwa sasa takribani asilimia 85 ya fedha zinazoenda kwenye miradi ni fedha za ndani. “Je, hizi fedha sasa zinatoka wapi kama biashara imekufa Tanzania?” alihoji.Alisema jambo la msingi kwa wizara ni kuendelea kuhakikisha mazingira na mwenendo wa biashara nchini yanaimarika ikiwemo kudhibiti mianya yote ya rushwa na watumishi wasio waaminifu wanaoikosesha serikali mapato.Alisema anafahamu kuwa amenyooshewa vidole na kudaiwa kuwa amekuwa akifurahia biashara kufa, tuhuma zinazotokana na msimamo wake wa kuhakikisha kuwa pamoja na biashara kuendelea kushamiri nchini, lakini taratibu na sheria za nchi zinafuatwa.Dk Kijaji alisema kutokana na jitihada za wizara hiyo ya fedha kuanzia Mei mwaka 2017 hadi Aprili 2019 watumishi zaidi ya 30 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walisimamishwa kazi kwa utovu wa nidhamu.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI imesisitiza kuwa hali na mwenendo wa biashara nchini inakwenda vizuri, jambo linaloiwezesha kutekeleza miradi ya maendeleo, kulipa wafanyakazi mishahara, lakini pia kuwa na mazingira mazuri ya kuongeza idadi ya biashara zinazoanzishwa.Aidha, imeendelea kuweka msimamo wake wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye taulo za kike isipokuwa inapunguza kodi ya Corporate Income Tax kutoka asilimia 30 hadi 25 kwa viwanda vinavyozalisha taulo hizo nchini kwa muda wa miaka miwili.Hayo yamebainishwa kwa nyakati tofauti na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango na Naibu Waziri wake, Dk Ashatu Kijaji wakati wakijibu hoja za wabunge takribani 236 waliochangia katika mjadala wa kupitisha Bajeti ya Serikali Kuu kwa mwaka wa fedha 2019/20, bungeni jana.Dk Kijaji amesema hali ya mwenendo wa biashara nchini ni nzuri na inazidi kuimarika tofauti na madai ya wabunge waliochangia huku wengine wakitumia takwimu zisizo sahihi kuhusu hoja kwamba hali ya biashara ni mbaya nchini.Alisema alishawahi kueleza awali kuwa takwimu zinazowasilishwa bungeni humo kuwa biashara zinakufa nchini si sahihi na kuweka bayana takwimu halisi zinazoonesha kuwa biashara zinazofungwa ni 16,252 wakati zilizofunguliwa ni 147,817.Alielezea sababu za biashara kufungwa ambazo zinawakabili wafanyabiashara dunia nzima kuwa ni mfanyabiashara kubadili biashara, kuzidiwa na ushindani kwa biashara husika, kushindwa kufanya biashara na mzigo mkubwa wa madeni ya kodi na benki.“Zipo tafiti duniani zinazoonesha zaidi ya asilimia 50 ya biashara za kati na ndogo hufa kabla ya kusherehekea mwaka wa kwanza wa uanzishwaji wake, na hili si kwa Tanzania tu bali dunia nzima,” alisema.Alisema pamoja na ukweli huo, kupitia biashara zinazoendelea nchini serikali imekuwa ikiingiza mapato mengi na hivyo kutekeleza shughuli zake za kawaida ikiwemo kulipa mishahara kwa watumishi wake, lakini pia kuendeleza miradi ya maendeleo.“Serikali inalipa Sh bilioni 580 kila mwezi na kuwalipa watumishi wake kila tarehe 22 lakini pia ukusanyaji wa mapato umeongezeka kutoka Sh bilioni 70 hadi zaidi ya Sh trilioni moja kwa mwezi. Sasa jamani hiyo hali mbaya ya biashara inatoka wapi?” alihoji.Aidha, amesema kwa sasa takribani asilimia 85 ya fedha zinazoenda kwenye miradi ni fedha za ndani. “Je, hizi fedha sasa zinatoka wapi kama biashara imekufa Tanzania?” alihoji.Alisema jambo la msingi kwa wizara ni kuendelea kuhakikisha mazingira na mwenendo wa biashara nchini yanaimarika ikiwemo kudhibiti mianya yote ya rushwa na watumishi wasio waaminifu wanaoikosesha serikali mapato.Alisema anafahamu kuwa amenyooshewa vidole na kudaiwa kuwa amekuwa akifurahia biashara kufa, tuhuma zinazotokana na msimamo wake wa kuhakikisha kuwa pamoja na biashara kuendelea kushamiri nchini, lakini taratibu na sheria za nchi zinafuatwa.Dk Kijaji alisema kutokana na jitihada za wizara hiyo ya fedha kuanzia Mei mwaka 2017 hadi Aprili 2019 watumishi zaidi ya 30 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walisimamishwa kazi kwa utovu wa nidhamu. ### Response: UCHUMI ### End
Beki wa Yanga Ally Mtoni (Sonso) amemwagia sifa mshambuliaji wa Simba SC Meddie Kagere kutokana na uwezo wake mkubwa wa kufunga Kwenye mahojiano maalum na kipindi cha Sports HQ kilichoruka leo April 28 Kwenye kituo cha Efm Mtoni amesema huwa halali usiku akiwa anajua atakutana na Kagere “Nikicheza na timu anayocheza Medie Kagere siwezi kulala, ntafanya mazoezi sana” Aidha kwa upande mwingine Mtoni amemwagia sifa aliyekuwa straika wa timu hiyo Herriet Makambo “Makambo yuko fiti..ni striker msumbufu saaana, anakimbia hatulii sehemu moja” amesema
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Beki wa Yanga Ally Mtoni (Sonso) amemwagia sifa mshambuliaji wa Simba SC Meddie Kagere kutokana na uwezo wake mkubwa wa kufunga Kwenye mahojiano maalum na kipindi cha Sports HQ kilichoruka leo April 28 Kwenye kituo cha Efm Mtoni amesema huwa halali usiku akiwa anajua atakutana na Kagere “Nikicheza na timu anayocheza Medie Kagere siwezi kulala, ntafanya mazoezi sana” Aidha kwa upande mwingine Mtoni amemwagia sifa aliyekuwa straika wa timu hiyo Herriet Makambo “Makambo yuko fiti..ni striker msumbufu saaana, anakimbia hatulii sehemu moja” amesema ### Response: MICHEZO ### End
WAZIRI wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Profesa Palamagamba Kabudi amesema umefi ka wakati wa sheria zote za nchi kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili, zifahamike vizuri kwa walengwa.Kabudi alisema hayo alipofanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria na Utawala Bora Zanzibar, Haroun Ali Suleiman ofisini kwake, Unguja.Profesa Kabudi alisema wananchi kwa asilimia kubwa wanatumia Kiswahili kama lugha ya taifa hivyo siyo vizuri kuwa na sheria zinazotumiwa na wananchi zikiwa zimeandikwa kwa lugha ya kigeni ya Kiingereza.Alisema yapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu kuwapo kwa matumizi ya sheria nyingi ambazo zimeandikwa kwa kiingereza wakati watumiaji wake wanazungumza kwa ufasaha Kiswahili.“Tunataka tubadilike kuanzia sasa ambapo sheria zetu zote tunataka kuziandika kwa lugha ya Kiswahili badala ya Kiingereza ili zifahamike na wananchi walio wengi,” alisema Profesa Kabudi.Alisema ili kupata mafanikio ya ushirikiano wa karibu, yanahitajika kwa upande wa Zanzibar ambao wanao uzoefu mkubwa wa kuandika sheria kwa kiswahili.Alifurahishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuandika sheria zake kwa Kiswahili pamoja na kuanzishwa kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka.Awali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman alimpongeza Profesa Kabudi kwa kuonesha mfano wa ziara ambayo lengo lake kubwa ni kuleta ufanisi wa kazi pamoja na kuzipatia ufumbuzi kero za wananchi katika masuala ya sheria.Alisema wizara hizo mbili baadhi ya kazi zake zinafanana ambazo ni masuala ya sheria na haki za binadamu na wananchi kwa ujumla. “Nakupongeza kwa ujio wa ziara yako yenye lengo la kubadilisha mawazo na kuleta ufanisi wa majukumu ya kazi kama vile tunavyotakiwa kufanya na viongozi wetu wa nchi,” alisema Suleiman.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Profesa Palamagamba Kabudi amesema umefi ka wakati wa sheria zote za nchi kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili, zifahamike vizuri kwa walengwa.Kabudi alisema hayo alipofanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria na Utawala Bora Zanzibar, Haroun Ali Suleiman ofisini kwake, Unguja.Profesa Kabudi alisema wananchi kwa asilimia kubwa wanatumia Kiswahili kama lugha ya taifa hivyo siyo vizuri kuwa na sheria zinazotumiwa na wananchi zikiwa zimeandikwa kwa lugha ya kigeni ya Kiingereza.Alisema yapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu kuwapo kwa matumizi ya sheria nyingi ambazo zimeandikwa kwa kiingereza wakati watumiaji wake wanazungumza kwa ufasaha Kiswahili.“Tunataka tubadilike kuanzia sasa ambapo sheria zetu zote tunataka kuziandika kwa lugha ya Kiswahili badala ya Kiingereza ili zifahamike na wananchi walio wengi,” alisema Profesa Kabudi.Alisema ili kupata mafanikio ya ushirikiano wa karibu, yanahitajika kwa upande wa Zanzibar ambao wanao uzoefu mkubwa wa kuandika sheria kwa kiswahili.Alifurahishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuandika sheria zake kwa Kiswahili pamoja na kuanzishwa kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka.Awali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman alimpongeza Profesa Kabudi kwa kuonesha mfano wa ziara ambayo lengo lake kubwa ni kuleta ufanisi wa kazi pamoja na kuzipatia ufumbuzi kero za wananchi katika masuala ya sheria.Alisema wizara hizo mbili baadhi ya kazi zake zinafanana ambazo ni masuala ya sheria na haki za binadamu na wananchi kwa ujumla. “Nakupongeza kwa ujio wa ziara yako yenye lengo la kubadilisha mawazo na kuleta ufanisi wa majukumu ya kazi kama vile tunavyotakiwa kufanya na viongozi wetu wa nchi,” alisema Suleiman. ### Response: KITAIFA ### End
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Mkoa wa Morogoro, kwa kushirikiana na kampuni za simu, imesongeza huduma karibu na wananchi kwenye Kituo cha Msamvu Manispaa ya Morogoro. Lengo la hatua hiyo ni kuwawezesha wananchi, kupata namba za utambulisho wa taifa kwa waliokwishasajili na kuwasajili waombaji wapya.Mbali na Kituo cha Msamvu, huduma hiyo imesogezwa pia katika ofisi ya zamani ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, jirani na Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.Ofisa Usajili wa NIDA wa mkoa huo , James Malimo alisema jana kuwa mamlaka imesogeza huduma hiyo kuanzia jana hadi Januari 20, 2020 ikishirikiana na kampuni za simu na wadau wengine.Malimo alisema wananchi walio karibu na maeneo hayo, wafike katika vituo wakiwa na namba ya NIDA au Kitambulisho cha Taifa ili waweze kusajili laini zao za simu kwa kutumia alama za vidole, kupata namba za utambulisho kwa wale waliokwishasajili na kuwasajili waombaji wapya.“Tunawakumbusha waombaji wapya lazima waje na fomu 1A iliyothibitishwa makazi kwa kugongwa muhuri wa mwenyekiti wa mtaa pamoja na mtendaji wa kata, wakiambatanisha nakala za viambata zinazothibitisha uraia wao,”alisema.Alisema NIDA mkoa wa Morogoro imeongeza muda wa kufanya kazi hadi saa 11:00 jioni siku za kazi na kwa siku ya Jumamosi , Jumapili na sikukuu, utoaji wa huduma kwa wananchi unafanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:30 mchana.Desemba 31, mwaka jana,Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni alifanya ziara kwenye ofisi za NIDA Mkoa wa Morogoro, kuona usajili wa wananchi ili kupata namba za vitambulisho vya taifa kwa ajili ya matumizi mbalimbali, hasa kuwawezesha kusajili laini zao za simu. Masauni alitoa agizo kwa NIDA kuongeza kasi, kwa kuongeza watumishi na vifaa katika maeneo ya usajili na kusongeza huduma karibu maeneo ya wananchi.Pia aliwahimiza Watanzania wajitokeze kusajili laini zao za simu kwa njia ya alama za vidole katika muda wa siku 20 zilizoongezwa na Rais Dk John Magufuli hadi Januari 20, mwaka huu. Naibu Waziri aliwataka watendaji wa NIDA na vyombo vingine wakiwemo Uhamiaji, kufanya kazi ya usajili kwa kuzingatia namna mwananchi anavyokidhi vigezo ili kupata kitambulisho cha taifa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Mkoa wa Morogoro, kwa kushirikiana na kampuni za simu, imesongeza huduma karibu na wananchi kwenye Kituo cha Msamvu Manispaa ya Morogoro. Lengo la hatua hiyo ni kuwawezesha wananchi, kupata namba za utambulisho wa taifa kwa waliokwishasajili na kuwasajili waombaji wapya.Mbali na Kituo cha Msamvu, huduma hiyo imesogezwa pia katika ofisi ya zamani ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, jirani na Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.Ofisa Usajili wa NIDA wa mkoa huo , James Malimo alisema jana kuwa mamlaka imesogeza huduma hiyo kuanzia jana hadi Januari 20, 2020 ikishirikiana na kampuni za simu na wadau wengine.Malimo alisema wananchi walio karibu na maeneo hayo, wafike katika vituo wakiwa na namba ya NIDA au Kitambulisho cha Taifa ili waweze kusajili laini zao za simu kwa kutumia alama za vidole, kupata namba za utambulisho kwa wale waliokwishasajili na kuwasajili waombaji wapya.“Tunawakumbusha waombaji wapya lazima waje na fomu 1A iliyothibitishwa makazi kwa kugongwa muhuri wa mwenyekiti wa mtaa pamoja na mtendaji wa kata, wakiambatanisha nakala za viambata zinazothibitisha uraia wao,”alisema.Alisema NIDA mkoa wa Morogoro imeongeza muda wa kufanya kazi hadi saa 11:00 jioni siku za kazi na kwa siku ya Jumamosi , Jumapili na sikukuu, utoaji wa huduma kwa wananchi unafanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 7:30 mchana.Desemba 31, mwaka jana,Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni alifanya ziara kwenye ofisi za NIDA Mkoa wa Morogoro, kuona usajili wa wananchi ili kupata namba za vitambulisho vya taifa kwa ajili ya matumizi mbalimbali, hasa kuwawezesha kusajili laini zao za simu. Masauni alitoa agizo kwa NIDA kuongeza kasi, kwa kuongeza watumishi na vifaa katika maeneo ya usajili na kusongeza huduma karibu maeneo ya wananchi.Pia aliwahimiza Watanzania wajitokeze kusajili laini zao za simu kwa njia ya alama za vidole katika muda wa siku 20 zilizoongezwa na Rais Dk John Magufuli hadi Januari 20, mwaka huu. Naibu Waziri aliwataka watendaji wa NIDA na vyombo vingine wakiwemo Uhamiaji, kufanya kazi ya usajili kwa kuzingatia namna mwananchi anavyokidhi vigezo ili kupata kitambulisho cha taifa. ### Response: KITAIFA ### End
MBWA maalumu wa Polisi wa kunusa dawa za kulevya wamesaidia kunasa watu watatu wakiingiza dawa aina ya heroin kilo 12 baada ya kupita mitambo ya kisasa ya ukaguzi bila kubainika.Watuhumiwa hao watatu, wawili wakiwa mume na mke ni kutoka Brazil na Marekani na walikamatwa Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Raia wa Brazil aliyedakwa alitambuliwa kwa jina la Joel Kandido ambaye alikamatwa na kilo 6.3 na Wamarekani wawili mume na mke, Imtiaz Hussein na Dorothea Miranda walikamatwa na kilo 6.7.Wamarekani hao walikuwa wakienda Italia. Akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa KIA, Meneja wa Ulinzi na Usalama wa uwanja huo, Justine Kisusi alisema wamarekani hao walificha mihadarati hiyo kwa ustadi mkubwa ndani ya magurudumu ya begi na dawa nyingine zilifichwa pembeni mwa mikanda ndani ya begi na nyingine zilifichwa kwenye mkono wa kushikia begi na zilipita katika mashine bila kuonekana.Alisema hata hivyo mbwa wa kunusa dawa walilia kuonesha kuwa begi hilo haliko salama na lina dawa za kulevya. Kisusi alisema tukio hilo lilitokea usiku wa manane wa Oktoba 28 mwaka huu, wakati wageni hao wakiingia nchini wakitokea Marekani kuelekea Italia.Alisema baada ya mbwa kuonesha ishara kuwa begi hilo lina dawa kikosi cha usalama katika uwanja huo kiliwakamata raia hao na kuanza kulipekuwa begi hilo lote lakini hawakuona kitu.Mbwa alionesha kuwa bado begi hilo lina dawa na hatua ya kuanza ilikuwa kuvunja kila kitu, ikiwemo magurudumu na mikono ya kushikia begi ndipo zilipogundulika. “Uwanja wa KIA kwa sasa uko vizuri kiulinzi kwa saa 24 na wafanyabiashara kupitishia dawa hawatakuwa salama,” alisema.Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Mbwa na Farasi Nchini, Mrakibu Mwandamizi Msaidizi, Kyariga Timoth alisema kuwa uwanja wa KIA ni moja ya viwanja vyenye mbwa maalumu wenye utaalamu wa kutambua dawa za kulevya na nyara za serikali, hivyo alisema kuwa kazi iliyofanywa na askari kwa kukamata dawa hizo inapaswa kupongezwa.Kaimu Mkurugenzi wa KADCO, kampuni inayoendesha uwanja huo, Christopher Mukoma alisema kikosi cha ulinzi KIA kimeimarishwa zaidi na wafanyakazi wake wanafanya kazi saa 24 na baadhi ya waajiriwa wapya wa sasa wamepata mafunzo ya kiutendaji katika Chuo Cha Polisi Moshi (CCP), lengo likiwa ni kuboresha ufanisi wa kazi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MBWA maalumu wa Polisi wa kunusa dawa za kulevya wamesaidia kunasa watu watatu wakiingiza dawa aina ya heroin kilo 12 baada ya kupita mitambo ya kisasa ya ukaguzi bila kubainika.Watuhumiwa hao watatu, wawili wakiwa mume na mke ni kutoka Brazil na Marekani na walikamatwa Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Raia wa Brazil aliyedakwa alitambuliwa kwa jina la Joel Kandido ambaye alikamatwa na kilo 6.3 na Wamarekani wawili mume na mke, Imtiaz Hussein na Dorothea Miranda walikamatwa na kilo 6.7.Wamarekani hao walikuwa wakienda Italia. Akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa KIA, Meneja wa Ulinzi na Usalama wa uwanja huo, Justine Kisusi alisema wamarekani hao walificha mihadarati hiyo kwa ustadi mkubwa ndani ya magurudumu ya begi na dawa nyingine zilifichwa pembeni mwa mikanda ndani ya begi na nyingine zilifichwa kwenye mkono wa kushikia begi na zilipita katika mashine bila kuonekana.Alisema hata hivyo mbwa wa kunusa dawa walilia kuonesha kuwa begi hilo haliko salama na lina dawa za kulevya. Kisusi alisema tukio hilo lilitokea usiku wa manane wa Oktoba 28 mwaka huu, wakati wageni hao wakiingia nchini wakitokea Marekani kuelekea Italia.Alisema baada ya mbwa kuonesha ishara kuwa begi hilo lina dawa kikosi cha usalama katika uwanja huo kiliwakamata raia hao na kuanza kulipekuwa begi hilo lote lakini hawakuona kitu.Mbwa alionesha kuwa bado begi hilo lina dawa na hatua ya kuanza ilikuwa kuvunja kila kitu, ikiwemo magurudumu na mikono ya kushikia begi ndipo zilipogundulika. “Uwanja wa KIA kwa sasa uko vizuri kiulinzi kwa saa 24 na wafanyabiashara kupitishia dawa hawatakuwa salama,” alisema.Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Mbwa na Farasi Nchini, Mrakibu Mwandamizi Msaidizi, Kyariga Timoth alisema kuwa uwanja wa KIA ni moja ya viwanja vyenye mbwa maalumu wenye utaalamu wa kutambua dawa za kulevya na nyara za serikali, hivyo alisema kuwa kazi iliyofanywa na askari kwa kukamata dawa hizo inapaswa kupongezwa.Kaimu Mkurugenzi wa KADCO, kampuni inayoendesha uwanja huo, Christopher Mukoma alisema kikosi cha ulinzi KIA kimeimarishwa zaidi na wafanyakazi wake wanafanya kazi saa 24 na baadhi ya waajiriwa wapya wa sasa wamepata mafunzo ya kiutendaji katika Chuo Cha Polisi Moshi (CCP), lengo likiwa ni kuboresha ufanisi wa kazi. ### Response: KITAIFA ### End
IDARA ya Misitu na Mali zisizorejesheka imewahamisha watu waliokuwa wakiishi katika eneo la msitu wa Hifadhi wa Kiwengwa Mkoa wa kaskazini Unguja, ili kuepuka athari za uharibifu.Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka, Soud Mohamed alisema serikali imechukua hatua hizo baada ya kubainika watu waliokuwa wakiishi eneo hilo kufanya vitendo vya uharibifu wa mazingira na ukataji wa msitu.Aliyataja matukio yaliyokuwa yakifanywa katika msitu wa hifadhi wa Kiwengwa ni pamoja na kukatwa kwa baadhi ya miti kwa matumizi ya mbao.''Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka imechukua hatua ya kuwahamisha watu waliokuwa wakiishi ndani ya sehemu ya msitu wa Kiwengwa baada ya kubaini matukio ya vitendo vya hujuma vya uharibifu wa msitu huo,'' alisema.Aidha, alisema idara imejipanga zaidi kuhakikisha baadhi ya misitu ya hifadhi haihujumiwi ikiwemo kukatwa kwa miti yake kinyume na malengo.''Tumeanza mikakati ya kuimarisha ulinzi katika maeneo ya hifadhi ya misitu nchini ili kuepuka uharibifu unaoweza kufanywa na jamii ya wananchi wetu,'' amesema.Ofisa anayeshughulika na masuala ya ulinzi katika msitu wa hifadhi ya Kiwengwa, Ali Juma alisikitishwa na matukio ya uvamizi wa hifadhi ya msitu yanayofanywa na watu wasiokuwa waaminifu.Alisema baadhi ya miti adimu imekuwa ikikatwa kwa ajili ya matumizi ya mbao ikiwemo Msaji.''Ipo baadhi ya miti imeanza kuadimika nchini na imekuwa ikikatwa kwa ajili ya matumizi ya mbao, hivyo kusababisha uharibifu mkubwa wa rasilimali ya taifa,'' amesema.Baadhi ya misitu ya hifadhi ya taifa ambayo imeanza kuhujumiwa na kuvamiwa na wananchi ni pamoja na Kiwengwa, Jozani na Hanyegwa mchana Unguja.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- IDARA ya Misitu na Mali zisizorejesheka imewahamisha watu waliokuwa wakiishi katika eneo la msitu wa Hifadhi wa Kiwengwa Mkoa wa kaskazini Unguja, ili kuepuka athari za uharibifu.Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka, Soud Mohamed alisema serikali imechukua hatua hizo baada ya kubainika watu waliokuwa wakiishi eneo hilo kufanya vitendo vya uharibifu wa mazingira na ukataji wa msitu.Aliyataja matukio yaliyokuwa yakifanywa katika msitu wa hifadhi wa Kiwengwa ni pamoja na kukatwa kwa baadhi ya miti kwa matumizi ya mbao.''Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka imechukua hatua ya kuwahamisha watu waliokuwa wakiishi ndani ya sehemu ya msitu wa Kiwengwa baada ya kubaini matukio ya vitendo vya hujuma vya uharibifu wa msitu huo,'' alisema.Aidha, alisema idara imejipanga zaidi kuhakikisha baadhi ya misitu ya hifadhi haihujumiwi ikiwemo kukatwa kwa miti yake kinyume na malengo.''Tumeanza mikakati ya kuimarisha ulinzi katika maeneo ya hifadhi ya misitu nchini ili kuepuka uharibifu unaoweza kufanywa na jamii ya wananchi wetu,'' amesema.Ofisa anayeshughulika na masuala ya ulinzi katika msitu wa hifadhi ya Kiwengwa, Ali Juma alisikitishwa na matukio ya uvamizi wa hifadhi ya msitu yanayofanywa na watu wasiokuwa waaminifu.Alisema baadhi ya miti adimu imekuwa ikikatwa kwa ajili ya matumizi ya mbao ikiwemo Msaji.''Ipo baadhi ya miti imeanza kuadimika nchini na imekuwa ikikatwa kwa ajili ya matumizi ya mbao, hivyo kusababisha uharibifu mkubwa wa rasilimali ya taifa,'' amesema.Baadhi ya misitu ya hifadhi ya taifa ambayo imeanza kuhujumiwa na kuvamiwa na wananchi ni pamoja na Kiwengwa, Jozani na Hanyegwa mchana Unguja. ### Response: KITAIFA ### End
KAMPALA, UGANDA RAIS Yoweri Museveni amesaini kuwa sheria muswada wenye utata wa Marekebisho ya Katiba No. 2 wa mwaka 2017, yanayoondoa ukomo wa miaka 75 kwa wagombea urais na kuwaongezea wabunge miaka miwili zaidi kuhudumia majimboni. Uamuzi huo, umemsafishia njia Museveni (75) kuwania urais kwa muhula mwingine wa saba wakati uchaguzi wa rais utakapofanyika mwaka 2021. Aidha sheria mpya imerudisha ukomo wa mihula miwili ya urais, ambayo iliondolewa wakati wa ujio wa vyama vingi mwaka 2005. Hata hivyo, kipengele hiki kitaanza kutumika kuanzia uchaguzi mkuu ujao na hivyo Museveni anaweza kutumikia mihula mingine miwili zaidi itakayomweka madarakani hadi 2031. Hatua ya wabunge kuupitisha muswada huo, inaonekana kama kulipa fadhila baada ya umri wao na maofisa wa Serikali za mitaa kukaa madarakani, kurefushwa kutoka miaka mitano hadi saba, ikimaanisha uchaguzi wa wabunge utafanyika mwaka 2023 badala ya 2021. Baada ya mjadala wa siku tatu ukipingwa vikali na wabunge wa upinzani, huru na wachache kutoka chama tawala cha NRM, Bunge lilipitisha kile kilichokuja kujulikana kama Muswada wa Ukomo wa Umri. Wakati wa usomaji wa tatu wa muswada huo, ikiwa hatua ya mwisho kabla ya kuwa sheria, wabunge 315 walipiga kura kuunga mkono, huku 62 wakiukataa na wawili wakijiweka pembeni. Wakati wananchi wengi wakionekana kutofurahishwa kwa Katiba kurekebishwa mara kwa mara kwa ajili ya mtu mmoja tu; Museveni, wafuasi wake wanadai ni Waganda ndio wanaweza kumwondoa madarakani kwa kura. Lakini wapinzani wanahisi kuwa uchaguzi haujawahi kuwa huru na hautakuwa huru kwa siku za usoni.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KAMPALA, UGANDA RAIS Yoweri Museveni amesaini kuwa sheria muswada wenye utata wa Marekebisho ya Katiba No. 2 wa mwaka 2017, yanayoondoa ukomo wa miaka 75 kwa wagombea urais na kuwaongezea wabunge miaka miwili zaidi kuhudumia majimboni. Uamuzi huo, umemsafishia njia Museveni (75) kuwania urais kwa muhula mwingine wa saba wakati uchaguzi wa rais utakapofanyika mwaka 2021. Aidha sheria mpya imerudisha ukomo wa mihula miwili ya urais, ambayo iliondolewa wakati wa ujio wa vyama vingi mwaka 2005. Hata hivyo, kipengele hiki kitaanza kutumika kuanzia uchaguzi mkuu ujao na hivyo Museveni anaweza kutumikia mihula mingine miwili zaidi itakayomweka madarakani hadi 2031. Hatua ya wabunge kuupitisha muswada huo, inaonekana kama kulipa fadhila baada ya umri wao na maofisa wa Serikali za mitaa kukaa madarakani, kurefushwa kutoka miaka mitano hadi saba, ikimaanisha uchaguzi wa wabunge utafanyika mwaka 2023 badala ya 2021. Baada ya mjadala wa siku tatu ukipingwa vikali na wabunge wa upinzani, huru na wachache kutoka chama tawala cha NRM, Bunge lilipitisha kile kilichokuja kujulikana kama Muswada wa Ukomo wa Umri. Wakati wa usomaji wa tatu wa muswada huo, ikiwa hatua ya mwisho kabla ya kuwa sheria, wabunge 315 walipiga kura kuunga mkono, huku 62 wakiukataa na wawili wakijiweka pembeni. Wakati wananchi wengi wakionekana kutofurahishwa kwa Katiba kurekebishwa mara kwa mara kwa ajili ya mtu mmoja tu; Museveni, wafuasi wake wanadai ni Waganda ndio wanaweza kumwondoa madarakani kwa kura. Lakini wapinzani wanahisi kuwa uchaguzi haujawahi kuwa huru na hautakuwa huru kwa siku za usoni. ### Response: KIMATAIFA ### End
JOTO la michuano ya Mataifa ya Afrika, Afcon 2019 nchini Misri linaendelea kupanda baada ya kufikia hatua ya 16 bora, huku timu nyingine nane zikifungasha virago na kurudi nyumbani.Timu tatu zilishiriki kwa mara ya kwanza, ambazo ni Madagascar, Burundi na Zimbabwe, ambazo zilikanyaga kwa mara ya kwanza kabisa michuano hiyo. Baada ya kuanguka katika michuano ya mwaka huu, ikiwemo Tanzania ambayo ilishiriki baada ya miaka 39, sasa ni wakati wa kujipanga upya kwa ajili ya kufuzu na kushiriki fainali za mwaka 2021 na kuhakikisha zinafanya vizuri zaidi. Michuano hiyo ya 32 kufanyika ilishirikisha jumla ya timu 24, na kupangwa katika makundi sita huku timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ikiwa katika Kundi C pamoja na Senegal, Algeria na Kenya.AFRIKA MASHARIKIKwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ilipeleka timu nne, ambazo ni Tanzania, Uganda, Kenya na Burundi huku Uganda ikizing’arisha zingine kwa kufanikiwa kucheza hatua ya timu 16 bora huku zingine zikiaga na kurudi mapema kwao. Wakati Kenya wakiambulia pointi tatu zinazowafanya kushika nafasi ya tatu kwenye Kundi C ambazo walizivuna kwenye mchezo dhidi ya majirani zao Tanzania kwa ushindi wa mabao 3-2, wakati Burundi nao wakiwa kama Taifa Stars wakiambulia patupu kwa kugawa pointi tatu kwenye kila timu waliyokuwa wanacheza nayo.USHIRIKI WA TANZANIAMakala haya yanaangazia ushiriki wa timu ya Taifa Stars kwenye michuano hiyo ya Afcon 2019, ikiwa ni ya 32 tangu kuanzishwa kwake. Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki kwani waliwahi kufanya hivyo mwaka 1980, ikiwa ni miaka 39 tangu washiriki kwa mara ya mwisho wakipangwa katika Kundi C.Taifa Stars kwenye kundi hilo walifanikiwa kucheza michezo mitatu, lakini walifungwa yote na kuwa sawa na daraja la kuwavusha timu zingine. Kwenye mchezo wao wa kwanza walilala kwa mabao 2-0 dhidi ya Senegal wakati SOKA Stars ni kipindi cha kusonga mbele mchezo wa pili walipoteza kwa mabao 3-2 kutoka kwa majirani zao Kenya licha ya mara mbili kuwa mbele kwa bao 1-0 na baadae 2-1 kabla ya kufungwa kwa mabao 3-2.Kwa ujumla kikosi hicho kinachoongozwa na kocha raia wa Nigeria, Emmanuel Amunike kimejikuta kikiondoshwa kwenye michuano hiyo kikiwa kimeweza kufunga mabao mawili yaliyowekwa kimiani na wachezaji wake wa kulipwa, Simon Msuva na nahodha Mbwana Samatta. Ushiriki wao umekuwa na faida kubwa kwao kwani kwa matokeo waliyopata yamebaki kuwa somo kubwa na kujua sehemu gani wajikite waweze kujipanga dhidi ya michuano inayokuja, moja ya mambo yaliyokifanya kikosi hicho kisitambe mbele ya mataifa mengine.TATHMINI YA KUNDI CKatika kundi hilo, timu za Algeria na Senegal zilipewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri tangu mwanzoni mwa mashindano hayo na hilo ndivyo lilivyokuwa. Hali iliyokuwa ngumu kwa timu kama Taifa Stars kupewa matumaini makubwa ya kuweza kufanya vyema kutokana na kutokuwa na uzoefu kwenye michuano hiyo kwani ni mara yao ya pili kushiriki, ikiwa ni tofauti na Kenya ambao wameshiriki mara sita huko nyuma.Lakini katika ushiriki wao wameonesha ushindani mkubwa kwenye kundi lao licha ya kuwa ni timu inayoongoza kwa kufungwa mabao nane wakifuatia Kenya walioruhusu mabao saba. Huku kinara wa kundi hilo Algeria akijikusanyia pointi zote tisa akiwa hajapoteza mchezo wowote wala kuruhusu lango lao kufungwa bao wakati Senegal akishika nafasi ya pili kwa pointi sita na kufungwa bao moja wakifanikiwa kuvuna alama sita na kupoteza mchezo mmoja dhidi ya Algeria.MAANDALIZI HAFIFUWakati mataifa jirani na mengine yakienda kufanya maandalizi nje ya nchi tena barani Ulaya kujipanga kwa michuano hiyo, Tanzania nayo kupitia TFF iliahidi kuipeleka timu kambini Ulaya kwa ajili ya maandalizi.Badala ya kuanza mapema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilikaa kimya hadi pale siku zilipokwenda na kubaki muda mfupi ndipo kukurupuka badala ya kuanza kwa maandalizi ya mapema kuiandaa timu hiyo. Taifa Stars ilijipima nguvu mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwa kucheza dhidi ya wenyeji Misri na kufungwa 1-0 kabla ya kurudiana katika mchezo mwingine dhidi ya Zimbabwe, lakini huu ulikuwa kama mechi mazoezi.UZOEFU MDOGOKilichosababisha kikosi cha Stars kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye michuano hiyo ni kukosa uzoefu kwenye mechi za kimataifa na hii inatokana na kucheza mechi chache za kimataiafa, ambazo zingeweza kuwapatia uzoefu kama Madagascar. Madagascar pamoja na kushiriki kwa mara ya kwanza mashindano hayo, lakini kikubwa kilichowabeba ni kule kucheza mechi nyingi za kitaifa za majaribio, ambazo ziliwapa uzoefu mkubwa.Kupitia michezo yao yote waliyocheza kwenye Kundi lao Stars walikuwa wanafungwa mabao kutokana na wachezaji wanaunda kikosi hicho kukosa umakini wa kuwachunga vilivyo wapinzani wao hasa wanapokaribia kwenye lango lao. Kwenye safu ya ulinzi na sehemu ya kiungo wachezaji wa kikosi hicho walikuwa wanapata shida kwa kushindwa kumiliki mipira kiasi cha kushindwa kujenga mashambulizi kuelekea kwenye lango la wapinzani hivyo wapinzani wao walikuwa wanatumia nafasi kwenye maeneo hayo kama silaha ya kuwaangamiza huku Stars wakijikuta wakicheza mchezo wakujilinda wakati wote.Changamoto zote hizo zilitokana na wachezaji wengi wanaunda timu hiyo kutokea ligi ya ndani ukiwatoa akina Samatta na Msuva ambao wanakipiga kwenye mataifa ya kigeni walikuwa wanajitahidi kuonesha kiwango cha tofauti lakini kukosa huduma nzuri kutoka kwa wachezaji wengi kulichangia kutokuona umuhimu wao.MFUMO WA KOCHAWachezaji wa kikosi hicho walionekana kabisa kushindwa kusimama kwenye mfumo wa kocha Amunike ambaye anaamini kwenye kukaba zaidi kwa kujilinda muda wote huku wakishambulia kwa kushtukiza.Lakini wachezaji hao walionekana kutoka kabisa kwenye mfumo huo hasa pale wanaporuhusu kufungwa bao la kwanza kwenye mchezo wa mwisho wa kundi dhidi ya Algeria walianza vyema kwenye dakika 30 za awali kitendo cha kufungwa bao la uongozi, wachezaji wa kikosi hicho walionekana kushindwa kuhimili vishindo na presha, jambo lililowafanya hadi wanaenda kwenye mapumziko wakiwa wameruhusu kufungwa mabao 3-0. Kutokana na hali hiyo sioni kama kocha huyo ana makosa makubwa kwenye kuboronga kwenye kikosi hicho bali na huenda wachezaji walishindwa kabisa kufuata taratibu zake.POSHO ZA WACHEZAJIKuna madai kuwa wachezaji hawakupewa posho kwa wakati na kuna wakati nusura wagomee mazoezi hadi pale walipopozwa kwa kupewa chao. Hilo ni fundisho kwani siku nyingine wakati wa mashindano TFF wajitahidi kuandaa posho na wachezaji mapema.UWEKEZAJI UFANYIKEKupitia matokeo hayo kama taifa tunapaswa kukaa chini kutathimini tulichokipata kwenye michuano hiyo na kuangalia kwa kipa kile kilichotuangusha badala ya kukaa na kuangalia tulipoangukia. Hilo halitatusaidia kabisa na kwanza tujue kilichotuangusha na baadae tupafanyie kazi na kutorudia tena makosa.Serikali kwa kushirikiana Shirikisho la Soka nchini (TFF), wanapaswa kusikia kilio cha Watanzania kuchukulia maumivu wanayowapata kwa jicho la tatu na kuyafanyia kazi kwa kufanya uwekezaji kwenye miundombinu bora itakayozalisha wachezaji watakaokuja kuwa tegemeo na azina kwa taifa.Kupitia balozi za mataifa mbalimbali tuone umuhimu kama taifa kutengeneza mfumo utakao tuwezesha kufanya mawasiliano na kuwaomba vijana wetu kupelekwa kwenye viituo vyao wakalelewe kwenye misingi ya kisoka kwa faida ya kikosi kijacho.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JOTO la michuano ya Mataifa ya Afrika, Afcon 2019 nchini Misri linaendelea kupanda baada ya kufikia hatua ya 16 bora, huku timu nyingine nane zikifungasha virago na kurudi nyumbani.Timu tatu zilishiriki kwa mara ya kwanza, ambazo ni Madagascar, Burundi na Zimbabwe, ambazo zilikanyaga kwa mara ya kwanza kabisa michuano hiyo. Baada ya kuanguka katika michuano ya mwaka huu, ikiwemo Tanzania ambayo ilishiriki baada ya miaka 39, sasa ni wakati wa kujipanga upya kwa ajili ya kufuzu na kushiriki fainali za mwaka 2021 na kuhakikisha zinafanya vizuri zaidi. Michuano hiyo ya 32 kufanyika ilishirikisha jumla ya timu 24, na kupangwa katika makundi sita huku timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ikiwa katika Kundi C pamoja na Senegal, Algeria na Kenya.AFRIKA MASHARIKIKwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ilipeleka timu nne, ambazo ni Tanzania, Uganda, Kenya na Burundi huku Uganda ikizing’arisha zingine kwa kufanikiwa kucheza hatua ya timu 16 bora huku zingine zikiaga na kurudi mapema kwao. Wakati Kenya wakiambulia pointi tatu zinazowafanya kushika nafasi ya tatu kwenye Kundi C ambazo walizivuna kwenye mchezo dhidi ya majirani zao Tanzania kwa ushindi wa mabao 3-2, wakati Burundi nao wakiwa kama Taifa Stars wakiambulia patupu kwa kugawa pointi tatu kwenye kila timu waliyokuwa wanacheza nayo.USHIRIKI WA TANZANIAMakala haya yanaangazia ushiriki wa timu ya Taifa Stars kwenye michuano hiyo ya Afcon 2019, ikiwa ni ya 32 tangu kuanzishwa kwake. Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki kwani waliwahi kufanya hivyo mwaka 1980, ikiwa ni miaka 39 tangu washiriki kwa mara ya mwisho wakipangwa katika Kundi C.Taifa Stars kwenye kundi hilo walifanikiwa kucheza michezo mitatu, lakini walifungwa yote na kuwa sawa na daraja la kuwavusha timu zingine. Kwenye mchezo wao wa kwanza walilala kwa mabao 2-0 dhidi ya Senegal wakati SOKA Stars ni kipindi cha kusonga mbele mchezo wa pili walipoteza kwa mabao 3-2 kutoka kwa majirani zao Kenya licha ya mara mbili kuwa mbele kwa bao 1-0 na baadae 2-1 kabla ya kufungwa kwa mabao 3-2.Kwa ujumla kikosi hicho kinachoongozwa na kocha raia wa Nigeria, Emmanuel Amunike kimejikuta kikiondoshwa kwenye michuano hiyo kikiwa kimeweza kufunga mabao mawili yaliyowekwa kimiani na wachezaji wake wa kulipwa, Simon Msuva na nahodha Mbwana Samatta. Ushiriki wao umekuwa na faida kubwa kwao kwani kwa matokeo waliyopata yamebaki kuwa somo kubwa na kujua sehemu gani wajikite waweze kujipanga dhidi ya michuano inayokuja, moja ya mambo yaliyokifanya kikosi hicho kisitambe mbele ya mataifa mengine.TATHMINI YA KUNDI CKatika kundi hilo, timu za Algeria na Senegal zilipewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri tangu mwanzoni mwa mashindano hayo na hilo ndivyo lilivyokuwa. Hali iliyokuwa ngumu kwa timu kama Taifa Stars kupewa matumaini makubwa ya kuweza kufanya vyema kutokana na kutokuwa na uzoefu kwenye michuano hiyo kwani ni mara yao ya pili kushiriki, ikiwa ni tofauti na Kenya ambao wameshiriki mara sita huko nyuma.Lakini katika ushiriki wao wameonesha ushindani mkubwa kwenye kundi lao licha ya kuwa ni timu inayoongoza kwa kufungwa mabao nane wakifuatia Kenya walioruhusu mabao saba. Huku kinara wa kundi hilo Algeria akijikusanyia pointi zote tisa akiwa hajapoteza mchezo wowote wala kuruhusu lango lao kufungwa bao wakati Senegal akishika nafasi ya pili kwa pointi sita na kufungwa bao moja wakifanikiwa kuvuna alama sita na kupoteza mchezo mmoja dhidi ya Algeria.MAANDALIZI HAFIFUWakati mataifa jirani na mengine yakienda kufanya maandalizi nje ya nchi tena barani Ulaya kujipanga kwa michuano hiyo, Tanzania nayo kupitia TFF iliahidi kuipeleka timu kambini Ulaya kwa ajili ya maandalizi.Badala ya kuanza mapema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilikaa kimya hadi pale siku zilipokwenda na kubaki muda mfupi ndipo kukurupuka badala ya kuanza kwa maandalizi ya mapema kuiandaa timu hiyo. Taifa Stars ilijipima nguvu mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwa kucheza dhidi ya wenyeji Misri na kufungwa 1-0 kabla ya kurudiana katika mchezo mwingine dhidi ya Zimbabwe, lakini huu ulikuwa kama mechi mazoezi.UZOEFU MDOGOKilichosababisha kikosi cha Stars kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye michuano hiyo ni kukosa uzoefu kwenye mechi za kimataifa na hii inatokana na kucheza mechi chache za kimataiafa, ambazo zingeweza kuwapatia uzoefu kama Madagascar. Madagascar pamoja na kushiriki kwa mara ya kwanza mashindano hayo, lakini kikubwa kilichowabeba ni kule kucheza mechi nyingi za kitaifa za majaribio, ambazo ziliwapa uzoefu mkubwa.Kupitia michezo yao yote waliyocheza kwenye Kundi lao Stars walikuwa wanafungwa mabao kutokana na wachezaji wanaunda kikosi hicho kukosa umakini wa kuwachunga vilivyo wapinzani wao hasa wanapokaribia kwenye lango lao. Kwenye safu ya ulinzi na sehemu ya kiungo wachezaji wa kikosi hicho walikuwa wanapata shida kwa kushindwa kumiliki mipira kiasi cha kushindwa kujenga mashambulizi kuelekea kwenye lango la wapinzani hivyo wapinzani wao walikuwa wanatumia nafasi kwenye maeneo hayo kama silaha ya kuwaangamiza huku Stars wakijikuta wakicheza mchezo wakujilinda wakati wote.Changamoto zote hizo zilitokana na wachezaji wengi wanaunda timu hiyo kutokea ligi ya ndani ukiwatoa akina Samatta na Msuva ambao wanakipiga kwenye mataifa ya kigeni walikuwa wanajitahidi kuonesha kiwango cha tofauti lakini kukosa huduma nzuri kutoka kwa wachezaji wengi kulichangia kutokuona umuhimu wao.MFUMO WA KOCHAWachezaji wa kikosi hicho walionekana kabisa kushindwa kusimama kwenye mfumo wa kocha Amunike ambaye anaamini kwenye kukaba zaidi kwa kujilinda muda wote huku wakishambulia kwa kushtukiza.Lakini wachezaji hao walionekana kutoka kabisa kwenye mfumo huo hasa pale wanaporuhusu kufungwa bao la kwanza kwenye mchezo wa mwisho wa kundi dhidi ya Algeria walianza vyema kwenye dakika 30 za awali kitendo cha kufungwa bao la uongozi, wachezaji wa kikosi hicho walionekana kushindwa kuhimili vishindo na presha, jambo lililowafanya hadi wanaenda kwenye mapumziko wakiwa wameruhusu kufungwa mabao 3-0. Kutokana na hali hiyo sioni kama kocha huyo ana makosa makubwa kwenye kuboronga kwenye kikosi hicho bali na huenda wachezaji walishindwa kabisa kufuata taratibu zake.POSHO ZA WACHEZAJIKuna madai kuwa wachezaji hawakupewa posho kwa wakati na kuna wakati nusura wagomee mazoezi hadi pale walipopozwa kwa kupewa chao. Hilo ni fundisho kwani siku nyingine wakati wa mashindano TFF wajitahidi kuandaa posho na wachezaji mapema.UWEKEZAJI UFANYIKEKupitia matokeo hayo kama taifa tunapaswa kukaa chini kutathimini tulichokipata kwenye michuano hiyo na kuangalia kwa kipa kile kilichotuangusha badala ya kukaa na kuangalia tulipoangukia. Hilo halitatusaidia kabisa na kwanza tujue kilichotuangusha na baadae tupafanyie kazi na kutorudia tena makosa.Serikali kwa kushirikiana Shirikisho la Soka nchini (TFF), wanapaswa kusikia kilio cha Watanzania kuchukulia maumivu wanayowapata kwa jicho la tatu na kuyafanyia kazi kwa kufanya uwekezaji kwenye miundombinu bora itakayozalisha wachezaji watakaokuja kuwa tegemeo na azina kwa taifa.Kupitia balozi za mataifa mbalimbali tuone umuhimu kama taifa kutengeneza mfumo utakao tuwezesha kufanya mawasiliano na kuwaomba vijana wetu kupelekwa kwenye viituo vyao wakalelewe kwenye misingi ya kisoka kwa faida ya kikosi kijacho. ### Response: MICHEZO ### End
NA CHRISTOPHER MSEKENA ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25. Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba. Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa amani. Martin Kadinda alibuni nguo zilizovaliwa na wanamitindo wa kiume, nguo hizo nyingi zikiwa na rangi ya njano na nakshi za kijani zililenga kubeba rangi tatu kuu zilizopo katika bendera ya taifa. Naye Mustafa Hassanali, nguo zake zilipambwa na rangi ya njano na dhahabu pamoja na vito vilivyotengenezwa na ‘Phoebe Jewellery’.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA CHRISTOPHER MSEKENA ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25. Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba. Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa amani. Martin Kadinda alibuni nguo zilizovaliwa na wanamitindo wa kiume, nguo hizo nyingi zikiwa na rangi ya njano na nakshi za kijani zililenga kubeba rangi tatu kuu zilizopo katika bendera ya taifa. Naye Mustafa Hassanali, nguo zake zilipambwa na rangi ya njano na dhahabu pamoja na vito vilivyotengenezwa na ‘Phoebe Jewellery’. ### Response: BURUDANI ### End
MSANII wa muziki wa singeli, Msaga Sumu amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa yupo katika harakati za kuomba kolabo na wasanii Diamond na Ali Kiba. Akizungumza na mtandao wa Bongo Five alisema kuwa muda ukifika atachagua msanii wa kufanya naye kolabo kati ya wawili hao.Ipo siku na muda, uzuri sijawaambia wakanikatalia, kila kitu ni mipango naweza nikawaambia nataka kolabo, wakikataa basi hivi vitu havina ulazima,”alisema Msaga Sumu.Alisema kuwa wasanii wote wawili anawaamini kuwa watafanya vizuri kama ataamua kuimba nao kwani wote ni wasanii waliokulia mazingira ya uswahilini kama muziki huo unavyojieleza. Pia alisema kuwa yeye ndiye mwazilishi wa muziki wa singeli ingawaje kuna baadhi ya watu wanapinga suala hilo kwa kwa madai ya kuwa ni mziki wa kihuni.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MSANII wa muziki wa singeli, Msaga Sumu amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa yupo katika harakati za kuomba kolabo na wasanii Diamond na Ali Kiba. Akizungumza na mtandao wa Bongo Five alisema kuwa muda ukifika atachagua msanii wa kufanya naye kolabo kati ya wawili hao.Ipo siku na muda, uzuri sijawaambia wakanikatalia, kila kitu ni mipango naweza nikawaambia nataka kolabo, wakikataa basi hivi vitu havina ulazima,”alisema Msaga Sumu.Alisema kuwa wasanii wote wawili anawaamini kuwa watafanya vizuri kama ataamua kuimba nao kwani wote ni wasanii waliokulia mazingira ya uswahilini kama muziki huo unavyojieleza. Pia alisema kuwa yeye ndiye mwazilishi wa muziki wa singeli ingawaje kuna baadhi ya watu wanapinga suala hilo kwa kwa madai ya kuwa ni mziki wa kihuni. ### Response: MICHEZO ### End
Amina Omari, Tanga Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Wilaya ya Tanga limetoa siku tatu kabla haijaifunga misikiti ambayo haitakuwa na vifaa kinga vya kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa corona wilayani humo. Hayo yamesemwa na Shekhe wa Wilaya ya Tanga, Mohamed Kombora leo Jumatatu Mei 4, wakati akizungumza nawaandishi wa habari mkoani Tanga. Amesema wameanza sambamba na misikiti ambayo imekaidi agizo la kuwataka kuswali kwa kupeana nafasi ya mita moja. “Tunajua Waislamu si wakaidi tunawaambia wale wanaokaidi watekeleze maagizo ya wataalamu wa afya pamoja na serikali kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu kwa ujumla. “Misikiti ambayo itashindwa kufuata taratibu zilizowekwa ndani ya siku tatu itafungwa ikiwa ni sehemu ya kuwawajibisha kwa kukaidi maelekezo ya serikali na Baraza kwa ujumla,” amesema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Amina Omari, Tanga Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Wilaya ya Tanga limetoa siku tatu kabla haijaifunga misikiti ambayo haitakuwa na vifaa kinga vya kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa corona wilayani humo. Hayo yamesemwa na Shekhe wa Wilaya ya Tanga, Mohamed Kombora leo Jumatatu Mei 4, wakati akizungumza nawaandishi wa habari mkoani Tanga. Amesema wameanza sambamba na misikiti ambayo imekaidi agizo la kuwataka kuswali kwa kupeana nafasi ya mita moja. “Tunajua Waislamu si wakaidi tunawaambia wale wanaokaidi watekeleze maagizo ya wataalamu wa afya pamoja na serikali kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu kwa ujumla. “Misikiti ambayo itashindwa kufuata taratibu zilizowekwa ndani ya siku tatu itafungwa ikiwa ni sehemu ya kuwawajibisha kwa kukaidi maelekezo ya serikali na Baraza kwa ujumla,” amesema. ### Response: KITAIFA ### End
Na NATHANIEL LIMU-IKUNGI SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwakopesha vijana mizinga ya nyuki ya kisasa ili waweze kujiajiri kwenye ufugaji nyuki kibiashara. Ombi hilo limetolewa juzi na vijana 30 wenye umri chini ya miaka 30 na wakazi wa Wilaya ya Ikungi ambao wanahudhuria mafunzo ya ufugaji nyuki kibiashara kwa nadharia na vitendo. Mafunzo hayo yalifadhiliwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la SEMA, yanayoendelea kwenye shamba la nyumba ya nyuki lililopo katika Kijiji cha Nkuninkana Kata ya Puma. Vijana hao walisema Serikali imefanya vizuri kumtambua mdudu nyuki kwa kuanzisha na kutunga sera, sheria na  vyuo mbalimbali vinavyotoa elimu kwa undani juu ya ufugaji wa nyuki. Akizungumza kwa niaba ya wenzake, Godfrey Peter, alisema umefika wakati sasa Serikali ianzishe kitengo maalumu cha kukopesha mizinga ya kisasa kwa wahitimu mbalimbali wa mafunzo ya ufugaji nyuki. “Serikali ya Dk. John Magufuli imefanya mambo mengi mazuri ikiwamo vijana wengi kujitambua na kuanza kujituma kwa bidii. Tunaomba kupitia mafunzo haya tunayopewa na shirika la SEMA, tukopeshwe mizinga mitano ya kisasa, kuanzia hapo kila mmoja na familia zetu vipato vitaongezeka,” alisema Peter. Alisema SEMA wamewafundisha juu ya hasara ya kufuga nyuki kizamani na faida za kufunga nyuki kibiashara na juu ya mazao saba ya nyuki ambayo mengi walikuwa hawayafahamu. Ofisa  nyuki wa Halmashauri ya Ikungi, Filbert Benedict, ameipongeza SEMA kwa uamuzi wake wa kusaidia vijana kujiajiri kwenye ufugaji nyuki kibiashara ili waweze  kujikomboa kiuchumi na kuongeza kuwa asilimia 70 ya ardhi yake inafaa kwa ufugaji nyuki. Awali Ofisa Mradi wa fursa za ajira kwa vijana (OYE), Salumu Hassani, alisema vijana waliopata mafunzo hayo wanatarajiwa kuanzisha vikundi na taasisi za biashara ili kupata mitaji.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na NATHANIEL LIMU-IKUNGI SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwakopesha vijana mizinga ya nyuki ya kisasa ili waweze kujiajiri kwenye ufugaji nyuki kibiashara. Ombi hilo limetolewa juzi na vijana 30 wenye umri chini ya miaka 30 na wakazi wa Wilaya ya Ikungi ambao wanahudhuria mafunzo ya ufugaji nyuki kibiashara kwa nadharia na vitendo. Mafunzo hayo yalifadhiliwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la SEMA, yanayoendelea kwenye shamba la nyumba ya nyuki lililopo katika Kijiji cha Nkuninkana Kata ya Puma. Vijana hao walisema Serikali imefanya vizuri kumtambua mdudu nyuki kwa kuanzisha na kutunga sera, sheria na  vyuo mbalimbali vinavyotoa elimu kwa undani juu ya ufugaji wa nyuki. Akizungumza kwa niaba ya wenzake, Godfrey Peter, alisema umefika wakati sasa Serikali ianzishe kitengo maalumu cha kukopesha mizinga ya kisasa kwa wahitimu mbalimbali wa mafunzo ya ufugaji nyuki. “Serikali ya Dk. John Magufuli imefanya mambo mengi mazuri ikiwamo vijana wengi kujitambua na kuanza kujituma kwa bidii. Tunaomba kupitia mafunzo haya tunayopewa na shirika la SEMA, tukopeshwe mizinga mitano ya kisasa, kuanzia hapo kila mmoja na familia zetu vipato vitaongezeka,” alisema Peter. Alisema SEMA wamewafundisha juu ya hasara ya kufuga nyuki kizamani na faida za kufunga nyuki kibiashara na juu ya mazao saba ya nyuki ambayo mengi walikuwa hawayafahamu. Ofisa  nyuki wa Halmashauri ya Ikungi, Filbert Benedict, ameipongeza SEMA kwa uamuzi wake wa kusaidia vijana kujiajiri kwenye ufugaji nyuki kibiashara ili waweze  kujikomboa kiuchumi na kuongeza kuwa asilimia 70 ya ardhi yake inafaa kwa ufugaji nyuki. Awali Ofisa Mradi wa fursa za ajira kwa vijana (OYE), Salumu Hassani, alisema vijana waliopata mafunzo hayo wanatarajiwa kuanzisha vikundi na taasisi za biashara ili kupata mitaji. ### Response: KITAIFA ### End
-Na MARGRETH MWANGAMBAKU , ANNASTAZIA MAGUHA Wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent, Doreen Mshana, Wilson Tarimo na Sadia Awadh wamerejea nchini wakitokea nchini Marekani walikokuwa wakitibiwa baada ya kupata ajali Mei 6, mwaka huu. Wanafunzi hao waliwasili kati Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA), saa 3:33 asubuhi leo Agosti 18, na kupokewa na viongozi wa kitaifa, walimu na wanafunzi wa shule hiyo na ndugu jamaa na marafiki ambapo ujio wao huo uliibua simanzi na furaha kwa watu wengi waliokuwapo uwanjani hapo kuwapokea. Akizungumza kwa niaba ya Makamu wa Rais, Samiah Suluhu Hassan ambaye alitakiwa kuwa mgeni rasmi katika mapokezi hayo, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira, pamoja na mambo mengine alilipongeza Shirika Good Samaritan kwa kuanzisha mfuko maalumu wa kuwasomesha watoto hao hadi chuo kikuu. “Serikali inapenda kumwelekeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutoa Sh milioni 20 kutunisha mfuko huo fedha ambazo nimetaarifiwa ni miongoni mwa rambirambi zilizokuwa zimetolewa na wanajamii baada ya ajali kutokea. “Sisi pia tungeweza kuwahudumia watoto wetu hapa lakini gharama zake zingekuwa tofauti, utunzaji wake ungekuwa tofauti, familia zingekaa pamoja na serikali ingepata nafasi ya kuwaona watoto kila wakati lakini kwa sababu ya mara nyingi ubadhirifu wetu na tabia ya ubinafsi tunashindwa kutunza rasilimali zetu kwa kushindwa kuokoa watoto watatu tu achilia mbali ajali zinazitokea kila siku kwa hali ya watu kutokujali,” amesema Mama Mughwira. Katika tukio hilo, wanafunzi hao walipata nafasi ya kusalimia umati wa watu waliokuja kuwalaki uwanjani hapo na kuwashukuru hatua iliyoibua machozi ya furaha kwa watu mbalimbali uwanjani hapo huku baadhi ya wazazi wakilia kwa simanzi kwa kupoteza watoto wao waliofariki katika ajali hiyo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- -Na MARGRETH MWANGAMBAKU , ANNASTAZIA MAGUHA Wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent, Doreen Mshana, Wilson Tarimo na Sadia Awadh wamerejea nchini wakitokea nchini Marekani walikokuwa wakitibiwa baada ya kupata ajali Mei 6, mwaka huu. Wanafunzi hao waliwasili kati Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA), saa 3:33 asubuhi leo Agosti 18, na kupokewa na viongozi wa kitaifa, walimu na wanafunzi wa shule hiyo na ndugu jamaa na marafiki ambapo ujio wao huo uliibua simanzi na furaha kwa watu wengi waliokuwapo uwanjani hapo kuwapokea. Akizungumza kwa niaba ya Makamu wa Rais, Samiah Suluhu Hassan ambaye alitakiwa kuwa mgeni rasmi katika mapokezi hayo, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira, pamoja na mambo mengine alilipongeza Shirika Good Samaritan kwa kuanzisha mfuko maalumu wa kuwasomesha watoto hao hadi chuo kikuu. “Serikali inapenda kumwelekeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutoa Sh milioni 20 kutunisha mfuko huo fedha ambazo nimetaarifiwa ni miongoni mwa rambirambi zilizokuwa zimetolewa na wanajamii baada ya ajali kutokea. “Sisi pia tungeweza kuwahudumia watoto wetu hapa lakini gharama zake zingekuwa tofauti, utunzaji wake ungekuwa tofauti, familia zingekaa pamoja na serikali ingepata nafasi ya kuwaona watoto kila wakati lakini kwa sababu ya mara nyingi ubadhirifu wetu na tabia ya ubinafsi tunashindwa kutunza rasilimali zetu kwa kushindwa kuokoa watoto watatu tu achilia mbali ajali zinazitokea kila siku kwa hali ya watu kutokujali,” amesema Mama Mughwira. Katika tukio hilo, wanafunzi hao walipata nafasi ya kusalimia umati wa watu waliokuja kuwalaki uwanjani hapo na kuwashukuru hatua iliyoibua machozi ya furaha kwa watu mbalimbali uwanjani hapo huku baadhi ya wazazi wakilia kwa simanzi kwa kupoteza watoto wao waliofariki katika ajali hiyo. ### Response: KITAIFA ### End
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya.Mafuta ya Puma Tanzania ambayo ni namba moja katika biashara ya mafuta imeng’ara  kwa kujinyakulia tuzo nne katika hafla ya kuwazawadia waajiri bora nchini iliofanyika jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya utoaji tuzo iliandiliwa na Umoja wa Waajiri Tanzania (ATE) ambapo mgeni rasmi alikuwa  Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu anaeshughulikia Kazi, Bunge, Vijana na Watu wenye Ulemeavu Jenista Mhagama.  Wakati wa kukabidhiwa tuzo hizo za ATE , Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilitangazwa mshindi katika vipengele vifuatavyo.Tuzo hizo ni Mwajiri Bora mwenye mkakati bora zaidi wa kwa kuvutia na kutunza vipaji (Best Attraction and Retention Strategies), Mwajiri Bora katika kutunza na kusimamia wafanyakazi wenye umri mkubwa (Best employer In Managing Aged workface). Pia kampuni ya Puma Energy iliibuka mshindi wa tatu katika kipengele cha Mwajiri bora kutoka sekta binafsi pamoja na kushika nafasi ya tatu katika tuzo kuu ya mwajiri bora wa mwaka 2019 baada ya TBL na GGM. Akizungumza baada ya kushinda tuzo hizo Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania Dominic Dhanah aliwanpongeza washindi wote pamoja na makampuni mengine mbalimbali yalioshiriki katika tuzo hizo ma kwamba mwaka huu ameshuhudia mtanange mkali baina ya kampuni jambo linaloashirikia uboereshwaji mkubwa wa mazingira ya biashara nchini. ‘Lakini kubwa zaidi uboreshwaji wa sera za usimamizi wa rasilimali watu  nchini.Mwaka huu 2019 Puma Energy Tanzania imesani mkataba wa hali bora mahali pa kazi ( Collective Bargaining Agreement) na chama cha wafanyakazi TUICO, mkataba huu umeboresha Sanaa hali na mazingiira ya kazi kwa wafanyakazi wa kampuni yetu. “Kama kampuni namba moja Tanzania katika biashara ya Mfuta ni wajibu wetu kuendelea kuboresha hali za wafanyakazi wetu lakini zaidi jamii mbalimbali zinazo tuzunguka. Tutaendelea kufanya wajibu wetu kama Mwajiri makini nchini Tanzania,”amesema Dhanah. Kuhusu kampuni hiyo, Dhanah amesema kuwa Puma Energy Tanzania ni kampuni ya mafuta iliyosajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba  inamilikiwa kwa pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano (Kupitia Msajili wa Hazina, Wizara ya Fedha) pamoja na Puma Investments Limited. Amefafanua kila moja ikiwa na umiliki wa hisa kwa asilimia 50. Kampuni ya Puma ni ya mkondo wa kati kimataifa katika masula ya mafuta na pia kampuni ya mafuta inayojihusisha na uhifadhi mkubwa na usambazaji.  “Majukumu makuu ya kampuni ni masoko na usambazaji wa bidhaa za petroli ndani ya Tanzania. Kampuni inauwezo wa kuhifadhi jumla ya lita za mafuta  94 milion, vituo 52 vya mafuta maeneo mbalimbali nchini na inahudumia viwanja vinane vya ndege,amesema Dhanah. 
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya.Mafuta ya Puma Tanzania ambayo ni namba moja katika biashara ya mafuta imeng’ara  kwa kujinyakulia tuzo nne katika hafla ya kuwazawadia waajiri bora nchini iliofanyika jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya utoaji tuzo iliandiliwa na Umoja wa Waajiri Tanzania (ATE) ambapo mgeni rasmi alikuwa  Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu anaeshughulikia Kazi, Bunge, Vijana na Watu wenye Ulemeavu Jenista Mhagama.  Wakati wa kukabidhiwa tuzo hizo za ATE , Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilitangazwa mshindi katika vipengele vifuatavyo.Tuzo hizo ni Mwajiri Bora mwenye mkakati bora zaidi wa kwa kuvutia na kutunza vipaji (Best Attraction and Retention Strategies), Mwajiri Bora katika kutunza na kusimamia wafanyakazi wenye umri mkubwa (Best employer In Managing Aged workface). Pia kampuni ya Puma Energy iliibuka mshindi wa tatu katika kipengele cha Mwajiri bora kutoka sekta binafsi pamoja na kushika nafasi ya tatu katika tuzo kuu ya mwajiri bora wa mwaka 2019 baada ya TBL na GGM. Akizungumza baada ya kushinda tuzo hizo Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania Dominic Dhanah aliwanpongeza washindi wote pamoja na makampuni mengine mbalimbali yalioshiriki katika tuzo hizo ma kwamba mwaka huu ameshuhudia mtanange mkali baina ya kampuni jambo linaloashirikia uboereshwaji mkubwa wa mazingira ya biashara nchini. ‘Lakini kubwa zaidi uboreshwaji wa sera za usimamizi wa rasilimali watu  nchini.Mwaka huu 2019 Puma Energy Tanzania imesani mkataba wa hali bora mahali pa kazi ( Collective Bargaining Agreement) na chama cha wafanyakazi TUICO, mkataba huu umeboresha Sanaa hali na mazingiira ya kazi kwa wafanyakazi wa kampuni yetu. “Kama kampuni namba moja Tanzania katika biashara ya Mfuta ni wajibu wetu kuendelea kuboresha hali za wafanyakazi wetu lakini zaidi jamii mbalimbali zinazo tuzunguka. Tutaendelea kufanya wajibu wetu kama Mwajiri makini nchini Tanzania,”amesema Dhanah. Kuhusu kampuni hiyo, Dhanah amesema kuwa Puma Energy Tanzania ni kampuni ya mafuta iliyosajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba  inamilikiwa kwa pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano (Kupitia Msajili wa Hazina, Wizara ya Fedha) pamoja na Puma Investments Limited. Amefafanua kila moja ikiwa na umiliki wa hisa kwa asilimia 50. Kampuni ya Puma ni ya mkondo wa kati kimataifa katika masula ya mafuta na pia kampuni ya mafuta inayojihusisha na uhifadhi mkubwa na usambazaji.  “Majukumu makuu ya kampuni ni masoko na usambazaji wa bidhaa za petroli ndani ya Tanzania. Kampuni inauwezo wa kuhifadhi jumla ya lita za mafuta  94 milion, vituo 52 vya mafuta maeneo mbalimbali nchini na inahudumia viwanja vinane vya ndege,amesema Dhanah.  ### Response: KITAIFA ### End
VIRGINIA BEACH, MAREKANI  WATU wapatao 12 wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa akiwemo ofisa wa polisi katika shambulio la risasi kwenye jengo la Serikali mjini hapa juzi. Jengo hilo kawaida huwa na watu wapatao 400 wanaofanya kazi katika ofisi tofauti. Mkuu wa Jeshi la Polisi, Kames Cervera alisema mshambuliaji ambaye alikuwa mfanyakazi wa jengo la manispaa aliuawa baada ya polisi kuwasili katika eneo hilo na kumkabili. Shambulio hilo lilitokea saa kumi jioni baada ya mshambuliaji aliyekuwa na silaha kuingia katika jengo hilo na kuanza kufyatua risasi holela.  Watu wanne waliopata majeraha wamefikishwa hospitali karibu na eneo hilo. Mtu mmoja aliuawa akiwa ndani ya gari lake, wakati wengine walikuwa ndani ya jengo hilo la ghorofa tatu. “Kutokana na milio ya risasi, maofisa wa polisi wanne waliweza kujua mshambuliaji alikuwa ghorofa gani ya jengo alipokuwa akiendeleza mashambulizi. Haraka walianza kumshambulia, na naweza kusema yalikuwa ni mapambano ya muda mrefu. “Wakati wa makabiliano hayo ya risasi, maofisa wa polisi walifanikiwa kumzuia mshambuliaji kuendeleza mauaji zaidi ndani ya jengo,” alisema Cervera. Kulingana na Carvera, mapigano kati ya mshambuliaji huyo na polisi yalichukua muda mrefu. Maofisa wa polisi hawakutaja jina la mshambuliaji huyo, na nia yake bado haitambuliki, lakini walisema alikuwa mfanyakazi wa muda mrefu katika jengo hilo, na aliuawa wakati wa makabiliano na polisi. Miongoni mwa waliojeruhiwa ni ofisa mmoja wa polisi, ambaye alinusurika kwa kuvaa vesti ya kuzuia risasi.  Eneo la kandokando ya jumba hilo, lenye majumba mengi ya Serikali lilifungwa na wafanyakazi wa Serikali kuondolewa. ”Tuliwasikia watu wakipiga makelele, wakiwataka watu kutoka ndani ya majumba hayo,” msaidizi mmoja katika jumba hilo, Megan Banton alikiambia kituo kimoja cha runinga – WAVY. “Haya ni maafa mabaya kwa wakaazi wa Virginia beach,” alisema gavana wa Virginia, Ralph Northam katika mtandao wa Twitter. Naye Meya wa Virginia Beach, Bobby Dyer aliwaeleza waandishi wa habari kuwa tukio hilo ni baya zaidi katika historia ya mji huo. “Huu ni mkasa wa kusikitisha zaidi mjini Virginia Beach, watu walioathirika na mkasa huu ni marafiki zetu, wafanyakazi wenzetu na majirani zetu,” alisema Dyer.  Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, maofisa wa ujasusi wa FBI walikuwa katika eneo hilo kuwasaidia maofisa wa Serikali za mtaa kuchunguza shambulio hilo.  Rais Donald Trump aliarifiwa kuhusu shambulizi hilo na Ikulu imesema anafuatilia kwa karibu. Kulingana na kundi la kufuatilia mashambulizi ya bunduki nchini hapa – Gun Violence Archive, hili ni shambulio la 150 mwaka huu la kuua watu wengi kwa kutumia risasi.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- VIRGINIA BEACH, MAREKANI  WATU wapatao 12 wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa akiwemo ofisa wa polisi katika shambulio la risasi kwenye jengo la Serikali mjini hapa juzi. Jengo hilo kawaida huwa na watu wapatao 400 wanaofanya kazi katika ofisi tofauti. Mkuu wa Jeshi la Polisi, Kames Cervera alisema mshambuliaji ambaye alikuwa mfanyakazi wa jengo la manispaa aliuawa baada ya polisi kuwasili katika eneo hilo na kumkabili. Shambulio hilo lilitokea saa kumi jioni baada ya mshambuliaji aliyekuwa na silaha kuingia katika jengo hilo na kuanza kufyatua risasi holela.  Watu wanne waliopata majeraha wamefikishwa hospitali karibu na eneo hilo. Mtu mmoja aliuawa akiwa ndani ya gari lake, wakati wengine walikuwa ndani ya jengo hilo la ghorofa tatu. “Kutokana na milio ya risasi, maofisa wa polisi wanne waliweza kujua mshambuliaji alikuwa ghorofa gani ya jengo alipokuwa akiendeleza mashambulizi. Haraka walianza kumshambulia, na naweza kusema yalikuwa ni mapambano ya muda mrefu. “Wakati wa makabiliano hayo ya risasi, maofisa wa polisi walifanikiwa kumzuia mshambuliaji kuendeleza mauaji zaidi ndani ya jengo,” alisema Cervera. Kulingana na Carvera, mapigano kati ya mshambuliaji huyo na polisi yalichukua muda mrefu. Maofisa wa polisi hawakutaja jina la mshambuliaji huyo, na nia yake bado haitambuliki, lakini walisema alikuwa mfanyakazi wa muda mrefu katika jengo hilo, na aliuawa wakati wa makabiliano na polisi. Miongoni mwa waliojeruhiwa ni ofisa mmoja wa polisi, ambaye alinusurika kwa kuvaa vesti ya kuzuia risasi.  Eneo la kandokando ya jumba hilo, lenye majumba mengi ya Serikali lilifungwa na wafanyakazi wa Serikali kuondolewa. ”Tuliwasikia watu wakipiga makelele, wakiwataka watu kutoka ndani ya majumba hayo,” msaidizi mmoja katika jumba hilo, Megan Banton alikiambia kituo kimoja cha runinga – WAVY. “Haya ni maafa mabaya kwa wakaazi wa Virginia beach,” alisema gavana wa Virginia, Ralph Northam katika mtandao wa Twitter. Naye Meya wa Virginia Beach, Bobby Dyer aliwaeleza waandishi wa habari kuwa tukio hilo ni baya zaidi katika historia ya mji huo. “Huu ni mkasa wa kusikitisha zaidi mjini Virginia Beach, watu walioathirika na mkasa huu ni marafiki zetu, wafanyakazi wenzetu na majirani zetu,” alisema Dyer.  Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, maofisa wa ujasusi wa FBI walikuwa katika eneo hilo kuwasaidia maofisa wa Serikali za mtaa kuchunguza shambulio hilo.  Rais Donald Trump aliarifiwa kuhusu shambulizi hilo na Ikulu imesema anafuatilia kwa karibu. Kulingana na kundi la kufuatilia mashambulizi ya bunduki nchini hapa – Gun Violence Archive, hili ni shambulio la 150 mwaka huu la kuua watu wengi kwa kutumia risasi. ### Response: KIMATAIFA ### End
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM MKUTANO mkuu wa dharura wa klabu ya Simba ulifanyika jana kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, huku ukiibua timbwili baada ya baadhi ya wanachama kutoleana lugha chafu. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama 514, lakini sehemu kubwa ya viti ilionekana kuwa tupu tofauti na ilivyotarajiwa, huku ukihusisha ajenda tatu, ya kwanza ambayo ni kubwa ilihusu kujadili mwenendo wa mbaya wa Simba kwenye Ligi Kuu ya Vodacom. Ajenda ya pili ilikuwa ni ya mradi wa Uwanja wa Simba uliopo Bunju, Dar es Salaam, huku ya tatu ikijadili wanachama wapya na kadi za wanachama, ajenda zote hizo zilitambulishwa na Rais wa timu hiyo, Evans Aveva. Timbwili hilo lilianza wakati wanachama wa klabu hiyo waliporuhusiwa kutoa maoni yao kuhusu ajenda ya kwanza ya mwenendo wa Simba, iliyokuwa imemalizwa kuelezewa na Aveva. Aliyeanzisha timbwili hilo ni Katibu Mkuu wa Tawi la Ngome Kongwe la klabu hiyo lililopo Tabata, Karim Tamim, aliyeinuka kwenye kiti na kuanza kumshambulia kwa maneno mchangiaji wa kwanza, Ramadhan Don King, ambaye ni Mwenyekiti wa matawi ya Simba. Tamim alimjia juu Don King baada ya kuunga mkono maelezo ya Aveva juu ya sababu za kuboronga Simba, huku akishindwa kujadili hoja na kubaki kuusifia uongozi wake, pia baadhi ya wanachama wengine nao walianza kumfokea. Baada ya kutokea zogo hilo miongoni mwa wanachama, Aveva aliwatuliza na hali kuwa shwari ukumbini hapo na wanachama wengine kuendelea kutoa maoni yao. Lakini katika hali kushangaza, kuna baadhi ya wanachama walishindwa kutoa maoni yao, licha ya kunyoosha vidole kwa muda mrefu ili wachaguliwe kuzungumza, huku minong’ono ikiibuka kuwa kuna baadhi ya watu waliandaliwa kuzungumza. Ufuatao ni mchanganuo wa ajenda zote tatu zilizojadiliwa;
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM MKUTANO mkuu wa dharura wa klabu ya Simba ulifanyika jana kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, huku ukiibua timbwili baada ya baadhi ya wanachama kutoleana lugha chafu. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama 514, lakini sehemu kubwa ya viti ilionekana kuwa tupu tofauti na ilivyotarajiwa, huku ukihusisha ajenda tatu, ya kwanza ambayo ni kubwa ilihusu kujadili mwenendo wa mbaya wa Simba kwenye Ligi Kuu ya Vodacom. Ajenda ya pili ilikuwa ni ya mradi wa Uwanja wa Simba uliopo Bunju, Dar es Salaam, huku ya tatu ikijadili wanachama wapya na kadi za wanachama, ajenda zote hizo zilitambulishwa na Rais wa timu hiyo, Evans Aveva. Timbwili hilo lilianza wakati wanachama wa klabu hiyo waliporuhusiwa kutoa maoni yao kuhusu ajenda ya kwanza ya mwenendo wa Simba, iliyokuwa imemalizwa kuelezewa na Aveva. Aliyeanzisha timbwili hilo ni Katibu Mkuu wa Tawi la Ngome Kongwe la klabu hiyo lililopo Tabata, Karim Tamim, aliyeinuka kwenye kiti na kuanza kumshambulia kwa maneno mchangiaji wa kwanza, Ramadhan Don King, ambaye ni Mwenyekiti wa matawi ya Simba. Tamim alimjia juu Don King baada ya kuunga mkono maelezo ya Aveva juu ya sababu za kuboronga Simba, huku akishindwa kujadili hoja na kubaki kuusifia uongozi wake, pia baadhi ya wanachama wengine nao walianza kumfokea. Baada ya kutokea zogo hilo miongoni mwa wanachama, Aveva aliwatuliza na hali kuwa shwari ukumbini hapo na wanachama wengine kuendelea kutoa maoni yao. Lakini katika hali kushangaza, kuna baadhi ya wanachama walishindwa kutoa maoni yao, licha ya kunyoosha vidole kwa muda mrefu ili wachaguliwe kuzungumza, huku minong’ono ikiibuka kuwa kuna baadhi ya watu waliandaliwa kuzungumza. Ufuatao ni mchanganuo wa ajenda zote tatu zilizojadiliwa; ### Response: MICHEZO ### End
Na ELIYA MBONEA-ARUSHA AFYA YA Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu inatarajiwa kuimarika zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji mfupa katika mguu wake wa kulia. Kufanyika kwa upasuajai huo jana kumetajwa kuwa ni sehemu ya marekebisho yanayofanywa na madaktari wanaomtibu ili  kurekebisha mfupa wake uweze kuunga kwa haraka. Tayari kwa nyakati tofauti Lissu amekuwa akionekana kwenye muonekano wenye matumaini baada ya picha kutoka nchini Ubelgiji anakotibiwa kumuonyesha akiwa amesimama katika mazingira tofauti kama sehemu ya mazoezi. Akizungumza mjini hapa kuhusu hali ya Lissu, Msemaji wa familia, Wakili Alute Mughwai, alisema hali ya Lissu inaendelea na vizuri. “Lissu alikwenda Ubelgij kwa ajili ya kupata huduma ya matibabu ya viungolakini akiwa huko ikaonekana ulazima wa kufanyiwa upasuaji mwingine kwenye mguu wake. “Anaendelea vizuri, kuhusu lini atarudi nyumbani bado hatujajua inategemea taarifa ya daktari wake baada ya kufanyiwa upasuaji mguu. “Lakini ukiniuliza ninaweza kuwa wa kwanza kutaka arudi mapema Aprili,” alisema Wakili Mughwai. Aidha, alisema upasuaji huo ulifanyika kwa mafanikio kwa muda wa saa mbili na kwamba itamchukua siku saba hadi 10 akiwa amelazwa wodini. ALIA NA UPEPELEZI Kuhusu upelelezi wa tukio la kujeruhiwa kwake alisema mpaka sasa hakuna taarifa yeyote waliyopewa. “Hakuna taarifa tuliyopewa kama ndugu licha ya kuziomba mamlaka ziombe msaada wa kiupelelezi kutoka nje, lakini tulijibiwa polisi wanaweza kufanya uchunguzi japo mpaka sasa hakuna kinachoendelea. “Wasiwasi wetu ni kwamba Polisi hawana utayari wa kuchunguza tukio hili ndio sababu wamekuwa kimya mpaka sasa na hakuna kinachoendelea,” alisema wakili huyo. Alipoulizwa kuhusu mawasiliano na Ofisi ya Bunge ambayo Lissu alipata kudai kuwa linapaswa kugharamia matibabu yake alisema mpaka sasa wana zaidi ya mwezi mmoja na siku 15 bila kuwa na mawasiliano ofisi ya Bunge. “Familia ilipokea barua ya Bunge Februari mosi, mwaka huu ikitutaarifu kupokea barua yetu ya Januari iliyowataarifu kuhamishwa kwa Lissu kwenda Ubelgiji kutoka Hospitali ya Nairobi alikolazwa tangu apigwe risasi,” alisema Wakili Mughwai. Alisema barua hiyo iliwataarifu kwamba Ofisi ya Bunge iliwasiliana na Wizara ya Afya  ambayo ilituma madaktari watatu kwenda Nairobi kwa ajili ya kumuona lakini walikuta amekwishapelekwa Ubelgiji. “Kwenye barua hiyo, Bunge limetushukuru wanafamilia kwa ushirikiano wetu wa dhati wa kuwajulisha kuhusu Lissu alivyoondoka Nairobi kwenda Ubelgij,” alisema Wakili Mughwai. Lissu alijeruhiwa kwa risasi Septemba 7, mwaka jana na kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kabla ya kusafirishwa kwenda Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye alihamishiwa Ubelgiji kwa ajili ya mazoezi ya viungo.  
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ELIYA MBONEA-ARUSHA AFYA YA Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu inatarajiwa kuimarika zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji mfupa katika mguu wake wa kulia. Kufanyika kwa upasuajai huo jana kumetajwa kuwa ni sehemu ya marekebisho yanayofanywa na madaktari wanaomtibu ili  kurekebisha mfupa wake uweze kuunga kwa haraka. Tayari kwa nyakati tofauti Lissu amekuwa akionekana kwenye muonekano wenye matumaini baada ya picha kutoka nchini Ubelgiji anakotibiwa kumuonyesha akiwa amesimama katika mazingira tofauti kama sehemu ya mazoezi. Akizungumza mjini hapa kuhusu hali ya Lissu, Msemaji wa familia, Wakili Alute Mughwai, alisema hali ya Lissu inaendelea na vizuri. “Lissu alikwenda Ubelgij kwa ajili ya kupata huduma ya matibabu ya viungolakini akiwa huko ikaonekana ulazima wa kufanyiwa upasuaji mwingine kwenye mguu wake. “Anaendelea vizuri, kuhusu lini atarudi nyumbani bado hatujajua inategemea taarifa ya daktari wake baada ya kufanyiwa upasuaji mguu. “Lakini ukiniuliza ninaweza kuwa wa kwanza kutaka arudi mapema Aprili,” alisema Wakili Mughwai. Aidha, alisema upasuaji huo ulifanyika kwa mafanikio kwa muda wa saa mbili na kwamba itamchukua siku saba hadi 10 akiwa amelazwa wodini. ALIA NA UPEPELEZI Kuhusu upelelezi wa tukio la kujeruhiwa kwake alisema mpaka sasa hakuna taarifa yeyote waliyopewa. “Hakuna taarifa tuliyopewa kama ndugu licha ya kuziomba mamlaka ziombe msaada wa kiupelelezi kutoka nje, lakini tulijibiwa polisi wanaweza kufanya uchunguzi japo mpaka sasa hakuna kinachoendelea. “Wasiwasi wetu ni kwamba Polisi hawana utayari wa kuchunguza tukio hili ndio sababu wamekuwa kimya mpaka sasa na hakuna kinachoendelea,” alisema wakili huyo. Alipoulizwa kuhusu mawasiliano na Ofisi ya Bunge ambayo Lissu alipata kudai kuwa linapaswa kugharamia matibabu yake alisema mpaka sasa wana zaidi ya mwezi mmoja na siku 15 bila kuwa na mawasiliano ofisi ya Bunge. “Familia ilipokea barua ya Bunge Februari mosi, mwaka huu ikitutaarifu kupokea barua yetu ya Januari iliyowataarifu kuhamishwa kwa Lissu kwenda Ubelgiji kutoka Hospitali ya Nairobi alikolazwa tangu apigwe risasi,” alisema Wakili Mughwai. Alisema barua hiyo iliwataarifu kwamba Ofisi ya Bunge iliwasiliana na Wizara ya Afya  ambayo ilituma madaktari watatu kwenda Nairobi kwa ajili ya kumuona lakini walikuta amekwishapelekwa Ubelgiji. “Kwenye barua hiyo, Bunge limetushukuru wanafamilia kwa ushirikiano wetu wa dhati wa kuwajulisha kuhusu Lissu alivyoondoka Nairobi kwenda Ubelgij,” alisema Wakili Mughwai. Lissu alijeruhiwa kwa risasi Septemba 7, mwaka jana na kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kabla ya kusafirishwa kwenda Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye alihamishiwa Ubelgiji kwa ajili ya mazoezi ya viungo.   ### Response: KITAIFA ### End
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga jana imeingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji Mbrazil, Geilson Santos Santana ‘Jaja’,  kuichezea timu hiyo, ambapo mkataba huo utafikia kikomo mwaka 2016. Jaja alijiunga na kikosi hicho wiki iliyopita ambapo alianza kupewa mazoezi ya peke yake kwa ajili ya kumfanya azoee hali ya hewa, huku wakiwa katika uangalizi wa kiwango chake kabla ya kupewa mkataba huo. Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu, alisema usajili huo wa Jaja unaifanya timu hiyo kuwa na wachezaji wawili wa kimataifa waliowasajili msimu huu, wote wakitokea nchini Brazil, akiwemo Andrey Coutinho. “Kazi yetu uongozi ni kutekeleza maelekezo ya kocha mkuu pamoja na benchi la ufundi, walitoa mapendekezo ya usajili kabla hawajaanza kazi na mengine baada kuwasili, yote tunajitahidi kuyatekeleza ili kila kitu kiende safi,” alisema. Alisema mchezaji huyo ataanza kuitumikia timu kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika (CECAFA), inayotarajia kuanza Agosti 8 nchini Rwanda, kabla hawajaanza Ligi Kuu Septemba 20. Alisema, Jaja alizaliwa  Septemba 21 mwaka 1985 na kukulia katika mji wa Aracaju, nchini Brazil, mpaka anasajiliwa na timu ya Young Africans alikuwa akiichezea timu ya Itabaina FC iliyopo nchini Brazil.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga jana imeingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji Mbrazil, Geilson Santos Santana ‘Jaja’,  kuichezea timu hiyo, ambapo mkataba huo utafikia kikomo mwaka 2016. Jaja alijiunga na kikosi hicho wiki iliyopita ambapo alianza kupewa mazoezi ya peke yake kwa ajili ya kumfanya azoee hali ya hewa, huku wakiwa katika uangalizi wa kiwango chake kabla ya kupewa mkataba huo. Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu, alisema usajili huo wa Jaja unaifanya timu hiyo kuwa na wachezaji wawili wa kimataifa waliowasajili msimu huu, wote wakitokea nchini Brazil, akiwemo Andrey Coutinho. “Kazi yetu uongozi ni kutekeleza maelekezo ya kocha mkuu pamoja na benchi la ufundi, walitoa mapendekezo ya usajili kabla hawajaanza kazi na mengine baada kuwasili, yote tunajitahidi kuyatekeleza ili kila kitu kiende safi,” alisema. Alisema mchezaji huyo ataanza kuitumikia timu kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika (CECAFA), inayotarajia kuanza Agosti 8 nchini Rwanda, kabla hawajaanza Ligi Kuu Septemba 20. Alisema, Jaja alizaliwa  Septemba 21 mwaka 1985 na kukulia katika mji wa Aracaju, nchini Brazil, mpaka anasajiliwa na timu ya Young Africans alikuwa akiichezea timu ya Itabaina FC iliyopo nchini Brazil. ### Response: MICHEZO ### End
Alitaja vikundi vilivyopewa mikopo hiyo kuwa ni pamoja na vikundi viwili vya ujasiriamali, mafanikio na bodaboda ambavyo vilipatiwa Sh milioni 10 na kikundi cha Mwambao Fishing Sh milioni 21 kila mmoja. “Kinachotakiwa sisi tufuate taratibu tena masharti yetu sisi wala sio magumu kama taasisi zingine za fedha,” alisema Kasisi.Hata hivyo, alisema kuna baadhi ya vikundi na wafanyabiashara sio waaminifu kutokana na wanaochukua mikopo kutorudisha. Alilifafanua zaidi kuwa mpaka sasa kuna deni la Sh milioni 44 ambapo vikundi vya uzalishaji mali na wafanyabiashara wanadaiwa na taasisi hiyo ya serikali.Alisema kwamba dhamira ya shirika ni kusaidia jamii kuondokana na umasikini kwa kuwezeshwa kuunda miradi itakayosaidia kuvusha walipo na kuwa juu kiuchumi.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Alitaja vikundi vilivyopewa mikopo hiyo kuwa ni pamoja na vikundi viwili vya ujasiriamali, mafanikio na bodaboda ambavyo vilipatiwa Sh milioni 10 na kikundi cha Mwambao Fishing Sh milioni 21 kila mmoja. “Kinachotakiwa sisi tufuate taratibu tena masharti yetu sisi wala sio magumu kama taasisi zingine za fedha,” alisema Kasisi.Hata hivyo, alisema kuna baadhi ya vikundi na wafanyabiashara sio waaminifu kutokana na wanaochukua mikopo kutorudisha. Alilifafanua zaidi kuwa mpaka sasa kuna deni la Sh milioni 44 ambapo vikundi vya uzalishaji mali na wafanyabiashara wanadaiwa na taasisi hiyo ya serikali.Alisema kwamba dhamira ya shirika ni kusaidia jamii kuondokana na umasikini kwa kuwezeshwa kuunda miradi itakayosaidia kuvusha walipo na kuwa juu kiuchumi. ### Response: UCHUMI ### End
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka wananchi wanaoishi sehemu za mabondeni kuhama maeneo hayo ili kuchukua tahadhari ya mvua za vuli zinazotarajiwa kunyesha hivi karibuni.Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mihayo Juma Nhunga ametoa agizo hilo wakati anajibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Khadija Rajab Kibano aliyetaka kujua serikali imetayarishia sehemu gani watu waliokumbwa na maafa ya mvua za masika.Nhunga amesema, kwa mujibu wa taarifa za mamlaka ya hali ya hewa nchini, mvua za vuli zinatarajiwa kuwa kubwa na kuanza kunyesha mwishoni mwa mwezi huu. Akifafanua zaidi alisema mvua hizo zitamalizika mwishoni mwa Desemba mwaka huu.Amesema mvua hizo zinatarajiwa kuwa kubwa ambapo zinaweza kusababisha maafa kwa wananchi wanaoishi sehemu za mabondeni na maeneo mengine yanayokaa maji.“Mheshimiwa Spika napenda kuwajulisha wananchi kwamba taarifa tulizopewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini kwamba mvua za vuli zinatarajiwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu ambapo watu wanaoishi sehemu za mabondeni wanatakiwa kuhama ili kuepuka athari za mafuriko,” amesema.Kwa mfano alisema yapo maeneo ambayo yaliathirika zaidi katika mvua za masika eneo la Bububu na kusababisha vifo vya watu wawili, ambapo wakazi wake wengi wanaishi katika maeneo ya mabondeni.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka wananchi wanaoishi sehemu za mabondeni kuhama maeneo hayo ili kuchukua tahadhari ya mvua za vuli zinazotarajiwa kunyesha hivi karibuni.Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mihayo Juma Nhunga ametoa agizo hilo wakati anajibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Khadija Rajab Kibano aliyetaka kujua serikali imetayarishia sehemu gani watu waliokumbwa na maafa ya mvua za masika.Nhunga amesema, kwa mujibu wa taarifa za mamlaka ya hali ya hewa nchini, mvua za vuli zinatarajiwa kuwa kubwa na kuanza kunyesha mwishoni mwa mwezi huu. Akifafanua zaidi alisema mvua hizo zitamalizika mwishoni mwa Desemba mwaka huu.Amesema mvua hizo zinatarajiwa kuwa kubwa ambapo zinaweza kusababisha maafa kwa wananchi wanaoishi sehemu za mabondeni na maeneo mengine yanayokaa maji.“Mheshimiwa Spika napenda kuwajulisha wananchi kwamba taarifa tulizopewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini kwamba mvua za vuli zinatarajiwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu ambapo watu wanaoishi sehemu za mabondeni wanatakiwa kuhama ili kuepuka athari za mafuriko,” amesema.Kwa mfano alisema yapo maeneo ambayo yaliathirika zaidi katika mvua za masika eneo la Bububu na kusababisha vifo vya watu wawili, ambapo wakazi wake wengi wanaishi katika maeneo ya mabondeni. ### Response: KITAIFA ### End
WATAFITI kutoka Chuo Kikuu cha Queensland and Monash, walisafiri hadi kisiwa cha Fraser,   Australia kuwawinda na kuwashika buibui hatari wa nchi hiyo. Watafiti hao wanasema kuwa protini iliyopo katika sumu ya buibui inaweza kusaidia kulinda ubongo kutokana na jeraha baada ya kiharusi. Inaelezwa kuwa wanasanyasi waligundua kwamba tiba ya protini hiyo ilifanya kazi ilipotumiwa katika panya wa maabara. Wanasema  ilionyesha kwamba inaweza kuwa tiba nzuri katika siku zijazoi lakini haijajaribiwa miongoni mwa binadamu.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WATAFITI kutoka Chuo Kikuu cha Queensland and Monash, walisafiri hadi kisiwa cha Fraser,   Australia kuwawinda na kuwashika buibui hatari wa nchi hiyo. Watafiti hao wanasema kuwa protini iliyopo katika sumu ya buibui inaweza kusaidia kulinda ubongo kutokana na jeraha baada ya kiharusi. Inaelezwa kuwa wanasanyasi waligundua kwamba tiba ya protini hiyo ilifanya kazi ilipotumiwa katika panya wa maabara. Wanasema  ilionyesha kwamba inaweza kuwa tiba nzuri katika siku zijazoi lakini haijajaribiwa miongoni mwa binadamu. ### Response: KIMATAIFA ### End
KAMPALA, UGANDA SERIKALI ya Uganda imetoa hadi Septemba 30, 2017 kwa watengenezaji wa vileo kusitisha uuzaji wa pombe katika pakiti maarufu kama viroba. Wizara ya Biashara imesema Serikali itawafungulia mashtaka wauzaji watakaokiuka amri hiyo, ikiwataka wahifadhi pombe katika chupa. Waziri wa Biashara, Amelia Kyambadde, alisema hiyo ni moja ya mipango iliyokubaliwa baina ya Serikali, wadau na muungano wa biashara ya pombe. Uuzaji wa viroba umetajwa kuwa chanzo cha ulevi holela na ukosefu wa uwajibikaji kutokana na watu kutumia vibaya pombe hizo. Wanafunzi na vijana wametajwa kuwa waathirika wakubwa zaidi kutokana na kuzinywa kiholela kwa sababu ya urahisi wake wa bei, upatikanaji na ubebaji huku zikichangia pia uharibifu wa mazingira. Kwa mujibu wa maofisa, paketi zenye ujazo mdogo zaidi wa milimita 100 huuzwa kwa Sh 500 za Uganda (sawa na Sh 250 za Tanzania). Kwa sasa asilimia 75 ya pombe huuzwa katika paketi, huku asilimia 25 iliyobaki zikiuzwa katika chupa. Mkutano huo wa wadau wa sekta ya vileo uliofanyika jana, uliitishwa na Kyambadde katika juhudi za kukabiliana na changamoto ya ongezeko la ulevi na uharibifu wa tabia miongoni mwa vijana. Kwa mujibu wa maofisa, pombe za viroba zimesababisha athari mbaya kwa mtu mmoja mmoja na jamii, kutokana na kushindikana kudhibiti matumizi yake. Kyambadde alisema ijapokuwa Serikali inatambua umuhimu wa sekta ya pombe katika kutengeneza ajira na kuchangia pato la taifa kupitia kodi, uhifadhi wake unahitaji kubadilika kutoka pakiti ndogo hadi chupa. Watengeneza pombe walikiri hatari inayosababishwa na pombe za viroba, lakini waliomba muda zaidi hadi mwaka 2018 ili kujiandaa kuhama kutoka upakiaji katika pakiti hadi chupa. Lakini Serikali ilisema inataka kushughulikia tatizo hilo haraka iwezekanavyo na hivyo miezi tisa kuanzia sasa inatosha kwa wafanyabiashara kujipanga.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KAMPALA, UGANDA SERIKALI ya Uganda imetoa hadi Septemba 30, 2017 kwa watengenezaji wa vileo kusitisha uuzaji wa pombe katika pakiti maarufu kama viroba. Wizara ya Biashara imesema Serikali itawafungulia mashtaka wauzaji watakaokiuka amri hiyo, ikiwataka wahifadhi pombe katika chupa. Waziri wa Biashara, Amelia Kyambadde, alisema hiyo ni moja ya mipango iliyokubaliwa baina ya Serikali, wadau na muungano wa biashara ya pombe. Uuzaji wa viroba umetajwa kuwa chanzo cha ulevi holela na ukosefu wa uwajibikaji kutokana na watu kutumia vibaya pombe hizo. Wanafunzi na vijana wametajwa kuwa waathirika wakubwa zaidi kutokana na kuzinywa kiholela kwa sababu ya urahisi wake wa bei, upatikanaji na ubebaji huku zikichangia pia uharibifu wa mazingira. Kwa mujibu wa maofisa, paketi zenye ujazo mdogo zaidi wa milimita 100 huuzwa kwa Sh 500 za Uganda (sawa na Sh 250 za Tanzania). Kwa sasa asilimia 75 ya pombe huuzwa katika paketi, huku asilimia 25 iliyobaki zikiuzwa katika chupa. Mkutano huo wa wadau wa sekta ya vileo uliofanyika jana, uliitishwa na Kyambadde katika juhudi za kukabiliana na changamoto ya ongezeko la ulevi na uharibifu wa tabia miongoni mwa vijana. Kwa mujibu wa maofisa, pombe za viroba zimesababisha athari mbaya kwa mtu mmoja mmoja na jamii, kutokana na kushindikana kudhibiti matumizi yake. Kyambadde alisema ijapokuwa Serikali inatambua umuhimu wa sekta ya pombe katika kutengeneza ajira na kuchangia pato la taifa kupitia kodi, uhifadhi wake unahitaji kubadilika kutoka pakiti ndogo hadi chupa. Watengeneza pombe walikiri hatari inayosababishwa na pombe za viroba, lakini waliomba muda zaidi hadi mwaka 2018 ili kujiandaa kuhama kutoka upakiaji katika pakiti hadi chupa. Lakini Serikali ilisema inataka kushughulikia tatizo hilo haraka iwezekanavyo na hivyo miezi tisa kuanzia sasa inatosha kwa wafanyabiashara kujipanga. ### Response: KIMATAIFA ### End
Wakimbizi wa ndani jimbo la Darfur Sudan wanakabiliwa na changamoto nyingi na ugumu wa kupata maji safi. Pichani ni msichana na kaka yake wakiwa katika kituo cha maji safi cha Abu-Shok kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani illi kuteka maji Wakati huo huo Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura, OCHA, Mark Lowcock ametangaza kutengwa kwa dola milioni 26.5 kwa ajili ya msaada wa dharura, CERF kwa ajili ya kuwasilisha chakula, lishe, huduma ya afya, maji na huduma ya kujisafi kwa takriban watu 800,000 walioathirika na janga la kiuchumi na chakula linaloshuhudiwa katika majimbo saba Sudan kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Bwan Lowcock kupitia taarifa ya OCHA amesema, “janga la kiuchumi linaloshuhudiwa limekuwa na athari zinazokwenda mbali ya uhakika wa chakula. Ongezeko la bei ya chakula inamaanisha kwamba familia zinakulwa chenye upunugfu wa ubora na watoto wengi wachanga na wanawake wajawazito wanaugua. Familia zinakabiliwa na wakati mgumu na wanashindwa kupata tiba, isitoshe kupoteza ajira kunawalazimu kuondoa watoto wao kutoka shule. Mgao huo wa CERF unalenga wakimbizi wa ndani, wakimbizi na jamii zinazowahifadhi pamoja na wakazi walio hatarini katika maeneo kunakoshuhudiwa ukosefu wa chakula toshelezi ikiwemo, mashariki, kaskazini, kusini na Darfur magharibi, Red Sea, Kordofan magharibi na majimbo ya White Nile. Ukosefu wa chakula umeongezeka huku ikikadiriwa kwamba watu milioni 5.8 hawana chakula toshelezi tangu Jamuari hadi Machi hii ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishw ana mwaka 2018. Huduma za ulinzi zitapewa kipaumbele kwa ajili ya mahitaji ya watoto, wanawake na waliohatarini ikiwmo watu wanoishi na ulemavu na walio na magonjwa ya muda mrefu. Licha ya fedha hizo na zingine kutoka mfuko wa misaada ya kibinadamu ya Sudan dola milioni 21 bado mahitaji ya kifedha hayatoshelezi kufuatia ongezeko la mahitaji. Mwaka huu wa 2019, Umoja wa Mataifa unatarajia kutoa ombi la dola bilioni 1 kwa ajili ya kusaidi watu milioni 4.4 walio hatarini nchini Sudan.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wakimbizi wa ndani jimbo la Darfur Sudan wanakabiliwa na changamoto nyingi na ugumu wa kupata maji safi. Pichani ni msichana na kaka yake wakiwa katika kituo cha maji safi cha Abu-Shok kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani illi kuteka maji Wakati huo huo Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura, OCHA, Mark Lowcock ametangaza kutengwa kwa dola milioni 26.5 kwa ajili ya msaada wa dharura, CERF kwa ajili ya kuwasilisha chakula, lishe, huduma ya afya, maji na huduma ya kujisafi kwa takriban watu 800,000 walioathirika na janga la kiuchumi na chakula linaloshuhudiwa katika majimbo saba Sudan kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Bwan Lowcock kupitia taarifa ya OCHA amesema, “janga la kiuchumi linaloshuhudiwa limekuwa na athari zinazokwenda mbali ya uhakika wa chakula. Ongezeko la bei ya chakula inamaanisha kwamba familia zinakulwa chenye upunugfu wa ubora na watoto wengi wachanga na wanawake wajawazito wanaugua. Familia zinakabiliwa na wakati mgumu na wanashindwa kupata tiba, isitoshe kupoteza ajira kunawalazimu kuondoa watoto wao kutoka shule. Mgao huo wa CERF unalenga wakimbizi wa ndani, wakimbizi na jamii zinazowahifadhi pamoja na wakazi walio hatarini katika maeneo kunakoshuhudiwa ukosefu wa chakula toshelezi ikiwemo, mashariki, kaskazini, kusini na Darfur magharibi, Red Sea, Kordofan magharibi na majimbo ya White Nile. Ukosefu wa chakula umeongezeka huku ikikadiriwa kwamba watu milioni 5.8 hawana chakula toshelezi tangu Jamuari hadi Machi hii ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishw ana mwaka 2018. Huduma za ulinzi zitapewa kipaumbele kwa ajili ya mahitaji ya watoto, wanawake na waliohatarini ikiwmo watu wanoishi na ulemavu na walio na magonjwa ya muda mrefu. Licha ya fedha hizo na zingine kutoka mfuko wa misaada ya kibinadamu ya Sudan dola milioni 21 bado mahitaji ya kifedha hayatoshelezi kufuatia ongezeko la mahitaji. Mwaka huu wa 2019, Umoja wa Mataifa unatarajia kutoa ombi la dola bilioni 1 kwa ajili ya kusaidi watu milioni 4.4 walio hatarini nchini Sudan. ### Response: KIMATAIFA ### End
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Ofisa Mifugo wa Kata ya Kipande, Daud Mwakalipula kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh 300,000.Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Ramadhan Rugemalira amesema, Mahakama imemkuta mshitakiwa huyo na hatia katika makosa mawili ya kuomba na kupokea rushwa kinyume cha kifungu cha 15 (1) (a) na (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Ruswa.Hukumu ya shauri hilo ilisomwa mbele ya Waendesha Mashitaka wa Takukuru Saida Salumu na Simon Mapunda.“Mahakama hii inamhukumu mshtakiwa kulipa faini ya shilingi 700,000 kwa kosa la kwanza au kifungo cha miaka mitatu au faini ya shilingi 800,000 au kifungo cha miaka mitatu kwa kosa la pili na makosa yote yatatumikiwa kwa pamoja," amesema.Awali Mwendesha Mashtaka wa Takukuru Salumu aliieleza mahakama hiyo kuwa Takukuru ilimfikisha mahakamani mshtakiwa huyo Februari Mosi, 2018 akidaiwa kuomba na kupokea rushwa Novemba 19, 2017 kutoka kwa mwananchi Kahana John ili awaachie ng'ombe wake 101.Ilielezwa mahakamani hapo kuwa ng'ombe hao walikamatwa baada ya kuingizwa kinyume cha sheria katika kijiji cha Nkundi, Kata ya Kipande wilayani Nkasi .
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Ofisa Mifugo wa Kata ya Kipande, Daud Mwakalipula kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh 300,000.Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Ramadhan Rugemalira amesema, Mahakama imemkuta mshitakiwa huyo na hatia katika makosa mawili ya kuomba na kupokea rushwa kinyume cha kifungu cha 15 (1) (a) na (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Ruswa.Hukumu ya shauri hilo ilisomwa mbele ya Waendesha Mashitaka wa Takukuru Saida Salumu na Simon Mapunda.“Mahakama hii inamhukumu mshtakiwa kulipa faini ya shilingi 700,000 kwa kosa la kwanza au kifungo cha miaka mitatu au faini ya shilingi 800,000 au kifungo cha miaka mitatu kwa kosa la pili na makosa yote yatatumikiwa kwa pamoja," amesema.Awali Mwendesha Mashtaka wa Takukuru Salumu aliieleza mahakama hiyo kuwa Takukuru ilimfikisha mahakamani mshtakiwa huyo Februari Mosi, 2018 akidaiwa kuomba na kupokea rushwa Novemba 19, 2017 kutoka kwa mwananchi Kahana John ili awaachie ng'ombe wake 101.Ilielezwa mahakamani hapo kuwa ng'ombe hao walikamatwa baada ya kuingizwa kinyume cha sheria katika kijiji cha Nkundi, Kata ya Kipande wilayani Nkasi . ### Response: KITAIFA ### End
“RAIS Paul  Kagame ni mbunifu, mtengenezaji, mtekelezaji, msimamizi, mkaguzi wa  miradi na mwajibikaji kwa mafanikio ya ajabu aliyoyafikia katika nchi hii ya Rwanda. Haya ni maneno ya Rais Mstaafu wa Tanzania, Benjamini Mkapa akiuambia Mkutano Mkuu wa wa chama tawala nchini Rwanda, RPF Inkotanyi uliofanyika kwenye makao makuu ya chama hicho eneo la Rusororo kilometa chache kutoka mji mkuu wa  Kigali hivi karibuni. Mkapa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo, anasemaRwanda ni nchi anayoendelea kwa kasi na mfano katika kukomesha na kuondosha, unyanyasaji kijinsia na ubaguzi wa kikabila. Rais huyo Mstaafu ambaye katika utawala wake alisifiwa kwa kusimamia vema uchumi wa Tanzania, anakishauri RPF kumshukuru Rais Kagame kwa utaifa na uongozi wake. Anasema Kagame ameondosha umasikini na kuleta maendeleo ya kisasa  kwa ajili ya maisha ya watu wote, kuwarejeshea raia wake usawa na heshima na sasa Rwanda inatambuliwa kama kitovu cha kukua kwa biashara ya kikanda na maendeleo ya teknolojia(ICT). Mkapa ambaye hotuba yake ilikuwa ikishangiliwa kila mara anasema ni jambo la kupendeza katika ulimwengu unaoendelea na kinachoitwa maendeleo. “Kufikia mambo yote haya ni dhahiri tulielezee taifa hili kama ni lenye roho ya msamaha, roho ya undugu na kazi ngumu iliyofanywa na  wananchi, hata hivyo mafanikio haya makubwa ni tunu ya kuwa na uongozi mzuri. “Huwa kwa Kiswahili tunasema hivi: Usione vinaelea, vimeundwa ! Endapo utaona gari linatembea ujue limebuniwa na limeundwa. “Rais Kagame wewe unastahili na kupata heshima ya wananchi wako na wananchi wa Kanda ya Afrika Mashariki na Afrika”anaeleza Mkapa. Kagame naye kwa upande wake, ameahidi kuifanya Rwanda kuwa Singapore ya Afrika. Rais Kagame ambaye amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa RPF Inkotanyi kwa miaka mingine mitano anasema ingawa nchi yake haina raslimali kama zilivyo zingine za Afrika atatumia ubunifu kuimarisha uchumi wao. Anasema Rwanda ina rasilimali chache za asili, lakini ina mpango wa kugeuka yenyewe kuwa kitovu cha teknolojia ya habari na mawasiliano barani Afrika. Anasema kuwa tayari Serikali yake imetenga kiasi cha Dola milioni 1.5 za Marekani kwa ajili ya kujenga na kuendesha kiwanda cha kuchakata taka ambacho kitakuwa cha pili kwa ukubwa Afrika kikifuatia kile cha Afrika ya Kusini. “Kile tunachokisherekea leo hii ni mafanikio ya kizazi hiki. Lakini hatutakiwi kuridhika bali tunapaswa kutafakari cha kufanya leo hii kwa ajili ya manufaa ya kizazi kijacho,” Ushauri huo wa Kagame ulionyesha kugusa hisia za wanachama, viongozi na wapambanaji wa RPF ambao wanajulikana kama RPF Inkotanyi, wasomi, wataalam na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wa ndani na nje ya Rwanda. “Acheni kutumia nguvu katika kutafuta suluhu ya matatizo yetu, hebu tujipe thamani yetu kwa kutumia lugha kama hiyo, hiyo si sehemu ya utamaduni wetu, “Rais Kagame anawahimiza wanachama wenzake. Hata hivyo Rais Kagame anakumbusha kwamba mafanikio ya mapambano ya kijeshi ya Rwanda na RPF yalikuja na changamoto mpya. Kwamba baadhi ya wanachama waliiingiwa na  ubinafsi na kudhani kwamba kuna kitu cha ziada wanapaswa kulipwa. Hata hivyo anasema kulingana na misimamo waliyojiwekea, RPF hakiwezi kuruhusu kuwapo kundi la watu  wa daraja ambalo haliguswi. Anaeleza kwamba baadhi ya watu wa aina hiyo walijikuta wakitumbukia njia mbaya, sahihi na wengine mpaka sasa wanaishi uhamishoni. “Wale wote waliopotea na kuamua  kuweka maslahi yao binafsi katika maadili na misingi ya RPF, waliruhusiwa kutumiwa na vikosi vya nje na hawakutaka  tuendelee na tuwe kama tunavyostahili kuwa ,” alichambua Kagame ambaye pia ni mwenyekiti wa RPF Inkotanyi. Rais Kagame anasema RPF ilifanikiwa kurejeshea heshima Wanyarwanda akisema kuwa tofauti na siku za nyuma ambapo palikuwapo na watu ambao walianza kukata tamaa na wengine kujikuta wakitafuta uraia wa nchi zingine za kigeni na hata kuishia kuwa walinzi katika maduka makubwa nje ya nchi. Anasema kuwa tayari Serikali yake imetenga kiasi cha Dola milioni 1.5 za Marekani kwa ajili ya kujenga na kuendesha kiwanda cha kuchakata taka ambacho kitakuwa cha pili kwa ukubwa Afrika kikifuatia kile cha Afrika Kusini. Rais wa zamani wa Benki ya Maendeleo Afrika (ADB), Dk Donald Kaberuka aliwaambia wajumbe wa mkutano mkuu huo kuwa takwimu zinaonesha kuwa nchi za kiafrika ambazo zina rasilimali chache lakini zimekuwa na uwezo mkubwa wa kubuni mbinu ambazo zimezifanya kupiga hatua kubwa za maendeleo. Dk Kaberuka alizionya nchi za Afrika akisema zinapaswa kujifunza kufanya mambo ambayo huthamini maslahi yao na kuacha kufanya  yale yenye lengo la  kufanikisha ajenda za nchi zenye nguvu za Magharibi. Msemaji mwingine aliyezungumza katika mkutano huo alikuwa, Dk. Clet Niyikiza, ambaye ni mvumbuzi wa madawa nchini Marekani, yeye alisema Rwanda haipaswi kujiepusha na ubunifu kwa kuogopa kwamba watu wengine wataiba mawazo yao. “Mtu yeyote ambaye anahofia kulima mazao akiogopa ndege watakuja kuyala kamwe hawezi kuwa na chakula kwa ajili ya watoto wake,” alisema. Anafafanua kwamba kwa kubaki nyuma kwa woga wa aina hiyo moja kwa moja ni kukwamisha ubunifu na uvumbuzi. Dk Niyikiza anasema kwamba dawa ya kupambana na tatizo kama hilo ipo katika kuunda sheria nzuri za kuwa na hatimiliki ya kile kilichobuniwa. “Endapo mmojawapo atakuibia wazo lako mfikishe mahakamani, lakini tusiwe wakarimu wa woga unaweza kupitwa na kila mmoja ambaye unamdharau,” alifafanua zaidi. Aidha mbunifu huyo wa kimataifa anasisitiza kwamba Wanyarwanda wachanga wanaweza kupata mengi kutokana na hati miliki za mali zao. Ili kufikia akili ya ubunifu, Dk.  Niyikiza anasema ni lazima mfumo wa utoaji elimu ubadilike. Kwamba licha ya ufahamu unaotokea katika shule na vyuo vikuu nchi humo kuwa mzuri, lakini vijana wanatakiwa kufikiri jinsi ya kujifunza na wanahitaji kujifunza mengi kutoka kwa wazee. Kwa sasa barabara za Rwanda ni mpya na safi, majengo mapya yamejengwa na miongoni mwa hayo yamepatikana kutokana na kutolewa kibali cha mtaji binafsi jambo ambalo limewavutia wawekezaji wengi kutoka pembe mbalimbali za dunia na kuamini kwamba watakuwa salama.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- “RAIS Paul  Kagame ni mbunifu, mtengenezaji, mtekelezaji, msimamizi, mkaguzi wa  miradi na mwajibikaji kwa mafanikio ya ajabu aliyoyafikia katika nchi hii ya Rwanda. Haya ni maneno ya Rais Mstaafu wa Tanzania, Benjamini Mkapa akiuambia Mkutano Mkuu wa wa chama tawala nchini Rwanda, RPF Inkotanyi uliofanyika kwenye makao makuu ya chama hicho eneo la Rusororo kilometa chache kutoka mji mkuu wa  Kigali hivi karibuni. Mkapa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo, anasemaRwanda ni nchi anayoendelea kwa kasi na mfano katika kukomesha na kuondosha, unyanyasaji kijinsia na ubaguzi wa kikabila. Rais huyo Mstaafu ambaye katika utawala wake alisifiwa kwa kusimamia vema uchumi wa Tanzania, anakishauri RPF kumshukuru Rais Kagame kwa utaifa na uongozi wake. Anasema Kagame ameondosha umasikini na kuleta maendeleo ya kisasa  kwa ajili ya maisha ya watu wote, kuwarejeshea raia wake usawa na heshima na sasa Rwanda inatambuliwa kama kitovu cha kukua kwa biashara ya kikanda na maendeleo ya teknolojia(ICT). Mkapa ambaye hotuba yake ilikuwa ikishangiliwa kila mara anasema ni jambo la kupendeza katika ulimwengu unaoendelea na kinachoitwa maendeleo. “Kufikia mambo yote haya ni dhahiri tulielezee taifa hili kama ni lenye roho ya msamaha, roho ya undugu na kazi ngumu iliyofanywa na  wananchi, hata hivyo mafanikio haya makubwa ni tunu ya kuwa na uongozi mzuri. “Huwa kwa Kiswahili tunasema hivi: Usione vinaelea, vimeundwa ! Endapo utaona gari linatembea ujue limebuniwa na limeundwa. “Rais Kagame wewe unastahili na kupata heshima ya wananchi wako na wananchi wa Kanda ya Afrika Mashariki na Afrika”anaeleza Mkapa. Kagame naye kwa upande wake, ameahidi kuifanya Rwanda kuwa Singapore ya Afrika. Rais Kagame ambaye amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa RPF Inkotanyi kwa miaka mingine mitano anasema ingawa nchi yake haina raslimali kama zilivyo zingine za Afrika atatumia ubunifu kuimarisha uchumi wao. Anasema Rwanda ina rasilimali chache za asili, lakini ina mpango wa kugeuka yenyewe kuwa kitovu cha teknolojia ya habari na mawasiliano barani Afrika. Anasema kuwa tayari Serikali yake imetenga kiasi cha Dola milioni 1.5 za Marekani kwa ajili ya kujenga na kuendesha kiwanda cha kuchakata taka ambacho kitakuwa cha pili kwa ukubwa Afrika kikifuatia kile cha Afrika ya Kusini. “Kile tunachokisherekea leo hii ni mafanikio ya kizazi hiki. Lakini hatutakiwi kuridhika bali tunapaswa kutafakari cha kufanya leo hii kwa ajili ya manufaa ya kizazi kijacho,” Ushauri huo wa Kagame ulionyesha kugusa hisia za wanachama, viongozi na wapambanaji wa RPF ambao wanajulikana kama RPF Inkotanyi, wasomi, wataalam na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wa ndani na nje ya Rwanda. “Acheni kutumia nguvu katika kutafuta suluhu ya matatizo yetu, hebu tujipe thamani yetu kwa kutumia lugha kama hiyo, hiyo si sehemu ya utamaduni wetu, “Rais Kagame anawahimiza wanachama wenzake. Hata hivyo Rais Kagame anakumbusha kwamba mafanikio ya mapambano ya kijeshi ya Rwanda na RPF yalikuja na changamoto mpya. Kwamba baadhi ya wanachama waliiingiwa na  ubinafsi na kudhani kwamba kuna kitu cha ziada wanapaswa kulipwa. Hata hivyo anasema kulingana na misimamo waliyojiwekea, RPF hakiwezi kuruhusu kuwapo kundi la watu  wa daraja ambalo haliguswi. Anaeleza kwamba baadhi ya watu wa aina hiyo walijikuta wakitumbukia njia mbaya, sahihi na wengine mpaka sasa wanaishi uhamishoni. “Wale wote waliopotea na kuamua  kuweka maslahi yao binafsi katika maadili na misingi ya RPF, waliruhusiwa kutumiwa na vikosi vya nje na hawakutaka  tuendelee na tuwe kama tunavyostahili kuwa ,” alichambua Kagame ambaye pia ni mwenyekiti wa RPF Inkotanyi. Rais Kagame anasema RPF ilifanikiwa kurejeshea heshima Wanyarwanda akisema kuwa tofauti na siku za nyuma ambapo palikuwapo na watu ambao walianza kukata tamaa na wengine kujikuta wakitafuta uraia wa nchi zingine za kigeni na hata kuishia kuwa walinzi katika maduka makubwa nje ya nchi. Anasema kuwa tayari Serikali yake imetenga kiasi cha Dola milioni 1.5 za Marekani kwa ajili ya kujenga na kuendesha kiwanda cha kuchakata taka ambacho kitakuwa cha pili kwa ukubwa Afrika kikifuatia kile cha Afrika Kusini. Rais wa zamani wa Benki ya Maendeleo Afrika (ADB), Dk Donald Kaberuka aliwaambia wajumbe wa mkutano mkuu huo kuwa takwimu zinaonesha kuwa nchi za kiafrika ambazo zina rasilimali chache lakini zimekuwa na uwezo mkubwa wa kubuni mbinu ambazo zimezifanya kupiga hatua kubwa za maendeleo. Dk Kaberuka alizionya nchi za Afrika akisema zinapaswa kujifunza kufanya mambo ambayo huthamini maslahi yao na kuacha kufanya  yale yenye lengo la  kufanikisha ajenda za nchi zenye nguvu za Magharibi. Msemaji mwingine aliyezungumza katika mkutano huo alikuwa, Dk. Clet Niyikiza, ambaye ni mvumbuzi wa madawa nchini Marekani, yeye alisema Rwanda haipaswi kujiepusha na ubunifu kwa kuogopa kwamba watu wengine wataiba mawazo yao. “Mtu yeyote ambaye anahofia kulima mazao akiogopa ndege watakuja kuyala kamwe hawezi kuwa na chakula kwa ajili ya watoto wake,” alisema. Anafafanua kwamba kwa kubaki nyuma kwa woga wa aina hiyo moja kwa moja ni kukwamisha ubunifu na uvumbuzi. Dk Niyikiza anasema kwamba dawa ya kupambana na tatizo kama hilo ipo katika kuunda sheria nzuri za kuwa na hatimiliki ya kile kilichobuniwa. “Endapo mmojawapo atakuibia wazo lako mfikishe mahakamani, lakini tusiwe wakarimu wa woga unaweza kupitwa na kila mmoja ambaye unamdharau,” alifafanua zaidi. Aidha mbunifu huyo wa kimataifa anasisitiza kwamba Wanyarwanda wachanga wanaweza kupata mengi kutokana na hati miliki za mali zao. Ili kufikia akili ya ubunifu, Dk.  Niyikiza anasema ni lazima mfumo wa utoaji elimu ubadilike. Kwamba licha ya ufahamu unaotokea katika shule na vyuo vikuu nchi humo kuwa mzuri, lakini vijana wanatakiwa kufikiri jinsi ya kujifunza na wanahitaji kujifunza mengi kutoka kwa wazee. Kwa sasa barabara za Rwanda ni mpya na safi, majengo mapya yamejengwa na miongoni mwa hayo yamepatikana kutokana na kutolewa kibali cha mtaji binafsi jambo ambalo limewavutia wawekezaji wengi kutoka pembe mbalimbali za dunia na kuamini kwamba watakuwa salama. ### Response: KIMATAIFA ### End
NA RAYMOND MINJA, IRINGA VIONGOZI mbalimbali, wakiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, jana walishiriki kumzika waziri wa zamani na mwanasiasa mkongwe nchini, Joseph Mungai, nyumbani kwake wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Mungai, aliyezaliwa Oktoba 24, 1943, alifariki dunia  Novemba 8, mwaka huu, jijini Dar es Salaam  baada ya kuugua kwa muda mfupi. Akizungumza katika ibada ya mazishi, Waziri wa Ardhi, Nyumba Maendeleo ya Makazi, Wiliamu Lukuvi, aliyemwakilisha Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, alisema  Mungai atakumbukwa kwa uongozi wake uliotukuka, hasa katika misingi mizuri ya Elimu ya Sekondari (MMES. Lukuvi alisema wakati Serikali ilipoanzisha suala la Sekondari za Kata, Mafinga na Mufindi kwa ujumla mwamko huo ulishaanza toka miaka ya 1980, ambayo kwa uongozi wake kama Mbunge alihamasisha wananchi kutoa michango, kufyatua matofali na kina mama kuchota maji, yote hiyo ni katika kufanikisha azma ya kusogeza elimu ya sekondari kwa watu wengi. “Alianza kuwa kiongozi akiwa na umri mdogo kuliko wanasiasa wote wa Mkoa wa Iringa wakati huo, lakini pia alikuwa kiunganishi pale kunapotokea misuguano yoyote, hakuwa na makuu na kama ulikuwa ukitaka ushauri basi utaupata kwa mzee wetu Mungai,” alisema. Akiongoza ibada ya mazishi,  Askofu  wa KKKT Dayosisi ya Iringa, Odenbang Mdegeka, alisema kila mwanadamu aishie chini ya hili jua anapaswa kuishi maisha ya kumuabudu Mungu na kuachana na tabia ya kuhukumiana hapa duniani, kwakuwa kila mtu atajibu dhambi zake akiwa mbinguni. Mdegela alisema Mungai ni kati ya viongozi wachache walioacha historia kubwa hapa nchini, kutokana na uongozi wake uliotukuka wa kupigania maendeleo ya Watanzania bila ubaguzi wa aina yoyote. “Leo tumempoteza mtu muhimu sana ndugu yangu Lukuvi, mimi na wewe tunapaswa kukaa chini na kuangalia mustakabali wa mkoa wetu wa Iringa, ameondoka mzee Siyovvela,  ameondoka Adam Sapi na leo ameondoka mzee wetu Mungai, sasa ni wakati wetu, kwani kwa Iringa tumebaki mimi na wewe, sasa tukutane kabla mwaka haujaisha ili kujadili jambo hili,” alisema Mdegella. SUMAYE Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, alisema Taifa limempoteza kiongozi makini aliyekuwa na uthubutu wa kutenda mambo bila ubaguzi na kusimamia kile anachokiamini katika kuwatumikia Watanzania. Alisema Mungai alikuwa ni mtu mchapakazi aliyekuwa na hoja alizozijenga na kuzisimamia kikamilifu, kwani alitamani sana kutenda mambo kwa haki bila kubaguana kiitikadi, bali alisimama katika haki. Alisema Chadema kimesikitiswa sana na kifo chake, kwani alikuwa ni mtu mpenda demokrasia, hivyo katika kumuenzi na kutambua mchango wake hapa nchini, wataendeleza kudumisha misingi mizuri ya demokrasia aliyokuwa akiishi marehemu Mungai. Luhavi Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Rajabu Luhavi,  alisema Mungai atakumbukwa kwa uongozi wake uliotukuka kwakuwatumikia Watanzania bila ubaguzi. “Alikuwa kiongozi mzuri tangu uongozi wa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Ametoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu, tunapaswa kuenzi yale mazuri waliyoyafanya na sisi tunaanzia pale  alipoishia.” Akizungumzia wasifu wa marehemu, Denis Mungai alisema kuwa Mungai  aliwahi kuwa Mbunge wa Mufindi kupitia CCM kwa miaka 35. Pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini enzi za utawala wa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na pia katika awamu za pili, tatu na nne. Baadhi ya nyadhifa alizowahi kushika kwa nyakati tofauti ni uwaziri wa iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni, Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. katika utawala wake, Mungai alifuta Umoja wa Michezo wa Shule za Msingi (UMISHUMTA) na Umoja wa Wabunge. Baadhi ya wabunge wa majimbo ya Mkoa wa Iringa walizungumzia Mungai, huku kila mmoja akisema alikuwa kiongozi mkweli aliyesimamia alilokuwa analiamini. Kwa upande wake, Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi, alisema watu wa Mafinga na Mufindi kwa ujumla wamempoteza mtu muhimu sana, kwani atakumbukwa kwa mengi aliyofanya, hasa mwamko na kuisogeza elimu ya sekondari kwa watu wa kawaida kupitia Mufindi Education Trust-MET. Chumi alisema wakati Serikali ilipoanzisha suala la Sekondari za Kata, Mafinga na Mufindi kwa ujumla mwamko huo ulishaanza toka miaka ya 1980, ambayo kwa uongozi wake kama Mbunge alihamasisha wananchi kutoa michango, kufyatua matofali na kina mama kuchota maji katika kufanikisha azma  ya kusogeza elimu ya sekondari kwa watu wengi. “Kwa jitihada za mzee Mungai Mufindi ndiyo Wilaya ya Kwanza hapa nchini kuwa na Benki ya Wananchi, yaani Community Bank (Mucoba), ambayo imeendelea kuwa kimbilio la tabaka la chini na kati katika suala zima la mikopo na huduma za kibenki. Mimi nawaombea faraja wanafamilia wote katika kipindi hiki cha majonzi, Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi, Amina,” alisema Chumi. MSIGWA Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema), alisema Mungai alikuwa kiongozi wa wazi asiyegopa kusimamia ukweli.  
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA RAYMOND MINJA, IRINGA VIONGOZI mbalimbali, wakiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, jana walishiriki kumzika waziri wa zamani na mwanasiasa mkongwe nchini, Joseph Mungai, nyumbani kwake wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Mungai, aliyezaliwa Oktoba 24, 1943, alifariki dunia  Novemba 8, mwaka huu, jijini Dar es Salaam  baada ya kuugua kwa muda mfupi. Akizungumza katika ibada ya mazishi, Waziri wa Ardhi, Nyumba Maendeleo ya Makazi, Wiliamu Lukuvi, aliyemwakilisha Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, alisema  Mungai atakumbukwa kwa uongozi wake uliotukuka, hasa katika misingi mizuri ya Elimu ya Sekondari (MMES. Lukuvi alisema wakati Serikali ilipoanzisha suala la Sekondari za Kata, Mafinga na Mufindi kwa ujumla mwamko huo ulishaanza toka miaka ya 1980, ambayo kwa uongozi wake kama Mbunge alihamasisha wananchi kutoa michango, kufyatua matofali na kina mama kuchota maji, yote hiyo ni katika kufanikisha azma ya kusogeza elimu ya sekondari kwa watu wengi. “Alianza kuwa kiongozi akiwa na umri mdogo kuliko wanasiasa wote wa Mkoa wa Iringa wakati huo, lakini pia alikuwa kiunganishi pale kunapotokea misuguano yoyote, hakuwa na makuu na kama ulikuwa ukitaka ushauri basi utaupata kwa mzee wetu Mungai,” alisema. Akiongoza ibada ya mazishi,  Askofu  wa KKKT Dayosisi ya Iringa, Odenbang Mdegeka, alisema kila mwanadamu aishie chini ya hili jua anapaswa kuishi maisha ya kumuabudu Mungu na kuachana na tabia ya kuhukumiana hapa duniani, kwakuwa kila mtu atajibu dhambi zake akiwa mbinguni. Mdegela alisema Mungai ni kati ya viongozi wachache walioacha historia kubwa hapa nchini, kutokana na uongozi wake uliotukuka wa kupigania maendeleo ya Watanzania bila ubaguzi wa aina yoyote. “Leo tumempoteza mtu muhimu sana ndugu yangu Lukuvi, mimi na wewe tunapaswa kukaa chini na kuangalia mustakabali wa mkoa wetu wa Iringa, ameondoka mzee Siyovvela,  ameondoka Adam Sapi na leo ameondoka mzee wetu Mungai, sasa ni wakati wetu, kwani kwa Iringa tumebaki mimi na wewe, sasa tukutane kabla mwaka haujaisha ili kujadili jambo hili,” alisema Mdegella. SUMAYE Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, alisema Taifa limempoteza kiongozi makini aliyekuwa na uthubutu wa kutenda mambo bila ubaguzi na kusimamia kile anachokiamini katika kuwatumikia Watanzania. Alisema Mungai alikuwa ni mtu mchapakazi aliyekuwa na hoja alizozijenga na kuzisimamia kikamilifu, kwani alitamani sana kutenda mambo kwa haki bila kubaguana kiitikadi, bali alisimama katika haki. Alisema Chadema kimesikitiswa sana na kifo chake, kwani alikuwa ni mtu mpenda demokrasia, hivyo katika kumuenzi na kutambua mchango wake hapa nchini, wataendeleza kudumisha misingi mizuri ya demokrasia aliyokuwa akiishi marehemu Mungai. Luhavi Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Rajabu Luhavi,  alisema Mungai atakumbukwa kwa uongozi wake uliotukuka kwakuwatumikia Watanzania bila ubaguzi. “Alikuwa kiongozi mzuri tangu uongozi wa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Ametoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu, tunapaswa kuenzi yale mazuri waliyoyafanya na sisi tunaanzia pale  alipoishia.” Akizungumzia wasifu wa marehemu, Denis Mungai alisema kuwa Mungai  aliwahi kuwa Mbunge wa Mufindi kupitia CCM kwa miaka 35. Pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini enzi za utawala wa hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na pia katika awamu za pili, tatu na nne. Baadhi ya nyadhifa alizowahi kushika kwa nyakati tofauti ni uwaziri wa iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni, Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. katika utawala wake, Mungai alifuta Umoja wa Michezo wa Shule za Msingi (UMISHUMTA) na Umoja wa Wabunge. Baadhi ya wabunge wa majimbo ya Mkoa wa Iringa walizungumzia Mungai, huku kila mmoja akisema alikuwa kiongozi mkweli aliyesimamia alilokuwa analiamini. Kwa upande wake, Mbunge wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi, alisema watu wa Mafinga na Mufindi kwa ujumla wamempoteza mtu muhimu sana, kwani atakumbukwa kwa mengi aliyofanya, hasa mwamko na kuisogeza elimu ya sekondari kwa watu wa kawaida kupitia Mufindi Education Trust-MET. Chumi alisema wakati Serikali ilipoanzisha suala la Sekondari za Kata, Mafinga na Mufindi kwa ujumla mwamko huo ulishaanza toka miaka ya 1980, ambayo kwa uongozi wake kama Mbunge alihamasisha wananchi kutoa michango, kufyatua matofali na kina mama kuchota maji katika kufanikisha azma  ya kusogeza elimu ya sekondari kwa watu wengi. “Kwa jitihada za mzee Mungai Mufindi ndiyo Wilaya ya Kwanza hapa nchini kuwa na Benki ya Wananchi, yaani Community Bank (Mucoba), ambayo imeendelea kuwa kimbilio la tabaka la chini na kati katika suala zima la mikopo na huduma za kibenki. Mimi nawaombea faraja wanafamilia wote katika kipindi hiki cha majonzi, Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi, Amina,” alisema Chumi. MSIGWA Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema), alisema Mungai alikuwa kiongozi wa wazi asiyegopa kusimamia ukweli.   ### Response: KITAIFA ### End
Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro (Chadema) amejiuzulu nyadhifa zote na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), Meya huyo amejiuzulu siku nne kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kufanyika nchini kote Jumapili, huku CCM Mkoa Arusha ikiwa imeshazoa ushindi mkubwa katika maeneo mengi.Calist alijiunga na CCM na kupokewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, Dar es Salaam jana. Polepole alithibitisha jana kumpokea Calist, akisema CCM wamepata heshima kubwa, kumpata kiongozi aliyesimamia maslahi ya watu katika uongozi wake muda wote huko Arusha.“Leo tunayo surprise. Katika Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa. Tumepata kiongozi mkubwa mwenye heshima kubwa anayetetea maslahi ya watu wakati wote. Kiongozi huyu ametambua kazi nzuri inayofanyika chini ya Rais Magufuli, ameiona kazi hii kwa macho yake, ameisikia kazi hii kwa masikio yake mwenyewe na leo ameamua bila kushurutishwa, kwa utashi wake mwenyewe, kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Rais Magufuli, “alisema.Meya huyo alifika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam, kueleza amefikia uamuzi huo, baada ya kupitia wakati mgumu akiwa katika wadhifa wake. Alisema amepokea barua za maonyo mara kadhaa kutoka uongozi wa chama chake cha zamani, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zilizomtaka kutokutoa ushirikiano kwa viongozi wa Serikali, ambao anatakiwa kufanya nao kazi ngazi ya mkoa na Wilaya na kutompongeza hadharani Rais John Magufuli.“Jiji la Arusha lilikuwa na miradi mingi kuliko mkoa wowote, lakini kila ukitaka kumsifu Rais, nimekuwa naletewa barua ya kunionya. Nakaa upande wa CCM ili niweze kumpongeza Rais, “ alisema na kuongeza ameshakabidhi nyaraka zote za uongozi kama Meya kwa Mkurugenzi.“Vitisho vya mara kwa mara ikiwemo vile dhidi ya uhai wangu, ndio vimepelekea kujivua nafasi zangu zote Chadema na kujiunga na CCM, chama ambacho kinashughulika na utatuzi wa kero za wananchi,” alisema Calist akiwa hapo Lumumba.Alisema pia amechukizwa na Chadema, kujitoa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, akiita kitendo hicho ni uvunjaji wa demokrasia. Alisema wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, walijifungia kwa saa mbili, lakini uamuzi wao uliwanyima mamilioni ya wapenda demokrasia nchini haki ya kushiriki katika uchaguzi huo, utakaofanyika Novemba 24, mwaka huu. |”Chadema imejiondoa kwenye uchaguzi.Mimi nabaki kwenye timu inayobaki, CCM”, alisema. Alisema sasa yuko tayari, kuchapa kazi ya wananchi akiwa ndani ya Chama ya Mapinduzi, na yuko tayari kwa maelekezo ya kazi kutoka uongozi wa CCM kwa nafasi atakayopewa. Calist kwa kujiunga na CCM amejiuzulu nafasi ya Udiwani, Umeya wa Jiji la Arusha, Uenyekiti wa Mameya na Madiwani wote wa Chadema nchini na Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.Polepole alisema Calist atapokelewa rasmi na wanachama wa CCM Mkoa wa Arusha, katika tarehe itakayopangwa hivi karibuni. Alisema ingawa CCM ilishafunga dirisha la kuwapokea watu kutoka upinzani siku nyingi zilizopita, viongozi wa juu wa CCM wamempa agizo la kumpokea Calist, kwa sababu alikuwa kiongozi aliyewatumikia watu bila kujali chama.“Alikuwa anatekeleza kwa vitendo dhana ya maendeleo hayana chama, hivyo viongozi wakuu wa Chama wameniagiza nimpokee kwa heshima ingawa dirisha dogo tulishalifunga, “ alisema.KWA UFUPIKisiasa Calist alianza siasa akiwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni One kwa tiketi ya chama cha upinzani cha TLP, kinachoongozwa na Augustine Mrema. Wakati huo Calist alikuwa pia Mwenyekiti wa TLP wa Wilaya ya Arusha.Mwaka 2013 alihama TLP na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, ambapo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Sokoni One na kisha Meya kwa tiketi ya Chadema.Meya huyo anasifika kwa utendaji kazi na pia nguvu kubwa ya ushawishi wa kisiasa, hali iliyofanya apewe jina la utani la George Bush, kutokana na uwezo mkubwa wa kujenga hoja zake. George Bush ni Rais wa zamani wa Marekani. Calist alisoma Shule ya Sekondari Mlale iliyopo Babati Mkoa wa Manyara. Kwa sasa ni mfanyabiashara maarufu wa masuala ya utalii na anamiliki kampuni ya utalii.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro (Chadema) amejiuzulu nyadhifa zote na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), Meya huyo amejiuzulu siku nne kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kufanyika nchini kote Jumapili, huku CCM Mkoa Arusha ikiwa imeshazoa ushindi mkubwa katika maeneo mengi.Calist alijiunga na CCM na kupokewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, Dar es Salaam jana. Polepole alithibitisha jana kumpokea Calist, akisema CCM wamepata heshima kubwa, kumpata kiongozi aliyesimamia maslahi ya watu katika uongozi wake muda wote huko Arusha.“Leo tunayo surprise. Katika Uchaguzi huu wa Serikali za mitaa. Tumepata kiongozi mkubwa mwenye heshima kubwa anayetetea maslahi ya watu wakati wote. Kiongozi huyu ametambua kazi nzuri inayofanyika chini ya Rais Magufuli, ameiona kazi hii kwa macho yake, ameisikia kazi hii kwa masikio yake mwenyewe na leo ameamua bila kushurutishwa, kwa utashi wake mwenyewe, kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Chama cha Mapinduzi na Serikali ya Rais Magufuli, “alisema.Meya huyo alifika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam, kueleza amefikia uamuzi huo, baada ya kupitia wakati mgumu akiwa katika wadhifa wake. Alisema amepokea barua za maonyo mara kadhaa kutoka uongozi wa chama chake cha zamani, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zilizomtaka kutokutoa ushirikiano kwa viongozi wa Serikali, ambao anatakiwa kufanya nao kazi ngazi ya mkoa na Wilaya na kutompongeza hadharani Rais John Magufuli.“Jiji la Arusha lilikuwa na miradi mingi kuliko mkoa wowote, lakini kila ukitaka kumsifu Rais, nimekuwa naletewa barua ya kunionya. Nakaa upande wa CCM ili niweze kumpongeza Rais, “ alisema na kuongeza ameshakabidhi nyaraka zote za uongozi kama Meya kwa Mkurugenzi.“Vitisho vya mara kwa mara ikiwemo vile dhidi ya uhai wangu, ndio vimepelekea kujivua nafasi zangu zote Chadema na kujiunga na CCM, chama ambacho kinashughulika na utatuzi wa kero za wananchi,” alisema Calist akiwa hapo Lumumba.Alisema pia amechukizwa na Chadema, kujitoa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, akiita kitendo hicho ni uvunjaji wa demokrasia. Alisema wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, walijifungia kwa saa mbili, lakini uamuzi wao uliwanyima mamilioni ya wapenda demokrasia nchini haki ya kushiriki katika uchaguzi huo, utakaofanyika Novemba 24, mwaka huu. |”Chadema imejiondoa kwenye uchaguzi.Mimi nabaki kwenye timu inayobaki, CCM”, alisema. Alisema sasa yuko tayari, kuchapa kazi ya wananchi akiwa ndani ya Chama ya Mapinduzi, na yuko tayari kwa maelekezo ya kazi kutoka uongozi wa CCM kwa nafasi atakayopewa. Calist kwa kujiunga na CCM amejiuzulu nafasi ya Udiwani, Umeya wa Jiji la Arusha, Uenyekiti wa Mameya na Madiwani wote wa Chadema nchini na Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.Polepole alisema Calist atapokelewa rasmi na wanachama wa CCM Mkoa wa Arusha, katika tarehe itakayopangwa hivi karibuni. Alisema ingawa CCM ilishafunga dirisha la kuwapokea watu kutoka upinzani siku nyingi zilizopita, viongozi wa juu wa CCM wamempa agizo la kumpokea Calist, kwa sababu alikuwa kiongozi aliyewatumikia watu bila kujali chama.“Alikuwa anatekeleza kwa vitendo dhana ya maendeleo hayana chama, hivyo viongozi wakuu wa Chama wameniagiza nimpokee kwa heshima ingawa dirisha dogo tulishalifunga, “ alisema.KWA UFUPIKisiasa Calist alianza siasa akiwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni One kwa tiketi ya chama cha upinzani cha TLP, kinachoongozwa na Augustine Mrema. Wakati huo Calist alikuwa pia Mwenyekiti wa TLP wa Wilaya ya Arusha.Mwaka 2013 alihama TLP na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, ambapo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Sokoni One na kisha Meya kwa tiketi ya Chadema.Meya huyo anasifika kwa utendaji kazi na pia nguvu kubwa ya ushawishi wa kisiasa, hali iliyofanya apewe jina la utani la George Bush, kutokana na uwezo mkubwa wa kujenga hoja zake. George Bush ni Rais wa zamani wa Marekani. Calist alisoma Shule ya Sekondari Mlale iliyopo Babati Mkoa wa Manyara. Kwa sasa ni mfanyabiashara maarufu wa masuala ya utalii na anamiliki kampuni ya utalii. ### Response: KITAIFA ### End
NA RHOBI CHACHA, DARE S SALAAM MWIGIZAJI wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema kuwa mwanaume aliyemvisha pete ndiye aliyeridhika naye kutoka moyoni. Akizungumza na MTANZANIA, Wastara alisema amekaa na kuchunguza ni mwanaume gani anayeweza kuwa naye katika maisha baada ya mume wake, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kufariki dunia na ndipo alipompata kijana mmoja wa Kiarabu (jina linahifadhiwa). “Kama nilivyosema siwezi kukurupuka kuolewa na mwanaume ambaye sijaridhika naye kutoka moyoni, hivyo nashukuru kumpata mwanaume mwenye sifa ninazotaka, namshukuru Mungu,” alisema Wastara.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA RHOBI CHACHA, DARE S SALAAM MWIGIZAJI wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema kuwa mwanaume aliyemvisha pete ndiye aliyeridhika naye kutoka moyoni. Akizungumza na MTANZANIA, Wastara alisema amekaa na kuchunguza ni mwanaume gani anayeweza kuwa naye katika maisha baada ya mume wake, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kufariki dunia na ndipo alipompata kijana mmoja wa Kiarabu (jina linahifadhiwa). “Kama nilivyosema siwezi kukurupuka kuolewa na mwanaume ambaye sijaridhika naye kutoka moyoni, hivyo nashukuru kumpata mwanaume mwenye sifa ninazotaka, namshukuru Mungu,” alisema Wastara. ### Response: BURUDANI ### End
Na Aziza Masoud-Dar es Salaam SERIKALI imesitisha mwongozo wa Novemba mwaka jana uliowataka wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji kurudisha mihuri, hadi utaratibu mzuri wa kutekeleza agizo hilo utakapopangwa. Umuzi huo wa Serikali umekuja siku moja baada ya wenyeviti hao wa Mkoa wa Dar es Salaam kutangaza kususia shughuli za maendeleo kwenye mitaa yao ikiwemo kufichua wahalifu. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  (Tamisemi), George Simbachawene,  alisema kusitishwa kwa mwongozo huo kumetokana na  baadhi ya wenyeviti kulichukulia agizo hilo kama hujuma za  kutaka kupokwa madaraka waliyonayo katika maeneo yao jambo ambalo si kweli. “Nasitisha mwongozo uliotolewa hadi tutakaposhirikiana na wahusika kuona namna bora ya kuutumia, lakini wahusika wanapaswa kufahamu kwamba hatukuwa na nia mbaya bali lengo lilikuwa ni kuwabana wenyeviti  wasio waaminifu. “Suala hili limetuletea madhara makubwa kwa ngazi ya Serikali za Mitaa mpaka kuna watu wametangaza kwenda mahakamani kuhoji hatua hii na wengine wanaendelea kufanya mikutano katika maeneo yao. “Kwa hali hiyo nafuta mwongozo huu  ili wenyeviti mwendelee kuwa na mihuri mpaka tutakaposhirikiana kuona namna bora ya kutumia agizo hili,” alisema Simbachawene. Alisema Serikali iliamua kuweka mwongozo huo kwa lengo la kupunguza migogoro mbalimbali inayojitokeza hasa ya ardhi inayotokana na wenyeviti ambao wanatumia mihuri hiyo kumilikisha watu maeneo kinyume cha sheria. Alisema katika maeneo ya vijijini wapo baadhi ya wenyeviti  wa vijiji ambao wanatoa vibali vya ufugaji kwa  kutumia mihuri hiyo. “Mtu akishapatiwa eneo na kupewa karatasi yenye muhuri wa Serikali ya Mtaaa ama kijiji  ambao una nembo ya  Serikali anatumia karatasi hiyo kama silaha za kupata uhalali wa kumiliki eneo husika hata kama kapatiwa kinyume na sheria kwa hivyo hii mihuri mnaitaka kwa sababu tu ya faida zenu chanya, ” alisema Simbachawene. Alisema Sheria ya Mipango Miji namba nane ya mwaka 2007 inaonyesha maeneo ya mipango miji yanayopaswa kuwa wazi lakini wenyeviti kwa kutumia mihuri wamekuwa wakishiriki kuuza maeneo hayo. “Tumefika hapa kwa sababu ya mazoea tuliyonayo baadhi ya wenyeviti wamekuwa wakitembea na mihuri mifukoni  na kuwagongea watu kuwatambulisha hata wasio husika na kuuza viwanja vya Serikali jambo ambalo si sawa,” alisema Simbachawene. Alisema Wenyeviti wa Serikali za Mitaa si lazima kumiliki muhuri kisheria kwa mujibu wa tangazo la Serikali namba tatu la mwaka 1994  linaelekeza vifaa anavyopaswa kumiliki  kiongozi huyo ambavyo ni bendera, orodha ya wakazi wa eneo husika na daftari la kumbukumbu. “Mimi naona pengine tumetofautiana katika tafsiri katika jambo hili, mtu anayegonga muhuri lazima awe na kibali anachokitoa kisheria na si vinginevyo,” alisema Simbachawene. Aliongeza si kweli kwamba kutokuwa na muhuri kutamfanya mwenyekiti ashindwe kufanya shughuli zake za kila siku kwa kuwa kila kinachofanyika kuhusu mtaa anapaswa kushirikiana na mtendaji ambaye anamiliki muhuri. “Tukisema kila mtu awe na muhuri haiwezekani, mfano Rais Dk. John Magufuli hana muhuri, akitaka muhuri anaenda kwa Katibu Mkuu Kiongozi huo ndiyo utaratibu sasa kwa wenzetu hawa kwa kuwa wameshazoea kumiliki vitu hivi wanaona kama wanaonewa,” alisema Simbachawene. Naye Katibu wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa  Mkoa wa Dar es Salaam,  Mariam Machacha,  alisema wamefurahishwa na uamuzi huo wa Serikali na kwamba wanaamini jambo hilo litafanyiwa kazi kwa ufasaha. Tangu kuanza kwa mgogoro huo wenyeviti wa mikoa mbalimbali nchini wameingia katika mvutano mkali na watendaji wa mikoa na wilaya huku wengine wakitishia kujiuzulu nyadhifa zao. Juzi wenyeviti wa serikali za mitaa wa Mkoa wa Dar es Salaam zaidi ya 500 walitoa tamko la kutishia  kuachia nyadhifa zao pamoja na kwenda mahamakani kuomba tafsiri ya kisheria kuhusu viongozi hao kumiliki mihuri.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Aziza Masoud-Dar es Salaam SERIKALI imesitisha mwongozo wa Novemba mwaka jana uliowataka wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji kurudisha mihuri, hadi utaratibu mzuri wa kutekeleza agizo hilo utakapopangwa. Umuzi huo wa Serikali umekuja siku moja baada ya wenyeviti hao wa Mkoa wa Dar es Salaam kutangaza kususia shughuli za maendeleo kwenye mitaa yao ikiwemo kufichua wahalifu. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  (Tamisemi), George Simbachawene,  alisema kusitishwa kwa mwongozo huo kumetokana na  baadhi ya wenyeviti kulichukulia agizo hilo kama hujuma za  kutaka kupokwa madaraka waliyonayo katika maeneo yao jambo ambalo si kweli. “Nasitisha mwongozo uliotolewa hadi tutakaposhirikiana na wahusika kuona namna bora ya kuutumia, lakini wahusika wanapaswa kufahamu kwamba hatukuwa na nia mbaya bali lengo lilikuwa ni kuwabana wenyeviti  wasio waaminifu. “Suala hili limetuletea madhara makubwa kwa ngazi ya Serikali za Mitaa mpaka kuna watu wametangaza kwenda mahakamani kuhoji hatua hii na wengine wanaendelea kufanya mikutano katika maeneo yao. “Kwa hali hiyo nafuta mwongozo huu  ili wenyeviti mwendelee kuwa na mihuri mpaka tutakaposhirikiana kuona namna bora ya kutumia agizo hili,” alisema Simbachawene. Alisema Serikali iliamua kuweka mwongozo huo kwa lengo la kupunguza migogoro mbalimbali inayojitokeza hasa ya ardhi inayotokana na wenyeviti ambao wanatumia mihuri hiyo kumilikisha watu maeneo kinyume cha sheria. Alisema katika maeneo ya vijijini wapo baadhi ya wenyeviti  wa vijiji ambao wanatoa vibali vya ufugaji kwa  kutumia mihuri hiyo. “Mtu akishapatiwa eneo na kupewa karatasi yenye muhuri wa Serikali ya Mtaaa ama kijiji  ambao una nembo ya  Serikali anatumia karatasi hiyo kama silaha za kupata uhalali wa kumiliki eneo husika hata kama kapatiwa kinyume na sheria kwa hivyo hii mihuri mnaitaka kwa sababu tu ya faida zenu chanya, ” alisema Simbachawene. Alisema Sheria ya Mipango Miji namba nane ya mwaka 2007 inaonyesha maeneo ya mipango miji yanayopaswa kuwa wazi lakini wenyeviti kwa kutumia mihuri wamekuwa wakishiriki kuuza maeneo hayo. “Tumefika hapa kwa sababu ya mazoea tuliyonayo baadhi ya wenyeviti wamekuwa wakitembea na mihuri mifukoni  na kuwagongea watu kuwatambulisha hata wasio husika na kuuza viwanja vya Serikali jambo ambalo si sawa,” alisema Simbachawene. Alisema Wenyeviti wa Serikali za Mitaa si lazima kumiliki muhuri kisheria kwa mujibu wa tangazo la Serikali namba tatu la mwaka 1994  linaelekeza vifaa anavyopaswa kumiliki  kiongozi huyo ambavyo ni bendera, orodha ya wakazi wa eneo husika na daftari la kumbukumbu. “Mimi naona pengine tumetofautiana katika tafsiri katika jambo hili, mtu anayegonga muhuri lazima awe na kibali anachokitoa kisheria na si vinginevyo,” alisema Simbachawene. Aliongeza si kweli kwamba kutokuwa na muhuri kutamfanya mwenyekiti ashindwe kufanya shughuli zake za kila siku kwa kuwa kila kinachofanyika kuhusu mtaa anapaswa kushirikiana na mtendaji ambaye anamiliki muhuri. “Tukisema kila mtu awe na muhuri haiwezekani, mfano Rais Dk. John Magufuli hana muhuri, akitaka muhuri anaenda kwa Katibu Mkuu Kiongozi huo ndiyo utaratibu sasa kwa wenzetu hawa kwa kuwa wameshazoea kumiliki vitu hivi wanaona kama wanaonewa,” alisema Simbachawene. Naye Katibu wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa  Mkoa wa Dar es Salaam,  Mariam Machacha,  alisema wamefurahishwa na uamuzi huo wa Serikali na kwamba wanaamini jambo hilo litafanyiwa kazi kwa ufasaha. Tangu kuanza kwa mgogoro huo wenyeviti wa mikoa mbalimbali nchini wameingia katika mvutano mkali na watendaji wa mikoa na wilaya huku wengine wakitishia kujiuzulu nyadhifa zao. Juzi wenyeviti wa serikali za mitaa wa Mkoa wa Dar es Salaam zaidi ya 500 walitoa tamko la kutishia  kuachia nyadhifa zao pamoja na kwenda mahamakani kuomba tafsiri ya kisheria kuhusu viongozi hao kumiliki mihuri. ### Response: KITAIFA ### End
  NA CHRISTOPHER MSEKENA RAPA mahiri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amesema endapo kitendo alichokifanya Ommy Dimpoz cha kuweka picha ya mzazi wa Diamond Platnumz kwenye Instagram yake, angefanyiwa yeye basi pangechimbika. Mitego anayefanya poa na wimbo wake mpya, ‘Makuzi’ ameliambia ShowBiz kuwa anampenda sana mama yake mzazi hivyo adui anaweza kumtukana yeye au watoto wake kadiri awezavyo lakini asimtukane mama yake mzazi. “Ilinibidi niandike yale maneno ya kuwaonya kwa sababu nampenda mama yangu, unajua unaweza kupata laana kwa kumtukana mwanamke yeyote yule mwenye uchungu wa kuzaa siyo lazima awe mama yako,” alisena Nay wa Mitego.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --   NA CHRISTOPHER MSEKENA RAPA mahiri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amesema endapo kitendo alichokifanya Ommy Dimpoz cha kuweka picha ya mzazi wa Diamond Platnumz kwenye Instagram yake, angefanyiwa yeye basi pangechimbika. Mitego anayefanya poa na wimbo wake mpya, ‘Makuzi’ ameliambia ShowBiz kuwa anampenda sana mama yake mzazi hivyo adui anaweza kumtukana yeye au watoto wake kadiri awezavyo lakini asimtukane mama yake mzazi. “Ilinibidi niandike yale maneno ya kuwaonya kwa sababu nampenda mama yangu, unajua unaweza kupata laana kwa kumtukana mwanamke yeyote yule mwenye uchungu wa kuzaa siyo lazima awe mama yako,” alisena Nay wa Mitego. ### Response: BURUDANI ### End
Chanzo cha picha, Getty Images Real Madrid wameuliza kuhusu kupatikana kwa mshambuliaji wa Chelsea na Albania Armando Broja, 20, ambaye alicheza kwa mkopo Southampton msimu uliopita. (Standard) Beki wa Bayern Munich na Ufaransa Benjamin Pavard, 26, atakuwa tayari kujiunga na Chelsea ikiwa watatoa ofa nzuri. (Bild) Mshambuliaji wa Chelsea na Ujerumani Timo Werner, 26, amekubali kupunguzwa kwa mshahara kwa 50% ili kujiunga tena na RB Leipzig na ada ya mkopo yenye kipengele cha ununuzi inajadiliwa. (Bild - kwa Kijerumani) Chanzo cha picha, Getty Images Mchezaji wa kimataifa wa Uholanzi wa Barcelona Memphis Depay, 28, ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na Juventus. Klabu hiyoinataka kumnunua mshambuliaji huyo mpya, pamoja na Werner na mshambuliaji wa Atletico Madrid wa Uhispania Alvaro Morata, 29, lakini hakujakuwa na mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Tottenham na Depay. (Fabrizio Romano) Juventus pia wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial kutoka Manchester United kwa mkopo, lakini mkufunzi wa Mashetani Wekundu Erik ten Hag ana nia ya kumbakisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26. (Calciomercato - kwa Kiitaliano) Chanzo cha picha, Getty Images Manchester United wamekutana na wakala wa mchezaji wa Red Bull Salzburg Benjamin Sesko kuhusu uwezekano wa kumnunua mshambuliaji huyo wa Slovenia mwenye umri wa miaka 19. (Manchester Evening News) Hata hivyo, Salzburg wanataka angalau euro 65m (£55m) kwa Sesko, ambayo ni zaidi ya kile United wamejiandaa kulipa. (Telegraph - usajili unahitajika) Manchester City wamekanusha kuwa wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva, 27, kwa Barcelona baada ya ripoti kwamba kuondoka kwake kunaweza kufadhili mkataba wa kumnunua kiungo wa kati wa Lyon na Brazil Lucas Paqueta, 24. (Mail). Chanzo cha picha, Rex Features Chelsea wametoa ofa ya kwanza kwa Inter Milan kwa ajili ya kumnunua kiungo wao wa kati wa Italia Cesare Casadei, 19. (Gianluca di Marzio - kwa Kiitaliano) Everton wamepiga hatua katika mazungumzo ya kutaka kumsajili tena kiungo wa kati wa Uingereza Ross Barkley, 28, kutoka Chelsea, na pia wanataka kumchukua mshambuliaji wa Ubelgiji Michy Batshuayi na kiungo wa kati wa Scotland Billy Gilmour, 21, kutoka klabu hiyo ya Stamford Bridge. (90Min) Rennes wamekubali mkataba na Tottenham kumsaini beki wa Wales Joe Rodon, 24, kwa mkopo wa msimu mzima. (90Min) Chanzo cha picha, Getty Images Kiungo wa kati wa Wales Aaron Ramsey, 31, anavutiwa na vilabu vya MLS baada ya kusitishwa kwa kandarasi yake ya Juventus na tayari amekataa nafasi ya kuungana tena na mkufunzi wa zamani wa Juve Andrea Pirlo katika klabu ya Uturuki Fatih Karagumruk. (Mail) Mtendaji mkuu wa United, Richard Arnold ameunda chombo cha washauri kinachowahusisha meneja wa zamani Sir Alex Ferguson, mkurugenzi mkuu wa zamani David Gill, nahodha wa zamani Bryan Robson na mkurugenzi wa sasa wa kandanda John Murtough ili kutoa ushauri kuhusu masuala ikiwa ni pamoja na kuunda upya kambi ya mazoezi ya klabu hiyo ya Carrington. (Mail) Rais wa Barcelona Joan Laporta anasema kuna "uwezekano mkubwa" wa Frenkie de Jong anayelengwa na Manchester United kusalia katika klabu hiyo na "atajitahidi" kumbakisha kiungo huyo wa Uholanzi, 25. (CBS Sports). Chanzo cha picha, Getty Images Napoli wamewasiliana na Tottenham kuhusu uwezekano wa kumnunua kiungo wa kati wa Argentina Giovani lo Celso, 26. (Alfredo Pedulla - kwa Kiitaliano) Aston Villa wana matumaini kuwa kiungo wa kati wa Brazil Douglas Luiz atasaini mkataba mpya baada ya kuanza mazungumzo na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (Telegraph - usajili unahitajika)
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Getty Images Real Madrid wameuliza kuhusu kupatikana kwa mshambuliaji wa Chelsea na Albania Armando Broja, 20, ambaye alicheza kwa mkopo Southampton msimu uliopita. (Standard) Beki wa Bayern Munich na Ufaransa Benjamin Pavard, 26, atakuwa tayari kujiunga na Chelsea ikiwa watatoa ofa nzuri. (Bild) Mshambuliaji wa Chelsea na Ujerumani Timo Werner, 26, amekubali kupunguzwa kwa mshahara kwa 50% ili kujiunga tena na RB Leipzig na ada ya mkopo yenye kipengele cha ununuzi inajadiliwa. (Bild - kwa Kijerumani) Chanzo cha picha, Getty Images Mchezaji wa kimataifa wa Uholanzi wa Barcelona Memphis Depay, 28, ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na Juventus. Klabu hiyoinataka kumnunua mshambuliaji huyo mpya, pamoja na Werner na mshambuliaji wa Atletico Madrid wa Uhispania Alvaro Morata, 29, lakini hakujakuwa na mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Tottenham na Depay. (Fabrizio Romano) Juventus pia wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial kutoka Manchester United kwa mkopo, lakini mkufunzi wa Mashetani Wekundu Erik ten Hag ana nia ya kumbakisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26. (Calciomercato - kwa Kiitaliano) Chanzo cha picha, Getty Images Manchester United wamekutana na wakala wa mchezaji wa Red Bull Salzburg Benjamin Sesko kuhusu uwezekano wa kumnunua mshambuliaji huyo wa Slovenia mwenye umri wa miaka 19. (Manchester Evening News) Hata hivyo, Salzburg wanataka angalau euro 65m (£55m) kwa Sesko, ambayo ni zaidi ya kile United wamejiandaa kulipa. (Telegraph - usajili unahitajika) Manchester City wamekanusha kuwa wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva, 27, kwa Barcelona baada ya ripoti kwamba kuondoka kwake kunaweza kufadhili mkataba wa kumnunua kiungo wa kati wa Lyon na Brazil Lucas Paqueta, 24. (Mail). Chanzo cha picha, Rex Features Chelsea wametoa ofa ya kwanza kwa Inter Milan kwa ajili ya kumnunua kiungo wao wa kati wa Italia Cesare Casadei, 19. (Gianluca di Marzio - kwa Kiitaliano) Everton wamepiga hatua katika mazungumzo ya kutaka kumsajili tena kiungo wa kati wa Uingereza Ross Barkley, 28, kutoka Chelsea, na pia wanataka kumchukua mshambuliaji wa Ubelgiji Michy Batshuayi na kiungo wa kati wa Scotland Billy Gilmour, 21, kutoka klabu hiyo ya Stamford Bridge. (90Min) Rennes wamekubali mkataba na Tottenham kumsaini beki wa Wales Joe Rodon, 24, kwa mkopo wa msimu mzima. (90Min) Chanzo cha picha, Getty Images Kiungo wa kati wa Wales Aaron Ramsey, 31, anavutiwa na vilabu vya MLS baada ya kusitishwa kwa kandarasi yake ya Juventus na tayari amekataa nafasi ya kuungana tena na mkufunzi wa zamani wa Juve Andrea Pirlo katika klabu ya Uturuki Fatih Karagumruk. (Mail) Mtendaji mkuu wa United, Richard Arnold ameunda chombo cha washauri kinachowahusisha meneja wa zamani Sir Alex Ferguson, mkurugenzi mkuu wa zamani David Gill, nahodha wa zamani Bryan Robson na mkurugenzi wa sasa wa kandanda John Murtough ili kutoa ushauri kuhusu masuala ikiwa ni pamoja na kuunda upya kambi ya mazoezi ya klabu hiyo ya Carrington. (Mail) Rais wa Barcelona Joan Laporta anasema kuna "uwezekano mkubwa" wa Frenkie de Jong anayelengwa na Manchester United kusalia katika klabu hiyo na "atajitahidi" kumbakisha kiungo huyo wa Uholanzi, 25. (CBS Sports). Chanzo cha picha, Getty Images Napoli wamewasiliana na Tottenham kuhusu uwezekano wa kumnunua kiungo wa kati wa Argentina Giovani lo Celso, 26. (Alfredo Pedulla - kwa Kiitaliano) Aston Villa wana matumaini kuwa kiungo wa kati wa Brazil Douglas Luiz atasaini mkataba mpya baada ya kuanza mazungumzo na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (Telegraph - usajili unahitajika) ### Response: MICHEZO ### End
Simba ilikuwa mgeni wa Kagera Sugar kwenye uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mechi hiyo ya Ligi Kuu ambapo ilifungwa mabao 2-1, siku chache baadae ilipeleka malalamiko kwa Kamati ya Saa 72 ikitaka kupewa pointi tatu kwa vile Kagera ilimtumia Mohamed Fakhi katika mechi hiyo huku akiwa na kadi tatu za njano. Jambo hilo lilipingwa na Kagera ambao walidai mchezaji wao hakuwa na kadi tatu na kuomba marejeo ya hukumu hiyo ambapo TFF iliipa Kamati ya Sheria na Hadhi kwa wachezaji kufanya marejeo.Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa alisema maamuzi ya kamati hiyo yamebatilishwa kwa sababu Simba ilichelewa kukata rufaa na pia haikuilipia Sh 500,000 kama sheria zinavyotaka, hivyo maamuzi yanabaki ya uwanjani licha ya kubaini kweli Fakhi alikuwa na kadi tatu za njano kabla ya mechi hiyo na hivyo atatumikia adhabu katika mechi ijayo.Akizungumza Dar es Salaam jana, Makamu mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ alisema hawataachia hukumu hiyo ipite hivihivi na kwamba wanajipanga kuipinga mbali zaidi kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).“Kwanza sisi hatukukata rufaa, tulipeleka malalamiko ambayo huwa hayalipiwi, lakini suala letu ni la kikanuni zaidi, hata tusingekata rufaa maamuzi ya kupokwa pointi kwa timu husika yalipaswa kufanywa,” alisema Kaburu.“Hizo taarifa hata sisi tumezisikia kwa vyombo vya habari, tunasubiri taarifa rasmi kisha tuone tunafanya nini kwa sababu tunaamini hakuna chombe chochote kinachoweza kufanya maamuzi nje ya kanuni… kama wamekiri mchezaji ana kadi tatu maana yake kikanuni tuna haki ya kupewa pointi tatu,” alisema. Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu, kanuni namba 25c kuhusu udhibiti wa wachezaji inasema mchezaji atakayeonywa kwa kadi ya njano katika michezo mitatu mfululizo hatoruhusiwa kucheza mchezo unaofuata.Kipengele D kinasema: Klabu zinatakiwa kutunza kumbukumbu za wachezaji wake waliooneshwa kadi, klabu itakayomchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano au nyekundu itapoteza mchezo na timu pinzani itapewa pointi tatu na mabao matatu, halikadhalika mchezaji anatakiwa atunze kumbukumbu zake za kadi iwapo kama atacheza akiwa anatakiwa kutocheza kwa ajili ya kadi tatu za njano au moja nyekundu yimu yake itapoteza mchezo.Akizungumzia maamuzi hayo, Mwenyekiti wa kamati ya masaa 72, Hamad Yahaya alisema walitoa maamuzi kwa mujibu wa kanuni na kwa yaliyotokea wanahitaji kukutana kuona hatima yake. “Tutawajulisha waandishi, tutakutana kujadili suala hilo, lakini kamati yetu ilibaini mchezaji ana kadi tatu za njano na tukatoa maamuzi kwa mujibu wa kanuni, mambo mengine yaliyotokea nitakutana na watendaji wangu, wajumbe wenzangu tutajadili,” alisema.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Simba ilikuwa mgeni wa Kagera Sugar kwenye uwanja wa Kaitaba, Bukoba katika mechi hiyo ya Ligi Kuu ambapo ilifungwa mabao 2-1, siku chache baadae ilipeleka malalamiko kwa Kamati ya Saa 72 ikitaka kupewa pointi tatu kwa vile Kagera ilimtumia Mohamed Fakhi katika mechi hiyo huku akiwa na kadi tatu za njano. Jambo hilo lilipingwa na Kagera ambao walidai mchezaji wao hakuwa na kadi tatu na kuomba marejeo ya hukumu hiyo ambapo TFF iliipa Kamati ya Sheria na Hadhi kwa wachezaji kufanya marejeo.Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa alisema maamuzi ya kamati hiyo yamebatilishwa kwa sababu Simba ilichelewa kukata rufaa na pia haikuilipia Sh 500,000 kama sheria zinavyotaka, hivyo maamuzi yanabaki ya uwanjani licha ya kubaini kweli Fakhi alikuwa na kadi tatu za njano kabla ya mechi hiyo na hivyo atatumikia adhabu katika mechi ijayo.Akizungumza Dar es Salaam jana, Makamu mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ alisema hawataachia hukumu hiyo ipite hivihivi na kwamba wanajipanga kuipinga mbali zaidi kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).“Kwanza sisi hatukukata rufaa, tulipeleka malalamiko ambayo huwa hayalipiwi, lakini suala letu ni la kikanuni zaidi, hata tusingekata rufaa maamuzi ya kupokwa pointi kwa timu husika yalipaswa kufanywa,” alisema Kaburu.“Hizo taarifa hata sisi tumezisikia kwa vyombo vya habari, tunasubiri taarifa rasmi kisha tuone tunafanya nini kwa sababu tunaamini hakuna chombe chochote kinachoweza kufanya maamuzi nje ya kanuni… kama wamekiri mchezaji ana kadi tatu maana yake kikanuni tuna haki ya kupewa pointi tatu,” alisema. Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu, kanuni namba 25c kuhusu udhibiti wa wachezaji inasema mchezaji atakayeonywa kwa kadi ya njano katika michezo mitatu mfululizo hatoruhusiwa kucheza mchezo unaofuata.Kipengele D kinasema: Klabu zinatakiwa kutunza kumbukumbu za wachezaji wake waliooneshwa kadi, klabu itakayomchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano au nyekundu itapoteza mchezo na timu pinzani itapewa pointi tatu na mabao matatu, halikadhalika mchezaji anatakiwa atunze kumbukumbu zake za kadi iwapo kama atacheza akiwa anatakiwa kutocheza kwa ajili ya kadi tatu za njano au moja nyekundu yimu yake itapoteza mchezo.Akizungumzia maamuzi hayo, Mwenyekiti wa kamati ya masaa 72, Hamad Yahaya alisema walitoa maamuzi kwa mujibu wa kanuni na kwa yaliyotokea wanahitaji kukutana kuona hatima yake. “Tutawajulisha waandishi, tutakutana kujadili suala hilo, lakini kamati yetu ilibaini mchezaji ana kadi tatu za njano na tukatoa maamuzi kwa mujibu wa kanuni, mambo mengine yaliyotokea nitakutana na watendaji wangu, wajumbe wenzangu tutajadili,” alisema. ### Response: MICHEZO ### End
AGIZO la Serikali kupiga marufuku matumizi ya pombe kali za kwenye mifuko ya plastiki maarufu ‘viroba’, linatarajiwa kuathiri maelfu ya ajira za watu waliokuwa wakijipatia kipato kupitia kinywaji hicho. Kaimu Meneja Mkuu wa  Tanzania Distilleries Limited (TDL), ambayo ni kampuni tanzu ya TBL Group, Devis Deogratius amesema kampuni hiyo imeajiri zaidi ya watu 200 na wengine zaidi ya 360 wakiwa ni vibarua na ajira nyingine zisizo rasmi kupitia baa mbalimbali nchi nzima pamoja na wasambazaji wa jumla na rejareja wanaofaidika na viroba. Kwa upande wake Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage amesema viwanda pamoja na wazalishaji wa pombe za ‘viroba’ wanatakiwa kufuata maagizo ya Serikali kuhusiana na uzalishaji wa pombe hiyo. “Kama kuna mzalishaji anayedhani kuna jambo lolote halipo sawa kwenye agizo hilo, awasilishe malalamiko yake Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira,” amesema Mwijage. Aidha baadhi ya wafanyabiashara wa vileo katika jiji la Arusha wamelalamikia uamuzi wa Serikali kupiga marufuku uuzaji wa ‘viroba’ kwa madai kuwa muda wa Februari Mosi uliotolewa kuviondoa viroba hivyo sokoni ni mfupi mno.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- AGIZO la Serikali kupiga marufuku matumizi ya pombe kali za kwenye mifuko ya plastiki maarufu ‘viroba’, linatarajiwa kuathiri maelfu ya ajira za watu waliokuwa wakijipatia kipato kupitia kinywaji hicho. Kaimu Meneja Mkuu wa  Tanzania Distilleries Limited (TDL), ambayo ni kampuni tanzu ya TBL Group, Devis Deogratius amesema kampuni hiyo imeajiri zaidi ya watu 200 na wengine zaidi ya 360 wakiwa ni vibarua na ajira nyingine zisizo rasmi kupitia baa mbalimbali nchi nzima pamoja na wasambazaji wa jumla na rejareja wanaofaidika na viroba. Kwa upande wake Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage amesema viwanda pamoja na wazalishaji wa pombe za ‘viroba’ wanatakiwa kufuata maagizo ya Serikali kuhusiana na uzalishaji wa pombe hiyo. “Kama kuna mzalishaji anayedhani kuna jambo lolote halipo sawa kwenye agizo hilo, awasilishe malalamiko yake Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira,” amesema Mwijage. Aidha baadhi ya wafanyabiashara wa vileo katika jiji la Arusha wamelalamikia uamuzi wa Serikali kupiga marufuku uuzaji wa ‘viroba’ kwa madai kuwa muda wa Februari Mosi uliotolewa kuviondoa viroba hivyo sokoni ni mfupi mno. ### Response: KITAIFA ### End
NA OSCAR ASSENGA, KOROGWE RAIS Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete ameongoza waombolezaji katika mazishi ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel Bendera yaliyofanyika kwenye makaburi ya kanisa la Anglikana Korogwe mkoani Tanga. Mbali na Rais Kikwete, viongozi wengine wandamizi walioshiriki mazishi hayo ni Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jaffo, Waziri Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano, Januari Makamba. Wakuu wa mikoa, akuu wa wilaya, wabunge na viongozi wa vyama vya siasa na wananachi kutoka mikoa ya Manyara, Morogoro, Dar es Salaam na Tanga Shughuli za kuuaga mwili huo zilifanyika leo kwenye makazi yake yaliyokuwepo eneo Majengo mji ambapo viongozi mbalimbali walihudhuria wakiwemo mawaziri,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na viongozi wa soka nchini wakiongozwa na Rais wa TFF Walace Karia. Akizungumza katika mazishi hayo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Suleiman Jaffo alisema serikali imepokea kwa majonzi makubwa msiba huo hasa ukizingatia marehemu alifanya kazi kwa uadilifu mkubwa wakati akitumikia nafasi ya ukuu wa mkoa katika mikoa mbalimbali ikiwemo wa Morogoro na Manyara.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA OSCAR ASSENGA, KOROGWE RAIS Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete ameongoza waombolezaji katika mazishi ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dkt Joel Bendera yaliyofanyika kwenye makaburi ya kanisa la Anglikana Korogwe mkoani Tanga. Mbali na Rais Kikwete, viongozi wengine wandamizi walioshiriki mazishi hayo ni Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jaffo, Waziri Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano, Januari Makamba. Wakuu wa mikoa, akuu wa wilaya, wabunge na viongozi wa vyama vya siasa na wananachi kutoka mikoa ya Manyara, Morogoro, Dar es Salaam na Tanga Shughuli za kuuaga mwili huo zilifanyika leo kwenye makazi yake yaliyokuwepo eneo Majengo mji ambapo viongozi mbalimbali walihudhuria wakiwemo mawaziri,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na viongozi wa soka nchini wakiongozwa na Rais wa TFF Walace Karia. Akizungumza katika mazishi hayo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Suleiman Jaffo alisema serikali imepokea kwa majonzi makubwa msiba huo hasa ukizingatia marehemu alifanya kazi kwa uadilifu mkubwa wakati akitumikia nafasi ya ukuu wa mkoa katika mikoa mbalimbali ikiwemo wa Morogoro na Manyara. ### Response: KITAIFA ### End
NA ESTHER GEORGE MSANII wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amesema atahakikisha anawafanyia ‘surprise’ ya kufunga mwaka mashabiki zake kwa kuachia filamu mbili matata. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama, alisema amejipanga kikamilifu kabla ya mwezi huu kumalizika kuwapa zawadi hizo mashabiki zake ambazo anaamini zitakuwa za kitofauti na walivyozoea. “Nimeamua kuwafanyia ‘surprise’ mashabiki zangu kwani bila wao mimi si kitu, hivyo zitakuwa zawadi za kipekee na tofauti ambazo sikuwahi kufanya tangu nimeanza filamu,” alisema Riyama. Riyama aliwataka mashabiki zake wakae mkao wa kula kuhakikisha wanafuatilia siku rasmi ya ‘surprise’ hiyo.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA ESTHER GEORGE MSANII wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amesema atahakikisha anawafanyia ‘surprise’ ya kufunga mwaka mashabiki zake kwa kuachia filamu mbili matata. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama, alisema amejipanga kikamilifu kabla ya mwezi huu kumalizika kuwapa zawadi hizo mashabiki zake ambazo anaamini zitakuwa za kitofauti na walivyozoea. “Nimeamua kuwafanyia ‘surprise’ mashabiki zangu kwani bila wao mimi si kitu, hivyo zitakuwa zawadi za kipekee na tofauti ambazo sikuwahi kufanya tangu nimeanza filamu,” alisema Riyama. Riyama aliwataka mashabiki zake wakae mkao wa kula kuhakikisha wanafuatilia siku rasmi ya ‘surprise’ hiyo. ### Response: BURUDANI ### End
Kwa Mujibu wa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Sc leo Jumatano Tarehe 11 Disemba 2019, Timu hiyo itamtangaza kocha mkuu mpya baada ya kuondoka kwa Kocha Patrick Aussems Taarifa mbalimbali zinazozaga mitandaoni zinasema kuwa Sven Vandenbroeck ndiye anayetarajiwa kutangazwa kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Je Sven Vandenbroeck ni nani na kabla ya kuja Simba aliwahi kufundisha timu zipi? Sven Vandenbroeck ni raia wa ubeligiji (Licha ya jina lake kufanana na Waholanzi) ana umri wa miaka 40 na aliwahi kucheza soka la ushindani katika vilabu kadhaa nchini Ubeligiji kama kiungo mkabaji vilabu ailivyowahi kuvichezea ni Mechelen, Roda JC, De Graafschap, Akratitos, Lierse,Vise na Løv-Ham alianza kucheza soka mwaka 1996 na kustaafu mwaka 2009 Sven Vandenbroeck alipata Sifa kubwa mara baada ya kutwa kombe la mataifa ya Afrika akiwa kocha msaidizi wa timu ya Cameroon chini ya kocha mkuu Hugo Broos Lakini kabla ya hapo aliwahi kuvifundisha vilabu vya Niki Volou ya Ugiliki na Oud-Heverlee ya Uholanzi Mwaka 2019 alichaguliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Zambia lakini alitimuliwa baada ya kushindwa kuiwezesha timu hiyo kuzufu AFCON 2019 Huyo ndiye Sven Vandenbroeck  
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kwa Mujibu wa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Sc leo Jumatano Tarehe 11 Disemba 2019, Timu hiyo itamtangaza kocha mkuu mpya baada ya kuondoka kwa Kocha Patrick Aussems Taarifa mbalimbali zinazozaga mitandaoni zinasema kuwa Sven Vandenbroeck ndiye anayetarajiwa kutangazwa kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Je Sven Vandenbroeck ni nani na kabla ya kuja Simba aliwahi kufundisha timu zipi? Sven Vandenbroeck ni raia wa ubeligiji (Licha ya jina lake kufanana na Waholanzi) ana umri wa miaka 40 na aliwahi kucheza soka la ushindani katika vilabu kadhaa nchini Ubeligiji kama kiungo mkabaji vilabu ailivyowahi kuvichezea ni Mechelen, Roda JC, De Graafschap, Akratitos, Lierse,Vise na Løv-Ham alianza kucheza soka mwaka 1996 na kustaafu mwaka 2009 Sven Vandenbroeck alipata Sifa kubwa mara baada ya kutwa kombe la mataifa ya Afrika akiwa kocha msaidizi wa timu ya Cameroon chini ya kocha mkuu Hugo Broos Lakini kabla ya hapo aliwahi kuvifundisha vilabu vya Niki Volou ya Ugiliki na Oud-Heverlee ya Uholanzi Mwaka 2019 alichaguliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Zambia lakini alitimuliwa baada ya kushindwa kuiwezesha timu hiyo kuzufu AFCON 2019 Huyo ndiye Sven Vandenbroeck   ### Response: MICHEZO ### End
Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Sam Mapande alisema jana kuwa wamechukua uamuzi huo kwa sababu hawana uhakika kama hao waliochukua fomu TFF ni wanachama halali wa Yanga.“Hao waliochukua fomu TFF sisi hatuna uhakika kama ni wanachama wa Yanga au la, kwa hiyo wanachotakiwa ni kuomba upya, wapitie taratibu zote za kufanyiwa usaili, wakipitishwa waende kwenye uchaguzi,” alisema Mapande.“Kamati yangu tunawasubiri, wana siku mbili kuna kesho (leo) na keshokutwa (kesho), anayependa kugombea aje achukue fomu, afanyiwe usaili awahi uchaguzi Jumamosi,” alisisitiza.Uamuzi huo wa Kamati ya Uchaguzi umekuja wakati tayari baadhi ya wagombea waliochukua fomu zilizokuwa zikitolewa makao makuu ya Yanga Jangwani Dar es Salaam wameshaanza kampeni tangu juzi kwa ajili ya uchaguzi huo utakaofanyika Jumamosi wiki hii ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.Waliochukua fomu TFF ambao watatakiwa kuchukua fomu upya ni Aaron Nyanda na Titus Osoro wanaowania nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Paschal Laizer, Edgar Chibula, Mohammed Mattaka, Mchafu Ahmed Chakoma na Omari Said wanaowania Ujumbe wa Kamati ya Utendaji.Awali uchaguzi huo wa Yanga ulipangwa kufanyika Juni 25 ukisimamiwa na TFF, hata hivyo ulizuka mvutano mkubwa kwa Yanga kugoma kusimamiwa uchaguzi wake na TFF. Wakati TFF ikiendelea na mchakato wa utoaji wa fomu za Yanga, uongozi wa klabu hiyo nao ulitangaza mchakato wake na kupanga uchaguzi ufanyike Jumamosi wiki hii.Kufuatia mvutano huo, juzi TFF ikakutana na viongozi wa Yanga na kufikia uamuzi wa kuiruhusu Yanga ifanye uchaguzi kwa kujisimamia yenyewe. Hata hivyo kikao hicho kilikubaliana wagombea waliochukua fomu TFF wahusishwe katika mchakato huo kama walivyo wagombea wengine 19 waliochukua fomu makao makuu ya Yanga.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Sam Mapande alisema jana kuwa wamechukua uamuzi huo kwa sababu hawana uhakika kama hao waliochukua fomu TFF ni wanachama halali wa Yanga.“Hao waliochukua fomu TFF sisi hatuna uhakika kama ni wanachama wa Yanga au la, kwa hiyo wanachotakiwa ni kuomba upya, wapitie taratibu zote za kufanyiwa usaili, wakipitishwa waende kwenye uchaguzi,” alisema Mapande.“Kamati yangu tunawasubiri, wana siku mbili kuna kesho (leo) na keshokutwa (kesho), anayependa kugombea aje achukue fomu, afanyiwe usaili awahi uchaguzi Jumamosi,” alisisitiza.Uamuzi huo wa Kamati ya Uchaguzi umekuja wakati tayari baadhi ya wagombea waliochukua fomu zilizokuwa zikitolewa makao makuu ya Yanga Jangwani Dar es Salaam wameshaanza kampeni tangu juzi kwa ajili ya uchaguzi huo utakaofanyika Jumamosi wiki hii ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.Waliochukua fomu TFF ambao watatakiwa kuchukua fomu upya ni Aaron Nyanda na Titus Osoro wanaowania nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Paschal Laizer, Edgar Chibula, Mohammed Mattaka, Mchafu Ahmed Chakoma na Omari Said wanaowania Ujumbe wa Kamati ya Utendaji.Awali uchaguzi huo wa Yanga ulipangwa kufanyika Juni 25 ukisimamiwa na TFF, hata hivyo ulizuka mvutano mkubwa kwa Yanga kugoma kusimamiwa uchaguzi wake na TFF. Wakati TFF ikiendelea na mchakato wa utoaji wa fomu za Yanga, uongozi wa klabu hiyo nao ulitangaza mchakato wake na kupanga uchaguzi ufanyike Jumamosi wiki hii.Kufuatia mvutano huo, juzi TFF ikakutana na viongozi wa Yanga na kufikia uamuzi wa kuiruhusu Yanga ifanye uchaguzi kwa kujisimamia yenyewe. Hata hivyo kikao hicho kilikubaliana wagombea waliochukua fomu TFF wahusishwe katika mchakato huo kama walivyo wagombea wengine 19 waliochukua fomu makao makuu ya Yanga. ### Response: MICHEZO ### End
LONDON, England MCHEZAJI wa zamani wa timu ya Newcastle, Alan Shearer, amesema inahitajika maelezo ya ziada kutoka kwa kocha wa timu ya Arsenal, Arsene Wenger, kwamba kwanini alishindwa kuwaanzisha washambuliaji, Alexis Sanchez  na Alexandre Lacazette, katika mchezo uliochezwa juzi dhidi ya Manchester City. Katika mchezo huo uliochezwa Etihad, Arsenal ilifungwa mabao 3-1 na kuifanya Manchester City kusalia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England kwa kuwa na pointi 31 baada ya kucheza michezo 11 mbele ya wapinzani wao, Manchester United wenye pointi 24. Lacazette  ambaye ndiye aliyesajiliwa kwa fedha nyingi katika klabu hiyo kwa sasa, anaongoza kwa ufungaji wa mabao akifunga bao sita katika msimu huu. Katika mchezo huo, Wenger alimchezesha Sanchez  akiwa mshambuliaji pekee dhidi ya Manchester City, lakini alimwingiza Lacazette wakati timu hiyo ilipofungwa mabao 2-0 katika kipindi cha pili hata hivyo haikumchukua muda kupata bao. Sanchez ambaye  anatarajia kujiunga na kikosi cha  Pep Guardiola baada ya kumaliza mkataba wake wa kuichezea Arsenal, Shearer anaamini Wenger  alituma ujumbe  usiofaa kwa Lacazette pamoja na wachezaji wa timu hiyo  kuhusu Sanchez kupangwa katika kikosi cha kwanza badala yake. Shearer akihojiwa alisema: “Wenger alimuacha Lacazette wakati walipocheza dhidi ya Liverpool katika Uwanja wa Anfield, hivyo hivyo leo (juzi) wakati walipocheza na Manchester City. Unatumia pauni milioni 50 kwa kumsajili mshambuliaji wa kati ukifikiria kumtumia katika michezo mikubwa ambayo ataleta utofauti. Amefunga mabao sita, mara mbili kwa kila mchezaji wa timu hiyo, si hivyo tu bali anatakiwa kucheza sambamba na Sanchez , ni mchezaji ambaye si mchoyo na  amesajiliwa kwa pauni milioni 50. “Si hivyo tu vipi kuhusu wachezaji wenzake? Lacazette ana haki ya kumgongea mlango Wenger asubuhi na kumweleza: ‘Hivi unachofanya si kuniwekea kikwazo au kuna jambo la ziada? Hauhitaji mimi nicheze’?” Akiongezea katika kile alichozungumza Shearer, Ian Wright, anaamini kwamba, Lacazette anaweza kuwa katika msongo wa mawazo katika kipindi hiki akijaribu kutafakari namna atakavyoweza kumshawishi Wenger ili amwamini. Wright alisema: “Atakuwa anafikiria sana namna ya kufanya ili kumshawishi Wenger baada ya kuona Sanchez akipangwa kikosi cha kwanza huku akiwa kwenye kiwango kibovu.”
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, England MCHEZAJI wa zamani wa timu ya Newcastle, Alan Shearer, amesema inahitajika maelezo ya ziada kutoka kwa kocha wa timu ya Arsenal, Arsene Wenger, kwamba kwanini alishindwa kuwaanzisha washambuliaji, Alexis Sanchez  na Alexandre Lacazette, katika mchezo uliochezwa juzi dhidi ya Manchester City. Katika mchezo huo uliochezwa Etihad, Arsenal ilifungwa mabao 3-1 na kuifanya Manchester City kusalia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England kwa kuwa na pointi 31 baada ya kucheza michezo 11 mbele ya wapinzani wao, Manchester United wenye pointi 24. Lacazette  ambaye ndiye aliyesajiliwa kwa fedha nyingi katika klabu hiyo kwa sasa, anaongoza kwa ufungaji wa mabao akifunga bao sita katika msimu huu. Katika mchezo huo, Wenger alimchezesha Sanchez  akiwa mshambuliaji pekee dhidi ya Manchester City, lakini alimwingiza Lacazette wakati timu hiyo ilipofungwa mabao 2-0 katika kipindi cha pili hata hivyo haikumchukua muda kupata bao. Sanchez ambaye  anatarajia kujiunga na kikosi cha  Pep Guardiola baada ya kumaliza mkataba wake wa kuichezea Arsenal, Shearer anaamini Wenger  alituma ujumbe  usiofaa kwa Lacazette pamoja na wachezaji wa timu hiyo  kuhusu Sanchez kupangwa katika kikosi cha kwanza badala yake. Shearer akihojiwa alisema: “Wenger alimuacha Lacazette wakati walipocheza dhidi ya Liverpool katika Uwanja wa Anfield, hivyo hivyo leo (juzi) wakati walipocheza na Manchester City. Unatumia pauni milioni 50 kwa kumsajili mshambuliaji wa kati ukifikiria kumtumia katika michezo mikubwa ambayo ataleta utofauti. Amefunga mabao sita, mara mbili kwa kila mchezaji wa timu hiyo, si hivyo tu bali anatakiwa kucheza sambamba na Sanchez , ni mchezaji ambaye si mchoyo na  amesajiliwa kwa pauni milioni 50. “Si hivyo tu vipi kuhusu wachezaji wenzake? Lacazette ana haki ya kumgongea mlango Wenger asubuhi na kumweleza: ‘Hivi unachofanya si kuniwekea kikwazo au kuna jambo la ziada? Hauhitaji mimi nicheze’?” Akiongezea katika kile alichozungumza Shearer, Ian Wright, anaamini kwamba, Lacazette anaweza kuwa katika msongo wa mawazo katika kipindi hiki akijaribu kutafakari namna atakavyoweza kumshawishi Wenger ili amwamini. Wright alisema: “Atakuwa anafikiria sana namna ya kufanya ili kumshawishi Wenger baada ya kuona Sanchez akipangwa kikosi cha kwanza huku akiwa kwenye kiwango kibovu.” ### Response: MICHEZO ### End
Mwandishi Wetu TIMU ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo ipo Kinshasa kucheza mechi ya marudiano ya kufuzu michezo ya Olimpiki 2020 Tokyo, Japan dhidi ya Congo.Mechi hiyo inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua huku Twiga Stars ikihitaji ushindi angalau wa bao 1-0 kusonga mbele baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Kikosi cha Twiga kikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya soka la wanawake Amina Karuma kilifika Kinshasa mapema jana tayari kwa mechi hiyo. “Tumefika salama na wachezaji wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mechi ya kesho (leo),” alisema.Akizungumzia mechi hiyo, nahodha wa Twiga Stars, Asha Rashid ‘Mwalala’ alisema wapo vizuri na wana uwezo wa kubadili matokeo. “Imetokea bahati mbaya tukapata sare mechi ya kwanza lakini nimeshazungumza na wachezaji wenzangu tutafia uwanjani siku hiyo (leo),” alisema.Naye Kocha mkuu wa timu hiyo, Bakari Shime alisema hana wasiwasi na wachezaji wake ameshawaelekeza cha kufanya ikiwa ni pamoja na kurekebisha makosa katika mechi iliyopita. “Makosa tumerekebisha, mtuombee tu tufanye vizuri kwenye mechi hii kwani wapinzani wetu nao sio wa kubeza,” alisema.Mshindi wa mechi hiyo atacheza na Equatorial Guinea na mshindi ndiye atakayefuzu fainali za michezo hiyo. Twiga Stars ikifuzu itakuwa ni mara ya kwanza kwenye michuano hiyo lakini ilishawahi kufuzu fainali za Afrika mwaka 2010 Afrika Kusini na fainali za michezo ya All African Games iliyofanyika Congo Brazzavile
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwandishi Wetu TIMU ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo ipo Kinshasa kucheza mechi ya marudiano ya kufuzu michezo ya Olimpiki 2020 Tokyo, Japan dhidi ya Congo.Mechi hiyo inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua huku Twiga Stars ikihitaji ushindi angalau wa bao 1-0 kusonga mbele baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Kikosi cha Twiga kikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati ya soka la wanawake Amina Karuma kilifika Kinshasa mapema jana tayari kwa mechi hiyo. “Tumefika salama na wachezaji wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mechi ya kesho (leo),” alisema.Akizungumzia mechi hiyo, nahodha wa Twiga Stars, Asha Rashid ‘Mwalala’ alisema wapo vizuri na wana uwezo wa kubadili matokeo. “Imetokea bahati mbaya tukapata sare mechi ya kwanza lakini nimeshazungumza na wachezaji wenzangu tutafia uwanjani siku hiyo (leo),” alisema.Naye Kocha mkuu wa timu hiyo, Bakari Shime alisema hana wasiwasi na wachezaji wake ameshawaelekeza cha kufanya ikiwa ni pamoja na kurekebisha makosa katika mechi iliyopita. “Makosa tumerekebisha, mtuombee tu tufanye vizuri kwenye mechi hii kwani wapinzani wetu nao sio wa kubeza,” alisema.Mshindi wa mechi hiyo atacheza na Equatorial Guinea na mshindi ndiye atakayefuzu fainali za michezo hiyo. Twiga Stars ikifuzu itakuwa ni mara ya kwanza kwenye michuano hiyo lakini ilishawahi kufuzu fainali za Afrika mwaka 2010 Afrika Kusini na fainali za michezo ya All African Games iliyofanyika Congo Brazzavile ### Response: MICHEZO ### End
Chanzo cha picha, FEROZ SHAIKH Katika miaka ya 1950, wakati mieleka ya wanawake nchini India ilipoleta maajabu, Hamida Bano alitoa changamoto kwa wanamieleka wa kiume. Mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 32 aliweka changamoto mbele ya wapiganaji wa kiume na kusema, "Yeyote atakayenishinda kwenye dangal, anaweza kunioa." Katika changamoto ya aina hiyo, tayari alikuwa amewashinda mabingwa wawili wa mieleka tangu Februari 1954, mmoja kutoka Patiala na mwingine kutoka Kolkata. Mnamo mwezi Mei mwaka huo, alisafiri kwenda Baroda kwa pambano lake (Dangal) la tatu. Ziara yake ilizua hisia katika maeneo mengi ya mji huo. Sudhir Parab, umri wa miaka 80, mkazi wa Baroda na mchezaji wa Kho-Kho aliyeshinda tuzo kadhaa, alikuwa akisoma shuleni wakati huo. Anasema, “Nakumbuka kwamba changamoto hii iliwavutia sana watu. Hakuna hata mmoja aliyewahi huko nyuma kusikia kuhusu aina hii ya mieleka." Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la 'AP' wakati huo, mechi hii ilidumu kwa dakika moja tu na sekunde 34. Hamida Bano alimkasirisha Baba Pehelowan. Mwamuzi alimtangaza mpambanaji huyo kushinda na kwamba aliyeshindwa hawezi kufunga ndoa na Hamida. Kwa hili, Baba Pahalwan, mwathirika wa ghiliba za Hamida Bano, mara moja akatangaza kuwa hii ilikuwa mechi yake ya mwisho. Alichukia. Hamida Bano, ambaye baadaye alipata umaarufu kama mwanamieleka wa kwanza wa kike wa India, alikuwa akiondoa tena kwa ujasiri dhana na hadithi za jadi za nchi hiyo ambayo wanawake walionekana dhaifu. Katika siku hizo, mieleka ilionekana kuwa ni mchezo wa wanaume pekee. Hamida Bano alikuwa amejizolea umaarufu mkubwa miongoni mwa watu wa kawaida kiasi kwamba hata uzito wake, kimo na lishe yake vilikuwa vinakuwa habari. Kulingana na ripoti za wakati huo, uzito wake ulikuwa kilo 107 na urefu wake ulikuwa futi 5 na inchi 3. Lishe yake ya kila siku ni pamoja na maziwa ya kilo 5.5, supu ya kilo 1.5, glasi 4 kubwa (takriban lita 1.25) za juisi ya matunda, kuku mmoja, kilo 1 ya kondoo, siagi ya gramu 450, mayai 6, almond kilo 1 naa sahani 2 za Biryani. Chanzo cha picha, FEROZ SHAIKH Pia iliripotiwa katika habari kwamba alikuwa akilala kwa saa tisa kwa siku na kufanya mazoezi kwa saa sita. Alikuja kujulikana kama 'Amazon of Aligarh'. Hamida alizaliwa Mirzapur na alikuwa amehamia Aligarh kwa mafunzo ya mieleka chini ya mwanamieleka aitwaye Salam. Mwandishi ambaye aliandika kuhusu sifa zake katika miaka ya 1950 kwamba kwa kumtazama mara moja tu 'Amazon of Aligarh' kunatosha kukufanya utetemeke, upate woga. Amazon aliwahi kuwa mwanamieleka maarufu Marekani na Hamida Bano alikuwa akifananishwa naye. Aliandika, "Hakuna mwanamke anayeweza kushindana naye, lakini ukosefu wa wapinzani unaweza kumlazimu kuwapinga watu wa jinsia tofauti." Inajulikana kutoka kwa mazungumzo na jamaa za Hamida Bano kwamba mbali na ukosefu wa wapinzani, fikra za kihafidhina za jamii zilimlazimisha kuondoka nyumbani kwake na kuishi Aligarh. Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Kufikia miaka ya 1950, alikuwa amefikia kilele chake cha ubora. Mnamo 1954, alidai kuwa alikuwa ameshinda michezo yake yote 320 kufikia wakati huo. Umaarufu wake unaonekana wazi katika makala za wakati huo. Wakati huo huo, waandishi wengi wa simulizi pia wanalinganisha nguvu za wahusika wao na Hamida Bano. Mambo haya yalizua udadisi kwa watu wa Baroda pia. Sudhir Parab anasema kwamba ilikuwa kwa mara ya kwanza nchini India mwanamke alikuwa akimenyana na wanamieleka wa kiume. Hata hivyo, kulingana na magazeti ya wakati huo, ni wazi kwamba alikuwa amemshinda Baba Pahalwan huko Baroda. Parab anasema, "Nakumbuka kwamba awali alitakiwa kupigana na Gama Pehlwan mdogo ambaye alikuwa akihusishwa na Gama Pehlwan maarufu wa Lahore na ambao walikuwa wakiongozwa na maharaja." Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Lakini Gama alikataa kumenyana na Hamida Bano dakika za mwisho. Parabu anasema kwamba alisema kwamba hatashindana na mwanamke. Kwa wapiganaji wengine ilikuwa ni jambo la aibu kupigana na mwanamke. Wakati huo huo, watu wengi walikuwa na hasira kwamba mwanamke alikuwa akiigana na wanaume hadharani na alikuwa akiwashinda. Kulingana na ripoti katika gazeti la 'Times of India', pambano lililokuwa na mwanamieleka wa kiume aitwaye Ramchandra Saalon huko Pune lililazimika kusitishwa kutokana na maandamano yaliyofanyika Rashtriya Talim Sangh, chombo kinachodhibiti mieleka mjini humo. Katika mechi nyingine huko Kolhapur, Maharashtra, alipomshinda mwanaume mmoja aitwaye Shobha Singh Punjabi, mashabiki wa mieleka walimnyanyasa kwa maneno na kumshambulia kwa mawe. Ilibidi polisi waitwe kudhibiti umati wa watu. Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Ingawa jamaa za Hamida huko Mirzapur walikwepa kuzungumzia jambo hili, lakini wakati wa mazungumzo na jamaa za Salam Pehalwan huko Aligarh, taarifa muhimu ilitolewa. Alidai kuwa Hamida Bano alikuwa ameolewana Salam Pehlwan. Lakini kuhusu suala la Hamida Bano, bintiye Salam Pehelwan Sahara alipozungumza kwenye simu, alikuwa akikwepa kumpigia simu mama yake Hamida Bano. Alipoulizwa maswali juu ya hili, alisema kuwa Hamida ni mama yake wa kambo. Anadai kuwa Hamida Bano na Salam Pehlwan walikuwa wameoana. Sahara alisema kuwa wazazi wa Hamida Bano walikuwa wanampinga kucheza mchezo wa wanaume yaani mieleka. Ingawa Hamida Bano na Salam Pehlwan wenyewe wangesema ukweli wa uhusiano wao vizuri zaidi, lakini mjukuu wa Hamida Firoz, ambaye alikuwa na Hamida Bano hadi siku zake za mwisho, hakubaliani na Sahara na jamaa wengine. Anasema, "Hakika aliishi na Salaam Pehlwan lakini hawakuwahi kuoana."
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, FEROZ SHAIKH Katika miaka ya 1950, wakati mieleka ya wanawake nchini India ilipoleta maajabu, Hamida Bano alitoa changamoto kwa wanamieleka wa kiume. Mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 32 aliweka changamoto mbele ya wapiganaji wa kiume na kusema, "Yeyote atakayenishinda kwenye dangal, anaweza kunioa." Katika changamoto ya aina hiyo, tayari alikuwa amewashinda mabingwa wawili wa mieleka tangu Februari 1954, mmoja kutoka Patiala na mwingine kutoka Kolkata. Mnamo mwezi Mei mwaka huo, alisafiri kwenda Baroda kwa pambano lake (Dangal) la tatu. Ziara yake ilizua hisia katika maeneo mengi ya mji huo. Sudhir Parab, umri wa miaka 80, mkazi wa Baroda na mchezaji wa Kho-Kho aliyeshinda tuzo kadhaa, alikuwa akisoma shuleni wakati huo. Anasema, “Nakumbuka kwamba changamoto hii iliwavutia sana watu. Hakuna hata mmoja aliyewahi huko nyuma kusikia kuhusu aina hii ya mieleka." Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la 'AP' wakati huo, mechi hii ilidumu kwa dakika moja tu na sekunde 34. Hamida Bano alimkasirisha Baba Pehelowan. Mwamuzi alimtangaza mpambanaji huyo kushinda na kwamba aliyeshindwa hawezi kufunga ndoa na Hamida. Kwa hili, Baba Pahalwan, mwathirika wa ghiliba za Hamida Bano, mara moja akatangaza kuwa hii ilikuwa mechi yake ya mwisho. Alichukia. Hamida Bano, ambaye baadaye alipata umaarufu kama mwanamieleka wa kwanza wa kike wa India, alikuwa akiondoa tena kwa ujasiri dhana na hadithi za jadi za nchi hiyo ambayo wanawake walionekana dhaifu. Katika siku hizo, mieleka ilionekana kuwa ni mchezo wa wanaume pekee. Hamida Bano alikuwa amejizolea umaarufu mkubwa miongoni mwa watu wa kawaida kiasi kwamba hata uzito wake, kimo na lishe yake vilikuwa vinakuwa habari. Kulingana na ripoti za wakati huo, uzito wake ulikuwa kilo 107 na urefu wake ulikuwa futi 5 na inchi 3. Lishe yake ya kila siku ni pamoja na maziwa ya kilo 5.5, supu ya kilo 1.5, glasi 4 kubwa (takriban lita 1.25) za juisi ya matunda, kuku mmoja, kilo 1 ya kondoo, siagi ya gramu 450, mayai 6, almond kilo 1 naa sahani 2 za Biryani. Chanzo cha picha, FEROZ SHAIKH Pia iliripotiwa katika habari kwamba alikuwa akilala kwa saa tisa kwa siku na kufanya mazoezi kwa saa sita. Alikuja kujulikana kama 'Amazon of Aligarh'. Hamida alizaliwa Mirzapur na alikuwa amehamia Aligarh kwa mafunzo ya mieleka chini ya mwanamieleka aitwaye Salam. Mwandishi ambaye aliandika kuhusu sifa zake katika miaka ya 1950 kwamba kwa kumtazama mara moja tu 'Amazon of Aligarh' kunatosha kukufanya utetemeke, upate woga. Amazon aliwahi kuwa mwanamieleka maarufu Marekani na Hamida Bano alikuwa akifananishwa naye. Aliandika, "Hakuna mwanamke anayeweza kushindana naye, lakini ukosefu wa wapinzani unaweza kumlazimu kuwapinga watu wa jinsia tofauti." Inajulikana kutoka kwa mazungumzo na jamaa za Hamida Bano kwamba mbali na ukosefu wa wapinzani, fikra za kihafidhina za jamii zilimlazimisha kuondoka nyumbani kwake na kuishi Aligarh. Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Kufikia miaka ya 1950, alikuwa amefikia kilele chake cha ubora. Mnamo 1954, alidai kuwa alikuwa ameshinda michezo yake yote 320 kufikia wakati huo. Umaarufu wake unaonekana wazi katika makala za wakati huo. Wakati huo huo, waandishi wengi wa simulizi pia wanalinganisha nguvu za wahusika wao na Hamida Bano. Mambo haya yalizua udadisi kwa watu wa Baroda pia. Sudhir Parab anasema kwamba ilikuwa kwa mara ya kwanza nchini India mwanamke alikuwa akimenyana na wanamieleka wa kiume. Hata hivyo, kulingana na magazeti ya wakati huo, ni wazi kwamba alikuwa amemshinda Baba Pahalwan huko Baroda. Parab anasema, "Nakumbuka kwamba awali alitakiwa kupigana na Gama Pehlwan mdogo ambaye alikuwa akihusishwa na Gama Pehlwan maarufu wa Lahore na ambao walikuwa wakiongozwa na maharaja." Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Lakini Gama alikataa kumenyana na Hamida Bano dakika za mwisho. Parabu anasema kwamba alisema kwamba hatashindana na mwanamke. Kwa wapiganaji wengine ilikuwa ni jambo la aibu kupigana na mwanamke. Wakati huo huo, watu wengi walikuwa na hasira kwamba mwanamke alikuwa akiigana na wanaume hadharani na alikuwa akiwashinda. Kulingana na ripoti katika gazeti la 'Times of India', pambano lililokuwa na mwanamieleka wa kiume aitwaye Ramchandra Saalon huko Pune lililazimika kusitishwa kutokana na maandamano yaliyofanyika Rashtriya Talim Sangh, chombo kinachodhibiti mieleka mjini humo. Katika mechi nyingine huko Kolhapur, Maharashtra, alipomshinda mwanaume mmoja aitwaye Shobha Singh Punjabi, mashabiki wa mieleka walimnyanyasa kwa maneno na kumshambulia kwa mawe. Ilibidi polisi waitwe kudhibiti umati wa watu. Chanzo cha picha, SCREEN SHORT Ingawa jamaa za Hamida huko Mirzapur walikwepa kuzungumzia jambo hili, lakini wakati wa mazungumzo na jamaa za Salam Pehalwan huko Aligarh, taarifa muhimu ilitolewa. Alidai kuwa Hamida Bano alikuwa ameolewana Salam Pehlwan. Lakini kuhusu suala la Hamida Bano, bintiye Salam Pehelwan Sahara alipozungumza kwenye simu, alikuwa akikwepa kumpigia simu mama yake Hamida Bano. Alipoulizwa maswali juu ya hili, alisema kuwa Hamida ni mama yake wa kambo. Anadai kuwa Hamida Bano na Salam Pehlwan walikuwa wameoana. Sahara alisema kuwa wazazi wa Hamida Bano walikuwa wanampinga kucheza mchezo wa wanaume yaani mieleka. Ingawa Hamida Bano na Salam Pehlwan wenyewe wangesema ukweli wa uhusiano wao vizuri zaidi, lakini mjukuu wa Hamida Firoz, ambaye alikuwa na Hamida Bano hadi siku zake za mwisho, hakubaliani na Sahara na jamaa wengine. Anasema, "Hakika aliishi na Salaam Pehlwan lakini hawakuwahi kuoana." ### Response: MICHEZO ### End
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam Wanawake wanaougua magonjwa ya figo hukabiliana na matatizo ya uzazi hasa kushindwa kushika mimba na hata kuharibika kwa mimba. Kutokana na hali madaktari hulazimika kuwasaidia kukomaza mtoto iwapo mjamzito amekaribia kipindi cha kujifungua lakini pia kwa hali hiyo husababisha wengi huzaa mtoto njiti. Daktari Bingwa wa Magonjwa wa Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Vincent Tarimo amesema hayo jana alipozungumza na Mtanzania Digital katika mahojiano maalumu. “Magonjwa ya figo kwa wanawake yanaweza kuwekwa katika makundi makubwa mawili, kuna yanayohusiana na ujauzito na yasiyohusiana na ujauzito ambayo yote huweza kuua,” amesema. Amesema katika yale yanayohusiana na ujauzito tatizo la shinikizo la juu la damu ndilo ambalo huchochea zaidi figo kuathirika na kufa.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Veronica Romwald, Dar es Salaam Wanawake wanaougua magonjwa ya figo hukabiliana na matatizo ya uzazi hasa kushindwa kushika mimba na hata kuharibika kwa mimba. Kutokana na hali madaktari hulazimika kuwasaidia kukomaza mtoto iwapo mjamzito amekaribia kipindi cha kujifungua lakini pia kwa hali hiyo husababisha wengi huzaa mtoto njiti. Daktari Bingwa wa Magonjwa wa Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Vincent Tarimo amesema hayo jana alipozungumza na Mtanzania Digital katika mahojiano maalumu. “Magonjwa ya figo kwa wanawake yanaweza kuwekwa katika makundi makubwa mawili, kuna yanayohusiana na ujauzito na yasiyohusiana na ujauzito ambayo yote huweza kuua,” amesema. Amesema katika yale yanayohusiana na ujauzito tatizo la shinikizo la juu la damu ndilo ambalo huchochea zaidi figo kuathirika na kufa. ### Response: AFYA ### End
TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars na ile ya Zanzibar, Zanzibar Heroes zinatarajiwa kushuka dimbani leo kwenye mechi mbili tofauti kusaka ushindi katika mchezo wa mwisho wa makundi ya michuano ya Kombe la Chalenji Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kilimanjaro Stars itachuana na Sudan huku Zanzibar Heroes ikitarajiwa kucheza na Kenya katika michezo itakayochezwa kwenye Uwanja wa KCCA, Kampala Uganda.Ukiachilia mbali Kenya iliyokwisha kufuzu kwa pointi sita, Tanzania yenye pointi tatu, Zanzibar na Sudan zenye pointi moja, kila mmoja anaweza kuungana naye endapo zitashinda mechi zao za hatua ya makundi.Kocha wa Kilimanjaro Stars, Juma Mgunda, alisema wataingia kwa tahadhari na umakini mkubwa kwani wanajua hautakuwa mchezo rahisi kwa sababu wanahitaji ushindi na Sudan itakuwa inahitaji kushinda ili ifikishe pointi nne.“Vijana wako salama na wapo tayari kwa mchezo wa kesho (leo) na tunajua utakuwa mgumu kwa sababu utatoa maamuzi ya nani atasonga mbele kikubwa ni kuwa makini tusirudie makosa,”alisema Mgunda.Alisema amewapa wachezaji mbinu nzuri zitakazowapa matokeo na kurekebisha makosa yaliyoonekana katika michezo iliyopita.“Umakini unahitajika kuhakikisha hawarudii makosa, waendelee kutuombea ili tupate matokeo mazuri,”alisema.Naye kocha wa Zanzibar Heroes, Hemed Morocco alisema wapo tayari kwa mchezo na wanaamini watashinda na kufuzu nusu fainali. Katika michezo ya Kundi A iliyochezwa jana, Somalia iliifunga Burundi na kuondoka kwenye mashindano bila ushindi na Eritrea ikaifunga Djibouti kwa bao 1-0.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TIMU ya taifa ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars na ile ya Zanzibar, Zanzibar Heroes zinatarajiwa kushuka dimbani leo kwenye mechi mbili tofauti kusaka ushindi katika mchezo wa mwisho wa makundi ya michuano ya Kombe la Chalenji Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kilimanjaro Stars itachuana na Sudan huku Zanzibar Heroes ikitarajiwa kucheza na Kenya katika michezo itakayochezwa kwenye Uwanja wa KCCA, Kampala Uganda.Ukiachilia mbali Kenya iliyokwisha kufuzu kwa pointi sita, Tanzania yenye pointi tatu, Zanzibar na Sudan zenye pointi moja, kila mmoja anaweza kuungana naye endapo zitashinda mechi zao za hatua ya makundi.Kocha wa Kilimanjaro Stars, Juma Mgunda, alisema wataingia kwa tahadhari na umakini mkubwa kwani wanajua hautakuwa mchezo rahisi kwa sababu wanahitaji ushindi na Sudan itakuwa inahitaji kushinda ili ifikishe pointi nne.“Vijana wako salama na wapo tayari kwa mchezo wa kesho (leo) na tunajua utakuwa mgumu kwa sababu utatoa maamuzi ya nani atasonga mbele kikubwa ni kuwa makini tusirudie makosa,”alisema Mgunda.Alisema amewapa wachezaji mbinu nzuri zitakazowapa matokeo na kurekebisha makosa yaliyoonekana katika michezo iliyopita.“Umakini unahitajika kuhakikisha hawarudii makosa, waendelee kutuombea ili tupate matokeo mazuri,”alisema.Naye kocha wa Zanzibar Heroes, Hemed Morocco alisema wapo tayari kwa mchezo na wanaamini watashinda na kufuzu nusu fainali. Katika michezo ya Kundi A iliyochezwa jana, Somalia iliifunga Burundi na kuondoka kwenye mashindano bila ushindi na Eritrea ikaifunga Djibouti kwa bao 1-0. ### Response: MICHEZO ### End
MKONGWE wa bongofleva Rehema Chalamila ‘Ray C’, ameweka wazi mipango ya kufunga ndoa na kuanzisha familia na mpenzi wake anayeishi naye Uingereza.Ray C alithibitisha tetesi za kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii huyo kwa sasa ana maisha mazuri baada ya kuchumbiwa na mzungu mwenye watoto wawili.“Ukiona nipo London, ujue nipo kwa mchumba ukweli ni kwamba sijaolewa, lakini nina mchumba ambaye tupo kwenye taratibu za kufunga ndoa,”amesema Ray C.Amesema anatamani kuzaa na mchumba wake na kwamba yupo kwenye mchakato huo na kinachosuburiwa ni ndoa ili kuzaa mtoto aliyedai kuwa na baraka zaidi.Amesema, kazi alizoziachia mwaka jana zimeendelea kufanya vizuri na kuwataka mashabiki wake wasubiri kazi mpya.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MKONGWE wa bongofleva Rehema Chalamila ‘Ray C’, ameweka wazi mipango ya kufunga ndoa na kuanzisha familia na mpenzi wake anayeishi naye Uingereza.Ray C alithibitisha tetesi za kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii huyo kwa sasa ana maisha mazuri baada ya kuchumbiwa na mzungu mwenye watoto wawili.“Ukiona nipo London, ujue nipo kwa mchumba ukweli ni kwamba sijaolewa, lakini nina mchumba ambaye tupo kwenye taratibu za kufunga ndoa,”amesema Ray C.Amesema anatamani kuzaa na mchumba wake na kwamba yupo kwenye mchakato huo na kinachosuburiwa ni ndoa ili kuzaa mtoto aliyedai kuwa na baraka zaidi.Amesema, kazi alizoziachia mwaka jana zimeendelea kufanya vizuri na kuwataka mashabiki wake wasubiri kazi mpya. ### Response: MICHEZO ### End
Sasa kumekucha rasmi baada ya Ratiba ya Ligi Kuu nchini England maarufu kama EPL kutangazwa hii leo. Ratiba hiyo inaonesha kwamba pazia litafunguliwa rasmi Ijumaa ya Agosti 9 mwaka huu ambapo Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Liverpool watakuwa nyumbani Anfield kuwakaribisha Norwich City. Jumamosi, Agosti 10, michezo mingine itaendelea, ambapo West Ham watawakaribisha Mabingwa Watetezi Manchester City huku AFC Bournemouth wakiwa nyumbani kuwaalika Sheffield United. Mechi ni nyingine ni Burnley watakuwa maskani yao kuwakaribisha Southampton, Crystal Palace dhidi ya Everton, Leicester City watakumbana na Mbweha Wolves, Watford watawakaribisha Brighton Hove & Albion. Tottenham Hotspur watakuwa nyumbani kupepetana na Aston Villa ambao wamepanda daraja mwaka huu baada ya kukosekana misimu kadhaa katika Ligi Kuu ya England. Jumapili kutakuwa na patashika nguo kuchanika, ambapo watakuwa nyumbani kuwakabili Arsenal na mechi kubwa kuliko zote kwa wiki hiyo ya ufunguzi itakuwa katika Uwanja wa Old Trafford, ambapo Mashetani Wekundu Manchester United wataumana vikali na Wababe kutoka Darajani, Chelsea ‘The Blues’
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Sasa kumekucha rasmi baada ya Ratiba ya Ligi Kuu nchini England maarufu kama EPL kutangazwa hii leo. Ratiba hiyo inaonesha kwamba pazia litafunguliwa rasmi Ijumaa ya Agosti 9 mwaka huu ambapo Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Liverpool watakuwa nyumbani Anfield kuwakaribisha Norwich City. Jumamosi, Agosti 10, michezo mingine itaendelea, ambapo West Ham watawakaribisha Mabingwa Watetezi Manchester City huku AFC Bournemouth wakiwa nyumbani kuwaalika Sheffield United. Mechi ni nyingine ni Burnley watakuwa maskani yao kuwakaribisha Southampton, Crystal Palace dhidi ya Everton, Leicester City watakumbana na Mbweha Wolves, Watford watawakaribisha Brighton Hove & Albion. Tottenham Hotspur watakuwa nyumbani kupepetana na Aston Villa ambao wamepanda daraja mwaka huu baada ya kukosekana misimu kadhaa katika Ligi Kuu ya England. Jumapili kutakuwa na patashika nguo kuchanika, ambapo watakuwa nyumbani kuwakabili Arsenal na mechi kubwa kuliko zote kwa wiki hiyo ya ufunguzi itakuwa katika Uwanja wa Old Trafford, ambapo Mashetani Wekundu Manchester United wataumana vikali na Wababe kutoka Darajani, Chelsea ‘The Blues’ ### Response: MICHEZO ### End
Na ASHA BANI-DAR ES SALAAM NAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema Serikali imekamilisha mpango wa awali wa kusambaza gesi asili kwenye mikoa mitano nchini. Mgalu alisema usambazaji huo unafanyika ili kuhakikisha Tanzania inatumia rasilimali hiyo kuelekea uchumi wa kati wa viwanda. Alisema kabla ya kukamilisha mpango huo, kulifanyika utafiti wa miaka mitatu uliofanywa na Serikali kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (Jaica). Alitaja mikoa iliyounganishiwa nishati hiyo kuwa ni Arusha, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro na Morogoro huku akibainisha kwamba lengo la Serikali ni kuhakikisha mikoa yote Tanzania inapata nishati hiyo kwa matumizi mbalimbali. Mgalu alisema Tanzania imegundua gesi asilia yenye ujazo wa futi trilioni 57 ambayo inatengenezewa mkakati wa matumizi yake. Alisema hadi sasa gesi asili inazalisha megawati 800 za umeme kati ya 1,601 zinazotarajiwa kuzalishwa kwa kutumia nishati hiyo. Mgalu alisema gesi hiyo ya asili inatumika pia kwenye magari na hadi sasa magari 200 yanatumia gesi na miundombinu ya kuisambaza inaendelea. Alisema gesi asili inasaidia pia kutunza mazingira, hasa kwenye kupikia na hadi sasa Shirika la Maendeleo la Petroli (TPDC), limesambaza miundombinu ya gesi ya kupikia majumbani mikoa ya Lindi, Mtwara, Dar es Salaam na Pwani. Mgalu pia alisema kuhusu matumizi ya gesi viwandani, hadi sasa viwanda zaidi ya 50 vimeunganishwa. Naye Kamishna wa Maendeleo ya Petroli na Gesi, Adam Zuberi, alisema Tanzania ipo kwenye wakati sahihi, hivyo jitihada za makusudi zinafanyika kufikisha gesi asili mikoa yote Tanzania. Naye Mshauri wa Taasisi ya Nishati na Uchumi wa Japan, Kensuke Kanekinyo, alisema awamu ya kwanza ya mradi huo imetumia Dola za Marekani milioni mbili ndani ya  miaka mitatu. Alisema gharama za mradi wote ni dola milioni 250 zitakazotumika kupeleka gesi mikoa yote.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ASHA BANI-DAR ES SALAAM NAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema Serikali imekamilisha mpango wa awali wa kusambaza gesi asili kwenye mikoa mitano nchini. Mgalu alisema usambazaji huo unafanyika ili kuhakikisha Tanzania inatumia rasilimali hiyo kuelekea uchumi wa kati wa viwanda. Alisema kabla ya kukamilisha mpango huo, kulifanyika utafiti wa miaka mitatu uliofanywa na Serikali kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (Jaica). Alitaja mikoa iliyounganishiwa nishati hiyo kuwa ni Arusha, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro na Morogoro huku akibainisha kwamba lengo la Serikali ni kuhakikisha mikoa yote Tanzania inapata nishati hiyo kwa matumizi mbalimbali. Mgalu alisema Tanzania imegundua gesi asilia yenye ujazo wa futi trilioni 57 ambayo inatengenezewa mkakati wa matumizi yake. Alisema hadi sasa gesi asili inazalisha megawati 800 za umeme kati ya 1,601 zinazotarajiwa kuzalishwa kwa kutumia nishati hiyo. Mgalu alisema gesi hiyo ya asili inatumika pia kwenye magari na hadi sasa magari 200 yanatumia gesi na miundombinu ya kuisambaza inaendelea. Alisema gesi asili inasaidia pia kutunza mazingira, hasa kwenye kupikia na hadi sasa Shirika la Maendeleo la Petroli (TPDC), limesambaza miundombinu ya gesi ya kupikia majumbani mikoa ya Lindi, Mtwara, Dar es Salaam na Pwani. Mgalu pia alisema kuhusu matumizi ya gesi viwandani, hadi sasa viwanda zaidi ya 50 vimeunganishwa. Naye Kamishna wa Maendeleo ya Petroli na Gesi, Adam Zuberi, alisema Tanzania ipo kwenye wakati sahihi, hivyo jitihada za makusudi zinafanyika kufikisha gesi asili mikoa yote Tanzania. Naye Mshauri wa Taasisi ya Nishati na Uchumi wa Japan, Kensuke Kanekinyo, alisema awamu ya kwanza ya mradi huo imetumia Dola za Marekani milioni mbili ndani ya  miaka mitatu. Alisema gharama za mradi wote ni dola milioni 250 zitakazotumika kupeleka gesi mikoa yote. ### Response: KITAIFA ### End
TANZANIA yaweka rekodi ya kuwa miongoni mwa nchi 70 duniani, zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme.Hayo yalibainishwa Ikulu, Dar es Salaam jana na Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani (pichani) wakati wa utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa Mto Rufiji.Katika hafla hiyo, Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly ambaye alimwakilisha Rais Abdel Fattah el Sisi, walishuhudia utiaji saini huo kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Kampuni ya Kikandarasi ya Misri ya J.V Arab Contractors/El Sewedy Electric.Kutokana na tukio hilo muhimu na la kihistoria kwa Tanzania, Dk Kalemani alisema kuwa kwa kusaini mkataba huo jana, Tanzania imekuwa miongoni mwa nchi 70 zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme, Alitaja baadhi ya nchi zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme duniani kuwa ni China yenye bwawa linalozalisha megawati 22,500 za umeme na Brazil yenye bwawa linalozalisha megawati 12,000.“Kwa Afrika, Tanzania inakuwa nchi ya nne yenye bwawa kubwa la kuzalisha umeme ikitanguliwa na nchi zingine ikiwemo Ethiopia itakayozalisha megawati 6,450 mradi wao utakapokamilika, lakini pia Angola iko chini ya Tanzania kwa kuzalisha megawati 2,066 wakati Tanzania itazalisha megawati 2,115, na kwa Afrika Mashariki Tanzania inaongoza kwa kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme,” alieleza Dk Kalemani.Kwa mujibu wa Dk Kalemani, malengo ya Tanzania ni kuzalisha megawati 5,000 ifikapo mwaka 2020 na megawati 10,000 ifikapo mwaka 2025. Alisema kwa mujibu wa utafiti uliofanyika kuanzia mwaka 1976 hadi mwaka 1980, maporomoko ya maji katika Mto Rufiji yana uwezo wa kuzalisha megawati 2,100 za umeme, ambapo serikali ilipanga kuutekeleza kwa awamu.Dk Kalemani alisema serikali wakati huo ilipanga kuzalisha megawati 400 katika awamu ya kwanza, megawati 800 katika awamu ya pili na megawati 900 katika awamu ya tatu, jambo ambalo halikufanikiwa, na ndipo serikali ya awamu ya tano ilipoamua kuanza kuutekeleza mradi huo wote kwa kipindi kimoja tu cha miezi 42 kuanzia sasa.Alisema kulikuwa na sababu mbalimbali za mradi huo kutotekelezwa wakati huo, ikiwemo mahitaji yote ya umeme nchi nzima kuwa chini ya megawati 100, lakini sasa serikali imeamua kuutekeleza kutokana na mahitaji ya umeme kuongezeka.Katika kutekeleza mradi huo, Dk Kalemani alisema kuwa miongoni mwa kazi kubwa nne zitakazotekelezwa ni ujenzi wa kuta kubwa mbili zenye urefu wa kilomita 1,025 na kimo cha mita 131; ujenzi wa bwawa kubwa lenye urefu wa kilomita 100 na upana wa kilomita 25.Mambo mengine ni ujenzi wa sehemu za kufunga mitambo tisa ya kuzalisha umeme, ambapo kila mtambo utakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 235, hivyo kufanya mitambo yote tisa kuzalisha megawati 2,115, lakini pia ujenzi wa kituo cha kufua umeme wa kilovoti 400.Kwa upande wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, aliishukuru serikali ya Tanzania kwa kuiamini nchi yake kutekeleza mradi huo na kuongeza kuwa mradi huo, utafungua fursa zaidi ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Nishati wa Misri, Dk Mohamed Shaker, alisema kuwa nchi yake itatoa mafunzo kwa wataalamu wa nishati 20 wa Tanzania, kama sehemu ya kudumisha ushirikiano mzuri na wa kihistoria uliopo katiya Tanzania na Misri.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TANZANIA yaweka rekodi ya kuwa miongoni mwa nchi 70 duniani, zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme.Hayo yalibainishwa Ikulu, Dar es Salaam jana na Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani (pichani) wakati wa utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa Mto Rufiji.Katika hafla hiyo, Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly ambaye alimwakilisha Rais Abdel Fattah el Sisi, walishuhudia utiaji saini huo kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Kampuni ya Kikandarasi ya Misri ya J.V Arab Contractors/El Sewedy Electric.Kutokana na tukio hilo muhimu na la kihistoria kwa Tanzania, Dk Kalemani alisema kuwa kwa kusaini mkataba huo jana, Tanzania imekuwa miongoni mwa nchi 70 zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme, Alitaja baadhi ya nchi zenye mabwawa makubwa ya kuzalisha umeme duniani kuwa ni China yenye bwawa linalozalisha megawati 22,500 za umeme na Brazil yenye bwawa linalozalisha megawati 12,000.“Kwa Afrika, Tanzania inakuwa nchi ya nne yenye bwawa kubwa la kuzalisha umeme ikitanguliwa na nchi zingine ikiwemo Ethiopia itakayozalisha megawati 6,450 mradi wao utakapokamilika, lakini pia Angola iko chini ya Tanzania kwa kuzalisha megawati 2,066 wakati Tanzania itazalisha megawati 2,115, na kwa Afrika Mashariki Tanzania inaongoza kwa kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme,” alieleza Dk Kalemani.Kwa mujibu wa Dk Kalemani, malengo ya Tanzania ni kuzalisha megawati 5,000 ifikapo mwaka 2020 na megawati 10,000 ifikapo mwaka 2025. Alisema kwa mujibu wa utafiti uliofanyika kuanzia mwaka 1976 hadi mwaka 1980, maporomoko ya maji katika Mto Rufiji yana uwezo wa kuzalisha megawati 2,100 za umeme, ambapo serikali ilipanga kuutekeleza kwa awamu.Dk Kalemani alisema serikali wakati huo ilipanga kuzalisha megawati 400 katika awamu ya kwanza, megawati 800 katika awamu ya pili na megawati 900 katika awamu ya tatu, jambo ambalo halikufanikiwa, na ndipo serikali ya awamu ya tano ilipoamua kuanza kuutekeleza mradi huo wote kwa kipindi kimoja tu cha miezi 42 kuanzia sasa.Alisema kulikuwa na sababu mbalimbali za mradi huo kutotekelezwa wakati huo, ikiwemo mahitaji yote ya umeme nchi nzima kuwa chini ya megawati 100, lakini sasa serikali imeamua kuutekeleza kutokana na mahitaji ya umeme kuongezeka.Katika kutekeleza mradi huo, Dk Kalemani alisema kuwa miongoni mwa kazi kubwa nne zitakazotekelezwa ni ujenzi wa kuta kubwa mbili zenye urefu wa kilomita 1,025 na kimo cha mita 131; ujenzi wa bwawa kubwa lenye urefu wa kilomita 100 na upana wa kilomita 25.Mambo mengine ni ujenzi wa sehemu za kufunga mitambo tisa ya kuzalisha umeme, ambapo kila mtambo utakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 235, hivyo kufanya mitambo yote tisa kuzalisha megawati 2,115, lakini pia ujenzi wa kituo cha kufua umeme wa kilovoti 400.Kwa upande wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, aliishukuru serikali ya Tanzania kwa kuiamini nchi yake kutekeleza mradi huo na kuongeza kuwa mradi huo, utafungua fursa zaidi ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Nishati wa Misri, Dk Mohamed Shaker, alisema kuwa nchi yake itatoa mafunzo kwa wataalamu wa nishati 20 wa Tanzania, kama sehemu ya kudumisha ushirikiano mzuri na wa kihistoria uliopo katiya Tanzania na Misri. ### Response: KITAIFA ### End
WASHINGTON, MAREKANI WAZIRI wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, Mike Pompeo ametangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inajitoa kwenye mkataba wa kudhibiti matumizi ya silaha za nyukilia duniani na kuongeza kuwa Urusi imeshindwa kuheshimu utekelezwaji wa mkataba huo, hivyo basi inauvunja rasmi. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani, imesema kuwa Mike Pompeo ametangaza kuwa nchi yake inajitoa kwenye mkataba kati yao na Urusi ambao unazuia urutubishaji wa silaha za nyukilia tangu kumalizika kwa vita baridi. Kujiondoa kwa Marekani kumekuwa kukitarajiwa kwa miezi kadhaa sasa. Hatua hiyo imetokana na mzozo ambao haujasuluhishwa kwa miaka mingi wa madai kuwa Urusi imekuwa ikikiuka mkataba huo ulioafikiwa mwaka 1987 ambao unapiga marufuku baadhi ya makombora ya kufyatuliwa ardhini. Urusi imekana madai ya kukiuka mkataba huo. Taarifa ya Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, Mike Pompeo ilionyesha kuwa nchi hiyo inatarajia kujitoa rasmi kwenye mkataba huo jana, akiongeza kuwa ikiwa Urusi haitarudi katika njia ya kuheshimu utekelezwaji wa mkataba huo, basi utavunjika.  “Tuliipa Urusi muda wa kutosha wa kurekebisha mienendo yake na kujitolea kikamilifu kuheshimu mkataba wa INF. Muda huo unamalizika kesho(jana) lakini Urusi imekataa kuchukua hatua yoyote ya kurejesha hali halisi na inayoweza kuthibitishwa ya kuheshimu mkataba katika kipindi cha siku 60 tulizoipa. Kwa hivyo kuanzia kesho (jana), Marekani itajiondoa kwenye mkataba huo’,” alisema Pompeo Maafisa wa Marekani wameelezea wasiwasi kuwa China ambayo si mwanachama wa mkataba huo, imekuwa ikijiwekea makombora mengi barani Asia, hatua ambayo Marekani haiwezi ikazuia kwa sababu ya mkataba huo. Pompeo ameongeza kuwa nchi yake ingali inataka kushiriki katika mazungumzo na Urusi kuhusu udhibiti wa silaha na inatumai Urusi itaheshimu utekelezwaji wa mkataba huo Madai dhidi ya Urusi yametokana na hatua ya Urusi kutengeneza makombora ya ardhini aina ya 9M729, lakini ambayo Urusi inashikilia kuwa hayana uwezo wa kufyatuliwa kupita umbali unaokubaliwa na mkataba huo. Mapema mwezi Disemba, mwaka jana, waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Mike Pompeo alitangaza kuwa Marekani ingeipa Urusi siku 60 kurejea katika hali ya kuuheshimu mkataba huo, kabla iipe notisi rasmi ya kujiondoa hatua ambayo itakamilika baada ya miezi sita. Mkataba huo ambao pia unajulikana kwa Kiingereza kama Intermediate-Range Nuclear Forces (INF), ulikuwa hatua ya kwanza ya kupiga marufuku kabisa aina ya makombora ya ardhini yanayoweza kufyatuliwa umbali wa kati ya kilomita 500 hadi kilomita 5,500. Kuachana na mkataba wa INF kunaruhusu utawala wa Rais Trump kuikabili China japo haijabainika wazi ni vipi utafanya hivyo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WASHINGTON, MAREKANI WAZIRI wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, Mike Pompeo ametangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inajitoa kwenye mkataba wa kudhibiti matumizi ya silaha za nyukilia duniani na kuongeza kuwa Urusi imeshindwa kuheshimu utekelezwaji wa mkataba huo, hivyo basi inauvunja rasmi. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani, imesema kuwa Mike Pompeo ametangaza kuwa nchi yake inajitoa kwenye mkataba kati yao na Urusi ambao unazuia urutubishaji wa silaha za nyukilia tangu kumalizika kwa vita baridi. Kujiondoa kwa Marekani kumekuwa kukitarajiwa kwa miezi kadhaa sasa. Hatua hiyo imetokana na mzozo ambao haujasuluhishwa kwa miaka mingi wa madai kuwa Urusi imekuwa ikikiuka mkataba huo ulioafikiwa mwaka 1987 ambao unapiga marufuku baadhi ya makombora ya kufyatuliwa ardhini. Urusi imekana madai ya kukiuka mkataba huo. Taarifa ya Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, Mike Pompeo ilionyesha kuwa nchi hiyo inatarajia kujitoa rasmi kwenye mkataba huo jana, akiongeza kuwa ikiwa Urusi haitarudi katika njia ya kuheshimu utekelezwaji wa mkataba huo, basi utavunjika.  “Tuliipa Urusi muda wa kutosha wa kurekebisha mienendo yake na kujitolea kikamilifu kuheshimu mkataba wa INF. Muda huo unamalizika kesho(jana) lakini Urusi imekataa kuchukua hatua yoyote ya kurejesha hali halisi na inayoweza kuthibitishwa ya kuheshimu mkataba katika kipindi cha siku 60 tulizoipa. Kwa hivyo kuanzia kesho (jana), Marekani itajiondoa kwenye mkataba huo’,” alisema Pompeo Maafisa wa Marekani wameelezea wasiwasi kuwa China ambayo si mwanachama wa mkataba huo, imekuwa ikijiwekea makombora mengi barani Asia, hatua ambayo Marekani haiwezi ikazuia kwa sababu ya mkataba huo. Pompeo ameongeza kuwa nchi yake ingali inataka kushiriki katika mazungumzo na Urusi kuhusu udhibiti wa silaha na inatumai Urusi itaheshimu utekelezwaji wa mkataba huo Madai dhidi ya Urusi yametokana na hatua ya Urusi kutengeneza makombora ya ardhini aina ya 9M729, lakini ambayo Urusi inashikilia kuwa hayana uwezo wa kufyatuliwa kupita umbali unaokubaliwa na mkataba huo. Mapema mwezi Disemba, mwaka jana, waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Mike Pompeo alitangaza kuwa Marekani ingeipa Urusi siku 60 kurejea katika hali ya kuuheshimu mkataba huo, kabla iipe notisi rasmi ya kujiondoa hatua ambayo itakamilika baada ya miezi sita. Mkataba huo ambao pia unajulikana kwa Kiingereza kama Intermediate-Range Nuclear Forces (INF), ulikuwa hatua ya kwanza ya kupiga marufuku kabisa aina ya makombora ya ardhini yanayoweza kufyatuliwa umbali wa kati ya kilomita 500 hadi kilomita 5,500. Kuachana na mkataba wa INF kunaruhusu utawala wa Rais Trump kuikabili China japo haijabainika wazi ni vipi utafanya hivyo. ### Response: MICHEZO ### End
TIMU ya taifa ya soka ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kushuka dimbani leo kuikabili Burundi katika mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini Bujumbura, Burundi timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. Matokeo ya leo ndio tayakayoamua mshindi mmoja wa kusonga mbele katika hatua ya makundi, katika mbio za kusaka nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022 Qatar.Akizungumzia mchezo huo jana Kocha Msaidizi wa Stars, Juma Mgunda alisema wapo vizuri na wamejipanga kwa kufanyia kazi mapungufu yaliyopita kuhakikisha wanapata ushindi.“Ni mchezo muhimu wa kutoa matokeo, tuko vizuri mapungufu yaliyoonekana mchezo uliopita tumeyafanyia kazi, vijana wako tayari na vizuri kuhakikisha tunakidhi matarajio ya Watanzania,”alisema. Alihimiza Watanzania kuendeleza uzalendo kwa kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwatia nguvu wachezaji. Kwa upande wake, Kocha wa Burundi Niyungeko Oliver alisema wamekuja kupambana na kupata ushindi utakaowawezesha kusonga mbele hivyo, huenda ku kawa na mabadiliko kidogo katika kikosi chake, kwani tayari amewaona Stars. “Tumekuja kuangalia jinsi ya kuibuka na ushindi, matokeo yanapatikana uwanjani. Tutapambana na sasa hakuna matokeo ya nyumbani na ugenini, inategemea na aliyejiandaa vizuri,”alisema. Kila mmoja ana nafasi kwani timu zote zilionyesha ushindani unaofanana kutokana na ubora wa vikosi vyote ila inategemea na mbinu za kila mmoja katika mchezo wa leo kwa ajili ya mmoja kusonga mbele. Taifa Stars inahitaji suluhu au ushindi wa aina yoyote ili isonge mbele na kutinga hatua ya makundi, ambayo ni ya mwisho kwa ajili ya kufuzu kwa ajili ya Kombe la Dunia litakalofanyika Qatar 2022. Tanzania katika historia yake ya soka haijawahi kufuzu kucheza kwa Kombe la Dunia, hivyo inahitaji sana nafasi hiyo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TIMU ya taifa ya soka ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kushuka dimbani leo kuikabili Burundi katika mchezo wa marudiano wa kufuzu Kombe la Dunia utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini Bujumbura, Burundi timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. Matokeo ya leo ndio tayakayoamua mshindi mmoja wa kusonga mbele katika hatua ya makundi, katika mbio za kusaka nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022 Qatar.Akizungumzia mchezo huo jana Kocha Msaidizi wa Stars, Juma Mgunda alisema wapo vizuri na wamejipanga kwa kufanyia kazi mapungufu yaliyopita kuhakikisha wanapata ushindi.“Ni mchezo muhimu wa kutoa matokeo, tuko vizuri mapungufu yaliyoonekana mchezo uliopita tumeyafanyia kazi, vijana wako tayari na vizuri kuhakikisha tunakidhi matarajio ya Watanzania,”alisema. Alihimiza Watanzania kuendeleza uzalendo kwa kujitokeza kwa wingi uwanjani kuishangilia timu ili kuwatia nguvu wachezaji. Kwa upande wake, Kocha wa Burundi Niyungeko Oliver alisema wamekuja kupambana na kupata ushindi utakaowawezesha kusonga mbele hivyo, huenda ku kawa na mabadiliko kidogo katika kikosi chake, kwani tayari amewaona Stars. “Tumekuja kuangalia jinsi ya kuibuka na ushindi, matokeo yanapatikana uwanjani. Tutapambana na sasa hakuna matokeo ya nyumbani na ugenini, inategemea na aliyejiandaa vizuri,”alisema. Kila mmoja ana nafasi kwani timu zote zilionyesha ushindani unaofanana kutokana na ubora wa vikosi vyote ila inategemea na mbinu za kila mmoja katika mchezo wa leo kwa ajili ya mmoja kusonga mbele. Taifa Stars inahitaji suluhu au ushindi wa aina yoyote ili isonge mbele na kutinga hatua ya makundi, ambayo ni ya mwisho kwa ajili ya kufuzu kwa ajili ya Kombe la Dunia litakalofanyika Qatar 2022. Tanzania katika historia yake ya soka haijawahi kufuzu kucheza kwa Kombe la Dunia, hivyo inahitaji sana nafasi hiyo. ### Response: MICHEZO ### End
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, AveMaria Semakafu, ameitaka jamii kuzingatia utoaji na upatikanaji wa elimu, kwa kuhakikisha kwamba wanaboresha mazingira yake.Alisema hayo katika kikao cha pili cha kamati ya kitaifa ya mpango wa pamoja wa kuwawezesha wasichana na wanawake vijana kupitia elimu, unaofanywa kati ya serikali ya Tanzania na mashirika ya Umoja wa Mataifa.Alisema maelekezo mpya kuhusu elimu, yanahitaji ushirikishaji wazazi katika kila jambo, kwa lengo la kuwezesha utekelezaji wa sera ya elimu. Mpango huo unatekelezwa kwa majaribio katika wilaya za Ngorongoro mkoani Arusha, Sengerema mkoa wa Mwanza, Kasulu huko Kigoma na Mkoani kisiwa cha Pemba.Alisema kwa sasa kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo, wakaguzi wamepewa namna mpya ya ukaguzi wa maendeleo ya shule, ikiwa ni pamoja na kuangalia majirani na wazazi. Alisema ingawa kwa sasa wavulana ndio wanaoacha shule kwa wingi kuliko wasichana, serikali imekazania wasichana, kwa sababu mara zote msichana anapokwama kuendelea na shule, huwa ndio mwisho wa ndoto zake.“Watoto wa kiume wanaacha sana shule kuliko wasichana, lakini hawa huacha na kujitumbukiza katika fursa mbalimbali za kiuchumi, lakini wasichana wakikwama inakuwa ndio mwisho wao,” alisema Semakafu. Katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano kazi huo, alisema kwamba tatizo la utamaduni, linafanya maamuzi mengi katika namna ya kuokoa mtoto wa kike nchini kuwa na sababu za kutofautiana.Alisema wasichana wengine wanaacha shule, si kwa sababu ya mimba, lakini ni kutokana na umbali wa shule na mazingira magumu ya kupata elimu hiyo, pia kuwapo kwa mabadiliko ya kimwili kwa kuzingatia asili ambayo humkatisha mwanamke siku 4 au sita kuhudhuria masomo kila mwezi. Tatizo lingine ni saikolojia iliyoambatana na utamaduni, ambapo wasichana wengi hushawishiwa na wazazi wao kutofanya vyema ili wasiendelee na shule.Alisema kutokana na ukweli huo, serikali imeanzisha kampeni ya kujenga hosteli na mabweni kwa ajili ya wasichana ili kuwapunguzia adha ya usafiri kwa kuangalia mazingira yao. Alisema ingawa serikali inafahamu shida iliyopo kwa watoto wa kiume, kwa sasa mkazo uko kwa mabinti na baadae ndio wanaume. Hata hivyo, alisema kwamba serikali ya Tanzania inajikita zaidi katika kuhakikisha kwamba inatoa elimu ya msingi yenye ubora kwa wananchi, kwa mujibu wa Sera ya mwaka 2014. Aliwashukuru wadau kwa kuchangia katika kuimarisha elimu.Alisema mipango mingi ya wadau ikiwemo ya kusoma kwa njia ya mtandao, mpango ulioanzishwa Ngorongoro, sasa unafaa kusambazwa maeneo mengine yenye ugumu kama wilaya ya Igunga, ambako baadhi ya wanafunzi hulazimika kutembea kilomita 15 kufuata shule.Pia alisema mradi kama huo wa kuwezesha mabinti, unatia shime katika juhudi za serikali kuwakomboa wanawake na kwamba kazi inayofanywa na wadau ni ya nzuri na ya kutia moyo. Mradi huo unashirikisha mashirika ya Umoja wa Mataifa ya UNESCO, UNFPA, UN Women umefadhiliwa na Shirika la Misaada la Korea (KOICA). Katika mkutano huo, kulijadiliwa ripoti za utekelezaji wa mradi kwa mwaka jana, matokeo yake na kupanga kazi za mwaka huu.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, AveMaria Semakafu, ameitaka jamii kuzingatia utoaji na upatikanaji wa elimu, kwa kuhakikisha kwamba wanaboresha mazingira yake.Alisema hayo katika kikao cha pili cha kamati ya kitaifa ya mpango wa pamoja wa kuwawezesha wasichana na wanawake vijana kupitia elimu, unaofanywa kati ya serikali ya Tanzania na mashirika ya Umoja wa Mataifa.Alisema maelekezo mpya kuhusu elimu, yanahitaji ushirikishaji wazazi katika kila jambo, kwa lengo la kuwezesha utekelezaji wa sera ya elimu. Mpango huo unatekelezwa kwa majaribio katika wilaya za Ngorongoro mkoani Arusha, Sengerema mkoa wa Mwanza, Kasulu huko Kigoma na Mkoani kisiwa cha Pemba.Alisema kwa sasa kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo, wakaguzi wamepewa namna mpya ya ukaguzi wa maendeleo ya shule, ikiwa ni pamoja na kuangalia majirani na wazazi. Alisema ingawa kwa sasa wavulana ndio wanaoacha shule kwa wingi kuliko wasichana, serikali imekazania wasichana, kwa sababu mara zote msichana anapokwama kuendelea na shule, huwa ndio mwisho wa ndoto zake.“Watoto wa kiume wanaacha sana shule kuliko wasichana, lakini hawa huacha na kujitumbukiza katika fursa mbalimbali za kiuchumi, lakini wasichana wakikwama inakuwa ndio mwisho wao,” alisema Semakafu. Katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano kazi huo, alisema kwamba tatizo la utamaduni, linafanya maamuzi mengi katika namna ya kuokoa mtoto wa kike nchini kuwa na sababu za kutofautiana.Alisema wasichana wengine wanaacha shule, si kwa sababu ya mimba, lakini ni kutokana na umbali wa shule na mazingira magumu ya kupata elimu hiyo, pia kuwapo kwa mabadiliko ya kimwili kwa kuzingatia asili ambayo humkatisha mwanamke siku 4 au sita kuhudhuria masomo kila mwezi. Tatizo lingine ni saikolojia iliyoambatana na utamaduni, ambapo wasichana wengi hushawishiwa na wazazi wao kutofanya vyema ili wasiendelee na shule.Alisema kutokana na ukweli huo, serikali imeanzisha kampeni ya kujenga hosteli na mabweni kwa ajili ya wasichana ili kuwapunguzia adha ya usafiri kwa kuangalia mazingira yao. Alisema ingawa serikali inafahamu shida iliyopo kwa watoto wa kiume, kwa sasa mkazo uko kwa mabinti na baadae ndio wanaume. Hata hivyo, alisema kwamba serikali ya Tanzania inajikita zaidi katika kuhakikisha kwamba inatoa elimu ya msingi yenye ubora kwa wananchi, kwa mujibu wa Sera ya mwaka 2014. Aliwashukuru wadau kwa kuchangia katika kuimarisha elimu.Alisema mipango mingi ya wadau ikiwemo ya kusoma kwa njia ya mtandao, mpango ulioanzishwa Ngorongoro, sasa unafaa kusambazwa maeneo mengine yenye ugumu kama wilaya ya Igunga, ambako baadhi ya wanafunzi hulazimika kutembea kilomita 15 kufuata shule.Pia alisema mradi kama huo wa kuwezesha mabinti, unatia shime katika juhudi za serikali kuwakomboa wanawake na kwamba kazi inayofanywa na wadau ni ya nzuri na ya kutia moyo. Mradi huo unashirikisha mashirika ya Umoja wa Mataifa ya UNESCO, UNFPA, UN Women umefadhiliwa na Shirika la Misaada la Korea (KOICA). Katika mkutano huo, kulijadiliwa ripoti za utekelezaji wa mradi kwa mwaka jana, matokeo yake na kupanga kazi za mwaka huu. ### Response: KITAIFA ### End
S PIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema bunge lake sio dhaifu. Ndugai alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana mbele ya Rais John Magufuli katika hafla ya serikali kupokea Mfumo wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) mbapo alisema kuwa Bunge lake sio dhaifu linafanya kazi nzuri yenye matokeo mazuri na manufaa kwa taifa.“Hii ni moja ya kazi zilizoanzia bungeni na ni uthibitisho kuwa bunge letu sio thaifu,” alisema Ndugai akizungumzia Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu uliokabidhiwa jana kwa serikali ulioko chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).Kauli hiyo imekuja baada ya hivi karibuni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mussa Assad kusema kuwa bunge linatakiwa lisimamie na kuhakikisha kwamba pale penye matatizo hatua zinachukuliwa jambo ambalo lilimuibua Spika na kumtaka CAG kuripoti katika Kamati ya Maadili, Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge, Januari 21 mwaka huu.Spika Ndugai pia juzi alikanusha Bunge kusitisha kufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad bali akasema alichofanya ni kuwatawanya wajumbe wa Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na ile ya Hesabu za Serikali za Tawala za Mikoa na Mitaa (LAAC) kufanya kazi katika kamati nyingine wakati huu ambapo kamati hizo zitafanya kazi kwa wiki mbili na baada ya hapo zitarudi katika kazi zake za kawaida.Assad, katika mahojiano yake na vyombo vya habari juzi alisema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ya kwenda Januari 21, mwaka huu, kama alivyotakiwa na Spika Ndugai na kuongeza kuwa majibu yake katika mahojiano yaliyozua mjadala hayakuwa na nia ya kulidhalilisha bunge.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- S PIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema bunge lake sio dhaifu. Ndugai alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana mbele ya Rais John Magufuli katika hafla ya serikali kupokea Mfumo wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) mbapo alisema kuwa Bunge lake sio dhaifu linafanya kazi nzuri yenye matokeo mazuri na manufaa kwa taifa.“Hii ni moja ya kazi zilizoanzia bungeni na ni uthibitisho kuwa bunge letu sio thaifu,” alisema Ndugai akizungumzia Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu uliokabidhiwa jana kwa serikali ulioko chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).Kauli hiyo imekuja baada ya hivi karibuni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mussa Assad kusema kuwa bunge linatakiwa lisimamie na kuhakikisha kwamba pale penye matatizo hatua zinachukuliwa jambo ambalo lilimuibua Spika na kumtaka CAG kuripoti katika Kamati ya Maadili, Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge, Januari 21 mwaka huu.Spika Ndugai pia juzi alikanusha Bunge kusitisha kufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad bali akasema alichofanya ni kuwatawanya wajumbe wa Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na ile ya Hesabu za Serikali za Tawala za Mikoa na Mitaa (LAAC) kufanya kazi katika kamati nyingine wakati huu ambapo kamati hizo zitafanya kazi kwa wiki mbili na baada ya hapo zitarudi katika kazi zake za kawaida.Assad, katika mahojiano yake na vyombo vya habari juzi alisema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ya kwenda Januari 21, mwaka huu, kama alivyotakiwa na Spika Ndugai na kuongeza kuwa majibu yake katika mahojiano yaliyozua mjadala hayakuwa na nia ya kulidhalilisha bunge. ### Response: KITAIFA ### End
KULWA MZEE, DAR ES SALAAM Mfanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Ubungo, Andrew Babu (27) na wafanyabiashara watatu, wameshtakiwa kwa kula njama, kughushi Tembo kadi ya mteja, wizi wa zaidi ya Sh milioni 100 na kutakatisha fedha hizo. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni, William Sige (52), Justina Boniphace (49) na Alli Tutupa (35) wote wanaishi jijini Dar es Salaam. Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo  Simon akisoma mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustine Mbando alidai kati ya Oktoba 2018 na Aprili 19, 2019 washtakiwa wote kwa pamoja walikula njama  kutenda kosa la wizi. Katika shtaka jingine imedaiwa, Oktoba 29, mwaka jana katika benki ya CRDB tawi la Ubungo, ndani ya manispaa ya Ubungo, mshtakiwa Babu peke yake kwa nia ya kulaghai au kudanganya, alighushi sahihi ya Charles Kihamia katika fomu ya maombi ya Tembo card. Pia mshtakiwa Babu anadaiwa, Novemba 6, 2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika kitabu cha usajili kwa madhumuni ya kuonyesha kuwa, sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Mshtakiwa Babu anadaiwa Novemba 5, 2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika usajili wa kadi ya visa ya Tembo, kwa madhumuni ya kuonesha kuwa sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Inadaiwa Novemba 6,2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika kitabu cha usajili wa uelekezaji  kwenye fomu ya maombi kwa madhumuni ya kuonesha kuwa, sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli.  Mshtakiwa Babu pia anadaiwa, Oktoba 29, 2018 huko katika benki ya CRDB, alitoa  fomu ya kughushi ya maombi ya Tembo kadi  kwa ofisa wa banki hiyo aitwaye Omary Mduyah  kwa dhumuni la kuonesha kuwa fomu hiyo imetolewa na kusainiwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Katika shtaka la mwisho, imedaiwa kati ya Novemba 7,2018 na Aprili 29,2019  washtakiwa hao kupitia kadi ya gold ya Visa, walijipatia sh. 106,267,907/-  kutoka kwa Charles Kihamia kupitia Visa gold card huku wakijua kuwa fedha hizo ni mazao ya makosa tangulizi ya kughushi na wizi. Hata hivyo wa washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 10, mwaka huu.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KULWA MZEE, DAR ES SALAAM Mfanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Ubungo, Andrew Babu (27) na wafanyabiashara watatu, wameshtakiwa kwa kula njama, kughushi Tembo kadi ya mteja, wizi wa zaidi ya Sh milioni 100 na kutakatisha fedha hizo. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni, William Sige (52), Justina Boniphace (49) na Alli Tutupa (35) wote wanaishi jijini Dar es Salaam. Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo  Simon akisoma mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustine Mbando alidai kati ya Oktoba 2018 na Aprili 19, 2019 washtakiwa wote kwa pamoja walikula njama  kutenda kosa la wizi. Katika shtaka jingine imedaiwa, Oktoba 29, mwaka jana katika benki ya CRDB tawi la Ubungo, ndani ya manispaa ya Ubungo, mshtakiwa Babu peke yake kwa nia ya kulaghai au kudanganya, alighushi sahihi ya Charles Kihamia katika fomu ya maombi ya Tembo card. Pia mshtakiwa Babu anadaiwa, Novemba 6, 2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika kitabu cha usajili kwa madhumuni ya kuonyesha kuwa, sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Mshtakiwa Babu anadaiwa Novemba 5, 2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika usajili wa kadi ya visa ya Tembo, kwa madhumuni ya kuonesha kuwa sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Inadaiwa Novemba 6,2018 alighushi sahihi ya Kihamia katika kitabu cha usajili wa uelekezaji  kwenye fomu ya maombi kwa madhumuni ya kuonesha kuwa, sahihi hiyo imewekwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli.  Mshtakiwa Babu pia anadaiwa, Oktoba 29, 2018 huko katika benki ya CRDB, alitoa  fomu ya kughushi ya maombi ya Tembo kadi  kwa ofisa wa banki hiyo aitwaye Omary Mduyah  kwa dhumuni la kuonesha kuwa fomu hiyo imetolewa na kusainiwa na Kihamia huku akijua kuwa siyo kweli. Katika shtaka la mwisho, imedaiwa kati ya Novemba 7,2018 na Aprili 29,2019  washtakiwa hao kupitia kadi ya gold ya Visa, walijipatia sh. 106,267,907/-  kutoka kwa Charles Kihamia kupitia Visa gold card huku wakijua kuwa fedha hizo ni mazao ya makosa tangulizi ya kughushi na wizi. Hata hivyo wa washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 10, mwaka huu. ### Response: KITAIFA ### End
Na WINFRIDA MTOI-DAR ES SALAAM KIUNGO wa zamani wa Simba, James Kotei, bado hajaisahau raha ya mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga, baada ya kusema leo ataketi mahali tulivu kuufatilia ‘live’. Timu hizo zitaumana, ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kuanzia saa 11 jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kotei aliicheza Simba kwa mafanikio makubwa, akiisaidia kutwaa mataji mawili ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuifikisha robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita, kabla ya kutimkia Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na kisha FC Slavia-Mozyr ya Belarus. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kotei alisema mchezo huo ni mkubwa hivyo ataungana na Wanasimba kuisapoti timu yake hiyo ya zamani. “Najua kama kesho ni mchezo wa ‘derby’ ya Kariakoo, nitaangalia mechi hii hapa hapa nilipo, nakumbuka shamrashamra zake, Simba Nguvu Moja. “Kitu kikubwa ninachokumbuka katika mchezo huu ni jinsi mashabiki wanavyoufanya mchezo huo kuwa na mvuto wa aina yake na ndicho kinanifanya niangalie,”alisema Kotei.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na WINFRIDA MTOI-DAR ES SALAAM KIUNGO wa zamani wa Simba, James Kotei, bado hajaisahau raha ya mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga, baada ya kusema leo ataketi mahali tulivu kuufatilia ‘live’. Timu hizo zitaumana, ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kuanzia saa 11 jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kotei aliicheza Simba kwa mafanikio makubwa, akiisaidia kutwaa mataji mawili ya Ligi Kuu Tanzania Bara na kuifikisha robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita, kabla ya kutimkia Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na kisha FC Slavia-Mozyr ya Belarus. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kotei alisema mchezo huo ni mkubwa hivyo ataungana na Wanasimba kuisapoti timu yake hiyo ya zamani. “Najua kama kesho ni mchezo wa ‘derby’ ya Kariakoo, nitaangalia mechi hii hapa hapa nilipo, nakumbuka shamrashamra zake, Simba Nguvu Moja. “Kitu kikubwa ninachokumbuka katika mchezo huu ni jinsi mashabiki wanavyoufanya mchezo huo kuwa na mvuto wa aina yake na ndicho kinanifanya niangalie,”alisema Kotei. ### Response: MICHEZO ### End
Meneja wa masanii Hamonize (Kondeboy) umezungumzia suala la albamu ya msanii huyo iliyotolewa hivi karibuni (Afro East) kuondolewa katika mitandao ya kijamii kwasababu zinazoelezwa kuwa ni masuala ya hati miliki. Masaa kadhaa yaliyopita nyimbo za msanii huyo zilishushwa katika majukwaa mbalimbali ya kimtandao lakini asubuhi ya leoMachi 26, 2020 Kondeboy amesema sasa zinapatikana katika baadhi ya majukwaa. Baada ya tukio hilo Meneja wa Kondeboy Mjerumani amesema kuna mazungumzo na youtube pamoja na wadau wengine ambao nyimbo zao zimeshushwa na mambo yanakwenda vizuri. Amesema baadaye baada kumaliza changamoto iliyopo wataeleza kilichotokea “Albamu yetu imerudi katika baadhi ya majukwaa na baadaye tutaweza kuzungumza” Hellow My People Sory Kwa Usumbufu Ulio Jitokeza Jana…!!!! @afroeast2020 Kuto Kuwepo Katika digital platform Zote..!!!! Napozungumza Na Wewe @afroeast2020 Imesha Rudi on @applemusic x @spotify x @tidal @audiomack @boomplaymusic Na Ifikapo Saa 1:00 Basi Itakuwa Live On You Tube Pia Bless Up For Your Support #KONDEGANG4EVERYBODY we Are Taking This To the World 🌏 ⚙🎹⚙ ENJOY LINK ON BIO A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on Mar 25, 2020 at 11:39pm PDT Meneja wa Msanii @Harmonize_tz Mjerumani amefunguka kuhusu kisanga cha albam ya Afro East kuondolewa katika mitandao ikiwemo YouTube kwa kile kinachodaiwa kuwa ni hakimiliki (Copyrights). #SocialBuzz A post shared by Clouds FM🇹🇿 (@cloudsfmtz) on Mar 26, 2020 at 2:35am PDT    
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Meneja wa masanii Hamonize (Kondeboy) umezungumzia suala la albamu ya msanii huyo iliyotolewa hivi karibuni (Afro East) kuondolewa katika mitandao ya kijamii kwasababu zinazoelezwa kuwa ni masuala ya hati miliki. Masaa kadhaa yaliyopita nyimbo za msanii huyo zilishushwa katika majukwaa mbalimbali ya kimtandao lakini asubuhi ya leoMachi 26, 2020 Kondeboy amesema sasa zinapatikana katika baadhi ya majukwaa. Baada ya tukio hilo Meneja wa Kondeboy Mjerumani amesema kuna mazungumzo na youtube pamoja na wadau wengine ambao nyimbo zao zimeshushwa na mambo yanakwenda vizuri. Amesema baadaye baada kumaliza changamoto iliyopo wataeleza kilichotokea “Albamu yetu imerudi katika baadhi ya majukwaa na baadaye tutaweza kuzungumza” Hellow My People Sory Kwa Usumbufu Ulio Jitokeza Jana…!!!! @afroeast2020 Kuto Kuwepo Katika digital platform Zote..!!!! Napozungumza Na Wewe @afroeast2020 Imesha Rudi on @applemusic x @spotify x @tidal @audiomack @boomplaymusic Na Ifikapo Saa 1:00 Basi Itakuwa Live On You Tube Pia Bless Up For Your Support #KONDEGANG4EVERYBODY we Are Taking This To the World 🌏 ⚙🎹⚙ ENJOY LINK ON BIO A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on Mar 25, 2020 at 11:39pm PDT Meneja wa Msanii @Harmonize_tz Mjerumani amefunguka kuhusu kisanga cha albam ya Afro East kuondolewa katika mitandao ikiwemo YouTube kwa kile kinachodaiwa kuwa ni hakimiliki (Copyrights). #SocialBuzz A post shared by Clouds FM🇹🇿 (@cloudsfmtz) on Mar 26, 2020 at 2:35am PDT     ### Response: BURUDANI ### End
Kulwa Mzee, Dar es Salaam Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amebwagwa mahakamani baada ya maombi yake ya kutaka kufungua kesi kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge, Job Ndugai kumvua ubunge wa jimbo hilo kutupiliwa mbali. Imedaiwa maombi hayo yangesikilizwa hadi mwisho na Lissu kushinda, Jimbo la Singida Mashariki lingekuwa na wabunge wawili ambapo ni kinyume cha Katiba. Pia maombi hayo yemechelewa kuletwa mahakamani. Akitoa uamuzi huo Jaji Sirilius Matupa leo Jumatatu Septemba 9, amesema maombi ya Lissu hayatekelezeki kwa sababu mleta maombi alitakiwa kufungua kesi ya kupinga uchaguzi mahakamani badala yake wameleta maombi ya kutaka kupinga uamuzi wa spika. “Mahakama imepata wakati mgumu sana katika kupitia maombi haya kwa sababu kilichotakiwa ni kupinga uchaguzi na lakini hakuna mahali walikofungua kesi mahakamani. “Tungeruhusu maombi haya hadi mwisho, maana yake Singida Mashariki ingekuwa na wabunge wawili kitu ambacho ni kinyume na Katiba,” amesema Jaji Matupa. Lissu kupitia Wakili wake Peter Kibatala, aliomba Mahakama Kuu imruhusu kufungua maombi ya Spika kumvua ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kulwa Mzee, Dar es Salaam Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amebwagwa mahakamani baada ya maombi yake ya kutaka kufungua kesi kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge, Job Ndugai kumvua ubunge wa jimbo hilo kutupiliwa mbali. Imedaiwa maombi hayo yangesikilizwa hadi mwisho na Lissu kushinda, Jimbo la Singida Mashariki lingekuwa na wabunge wawili ambapo ni kinyume cha Katiba. Pia maombi hayo yemechelewa kuletwa mahakamani. Akitoa uamuzi huo Jaji Sirilius Matupa leo Jumatatu Septemba 9, amesema maombi ya Lissu hayatekelezeki kwa sababu mleta maombi alitakiwa kufungua kesi ya kupinga uchaguzi mahakamani badala yake wameleta maombi ya kutaka kupinga uamuzi wa spika. “Mahakama imepata wakati mgumu sana katika kupitia maombi haya kwa sababu kilichotakiwa ni kupinga uchaguzi na lakini hakuna mahali walikofungua kesi mahakamani. “Tungeruhusu maombi haya hadi mwisho, maana yake Singida Mashariki ingekuwa na wabunge wawili kitu ambacho ni kinyume na Katiba,” amesema Jaji Matupa. Lissu kupitia Wakili wake Peter Kibatala, aliomba Mahakama Kuu imruhusu kufungua maombi ya Spika kumvua ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki. ### Response: KITAIFA ### End
LEO ni Kumbukizi ya miaka 19 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia Oktoba 14, 1999 jijini London, Uingereza.Kumbukizi hiyo inaenda sambamba na kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru ambacho sherehe zake kitaifa zinafanyika Uwanja wa Mkwakwani jijini hapa leo.Jana ilikuwa ni kilele cha Wiki ya Vijana ambayo vijana kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga na sehemu nyingine za nchi, walipata fursa za kuonesha shughuli mbalimbali wanazozifanya katika mabanda ya maonesho yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Tangamano mjini hapa.Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru leo kinafanya mbio hizo kutimiza siku 195 ambazo uliweka mawe ya msingi, kuzindua, kukagua na kufungua miradi ya maendeleo katika halmashauri 195 za mikoa 31 ya Tanzania Bara na Visiwani tangu ulipozinduliwa Aprili 2, mwaka huu Geita na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ukiwa na ujumbe “Elimu ni ufunguo wa maisha, wekeza sasa kwa maendeleo ya Taifa letu.”Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi leo katika sherehe zinazoifanya Tanga iweke historia kwani imepita miaka 10 tangu kilele cha mwisho kifanyike hapo hapo mwaka 2008.Viongozi wengine wa kitaifa wanaotarajiwa kuhudhuria ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Job Ndugai, mawaziri kutoka serikali za Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi Zanzibar (SMZ).Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama aliwaambia waandishi wa habari jana maandalizi yote kwa shughuli hiyo yamekamilika.“Pia kesho (leo) Ofisi ya Waziri Mkuu inakabidhi rasmi mpango mkakati wa kutoa ujuzi kwa vijana waweze kujiajiri kwenye sekta ya kilimo kwa kutumia ujuzi na utaalamu mpya kwa kulima mbogamboga na matunda kwenye bustani nyumba maarufu Green House,” alisema.Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa SMZ, Balozi Ali Karume alisema katika sherehe hizo ambazo pia kunakuwa na Wiki ya Vijana, lengo ni kuwaunganisha vijana wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uzalendo wa kujitolea kujenga nchi.Alisema dhumuni la kuuweka Mwenge katika kilele cha Mlima Kilimanjaro ni kumulika nje ya mipaka.Awali, Mkuu wa Mkuu wa Tanga, Martin Shigella alisema maandalizi yote yamekamilika na kuwataka wananchi kuwahi mapema.“Milango itakuwa wazi kuanzia saa 11:30 alfajiri. Maandalizi yamekamilika ikiwemo halaiki, ngoma za utamaduni na wasanii hivyo wananchi mnaalikwa kufika mapema,” alisema.Mwenge huo ulipokelewa Mkomazi wilayani Korogwe ukitokea Kilimanjaro, Oktoba 3, mwaka huu. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira aliukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Shigella.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LEO ni Kumbukizi ya miaka 19 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia Oktoba 14, 1999 jijini London, Uingereza.Kumbukizi hiyo inaenda sambamba na kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru ambacho sherehe zake kitaifa zinafanyika Uwanja wa Mkwakwani jijini hapa leo.Jana ilikuwa ni kilele cha Wiki ya Vijana ambayo vijana kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga na sehemu nyingine za nchi, walipata fursa za kuonesha shughuli mbalimbali wanazozifanya katika mabanda ya maonesho yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Tangamano mjini hapa.Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru leo kinafanya mbio hizo kutimiza siku 195 ambazo uliweka mawe ya msingi, kuzindua, kukagua na kufungua miradi ya maendeleo katika halmashauri 195 za mikoa 31 ya Tanzania Bara na Visiwani tangu ulipozinduliwa Aprili 2, mwaka huu Geita na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ukiwa na ujumbe “Elimu ni ufunguo wa maisha, wekeza sasa kwa maendeleo ya Taifa letu.”Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi leo katika sherehe zinazoifanya Tanga iweke historia kwani imepita miaka 10 tangu kilele cha mwisho kifanyike hapo hapo mwaka 2008.Viongozi wengine wa kitaifa wanaotarajiwa kuhudhuria ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Job Ndugai, mawaziri kutoka serikali za Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi Zanzibar (SMZ).Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama aliwaambia waandishi wa habari jana maandalizi yote kwa shughuli hiyo yamekamilika.“Pia kesho (leo) Ofisi ya Waziri Mkuu inakabidhi rasmi mpango mkakati wa kutoa ujuzi kwa vijana waweze kujiajiri kwenye sekta ya kilimo kwa kutumia ujuzi na utaalamu mpya kwa kulima mbogamboga na matunda kwenye bustani nyumba maarufu Green House,” alisema.Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa SMZ, Balozi Ali Karume alisema katika sherehe hizo ambazo pia kunakuwa na Wiki ya Vijana, lengo ni kuwaunganisha vijana wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uzalendo wa kujitolea kujenga nchi.Alisema dhumuni la kuuweka Mwenge katika kilele cha Mlima Kilimanjaro ni kumulika nje ya mipaka.Awali, Mkuu wa Mkuu wa Tanga, Martin Shigella alisema maandalizi yote yamekamilika na kuwataka wananchi kuwahi mapema.“Milango itakuwa wazi kuanzia saa 11:30 alfajiri. Maandalizi yamekamilika ikiwemo halaiki, ngoma za utamaduni na wasanii hivyo wananchi mnaalikwa kufika mapema,” alisema.Mwenge huo ulipokelewa Mkomazi wilayani Korogwe ukitokea Kilimanjaro, Oktoba 3, mwaka huu. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira aliukabidhi kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Shigella. ### Response: KITAIFA ### End
Mwamuzi wa mechi hiyo Erick Onoka wa Arusha na Kamisaa Omar Juma walifikia uamuzi wa kuahirisha mechi hiyo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kutwa nzima ya jana na kuharibu uwanja.Taarifa hizo zilisema kuwa uwanja ulijaa maji na kwamba mechi isingewezekana kuchezwa na kwa vile leo uwanja huo utatumika katika mechi nyingine ya Ligi Kuu kati ya Stand United na Mtibwa Sugar, hivyo mechi hiyo itachezwa kesho.Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuwania kumaliza kwenye nafasi nne za juu katika msimamo wa ligi. Timu hizo zipo kwenye nafasi ya tatu na ya nne kwenye msimamo wa ligi, Simba ikiwa na pointi 29 na Kagera pointi 24.Simba inataka kushinda mechi hiyo si tu kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kumaliza ligi kwenye nafasi za juu, lakini pia ikitaka kulipa kisasi kwa Kagera Sugar kwani katika mechi ya mzunguko wa kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wekundu hao wa Msimbazi walilala kwa bao 1-0.Timu hizo zinakutana zote zikiwa zimetoka kupata matokeo mazuri katika mechi zilizopita ambapo Simba iliifunga Ruvu Shooting mabao 3-0 na Kagera Sugar ikiifunga Mtibwa Sugar mabao 2-1.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwamuzi wa mechi hiyo Erick Onoka wa Arusha na Kamisaa Omar Juma walifikia uamuzi wa kuahirisha mechi hiyo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kutwa nzima ya jana na kuharibu uwanja.Taarifa hizo zilisema kuwa uwanja ulijaa maji na kwamba mechi isingewezekana kuchezwa na kwa vile leo uwanja huo utatumika katika mechi nyingine ya Ligi Kuu kati ya Stand United na Mtibwa Sugar, hivyo mechi hiyo itachezwa kesho.Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuwania kumaliza kwenye nafasi nne za juu katika msimamo wa ligi. Timu hizo zipo kwenye nafasi ya tatu na ya nne kwenye msimamo wa ligi, Simba ikiwa na pointi 29 na Kagera pointi 24.Simba inataka kushinda mechi hiyo si tu kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kumaliza ligi kwenye nafasi za juu, lakini pia ikitaka kulipa kisasi kwa Kagera Sugar kwani katika mechi ya mzunguko wa kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wekundu hao wa Msimbazi walilala kwa bao 1-0.Timu hizo zinakutana zote zikiwa zimetoka kupata matokeo mazuri katika mechi zilizopita ambapo Simba iliifunga Ruvu Shooting mabao 3-0 na Kagera Sugar ikiifunga Mtibwa Sugar mabao 2-1. ### Response: MICHEZO ### End
Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Rais John Magufuli, amezindua ghala kuu na mitambo ya gesi ya Kampuni ya Taifa Gas Ltd. inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz ambapo amewataka Watanzania wanaotumia mkaa kuanza kutumia gesi ili kupunguza gharama na kujilinda kiafya. Aidha, amezipongeza sekta binafsi kwa kuamua kuungana na serikali kuwekeza katika gesi asilia. “Nitoe wito kwa Watanzania ambao wamezoea kutumia mkaa waanze kutumia gesi kwa sababu kwanza wanapunguza gharama lakini pia wanajilinda kiafya kwani gesi ni salama na nafuu kutumia. “Lakini pia nimefurahi kuona mmiliki na wengine wanaomiliki kampuni hii kwa asilimia 100 ni wazawa, nikupongeze sana Rostam na Watanzania wengine kwa uwekezaji na kuweza kutoa ajira zaidi ya 200 kwa Watanzania,” amesema Rais Magufuli. Amesema ameambiwa kutokana na uwekezaji huo, kampuni hiyo imefanikiwa kulipa kodi hadi kufikia Sh bilioni moja, na kuwa matumaini yake kuwa kodi itaongezeka kadri uzalishaji wa gesi utakavyokuwa naendelea kuwapongeza ambapo ameahidi kuwa serikali iko pamoja nao. “Naomba Serikali iache kuingilia sekta binafsi walishindwa kuleta hii gesi hapa leo wameona iko tayari wanakimbia kimbia kufanya nini, lazima mambo haya tushirikiane ili yaende. “Kuna wakati fulami tuliwahi kuchukua uamuzi fulani mgumu, kulikuwa na kampuni inaitwa TIPA leo haipo naomba sana yasije kutokea kama yalivyotokea TIPA ikasambaratika,” amesema Rais Magufuli. Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Nishati kuhakikisha gesi asilia inafika katika maeneo ambayo haijafika japo wizara yenyewe ina nishati yake asilia lakini ihakikishe na hii nyingine inafika katika maeneno mengi. “Lakini nawasihi na ninyi wasambazaji mpunguze bei ya mitungi, na nimefurahi kusikia kuwa  Taifa Gas mtatengeneza mitungi yenu wenyewe na hiii itafanya bei ya gesi ipungue na kila Mtanzania atamudu kununua,” amesema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Rais John Magufuli, amezindua ghala kuu na mitambo ya gesi ya Kampuni ya Taifa Gas Ltd. inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz ambapo amewataka Watanzania wanaotumia mkaa kuanza kutumia gesi ili kupunguza gharama na kujilinda kiafya. Aidha, amezipongeza sekta binafsi kwa kuamua kuungana na serikali kuwekeza katika gesi asilia. “Nitoe wito kwa Watanzania ambao wamezoea kutumia mkaa waanze kutumia gesi kwa sababu kwanza wanapunguza gharama lakini pia wanajilinda kiafya kwani gesi ni salama na nafuu kutumia. “Lakini pia nimefurahi kuona mmiliki na wengine wanaomiliki kampuni hii kwa asilimia 100 ni wazawa, nikupongeze sana Rostam na Watanzania wengine kwa uwekezaji na kuweza kutoa ajira zaidi ya 200 kwa Watanzania,” amesema Rais Magufuli. Amesema ameambiwa kutokana na uwekezaji huo, kampuni hiyo imefanikiwa kulipa kodi hadi kufikia Sh bilioni moja, na kuwa matumaini yake kuwa kodi itaongezeka kadri uzalishaji wa gesi utakavyokuwa naendelea kuwapongeza ambapo ameahidi kuwa serikali iko pamoja nao. “Naomba Serikali iache kuingilia sekta binafsi walishindwa kuleta hii gesi hapa leo wameona iko tayari wanakimbia kimbia kufanya nini, lazima mambo haya tushirikiane ili yaende. “Kuna wakati fulami tuliwahi kuchukua uamuzi fulani mgumu, kulikuwa na kampuni inaitwa TIPA leo haipo naomba sana yasije kutokea kama yalivyotokea TIPA ikasambaratika,” amesema Rais Magufuli. Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Nishati kuhakikisha gesi asilia inafika katika maeneo ambayo haijafika japo wizara yenyewe ina nishati yake asilia lakini ihakikishe na hii nyingine inafika katika maeneno mengi. “Lakini nawasihi na ninyi wasambazaji mpunguze bei ya mitungi, na nimefurahi kusikia kuwa  Taifa Gas mtatengeneza mitungi yenu wenyewe na hiii itafanya bei ya gesi ipungue na kila Mtanzania atamudu kununua,” amesema. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe amewaita wakazi wa Temeke kujitokeza kwa wingi leo kujaza uwanja wa Uhuru kwenye uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni la jumuia ya Afrika Mashariki (Jamafest).Uzinduzi huo utafanywa na Makamu wa Rais Samia Suluhu ukishuhudiwa na burudani za ngoma mbalimbali kutoka kwa nchi wanachama wa Jumuiya hiyo. Akizungumzia tamasha hilo jana kwenye Dk. Mwakyembe alisema itapendeza wakazi wa eneo hilo kama watajaa kuungana na wanajumuiya wengine kufurahia ushindi wa kubakia kwa utamaduni wa Afrika Mashariki uliotekwa na wakoloni kwa muda mrefu.“Historia ya utumwa inaonyesha namna gani wakoloni walikuwa wakitumia nguvu nyingi kupoteza utamaduni wetu lakini leo tunashukuru tumeubakiza na tunasherehekea ushindi,”alisema.Waziri Mwakyembe pia, aliwapongeza washiriki kutoka Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda na Burundi kwa kushikamana katika maandamano maalum ya kufungua pazia la tamasha hilo jana.Alisema muda sio mrefu utamaduni wa nchi zote hizo utakuwa bidhaa inayouzwa na ndio maana amewaalika Mabalozi mbalimbali kuja kujionea mambo mazuri kuanzia tukio la leo.Katika ufunguzi huo jana, kila nchi ilionyesha burudani ya ngoma huku Burundi ikifunika kwa kuvutia watu, ikifuatiwa na Rwanda, Kenya, Uganda, Zanzibar na Tanzania.Pia, kuna viongozi mbalimbali wa ukanda huo walioshiriki wakiwemo Mawaziri, Naibu mawaziri, Makatibu Wakuu wakitokea katika Wizara za Michezo na Utamaduni.Kilichoonyeshwa jana kitaendelezwa tena leo sambamba na burudani za wasanii waliotunga wimbo maalum ukiongozwa na Peter Msechu, Diamond Plutnumz, Barnaba, Ruby, Hadija Kopa na wengine kibao.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe amewaita wakazi wa Temeke kujitokeza kwa wingi leo kujaza uwanja wa Uhuru kwenye uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni la jumuia ya Afrika Mashariki (Jamafest).Uzinduzi huo utafanywa na Makamu wa Rais Samia Suluhu ukishuhudiwa na burudani za ngoma mbalimbali kutoka kwa nchi wanachama wa Jumuiya hiyo. Akizungumzia tamasha hilo jana kwenye Dk. Mwakyembe alisema itapendeza wakazi wa eneo hilo kama watajaa kuungana na wanajumuiya wengine kufurahia ushindi wa kubakia kwa utamaduni wa Afrika Mashariki uliotekwa na wakoloni kwa muda mrefu.“Historia ya utumwa inaonyesha namna gani wakoloni walikuwa wakitumia nguvu nyingi kupoteza utamaduni wetu lakini leo tunashukuru tumeubakiza na tunasherehekea ushindi,”alisema.Waziri Mwakyembe pia, aliwapongeza washiriki kutoka Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda na Burundi kwa kushikamana katika maandamano maalum ya kufungua pazia la tamasha hilo jana.Alisema muda sio mrefu utamaduni wa nchi zote hizo utakuwa bidhaa inayouzwa na ndio maana amewaalika Mabalozi mbalimbali kuja kujionea mambo mazuri kuanzia tukio la leo.Katika ufunguzi huo jana, kila nchi ilionyesha burudani ya ngoma huku Burundi ikifunika kwa kuvutia watu, ikifuatiwa na Rwanda, Kenya, Uganda, Zanzibar na Tanzania.Pia, kuna viongozi mbalimbali wa ukanda huo walioshiriki wakiwemo Mawaziri, Naibu mawaziri, Makatibu Wakuu wakitokea katika Wizara za Michezo na Utamaduni.Kilichoonyeshwa jana kitaendelezwa tena leo sambamba na burudani za wasanii waliotunga wimbo maalum ukiongozwa na Peter Msechu, Diamond Plutnumz, Barnaba, Ruby, Hadija Kopa na wengine kibao. ### Response: MICHEZO ### End
Serikali imepiga marufuku usafi rishaji wa kaboni kwa ajili ya kuchenjulia madini ya dhahabu kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.Imesisitiza kuwa haitasita kumchukulia hatua za kisheria mchimbaji wa madini, atakayekiuka agizo hilo. Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo alisema hayo juzi katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini katika Kijiji cha Saza wilayani Songwe mkoani Songwe, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku mbili katika mkoa huo.Lengo la ziara hiyo ni kukagua uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Nyongo alisema lengo la serikali kupitia Wizara ya Madini kupiga marufuku usafirishaji wa kaboni kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine tangu Juni mosi mwaka huu, lilikuwa ni kuhakikisha kila mkoa unapata mapato stahiki kupitia ujenzi wa mitambo ya kuchenjua madini kwa kutumia kaboni.“Kama serikali tunataka kuhakikisha kila mkoa unajenga mitambo ya kuchenjua madini badala ya kwenda kuchenjulia katika mikoa ya jirani kwa kutumia kaboni na kukosa mapato stahiki,” alifafanua Nyongo.Alisisitiza kuwa serikali haitasita kutaifisha kaboni itakayokamatwa, ikisafirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ikiwa ni pamoja na kuwachukulia wahusika hatua za kisheria. Akielezea mikakati ya Wizara ya Madini katika kuwasaidia wachimbaji wadogo wa madini, Nyongo alisema wizara imeshaanza kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini.Aliwataka kuunda vikundi na kuomba leseni ili wafanye shughuli zao za uchimbaji wa madini, kwa kufuata sheria na kanuni za madini. Aliongeza kuwa wizara imeanza kujenga vituo vya umahiri kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu namna bora ya kubaini, kuchimba na kuchenjua madini.Alieleza kuwa moja ya kituo kinachotarajiwa kujengwa ndani ya kipindi cha miezi sita, kitakuwa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Aliwataka wachimbaji wadogo, kulipa mrabaha na kodi mbalimbali zinazotakiwa serikalini.Aliwataka maofisa madini nchini, kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato hayo. Pia, aliwataka wachimbaji wadogo wa madini, kuepuka uchenjuaji wa madini kwa kutumia zebaki, kwani ina madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira na binadamu.Akielezea namna bora ya usimamizi wa viwanda vitakavyojengwa kwa ajili ya kuchenjua madini ya dhahabu kwa kutumia kaboni, alisema mbali na kuhakikisha wamiliki wanakuwa na leseni za uchenjuaji wa madini, wataalamu wa mazingira kutoka Wizara ya Madini watapita na kukagua ili kuhakikisha kuwa viwanda vinajengwa katika mazingira mazuri, ambayo hayatakuwa na athari katika makazi ya wananchi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Serikali imepiga marufuku usafi rishaji wa kaboni kwa ajili ya kuchenjulia madini ya dhahabu kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.Imesisitiza kuwa haitasita kumchukulia hatua za kisheria mchimbaji wa madini, atakayekiuka agizo hilo. Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo alisema hayo juzi katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini katika Kijiji cha Saza wilayani Songwe mkoani Songwe, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku mbili katika mkoa huo.Lengo la ziara hiyo ni kukagua uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini. Nyongo alisema lengo la serikali kupitia Wizara ya Madini kupiga marufuku usafirishaji wa kaboni kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine tangu Juni mosi mwaka huu, lilikuwa ni kuhakikisha kila mkoa unapata mapato stahiki kupitia ujenzi wa mitambo ya kuchenjua madini kwa kutumia kaboni.“Kama serikali tunataka kuhakikisha kila mkoa unajenga mitambo ya kuchenjua madini badala ya kwenda kuchenjulia katika mikoa ya jirani kwa kutumia kaboni na kukosa mapato stahiki,” alifafanua Nyongo.Alisisitiza kuwa serikali haitasita kutaifisha kaboni itakayokamatwa, ikisafirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ikiwa ni pamoja na kuwachukulia wahusika hatua za kisheria. Akielezea mikakati ya Wizara ya Madini katika kuwasaidia wachimbaji wadogo wa madini, Nyongo alisema wizara imeshaanza kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini.Aliwataka kuunda vikundi na kuomba leseni ili wafanye shughuli zao za uchimbaji wa madini, kwa kufuata sheria na kanuni za madini. Aliongeza kuwa wizara imeanza kujenga vituo vya umahiri kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu namna bora ya kubaini, kuchimba na kuchenjua madini.Alieleza kuwa moja ya kituo kinachotarajiwa kujengwa ndani ya kipindi cha miezi sita, kitakuwa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Aliwataka wachimbaji wadogo, kulipa mrabaha na kodi mbalimbali zinazotakiwa serikalini.Aliwataka maofisa madini nchini, kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato hayo. Pia, aliwataka wachimbaji wadogo wa madini, kuepuka uchenjuaji wa madini kwa kutumia zebaki, kwani ina madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira na binadamu.Akielezea namna bora ya usimamizi wa viwanda vitakavyojengwa kwa ajili ya kuchenjua madini ya dhahabu kwa kutumia kaboni, alisema mbali na kuhakikisha wamiliki wanakuwa na leseni za uchenjuaji wa madini, wataalamu wa mazingira kutoka Wizara ya Madini watapita na kukagua ili kuhakikisha kuwa viwanda vinajengwa katika mazingira mazuri, ambayo hayatakuwa na athari katika makazi ya wananchi. ### Response: KITAIFA ### End
WENYEVITI na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoani Kagera, wametakiwa kusimamia sheria za mamlaka zao za ukusanyaji wa mapato na kuwatoza ushuru wafanyabiashara wa mazao ili waweze kupata fedha za kuendesha miradi yao. Ilielezwa kuwa ukusanyaji wa mapato katika halmashauri za Mkoa wa Kagera umedorora na kusababisha baadhi yake kupata hati yenye shaka kwani halmashauri kama ya Ngara ilitegemea tozo ya kulipia ushuru tani moja kwa wanaosafirisha mazao nchini ambayo ilifutwa kwa agizo la Rais Dk. John Magufuli la kufuta tozo zinazokera wananchi. Akizungumza katika kikao cha Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) kilichofanyika juzi wilayani Muleba, Mwenyekiti wa CCM mkoani Kagera, Costansia Buhiye, alisema halmashauri nyingi zimekosa fedha baada ya kufutwa kwa baadhi ya vyanzo vya mapato. Buhiye alisema kitendo cha kufuta tozo na ushuru ambao ulitajwa kuwa ni kero kwa wananchi, kimesababisha baadhi ya huduma kukabiliwa na  upungufu wa fedha za uendeshaji, licha ya wananchi kufurahia kuondoa ushuru huo, bado wataathirika kwa kutopatiwa huduma bora kwa wakati kwenye maeneo yao. Aidha alisema halmashauri za mkoa huo zinaunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuwaondoa kazini watumishi wasiokuwa na sifa wakiwamo wenye vyeti vya kughushi, lakini hana budi kuchukua hatua za haraka kuajiri wengine wapya kupunguza changamoto na athari zilizoanza kujitokeza. “Idara ya Afya kila halmashauri inakabiliwa na uhaba wa watumishi, ikifuatiwa na Idara ya Elimu… Idara hizo zinatoa huduma kila kukicha zikiwa na idadi kubwa ya wateja ambao ni wagonjwa na wanafunzi,” alisema Buhiye. Akizungumzia athari ya tetemeko la ardhi, alisema Serikali inapaswa kuwasaidia wawekezaji ambao watauza vifaa vya ujenzi kwa gharama nafuu kwa waathirika ambao wanazidi kuhangaika katika kurudisha makazi na miundombinu yao katika hali yake ya kawaida. Wajumbe wa kikao hicho walipendekeza Serikali kutenga fedha za kuwalipa posho za utendaji kazi wenyeviti wa vitongoji, vijiji na mitaa kote nchini kwani wanafanya kazi katika mazingira magumu ya kusimamia usalama na amani sambamba na kuhimiza upatikanaji wa maendeleo ya wananchi. Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema), alisema wenyeviti na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoani humo, wanatakiwa kusimamia sheria za ukusanyaji wa mapato na kuunganisha nguvu za pamoja kukuza uchumi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WENYEVITI na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoani Kagera, wametakiwa kusimamia sheria za mamlaka zao za ukusanyaji wa mapato na kuwatoza ushuru wafanyabiashara wa mazao ili waweze kupata fedha za kuendesha miradi yao. Ilielezwa kuwa ukusanyaji wa mapato katika halmashauri za Mkoa wa Kagera umedorora na kusababisha baadhi yake kupata hati yenye shaka kwani halmashauri kama ya Ngara ilitegemea tozo ya kulipia ushuru tani moja kwa wanaosafirisha mazao nchini ambayo ilifutwa kwa agizo la Rais Dk. John Magufuli la kufuta tozo zinazokera wananchi. Akizungumza katika kikao cha Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) kilichofanyika juzi wilayani Muleba, Mwenyekiti wa CCM mkoani Kagera, Costansia Buhiye, alisema halmashauri nyingi zimekosa fedha baada ya kufutwa kwa baadhi ya vyanzo vya mapato. Buhiye alisema kitendo cha kufuta tozo na ushuru ambao ulitajwa kuwa ni kero kwa wananchi, kimesababisha baadhi ya huduma kukabiliwa na  upungufu wa fedha za uendeshaji, licha ya wananchi kufurahia kuondoa ushuru huo, bado wataathirika kwa kutopatiwa huduma bora kwa wakati kwenye maeneo yao. Aidha alisema halmashauri za mkoa huo zinaunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuwaondoa kazini watumishi wasiokuwa na sifa wakiwamo wenye vyeti vya kughushi, lakini hana budi kuchukua hatua za haraka kuajiri wengine wapya kupunguza changamoto na athari zilizoanza kujitokeza. “Idara ya Afya kila halmashauri inakabiliwa na uhaba wa watumishi, ikifuatiwa na Idara ya Elimu… Idara hizo zinatoa huduma kila kukicha zikiwa na idadi kubwa ya wateja ambao ni wagonjwa na wanafunzi,” alisema Buhiye. Akizungumzia athari ya tetemeko la ardhi, alisema Serikali inapaswa kuwasaidia wawekezaji ambao watauza vifaa vya ujenzi kwa gharama nafuu kwa waathirika ambao wanazidi kuhangaika katika kurudisha makazi na miundombinu yao katika hali yake ya kawaida. Wajumbe wa kikao hicho walipendekeza Serikali kutenga fedha za kuwalipa posho za utendaji kazi wenyeviti wa vitongoji, vijiji na mitaa kote nchini kwani wanafanya kazi katika mazingira magumu ya kusimamia usalama na amani sambamba na kuhimiza upatikanaji wa maendeleo ya wananchi. Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema), alisema wenyeviti na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya mkoani humo, wanatakiwa kusimamia sheria za ukusanyaji wa mapato na kuunganisha nguvu za pamoja kukuza uchumi. ### Response: KITAIFA ### End
TEXAS-Marekani KARIBU  watu 20 wameuawa, huku wengine 26 wakijeruhiwa wakati wa  ufyatuliaji wa risasi katika duka la jumla mjini El Paso, jimboni Texas Gavana wa jimbo hilo, Greg Abbot alilitaja shambulio hilo kuwa mojawapo ya siku mbaya zaidi katika historia ya jimbo  hilo. Maofisa wa polisi, wanachunguza iwapo shambulio hilo ambalo lilifanyika maili chache kutoka kwa mpaka wa Marekani na Mexico, lilikuwa la uhalifu wa chuki. Mtu mwenye umri wa miaka 21, sasa anazuiliwa na maofisa wa polisi. Polisi wanasema, mshukiwa  alikuwa akiishi katika eneo la Allen , Dalla umbali wa  kilomita 1,046 mashariki mwa El Paso. Ametajwa na vyombo vya habari vya Marekani kuwa, ni Patrick Crusius. Kanda za video za CCTV zilizodaiwa kuwa za mshambuliaji huyo ambazo zilionyeshwa katika vyombo vya habari vya Marekani, zinaonyesha mtu aliyekuwa amevalia fulana  nyeusi na vilinda masikio. Shambulio hilo, linaaminika kuwa la nane katika historia ya sasa nchini hapa. Linatokea chini ya 24, baada ya shambulio jingine la kuwafyatulia risasi watu waliokongamana, mjini Dayton Ohio na chini ya wiki moja, baada ya mshambuliaji kijana kuwaua watu watatu katika tamasha la chakula mjini California. Maofisa wa polisi na wenzao wa ujasusi wa Shirika la Upelelezi (FBI), wanafanya uchunguzi iwapo manifesto ya kitaifa iliochapishwa katika kundi moja la mtandao, iliandikwa na mshambuliaji huyo. Chapisho hilo, linadai shambulio lililenga jamii ya Wahispania. Duka hilo ambalo liko karibu na duka jingine kubwa kwa jina Cielo Vista Mall, lilikuwa limejaa wateja waliokuwa wakinunua bidhaa za wanao wao kurudi shule. Rais wa Marekani, Donald Trump alielezea shambulio hilo kama kitendo cha uoga. ”Najua tunaungana na kila mtu katika taifa hili kushutumu kitendo hiki cha chuki, hakuna sababu ambazo zinaweza kukufanya kuwaua watu wasio na hatia” , alindika katika mtandao wake wa Twitter. Waathirika bado hawajatajwa, lakini Rais wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador alisema raia wake watatu, ni miongoni mwa waliofariki dunia, kulingana na Shirika la Habari la Reuters. “Sisi kama taifa tunaungana kuwaunga mkono waathiriwa na familia zao” , alisema Abbot. Ofisa Mkuu wa Polisi wa El Paso, Greg Allen alisema ripoti za mtu aliyekuwa akiwafyatulia watu risasi kiholela ndani ya duka hilo, ziliripotiwa mwendo wa saa za Marekani 10:39 na maofisa walitumwa katika eneo la mkasa huo chini ya dakika sita. Kianna Long, alisema alikuwa katika duka hiyo na mumewe wakati waliposikia mlio wa risasi. ”Watu walikuwa na wasiwasi na kukimbia , wakisema  kulikuwa na mtu aliyekuwa akiwafyatulia risasi, Long aliamba Reuters. Shahidi mwengine,Gleondon Oakley aliambia CNN alikuwa katika duka la bidhaa za michezo karibu na duka la jumla lililopo karibu wakati mtoto mdogo alipotoroka na kuingia ndani na kutuambia kuna mtu anafyatua risasi kiholela katika Walmart.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TEXAS-Marekani KARIBU  watu 20 wameuawa, huku wengine 26 wakijeruhiwa wakati wa  ufyatuliaji wa risasi katika duka la jumla mjini El Paso, jimboni Texas Gavana wa jimbo hilo, Greg Abbot alilitaja shambulio hilo kuwa mojawapo ya siku mbaya zaidi katika historia ya jimbo  hilo. Maofisa wa polisi, wanachunguza iwapo shambulio hilo ambalo lilifanyika maili chache kutoka kwa mpaka wa Marekani na Mexico, lilikuwa la uhalifu wa chuki. Mtu mwenye umri wa miaka 21, sasa anazuiliwa na maofisa wa polisi. Polisi wanasema, mshukiwa  alikuwa akiishi katika eneo la Allen , Dalla umbali wa  kilomita 1,046 mashariki mwa El Paso. Ametajwa na vyombo vya habari vya Marekani kuwa, ni Patrick Crusius. Kanda za video za CCTV zilizodaiwa kuwa za mshambuliaji huyo ambazo zilionyeshwa katika vyombo vya habari vya Marekani, zinaonyesha mtu aliyekuwa amevalia fulana  nyeusi na vilinda masikio. Shambulio hilo, linaaminika kuwa la nane katika historia ya sasa nchini hapa. Linatokea chini ya 24, baada ya shambulio jingine la kuwafyatulia risasi watu waliokongamana, mjini Dayton Ohio na chini ya wiki moja, baada ya mshambuliaji kijana kuwaua watu watatu katika tamasha la chakula mjini California. Maofisa wa polisi na wenzao wa ujasusi wa Shirika la Upelelezi (FBI), wanafanya uchunguzi iwapo manifesto ya kitaifa iliochapishwa katika kundi moja la mtandao, iliandikwa na mshambuliaji huyo. Chapisho hilo, linadai shambulio lililenga jamii ya Wahispania. Duka hilo ambalo liko karibu na duka jingine kubwa kwa jina Cielo Vista Mall, lilikuwa limejaa wateja waliokuwa wakinunua bidhaa za wanao wao kurudi shule. Rais wa Marekani, Donald Trump alielezea shambulio hilo kama kitendo cha uoga. ”Najua tunaungana na kila mtu katika taifa hili kushutumu kitendo hiki cha chuki, hakuna sababu ambazo zinaweza kukufanya kuwaua watu wasio na hatia” , alindika katika mtandao wake wa Twitter. Waathirika bado hawajatajwa, lakini Rais wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador alisema raia wake watatu, ni miongoni mwa waliofariki dunia, kulingana na Shirika la Habari la Reuters. “Sisi kama taifa tunaungana kuwaunga mkono waathiriwa na familia zao” , alisema Abbot. Ofisa Mkuu wa Polisi wa El Paso, Greg Allen alisema ripoti za mtu aliyekuwa akiwafyatulia watu risasi kiholela ndani ya duka hilo, ziliripotiwa mwendo wa saa za Marekani 10:39 na maofisa walitumwa katika eneo la mkasa huo chini ya dakika sita. Kianna Long, alisema alikuwa katika duka hiyo na mumewe wakati waliposikia mlio wa risasi. ”Watu walikuwa na wasiwasi na kukimbia , wakisema  kulikuwa na mtu aliyekuwa akiwafyatulia risasi, Long aliamba Reuters. Shahidi mwengine,Gleondon Oakley aliambia CNN alikuwa katika duka la bidhaa za michezo karibu na duka la jumla lililopo karibu wakati mtoto mdogo alipotoroka na kuingia ndani na kutuambia kuna mtu anafyatua risasi kiholela katika Walmart. ### Response: KIMATAIFA ### End
Na Kulwa Mzee-Dar es Salaam WAKILI wa anayedaiwa kuwa Kiongozi wa Taasisi ya Kusambaza Dawa za Kulevya nchini, Ally Haji, maarufu Shikuba na wenzake wawili, Hudson Ndusyepo amesema wanaendelea na rufaa ya kupinga wateja wao kuondolewa nchini hata kama walishaondolewa. Wakili Ndusyepo alisema hayo jana baada ya wateja wao kuondolewa nchini juzi usiku kwenda Marekani wakati tayari walishakata rufaa kupinga uamuzi wa kuwaondoa nchini uliotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. “Tunaendelea na rufaa tuliyokata Mahakama Kuu hata kama walishaondolewa, rufaa imepangwa kutajwa Juni 28 mwaka huu, tutakwenda mahakamani,”alisema. Shikuba na wenzake walishaondolewa nchini kimya kimya kuelekea huko pamoja na kuwepo kwa rufaa iliyokatwa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa kuwaondoa nchini. Taarifa za kupelekwa Marekani Shikuba na wenzake, Iddy Mfuru na Tiko Adam zilipatikana kutoka vyanzo mbalimbali vya kuaminika akiwemo mkewe na mawakili wa watuhumiwa hao. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubalozi wa Marekani, watuhumiwa hao walisafirishwa Mei  2 mwaka huu kwenda Marekani, kujibu mashtaka kuhusiana na biashara ya dawa za kulevya katika Mahakama Kuu ya Huston, Texas. “Watuhumiwa hao watatu waliwasili nchini Marekani Mei 2, 2017,  kusafirishwa kwao ni matokeo ya ushirikiano mkubwa wa karibu na wa muda mrefu baina ya Serikali za Marekani na Tanzania katika sekta za usalama, usimamizi wa sheria na haki,”ilisema taarifa hiyo iliyotolewa na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Virginia Blaser. Taarifa hiyo inadai Machi 2016, jopo la maafisa mashtaka la Huston, Texas, lilipitisha mashtaka dhidi ya Shikuba na washirika wake kwa tuhuma za kula njama kusambaza dawa za kulevya aina ya heroin nchini Marekani katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015. Aprili 12 mwaka huu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha ilikubali maombi ya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Harrison Mwakyembe ya kutaka Watanzania hao washikiliwe na kusafirishwa kwenda Marekani kujibu mashtaka ya kusafirisha na kusambaza dawa za kulevya nchini humo. Baada ya uamuzi huo, Aprili 13 mwaka huu Wakili wa Shikuba na wenzake, Hudson Ndusyepo, Majura Magafu na Adinani Chitale waliwasilisha nia ya kukata rufaa katika Mahakama ya Kisutu na tayari waliwasilisha rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kama sheria inavyowataka endapo hawakuridhika. Awali Aprili 10 mwaka huu Serikali iliwasilisha maombi katika Mahakama ya Hakimu Kisutu pamoja na vielelezo mbalimbali wakiomba watuhumiwa wazuiliwe na kusafirishwa kwenda Marekani kujibu tuhuma za kujihushisha na biashara ya dawa za kulevya. Mahakama ilisikiliza maombi hayo Aprili 11 na kutoa uamuzi Aprili 12 mwaka huu ambapo mahakama ilibariki watuhumiwa hao kwenda nchini humo baada ya kujiridha kwa ushahidi uliotolewa mahakamani. Mwakyembe aliwasilisha maombi Februari 15 mwaka huu, akiomba mahakama hiyo kuamuru   Shikuba, Mfuru na Tiko washikiliwe wakati wakisubiri kibali cha kuwasafirisha kwenda Marekani kujibu tuhuma za kula njama kusafirisha na kusambaza dawa za kulevya nchini Marekani. Jamhuri ikiwakilishwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Edwin Kakolaki katika kuiridhisha mahakama waliwasilisha maombi pamoja na ushahidi dhidi ya wajibu maombi wa kuonyesha kujihusisha kwao katika matukio hayo. Kakolaki alidai maombi yaliambatana na kiapo kilichoapwa na Richard Magnes ambaye katika kiapo chake anadai wajibu maombi wanatuhumiwa kuingiza dawa za kulevya zaidi ya kilo 1.78 Marekani.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Kulwa Mzee-Dar es Salaam WAKILI wa anayedaiwa kuwa Kiongozi wa Taasisi ya Kusambaza Dawa za Kulevya nchini, Ally Haji, maarufu Shikuba na wenzake wawili, Hudson Ndusyepo amesema wanaendelea na rufaa ya kupinga wateja wao kuondolewa nchini hata kama walishaondolewa. Wakili Ndusyepo alisema hayo jana baada ya wateja wao kuondolewa nchini juzi usiku kwenda Marekani wakati tayari walishakata rufaa kupinga uamuzi wa kuwaondoa nchini uliotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. “Tunaendelea na rufaa tuliyokata Mahakama Kuu hata kama walishaondolewa, rufaa imepangwa kutajwa Juni 28 mwaka huu, tutakwenda mahakamani,”alisema. Shikuba na wenzake walishaondolewa nchini kimya kimya kuelekea huko pamoja na kuwepo kwa rufaa iliyokatwa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa kuwaondoa nchini. Taarifa za kupelekwa Marekani Shikuba na wenzake, Iddy Mfuru na Tiko Adam zilipatikana kutoka vyanzo mbalimbali vya kuaminika akiwemo mkewe na mawakili wa watuhumiwa hao. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubalozi wa Marekani, watuhumiwa hao walisafirishwa Mei  2 mwaka huu kwenda Marekani, kujibu mashtaka kuhusiana na biashara ya dawa za kulevya katika Mahakama Kuu ya Huston, Texas. “Watuhumiwa hao watatu waliwasili nchini Marekani Mei 2, 2017,  kusafirishwa kwao ni matokeo ya ushirikiano mkubwa wa karibu na wa muda mrefu baina ya Serikali za Marekani na Tanzania katika sekta za usalama, usimamizi wa sheria na haki,”ilisema taarifa hiyo iliyotolewa na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Virginia Blaser. Taarifa hiyo inadai Machi 2016, jopo la maafisa mashtaka la Huston, Texas, lilipitisha mashtaka dhidi ya Shikuba na washirika wake kwa tuhuma za kula njama kusambaza dawa za kulevya aina ya heroin nchini Marekani katika kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015. Aprili 12 mwaka huu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha ilikubali maombi ya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Harrison Mwakyembe ya kutaka Watanzania hao washikiliwe na kusafirishwa kwenda Marekani kujibu mashtaka ya kusafirisha na kusambaza dawa za kulevya nchini humo. Baada ya uamuzi huo, Aprili 13 mwaka huu Wakili wa Shikuba na wenzake, Hudson Ndusyepo, Majura Magafu na Adinani Chitale waliwasilisha nia ya kukata rufaa katika Mahakama ya Kisutu na tayari waliwasilisha rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kama sheria inavyowataka endapo hawakuridhika. Awali Aprili 10 mwaka huu Serikali iliwasilisha maombi katika Mahakama ya Hakimu Kisutu pamoja na vielelezo mbalimbali wakiomba watuhumiwa wazuiliwe na kusafirishwa kwenda Marekani kujibu tuhuma za kujihushisha na biashara ya dawa za kulevya. Mahakama ilisikiliza maombi hayo Aprili 11 na kutoa uamuzi Aprili 12 mwaka huu ambapo mahakama ilibariki watuhumiwa hao kwenda nchini humo baada ya kujiridha kwa ushahidi uliotolewa mahakamani. Mwakyembe aliwasilisha maombi Februari 15 mwaka huu, akiomba mahakama hiyo kuamuru   Shikuba, Mfuru na Tiko washikiliwe wakati wakisubiri kibali cha kuwasafirisha kwenda Marekani kujibu tuhuma za kula njama kusafirisha na kusambaza dawa za kulevya nchini Marekani. Jamhuri ikiwakilishwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Edwin Kakolaki katika kuiridhisha mahakama waliwasilisha maombi pamoja na ushahidi dhidi ya wajibu maombi wa kuonyesha kujihusisha kwao katika matukio hayo. Kakolaki alidai maombi yaliambatana na kiapo kilichoapwa na Richard Magnes ambaye katika kiapo chake anadai wajibu maombi wanatuhumiwa kuingiza dawa za kulevya zaidi ya kilo 1.78 Marekani. ### Response: KITAIFA ### End
Wakili wa mahakama Kuu Fatma Karume almaarufu Shangazi amemdhihaki Waziri wa Maliasi na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla baada ya kuvaa nguo ya kijani inayofanana na sare ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Fatma amepost picha akiwa amevaa nguo ya kijana na kuandika kuwa amevaa kijani na manjano kisha kuhoji kama anastahili kuitwa intelligent (mwenye akili) na kum-tag Waziri Kigwangalla. “Kumekucha! Na mi nimevaa kijani na majano hapo sijui nitastahili kuitwa intelligent na ⁦Hamisi Kigwangalla⁩? Au nitafute Kanga yenye picha ya Magufuli?” Ameandika Fatma Karume. Japokuwa bandiko lake hilo lina mrengo wa utani zaidi, Fatma Karume ni moja ya wakosoaji wakubwa wa serikali katika mambo mbalimbali. Ni mtoto wa Rais wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume. Pia amewahi kuwa Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanzania Bara (TLS), ambapo muda wake ulimalizika April 6, 2019. Kumekucha! Na mi nimevaa kijani na majano hapo sijui nitastahili kuitwa intelligent 🤓 na ⁦@HKigwangalla⁩? Au nitafute Kanga yenye picha ya Magufuli? 🤣🤣🤣 pic.twitter.com/Faf5sY2BEX — fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) August 27, 2019
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wakili wa mahakama Kuu Fatma Karume almaarufu Shangazi amemdhihaki Waziri wa Maliasi na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla baada ya kuvaa nguo ya kijani inayofanana na sare ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Fatma amepost picha akiwa amevaa nguo ya kijana na kuandika kuwa amevaa kijani na manjano kisha kuhoji kama anastahili kuitwa intelligent (mwenye akili) na kum-tag Waziri Kigwangalla. “Kumekucha! Na mi nimevaa kijani na majano hapo sijui nitastahili kuitwa intelligent na ⁦Hamisi Kigwangalla⁩? Au nitafute Kanga yenye picha ya Magufuli?” Ameandika Fatma Karume. Japokuwa bandiko lake hilo lina mrengo wa utani zaidi, Fatma Karume ni moja ya wakosoaji wakubwa wa serikali katika mambo mbalimbali. Ni mtoto wa Rais wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume. Pia amewahi kuwa Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanzania Bara (TLS), ambapo muda wake ulimalizika April 6, 2019. Kumekucha! Na mi nimevaa kijani na majano hapo sijui nitastahili kuitwa intelligent 🤓 na ⁦@HKigwangalla⁩? Au nitafute Kanga yenye picha ya Magufuli? 🤣🤣🤣 pic.twitter.com/Faf5sY2BEX — fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) August 27, 2019 ### Response: MICHEZO ### End
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Taifa la Biashara (ZSTC), Mwanahija Almasi alisema hayo wakati akitoa taarifa mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein katika uzinduzi wa msimu wa mavuno ya karafuu kwa mwaka 2014-2015 kisiwani Pemba.Alisema wakulima wengi wa kisiwa cha Pemba wameitikia mwito wa kuuza karafuu zao kupitia ZSTC baada ya kuwepo bei nzuri ya kuvutia ambayo imesaidia kupungua kwa magendo ya karafuu Pemba.Alisema bei nzuri inayotoa faida kwa mkulima asilimia 80 pamoja na mazingira mazuri ya kununua karafuu ndiyo yaliyowavutia wakulima wengi kuuza karafuu zao kupitia ZSTC na kuachana na magendo yaliyoshamiri katika kipindi kirefu.Alisema shirika hilo limekamilisha kazi ya kujenga vituo sita vya kununua karafuu vilivyopo Pemba ambavyo vitawafanya wakulima kuuza karafuu katika mazingira salama.Alisema ujenzi wa vituo hivyo unatokana na agizo la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein la kulitaka shirika hilo kujenga vituo vyenye hadhi ambapo huduma zote muhimu zitakuwa zikipatikana ikiwemo ulinzi.Awali Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko, Nassor Ahmed Mazrui alisisitiza kwamba Serikali haitolibinafsisha zao la karafuu kuingia katika mikono ya sekta binafsi.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Taifa la Biashara (ZSTC), Mwanahija Almasi alisema hayo wakati akitoa taarifa mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein katika uzinduzi wa msimu wa mavuno ya karafuu kwa mwaka 2014-2015 kisiwani Pemba.Alisema wakulima wengi wa kisiwa cha Pemba wameitikia mwito wa kuuza karafuu zao kupitia ZSTC baada ya kuwepo bei nzuri ya kuvutia ambayo imesaidia kupungua kwa magendo ya karafuu Pemba.Alisema bei nzuri inayotoa faida kwa mkulima asilimia 80 pamoja na mazingira mazuri ya kununua karafuu ndiyo yaliyowavutia wakulima wengi kuuza karafuu zao kupitia ZSTC na kuachana na magendo yaliyoshamiri katika kipindi kirefu.Alisema shirika hilo limekamilisha kazi ya kujenga vituo sita vya kununua karafuu vilivyopo Pemba ambavyo vitawafanya wakulima kuuza karafuu katika mazingira salama.Alisema ujenzi wa vituo hivyo unatokana na agizo la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein la kulitaka shirika hilo kujenga vituo vyenye hadhi ambapo huduma zote muhimu zitakuwa zikipatikana ikiwemo ulinzi.Awali Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko, Nassor Ahmed Mazrui alisisitiza kwamba Serikali haitolibinafsisha zao la karafuu kuingia katika mikono ya sekta binafsi. ### Response: UCHUMI ### End
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni. Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa kucheza mechi 12 tangu kuanza kwa msimu wa 2015/2016 Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema amekuwa akifanya kila jitihada za kuwapa mbinu za ushindi wachezaji wake, lakini anashindwa kuamini matokeo wanayopata. “Ninajitahidi kufundisha kadiri ya uwezo wangu, hakuna mbinu ambayo sijaitumia kuwanoa wachezaji wangu, lakini kila wanapoingia uwanjani tunavuna kile tusichotarajia. “Hakuna kocha anayefurahia matokeo mabaya kwa timu yake, hata mimi naumia sana ila mambo yanazidi kuwa tofauti hatusongi mbele tunazidi kurudi nyuma,” alisema. Kerr alieleza yeye kama kocha uwezo wake wa kufundisha umefikia hapo, hivyo kuboronga kwao kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na wachezaji wenyewe. “Mnajiandaa vizuri na kila mchezaji mazoezini anaonyesha kiwango cha hali ya juu, lakini tunapofika uwanjani kila kitu kinaenda tofauti kabisa hayo si makosa yangu, mimi natambua wazi kuwa natimiza majukumu yangu kama mwalimu,” alisema Kerr. Simba imeshindwa kutimiza malengo yake ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu kwa misimu mitatu mfululizo, imejikuta ikipoteza pointi sita katika mechi tatu, timu hiyo imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mwadui FC mkoani Shinyanga mwishoni mwa wiki iliyopita ikiwa ni mwendelezo wa matokeo ya sare ya 1-1 dhidi ya Toto Africans na 2-2 dhidi ya Azam FC.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni. Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa kucheza mechi 12 tangu kuanza kwa msimu wa 2015/2016 Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema amekuwa akifanya kila jitihada za kuwapa mbinu za ushindi wachezaji wake, lakini anashindwa kuamini matokeo wanayopata. “Ninajitahidi kufundisha kadiri ya uwezo wangu, hakuna mbinu ambayo sijaitumia kuwanoa wachezaji wangu, lakini kila wanapoingia uwanjani tunavuna kile tusichotarajia. “Hakuna kocha anayefurahia matokeo mabaya kwa timu yake, hata mimi naumia sana ila mambo yanazidi kuwa tofauti hatusongi mbele tunazidi kurudi nyuma,” alisema. Kerr alieleza yeye kama kocha uwezo wake wa kufundisha umefikia hapo, hivyo kuboronga kwao kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na wachezaji wenyewe. “Mnajiandaa vizuri na kila mchezaji mazoezini anaonyesha kiwango cha hali ya juu, lakini tunapofika uwanjani kila kitu kinaenda tofauti kabisa hayo si makosa yangu, mimi natambua wazi kuwa natimiza majukumu yangu kama mwalimu,” alisema Kerr. Simba imeshindwa kutimiza malengo yake ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu kwa misimu mitatu mfululizo, imejikuta ikipoteza pointi sita katika mechi tatu, timu hiyo imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mwadui FC mkoani Shinyanga mwishoni mwa wiki iliyopita ikiwa ni mwendelezo wa matokeo ya sare ya 1-1 dhidi ya Toto Africans na 2-2 dhidi ya Azam FC. ### Response: MICHEZO ### End
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM KICHWA  kuangukia kifuani (nodding syndrome) kwa muda mrefu imechukuliwa kwenye jamii kwamba hutokea kutokana na mtu kukumbwa na pepo au kupandisha mashetani. Hata hivyo, watafiti wamethibitisha kwa kutumia vifaa vya kisasa kwamba dhana hiyo ni potofu, hiyo ni aina mpya ya ugonjwa wa kifafa iliyogundulika kwa mara ya kwanza 1960, katika Kijiji cha Mahenge, mkoani Morogoro. Aina hiyo ya kifafa pia iliwahi kutokea miaka ya 1980 Liberia, Cameroon, Sudani Kusini na Magharibi mwa Uganda miaka ya 2000 hata hivyo uthibitisho kwamba ni ugonjwa haukuwepo wakati wote huo. Imeelezwa aina hiyo ya kifafa huonekana zaidi kwenye sehemu ambapo kuna wadudu wa Onchocerciasis lakini uhusiano wake bado unafanyiwa utafiti wa kina. Hayo yalielezwa jana na Profesa wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Idara ya Magonjwa ya Ndani, William Matuja wakati alipokuwa akiwasilisha chapisho lake hilo, chuoni hapo. “Duniani watu wanaoishi na kifafa ni zaidi ya milioni 60, idadi huongezeka watu 34 hadi 76 kwa 100,000 kila mwaka, Afrika asilimia kubwa ya watu wanaoishi na kifafa ni 20 hadi 58 kwa kila watu 1000. “Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya wagonjwa wa kifafa barani Afrika na dunia kwa ujumla, katika vijiji vya mahenge idadi ni kubwa kufikia watu 37.5 kwa kila watu 1000, hivyo kuna zaidi ya watu milioni moja nchini ambao wanaugua kifafa,” alisema. Aidha alisema ukioainisha umri wa wagonjwa wa kifafa nchini wapo katika hatari ya kifo mara sita zaidi kulinganisha na jamii yote kwa ujumla. Alisema zaidi ya asilimia 60 ya vifo vinasababishwa na athari za ugonjwa wa kifafa moja kwa moja au kwa namna nyingine. Alisema wagonjwa wa kifafa cha aina hiyo ni vijana wakiwa na umri wa wastani wa miaka 15.4, zaidi ya asilimia 24 ya wagonjwa wa kifafa wana ulemavu mwingine na wengi hutokana na kuangukia moto wakati mgonjwa anapopata degedege. “Idadi kubwa ya watu wana imani potofu kuhusu kifafa na zaidi ya asilimia 36 bado wanaamini kwamba ugonjwa huu unatokana na nguvu za giza,” alisema. Alisema miongoni mwa jamii pia bado inaaminika ni ugonjwa wa kuambukiza na asilimia 50 ya wagonjwa wa kifafa hupata msongo wa mawazo na kukosa furaha.          
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM KICHWA  kuangukia kifuani (nodding syndrome) kwa muda mrefu imechukuliwa kwenye jamii kwamba hutokea kutokana na mtu kukumbwa na pepo au kupandisha mashetani. Hata hivyo, watafiti wamethibitisha kwa kutumia vifaa vya kisasa kwamba dhana hiyo ni potofu, hiyo ni aina mpya ya ugonjwa wa kifafa iliyogundulika kwa mara ya kwanza 1960, katika Kijiji cha Mahenge, mkoani Morogoro. Aina hiyo ya kifafa pia iliwahi kutokea miaka ya 1980 Liberia, Cameroon, Sudani Kusini na Magharibi mwa Uganda miaka ya 2000 hata hivyo uthibitisho kwamba ni ugonjwa haukuwepo wakati wote huo. Imeelezwa aina hiyo ya kifafa huonekana zaidi kwenye sehemu ambapo kuna wadudu wa Onchocerciasis lakini uhusiano wake bado unafanyiwa utafiti wa kina. Hayo yalielezwa jana na Profesa wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Idara ya Magonjwa ya Ndani, William Matuja wakati alipokuwa akiwasilisha chapisho lake hilo, chuoni hapo. “Duniani watu wanaoishi na kifafa ni zaidi ya milioni 60, idadi huongezeka watu 34 hadi 76 kwa 100,000 kila mwaka, Afrika asilimia kubwa ya watu wanaoishi na kifafa ni 20 hadi 58 kwa kila watu 1000. “Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya wagonjwa wa kifafa barani Afrika na dunia kwa ujumla, katika vijiji vya mahenge idadi ni kubwa kufikia watu 37.5 kwa kila watu 1000, hivyo kuna zaidi ya watu milioni moja nchini ambao wanaugua kifafa,” alisema. Aidha alisema ukioainisha umri wa wagonjwa wa kifafa nchini wapo katika hatari ya kifo mara sita zaidi kulinganisha na jamii yote kwa ujumla. Alisema zaidi ya asilimia 60 ya vifo vinasababishwa na athari za ugonjwa wa kifafa moja kwa moja au kwa namna nyingine. Alisema wagonjwa wa kifafa cha aina hiyo ni vijana wakiwa na umri wa wastani wa miaka 15.4, zaidi ya asilimia 24 ya wagonjwa wa kifafa wana ulemavu mwingine na wengi hutokana na kuangukia moto wakati mgonjwa anapopata degedege. “Idadi kubwa ya watu wana imani potofu kuhusu kifafa na zaidi ya asilimia 36 bado wanaamini kwamba ugonjwa huu unatokana na nguvu za giza,” alisema. Alisema miongoni mwa jamii pia bado inaaminika ni ugonjwa wa kuambukiza na asilimia 50 ya wagonjwa wa kifafa hupata msongo wa mawazo na kukosa furaha.           ### Response: AFYA ### End
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi linaloandaliwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) inayochapisha magazeti ya Daily News, HabariLeo na SpotiLeo, Machi 26 mwaka huu.Aidha Samia atazindua kiwanda cha kusaga unga wa mhogo ambapo ni sehemu ya uwekezaji katika mkoa huo katika ziara yake itakayoanza Machi 22 hadi 28, mwaka huu.Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi alisema hayo katika mahojiano yaliyofanywa na Shirika la Habari la Utangazaji (TBC) yakimhusisha pia Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Tuma Abdallah, yaliyozungumzia Jukwaa hilo na Fursa za Biashara na Uwekezaji.Zambi alisema fursa za biashara na uwekezaji zipo tele katika mkoa huo, ambazo hazijatumika kikamilifu zikiwemo za viwanda, utalii, kilimo, madini, utalii na nyinginezo.Amesema wanaishukuru TSN kwa kuandaa jukwaa hilo, kwani kwao ni kama hatua ya kuupeleka mkoa mbele zaidi. Aliwakaribisha wawekezaji kwenda kuwekeza mkoani Lindi, kwa kuwa hivi sasa mikoa ya Pwani na Dar es Salaam imeshajaa.Amesema hivi sasa mkoa umetoa kipaumbele katika ujenzi wa viwanda vya kubangua korosho, ufuta na mihogo, kwani ni mazao yanayolimwa kwa wingi. Kwa upande wake, Tuma alisema jukwaa hilo ni fursa adhimu kwa wananchi, kuweza kushiriki na kuangalia fursa wanazoweza kuzitumia.Tuma alisema wananchi wote wanakaribishwa katika jukwaa hilo, kwa kuwa ni sehemu ambayo watakutana na mamlaka za nchi ili waweze kueleza changamoto zinazowakabili, pia kuona namna gani wanaweza kutoka hapo walipo na kufikia maendeleo.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi linaloandaliwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) inayochapisha magazeti ya Daily News, HabariLeo na SpotiLeo, Machi 26 mwaka huu.Aidha Samia atazindua kiwanda cha kusaga unga wa mhogo ambapo ni sehemu ya uwekezaji katika mkoa huo katika ziara yake itakayoanza Machi 22 hadi 28, mwaka huu.Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi alisema hayo katika mahojiano yaliyofanywa na Shirika la Habari la Utangazaji (TBC) yakimhusisha pia Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Tuma Abdallah, yaliyozungumzia Jukwaa hilo na Fursa za Biashara na Uwekezaji.Zambi alisema fursa za biashara na uwekezaji zipo tele katika mkoa huo, ambazo hazijatumika kikamilifu zikiwemo za viwanda, utalii, kilimo, madini, utalii na nyinginezo.Amesema wanaishukuru TSN kwa kuandaa jukwaa hilo, kwani kwao ni kama hatua ya kuupeleka mkoa mbele zaidi. Aliwakaribisha wawekezaji kwenda kuwekeza mkoani Lindi, kwa kuwa hivi sasa mikoa ya Pwani na Dar es Salaam imeshajaa.Amesema hivi sasa mkoa umetoa kipaumbele katika ujenzi wa viwanda vya kubangua korosho, ufuta na mihogo, kwani ni mazao yanayolimwa kwa wingi. Kwa upande wake, Tuma alisema jukwaa hilo ni fursa adhimu kwa wananchi, kuweza kushiriki na kuangalia fursa wanazoweza kuzitumia.Tuma alisema wananchi wote wanakaribishwa katika jukwaa hilo, kwa kuwa ni sehemu ambayo watakutana na mamlaka za nchi ili waweze kueleza changamoto zinazowakabili, pia kuona namna gani wanaweza kutoka hapo walipo na kufikia maendeleo. ### Response: UCHUMI ### End
Mke wa Rais Mstaafu, Mama Salma amewaonya wanaume kuacha tabia ya kuwaambia wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wamependeza kwa lengo la kuwarubuni na kuwashawishi kufanya nao mapenzi. Rai hiyo amesema hayo mbele ya wahitimu na kidato cha nne katika mahafali ya pili ya Shule ya Sekonadari ya St Marcus iliyopo  Songwe. Amesema tabia ya kuwasifia watoto wa kike kuwa wamependeza inashamiri  lakini lengo kuu ni kuwashawishi kimapenzi, ni vema tabia hiyo ikakoma na kila mwanajamii inapaswa kuikemea kwa nguzu zote. “Niwambie wanaume wote wanaowaita wasichana wa shule wamependeza kwa lengo la kuwashawishi kufanya nao mapenzi wakome, waache tena wasiwarubuni watoto kwa maneno hayo machafu ambayo hayafai kwa watoto wa shule. “Si kosa kwa mwanafunzi wa kike kuwa na rafiki wa kiume kwani ni rafiki wa kiume ambaye anaweza kukusaidia kimasomo lakini si kwa mapenzi. Unapaswa uwe na boyfriend wa kukusaidia kukokotoa Fizikia, bailojia na masomo mengine lakini siyo kufanya mapenzi narudi tena fungeni mapaja yenu’ alisema Salma
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mke wa Rais Mstaafu, Mama Salma amewaonya wanaume kuacha tabia ya kuwaambia wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wamependeza kwa lengo la kuwarubuni na kuwashawishi kufanya nao mapenzi. Rai hiyo amesema hayo mbele ya wahitimu na kidato cha nne katika mahafali ya pili ya Shule ya Sekonadari ya St Marcus iliyopo  Songwe. Amesema tabia ya kuwasifia watoto wa kike kuwa wamependeza inashamiri  lakini lengo kuu ni kuwashawishi kimapenzi, ni vema tabia hiyo ikakoma na kila mwanajamii inapaswa kuikemea kwa nguzu zote. “Niwambie wanaume wote wanaowaita wasichana wa shule wamependeza kwa lengo la kuwashawishi kufanya nao mapenzi wakome, waache tena wasiwarubuni watoto kwa maneno hayo machafu ambayo hayafai kwa watoto wa shule. “Si kosa kwa mwanafunzi wa kike kuwa na rafiki wa kiume kwani ni rafiki wa kiume ambaye anaweza kukusaidia kimasomo lakini si kwa mapenzi. Unapaswa uwe na boyfriend wa kukusaidia kukokotoa Fizikia, bailojia na masomo mengine lakini siyo kufanya mapenzi narudi tena fungeni mapaja yenu’ alisema Salma ### Response: KITAIFA ### End
Na ESTHER GEORGE-DAR ES SALAAM   WANAWAKE wajasiriamali katika Kituo  Kikuu cha mabasi yaendayo mkoani na nchi jirani cha Ubung0 (UBT), wamelalamikia kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya madereva wakiwa katika biashara zao. Walikuwa wakizungumza na MTANZANIA   mwishoni mwa wiki katika semina ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake iliyoandaliwa na mradi wa ‘Thamani yako hailinganishwi na kitu’   Dar es Salaam. Kwa mujibu wa wanawake hao, wamekuwa wakinyanyaswa kwa ngono na madereva, makondakta na mawakala wa mabasi wanapokwenda kuuza bidhaa zao katika mabasi hayo. Mmoja wa wauza mikate katika kituo hicho, Mariam Amani, alisema wanaohusika na magari ndani ya kituo hicho wengi wao wamekuwa wakiwaomba rushwa ya ngono ili wawaruhusu kuingia katika mabasi kuuza bidhaa. “Yaani sisi wauza mikate tunapata shida ukizingatia wanunuaji ni abiria ambao wanasafiri. “Ukitaka kuingia kwenye basi wahusika wa gari hilo wanakuambia hakuna kuingia kuuza huku mwenzako anaingia na anauza, ukijiuliza nini chanzo… kwa sababu alikuomba ngono ukamkatalia,”alisema Mariam. Alisema changamoto nyingine wanazokabiliana nazo wakiwa kazini ni kutolewa lugha chafu, kudharauliwa, kutomaswa miili yao bila ridhaa na kufukuzwa ovyo kwenye magari wanapoingia kuuza bidhaa. Maria Juma, alisema changamoto kubwa anayopata ni kunyanyaswa kwa jinsia endapo akiombwa penzi akakataa. “Wanatangaziana chakula chako kibovu na matokeo yake ni kukosa wateja,” alisema. Mratibu wa mradi huo, Elizabeth Tendwa, aliliambia MTANZANIA kuwa kinachofanywa na watu wanaohusika na mabasi hayo ni kinyume na sheria pia rushwa ya ngono inadhalilisha utu wa watu wengine. Alisema wanawake wanatakiwa kujengewa uwezo wa  kutambua thamani yao, kujitambua na kujithamini ikiwa ni pamoja na kusema ‘hapana rushwa ya ngono’   waweze kufikia malengo yao. Alisema watafanya kampeni ya kupita sehemu mbalimbali katika juhudi za kukomesha ukatili wa jinsia dhidi ya wanawake na wasichana. “Naamini semina hii itasaidia kupunguza magonjwa mbalimbali kama Ukimwi na yale ya zinaa,” alisema Elizabeth.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ESTHER GEORGE-DAR ES SALAAM   WANAWAKE wajasiriamali katika Kituo  Kikuu cha mabasi yaendayo mkoani na nchi jirani cha Ubung0 (UBT), wamelalamikia kuombwa rushwa ya ngono na baadhi ya madereva wakiwa katika biashara zao. Walikuwa wakizungumza na MTANZANIA   mwishoni mwa wiki katika semina ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake iliyoandaliwa na mradi wa ‘Thamani yako hailinganishwi na kitu’   Dar es Salaam. Kwa mujibu wa wanawake hao, wamekuwa wakinyanyaswa kwa ngono na madereva, makondakta na mawakala wa mabasi wanapokwenda kuuza bidhaa zao katika mabasi hayo. Mmoja wa wauza mikate katika kituo hicho, Mariam Amani, alisema wanaohusika na magari ndani ya kituo hicho wengi wao wamekuwa wakiwaomba rushwa ya ngono ili wawaruhusu kuingia katika mabasi kuuza bidhaa. “Yaani sisi wauza mikate tunapata shida ukizingatia wanunuaji ni abiria ambao wanasafiri. “Ukitaka kuingia kwenye basi wahusika wa gari hilo wanakuambia hakuna kuingia kuuza huku mwenzako anaingia na anauza, ukijiuliza nini chanzo… kwa sababu alikuomba ngono ukamkatalia,”alisema Mariam. Alisema changamoto nyingine wanazokabiliana nazo wakiwa kazini ni kutolewa lugha chafu, kudharauliwa, kutomaswa miili yao bila ridhaa na kufukuzwa ovyo kwenye magari wanapoingia kuuza bidhaa. Maria Juma, alisema changamoto kubwa anayopata ni kunyanyaswa kwa jinsia endapo akiombwa penzi akakataa. “Wanatangaziana chakula chako kibovu na matokeo yake ni kukosa wateja,” alisema. Mratibu wa mradi huo, Elizabeth Tendwa, aliliambia MTANZANIA kuwa kinachofanywa na watu wanaohusika na mabasi hayo ni kinyume na sheria pia rushwa ya ngono inadhalilisha utu wa watu wengine. Alisema wanawake wanatakiwa kujengewa uwezo wa  kutambua thamani yao, kujitambua na kujithamini ikiwa ni pamoja na kusema ‘hapana rushwa ya ngono’   waweze kufikia malengo yao. Alisema watafanya kampeni ya kupita sehemu mbalimbali katika juhudi za kukomesha ukatili wa jinsia dhidi ya wanawake na wasichana. “Naamini semina hii itasaidia kupunguza magonjwa mbalimbali kama Ukimwi na yale ya zinaa,” alisema Elizabeth. ### Response: KITAIFA ### End
na mwandishi wetu-dar es salaam MWAMUZI wa Tanzania, Jonesia Rukyaa, amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana mwaka huu. Jonesia amechaguliwa katika orodha ya waamuzi wa katikati akiwa ni Mtanzania pekee katika michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Novemba 17 hadi Desemba 1, mwaka huu. Akizungumza Dar es Salaam jana Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo, alisema Rukyaa amechaguliwa katika orodha ya waamuzi 13 wa katikati na wasaidizi 12. “Fainali hizo zitatumika kupata timu tatu zitakazowakilisha Afrika katika michuano ya Kombe la Dunia kwa wanawake itakayofanyika  mwakani Ufaransa,” alisema. Jonesia amekuwa  akipata nafasi katika michuano mbalimbali ya kimataifa, Februari mwaka huu, alichezesha mashindano ya wanawake Ureno yaliyojulikana kwa jina la Algarve. Mwaka 2016 alikuwa mwamuzi wa akiba kwenye mashindano kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia kwa wanawake wenye umri chini ya miaka 17, Sierra Leone. Michuano hiyo inashirikisha nchi nane zilizopangwa katika  makundi mawili,  A likiwa na mwenyeji Ghana, Algeria, Mali na Cameroon, kundi B ni Nigeria, Afrika Kusini, Zambia na Kenya. Katika hatua nyingine Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura, alisema kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ilikutana juzi na kupitia matukio mbalimbali yaliyojitokeza ikiwa pamoja na malalamiko yaliyopelekwa. Alisema katika mechi ya Azam dhidi ya African Lyon, mwamuzi Fikirini Yussuph, amepewa onyo baada ya kuonekana umakini wake kuwa mdogo. Mechi kati ya Mwadui FC na  Ruvu Shooting, kocha wa Ruvu Shooting alitolewa katika benchi na mwamuzi kwa kosa la kupinga maamuzi ya mwamuzi, hivyo kamati iliamua kumfungia mechi mbili na faini ya Sh laki tano. Wambura alisema mechi kati Yanga na  Alliance, wageni ambao ni Alliance walipita katika njia ambazo si sahihi  hivyo wamepigwa faini ya Sh laki 5. “Mechi nyingine kati ya Azam FC dhidi ya JKT Tanzania, mchezaji wa Azam FC, Ennock Atta, alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga teke kwa makusudi mchezaji wa JKT Tanzania,  kwa mujibu wa kanuni ya 38 (9) inayohusiana na udhibiti wa wachezaji amefungiwa mechi tatu na faini ya shilingi laki tano,” alisema. Alisema mchezo mwingine  kati ya Coastal Union na  Kagera Sugar, wenyeji Coastal wamepewa onyo kwa kuchelewa kufika kwa zaidi ya robo saa hivyo wamepewa onyo, mchezo  kati ya Ndanda FC dhidi ya Biashara United, mchezaji wa Ndanda FC, Masoud Abdallah, alipewa kadi nyekundu kwa kosa la kumpiga mpinzani hivyo amefungiwa mechi tatu na faini ya Sh laki tano.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- na mwandishi wetu-dar es salaam MWAMUZI wa Tanzania, Jonesia Rukyaa, amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana mwaka huu. Jonesia amechaguliwa katika orodha ya waamuzi wa katikati akiwa ni Mtanzania pekee katika michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Novemba 17 hadi Desemba 1, mwaka huu. Akizungumza Dar es Salaam jana Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Clifford Ndimbo, alisema Rukyaa amechaguliwa katika orodha ya waamuzi 13 wa katikati na wasaidizi 12. “Fainali hizo zitatumika kupata timu tatu zitakazowakilisha Afrika katika michuano ya Kombe la Dunia kwa wanawake itakayofanyika  mwakani Ufaransa,” alisema. Jonesia amekuwa  akipata nafasi katika michuano mbalimbali ya kimataifa, Februari mwaka huu, alichezesha mashindano ya wanawake Ureno yaliyojulikana kwa jina la Algarve. Mwaka 2016 alikuwa mwamuzi wa akiba kwenye mashindano kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia kwa wanawake wenye umri chini ya miaka 17, Sierra Leone. Michuano hiyo inashirikisha nchi nane zilizopangwa katika  makundi mawili,  A likiwa na mwenyeji Ghana, Algeria, Mali na Cameroon, kundi B ni Nigeria, Afrika Kusini, Zambia na Kenya. Katika hatua nyingine Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura, alisema kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi ilikutana juzi na kupitia matukio mbalimbali yaliyojitokeza ikiwa pamoja na malalamiko yaliyopelekwa. Alisema katika mechi ya Azam dhidi ya African Lyon, mwamuzi Fikirini Yussuph, amepewa onyo baada ya kuonekana umakini wake kuwa mdogo. Mechi kati ya Mwadui FC na  Ruvu Shooting, kocha wa Ruvu Shooting alitolewa katika benchi na mwamuzi kwa kosa la kupinga maamuzi ya mwamuzi, hivyo kamati iliamua kumfungia mechi mbili na faini ya Sh laki tano. Wambura alisema mechi kati Yanga na  Alliance, wageni ambao ni Alliance walipita katika njia ambazo si sahihi  hivyo wamepigwa faini ya Sh laki 5. “Mechi nyingine kati ya Azam FC dhidi ya JKT Tanzania, mchezaji wa Azam FC, Ennock Atta, alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga teke kwa makusudi mchezaji wa JKT Tanzania,  kwa mujibu wa kanuni ya 38 (9) inayohusiana na udhibiti wa wachezaji amefungiwa mechi tatu na faini ya shilingi laki tano,” alisema. Alisema mchezo mwingine  kati ya Coastal Union na  Kagera Sugar, wenyeji Coastal wamepewa onyo kwa kuchelewa kufika kwa zaidi ya robo saa hivyo wamepewa onyo, mchezo  kati ya Ndanda FC dhidi ya Biashara United, mchezaji wa Ndanda FC, Masoud Abdallah, alipewa kadi nyekundu kwa kosa la kumpiga mpinzani hivyo amefungiwa mechi tatu na faini ya Sh laki tano. ### Response: KIMATAIFA ### End
WAZIRI wa Nishati, Dk Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha vituo vyote vya kuzalisha na kupoozea umeme nchi nzima vinakuwa na hifadhi ya vifaa vya ziada zikiwemo transfoma.Alitoa agizo hilo juzi alipotembelea kituo cha kupoozea umeme cha Kiloleni kilichopo Tabora Mjini. Akifafanua kuhusu agizo hilo, Dk Kalemani alisema lengo la kuwa na hifadhi hiyo ya vifaa muhimu ni kuwezesha kubadilisha vifaa vibovu mara moja pale inapotokea kifaa kimeharibika hivyo kituo kuendelea kufanya kazi kama kawaida, badala ya kutumia muda mrefu kuagiza na kuwasumbua wananchi kwa kuwakosesha umeme.Aidha, aliwaagiza mameneja na wasimamizi wa vituo hivyo nchi nzima, kuhakikisha wanafanya ukaguzi na marekebisho ya mitambo katika vituo hivyo kila siku. “Najua ninyi ni wataalamu na mnafanya ukaguzi wa mitambo husika kila mara, lakini nami nasisitiza mfanye ukaguzi huo kila siku ili kuhakikisha muda wote iko katika hali nzuri,” alieleza.Akitolea ufafanuzi wa suala hilo, waziri alisema “hata magari, kila unapofanya ukaguzi wake unaambiwa ukaguzi unaofuata ni baada ya kilometa kadhaa; lakini haikuzuii kila siku kukagua maji, vilainishi na kadhalika.”Pia, alisisitiza kuwa hatapenda kusikia kero ya umeme kwa Mkoa wa Tabora kwani umeme uliopo ni mwingi kuzidi mahitaji. Awali, akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa kituo hicho, Msimamizi wake, Noel Kaale alimweleza waziri na ujumbe aliofuatana nao kuwa, kituo husika kinaweza kubeba megawati 40.5 za umeme ilhali matumizi ya mkoa mzima hayazidi nusu ya uwezo wa kituo hicho.Katika ziara hiyo, Dk Kalemani alifuatana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Gift Msuya, Mbunge wa Jimbo la Tabora Kaskazini, Almasi Maige, viongozi na wataalamu mbalimbali kutoka wizarani, Tanesco, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Nishati, Dk Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha vituo vyote vya kuzalisha na kupoozea umeme nchi nzima vinakuwa na hifadhi ya vifaa vya ziada zikiwemo transfoma.Alitoa agizo hilo juzi alipotembelea kituo cha kupoozea umeme cha Kiloleni kilichopo Tabora Mjini. Akifafanua kuhusu agizo hilo, Dk Kalemani alisema lengo la kuwa na hifadhi hiyo ya vifaa muhimu ni kuwezesha kubadilisha vifaa vibovu mara moja pale inapotokea kifaa kimeharibika hivyo kituo kuendelea kufanya kazi kama kawaida, badala ya kutumia muda mrefu kuagiza na kuwasumbua wananchi kwa kuwakosesha umeme.Aidha, aliwaagiza mameneja na wasimamizi wa vituo hivyo nchi nzima, kuhakikisha wanafanya ukaguzi na marekebisho ya mitambo katika vituo hivyo kila siku. “Najua ninyi ni wataalamu na mnafanya ukaguzi wa mitambo husika kila mara, lakini nami nasisitiza mfanye ukaguzi huo kila siku ili kuhakikisha muda wote iko katika hali nzuri,” alieleza.Akitolea ufafanuzi wa suala hilo, waziri alisema “hata magari, kila unapofanya ukaguzi wake unaambiwa ukaguzi unaofuata ni baada ya kilometa kadhaa; lakini haikuzuii kila siku kukagua maji, vilainishi na kadhalika.”Pia, alisisitiza kuwa hatapenda kusikia kero ya umeme kwa Mkoa wa Tabora kwani umeme uliopo ni mwingi kuzidi mahitaji. Awali, akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa kituo hicho, Msimamizi wake, Noel Kaale alimweleza waziri na ujumbe aliofuatana nao kuwa, kituo husika kinaweza kubeba megawati 40.5 za umeme ilhali matumizi ya mkoa mzima hayazidi nusu ya uwezo wa kituo hicho.Katika ziara hiyo, Dk Kalemani alifuatana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Gift Msuya, Mbunge wa Jimbo la Tabora Kaskazini, Almasi Maige, viongozi na wataalamu mbalimbali kutoka wizarani, Tanesco, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM). ### Response: KITAIFA ### End
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mkoa wa Arusha, Nuru Suleiman ameieleza mahakama kuwa basi lililosafarisha wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent, lilikuwa linamilikiwa na mtu mwingine na si Mkurugenzi wa shule hiyo. Amedai basi hilo limewahi kumilikiwa na watu watatu tofauti na mmiliki wa mwisho alikuwa Swalehe Kiluvia kabla ya Kampuni ya Lucky Vincent. Suleiman ambaye ni shahidi wa pili katika kesi ya makosa ya usalama barabarani ikiwamo kusafirisha watoto bila vibali muhimu inayomkabili Mkurugenzi wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Moshi, Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya ya Arumeru, Desderi Kamugisha, amedai mahakamani hapo leo kuwa gari hilo pia halikuwa na leseni ya kubeba wanafunzi na badala yake lilikuwa na leseni ya kusafirisha abiria kutoka Arusha hadi Mererani. “Baada ya kupokea barua kutoka kwa mpelelezi wa shauri linalohusu ajali hiyo ikinitaka kupata baadhi ya uthibitisho kutoka mamlaka tofauti kwa ajili ya upelelezi ambapo tuliandika barua Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Idara ya Kazi, Mamlaka ya Mapato (TRA) na Kampuni ya Bima, Zanzibar Insurance,” amedai. Shahidi huyo amedai barua hizo aliandika Mei 8, mwaka huu kwa taasisi hizo ili kufahamu kuhusu uhalali wa bima ya gari hilo, uchunguzi wa leseni ya usafirishaji, mkataba kati ya dereva na mmiliki wa gari pamoja na kutaka kujua iwapo gari hilo limewahi kumilikiwa na mtu mwingine. “Mei 9, mwaka huu tulipata majibu kutoka taasisi hizo ambapo Sumatra ikieleza basi hilo halikuwa na leseni ya kubeba wanafunzi na badala yake lilikuwa na leseni ya kusafirisha abiria kutoka Arusha kupitia Mbuguni kuelekea Mererani, huku likionyesha mmiliki alikuwa ni mwingine anayetambulika kwa jina la Swalehe Kiluvia. “Zanzibar Insurance walisema bima ya mwisho kukatiwa basi hilo ilikatwa na Kiluvia na Lucky Vincent hawakukata, hivyo kuendelea kutumia bima ya mmiliki mwingine, bima hiyo inakuwa siyo halali, huku Idara ya kazi ikitoa majibu kuwa ofisi hiyo haikuwa na mkataba wanaoutambua kati ya dereva wa basi hilo Dismas na shule hiyo,” amedai.  
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mkoa wa Arusha, Nuru Suleiman ameieleza mahakama kuwa basi lililosafarisha wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent, lilikuwa linamilikiwa na mtu mwingine na si Mkurugenzi wa shule hiyo. Amedai basi hilo limewahi kumilikiwa na watu watatu tofauti na mmiliki wa mwisho alikuwa Swalehe Kiluvia kabla ya Kampuni ya Lucky Vincent. Suleiman ambaye ni shahidi wa pili katika kesi ya makosa ya usalama barabarani ikiwamo kusafirisha watoto bila vibali muhimu inayomkabili Mkurugenzi wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Moshi, Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya ya Arumeru, Desderi Kamugisha, amedai mahakamani hapo leo kuwa gari hilo pia halikuwa na leseni ya kubeba wanafunzi na badala yake lilikuwa na leseni ya kusafirisha abiria kutoka Arusha hadi Mererani. “Baada ya kupokea barua kutoka kwa mpelelezi wa shauri linalohusu ajali hiyo ikinitaka kupata baadhi ya uthibitisho kutoka mamlaka tofauti kwa ajili ya upelelezi ambapo tuliandika barua Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Idara ya Kazi, Mamlaka ya Mapato (TRA) na Kampuni ya Bima, Zanzibar Insurance,” amedai. Shahidi huyo amedai barua hizo aliandika Mei 8, mwaka huu kwa taasisi hizo ili kufahamu kuhusu uhalali wa bima ya gari hilo, uchunguzi wa leseni ya usafirishaji, mkataba kati ya dereva na mmiliki wa gari pamoja na kutaka kujua iwapo gari hilo limewahi kumilikiwa na mtu mwingine. “Mei 9, mwaka huu tulipata majibu kutoka taasisi hizo ambapo Sumatra ikieleza basi hilo halikuwa na leseni ya kubeba wanafunzi na badala yake lilikuwa na leseni ya kusafirisha abiria kutoka Arusha kupitia Mbuguni kuelekea Mererani, huku likionyesha mmiliki alikuwa ni mwingine anayetambulika kwa jina la Swalehe Kiluvia. “Zanzibar Insurance walisema bima ya mwisho kukatiwa basi hilo ilikatwa na Kiluvia na Lucky Vincent hawakukata, hivyo kuendelea kutumia bima ya mmiliki mwingine, bima hiyo inakuwa siyo halali, huku Idara ya kazi ikitoa majibu kuwa ofisi hiyo haikuwa na mkataba wanaoutambua kati ya dereva wa basi hilo Dismas na shule hiyo,” amedai.   ### Response: KITAIFA ### End
Tayari kikosi hicho kinachoongozwa na Kocha Mkuu Mecky Maxime kilitarajiwa kuwasili leo Songea tayari kwa mchezo huo, kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri.Akizungumza na gazeti hili jana, Msemaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru alisema licha ya kuwakosa wachezaji wengi, kikosi chake kina wachezaji wengi ambao wana uwezo wa kufanya vyema.“Tuna majeruhi wengi awamu hii, lakini hatuwezi kukata tamaa kwa kuwa tuna wachezaji wengi watakaoziba pengo, nina imani watafanya vizuri,”alisema.Aliwataja wachezaji majeruhi kuwa ni Issa Rashid, Salim Mbonde, Andrew Vicent, Said Bahanuzi na golikipa namba moja Said Mohamed.Kifaru alisema mchezo huo utakuwa ni mgumu kwa kuwa timu ya Majimaji imetoka kupoteza mchezo wake uliopita.Alisema pia, timu hiyo haiko katika nafasi nzuri hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa kupambana na kutetea nafasi yao.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Tayari kikosi hicho kinachoongozwa na Kocha Mkuu Mecky Maxime kilitarajiwa kuwasili leo Songea tayari kwa mchezo huo, kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri.Akizungumza na gazeti hili jana, Msemaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru alisema licha ya kuwakosa wachezaji wengi, kikosi chake kina wachezaji wengi ambao wana uwezo wa kufanya vyema.“Tuna majeruhi wengi awamu hii, lakini hatuwezi kukata tamaa kwa kuwa tuna wachezaji wengi watakaoziba pengo, nina imani watafanya vizuri,”alisema.Aliwataja wachezaji majeruhi kuwa ni Issa Rashid, Salim Mbonde, Andrew Vicent, Said Bahanuzi na golikipa namba moja Said Mohamed.Kifaru alisema mchezo huo utakuwa ni mgumu kwa kuwa timu ya Majimaji imetoka kupoteza mchezo wake uliopita.Alisema pia, timu hiyo haiko katika nafasi nzuri hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa kupambana na kutetea nafasi yao. ### Response: MICHEZO ### End
KUNA binti anaitwa Jane Rimoy a.k.a Sanchi. Ni maarufu sana katika mitandao ya kijamii. Ni binti mwenye shepu ya kibantu, sura ya kike na vituko vya mwendawazimu. Kuna kipindi binti huyu aliwahi kusema kwa mwanaume anayetaka kumuoa awe tayari kutoa kiasi cha shilingi milioni 30 kama mahari. Alivyohojiwa kama yuko ‘serious’. Alisema yuko ‘serious’. Watu wakatazamana kwa mshangao. Watu wakimwangalia binti wa kuolewa hata kwa elf 25 achana na  hiyo milini 30 anayoiota hivi binti mwenye kuweka picha za utupu mtandaoni, binti mwenye kuropoka lolote linalokuja katika kinywa chake, anaolewaje na mtu makini mwenye kujielewa? Achana na hizo. Tatizo linakuja binti huyu pale anapojitambulisha kuwa ni mwanamitindo. Kwa kitendo cha kusema ni mwanamitindo wakati huko mitandaoni sifa (reputation) yake ni kuweka picha za utupu, kuweka picha za mapozi ya hovyo ni kuharibu taswira ya sekta ya mitindo Tanzania. Kwa kujitambulisha kwake ni mwanamitindo maana yake, matendo yake ya ovyo yatahukumiwa kama matendo ya wanamitindo. Na kwa kuwa ni kawaida kwa jamii kuhukumu mambo kwa ujumla, basi ujinga wa Sanchi utakuwa ujinga wa wanamitindo. Watu wamitindo wako wapi kusema juu ya tabia za huyu binti? Kama kweli Sanchi ni mwanamitindo kama yeye anavyopenda kutambulika, basi wakuu wa sekta hiyo wanabidi wakae naye chini na kumpa somo. Kuacha Sanchi kuendelea kuposti picha zake za utupu, kuongea ovyo ni hatari kwa sekta ya mitindo. Ili sekta yoyote ikue huwa inahitaji damu changa na taswira njema kwa jamii. Sasa ni kwa vipi wazazi watawaruhusu watoto wao kuingia katika sekta hiyo kama inaonekana ni  sekta ya kina Sanchoka waweka picha za utupu katika mitandao? Katika jamii ya kitanzania, binti wa kike kukaa utupu hadharani ni matusi kwake, familia yake na kwa watu wazima wote. Mzazi gani ataruhusu binti yake apate laana ya kuwakosea heshima watu wazima wote? Hiyo ni katika mrengo mmoja. Mrengo mwingine ni kwamba kama Sanchi siyo mwanamitindo kama anavyosema. Maana yake ni kuwa anatumia jina la fani hilo kujikinga kwa ujinga anaofanya. Kama iko hivyo, wakuu wa sekta ya mitindo wako wapi kumkanusha na kusema yeye ana ‘mambo’ yake na siyo mwanamitindo kama anavyodai na alikome kujiita mwanamitindo? Kumuacha Sanchi aendelee na kuweka picha zake za utupu kabisa huku akitumia jina la uanamitindo ni hatari. Kabla ya sekta ya mitindo kukubaliwa, imewahi kupita katika vipindi vigumu mno. Wazazi na wana jamii wengi walikuwa ni wagumu kutofautisha sekta hiyo na uhuni. Kazi kubwa ilibidi kufanyika, bidii kubwa ilibidi kutumika na elimu kubwa ikalazimu itumike hatimaye jamii ikaelewa. Kwa kazi kubwa ya namna hiyo. Kwa muhanga mkubwa wa kuelemisha uliofanyika, wadau wanaacha vipi mtu mmoja, anayeitwa Sanchi aharibu taswira njema iliyojengwa kwa  muda mrefu na kwa gharama kubwa? Sanchi anatukanisha wanamitindo. Sanchoka anaharibu jina zuri la fani ya mitindo. Kwa heshima ya fani hii, inabidi Sanchi aambiwe abadilike ama akanushe kusema yeye siyo mwanamitindo.  
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KUNA binti anaitwa Jane Rimoy a.k.a Sanchi. Ni maarufu sana katika mitandao ya kijamii. Ni binti mwenye shepu ya kibantu, sura ya kike na vituko vya mwendawazimu. Kuna kipindi binti huyu aliwahi kusema kwa mwanaume anayetaka kumuoa awe tayari kutoa kiasi cha shilingi milioni 30 kama mahari. Alivyohojiwa kama yuko ‘serious’. Alisema yuko ‘serious’. Watu wakatazamana kwa mshangao. Watu wakimwangalia binti wa kuolewa hata kwa elf 25 achana na  hiyo milini 30 anayoiota hivi binti mwenye kuweka picha za utupu mtandaoni, binti mwenye kuropoka lolote linalokuja katika kinywa chake, anaolewaje na mtu makini mwenye kujielewa? Achana na hizo. Tatizo linakuja binti huyu pale anapojitambulisha kuwa ni mwanamitindo. Kwa kitendo cha kusema ni mwanamitindo wakati huko mitandaoni sifa (reputation) yake ni kuweka picha za utupu, kuweka picha za mapozi ya hovyo ni kuharibu taswira ya sekta ya mitindo Tanzania. Kwa kujitambulisha kwake ni mwanamitindo maana yake, matendo yake ya ovyo yatahukumiwa kama matendo ya wanamitindo. Na kwa kuwa ni kawaida kwa jamii kuhukumu mambo kwa ujumla, basi ujinga wa Sanchi utakuwa ujinga wa wanamitindo. Watu wamitindo wako wapi kusema juu ya tabia za huyu binti? Kama kweli Sanchi ni mwanamitindo kama yeye anavyopenda kutambulika, basi wakuu wa sekta hiyo wanabidi wakae naye chini na kumpa somo. Kuacha Sanchi kuendelea kuposti picha zake za utupu, kuongea ovyo ni hatari kwa sekta ya mitindo. Ili sekta yoyote ikue huwa inahitaji damu changa na taswira njema kwa jamii. Sasa ni kwa vipi wazazi watawaruhusu watoto wao kuingia katika sekta hiyo kama inaonekana ni  sekta ya kina Sanchoka waweka picha za utupu katika mitandao? Katika jamii ya kitanzania, binti wa kike kukaa utupu hadharani ni matusi kwake, familia yake na kwa watu wazima wote. Mzazi gani ataruhusu binti yake apate laana ya kuwakosea heshima watu wazima wote? Hiyo ni katika mrengo mmoja. Mrengo mwingine ni kwamba kama Sanchi siyo mwanamitindo kama anavyosema. Maana yake ni kuwa anatumia jina la fani hilo kujikinga kwa ujinga anaofanya. Kama iko hivyo, wakuu wa sekta ya mitindo wako wapi kumkanusha na kusema yeye ana ‘mambo’ yake na siyo mwanamitindo kama anavyodai na alikome kujiita mwanamitindo? Kumuacha Sanchi aendelee na kuweka picha zake za utupu kabisa huku akitumia jina la uanamitindo ni hatari. Kabla ya sekta ya mitindo kukubaliwa, imewahi kupita katika vipindi vigumu mno. Wazazi na wana jamii wengi walikuwa ni wagumu kutofautisha sekta hiyo na uhuni. Kazi kubwa ilibidi kufanyika, bidii kubwa ilibidi kutumika na elimu kubwa ikalazimu itumike hatimaye jamii ikaelewa. Kwa kazi kubwa ya namna hiyo. Kwa muhanga mkubwa wa kuelemisha uliofanyika, wadau wanaacha vipi mtu mmoja, anayeitwa Sanchi aharibu taswira njema iliyojengwa kwa  muda mrefu na kwa gharama kubwa? Sanchi anatukanisha wanamitindo. Sanchoka anaharibu jina zuri la fani ya mitindo. Kwa heshima ya fani hii, inabidi Sanchi aambiwe abadilike ama akanushe kusema yeye siyo mwanamitindo.   ### Response: BURUDANI ### End
Na ESTHER GEORGE MSANII wa Bongo fleva anayetamba na wimbo wa ‘Nampa Papa’, Gift Stanford ‘Gigy Money’, amesema anahofia maisha ya ndoa kutokana na wanawake wengi kupoteza uzuri na mvuto wakiwa ndani ya ndoa. Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo, ambaye pia ni Video Queen, amesema anapenda kuolewa, lakini wasichana wengi ambao wameingia kwenye ndoa, wanaume zao wanashindwa kutunza uzuri wao na kuishia kupauka. “Ndoa ni sifa na heshima kwa mwanamke, lakini wasichana wengi waliomo ndani ya hizo ndoa wamekuwa tofauti na walivyotarajia, kitu ambacho kinaniumiza sana na kuwaza kuwa kuna nini kwenye ndoa,” alisema Gig Money. Gig Moneya aliwataka wasichana kujitengenezea maisha kwanza kabla ya kuingia kwenye ndoa, ili wasijekupata taabu baadaye.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ESTHER GEORGE MSANII wa Bongo fleva anayetamba na wimbo wa ‘Nampa Papa’, Gift Stanford ‘Gigy Money’, amesema anahofia maisha ya ndoa kutokana na wanawake wengi kupoteza uzuri na mvuto wakiwa ndani ya ndoa. Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo, ambaye pia ni Video Queen, amesema anapenda kuolewa, lakini wasichana wengi ambao wameingia kwenye ndoa, wanaume zao wanashindwa kutunza uzuri wao na kuishia kupauka. “Ndoa ni sifa na heshima kwa mwanamke, lakini wasichana wengi waliomo ndani ya hizo ndoa wamekuwa tofauti na walivyotarajia, kitu ambacho kinaniumiza sana na kuwaza kuwa kuna nini kwenye ndoa,” alisema Gig Money. Gig Moneya aliwataka wasichana kujitengenezea maisha kwanza kabla ya kuingia kwenye ndoa, ili wasijekupata taabu baadaye. ### Response: BURUDANI ### End
Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka hilo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom, Keith Tukei amesema kuwa uzinduzi wa duka hilo ni mwendelezo wa juhudi za kampuni kusogeza huduma karibu kwa wateja.“Vodacom kwetu wateja ni wafalme na siku zote tumekuwa tukisikiliza maoni yao na ndio maana tumeona kuna umuhimu wa kufungua duka eneo hili ili kuwarahishia wakazi wa ubungo kupata huduma zetu kwa urahisi bila kusumbuka kuzifuata mbali,” alisema.Aliongeza kuwa duka hilo mbali na kuuza simu za kila aina kwa gharama nafuu, pia linatoa huduma mbalimbali kwa wateja ikiwemo huduma ya kutuma na kupokea fedha ya M-Pesa.Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha huduma kwa wateja wa rejareja, Brigita Stephen alisema katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kampuni itakuwa na matukio mbalimbali ya kuwa karibu na wateja kwa kufungua maduka na wafanyakazi wa Vodacom kusikiliza maoni ya wateja ili kuboresha huduma zaidi.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka hilo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom, Keith Tukei amesema kuwa uzinduzi wa duka hilo ni mwendelezo wa juhudi za kampuni kusogeza huduma karibu kwa wateja.“Vodacom kwetu wateja ni wafalme na siku zote tumekuwa tukisikiliza maoni yao na ndio maana tumeona kuna umuhimu wa kufungua duka eneo hili ili kuwarahishia wakazi wa ubungo kupata huduma zetu kwa urahisi bila kusumbuka kuzifuata mbali,” alisema.Aliongeza kuwa duka hilo mbali na kuuza simu za kila aina kwa gharama nafuu, pia linatoa huduma mbalimbali kwa wateja ikiwemo huduma ya kutuma na kupokea fedha ya M-Pesa.Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha huduma kwa wateja wa rejareja, Brigita Stephen alisema katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kampuni itakuwa na matukio mbalimbali ya kuwa karibu na wateja kwa kufungua maduka na wafanyakazi wa Vodacom kusikiliza maoni ya wateja ili kuboresha huduma zaidi. ### Response: UCHUMI ### End
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ukosefu wa uadilifu ni eneo ambalo lilitia doa utendaji wa sekta binafsi hususani pale ambapo ilishirikiana na Serikali.Ameyasema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa 18 wa mwaka wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa niaba ya Rais John Magufuli.Katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amesema, uadilifu ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi na Serikali na TPSF.Waziri Mkuu ameitaka TPSF ijifunze kwa wenzao walioendelea kwa kutokuwa na vitendo vya rushwa, kwa kutoa adhabu kwa wanaoenda kinyume na misingi ya uadilifu walijiwekea.Amesema kufanya hivyo watakuwa wamejiongezea nguvu yao kama taasisi lakini pia kupeleka ujumbe kwa wanachama wao kuwa wanathamini haki na kuchukia rushwa. Aliongeza kuwa shughuli za sekta binafsi zimeendelea kuongoza katika kuchangia pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.Amesema, kwa mujibu wa takwimu sekta ya utalii inachangia asilimia tisa, huduma asilimia 35, kilimo asilimia 26.6, madini asilimia 3.3 na sekta ya viwanda inachangia takribani asilimia 10.Waziri Mkuu alisema serikali kwa upande wake, itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuboresha miundombinu, kutoa vivutio kwenye kodi, kanuni na sheria ili kukuza sekta binafsi.Hivyo, Waziri Mkuu alisema sekta binafsi nchini nayo haina budi kutumia vema fursa hiyo ya uwepo wa mazingira wezeshi na rafiki kwa kuwekeza kwenye uchumi wa nchi.Mwenyekiti wa TPSF aliyemaliza muda wake, Reginald Mengi aliishukuru serikali ya awamu ya tano kwa hatua mbalimbali inayozichukua ikiwemo ya kupambana na rushwa na kuboresha mazingira mazuri ya kufanya biashara.Mengi amesema, takwimu za serikali na Benki ya Dunia zinaonesha uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2018 unatarajiwa kukua kwa kwa asilimia 6.9 na pato la mtu mmoja mmoja kuwa dola za kimarekani 1,000 kwa mwaka.Mbali ya kuishukuru serikali aliipongeza pia kwa maamuzi iliyochukua ya kutoa msamaha wa riba na adhabu za malimbikizo ya kodi kwa asilimia 100, alisema na kuongeza kuwa hiyo itahamasisha ulipaji kodi na pia kuondoa mizigo ya kodi na tozo kwa wafanyabiashara.Mwakalishi wa Wadau wa Maendeleo ambaye pia ni Mkurugenzi wa USAID hapa Tanzania, Andrew Karas alipongeza kuwepo kwa chombo kinachosimamia sekta binafsi kwani kinawawakilisha watu moja kwa moja.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ukosefu wa uadilifu ni eneo ambalo lilitia doa utendaji wa sekta binafsi hususani pale ambapo ilishirikiana na Serikali.Ameyasema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa 18 wa mwaka wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa niaba ya Rais John Magufuli.Katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amesema, uadilifu ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi na Serikali na TPSF.Waziri Mkuu ameitaka TPSF ijifunze kwa wenzao walioendelea kwa kutokuwa na vitendo vya rushwa, kwa kutoa adhabu kwa wanaoenda kinyume na misingi ya uadilifu walijiwekea.Amesema kufanya hivyo watakuwa wamejiongezea nguvu yao kama taasisi lakini pia kupeleka ujumbe kwa wanachama wao kuwa wanathamini haki na kuchukia rushwa. Aliongeza kuwa shughuli za sekta binafsi zimeendelea kuongoza katika kuchangia pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.Amesema, kwa mujibu wa takwimu sekta ya utalii inachangia asilimia tisa, huduma asilimia 35, kilimo asilimia 26.6, madini asilimia 3.3 na sekta ya viwanda inachangia takribani asilimia 10.Waziri Mkuu alisema serikali kwa upande wake, itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuboresha miundombinu, kutoa vivutio kwenye kodi, kanuni na sheria ili kukuza sekta binafsi.Hivyo, Waziri Mkuu alisema sekta binafsi nchini nayo haina budi kutumia vema fursa hiyo ya uwepo wa mazingira wezeshi na rafiki kwa kuwekeza kwenye uchumi wa nchi.Mwenyekiti wa TPSF aliyemaliza muda wake, Reginald Mengi aliishukuru serikali ya awamu ya tano kwa hatua mbalimbali inayozichukua ikiwemo ya kupambana na rushwa na kuboresha mazingira mazuri ya kufanya biashara.Mengi amesema, takwimu za serikali na Benki ya Dunia zinaonesha uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2018 unatarajiwa kukua kwa kwa asilimia 6.9 na pato la mtu mmoja mmoja kuwa dola za kimarekani 1,000 kwa mwaka.Mbali ya kuishukuru serikali aliipongeza pia kwa maamuzi iliyochukua ya kutoa msamaha wa riba na adhabu za malimbikizo ya kodi kwa asilimia 100, alisema na kuongeza kuwa hiyo itahamasisha ulipaji kodi na pia kuondoa mizigo ya kodi na tozo kwa wafanyabiashara.Mwakalishi wa Wadau wa Maendeleo ambaye pia ni Mkurugenzi wa USAID hapa Tanzania, Andrew Karas alipongeza kuwepo kwa chombo kinachosimamia sekta binafsi kwani kinawawakilisha watu moja kwa moja. ### Response: KITAIFA ### End
Ramadhan Hassan -Dodoma WABUNGE wametaka wachezaji wa kulipwa wanaonza kikosi cha kwanza kutozidi wanne, ili kuwapa nafasi wachezaji wazawa. Wakichangia jana bungeni bajeti ya Wizara ya Habari Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka 2020-2021,wabunge hao walidai kwamba wachezaji wa kulipwa wanaotoka nje ya nchi wamekuwa wengi hivyo kuna haja ya Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) kuliangalia kwa umakini jambo hilo. Mbunge wa Kilolo,Venance Mwamoto(CCM), alisema TFF inatakiwa kuweka utaratibu wachezaji wa kulipwa wanaonza kikosi cha kwanza kutozidi wanne ili kuwapa nafasi wachezaji wazawa. “Wachezaji wanatoka nje ya Tanzania kwa sasa wapo wengi lakini suala la wanaotakiwa kuanza katika kikosi cha kwanza ni vizuri ukawekwa utaratibu mzuri zaidi na mimi nashauri wawe wasizidi wanne,”alisema. Alitolea mfano wa timu ya Taifa ya Uingereza kwa kusemna kutofanya kwake vizuri katika michuano mbalimbali kutokana ligi za nchi hiyo kujaza wachezaji wengi wa kulipwa hivyo ni vizuri TFF ikaliangalia jambo hilo. Mwamoto pia aliishauriTFF kurudisha mashindano ya Taifa akisema wakati yanafanyika yaliibua vipaji vya wachezaji wengi. “TFF waje kwetu wabunge tuwape maoni jinsi ya kuendesha soka la Tanzania,”alisema Mwamoto. Mbunge wa Mufinga Mjini, Cosato Chumi (CCM), alisema malalamiko ya waamuzi kuchezesha chini ya kiwango yamekuwa mengi hivyo kuna haja ya TFF kuliangalia jambo hilo kwa umakini. “Bila kuwa na waamuzi bora hatuwezi kuwa na ligi bora hivyo jambo hili tunaomba liangaliwe kwa umakini,”alisema Chumi.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Ramadhan Hassan -Dodoma WABUNGE wametaka wachezaji wa kulipwa wanaonza kikosi cha kwanza kutozidi wanne, ili kuwapa nafasi wachezaji wazawa. Wakichangia jana bungeni bajeti ya Wizara ya Habari Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka 2020-2021,wabunge hao walidai kwamba wachezaji wa kulipwa wanaotoka nje ya nchi wamekuwa wengi hivyo kuna haja ya Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) kuliangalia kwa umakini jambo hilo. Mbunge wa Kilolo,Venance Mwamoto(CCM), alisema TFF inatakiwa kuweka utaratibu wachezaji wa kulipwa wanaonza kikosi cha kwanza kutozidi wanne ili kuwapa nafasi wachezaji wazawa. “Wachezaji wanatoka nje ya Tanzania kwa sasa wapo wengi lakini suala la wanaotakiwa kuanza katika kikosi cha kwanza ni vizuri ukawekwa utaratibu mzuri zaidi na mimi nashauri wawe wasizidi wanne,”alisema. Alitolea mfano wa timu ya Taifa ya Uingereza kwa kusemna kutofanya kwake vizuri katika michuano mbalimbali kutokana ligi za nchi hiyo kujaza wachezaji wengi wa kulipwa hivyo ni vizuri TFF ikaliangalia jambo hilo. Mwamoto pia aliishauriTFF kurudisha mashindano ya Taifa akisema wakati yanafanyika yaliibua vipaji vya wachezaji wengi. “TFF waje kwetu wabunge tuwape maoni jinsi ya kuendesha soka la Tanzania,”alisema Mwamoto. Mbunge wa Mufinga Mjini, Cosato Chumi (CCM), alisema malalamiko ya waamuzi kuchezesha chini ya kiwango yamekuwa mengi hivyo kuna haja ya TFF kuliangalia jambo hilo kwa umakini. “Bila kuwa na waamuzi bora hatuwezi kuwa na ligi bora hivyo jambo hili tunaomba liangaliwe kwa umakini,”alisema Chumi. ### Response: MICHEZO ### End
Na MWANDISHI WETU -MWANZA BENKI ya Exim Tanzania imekabidhiwa tuzo maalumu kutoka serikalini, ikiwa ni kutambua mchango wa benki hiyo katika kufanikisha upatikanaji wa damu salama. Exim imekabidhiwa tuzo hiyo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, wakati wa maadhimisho ya uchangiaji damu yaliyofanyika kitaifa jijini Mwanza wiki iliyopita. Waziri Ummy aliihimiza benki hiyo kuendelea kuwa balozi imara wa damu salama nchini na kuhamasisha taasisi nyingine na watu binafsi kuungana na benki hiyo kufanikisha mpango huo. “Serikali imetenga Sh bilioni 5 mwaka wa fedha 2019/20, zitakazotumika kujenga vituo vidogo vya uchangiaji damu salama katika mikoa 12 nchini,” alisema. Katika maadhimisho hayo, Ummy pia alizindua mashine mpya ‘full automation’ za kupima maambukizi katika damu na za kupima makundi  ya damu ambazo zimesimikwa kwenye vituo vya kanda sita vya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora, Kilimanjaro, Mtwara na Mbeya. “Tunataka kumfikia kila Mtanzania mwenye mahitaji ya damu salama popote alipo, tuhakikishe anapata damu salama bila kikwazo chochote.  “WHO inakadiria idadi ya watu 1,000 zipatikane chupa 10 za damu, Watanzania tunakadiriwa tupo milioni 55, tunapaswa kupata asilimia moja ya idadi hiyo, hivyo chupa 550,000 zinahitajika kila mwaka kutosheleza mahitaji,” alisema. Akizungumza kuhusu tuzo hizo, Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Exim, Stanley Kafu alisema wamepokea tuzo na heshima hiyo kutoka serikalini kwa mikono miwili  kwa kuwa ni sehemu ya matokeo chanya ya mkakati wao wa uwajibikaji kwa jamii unaofahamika kama ‘Exim Cares’.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI WETU -MWANZA BENKI ya Exim Tanzania imekabidhiwa tuzo maalumu kutoka serikalini, ikiwa ni kutambua mchango wa benki hiyo katika kufanikisha upatikanaji wa damu salama. Exim imekabidhiwa tuzo hiyo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, wakati wa maadhimisho ya uchangiaji damu yaliyofanyika kitaifa jijini Mwanza wiki iliyopita. Waziri Ummy aliihimiza benki hiyo kuendelea kuwa balozi imara wa damu salama nchini na kuhamasisha taasisi nyingine na watu binafsi kuungana na benki hiyo kufanikisha mpango huo. “Serikali imetenga Sh bilioni 5 mwaka wa fedha 2019/20, zitakazotumika kujenga vituo vidogo vya uchangiaji damu salama katika mikoa 12 nchini,” alisema. Katika maadhimisho hayo, Ummy pia alizindua mashine mpya ‘full automation’ za kupima maambukizi katika damu na za kupima makundi  ya damu ambazo zimesimikwa kwenye vituo vya kanda sita vya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora, Kilimanjaro, Mtwara na Mbeya. “Tunataka kumfikia kila Mtanzania mwenye mahitaji ya damu salama popote alipo, tuhakikishe anapata damu salama bila kikwazo chochote.  “WHO inakadiria idadi ya watu 1,000 zipatikane chupa 10 za damu, Watanzania tunakadiriwa tupo milioni 55, tunapaswa kupata asilimia moja ya idadi hiyo, hivyo chupa 550,000 zinahitajika kila mwaka kutosheleza mahitaji,” alisema. Akizungumza kuhusu tuzo hizo, Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Exim, Stanley Kafu alisema wamepokea tuzo na heshima hiyo kutoka serikalini kwa mikono miwili  kwa kuwa ni sehemu ya matokeo chanya ya mkakati wao wa uwajibikaji kwa jamii unaofahamika kama ‘Exim Cares’. ### Response: KITAIFA ### End
Wafanyabiashara wilayani Kinondoni, Dar es Salaam wameiomba Serikali irekebishe mitaro na kupanua barabara ili kupunguza madhara yanapotokea mafuriko. Wametoa wito huo hivi karibuni na wakadai kuwa, wakati wa mvua na mafuriko hulazimika kufunga biashara. “Barabara kama ile ya Tanganyika inajaa maji sana kipindi cha mafuriko, hakuna mitaro ya kutosha ya kupitisha maji kwahiyo imekua vigumu kupitisha bidhaa kufika dukani, biashara zinasimama na maji yanaingia majumbani,”amesema mfanyabiashara kwenye eneo la Mbweni, Jenifa Beka. Mfanyabiashara katika soko la Tandale Veda Shangwe amesema wakati wa masika bidhaa nyingi zinasombwa na maji na kusababisha hasara kubwa. Mchumi wa Manispaa ya Kinondoni Nassor Semzigwa amekiri kuwepo kwa tatizo hilo na kudai kuwa, changamoto kubwa kwenye kuboresha miundombinu ni ukosefu wa fedha. “Hata hivyo tayari tumeanza kushirikiana na taasisi mbalimbali kama Benki ya Dunia kuhakikisha tunatafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto hii,” amesema. Kwa mujibu wa takwimu ya manispaa hiyo za maafa ya mvua kwa mwaka 2019, kata 14 kati ya 20 hukumbwa na mafuriko kwenye kila msimu wa mvua ikiwa ni pamoja na Magomeni, Mzimuni, Hananasif, Tandale, Kawe na nyinginezo. Takwimu hizo zinaonesha pia kuwa, wakati wa mvua mwaka huu, zaidi ya nyumba 700 zilijaa maji na mali zilizokuwa ndani ziliharibika.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wafanyabiashara wilayani Kinondoni, Dar es Salaam wameiomba Serikali irekebishe mitaro na kupanua barabara ili kupunguza madhara yanapotokea mafuriko. Wametoa wito huo hivi karibuni na wakadai kuwa, wakati wa mvua na mafuriko hulazimika kufunga biashara. “Barabara kama ile ya Tanganyika inajaa maji sana kipindi cha mafuriko, hakuna mitaro ya kutosha ya kupitisha maji kwahiyo imekua vigumu kupitisha bidhaa kufika dukani, biashara zinasimama na maji yanaingia majumbani,”amesema mfanyabiashara kwenye eneo la Mbweni, Jenifa Beka. Mfanyabiashara katika soko la Tandale Veda Shangwe amesema wakati wa masika bidhaa nyingi zinasombwa na maji na kusababisha hasara kubwa. Mchumi wa Manispaa ya Kinondoni Nassor Semzigwa amekiri kuwepo kwa tatizo hilo na kudai kuwa, changamoto kubwa kwenye kuboresha miundombinu ni ukosefu wa fedha. “Hata hivyo tayari tumeanza kushirikiana na taasisi mbalimbali kama Benki ya Dunia kuhakikisha tunatafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto hii,” amesema. Kwa mujibu wa takwimu ya manispaa hiyo za maafa ya mvua kwa mwaka 2019, kata 14 kati ya 20 hukumbwa na mafuriko kwenye kila msimu wa mvua ikiwa ni pamoja na Magomeni, Mzimuni, Hananasif, Tandale, Kawe na nyinginezo. Takwimu hizo zinaonesha pia kuwa, wakati wa mvua mwaka huu, zaidi ya nyumba 700 zilijaa maji na mali zilizokuwa ndani ziliharibika. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza atangátuka madarakani kwenye uongozi wa chama cha kihafidhina cha Conservative na kutoa mwanya kwa taifa hilo kuchagua kiongozi mwingine.May ameeleza leo, Ijumaa, kuwa amefanya kila awezalo kufanikisha mpango wa Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya (BREXIT) huku akielezea kwa masikitiko kuwa ameshindwa kukamilisha kazi hiyo. Hata hivyo, May ataendelea kushikilia uongozi wa Conservative hadi pale uchaguzi mpya utakaopofanyika ili kumpata mrithi wake.Chama hicho kinatarajiwa kupata kiongozi mpya kabla ya mwishoni mwa Julai. Kwa mujibu wa BBC, May atakuwa bado madarakani wakati Rais wa Marekani, Donald Trump atakapoitembelea Uingereza mwishoni mwa Juni, mwaka huu.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza atangátuka madarakani kwenye uongozi wa chama cha kihafidhina cha Conservative na kutoa mwanya kwa taifa hilo kuchagua kiongozi mwingine.May ameeleza leo, Ijumaa, kuwa amefanya kila awezalo kufanikisha mpango wa Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya (BREXIT) huku akielezea kwa masikitiko kuwa ameshindwa kukamilisha kazi hiyo. Hata hivyo, May ataendelea kushikilia uongozi wa Conservative hadi pale uchaguzi mpya utakaopofanyika ili kumpata mrithi wake.Chama hicho kinatarajiwa kupata kiongozi mpya kabla ya mwishoni mwa Julai. Kwa mujibu wa BBC, May atakuwa bado madarakani wakati Rais wa Marekani, Donald Trump atakapoitembelea Uingereza mwishoni mwa Juni, mwaka huu. ### Response: KIMATAIFA ### End
NA ALLAN VICENT, Tabora  KANISA la Free Pentecoste (FPTC) Kituo cha Ipilili wilayani Nzega mkoani Tabora, limetoa msaada wa mavazi yenye thamani ya Sh 650,000 kwa wakoma wanaolelewa katika Kijiji cha Iduguta wilayani hapa. Mchungaji wa kanisa hilo, Jonas Msubi, alisema wametoa msaada huo ili kuonesha moyo wa upendo na kuwapunguzia changamoto za ukosefu wa mavazi watu hao. Alisema msaada huo umetolewa na waumini hao kwa kuchanga kidogo kidogo ili waweze kutoa sadaka kwa wenzao wenye uhitaji waliopo katika kijiji hicho. Alisema wataendeleza moyo huo wa kujitolea kusaidia jamii zenye mahitaji katika wilaya hiyo na maeneo mengine yenye watu wenye uhitaji kama hao. Mariamu Joshua na Angelina Musa ni miongoni mwa watu wenye ukoma katika kituo hicho ambao walipata msaada huo, ambapo kwa nyakati tofauti walisema walikuwa na uhaba wa mavazi hivyo wanashukuru kanisa kwa kuguswa kuwasaidia. “Tunawashukuru sana waumini wa kanisa hilo kwa moyo wao wa upendo, msaada huo utatusaidia sana kwani wengi wetu tulikuwa na uhaba wa mavazi,” alisema Angelina. Alisema kwa sasa wana changamoto ya chakula hasa mahindi kwa kuwa mwaka huu mvua zimenyesha sana hivyo kuambulia mpunga tu hivyo waliomba jamii kuwasaidia mahindi ili kukidhi mahitaji yao ya chakula. Awali akipokea msaada huo, Mchungaji Yusufu Sarangi wa misheni ya Iduguta, alilishukuru kanisa hilo kwa msaada huo wa nguo na kuongeza kuwa wasichoke kuwasaidia kwa kile watakachojaliwa ikiwemo chakula. Kwa upande wa Mchungaji Msubi aliahidi kanisa lake litaangalia uwezekano wa kuwasaidia mahindi kama walivyoomba huku akisisitiza kuwa lengo lao ni kuendelea kudumisha umoja kati ya waumini wao na watu wenye mahitaji.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA ALLAN VICENT, Tabora  KANISA la Free Pentecoste (FPTC) Kituo cha Ipilili wilayani Nzega mkoani Tabora, limetoa msaada wa mavazi yenye thamani ya Sh 650,000 kwa wakoma wanaolelewa katika Kijiji cha Iduguta wilayani hapa. Mchungaji wa kanisa hilo, Jonas Msubi, alisema wametoa msaada huo ili kuonesha moyo wa upendo na kuwapunguzia changamoto za ukosefu wa mavazi watu hao. Alisema msaada huo umetolewa na waumini hao kwa kuchanga kidogo kidogo ili waweze kutoa sadaka kwa wenzao wenye uhitaji waliopo katika kijiji hicho. Alisema wataendeleza moyo huo wa kujitolea kusaidia jamii zenye mahitaji katika wilaya hiyo na maeneo mengine yenye watu wenye uhitaji kama hao. Mariamu Joshua na Angelina Musa ni miongoni mwa watu wenye ukoma katika kituo hicho ambao walipata msaada huo, ambapo kwa nyakati tofauti walisema walikuwa na uhaba wa mavazi hivyo wanashukuru kanisa kwa kuguswa kuwasaidia. “Tunawashukuru sana waumini wa kanisa hilo kwa moyo wao wa upendo, msaada huo utatusaidia sana kwani wengi wetu tulikuwa na uhaba wa mavazi,” alisema Angelina. Alisema kwa sasa wana changamoto ya chakula hasa mahindi kwa kuwa mwaka huu mvua zimenyesha sana hivyo kuambulia mpunga tu hivyo waliomba jamii kuwasaidia mahindi ili kukidhi mahitaji yao ya chakula. Awali akipokea msaada huo, Mchungaji Yusufu Sarangi wa misheni ya Iduguta, alilishukuru kanisa hilo kwa msaada huo wa nguo na kuongeza kuwa wasichoke kuwasaidia kwa kile watakachojaliwa ikiwemo chakula. Kwa upande wa Mchungaji Msubi aliahidi kanisa lake litaangalia uwezekano wa kuwasaidia mahindi kama walivyoomba huku akisisitiza kuwa lengo lao ni kuendelea kudumisha umoja kati ya waumini wao na watu wenye mahitaji. ### Response: KITAIFA ### End
Derick Milton, Simiyu Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imetoa katoni zaidi ya 100 za taulo za kike kwa wanafunzi wa kike 538 wa kidato cha sita walioko kwenye kambi ya kitaaluma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa. Akikabidhi taulo hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka, Meneja wa mamlaka hiyo Kanda ya Mashariki Nuru Mwasulama amesema taulo hizo zina thamani ya Sh milioni tano. “Katika kuunga mkono juhudi za mkoa kuinua elimu, TFDA imeona isaidie sehemu moja wapo kwa wasichana wa kike ambao tunajua kuwa wamekuwa wakipata shida kwenye suala hili hasa wanapoingia kwenye siku zao,” amesema Mwasulama. Akipokea msaada huo, Mtaka alipongeza TFDA huku akiwataka wanafunzi kusoma kwa bidii kutokana na serikali kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazowakabili kwenye kambi hiyo. Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru msaada huo, kwa kile walichosema kuwa umekuja kwa wakati muafaka ambao wamekuwa wakipata shida kupata taulo hizo wanpoingia hedhi.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Derick Milton, Simiyu Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), imetoa katoni zaidi ya 100 za taulo za kike kwa wanafunzi wa kike 538 wa kidato cha sita walioko kwenye kambi ya kitaaluma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa. Akikabidhi taulo hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka, Meneja wa mamlaka hiyo Kanda ya Mashariki Nuru Mwasulama amesema taulo hizo zina thamani ya Sh milioni tano. “Katika kuunga mkono juhudi za mkoa kuinua elimu, TFDA imeona isaidie sehemu moja wapo kwa wasichana wa kike ambao tunajua kuwa wamekuwa wakipata shida kwenye suala hili hasa wanapoingia kwenye siku zao,” amesema Mwasulama. Akipokea msaada huo, Mtaka alipongeza TFDA huku akiwataka wanafunzi kusoma kwa bidii kutokana na serikali kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazowakabili kwenye kambi hiyo. Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru msaada huo, kwa kile walichosema kuwa umekuja kwa wakati muafaka ambao wamekuwa wakipata shida kupata taulo hizo wanpoingia hedhi. ### Response: AFYA ### End
MANCHESTER, ENGLAND TIMU ya Manchester United, imeandika historia mpya msimu huu ya kufanya vibaya ambapo haijawahi kutokea kwa kipindi cha miaka 31 kwenye Ligi Kuu England. Mwishoni mwa wiki iliopita timu hiyo ilikuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Old Trafford na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Aston Villa na kuufanya kuwa mchezo wa sita msimu huu kwenye michuano hii kutoka sare. Mbali na kutoka sare kwa michezo sita, lakini imekubali kichapo cha michezo minne na kushinda michezo minne katika michezo 14 waliocheza msimu huu. Hii haijawahi kutokea kwa timu hiyo katika historia yake tangu msimu wa 1988-89 wakiwa wamecheza michezo kama hiyo. Sasa Manchester United imeachwa kwa pointi 22 dhidi ya vinara wa Ligi hiyo Liverpool. Msimu huo wa mwaka 1988, Manchester United walimaliza nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi huku wakiachwa kwa pointi 25 dhidi ya Arsenal ambao walikuwa mabingwa, lakini ubingwa huo ulitokana na idadi kubwa ya mabao baada ya kuwa sawa kwa pointi na Liverpool. United msimu huu imekuwa kwenye wakati mgumu chini ya kocha Ole Gunnar Solskjaer, hivyo kocha huyo yupo hatarini kufungashiwa virago. Mbali na kufanya usajili wakati wa kiangazi bado United inaonekana inakosa muunganiko kuanzia safu ya ulinzi, kiungo pamoja na ushambuliaji, lakini beki wa kati wa timu Harry Maguire amedai bado wanapambana kuhakikisha wanakaa vizuri, ila kwa sasa bado timu haiko sawa. “Tunajitahidi kupambana ili kuwa bora zaidi kwa kuwa ushindani ni mkubwa na bado hatupo sawa, kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye uwanja wa nyumbani ni kitu cha kuumiza mashabiki na timu kwa ujumla,” alisema mchezaji huyo. Kwa upande mwingine wiki hii ni ngumu kwa Man United ambapo kesho watakuwa nyumbani kupambana na Tottenham ikiwa na kocha wao mpya Jose Mourinho, huku mwishoni mwa wiki Jumamosi watakutana na majirani zao Man City kwenye Uwanja wa Etihad.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MANCHESTER, ENGLAND TIMU ya Manchester United, imeandika historia mpya msimu huu ya kufanya vibaya ambapo haijawahi kutokea kwa kipindi cha miaka 31 kwenye Ligi Kuu England. Mwishoni mwa wiki iliopita timu hiyo ilikuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Old Trafford na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Aston Villa na kuufanya kuwa mchezo wa sita msimu huu kwenye michuano hii kutoka sare. Mbali na kutoka sare kwa michezo sita, lakini imekubali kichapo cha michezo minne na kushinda michezo minne katika michezo 14 waliocheza msimu huu. Hii haijawahi kutokea kwa timu hiyo katika historia yake tangu msimu wa 1988-89 wakiwa wamecheza michezo kama hiyo. Sasa Manchester United imeachwa kwa pointi 22 dhidi ya vinara wa Ligi hiyo Liverpool. Msimu huo wa mwaka 1988, Manchester United walimaliza nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi huku wakiachwa kwa pointi 25 dhidi ya Arsenal ambao walikuwa mabingwa, lakini ubingwa huo ulitokana na idadi kubwa ya mabao baada ya kuwa sawa kwa pointi na Liverpool. United msimu huu imekuwa kwenye wakati mgumu chini ya kocha Ole Gunnar Solskjaer, hivyo kocha huyo yupo hatarini kufungashiwa virago. Mbali na kufanya usajili wakati wa kiangazi bado United inaonekana inakosa muunganiko kuanzia safu ya ulinzi, kiungo pamoja na ushambuliaji, lakini beki wa kati wa timu Harry Maguire amedai bado wanapambana kuhakikisha wanakaa vizuri, ila kwa sasa bado timu haiko sawa. “Tunajitahidi kupambana ili kuwa bora zaidi kwa kuwa ushindani ni mkubwa na bado hatupo sawa, kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye uwanja wa nyumbani ni kitu cha kuumiza mashabiki na timu kwa ujumla,” alisema mchezaji huyo. Kwa upande mwingine wiki hii ni ngumu kwa Man United ambapo kesho watakuwa nyumbani kupambana na Tottenham ikiwa na kocha wao mpya Jose Mourinho, huku mwishoni mwa wiki Jumamosi watakutana na majirani zao Man City kwenye Uwanja wa Etihad. ### Response: MICHEZO ### End
Na MWANDISHI WETU – dar es salaam TANGU Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda atangaze orodha mpya ya watu 65 iliyojumuisha wanasiasa na watu wengine maarufu Jumatano wiki hii, na kuwataka wafike Kituo Kikuu cha Polisi wakajadiliane juu ya tuhuma za dawa za kulevya, kiongozi huyo hajaonekana tena hadharani. Tofauti na wiki iliyopita wakati alipotangaza kwa mara ya kwanza orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya iliyowajumuisha askari polisi 17, wasanii na watu mbalimbali 18, Makonda alikuwa akionekana polisi kwa uwazi na hata kuelezwa kushiriki mahojiano na watuhumiwa hao. MTANZANIA Jumapili limebaini kuwa tangu atangaze awamu ya pili ya watuhumiwa hao 65, Makonda hajaonekana na wala hajakutana na watuhumiwa hao. Si hilo tu, pia hajafanya mikutano na waandishi wa habari kueleza nani kafika na nani hajafika miongoni mwa watuhumiwa hao. Taarifa hizi zinathibitishwa pia na Askofu wa Kanisa na Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ambaye muda mfupi baada ya kuachiwa jana jioni, aliliambia MTANZANIA Jumapili kuwa hajawahi kukutana wala kuonana na Makonda katika mahojiano kituoni hapo tangu aliporipoti Alhamisi wiki hii. Mara baada ya kutangaza orodha ya kwanza, Makonda alifika mara kadhaa kituoni hapo na hata kufanya mkutano na waandishi wa habari akiwa ameambatana na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro. Katika mkutano huo ambao Makonda aliutumia kueleza matarajio yao ya kuwafikia wauzaji wakubwa wa dawa za kulevya, pia aliwataja watuhumiwa walioripoti na ambao hawakuripoti. Zaidi aliutumia mkutano huo kuwaongeza kwenye orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya, mwanamuziki Vanessa Mdee, mrembo anayependezesha video za muziki, Tunda na askari wengine watano ambao nao aliwataka wafike kuripoti kituoni hapo Jumatatu ya wiki iliyopita. Ingawa zipo taarifa ambazo hazijathibitishwa kwamba Makonda alifika kituoni hapo juzi, lakini alifanya hivyo kimya kimya. Juzi ikiwa siku moja baada ya watuhumiwa wawili kuripoti kituoni hapo na kuwekwa ndani, Kamanda Sirro alifanya mkutano na waandishi wa habari chini ya mti uliopo nje ya kituo hicho cha polisi pasipo uwepo wa Makonda. Sirro aliitaja orodha ya watu waliofika hadi kufikia juzi kuwa ni wanne tu kati ya 65 waliokuwa wametajwa na Makonda. Jana ikiwa ni siku tatu tangu Makonda atangaze orodha hiyo ya awamu ya pili, lakini pia Jeshi la Polisi likimwachia Askofu Gwajima, bado kiongozi huyo alibaki kimya zaidi ya kutuma picha kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, ikimwonyesha akiwa nyumbani kwake na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’. TID ni miongoni mwa wasanii na watu mbalimbali 18 ambao Makonda aliwatangaza kwenye sakata la dawa za kulevya katika orodha ya kwanza wiki iliyopita. Msanii huyo ni miongoni mwa wale ambao walifikishwa mahakamani mwanzoni mwa wiki hii kutokana na kosa la kujihusisha na dawa za kulevya. “Mungu wetu hajalala na siku zote anampenda amtafutae, karibu tena nyumbani TID.” aliandika Makonda katika mtandao wake wa Instagram. Picha kama hiyo pia aliiweka TID katika ukurasa wake wa Instagram ikiwa imebeba maandishi yanayosomeka: “Muziki bila madawa ya kulevya inawezekana… This is the turning Point kwangu mimi na kizazi cha mziki huu wa kizazi kipya, nikiwa na Mh. Makonda leo tukijadili Jinsi gani ya kuokoa vipaji na sanaa kwa ujumla, Mungu ibariki Bongo Fleva, Mungu Ibariki Tanzania”. Mara kadhaa MTANZANIA Jumapili lilimtafuta Makonda ofisini kwake na kupitia simu ya mkononi bila mafanikio. Tangu aibuke wiki iliyopita na operesheni ya kupambana na dawa za kulevya katika mkoa wake wa Dar es Salaam, Makonda ametaja orodha mbili tofauti za watuhumiwa wa dawa hizo. Wakati akitangaza orodha ya pili, Makonda alisisitiza kuwa habahatishi na kwamba watu aliowataja tayari wamefanya uchunguzi wa kutosha dhidi yao. Kampeni hiyo ilionekana kugusa moja kwa moja mamlaka za juu baada ya hivi karibuni Rais Dk. John Magufuli wakati akimwapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, kutumia fursa hiyo kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuingia katika vita hiyo na kuhakikisha kila anayehusika anakamatwa bila kujali umaarufu wake. Kabla ya kauli hiyo ya Rais Magufuli, operesheni hiyo aliyoianzisha Makonda ilionekana pia kuigusa Wizara ya Mambo ya Ndani. Katika hatua ambayo pengine haikutarajiwa na wengi, ikiwa ni siku tatu tu tangu Makonda aanze operesheni yake, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu alitangaza kuwasimimamisha kazi askari 12 ambao majina yao yalitajwa kwenye orodha ya  Makonda Alhamisi na Ijumaa ya wiki iliyopita. Hata hivyo, upepo ulionekana kuvuma vibaya upande wa Makonda baada ya suala hilo kufika bungeni ambako baadhi ya wabunge walimpinga vikali kwa hoja kwamba operesheni yake hiyo ilikuwa haijazingatia misingi ya kisheria. Wakati Bunge likiwa na mtazamo huo, baadhi ya watu wanaomuunga mkono walikuwa na hoja kwamba Makonda ndiye mtu pekee aliyethubutu kuwataja kwa majina watuhumiwa tofauti na viongozi wengine waliopita.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI WETU – dar es salaam TANGU Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda atangaze orodha mpya ya watu 65 iliyojumuisha wanasiasa na watu wengine maarufu Jumatano wiki hii, na kuwataka wafike Kituo Kikuu cha Polisi wakajadiliane juu ya tuhuma za dawa za kulevya, kiongozi huyo hajaonekana tena hadharani. Tofauti na wiki iliyopita wakati alipotangaza kwa mara ya kwanza orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya iliyowajumuisha askari polisi 17, wasanii na watu mbalimbali 18, Makonda alikuwa akionekana polisi kwa uwazi na hata kuelezwa kushiriki mahojiano na watuhumiwa hao. MTANZANIA Jumapili limebaini kuwa tangu atangaze awamu ya pili ya watuhumiwa hao 65, Makonda hajaonekana na wala hajakutana na watuhumiwa hao. Si hilo tu, pia hajafanya mikutano na waandishi wa habari kueleza nani kafika na nani hajafika miongoni mwa watuhumiwa hao. Taarifa hizi zinathibitishwa pia na Askofu wa Kanisa na Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ambaye muda mfupi baada ya kuachiwa jana jioni, aliliambia MTANZANIA Jumapili kuwa hajawahi kukutana wala kuonana na Makonda katika mahojiano kituoni hapo tangu aliporipoti Alhamisi wiki hii. Mara baada ya kutangaza orodha ya kwanza, Makonda alifika mara kadhaa kituoni hapo na hata kufanya mkutano na waandishi wa habari akiwa ameambatana na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro. Katika mkutano huo ambao Makonda aliutumia kueleza matarajio yao ya kuwafikia wauzaji wakubwa wa dawa za kulevya, pia aliwataja watuhumiwa walioripoti na ambao hawakuripoti. Zaidi aliutumia mkutano huo kuwaongeza kwenye orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya, mwanamuziki Vanessa Mdee, mrembo anayependezesha video za muziki, Tunda na askari wengine watano ambao nao aliwataka wafike kuripoti kituoni hapo Jumatatu ya wiki iliyopita. Ingawa zipo taarifa ambazo hazijathibitishwa kwamba Makonda alifika kituoni hapo juzi, lakini alifanya hivyo kimya kimya. Juzi ikiwa siku moja baada ya watuhumiwa wawili kuripoti kituoni hapo na kuwekwa ndani, Kamanda Sirro alifanya mkutano na waandishi wa habari chini ya mti uliopo nje ya kituo hicho cha polisi pasipo uwepo wa Makonda. Sirro aliitaja orodha ya watu waliofika hadi kufikia juzi kuwa ni wanne tu kati ya 65 waliokuwa wametajwa na Makonda. Jana ikiwa ni siku tatu tangu Makonda atangaze orodha hiyo ya awamu ya pili, lakini pia Jeshi la Polisi likimwachia Askofu Gwajima, bado kiongozi huyo alibaki kimya zaidi ya kutuma picha kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, ikimwonyesha akiwa nyumbani kwake na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’. TID ni miongoni mwa wasanii na watu mbalimbali 18 ambao Makonda aliwatangaza kwenye sakata la dawa za kulevya katika orodha ya kwanza wiki iliyopita. Msanii huyo ni miongoni mwa wale ambao walifikishwa mahakamani mwanzoni mwa wiki hii kutokana na kosa la kujihusisha na dawa za kulevya. “Mungu wetu hajalala na siku zote anampenda amtafutae, karibu tena nyumbani TID.” aliandika Makonda katika mtandao wake wa Instagram. Picha kama hiyo pia aliiweka TID katika ukurasa wake wa Instagram ikiwa imebeba maandishi yanayosomeka: “Muziki bila madawa ya kulevya inawezekana… This is the turning Point kwangu mimi na kizazi cha mziki huu wa kizazi kipya, nikiwa na Mh. Makonda leo tukijadili Jinsi gani ya kuokoa vipaji na sanaa kwa ujumla, Mungu ibariki Bongo Fleva, Mungu Ibariki Tanzania”. Mara kadhaa MTANZANIA Jumapili lilimtafuta Makonda ofisini kwake na kupitia simu ya mkononi bila mafanikio. Tangu aibuke wiki iliyopita na operesheni ya kupambana na dawa za kulevya katika mkoa wake wa Dar es Salaam, Makonda ametaja orodha mbili tofauti za watuhumiwa wa dawa hizo. Wakati akitangaza orodha ya pili, Makonda alisisitiza kuwa habahatishi na kwamba watu aliowataja tayari wamefanya uchunguzi wa kutosha dhidi yao. Kampeni hiyo ilionekana kugusa moja kwa moja mamlaka za juu baada ya hivi karibuni Rais Dk. John Magufuli wakati akimwapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, kutumia fursa hiyo kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuingia katika vita hiyo na kuhakikisha kila anayehusika anakamatwa bila kujali umaarufu wake. Kabla ya kauli hiyo ya Rais Magufuli, operesheni hiyo aliyoianzisha Makonda ilionekana pia kuigusa Wizara ya Mambo ya Ndani. Katika hatua ambayo pengine haikutarajiwa na wengi, ikiwa ni siku tatu tu tangu Makonda aanze operesheni yake, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu alitangaza kuwasimimamisha kazi askari 12 ambao majina yao yalitajwa kwenye orodha ya  Makonda Alhamisi na Ijumaa ya wiki iliyopita. Hata hivyo, upepo ulionekana kuvuma vibaya upande wa Makonda baada ya suala hilo kufika bungeni ambako baadhi ya wabunge walimpinga vikali kwa hoja kwamba operesheni yake hiyo ilikuwa haijazingatia misingi ya kisheria. Wakati Bunge likiwa na mtazamo huo, baadhi ya watu wanaomuunga mkono walikuwa na hoja kwamba Makonda ndiye mtu pekee aliyethubutu kuwataja kwa majina watuhumiwa tofauti na viongozi wengine waliopita. ### Response: KITAIFA ### End