File size: 71,190 Bytes
597042a
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150
151
152
153
154
155
156
157
158
159
160
161
162
163
164
165
166
167
168
169
170
171
172
173
174
175
176
177
178
179
180
181
182
183
184
185
186
187
188
189
190
191
192
193
194
195
196
197
198
199
200
201
202
203
204
205
206
207
208
209
210
211
212
213
214
215
216
217
218
219
220
221
222
223
224
225
226
227
228
229
230
231
232
233
234
235
236
237
238
239
240
241
242
243
244
245
246
247
248
249
250
251
252
253
254
255
256
257
258
259
260
261
262
263
264
265
266
267
268
269
270
271
272
273
274
275
276
277
278
279
280
281
282
283
284
285
286
287
288
289
290
291
292
293
294
295
296
297
298
299
300
301
302
[
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... anajali zaidi jinsi anavyoonekana?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "B",
    "context": "A Roza\n                                        \nAfya njema inategemea sana chakula na mazoezi. Mimi ninakula lishe bora yenye virutubisho vingi. Ni kawaida yangu kuamka mapema sana na kufanya mazoezi. Zoezi ninalolipenda hasa ni kuruka kamba. Baada ya hapo hunyoosha viungo vyangu huku nikiwa nimejilaza sakafuni. Ninakula karibu kila kitu. Sidhani kama ningefaa kuwa daktari wa lishe kwa sababu sichagui vyakula, muhimu kiwe kinajenga mwili. Leo asubuhi nilikunywa uji na matunda, mchana nilisonga ugali na kitoweo kilikuwa maharagwe. Usiku nitakula wali na mboga mboga. Pia nyakati za jioni huwa ninapenda kutembea mtaani kwangu. Kwa njia hii ninaweza kufanya mazoezi mara mbili kwa siku na pia huwasalimia majirani zangu; labda siku moja nitajenga urafiki nao. Pia nimegundua kwamba ninapofanya mazoezi au kutembea, huwa ninasahau matatizo yangu yote na hujihisi mwepesi kabisa.\n                                        \nB Juma\n                                        \nNilipokuwa shule nilipenda sana kuruka kamba. Tena niliipenda ile michezo inayohusu kamba ambapo mtu mmoja huwa kati na huruka wakati wengine wameshikilia pande zote mbili. Siku hizi siruki tena, ila ninanyanyua vyuma vizito. Jana usiku nilinyanyua vyuma vilivyokuwa na kilo 150. Misuli yangu imefura sana na ukiniona tu unajua kwamba mimi ni mtu wa mazoezi. Mimi sifanyi mazoezi kupumzisha akili, huyafanya ili nizidi kujivunia mwili wangu. Chakula ninachopendelea ni kuku na wali tu, kwani vyakula hivyo hujenga misuli. Mimi inapowezekana situmii vyakula vyenye sukari na mafuta. Watu huniuliza kwa nini sikimbii kwa mfano kwenye marathoni. Ukweli ni kwamba mwili wangu ni mzito, si kwamba sipendi kukimbia, la, mimi siwezi kukimbia ingawa nina nguvu sana. Zaidi ya kunyanyua vyuma, mimi hupenda kuzurura kwenye barabara karibu na nyumbani kwangu ambapo majirani wote wananijua na wanapenda kuniangalia nikipita, ingawa hawanisogelei.\n                                        \nC Safia\n                                        \nMimi ninapendelea zaidi vyakula vyenye rangi rangi na vinavyovutia. Matunda ninayokula ni machungwa na mazambarau tu. Mboga zangu kuu ni mchicha na biringani. Mimi sili nyama wala samaki. Pia sili mayai na maziwa. Mama yangu ana wasiwasi kwamba kuna virutubisho ambavyo ninavikosa kwenye lishe yangu. Huwa ninamhakikishia kwamba huo si ukweli. Mimi nitasomea kuwa mwanasayansi wa lishe kwa hivyo ninajua ninachokifanya. Zoezi langu kuu ni lile la kunyoosha viungo. Ninapenda kujinyoosha hadi misuli yangu inasikia raha. Zoezi ambalo halinivutii kabisa ni lile la kunyanyua vyuma. Sioni maana ya kufanya hivyo ili kuonekana kuwa umejenga misuli lakini mwili haushituliwi kwa zoezi kama la kukimbia, kuruka kamba au kuogelea. Zamani nilipenda sana kucheza mpira wa mguu, tena nilikuwa mwanachama wa timu ya kandanda, lakini niliteguka na sikucheza tena ingawa sikosi kutazama mechi za timu yangu.\n                                        \nD Luka\n                                        \nMimi ni mpenzi wa mpira wa miguu. Ninapenda sana kutazama michuano na pia kucheza. Siku hizi nimejiunga na timu ya vijana wenzangu na hucheza mpira na majirani zangu. Kwa njia hii tumejuana na kuwa marafiki. Uzuri wa mpira wa miguu ni kwamba sihisi kuchoka hadi inapofika mwisho wa mechi. Na hapo ninagundua kwamba nimeweza kukimbia masafa marefu pale uwanjani. Wenzangu wengi wanapenda kunyanyua vyuma vizito. Kwa mfano wengine hubeba hadi kilo 150. Lakini mimi sivutiwi kabisa na zoezi hilo. Kitu muhimu kwangu ni chakula. Mimi ninapenda sana chai na mkate asubuhi, mchana ninakula kilichopikwa nyumbani. Leo ilikuwa wali, nyama na maharagwe. Pia ninakula matunda tofauti na mboga. Mara moja moja pia hupenda kula vitafunio vya sukari kama kashata na visheti. Ninafikiri maishani ni muhimu kutojinyima.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... anataka kuhamia nje kwa ajili ya maendeleo yake?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "D",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... anataka kutumia ndondi kuboresha utu wake?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "B",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... anataka kusafiri ili kustarehe?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "B",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... amejenga urafiki na majirani?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "D",
    "context": "A Roza\n                                        \nAfya njema inategemea sana chakula na mazoezi. Mimi ninakula lishe bora yenye virutubisho vingi. Ni kawaida yangu kuamka mapema sana na kufanya mazoezi. Zoezi ninalolipenda hasa ni kuruka kamba. Baada ya hapo hunyoosha viungo vyangu huku nikiwa nimejilaza sakafuni. Ninakula karibu kila kitu. Sidhani kama ningefaa kuwa daktari wa lishe kwa sababu sichagui vyakula, muhimu kiwe kinajenga mwili. Leo asubuhi nilikunywa uji na matunda, mchana nilisonga ugali na kitoweo kilikuwa maharagwe. Usiku nitakula wali na mboga mboga. Pia nyakati za jioni huwa ninapenda kutembea mtaani kwangu. Kwa njia hii ninaweza kufanya mazoezi mara mbili kwa siku na pia huwasalimia majirani zangu; labda siku moja nitajenga urafiki nao. Pia nimegundua kwamba ninapofanya mazoezi au kutembea, huwa ninasahau matatizo yangu yote na hujihisi mwepesi kabisa.\n                                        \nB Juma\n                                        \nNilipokuwa shule nilipenda sana kuruka kamba. Tena niliipenda ile michezo inayohusu kamba ambapo mtu mmoja huwa kati na huruka wakati wengine wameshikilia pande zote mbili. Siku hizi siruki tena, ila ninanyanyua vyuma vizito. Jana usiku nilinyanyua vyuma vilivyokuwa na kilo 150. Misuli yangu imefura sana na ukiniona tu unajua kwamba mimi ni mtu wa mazoezi. Mimi sifanyi mazoezi kupumzisha akili, huyafanya ili nizidi kujivunia mwili wangu. Chakula ninachopendelea ni kuku na wali tu, kwani vyakula hivyo hujenga misuli. Mimi inapowezekana situmii vyakula vyenye sukari na mafuta. Watu huniuliza kwa nini sikimbii kwa mfano kwenye marathoni. Ukweli ni kwamba mwili wangu ni mzito, si kwamba sipendi kukimbia, la, mimi siwezi kukimbia ingawa nina nguvu sana. Zaidi ya kunyanyua vyuma, mimi hupenda kuzurura kwenye barabara karibu na nyumbani kwangu ambapo majirani wote wananijua na wanapenda kuniangalia nikipita, ingawa hawanisogelei.\n                                        \nC Safia\n                                        \nMimi ninapendelea zaidi vyakula vyenye rangi rangi na vinavyovutia. Matunda ninayokula ni machungwa na mazambarau tu. Mboga zangu kuu ni mchicha na biringani. Mimi sili nyama wala samaki. Pia sili mayai na maziwa. Mama yangu ana wasiwasi kwamba kuna virutubisho ambavyo ninavikosa kwenye lishe yangu. Huwa ninamhakikishia kwamba huo si ukweli. Mimi nitasomea kuwa mwanasayansi wa lishe kwa hivyo ninajua ninachokifanya. Zoezi langu kuu ni lile la kunyoosha viungo. Ninapenda kujinyoosha hadi misuli yangu inasikia raha. Zoezi ambalo halinivutii kabisa ni lile la kunyanyua vyuma. Sioni maana ya kufanya hivyo ili kuonekana kuwa umejenga misuli lakini mwili haushituliwi kwa zoezi kama la kukimbia, kuruka kamba au kuogelea. Zamani nilipenda sana kucheza mpira wa mguu, tena nilikuwa mwanachama wa timu ya kandanda, lakini niliteguka na sikucheza tena ingawa sikosi kutazama mechi za timu yangu.\n                                        \nD Luka\n                                        \nMimi ni mpenzi wa mpira wa miguu. Ninapenda sana kutazama michuano na pia kucheza. Siku hizi nimejiunga na timu ya vijana wenzangu na hucheza mpira na majirani zangu. Kwa njia hii tumejuana na kuwa marafiki. Uzuri wa mpira wa miguu ni kwamba sihisi kuchoka hadi inapofika mwisho wa mechi. Na hapo ninagundua kwamba nimeweza kukimbia masafa marefu pale uwanjani. Wenzangu wengi wanapenda kunyanyua vyuma vizito. Kwa mfano wengine hubeba hadi kilo 150. Lakini mimi sivutiwi kabisa na zoezi hilo. Kitu muhimu kwangu ni chakula. Mimi ninapenda sana chai na mkate asubuhi, mchana ninakula kilichopikwa nyumbani. Leo ilikuwa wali, nyama na maharagwe. Pia ninakula matunda tofauti na mboga. Mara moja moja pia hupenda kula vitafunio vya sukari kama kashata na visheti. Ninafikiri maishani ni muhimu kutojinyima.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... ataweza kuwasaidia watu kuboresha lishe zao?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "C",
    "context": "A Roza\n                                        \nAfya njema inategemea sana chakula na mazoezi. Mimi ninakula lishe bora yenye virutubisho vingi. Ni kawaida yangu kuamka mapema sana na kufanya mazoezi. Zoezi ninalolipenda hasa ni kuruka kamba. Baada ya hapo hunyoosha viungo vyangu huku nikiwa nimejilaza sakafuni. Ninakula karibu kila kitu. Sidhani kama ningefaa kuwa daktari wa lishe kwa sababu sichagui vyakula, muhimu kiwe kinajenga mwili. Leo asubuhi nilikunywa uji na matunda, mchana nilisonga ugali na kitoweo kilikuwa maharagwe. Usiku nitakula wali na mboga mboga. Pia nyakati za jioni huwa ninapenda kutembea mtaani kwangu. Kwa njia hii ninaweza kufanya mazoezi mara mbili kwa siku na pia huwasalimia majirani zangu; labda siku moja nitajenga urafiki nao. Pia nimegundua kwamba ninapofanya mazoezi au kutembea, huwa ninasahau matatizo yangu yote na hujihisi mwepesi kabisa.\n                                        \nB Juma\n                                        \nNilipokuwa shule nilipenda sana kuruka kamba. Tena niliipenda ile michezo inayohusu kamba ambapo mtu mmoja huwa kati na huruka wakati wengine wameshikilia pande zote mbili. Siku hizi siruki tena, ila ninanyanyua vyuma vizito. Jana usiku nilinyanyua vyuma vilivyokuwa na kilo 150. Misuli yangu imefura sana na ukiniona tu unajua kwamba mimi ni mtu wa mazoezi. Mimi sifanyi mazoezi kupumzisha akili, huyafanya ili nizidi kujivunia mwili wangu. Chakula ninachopendelea ni kuku na wali tu, kwani vyakula hivyo hujenga misuli. Mimi inapowezekana situmii vyakula vyenye sukari na mafuta. Watu huniuliza kwa nini sikimbii kwa mfano kwenye marathoni. Ukweli ni kwamba mwili wangu ni mzito, si kwamba sipendi kukimbia, la, mimi siwezi kukimbia ingawa nina nguvu sana. Zaidi ya kunyanyua vyuma, mimi hupenda kuzurura kwenye barabara karibu na nyumbani kwangu ambapo majirani wote wananijua na wanapenda kuniangalia nikipita, ingawa hawanisogelei.\n                                        \nC Safia\n                                        \nMimi ninapendelea zaidi vyakula vyenye rangi rangi na vinavyovutia. Matunda ninayokula ni machungwa na mazambarau tu. Mboga zangu kuu ni mchicha na biringani. Mimi sili nyama wala samaki. Pia sili mayai na maziwa. Mama yangu ana wasiwasi kwamba kuna virutubisho ambavyo ninavikosa kwenye lishe yangu. Huwa ninamhakikishia kwamba huo si ukweli. Mimi nitasomea kuwa mwanasayansi wa lishe kwa hivyo ninajua ninachokifanya. Zoezi langu kuu ni lile la kunyoosha viungo. Ninapenda kujinyoosha hadi misuli yangu inasikia raha. Zoezi ambalo halinivutii kabisa ni lile la kunyanyua vyuma. Sioni maana ya kufanya hivyo ili kuonekana kuwa umejenga misuli lakini mwili haushituliwi kwa zoezi kama la kukimbia, kuruka kamba au kuogelea. Zamani nilipenda sana kucheza mpira wa mguu, tena nilikuwa mwanachama wa timu ya kandanda, lakini niliteguka na sikucheza tena ingawa sikosi kutazama mechi za timu yangu.\n                                        \nD Luka\n                                        \nMimi ni mpenzi wa mpira wa miguu. Ninapenda sana kutazama michuano na pia kucheza. Siku hizi nimejiunga na timu ya vijana wenzangu na hucheza mpira na majirani zangu. Kwa njia hii tumejuana na kuwa marafiki. Uzuri wa mpira wa miguu ni kwamba sihisi kuchoka hadi inapofika mwisho wa mechi. Na hapo ninagundua kwamba nimeweza kukimbia masafa marefu pale uwanjani. Wenzangu wengi wanapenda kunyanyua vyuma vizito. Kwa mfano wengine hubeba hadi kilo 150. Lakini mimi sivutiwi kabisa na zoezi hilo. Kitu muhimu kwangu ni chakula. Mimi ninapenda sana chai na mkate asubuhi, mchana ninakula kilichopikwa nyumbani. Leo ilikuwa wali, nyama na maharagwe. Pia ninakula matunda tofauti na mboga. Mara moja moja pia hupenda kula vitafunio vya sukari kama kashata na visheti. Ninafikiri maishani ni muhimu kutojinyima.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... hakuweza kushinda katika mechi yake ya kwanza?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "D",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... anafikiri kutofahamu teknolojia kunapunguza maendeleo?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "A",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... kukimbia ni changamoto kwake?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "B",
    "context": "A Roza\n                                        \nAfya njema inategemea sana chakula na mazoezi. Mimi ninakula lishe bora yenye virutubisho vingi. Ni kawaida yangu kuamka mapema sana na kufanya mazoezi. Zoezi ninalolipenda hasa ni kuruka kamba. Baada ya hapo hunyoosha viungo vyangu huku nikiwa nimejilaza sakafuni. Ninakula karibu kila kitu. Sidhani kama ningefaa kuwa daktari wa lishe kwa sababu sichagui vyakula, muhimu kiwe kinajenga mwili. Leo asubuhi nilikunywa uji na matunda, mchana nilisonga ugali na kitoweo kilikuwa maharagwe. Usiku nitakula wali na mboga mboga. Pia nyakati za jioni huwa ninapenda kutembea mtaani kwangu. Kwa njia hii ninaweza kufanya mazoezi mara mbili kwa siku na pia huwasalimia majirani zangu; labda siku moja nitajenga urafiki nao. Pia nimegundua kwamba ninapofanya mazoezi au kutembea, huwa ninasahau matatizo yangu yote na hujihisi mwepesi kabisa.\n                                        \nB Juma\n                                        \nNilipokuwa shule nilipenda sana kuruka kamba. Tena niliipenda ile michezo inayohusu kamba ambapo mtu mmoja huwa kati na huruka wakati wengine wameshikilia pande zote mbili. Siku hizi siruki tena, ila ninanyanyua vyuma vizito. Jana usiku nilinyanyua vyuma vilivyokuwa na kilo 150. Misuli yangu imefura sana na ukiniona tu unajua kwamba mimi ni mtu wa mazoezi. Mimi sifanyi mazoezi kupumzisha akili, huyafanya ili nizidi kujivunia mwili wangu. Chakula ninachopendelea ni kuku na wali tu, kwani vyakula hivyo hujenga misuli. Mimi inapowezekana situmii vyakula vyenye sukari na mafuta. Watu huniuliza kwa nini sikimbii kwa mfano kwenye marathoni. Ukweli ni kwamba mwili wangu ni mzito, si kwamba sipendi kukimbia, la, mimi siwezi kukimbia ingawa nina nguvu sana. Zaidi ya kunyanyua vyuma, mimi hupenda kuzurura kwenye barabara karibu na nyumbani kwangu ambapo majirani wote wananijua na wanapenda kuniangalia nikipita, ingawa hawanisogelei.\n                                        \nC Safia\n                                        \nMimi ninapendelea zaidi vyakula vyenye rangi rangi na vinavyovutia. Matunda ninayokula ni machungwa na mazambarau tu. Mboga zangu kuu ni mchicha na biringani. Mimi sili nyama wala samaki. Pia sili mayai na maziwa. Mama yangu ana wasiwasi kwamba kuna virutubisho ambavyo ninavikosa kwenye lishe yangu. Huwa ninamhakikishia kwamba huo si ukweli. Mimi nitasomea kuwa mwanasayansi wa lishe kwa hivyo ninajua ninachokifanya. Zoezi langu kuu ni lile la kunyoosha viungo. Ninapenda kujinyoosha hadi misuli yangu inasikia raha. Zoezi ambalo halinivutii kabisa ni lile la kunyanyua vyuma. Sioni maana ya kufanya hivyo ili kuonekana kuwa umejenga misuli lakini mwili haushituliwi kwa zoezi kama la kukimbia, kuruka kamba au kuogelea. Zamani nilipenda sana kucheza mpira wa mguu, tena nilikuwa mwanachama wa timu ya kandanda, lakini niliteguka na sikucheza tena ingawa sikosi kutazama mechi za timu yangu.\n                                        \nD Luka\n                                        \nMimi ni mpenzi wa mpira wa miguu. Ninapenda sana kutazama michuano na pia kucheza. Siku hizi nimejiunga na timu ya vijana wenzangu na hucheza mpira na majirani zangu. Kwa njia hii tumejuana na kuwa marafiki. Uzuri wa mpira wa miguu ni kwamba sihisi kuchoka hadi inapofika mwisho wa mechi. Na hapo ninagundua kwamba nimeweza kukimbia masafa marefu pale uwanjani. Wenzangu wengi wanapenda kunyanyua vyuma vizito. Kwa mfano wengine hubeba hadi kilo 150. Lakini mimi sivutiwi kabisa na zoezi hilo. Kitu muhimu kwangu ni chakula. Mimi ninapenda sana chai na mkate asubuhi, mchana ninakula kilichopikwa nyumbani. Leo ilikuwa wali, nyama na maharagwe. Pia ninakula matunda tofauti na mboga. Mara moja moja pia hupenda kula vitafunio vya sukari kama kashata na visheti. Ninafikiri maishani ni muhimu kutojinyima.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... alihamia mahali pengine kujiunga na timu ya taifa?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "A",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... anathamini tamaduni tofauti?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "B",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... anataja kwamba angependelea kupata fedha zaidi?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "C",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... amepigana ndondi katika bara lingine?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "A",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "",
    "a": "",
    "b": "",
    "c": "",
    "d": "",
    "answerKey": "",
    "context": "",
    "grade": "",
    "preamble": "",
    "category": ""
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... ameweza kutoshawishika na wazazi wake?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "D",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... ana mpango wa kusomesha?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "A",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanandondi yupi ... alipaswa kuvumilia huduma mbaya alipoingia ndondini?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "A",
    "context": "A Asha\n                                        \nNilianza kupigana ndondi katika kijiji kidogo ambapo nilizaliwa. Nilipokuwa msichana nilikuwa nikicheza na wavulana na nilipendelea michezo yao kuliko michezo ya wasichana. Nilipokuwa na miaka kumi na mbili niliamua kuijiunga na kikundi kidogo cha ndondi kijijini kwangu. Nilianza mazoezi ya ndondi na nilisifiwa sana na makocha wangu. Baada ya muda si mrefu, nilipendekezwa kujiunga na timu ya taifa na kualikwa kuwa nao huko mji mkuu. Kusema kweli, sikuwa na huzuni wala hofu kuhama nyumbani. Hali ya huduma kijijini ilikuwa ni mbaya sana ... hata hatukuwa na ulingo wa kufaa. Nilipofika mji mkuu niliweza kushinda tuzo ndani ya mwaka mmoja tu. Kwa sababu hiyo, nilichaguliwa kuhusika kwenye mashindano huko Ulaya. Nilipata tuzo kule pia! Ninaupenda mchezo huu.\n                                        \nB Jorbelle\n                                        \nKila watu wanapofikiria mchezo wa ndondi hapa, wanamfikiria mwanandondi mashuhuri Muhammad Ali. Lakini kwa mimi mwenyewe alikuwa mwanandondi mwengine anayejulikana sasa, Mike Tyson, ambaye alinifanya nitake kupigana. Nilimpenda sana nilipokuwa mtoto na ninaamini nitakuwa mrefu na hodari kama alivyokuwa yeye. Tayari kama ungeniona ulingoni usingejua nani ni nani – Tyson au Jorbelle! Kitu kinachonichochea sasa ni kuwa mtu mwema zaidi kuliko mimi nilivyo leo. Ninaamini kwamba nikijitahidi sana, maisha yangu yatakuwa mazuri zaidi na siku moja nitajulikana duniani kote. Kupigana ndondi ni kazi yangu. Sina nyingine. Siwezi kumtegemea mtu mwingine kwa kazi, hata kama mshahara wangu ni mdogo. Fikra za pesa au kazi si muhumu sasa kwani nimekazia fikra na nguvu zangu zote kwenye nia ya kushinda matuzo. Sina mume wala mtoto. Familia yangu ni mama yangu na bibi yangu tu. Hakuna cha kunirudisha nyuma!\n                                        \nC Safia\n                                        \nNimekuwa nikipigana ndondi kwa miaka mitano sasa. Hamna mtu ye yote aliyenidokezea kuhusu ndondi au aliyenitia moyo. Kuanza ndondi kulikuwa ni ndoto yangu mwenyewe. Nilijijenga kinguvu na kiuwezo. Kuna wasichana watano tu wanaopigana kwenye kikundi chetu, na tunapaswa kujitahidi sana. Ni wasichana wachache sana watakaochaguliwa kushindana katika mashindano ya barani. Ni vigumu sana, lakini ukiwa na hamu ya kutosha utaweza kufanya cho chote na kufanikiwa. Nilishinda tuzo langu la kwanza mwaka uliopita. Kushinda kulinisisimua sana na kulinifanya nijiamini zaidi. Ningependa kutunukiwa zaidi kipesa kwa mafanikio yangu. Hivi sasa malipo ni madogo sana, ingawa kazi yenyewe ni ngumu. Kazi ya kuwa mchezaji ndondi haidumu sana. Sijui nitafanya nini baadaye, kwa sababu sitaki kuwa kocha. Lakini, kwa sasa nimeridhika kupigana kwa ajili ya upendo wangu mwenyewe wa mchezo huu. Nitajaribu kushinda matuzo mengi iwezekanavyo.\n                                        \nD Zawadi\n                                        \nKupigana ndondi ni shauku yangu. Ninatarajia kuwa bingwa wa dunia. Nilianza bila kukusudia. Nilikuwa ninasoma sheria chuoni katika mji mkuu na nilikuwa nikikimbia kwa ajili ya mazoezi tu. Hakukuwa na kikundi cha kukimbia chuoni, hivyo nilianza kukimbia pamoja na kikundi cha ndondi. Halafu walinishawishi kujiunga nao. Kwanza mazoezi yalikuwa magumu sana. Kocha alikuwa mzuri sana, lakini nilikuwa msichana pekee na hivyo nilipata changamoto nyingi. Lakini kocha aliona uwezo wangu na kunitia moyo sana. Halafu alipendekeza jina langu kwa timu ya taifa pia. Niliogopa sana nilipoingia ulingoni kwa mara ya kwanza, baada ya miezi minne ya mazoezi tu, na nilishindwa. Ilinichukua miezi minane kabla ya kuwahi kushinda kwa mara ya kwanza. Sasa ninaamini nina uwezo wa kutosha kushinda tuzo, lakini ningekuwa na nafasi kubwa zaidi ningeweza kupata mafunzo nje ya nchi. Hapa huduma si nzuri sana na ninapaswa kufanya mazoezi nje, kando ya njia kuu.",
    "grade": "",
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  },
  {
    "question": "Mwanafunzi yupi ... atakataa nafasi ya kubaki na kufanya kazi nchini kwao?",
    "a": "A",
    "b": "B",
    "c": "C",
    "d": "D",
    "answerKey": "C",
    "context": "A Juma\n                                        \nNina ujuzi mkubwa sana katika sekta ya teknolojia. Hasa teknolojia ya kompyuta na mitandao. Nilipokuwa mtoto nilipenda sana kucheza michezo mbalimbali kwenye kompyuta. Halafu, polepole nilianza kujaribu kuelewa jinsi michezo hiyo ilivyotengenezwa na niliweza kugundua mengi. Nchi nyingi za Afrika zinathamini matumizi ya kompyuta mashuleni na pia kuendesha shughuli tofauti kama biashara lakini huwa zaidi mijini na si vijijini. Ninadhani ni muhimu kwa wataalamu kutembelea sehemu tofauti na kusambaza ujuzi wa teknolojia ya kompyuta ili watu wote barani humu wafaidike na wafurahie mengi yanayovumbuliwa katika nyanja hii. Ndoto yangu hasa ni kuwafundisha wananchi mbalimbali yote niyajuayo ili na wao waweze kuwa na maendeleo. Likizo hii nitaanza kwa kutoa mafunzo kijijini kwetu.\n                                        \nB Luka\n                                        \nNimesoma masomo ya Siasa na Historia za nchi za Kiafrika kwa miaka miwili sasa. Umebaki mwaka mmoja tu wa masomo kabla ya kuhitimu. Bila shaka nitafunzwa mengi zaidi kuhusu serikali na sera tofauti, ingawa hivi sasa akili yangu imechoka kabisa. Nina hamu kubwa ya kupumzika na kutosoma chochote kabisa. Ningependa kuona nchi mbalimbali ambazo sijawahi kuzitembelea. Kwanza kabisa nina hamu ya kuenda Uchina na kuona jinsi watu wanavyoishi huko. Ninavutiwa sana na mila na desturi zao. Ningependa pia kuenda Brazil kwa sababu ninapenda sana mpira wa miguu na ninafikiri nchi hiyo ina wachezaji wazuri sana. Kuenda huko itakuwa ghali sana, kwa hivyo nitatafuta kazi kwenye kampuni ya teknolojia ya simu za kisasa itakayoniwezesha kujinunulia tiketi ya ndege.\n                                        \nC Roza\n                                        \nNinasoma masomo ya Utabibu na ninategemea kuwa daktari wa watoto baada ya miaka michache. Mwaka huu itabidi nifanye kazi ya udaktari hapa nchini au nchi yoyote ya jirani. Ningeweza kuajiriwa kwenye hospitali ambapo wazazi wangu ni wauguzi, lakini nilifanya hivyo mwaka uliopita. Mwaka huu ningependelea kuenda Uganda. Huko nitaweza kutoa msaada kwenye magonjwa yanayotishia afya za wengi. Ninadhani malaria ni ugonjwa ambao umekuwa tatizo kwa muda mrefu sana kote barani Afrika, ingawa wengi huuona kama wa kawaida tu. Pia, kwa bahati mbaya, ingawa maendeleo mengi ya kiteknolojia yamefanyika na yameweza kusaidia uelewa wa ugonjwa huu, bado ni tatizo kubwa sana, hasa kwa watoto. Hata kama siwezi kubadili sera mimi mwenyewe, ningetaka kuuona ugonjwa huu ukipotea kabisa. Ninadhani watu wengi hufanya kosa la kutokuutilia maanani kama inavyotakiwa.\n                                        \nD Safia\n                                        \nMimi ninasoma masomo ya Isimu ingawa ninavutiwa sana na siasa. Baada ya masomo yangu ningependa kuwa na nafasi nyeti katika uundwaji wa sera zitakazoleta maendeleo nchini kwetu. Kwa mfano, bado nchi yetu ina tatizo kubwa la ugonjwa wa UKIMWI. Kwa kweli, kama ningekuwa mwanasiasa leo hii, ningetoa kipau mbele kikubwa kwenye kuwasomesha wananchi wote kuhusu mambo yote yanayosababisha ugonjwa huu. Hii ingeipa serikali uwezo wa kubadili mawazo ya wananchi kuhusu maradhi haya. Mimi ninafikiri wanasiasa wa leo wanafikiria zaidi masuala ya uchumi. Likizo hii nina mpango wa kutafuta kazi kwenye kituo cha afya na kuelewa sera za nchi kuhusu magonjwa tofauti. Nina hamu hasa ya kuzungumza na wagonjwa wenyewe ili kuelewa ugonjwa huu unavyowaathiri. Wazazi wangu wamejaribu kunishauri nisafiri nao ili kustarehe nao lakini hawajafanikiwa kabisa. Wao wataenda likizo huko Msumbiji kwa mwezi mmoja.",
    "grade": 11.0,
    "preamble": "Wanafunzi wanne wanaelezea kuhusu shughuli watakazozifanya wakati wa likizo.",
    "category": "Reading comprehension"
  }
]